
YANGA SC YAPOKELEWA KWA KISHINDO, YAWEKA NGOME MSIMBAZI
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara mara 31, Yanga SC Juni 30 2025 wamepokelewa kwa kishindo wakitokea Zanzibar kwa kufanya pared la kihistoria chini ya uangalizi mkali wa Jeshi la Polisi Tanzania ambao walikuwa wakihakikisha usalama unakuwa wakutosha. Yanga SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi, Juni 29 2025 ilipata ushindi wa mabao 2-0 dhidi…