Gates Of Halloween Inakung’ojea Ndani Ya Giza Meridianbet
Kuna michezo inayokupa burudani, lakini kuna mingine inayokufanya usubiri kila mzunguko kwa hamu ukitaka kujua…
Kuna michezo inayokupa burudani, lakini kuna mingine inayokufanya usubiri kila mzunguko kwa hamu ukitaka kujua kitakachotokea. Gates of Halloween ni miongoni mwa michezo hiyo, na sasa imewasili Meridianbet wakati ambapo maandalizi ya Halloween 2026 yanaanza kushika kasi. Ukiwa umesalia takribani mwezi mmoja kabla ya sherehe hizo, Meridianbet imefungua lango la ulimwengu wa kutisha ambapo kila…
Simba SC imefanikiwa kusonga mbele hadi hatua ya pili ya awali ya Ushindi huo umeifanya Simba kufuzu kwa jumla ya Katika mchezo huo, Simba ilianza kwa kasi na kufunga bao la kwanza dakika ya 7 kupitia Clatous Chama, kabla ya Cheikh Gueye kuongeza la pili dakika ya 26. Chama alifunga bao lake la pili katika…
Uongozi wa Klabu ya Singida Black Stars umetangaza mabadiliko ya uongozi baada ya Mtendaji Mkuu wa Klabu hiyo, Ndg. Kassano Jonathan, kuomba kujiuzulu nafasi yake. Kupitia taarifa iliyotolewa leo Septemba 13, 2026, uongozi wa klabu umesema umekubali ombi hilo na kumteua Ndg. Tabitha Kidawawa kuwa Mtendaji Mkuu mpya wa Singida Black Stars, akisaidiwa na Naibu…
Manchester United na Manchester City wanatarajiwa kukutana katika mchezo wa kusisimua wa Premier League leo Jumapili, Septemba 13, 2026, kwenye Uwanja wa Old Trafford. Mchezo huo ni derby ya 199 kati ya timu hizo mbili na utakuwa mtihani mkubwa kwa makocha Michael Carrick wa United na Enzo Maresca wa City. Manchester City wanaingia kwenye mchezo…
Pesa iko nje nje leo hii kwenye mechi za leo ndani ya Meridianbet kwani kila kitu unachotaka kipo hapa kuanzia Odds kubwa, machaguo zaidi ya 1000. Jisajili sasa na uanze safari yako ya ushindi. LALIGA kuna mechi za kukata na shoka lakini sisi tutajikita kwenye mtanange wa Real Sociedad dhidi ya Atletico Madrid ya Diego…
YANGA imefanikiwa kutinga hatua ya pili ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) baada ya kuiondoa Gaborone United ya Botswana kwa ushindi wa jumla wa mabao 3-2 katika michezo miwili. Yanga imemaliza kazi hiyo kwa ushindi wa mabao 2-1 katika mchezo wa marudiano uliochezwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, baada ya…
MCHEZO wa NBC Premier League kwa wababe wawili umekamilika baada ya dakika 90 huku pointi tatu zote zikibaki nyumbani. Ubao wa Uwanja wa Sheikh Amri umesoma Polisi Tanzania 2-0 Mbeya City. Mabao yote mawili yamefungwa na mshambuliaji wa mabao Anuary Jabir dakika ya 38 na 45+2 kwa mkwaju wa penati. Ushindi huu unaifanya Polisi Tanzania…
Klabu ya Sunderland itawakaribisha mabingwa watetezi wa ligi kuu ya England Arsenal katika mchezo wa Ligi Kuu England utakaopigwa leo Jumamosi, Septemba 12, 2026, katika dimba la Stadium of Light. Mchezo huo utaanza saa 22:00 usiku. Arsenal inaingia kwenye mchezo huu ikiwa na mwanzo mzuri wa msimu, ikiwa imeshinda michezo yote mitatu ya kwanza ya…
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini Nigeria (NFF) limemtangaza na kumtambulisha rasmi Nabil Nafhezi kuwa kocha mkuu mpya wa timu ya taifa ya wanaume ya nchi hiyo, maarufu kama Super Eagles. Utambulisho huo unahitimisha wiki kadhaa za sintofahamu kuhusu kocha ambaye angekabidhiwa jukumu la kuiongoza timu hiyo yenye maskani yake jijini Abuja. Nafhezi anarithi mikoba…
