Afrika Kusini vs Canada FIFA Kombe la Dunia 32 bora ni leo
Mchezo kati ya Afrika Kusini vs Canada FIFA Kombe la Dunia hatua ya 32 bora ni leo Jumapili, 28 Juni katika Uwanja wa SoFi. Saa 10:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki wababe hawa watakutana kusaka mshindi atakayesonga mbele. Kwa upande wa Canada, mjadala mkubwa unahusu nahodha Alphonso Davies, ambaye amerejea kwenye mazoezi kamili baada…