Yanga SC hesabu kubwa kwenye CRDB Federation Cup

UONGOZI wa Yanga SC umebainisha kuwa dhamira kubwa iliyopo kwa sasa ni kupambana kulitetea taji la CRDB Federation Cup wakiwa wapo hatua ya nusu fainali. Juni 21, 2026 Yanga SC itashuka Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza kusaka tiketi kutinga hatua ya fainali dhidi ya Azam FC, mshindi kwenye mchezo huu atakutana na Simba SC, hatua…

Read More

Azam FC vs Yanga SC CRDB Federation Cup

Azam FC vs Yanga SC CRDB Federation Cup ni mchezo unaofuata kwenye hatua ya nusu fainali Juni 21, 2026 Uwanja wa CCM Kirumba. Mabingwa watetezi wa taji hili ni Yanga SC ambao wanapambana kutetea taji hilo huku Azam FC wakiwa na hesabu yakutinga fainali. Mshindi wa mchezo wa nusu fainali ya pili atakutana na Simba…

Read More

Meridianbet Yazidi Kuvutia Wachezaji Kupitia Mchezo wa Aviator

Meridianbet imewaletea vijana mchezo unaochanganya msisimko, kasi na fursa za ushindi. Aviator si mchezo wa kawaida, ni burudani inayokupa nafasi ya kufanya maamuzi yenye matokeo makubwa ndani ya sekunde chache. Kinachoufanya Aviator kuwa tofauti ni namna kila raundi inavyokuwa na nafasi mpya. Unaweza kuanza na mpango mdogo na kujikuta ukishusha ushindi mzuri kwa kutumia mbinu…

Read More

Ruto Aialika Arsenal Kutembelea Kenya Baada ya Sherehe Kubwa za Ubingwa

Rais wa Kenya, William Ruto, amesema ameialika klabu ya Arsenal kutembelea Kenya baada ya kushuhudia namna mashabiki wa timu hiyo walivyosherehekea ubingwa wa Ligi Kuu ya England kwa shamrashamra kubwa nchini humo. Akizungumza wakati wa Mkutano wa G7 uliofanyika nchini Ufaransa, Ruto alisema alishangazwa na ukubwa wa sherehe zilizofanyika jijini Nairobi na maeneo mengine nchini…

Read More