Azam FC vs Simba SC fomu ya timu na H2H
Septemba 16, 2026 ni Mzizima Dabi, Azam FC vs Simba SC, Uwanja wa Azam Complex,…
Septemba 16, 2026 ni Mzizima Dabi, Azam FC vs Simba SC, Uwanja wa Azam Complex, saa 1:00 usiku. Hapa tumekuletea mechi 5 za hivi karibuni kwa timu hizi mbili na H2H Mechi 5 za Simba SC 13/09/2026, Simba SC 6-1 Mighty Wanderers 06/09/2026, Mighty Wanderers 0-1 Simba SC 31/08/2026, Simba SC 2-0 Geita Gold 27/08/2026,…
Kampuni ya michezo ya kubashiri ya Sokabet imetumia jumla ya Sh44, 658,787,637 kuwazawadia washindi mbalimbali kwa mwezi Agosti. Hayo yamesemwa na Meneja Msaidizi wa Huduma kwa Wateja wa Sokabet Tanzania, Lazaro Mduma, wakati wa wa zoezi la kumkabidhi fedha mmoja wa washindi, akiwemo R. Likwawa ambaye alishindi Sh Sh143.1 milioni kupitia mchezo wa Shining Crown Mduma alisema…
Dar es Salaam. Mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize, amepona jeraha la goti lililomuweka nje ya uwanja kwa takribani miezi sita na sasa yupo tayari kurejea kwenye ushindani. Mzize alikuwa akipitia kipindi cha matibabu na programu maalumu ya kurejesha uwezo wake baada ya kupata jeraha hilo, lakini kwa sasa hali yake imeimarika na ameanza kujiandaa kurejea kikosini….
Tukiwa bado tunaendelea na mitanange ya ligi mbalimbali, leo hii kuna mechi za kukata na shoka. Ingia Meridianbet na usuke jamvi lako la uhakika kwani Odds kubwa na machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa. Carabao Cup Raundi ya 3 kule Uingereza yataendelea ambapo mechi zipo kibao za kukufanya uwe mshindi, Ipswich atamenyana dhidi ya Arsenal…
Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika CAF Champions League imefikia hatua ya kusisimua baada ya kukamilika kwa raundi ya kwanza ya mchujo. Mataifa makubwa ya soka yameonyesha ubabe kwa kufanikiwa kuingiza klabu zake zote mbili katika raundi ya pili ya mtoano ili kuwania nafasi ya kuigia makundi Tanzania imewakilishwa vyema na klabu zake kongwe za…
Vita ya kusaka tiketi ya kushiriki michuano ya Mataifa ya Afrika kwa Vijana wenye umri chini ya miaka 20 AFCON U-20 inaanza rasmi leo, Jumanne, Septemba 15, 2026, huku jiji la Dar es Salaam likiwa mwenyeji wa mashindano hayo ya Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati CECAFA. Michuano hiyo inayotarajiwa kuwa na ushindani mkali inashirikisha…
Kocha Mkuu wa Yanga SC, Manqoba Mngqithi amesema wanatambua wana mchezo mgumu vs Geita Gold ambao watakutana nao leo Septemba 15, 2026 kwenye mchezo wa ligi. Wababe hawa wawili watakuwa na kasi kusaka pointi 3 muhimu Uwanja wa KMC Complex saa 1:00 usiku. Kocha Manqoba amebainisha kuwa anatambua mbinu wanazotumia wapinzani wao katika kusaka ushindi….
