Spain vs Portugal: Je, Portugal Wanaweza Kuvunja Rekodi ya Spain?
Mechi ya leo ina mambo mengi zaidi ya mikakati ya uwanjani; ni jaribio kwa pande…
Mechi ya leo ina mambo mengi zaidi ya mikakati ya uwanjani; ni jaribio kwa pande zote mbili. Spain wana rekodi ya mechi 34 bila kufungwa, lakini wanakumbuka kipigo cha penalti kwenye fainali ya Nations League mwaka jana kutoka kwa Portugal. Spain wana kisasi cha kulipa, huku Portugal wakiwa na shinikizo la kumaliza safari ya Cristiano…
FIFA imeondoa adhabu ya kutocheza mechi moja kwa mshambuliaji wa Marekani, Folarin Balogun, baada ya Donald Trump kuripotiwa kuwasiliana na Rais wa FIFA, Gianni Infantino, akiomba kadi nyekundu aliyopewa mchezaji huyo ipitiwe upya. Balogun alikuwa amepewa kadi baada ya kumkanyaga kifundo cha mguu mchezaji wa Bosnia na Herzegovina, Tarik Muharemović, katika ushindi wa mabao 2-0…
Katika maisha ya kila siku ya watu wengi, burudani imekuwa sehemu muhimu ya kupumzika, kujifurahisha na kutengeneza pesa. Hapa ndipo Wild 4th Fruits kutoka Meridianbet inapochukua nafasi yake. Ikiwa imebeba muonekano wa kisasa, rangi zenye mvuto, na mfumo wa uchezaji unaovutia, mchezo huu umejipambanua kama moja ya sloti zinazostahili kupewa nafasi na kila mpenda burudani…
Mchezo wa mtoano wa ligi kuu NBC mkondo wa kwanza wa Mbeya City dhidi ya Tanzania Prison umemalizika ubao wa Uwanja wa Sokoine umesoma Mbeya City 2-0 Tanzania Prisons. Wababe hawa wawili kutoka Mbeya wanapambania nafasi ya kubaki ndani ya ligi baada ya kumaliza ligi wakiwa katika nafasi zinazostahili wao kucheza mchezo wa mtoano. Mbeya…
Paredi la ubingwa Yanga SC Julai 4,2026 limeacha historia kutokana na burudani kutolewa kutoka kwa wasanii mbalimbali huku Dj Zee akitoa burudani. Ni Mohamed Hussen Zimbwe Jr beki bora wa muda wote ndani ya NBC Premier League alikuwa na jukumu la kuwapandisha wachezaji wa timu hiyo ambao walikuwepo Bongo. Miongoni mwa wachezaji hao ni Allan…
MARA baada ya kutwaa taji la CRDB Federation Cup Julai 4,2026 kwa ushindi wa bao 1-0 Azam FC, mabingwa Simba SC wametambia taji hilo kwa watani zao wa jadi. Leo Simba SC wamefanya paredi la ubingwa huku wakipita mitaa mbalimbali walipoanza mapema saa 4:00 asubuhi wamepita mpaka makao makuu ya Yanga SC, Jangwani. Baada ya…
Leo usiku wa Julai 5, 2026, saa 23:00 kwa saa za Afrika Mashariki, Uwanja wa MetLife huko New Jersey utakuwa jukwaa la pambano kubwa la Raundi ya 16 kati ya Brazil na Norway. Mechi hii inavutia sana kwa sababu Brazil, timu yenye historia tajiri ya kombe la duniani, inakabiliana na Norway ambayo haijawahi kushindwa nao…
Houston, Marekani – Timu ya Taifa ya Morocco imeendelea kuandika historia kwenye Kombe la Dunia 2026 baada ya kuichapa Canada mabao 3-0 na kufuzu hatua ya robo fainali, huku kiungo Azzedine Ounahi akifunga mabao mawili muhimu. Baada ya kipindi cha kwanza kumalizika bila mabao, Morocco iliongeza kasi kipindi cha pili. Ounahi aliifungia timu yake bao…
