Yanga SC hesabu kubwa kwenye CRDB Federation Cup
UONGOZI wa Yanga SC umebainisha kuwa dhamira kubwa iliyopo kwa sasa ni kupambana kulitetea taji…
UONGOZI wa Yanga SC umebainisha kuwa dhamira kubwa iliyopo kwa sasa ni kupambana kulitetea taji la CRDB Federation Cup wakiwa wapo hatua ya nusu fainali. Juni 21, 2026 Yanga SC itashuka Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza kusaka tiketi kutinga hatua ya fainali dhidi ya Azam FC, mshindi kwenye mchezo huu atakutana na Simba SC, hatua…
Azam FC vs Yanga SC CRDB Federation Cup ni mchezo unaofuata kwenye hatua ya nusu fainali Juni 21, 2026 Uwanja wa CCM Kirumba. Mabingwa watetezi wa taji hili ni Yanga SC ambao wanapambana kutetea taji hilo huku Azam FC wakiwa na hesabu yakutinga fainali. Mshindi wa mchezo wa nusu fainali ya pili atakutana na Simba…
Simba leo Juni 20, 2026 wamefanikiwa kutinga fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB (FA Cup) baada ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao 4-0 dhidi ya Coastal Union katika mchezo wa nusu fainali uliopigwa kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha. Simba walionyesha ubabe wao kuanzia mwanzo hadi mwisho wa mchezo, wakitawala mchezo na…
Mechi ya Leo Juni 20 saa 23:00 usiku katika Uwanja wa BMO Field, Toronto, ni fursa kwa Ivory Coast kuthibitisha kuwa wao si tu wapinzani wa kawaida bali wagombea halisi wa kuibuka na kundi. Wakiwa na pointi 3 baada ya kumshinda Ecuador kwa bao la dakika ya 90, Ivory Coast wanajua kuwa ushindi dhidi ya…
ATLANTA, Marekani: Nyota wa Hispania, Lamine Yamal, amesema bado hajawa 100% fiti na huenda asianze kikosi cha kwanza katika mechi yao ya pili ya Kombe la Dunia dhidi ya Saudi Arabia. Yamal alifunguka kupitia kituo cha televisheni cha RTVE akieleza kuwa bado yupo katika mchakato wa kupona na kuzoea hali ya mashindano baada ya kuingia…
Brazil imefufua matumaini yake ya kufanya vizuri katika Kombe la Dunia 2026 baada ya kuichapa Haiti mabao 3-0 katika mchezo wa Kundi C uliochezwa Philadelphia. Nyota wa mchezo alikuwa Matheus Cunha, aliyefunga mabao mawili muhimu yaliyoiwezesha Brazil kupata ushindi wake wa kwanza kwenye mashindano hayo baada ya kutoka sare ya 1-1 dhidi ya Morocco katika…
Morocco ipo nafasi ya pili Kundi C la Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi mwembamba wa mabao 1-0 dhidi ya Scotland katika mchezo uliopigwa Foxborough, huku nyota wake Ismael Saibari akiandika historia kwa kufunga bao la mapema zaidi kwenye mashindano hayo. Saibari aliifungia Morocco bao pekee la mchezo sekunde 71 tu baada…
Meridianbet imewaletea vijana mchezo unaochanganya msisimko, kasi na fursa za ushindi. Aviator si mchezo wa kawaida, ni burudani inayokupa nafasi ya kufanya maamuzi yenye matokeo makubwa ndani ya sekunde chache. Kinachoufanya Aviator kuwa tofauti ni namna kila raundi inavyokuwa na nafasi mpya. Unaweza kuanza na mpango mdogo na kujikuta ukishusha ushindi mzuri kwa kutumia mbinu…
Mchezo wa mashindano ya Dunia 2026 kati ya United States of America na Australia unatarajiwa kupigwa leo Juni 19 saa 3:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki (EDT 15:00) katika Uwanja wa Seattle Stadium. Huu ni mchezo wa Kundi D ambao unaleta umuhimu mkubwa kwa timu zote mbili, kwani zote zimeanza vizuri hatua ya…
Meridianbet imeendelea kuonyesha moyo wa huruma kwa jamii kupitia mchango wake mpya uliotolewa Hospitali ya Kinondoni chini ya programu zake za CSR. Msaada huu ulitokana na ushirikiano wa karibu kati ya Meridianbet na uongozi wa hospitali, uliolenga kuboresha huduma za afya kwa wananchi wa Kinondoni na maeneo jirani. Vilevile, meridianbet wana michezo mingi ya kasino…
Rais wa Kenya, William Ruto, amesema ameialika klabu ya Arsenal kutembelea Kenya baada ya kushuhudia namna mashabiki wa timu hiyo walivyosherehekea ubingwa wa Ligi Kuu ya England kwa shamrashamra kubwa nchini humo. Akizungumza wakati wa Mkutano wa G7 uliofanyika nchini Ufaransa, Ruto alisema alishangazwa na ukubwa wa sherehe zilizofanyika jijini Nairobi na maeneo mengine nchini…
Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imewaondoa kwenye orodha ya waamuzi kwa mizunguko mitano mwamuzi wa kati Hance Mabena kutoka Tanga pamoja na mwamuzi msaidizi namba moja Frank Komba kutokana na mapungufu ya kiuchezeshaji yaliyojitokeza katika mchezo kati ya Simba SC na Pamba Jiji FC. Adhabu hiyo…
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga leo Juni 18, 2026 wamerejea kileleni mwa msimamo wa ligi baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Fountain Gate FC katika mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Stadium jijini Arusha. Mabao ya Yanga yalifungwa ndani ya dakika mbili pekee kipindi cha pili,…
Mama wa kipa mkongwe wa timu ya taifa ya Cape Verde, Vozinha, amewasili katika mji mkuu wa Cape Verde, Praia, kwa ajili ya maandalizi ya safari yake kuelekea Marekani kumshuhudia mwanawe akicheza katika mashindano ya Kombe la Dunia 2026. Bi. Ana Cândida Évora aliondoka katika mji wa São Vicente Jumatano usiku akiwa ameambatana na mbunge…
Mchezo wa michuano mikubwa 2026 kati ya Czechia na South Africa unaotarajiwa kupigwa leo saa 19:00 usiku katika Kundi A unaleta mvuto mkubwa kutokana na mtindo tofauti wa uchezaji wa timu hizi mbili. Czechia inaingia ikiwa na lengo la kurekebisha makosa baada ya kupoteza 2-1 dhidi ya South Korea, huku South Africa ikitafuta pointi zake…
Nahodha wa Argentina, Lionel Messi, amefichua sababu iliyomfanya ashindwe kuzuia hisia zake na kulia baada ya kufunga bao lake la kwanza katika ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Algeria kwenye mchezo wa ufunguzi wa Kombe la Dunia 2026. Messi, mwenye umri wa miaka 38, alionekana akifuta machozi kwa jezi yake mara baada ya kuifungia Argentina…
Meridianbet imezindua SmartSoft Spin & Win Instant Prizes Tournament kwa lengo la kuwapa wachezaji nafasi zaidi za kushinda kila siku wanapocheza michezo wanayoipenda. Katika kipindi cha mwezi mzima, yaani hadi 28 Juni 2026, kila unaposhiriki kwa kuweka dau la TZS 300 au zaidi kwenye michezo shiriki, dau hilo linaweza kukuletea nafasi ya kupata mzunguko wa…