Mashabiki West Ham Wakerwa na Uamuzi wa VAR Dhidi ya Arsenal
Mashabiki wa West Ham United F.C. wameonyesha hasira kubwa kufuatia uamuzi tata wa VAR uliowanyima bao la kusawazisha katika mchezo dhidi ya Arsenal F.C. uliomalizika kwa ushindi wa mabao 1-0 kwa Arsenal. Katika dakika ya 95, Callum Wilson alifunga bao lililoonekana kuisawazishia West Ham lakini mwamuzi Chris Kavanagh alilibatilisha baada ya ukaguzi wa VAR kubaini…