Philadelphia, Marekani – Nahodha wa Ufaransa Kylian Mbappé aliiongoza timu yake kutinga robo fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kufunga bao pekee katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Paraguay kwenye mchezo wa hatua ya 16 bora uliochezwa Jumamosi. Mbappé alifunga kwa mkwaju wa penalti dakika ya 70 baada ya kiungo chipukizi Désiré Doué…
Katika kipindi ambacho burudani ya kidijitali imekuwa sehemu ya maisha ya kila siku ya vijana wengi, Meridianbet imekuja na tukio ambalo linaweza kubadilisha kabisa namna watu wanavyoona mashindano ya kasino mtandaoni. Kupitia Evoplay Summer Season of Legends, wachezaji wanapewa nafasi ya kushindania zawadi kubwa inayofikia zaidi ya shilingi bilioni moja za Kitanzania. Hii ni fursa…
Tatizo la ajira lilikuwa limeota sugu katika kichwa cha Steven ambaye awali kabla ya kufika Dar aliamini kila mtu mjini ana kazi nzuri na ana hela zakutosha. Alizunguka kila ofisi na bahasha yake ya khaki iliyokuwa na CV milango ilikuwa migumu mithili ya chuma cha pua. Aliitambua kuna siri nzito nzito kuhusu wadukuaji wa akaunti,…
SIMBA SC imepata ushindi kwenye mchezo wa CRDB Federation Cup hatua ya fainali ikipata ushindi mbele ya mpinzani wake mkubwa Azam FC. Bao la ushindi limefungwa na Yahya Zayd kiungo wa Azam FC ambaye alijifunga dakika ya 62 wakati akipambana kuokoa faulo iliyopigwa na kiungo Ellie Mpanzu. Hili linakuwa taji la nne kwa Simba SC…
LEO Juni 4,2026 Simba SC vs Azam FC watamenyana mchezo wa fainali CRDB Cup, Uwanja wa Gombani huku Air Manula akianza langoni. Wengine ni Lusajo, Msindo, Lawi, Fuentes, Himid Mao, Sopu, Bin Zayd, Kitambala, Fei Toto, Idd Nado hawa watakuwa kikosi cha kwanza. Wachezaji wa akiba ni Foba, Twalib, Zouzou, Kibeku, Kanoute, Akamiko, Abah, Alobogast,…
Kikosi cha Simba SC dhidi ya Azam FC katika mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB tayari kimetangazwa. Ni Mzizima Dabi ambao utakwenda kumpata bingwa mpya mara baada ya mabingwa watetezi Yanga SC kuishia hatua ya nusu fainali. Azam FC waliwaondoa Yanga SC kwa ushindi wa mabao 3-2 katika mchezo uliokuwa na ushindani…
Ikiwa leo ni Jumamosi ya kwanza ya Mwezi July, Dunia inaenda kushuhudia mechi ya hadhi ya Nyota 5 kati ya Canada vs Morocco huku wote wakiwania nafasi ya kwenda Robo Fainali. Je nani kuendelea na safari kwenye michuano hii? Leo hii kutakuwa na mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 bora kati ya Canada dhidi…
Timu ya taifa ya Colombia imefuzu hatua ya 16 bora ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Ghana katika mchezo wa hatua ya 32 bora uliopigwa mjini Kansas City. Bao pekee la mchezo lilifungwa na Jhon Arias, aliyetikisa nyavu katika kipindi cha kwanza baada ya kupokea…
Timu ya taifa ya Misri imefuzu hatua ya 16 bora ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-2 kwa mikwaju ya penalti dhidi ya Australia kufuatia sare ya 1-1 iliyodumu hadi mwisho wa muda wa nyongeza. Mchezo huo uliochezwa jijini Dallas ulikuwa wa ushindani mkubwa, huku Misri ikionyesha ubora katika…