Saleh
HAPA NDIPO SIMBA ILIPOTUSUA
WAKIWA mashuhuda wa ubingwa wa Ligi Kuu Bara ukielekea kwa watani zao wa jadi Yanga, Simba wametusua katika vigongo vitatu vizito.
Yanga imetwaa ubingwa wa...
USM ALGER:HATUCHEZI NA MAYELE SISI
ABULEKH Banchikha, Kocha Mkuu wa USM Alger ameweka wazi kuwa mchezo wao wa leo hawatacheza na mshambuliaji Fiston Mayele wa Yanga.
Mayele ni kinara wa...
CHAMA AWAPA TUZO MASTAA SIMBA
CLATOUS Chama kiungo mshambuliaji ndani ya kikosi cha Simba ameweka wazi kuwa ikiwa atakosa tuzo ya kiungo bora ndani ya Ligi Kuu Bara kisha...
WASIWASI DAWA, WAARABU SIO WA KUWABEZA
WASIWASI ni dawa wanasema hivyo hivyo kwa wawakilishi kwenye anga la kimataifa Yanga hampaswi kujiamini kupita kiasi.
Mwendo ambao mlianza nao kwenye kila hatua hakika...
VIDEO:KUMBE YANGA WANAJUA MBINU NA UBORA WA WAARABU
BEKI wa Yanga Dickson Job ameweka wazi kuwa wanatambua ubora wa wapinzani wao USM Alger na wamejiandaa kufanya kazi nzuri kwenye kuzuia kesho mchezo...
YANGA WAPENI FURAHA WANANCHI INAWEZEKANA
WAKATI mwingine wa kuendeleza furaha kwa familia ya michezo inakuja siku ambayo Afrika itakuwa ikifuatilia habari za dakika 90.
Ni dakika 90 zenye maamuzi ya...
VIDEO:IJUE HISTORIA YA MCHEZAJI WA SIMBA QUEENS/AFUNGUKIA MAISHA
MWANAHAMISI Omary, 'Gaucho' afungukia kuhusu maisha yake na kile ambacho anapenda kukifanya kila siku kwenye maisha yake.
Nyota huyo ni miongoni mwa Legend kwenye Soka...
MAYELE:HAWA USM ALGER SIWAACHI, BOSI SIMBA APEWA FAILI LA MKATA UMEME
MAYELE: Hawa USM Alger siwaachi, bosi mpya Simba SC apewa faili la mkata umeme ndani ya Championi Jumamosi
VIDEO:NYOTA YANGA AFUNGUKIA ISHU YA FAINALI KIMATAIFA
NYOTA Yanga afungukia ishu ya fainali kimataifa ni David Bryson amesema kuwa hawana hofu na wamejiaandaa kwa umakini kwa ajili ya mchezo huo.
Yanga inatarajiwa...
KIUNGO HUYU WA KAZI SIMBA MAMBO FRESH
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa ka sasa hali ya kiungo wao Hassan Dilunga ambaye hakuwa fiti kutokana na kupambania afya yake imezidi kutengamaa.
Kwenye...
LIVERPOOL YAKAMWA KUTINGA NNE BORA, WAJIVUNIA HIKI
MENEJA wa Liverpool, Jurgen Klopp ameweka wazi kuwa licha ya timu hiyo kukwama kumaliza ndani ya nne bora bado wachezaji walikuwa na ushirikiano mkubwa.
Amebainisha...
VIDEO:NKANE AFUNGUKIA KUHUSU WAARABU KWA MKAPA
KIUNGO wa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi amefungukia kuhusu mchezo wao wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya USM Alger Waarabu wa...
MATAJIRI WA DAR KWENYE DAKIKA 180 ZA MOTO
MATAJIRI wa Dar, Azam FC wanamechi mbili za moto kukamilisha mzunguko wa pili msimu wa 2022/23 kwa kucheza kete zao mbili.
Azam FC watacheza mchezo...
WAPINZANI WA YANGA KIMATAIFA NDANI YA DAR
WAPINZANI wa Yanga kwenye mchezo wa kimataifa unaotarajiwa kuchezwa Mei 28, 2023 Uwanja wa Mkapa wamewasili ardhi ya Tanzania.
Ni alfajiri ya leo wamewasili kwa...
VIDEO:ISSA AZAM ACHARUKA, AFUNGUKIA MECHI YA YANGA
ISSA Azam acharuka awavaa Yanga kuelekea mchezo wao wa kimataifa Mei 28,2023 Uwanja wa Mkapa
USAJILI WA CHIVAVIRO YANGA KAMA MUVI, SIMBA YASHUSHA CHUMA
USAJILI wa Chivaviro Yànga SC kama muvi, Simba yashusha chuma kipya ndani ya Championi Ijumaa
FEISAL ANAOMBA MCHANGO
ANAANDIKA Feisal Salum namna hii:-"Ndugu zangu Watanzania na familia yote ya soka kwa Bara na visiwani. Mimi kijana wenu ambaye kwa miaka yote nimekua...