SIMBA inatarajiwa kuvaana dhidi ya 15 De Agosto ya Guinea ya Ikweta(Equatorial Guinea) katika hatua ya Kwanza ya Ligi ya Mabingwa kusaka hatua ya mtoano ili kusaka tiketi ya kuingia makundi Ligi ya Mabingwa Afrika. Mchezo hwa kwanza utachezwa kati ya Oktoba tarehe 17 -18, 2026 huku Simba ikitakiwa kuanzia ugenini Na mchezo wa pili…
Arusha. Binti mwenye umri wa miaka 24, Irene Mallya, mkazi wa Mtaa wa Lemara, Kata ya Lemara jijini Arusha, amefariki dunia baada ya kudaiwa kujeruhiwa wakati akijaribu kuamulia ugomvi kati ya rafiki zake. Kwa mujibu wa mama mzazi wa marehemu, Mariam Selemani, tukio hilo lilitokea Septemba 14, 2026, majira ya saa 12 asubuhi, baada ya…
Moto wa ushindani umewashwa na safari ya kuwania zawadi nono imeanza Meridianbet kupitia Expanse Cash Rush Challenge. Kuanzia Septemba 10 hadi 22, 2026, wachezaji wamealikwa kuingia kwenye mbio hizi maalum zinazokuja na mfuko wa zawadi wa TZS 6,000,000, huku nafasi 20 za ushindi zikisubiri wale watakaofanya vizuri zaidi kwenye mbio hizi. Uwanja wa mashindano una…
Mchezaji wa Yanga, Mohamed Hussein, amesema timu hiyo inaendelea vizuri na ipo tayari kwa mchezo wa kesho dhidi ya Geita Gold, licha ya kuwa na muda mfupi wa maandalizi. Mohamed amesema maandalizi yaliyofanyika katika siku mbili zilizopita yamewasaidia kujiandaa vyema kwa mchezo huo na kuongeza kuwa benchi la ufundi limefanya uchambuzi wa kina kuhusu wapinzani…
Kocha Mkuu wa Young Africans SC, Manqoba Mngqithi, amewatoa hofu mashabiki wa timu hiyo kufuatia kiwango kisichoridhisha katika baadhi ya michezo, akisema amepata “akili mpya” ya kukisuka na kukiunganisha vizuri kikosi chake ili kucheza soka la kuvutia na kupata matokeo makubwa zaidi. Mngqithi, raia wa Afrika Kusini, amekiri kuwa timu yake bado inakabiliwa na changamoto…
Je unajua kuwa leo huenda ikawa ni siku yako ya bahati?. Kama hujajua basi mimi ndio nakujuza, ingia kwenye akaunti yako na uweke dau lako dogo tuu kisha ubashiri mechi za leo. Hispania LALIGA kuna mechi moja kati ya Villarreal dhidi ya Real Betis ambapo Nyambizi wa Njano wao wakiwa na faida ya kucheza nyumbani…
MANCHESTER, England — Erling Haaland amekuwa shujaa wa Manchester City baada ya kufunga bao lenye utata na kuipa timu yake ushindi wa mabao 1-0 dhidi ya Manchester United katika mchezo wa 199 wa Manchester Derby uliochezwa Old Trafford. City, iliyokuwa ikicheza ikiwa na wachezaji 10 baada ya Phil Foden kutolewa kwa kadi nyekundu katika dakika…
Kuna wakati Jumatatu huwa siku ambayo wengi hutamani ipite haraka, lakini kwa wachezaji wa kasino mtandaoni hali inaweza kuwa tofauti. Meridianbet imeendeleza Monday Cashback & Bonus Back, promosheni inayoufanya mwanzo wa wiki uwe na jambo la kusubiri. Kupitia mpango huu, shughuli za kasino za wiki iliyopita zinaweza kuleta zawadi kwa wachezaji wanaostahili, na hivyo kufanya…
Kuna michezo inayokupa burudani, lakini kuna mingine inayokufanya usubiri kila mzunguko kwa hamu ukitaka kujua kitakachotokea. Gates of Halloween ni miongoni mwa michezo hiyo, na sasa imewasili Meridianbet wakati ambapo maandalizi ya Halloween 2026 yanaanza kushika kasi. Ukiwa umesalia takribani mwezi mmoja kabla ya sherehe hizo, Meridianbet imefungua lango la ulimwengu wa kutisha ambapo kila…
Simba SC imefanikiwa kusonga mbele hadi hatua ya pili ya awali ya Ushindi huo umeifanya Simba kufuzu kwa jumla ya Katika mchezo huo, Simba ilianza kwa kasi na kufunga bao la kwanza dakika ya 7 kupitia Clatous Chama, kabla ya Cheikh Gueye kuongeza la pili dakika ya 26. Chama alifunga bao lake la pili katika…