Saleh

MICHUANO YA COSAFA KUENDELEA LEO

Michuano ya Kombe la COSAFA 2025 inaendelea leo kwa hatua ya nusu fainali, ambapo mechi mbili za kuvutia zinatarajiwa kupigwa. Katika mchezo wa kwanza, Angola watakutana na Madagascar saa 10:00 jioni, huku mchezo wa pili ukiwakutanisha wenyeji Afrika Kusini dhidi ya Comoro saa 1:00 usiku. Kwa wale wabashiri, Meridianbet imeandaa mazingira bora ya kubashiri kwa…

Read More

MUTALE AWAGAWA MABOSI SIMBA SC

JOSHUA Mutale kiungo mshambuliaji wa Simba SC amewagawanya mabosi wa timu hiyo kutokana na wengine kuhitaji kuona anaondoka huku wengine wakihitaji kuona anabaki ndani ya kikosi hicho. Mutale hakuwa kwenye mwanzo mzuri msimu wa 2024/25 kutokana na mechi ambazo alipewa nafasi kucheza chini ya kiwango. Katika mechi za mzunguko wa pili Mutale amekuwa akifanya kazi…

Read More

KOCHA AZAM FC KUKUTANA NA THANK YOU

INAELEZWA kuwa Kocha Mkuu wa Azam FC inayotumia Uwanja wa Azam Complex kwenye mechi za nyumbani Rachid Toussi atakutana na Thank You baada ya msimu wa 2024/25 kugota mwisho na mabosi wat imu hiyo wameshafanya maamuzi. Taarifa zinaeleza kuwa Azam FC wanasubiri msimu uishe kwa mechi mbili ambazo zimesalia kukamilisha msimu ambapo watakuwa na mchezo…

Read More

JEMBE SPORTS YOU TUBE YAPEWA TUZO MAALUMU

SHUKRANI kubwa kwa watazamaji na wafuatiliaji wa mtandao wa Jembe Sports kwa kuwa ni watu muhimu kila wakati jambo lililopelekea tuzo maalumu kutoka kwa You Tube. Kwenye ukurasa wa You Tube wa Jembe Sports ni watazamaji zaidi ya laki moja wapo na watu ambao wamebofya kile kitufe cha kuifuata You Tube ya Jembe Sports ni…

Read More

JEAN AHOUA WA SIMBA SC KATIKA RADA ZA KAIZER CHIEFS

Jean Ahoua kiungo mshambuliaji wa Simba SC anatajwa kuwa kwenye rada za Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini ambayo inatajwa kumfuatilia kwa ukaribu kupata saini yake. Ahoua ni kinara wa utupiaji mabao ndani ya ligi akiwa amefunga mabao 15 na kutoa pasi 8 za mabao akihusika kwenye mabao 23 kati ya 63 yaliyofungwa na Simba SC….

Read More

DAU DOGO SHINDA MAMIA YA EURO NA SPIN-O-MANIA

Meridianbet inakukaribisha kujichukulia Mamia ya Euro kwenye promosheni kali ya Spin-O-Mania ambayo inaendelea hivi sasa. Huhitaji dau kubwa kushiriki kwenye shindano hili la dhahabu ambalo litakupa ushindi mkubwa leo. Mashindano haya ya Spin-O-Mania yalianza toka tarehe 05 mwezi Juni na mwisho itakuwa ni tarehe 29 Juni ambapo zawadi na pesa zitakbidhiwa kwenye akaunti za wachezaji…

Read More

MUKWALA HESABU ZAKE NDEFU SIMBA SC

MSHAMBULIAJI wa Simba SC Steven Mukwala hesabu zake ni ndefu kwenye kikosi hicho ambacho kinanolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids katika mechi za ushindani. Mukwala ameweka wazi kuwa mpango mkubwa ni kuona timu hiyo inapata matokeo chanya kwenye mechi ambazo wanacheza ndani ya uwanja msimu wa 2024/25. Mshambuliaji huyo anaingia kwenye orodha ya wakali wakucheka…

Read More

YANGA SC YAGOMEA KIKAO, WANATAKA HELA YA UBINGWA TU

CLIFORD Ndimbo, Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) amesema kuwa Yanga SC wamegoma kuongea na kuacha barua licha ya kuitwa na Katibu Mkuu Wilfred Kidao. Juni 10 2025 TFF walitoa taarifa kuhusu ufafanuzi wa fedha za malipo ya zawadi ya bingwa wa CRDB Federation Cup ambazo Yanga SC walibainisha kuwa hawajapewa na katika…

Read More