Saleh
ISHU YA UZINDUZI WA JEZI YA KIMATAIFA SIMBA WATAMBA
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa uzi mpya ambao wameuzindua leo kwa ajili ya mechi za kimatifa ni bora na utaitangaza Tanzania kwenye anga...
VIDEO”ALLY KAMWE AZUNGUMZIA ISHU YA MORISSON/YANGA HAWATISHIKI
ALLY Kamwe azungumzia ishu ya Morrison/Yanga hawatishiki
ORODHA YA MASTAA SIMBA WANAOMPA JEURI KOCHA KIMATAIFA
ORODHA ya mastaa Simba wanaompa jeuri kocha kimataifa
KIMATAIFA SHUGHULI NI KUBWA MIPANGO MUHIMU
KUTABIRIKA kwa matokeo hakuna kwenye ulimwengu wa soka kutokana na kila timu kujipanga kwa umakini kupata ushindi.
Iwe ni nyumbani ama ugenini kwa sasa kila...
UWANJA AMBAO SIMBA ITAUTUMIA DHIDI YA HOROYA KIMATAIFA
UWANJA ambao Simba itautumia dhidi ya Horoya kimataifa
MSAFARA WA YANGA UTAKAOWAFUATA WAPINZANI WAO CAF
MSAFARA wa Yanga utakaowafuata wapinzani wao CAF
SENEGAL WALITWAA TAJI KWA KAZI KUBWA KWELIKWELI
FEBRUARI 4,2023 itabaki kwenye kumbukumbu za mastaa wa Senegal kutokana na kukutana na kisiki kizito kwenye mchezo wa fainali ya taji la Kombe la...
MZAWA JOB AWEKA REKODI TAMU BONGO
MZAWA Dickosn Job anayekipiga ndani ya kikosi cha Yanga ameweka rekodi yake matata kwa kuwa mzawa pekee ambaye amefunga kwa timu za Kariakoo Februari...
MASTAA WATATU WAZUA HOFU SIMBA, WAARABU WAIBEBA YANGA CAF
MASTAA watatu wazua hofu Simba, Waarabu waibeba Yanga CAF ndani ya Spoti Xtra Jumanne
TITAN ROULETTE NDANI YA MERIDIANBET USHINDI MARA NYINGI ZAIDI
Kuwa Mshindi na Titan Roulette
Leo nataka nikupe chimbo moja la kucheza na kushinda kwa urahisi, ni pale Meridianbet kasino ya mtandaoni kuna sloti moja...
AZAM FC,YANGA, SIMBA KUPAMBANA NA HAWA FA
KAMATI ya Mashindano ya Shirikisho la Soka nchini (TFF) ilitangaza ratiba ya hatua ya 16 bora ya michuano ya Azam Sports Federation Cup (ASFC)...
MAYELE ANATOA SOMO LA BURE KWA WENGINE
FISTON Mayele ni mshambuliaji ambaye sio mwepesi kukata tamaa akiwa uwanjani, akikutana na makipa wenye mbwembwe huwa anawatazama kisha akishagundua tabia yao hapo anaongeza...
AKILI KUBWA MZUNGUKO WA PILI MATUMIZI YA NGUVU NI MAUMIVU
MZUNGUKO wa pili huwa unakuwa na mambo mengi jambo ambalo huwafanya wachezaji wengi kutumia nguvu kubwa kusaka ushindi.
Ukweli ni kwamba mechi za wakati huu...
LIGI KUU TANZANIA BARA KUKIWASHA LEO
FEBRUARI 6,2023 Ligi Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea leo kwa timu kusaka pointi tatu muhimu.
Ni Polisi Tanzania watakuwa Uwanja wa Ushirika Moshi wakimenyana na...
MASHABIKI MOROCCO,PAMBO LA WORLD CUP
Saleh Ally, Rabat
UTAMADUNI wa ushangiliaji katika soka uko tofauti karibu kila ukanda, na unaweza kutofautiana kwa bara moja zaidi ya sehemu nne au tano.
Mfano...
JOB NA AZIZ KI WALIMALIZA KAZI MAPEMA
JOB na Aziz KI walimaliza kazi Uwanja wa Mkapa namna hii