Mshambuliaji wa Tanzania, Clara Luvanga, amejiunga rasmi na klabu ya Washington Spirit ya Marekani akitokea Al-Nassr ya Saudi Arabia, katika hatua inayomfungulia ukurasa mpya wa safari yake ya soka. Luvanga, ambaye amekuwa miongoni mwa wachezaji muhimu katika soka la wanawake Tanzania, ameweka historia kwa kuwa Mtanzania wa kwanza kucheza katika Ligi ya Taifa ya Soka…
Mshambuliaji wa Simba SC, Ibrahim Doumbia, ni miongoni mwa wachezaji wanaoendelea na mazoezi maalumu kuelekea mchezo wa marudiano wa hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) dhidi ya Mighty Wanderers ya Malawi. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Septemba 13, 2026, katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam, huku Simba SC ikiwa…
Mshambuliaji na nahodha wa Athletic Club, Iñaki Williams, ametangaza kustaafu kucheza soka la kimataifa akiwa na umri wa miaka 32. Williams ametangaza uamuzi huo leo, Septemba 11, 2026, kupitia ujumbe aliouchapisha kwenye mitandao ya kijamii, akifunga rasmi ukurasa wa miaka minne akiwa na timu ya taifa ya Ghana, Black Stars. Mchezaji huyo aliamua kubadili uaminifu…
DAR ES SALAAM: Klabu ya Azam FC imetangaza kwa masikitiko makubwa kifo cha kipa wa timu yake ya vijana chini ya miaka 20 (U-20), Iddy Salim, aliyefariki dunia kwa ghafla baada ya kupata ajali ya pikipiki (bodaboda) Alhamisi. Kwa mujibu wa taarifa ya klabu hiyo, mwili wa marehemu ulipelekwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa…
Mshambuliaji wa Tanzania, Clara Luvanga, ametembelea klabu yake ya zamani ya Young Africans (Yanga), ikiwa ni muda mfupi baada ya kukamilisha uhamisho wake wa kihistoria kwenda Washington Spirit ya Marekani. Luvanga, ambaye alikulia katika mfumo wa Yanga Princess, amerejea katika mazingira ya klabu hiyo wakati akianza ukurasa mpya wa safari yake ya soka katika ligi…
Meridianbet imeendelea kuboresha uzoefu wa burudani mtandaoni baada ya kuleta Play’n GO, mtoa huduma maarufu anayefahamika kwa kutengeneza michezo ya kasino yenye ubunifu wa hali ya juu. Hatua hii inakuja wakati ambapo burudani ya kidijitali ikiendelea kubadilika kwa kasi, huku wachezaji wakitafuta michezo inayowapa zaidi ya uchezaji wa kawaida. Kupitia ujio huu, Meridianbet imeongeza chaguo…
Ligi Kuu ya Ujerumani Bundesliga itaendelea Ijumaa, Septemba 11, Union Berlin itakuwa mwenyeji wa Schalke 04 katika mchezo wa Bundesliga utakaopigwa kwenye Uwanja wa Stadion An der Alten Försterei, Berlin. Mchezo huo utaanza saa 21:30 usiku, huku timu zote zikisaka ushindi wao wa kwanza msimu huu. Union Berlin inaingia kwenye mchezo huo ikiwa na pointi…
Kiungo mshambuliaji wa Simba SC, Libasse Gueye, ametangazwa kuwa Mchezaji Bora wa Mwezi Agosti wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2026/27, huku kocha wa Young Africans, Manqoba Mngqithi, akichaguliwa kuwa Kocha Bora wa Mwezi huo. Gueye alionesha kiwango kizuri katika mwezi huo, akishinda tuzo hiyo mbele ya Maxi Nzengeli wa Young Africans na Oscar…