Saleh

TIMIZA NDOTO ZAKO NA MECHI ZA KIRAFIKI LEO

Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet unaweza ukatimiza ndoto zako?. Kama ujaiuliza kivipi basi ni kwa kuchagua timu zako za ushindi na kusuka mkeka wako wa maana leo hii. Piga pesa na mechi hii ya Sevilla FC dhidi ya Al-Ittihad ya kule Saudi Arabia. Timu hiyo ilimaliza nafasi ya 5 kwenye ligi yao huu mwenyeji…

Read More

HUYU HAPA CEO MPYA SIMBA

RASMI uongozi wa Simba umemtangaza Uwayezu Francois Regis raia wa Rwanda kuwa Mtendaji Mkuu (CEO) wa klabu hiyo kuanzia Agosti 1, 2024 mara mkataba wa Imani Kajula ambaye yupo kwenye nafasi hiyo kwa sasa kugota mwisho. Taarifa iliyotolewa na Simba mapema Julai 26 kupitia kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Simba, Mohamed Dewji, (Mo) imeeleza…

Read More

UBAYA UBWELA NOMA SANA KUIBUKA KWA MKAPA

WAKATI uzi mpya wa Simba uliozinduliwa Julai 24 ukizidi kuwa gumzo kila kona kutokana na ubunifu wake pamoja na nembo ambazo zimetumika uongozi wa timu hiyo umebainisha kuwa ubaya ubwela hautaishia kwenye uzi pekee bali mpaka mechi zao zote kazi ipo palepale. Miongoni mwa mechi ambazo zinasubiriwa kwa shauku kubwa kwa sasa ni Kariakoo Dabi…

Read More

YANGA HATUFIKIRII USHINDI

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa hawafikirii ushindi kwenye mechi za kirafiki hivyo kupata ushindi ni matokeo ambayo yanawaongezea nguvu kuendelea kupambana zaidi. Ipo wazi kuwa Yanga imeweka kambi Afrika Kusini kwa maandalizi ya msimu mpya wa 2024/25 unaotarajiwa kuanza Agosti 8 2024. Julai 24 2024 Yanga iliibuka na ushindi wa bao 1-0…

Read More

YANGA KAZINI, MWAMBA HUYU HAPA MAJANGA

 MENEJA wa Yanga SC, Walter Harson ameweka wazi kuwa maandalizi yanaendelea vizuri nchini Afrika Kusini kwa ajili ya msimu wa 2024/25 kwa kuwa wachezaji wapo vema. Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi ipo kambini Afrika Kusini kwa maandalizi ya mechi za kitaifa na kimatafa ambapo Yanga inashiriki Ligi ya Mabingwa Afrika. Leo Julai 24…

Read More

AZAM FC YAUFIKIRIA UBINGWA WA LIGI

NYOTA wa Azam FC, Idd Suleiman, (Nado) ameweka wazi kuwa malengo makubwa ni kuona kwamba wanatwaa taji la Ligi Kuu Bara msimu mpya wa 2024/25 kutokana na maandalizi mazuri ambayo wanayafanya kwa sasa. Azam FC chini ya Kocha Mkuu Yusuph Dabo imeweka kambi Morocco ikiwa ni mwendelezo wa kuelekea msimu mpya ambao unatarajiwa kuwa na…

Read More

SIMBA DAY UBAYA UBWELA, VIINGILIO HIVI HAPA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa uzinduzi wa Simba Day 2024 utafanyika Morogoro na safari inatarajiwa kuwa Julai 24 2024 kwa mashabiki na viongozi kuelekea mji kasoro bahari. Ahmed Ally Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba ameweka wazi kuwa lengo kubwa ni kuendeleza utofauti ambapo watafanyia uzindi kwenye hifadhi ya Mikumi kuhamashisha utalii…

Read More

YANGA KWENYE KAZI KWA MARA NYINGINE TENA

BAADA ya kete ya kwanza kupoteza katika Mpumalanga Premier International Cup, Yanga inatarajiwa kuwa na kazi nyingine kusaka ushindi kwenye mchezo wa kimataifa wa kirafiki. Jumatano ya Julai 24 Yanga itakuwa na kibarua cha kusaka ushindi dhid ya TS GALAXY kwenye mchezo wa kimataifa wa kirafiki. Mechi hii itapigwa kuanzia saa 10:00 jioni inatarajiwa kurushwa…

Read More

SIMBA YAANZA KWA USHINDI HUKO

IKIWA ni mchezo wa kwanza wa kirafiki kwa Simba imepata ushindi mbele ya El Qanah Egypt kwa mabao 3-0 chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Kwenye mchezo huo ni Ahoua alitupia kambani mabao mawili dakika ya 14, 16 na Okejepha alitupia bao moja ikiwa ni mchezo wa kujipima nguvu. Bado kazi ipo kwa Simba kuelekea…

Read More

Unataka Kuwa Milionea? Cheza Kasino Sasa

Winning Clover 5 Extreme ni sloti ya kasino ya mtandaoni yenye nguzo tano zilizopangwa katika mistari mitatu, mistari mitano ya ushindi. Ili kupata ushindi wowote, ni lazima upate alama tatu au zaidi zinazofanana kwenye mstari wa malipo. Jisajili na Meridianbet ushinde Mamilioni.   Unapocheza kasino ya mtandaoni hii ukipata bahati ya kupata alama nyekundu ya…

Read More

Cheza Kasino Ushinde Mamilioni ya Expanse

Jisajili Meridianbet ushinde hadi Tsh 2,500,000/= kutoka shindano la Expanse, Michezo ya Kasino ya Mtandaoni inakupa nafasi ya kujitajirisha. Usipange kuikosa Promosheni Baab Kubwa.   Mwisho wa promosheni ya Shindano la Expanse Kasino washindi 40, watagawiwa bonasi za kasino na pesa taslimu kwenye kaunti zao za Meridianbet.   ZAWADI ZIKOJE?   Expanse Tournament inatoa mgao…

Read More