Thursday, May 2, 2024
Home Authors Posts by Saleh

Saleh

7746 POSTS 0 COMMENTS

HAJI MANARA AWAIBUA WAZAWA WA KAZI CHAFU

0
HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wapo wazawa wengi ambao wanafanya vizuri ndani ya kikosi cha Yanga ikiwa ni pamoja na Dickson...

ORODHA YA WACHEZAJI WA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA

0
KIM Poulssen Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars leo Novemba Mosi ametangaza kikosi cha timu ya taifa ambacho kitakuwa ni...

KUMBE ILIKUWA NI GHAFLA TU KUMFUTA KAZI NUNO

0
IMERIPOTIWA kuwa ilikuwa ni ghafla kwa mabosi wa Klabu ya Tootenham kumfuta kazi kocha wao Nuno Espirito ambaye ametangazwa kuwa kwa sasa hatakuwa kwenye...

BRENDAN HAFIKIRII KUIFUNDISHA MANCHESTER UNITED

0
BOSI wa Leicester City, Brendan Rodgers amesisitiza kuwa hafikirii kwenda kuifundisha Manchester United. Rodgers amesisitiza kuwa malengo yake ni kuweza kuona timu yake ya sasa...

SPORTPESA NGUZO YA MWENDO WA WAKONGWE YANGA

0
  NDANI ya miaka minne tu, kampuni maarufu zaidi nchini ya michezo ya kubahatisha ya SportPesa ndio inayoshikilia rekodi ya kuwa kampuni iliyoweka fedha nyingi...

LIVERPOOL YAMPA KOCHA WAKE HASIRA

0
KOCHA Mkuu wa Liverpool, Jurgen Klopp amegeuka mbogo kwa wachezaji wake kwa kuwaeleza kuwa walicheza chini ya kiwango kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu...

MSIMAMO WA LIGI KUU BARA HUU HAPA

0
LIGI Kuu Tanzania Bara maarufu kama NBC Premier Ligi inazidi kuchanja mbunga ambapo tayari kuna timu zimeanza kuonja ladha ya kuwa nafasi ya kwanza...

HUU HAPA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATATU

0
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatatu, lipo mtaani jipatie nakala yako 800

YANGA MACHO KWENYE UBINGWA WA LIGI KUU BARA

0
BAKARI Mwamnyeto,  nahodha wa Yanga amesema kuwa malengo makubwa ya timu hiyo ni kuweza kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2021/22.   Yanga...

MABINGWA WATETEZI WABANWA MBAVU KWA MKAPA

0
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba leo Oktoba 31 wamebwana mbavu mbele ya Coastal Union kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara baada...

MESSI MAMBO MAGUMU PSG

0
NYOTA wa kikosi cha PSG, mshambuliaji Lionel Messi mambo kwake ni magumu kwenye ishu ya kucheka na nyavu baada ya kuweka rekodi ya kucheza...

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA COASTAL UNION

0
LEO Oktoba 31 mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Simba wanatarajia kucheza na Coastal Union kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara, Uwanja wa...

ARSENAL GARI IMEWAKA HUKO

0
AARON Ramsdale kipa wa Arsenal aliweza kuwa imara akiwa langoni wakati timu yake iliposhinda mabao 2-0 dhidi ya Leicester City uliochezwa Uwanja wa King...

KOCHA NABI ATAJWA KUIBUKIA SIMBA

0
IMEELEZWA kuwa, licha ya Mwekezaji wa Simba, Mohamed Dewji ‘Mo’, kuachia nafasi ya Uenyekiti waBodi ya Wakurugenzi ya klabu hiyo, lakini bado anahusika kwenye baadhi ya mambo ikiwemo kipindi hiki...

HITIMANA AUTAKA UBINGWA SIMBA

0
HITIMANA Thiery, Kaimu Kocha Mkuu wa Simba amebainisha kuwa timu hiyo inahitaji kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa kuwa ni timu kubwa na...

FEI TOTO APELEKWA ULAYA

0
KITASA wa zamani wa Yanga ambaye sasa anakipiga ndani ya Polisi Tanzania, Said Juma Makapu, amesema anaamini kwa kiwango alichonacho kiungo wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’, ni muda...

MERIDIAN BET, LIONS CLUB ZASAIDIA MATIBABU KWA WALEMAVU WA MACHO 100

0
  Waathirika 100 wenye ulemavu wa macho jijini Dar es Salaam, wamepatiwa huduma ya kupima, matibabu na vifaa tiba katika kambi maalumu ya kupima macho...