Mechi 5 zijazo Yanga SC NBC Premier League

MABINGWA watetezi wa NBC Premier League wapo nafasi ya kwanza wakiwa na pointi 38 baada ya mechi 16. Ratiba inaonyesha kuwa mchezo ujao kwa Yanga SC watakuwa nyumbani dhidi ya Wajelajela ambao wanapambania kubaki ndani ya ligi wakiwa nafasi ya 15. Hizi hapa mechi tano zijazo kwa Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Pedro Goncalves:…

Read More

Salah amekataa bonasi ya maana kabisa

 Mohamed Salah mwenye miaka 33 raia wa Misri inaelezwa kuwa amekataa bonasi ya kiasi cha Pauni Milioni 20 (zaidi ya Sh64 bilioni) ili kuondoka Liverpool.  Salah amefikia makubaliano ya kusitisha mkataba wake mwaka mmoja mapema, jambo litakaloifanya Liverpool kuokoa jumla ya Pauni Milioni 40.8 za mishahara na bonasi. Salah ilibidi asubiri mpaka 2027 kutokana na…

Read More

Paa Sasa, Ushindi Kila Sekunde Ni Uhakika Ukiwa Na Super Heli Premium

Meridianbet sasaimeamua kukupeleka kwenye ulimwengu mpya wa burudani na ushindi kupitia Super Heli Premium.Mchezo umeundwa kukupa kasi, ujasiri na msisimko. Kila raundi ni fursa ya kushinda zaidi, kila uamuzi ni hatua ya kuelekea kilele cha furaha. Hapa, kila sekunde inahesabiwa, kama jackpot yenye uwezekano halisi. Helikopta inapoanza kupaa, shauku ya wewe kujiongezea faida inapanda pia….

Read More

Feisal gari limewaka huko

KIUNGO wa Azam FC, Feisal Salum ni namba moja kwa mastaa waliohusika katika magoli mengi ndani ya NBC Premier League 2025/26. Ni mabao 11 amehusika katika kikosi cha Azam FC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Florent Ibenge ndani ya ligi namba 6 kwa ubora. Fei amefunga jumla ya magoli 6 na ametoa pasi 5. Azam FC…

Read More

Furaha Yazaliwa Na Meridianbet Kwa Wagonjwa Hospitali Ya Mwananyamala

Katika mwendelezo wa juhudi zake za kuleta mabadiliko chanya kwenye jamii, Meridianbet imefanya tukio la kugusa mioyo kwa kutoa msaada wa vifaa vya usafi kwa watu waliolazwa Hospitali ya Mwananyamala. Msaada huu umefika kwa wakati muafaka, ukiwapa faraja na tabasamu katika kipindi hiki. Akizungumza kwa niaba ya kampuni, Nancy Ingram alieleza kuwa Meridianbet inaamini katika…

Read More

Kocha Stars abainisha sababu yakupoteza

Miguel Gamondi, Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars amesema kuwa kushindwa kutumia nafasi mbili ambazo walipata kwenye mchezo ni sababu kushindwa kupata ushindi. Tanzania 0-1 Liechtenstein ni matokeo kwenye mchezo uliochezwa Machi 26,2026 kwenye FIFA Series, Uwanja wa Kigali, Rwanda. Gamondi amesema: “Kila mwenye macho ameona, tulipata nafasi mbili tukashindwa kuzitumia…

Read More