Nahodha Yanga SC: Kila mtu ashinde mechi zake

BAKARI Nondo nahodha wa Yanga SC amesema kwa sasa kila mtu ashinde mechi zake ndani ya NBC Premier League kutokana na ushindani uliopo. Ni Yanga SC hawa ni vinara wakiwa na pointi 60 baada ya mechi 25, kwenye msimamo wanafuatiwa na Simba SC yenye pointi 58 tofauti ya pointi 2. Timu zote zimecheza mechi 25…

Read More

Singida Black Stars warejea mzigoni

SINGIDA Black Stars wamerejea mzigoni ikiwa ni maandalizi kuelekea mechi 5 ambazo zimesalia ndani ya NBC Premier League 2025/26. Timu hiyo inapambana kumaliza katika nafasi nne za juu huku ikifuatiliwa kwa ushindani mkubwa na JKT Tanzania ambayo ipo nafasi ya 5. Ukitazama msimamo unaonyesha Singida Black Stars nafasi ya 4 na pointi 41 inafuatiwa na…

Read More

Azam FC Yamwongeza Mkataba Kocha Florent Ibenge

Kocha Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge, ameripotiwa kusaini mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kuinoa klabu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara. Kwa mujibu wa taarifa hizo, Azam FC imefanikiwa kumbakisha kocha huyo licha ya kuwepo kwa tetesi kwamba alikuwa tayari amefikia makubaliano ya awali na Chama cha Soka cha Mali kwa ajili ya…

Read More

Orodha ya wafungaji magoli Yanga SC 2025/26

YANGA SC inaongoza ligi na pointi 60 baada ya mechi 25, safu ya ushambuliaji imefunga magoli 58 na kinara ni Allan Okello mwenye magoli 11. Hii hapa orodha ya wafungaji magoli 2025/26 NBC Premier Mchezaji Magoli Asisti Allan Okello 11 7 Prince Dube 9 3 Mudathir Yahya 8 2 Pacom Zouzoua 7 4 Laurindo Depu…

Read More