Yanga Yatwaa Ngao ya Jamii 2026 Baada ya Kuichapa Simba 1-0
ZANZIBAR: Young Africans SC (Yanga) wameanza msimu mpya kwa kishindo baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya watani wao wa jadi, Simba SC, na kutwaa Ngao ya Jamii 2026 katika dimba la New Amaan Complex, Zanzibar. Ushindi huo umeifanya Yanga kutwaa taji hilo kwa mara ya 10 katika historia ya michuano ya…