Meridianbet Yazindua Slotopia — Ulimwengu Mpya wa Burudani na Ushindi wa Kasino Mtandaoni!
Meridianbet wanazidi kuwapendelea wapenzi wa kasino mtandaoni. Sasa wamekuja na mtoa huduma mpya wa michezo…
Meridianbet wanazidi kuwapendelea wapenzi wa kasino mtandaoni. Sasa wamekuja na mtoa huduma mpya wa michezo ya kasino, Slotopia, anayebeba msisimko na burudani isiyo na kifani. Sasa kila mzunguko unaocheza kwenye Meridianbet inaweza kuwa fursa ya kushinda, kufurahia, na kuingia kwenye ulimwengu wa burudani ya kisasa ya kasino. Slotopia inakuletea mkusanyiko wa michezo ya kisasa yenye…
Wabunge wakimpongeza Dkt. Mwigulu Nchemba baada ya Spika wa Bunge, Mhe. Mussa Azzan Zungu kutangaza kuwa Mhe. Rais amemteua kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ujumbe maalum kuhusu uteuzi huo uliwasilishwa Bungeni na Mpambe wa Rais (ADC) Brigedia Jenerali Nyamburi Mashauri Bungeni leo Novemba 13, 2025. Uteuzi wa Mbunge huyo wa Iramba…
AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC amesema kuwa ikiwa kutakuwa na timu inaongoza ligi basi itakuwa imewazidi mchezo. Msimu wa 2025/26 vinara wa ligi ni Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Pedro Goncalves ni mechi nne wamecheza wakiwa na pointi 10 kibindoni. Simba SC kwenye msimamo nafasi ya pili baada…
Je unajua kuwa unaweza kumiliki Samsung A26 leo hii ukiwa na wakali wa ubashiri?. Si kwingine, bali ni kwenye promosheni yake ya kibabe kabisa ya Jisajili, weka pesa, cheza na ushinde sasa ambayo imekuja mwezi huu Novemba. Mwezi Novemba umeingia kwa kishindo ndani ya ulimwengu wa michezo ya kubashiri, na Meridianbet kwa mara nyingine tena…
TIMU nne kutoka Tanzania zimetinga hatua ya makundi katika mashindano ya CAF ambapo mbili zipo kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika na mbili zipo katika hatua ya Kombe la Shirikisho Afrika. Simba SC na Yanga SC zipo katika hatua ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Azam FC na Singida Black Stars zipo katika hatua ya Kombe…
Steven Mukwala msimu wa 2025/26 mambo bado magumu kwenye mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara kutokana na kukwama kufungua akaunti ya mabao. Ipo wazi kwamba Mukwala hajawa katika ubora ambao unahitajika kutokana na kukosa nafasi za kufunga anapopata nafasi kwenye mechi za ushindani. Rekodi zinaonyesha kuwa kwenye mchezo dhidi ya JKT Tanzania uliochezwa Novemba 8,2025…
Mshambulizi wa Ureno, Cristiano Ronaldo, amethibitisha kuwa Kombe la Dunia la 2026 litakuwa la mwisho kwake kushiriki katika mashindano ya dunia. Akizungumza kwenye Mkutano wa Utalii mjini Riyadh, Ronaldo mwenye umri wa miaka 40, alisema: “Hakika, ndiyo. Nitakuwa na umri wa miaka 41 na nadhani huu utakuwa wakati wa mashindano makubwa.” Ronaldo, ambaye kwa sasa…
Klabu ya Young Africans imepewa Onyo Kali kwa kosa la kushindwa kufuata ratiba ya matukio ya mchezo (match countdown) kuelekea mchezo dhidi ya Mtibwa Sugar Fc uliomalizika kwa Yanga Sc kuibuka na ushindi wa 2-0 kwenye uwanja wa KMC Complex Oktoba 28, 2025, hatua ambayo ni kinyume na matakwa ya Kanuni ya 17:15 ya Ligi…
