Thursday, September 28, 2023
Home Authors Posts by Saleh

Saleh

6144 POSTS 0 COMMENTS

SIMBA YAWAPIGIA HESABU WAZAMBIA KIMATAIFA

0
KOCHA Mkuu wa Simba Mbrazili, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema wameutumia mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Coastal Union uliopigwa Alhamisi iliyopita kama...

KOCHA AL MERRIKH: YANGA INAOGOPESHA

0
KOCHA wa Al Merrikh, Osamah Nabieh amekiri kwa kusema kuwa Yanga ni moja kati ya timu ambayo inahofiwa kwa sasa barani Afrika kulingana na...

VIDEO:WASIOMTAKA KOCHA SIMBA WAAMBIWA WASEPE

0
MCHAMBUZI wa masuala ya michezo Bongo Kisungu ameweka wazi kuwa waleambao wanahitaji kuona Kocha Mkuu wa Simba Roberto Oliveira akifungashiwa virago waondoke. Kumekuwa na...

AFCON 2027 KUANDALIWANA NCHI TATU, KENYA, UGANDA NA TANZANIA

0
RASMI mataifa matatu yataandaa mashindano makubwa Afrika ambayo ni Africa Cup. Mapema Septemba 27, Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Damas Ndumbaro aliongozana na ujumbe...

NTIBANZOKIZA NA LUIS NDANI YA SIMBA KUNA NAMNA

0
VIUNGO wawili wa Simba, Luis Miquissone na Saido Ntibanzokiza chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira kuna namna wanazidi kuiva chungu kimoja kutokana na muunganiko...

LIVERPOOL BADO WANAJITAFUTA HUKO

0
LIVERPOOL wamekuwa wakijitafuta kwa muda na sasa wanaonekana kurejea kwenye makali yao hiyo ni baada ya wikiendi iliyopita kutoka nyuma na kushinda mabao 3-1...

ZANA ZA KAZI ZAANDALIWA YANGA NA GAMONDI

0
KUELEKEA mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga dhidi ya Al Merrikh, Waarabu hao wa Sudan watakutana na balaa jipya...

POWER DYNAMOS KUPELEKWA AZAM COMPLEX, WATATU WA SIMBA KUWAKOSA

0
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa wapo tayari kwa mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrikd dhidi ya Power Dynamos ambapo watatumia Uwanja wa...

TUSIJUMUISHE USHABIKI KWENYE MASUALA YA KUUMIZWA KWA INONGA

0
WAKATI mwingine si vibaya kusema mashabiki wa mpira na hasa Tanzania wamekuwa na mambo mengi sana yanayopaswa kulaaniwa. Binafsi nayaona ni masuala ambayo yanaonyesha ushabiki...

CHAMA GARI LIMEWAKA HUKO

0
MWAMBA wa Lusak, Clatous Chama gari limeweka kutokana na kasi yake ya kufunga na kutengeneza mabao kuanza kurejea kwa namna yake. Ikumbukwe kwamba msimu wa...

AZAM FC WANA JAMBO LAO

0
YUSUPH Dabo, Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa wachezaji wake wote ni muhimu kuendelea kupambana kwenye mechi zote ili kuwapa burudani mashabiki na...

SIMBA YAWAVUTIA KASI POWER DYNAMOS LIGI YA MABINGWA AFRIKA

0
BAADA ya kutoshana nguvu mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa wakiwa ugenini, hesabu za Simba ni kupata ushindi mchezo ujao. Ubao wa Uwanja wa...

YANGA WAJA NA KEY DEI KAMILI KUWAKABILI WASUDA

0
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kuelekea kwenye mchezo wao wa kimataifa dhidi ya Al Merrekh Uwanja wa Azam Complex wapo tayari na maandalizi...

KIMATAIFA KAZI KUBWA IFANYIKE, MUDA NI SASA

0
KAZI kubwa inapaswa kufanyika kwenye anga la kimataifa kwa wawakilishi wetu kufanya kweli kwenye kusaka matokeo. Kila timu inatambua kwamba ushindani ni mkubwa hivyo muhimu...

MTAMBO HUU WA MABAO YANGA KUWAKOSA WAARABU

0
IMELEEZWA kuwa mshambuliaji wa Yanga, Hafidh Konkoni huenda akaukosa mchezo wa marudiano wa Hatua ya Kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika watakaocheza dhidi ya...

TWIGA STARS KAZINI LEO AZAM COMPLEX

0
KUELEKEA katika mchezo wa kuwania kufuzu Mashindano ya Mataifa ya Kimataifa Wanawake, (WAFCON) unaotarajiwa kuchezwa leo, benchi la ufundi la Timu ya Taifa ya...

BALEKE KWENYE KIVULI CHAKE NDANI YA SIMBA

0
MGANDAMIZO wakati mwingine hutoa kitu halisi na muda mwingine huwa kinakuwa na mvurugano kutokana na aina ya mwanga ambao utakuwa unahusika. Kwenye Ligi Kuu Bara...