Mwamuzi wa kati, Amina Kyando kutoka Morogoro na mwamuzi msaidizi namba mbili (2), Abdalah Bakenga kutoka Kigoma wameondolewa kwenye orodha ya waamuzi kwa mizunguko mitano kwa kosa la kushindwa kutafsiri vema sheria za mpira wa miguu na kushindwa kuchukua hatua kwa vitendo vya ukiukwaji wa sheria za mpira kwenye mchezo wa Ligi Kuu kati ya…
MATAJIRI wa Dar, Azam FC hawataki utani msimu wa 2025/26 ambapo inatajwa kuwa katika dirisha dogo maboresho makubwa yatafanyika kwenye timu hiyo. Mchezo uliopita Azam FC ilikuwa ugenini kwenye ligi na ubao ulisoma Namungo FC 1-1 Azam FC. Timu hiyo pia imetinga hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika hivyo ina kazi kubwa katika mechi…
Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet unaweza kubashiri mechi za ligi yoyote duniani kwa dau la shilingi 5,000 pekee, na kujipatia nafasi ya kuibuka mshindi wa simu mpya aina ya Samsung A26. Haijalishi unapendelea ligi gani iwe ni EPL, LaLiga, Bundesliga, Serie A au Ligi Kuu Tanzania Bara kila dau lako linaweza kuwa tiketi ya…
Unajua ile hisia ya kukosa namba zote kwenye tiketi ya Win&Go na ukaanza kuhisi bahati haipo upande wako? Sasa sahau kabisa mawazo hayo. Meridianbet imeamua kubadilisha mchezo kwa kukuletea Lucky Loser, ofa ya kipekee inayokupa sababu ya kutabasamu hata baada ya kupoteza. Ukikosa namba zote 6 kwenye tiketi yako, unalipwa mara 30 ya dau lako….
Taarifa zinaeleza kuwa Senzo Mazingiza, aliyewahi kuwa Mtendaji Mkuu (CEO) wa vilabu vikubwa vya Tanzania — Simba SC na Yanga SC, anatarajiwa kujiunga na TRA Sports Club kama CEO mpya wa klabu hiyo. Senzo anatajwa kupewa jukumu la kuboresha mfumo wa uendeshaji wa klabu hiyo, kuijenga katika misingi imara ya kisasa ya soka, na kuhakikisha…
UONGOZI wa Simba SC umeweka wazi kuwa unajivunia uwepo wa kiungo mshambuliaji Abraham Morice kutokana na kazi kubwa anayofanya kwenye mechi za ushindani. Nyota huyo amekuwa kwenye ubora katika mechi ambazo anapata nafasi ya kucheza akianzia benchi ama kikosi cha kwanza amekuwa akionyesha kitu. Katika mchezo wa Ligi Kuu Bara ya NBC dhidi ya JKT…
Meridianbet Sport Portal? Hili ni jukwaa kubwa kabisa ambalo kutokana na upana limekuja kwaajili ya kumrahisishia kazi mteja wa Meridianbet wakati wa kubashiri kwani hapa anapata taarifa zote za kimichezo na kasino kwa ujumla. Meridianbet Sport Portal ni kwaajili ya kumpa mteja wa Meridianbet uzoefu bora zaidi wa kubashiri, kutoa na kuweka pesa huku akiweza…
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC ni vinara wa ligi msimu wa 2025/26 ambao una ushindani mkubwa. Ushindi kwenye mchezo dhidi ya KMC FC uliochezwa Novemba 9,2025 unawapa tiketi ya kuwa namba moja kwenye msimamo baada ya kucheza mechi 4. Awali ni watani zao wa jadi walikuwa hapo baada ya Mbeya City…
WACHEZAJI wa Azam FC, matajiri wa Dar wapo kwenye hesabu nzito kuelekea mechi zijazo za ushindani msimu wa 2025/26. Timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Florent Ibenge katika mchezo uliopita ilitoshana nguvu na Namungo FC ilikuwa Novemba 9,2025. Baada ya dakika 90 ubaowa Uwanja wa Majaliwa ulisoma Namungo 1-1 Azam FC. Ni Azam FC walianza…