Jonathan Sowah hatihati kuondoka Simba SC
MSHAMBULIAJI namba moja wa Simba SC, Jonathan Sowah kuna hatihati kuondoka ndani ya kikosi hicho…
MSHAMBULIAJI namba moja wa Simba SC, Jonathan Sowah kuna hatihati kuondoka ndani ya kikosi hicho kutokana na tatizo la nidhamu. Sowah ndani ya NBC Premier League amefunga magoli matatu akiwa ni miongoni mwa wachezaji wenye magoli mengi ndani ya kikosi hicho. Kwa sasa Sowah hayupo kwenye mipango ya timu hiyo kutokana na kile kilichoelezwa alisimamishwa…
Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United, Wayne Rooney, amempongeza kiungo wa klabu hiyo, Bruno Fernandes, baada ya mchezaji huyo wa Ureno kutoa asisti mbili kwenye ushindi wa 3-1 dhidi ya Everton siku ya Jumapili. Nahodha huyo wa Man United amefikisha jumla ya asisti 16 kwenye Ligi ya Uingereza msimu huu, akivunja rekodi ya David Beckham…
Michuano ya CAF Champions League msimu wa 2025/26 imeendelea kwa hatua ya robo fainali huku vilabu vinane vikubwa barani Afrika vikishuka dimbani kuwania nafasi ya kutinga hatua ya nusu fainali. Mechi za kwanza zilichezwa kati ya tarehe 13 hadi 15 Machi 2026, zikitoa ushindani mkubwa na matokeo muhimu kwa timu husika. Matokeo ya Mechi za…
Kama unataka ODDS za kishua njoo Meridianbet?. Safari yako ya ushindi ipo hapa pekee hivyo changamkia nafasi hii leo. Machaguo zaidi ya 1000 yanapatikana kwa kila mechi. CHAMPIONSHIP Uingereza kuna mchezo mmoja ambao utaendelea kati za Portsmouth dhidi ya Derby Country ambao wapo nafasi ya 8 huku wenyeji wao wakiwa nafasi ya 19 kwenye msimamo…
Dabi ya Jiji la Dar es Salaam kati ya Azam FC na Young Africans SC (Yanga) imeisha kwa sare tasa 0-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara uliochezwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa. Wenyeji, Azam FC, walijitahidi kudhibiti mchezo lakini walishindwa kupata nafasi ya kufunga dhidi ya Yanga SC, ambao bado wanaendelea…
Wapenzi wa michezo ya kasino wamekua wakitafuta burudani inayoweza kuwapa matokeo haraka bila kusubiri kwa muda mrefu. Meridianbet imejibu hitaji hilo kwa kuleta TVBET, mfumo wa michezo mubashara unaowapa wachezaji nafasi ya kucheza raundi nyingi ndani ya muda mfupi na kufurahia matokeo yanayotokea papo hapo. Kupitia TVBET, wachezaji wanaweza kushiriki michezo maarufu na yenye msisimko…
Wiki hii imekuwa nzuri sana kwa wale wanaoutumia Meridianbet kufanya ubashiri kwani timu za ushindi zipo hapa leo. ODDS KUBWA na mcahguo zaidi ya 1000 yapo hapa, hivyo ingia na usuke jamvi lako. SERIE A kuna mechi za kubashiri Sassuolo ataumana dhidi ya Bologna huku tofauti yao ni pointi 1 pekee. Timu hizi zinafatana kwenye…
Mwalimu aliyewasaidia mastaa wakubwa wa muziki wa Bongo Fleva, akiwemo Diamond Platnumz, Harmonize na Rayvanny, kuzungumza Kiingereza kwa ufasaha, Allen Ngonyani, amefariki dunia mapema asubuhi ya leo katika Hospitali ya Geza, Kigamboni, jijini Dar es Salaam, alikokuwa anapatiwa matibabu. Akizungumza na Global TV Online, mmoja kati ya ndugu wa karibu wa marehemu amesema kuwa Ngonyani…
West Ham United wamewalazimisha Manchester City kwa sare ya 1–1 katika mchezo wa Premier League uliokuwa na ushindani mkubwa. City walitangulia kufunga kupitia Bernardo Silva dakika ya 31, lakini West Ham wakajibu haraka kupitia Konstantinos Mavropanos dakika ya 35, na kuifanya mechi hiyo kumalizika kwa sare. Matokeo hayo yanamaanisha Arsenal F.C. sasa wako pointi 9…
Kwenye mchezo wa kasino mtandaoni, ushindi haupo tu kwenye namba, uko kwenye uzoefu, msisimko, na zawadi halisi. Meridianbet imeleta mapinduzi mapya kwa wachezaji wa kasino mtandaoni kupitia mchezo wa Super Heli, ambao sasa unakuja na ofa ya kuvutia ya kujishindia simu mpya ya Samsung Galaxy A26 kwa kucheza Super Heli. Super Heli si mchezo wa…
MECHI ya TRA United vs Simba SC iliyotarajiwa kuchezwa leo Machi 14,2026 imeahirishwa kutokana na Uwanja wa Sheikh Amri Abeid kujaa maji. Kwa mujibu wa Kamishna wa mchezo kati ya TRA United vs Simba SC mechi namba namba 7, Mussa Nyamandege amebainisha kuwa pande zote mbili zimeridhia maamuzi hayo. “Kutokana na sheria namba 1 kutokubalika…
TRA United vs Simba SC kikosi kazi cha wenyeji, Mzamiru Yassin kiungo wa wakusanya mapato Out kutokana na makubaliano ya mkataba wa timu hizo mbili. Mzamiru yupo ndani ya TRA Unted kwa mkopo yeye ni mali ya Simba SC ambao ni wageni mchezo wa leo Machi 14 2026. Hiki hapa kikosi cha TRA United Jean…
TRA United vs Simba SC ni leo Machi 14,2026 Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, saa 10:00 jioni. Hiki hapa kikosi cha Simba SC ambacho kinatarajiwa kuanza huku Ellie Mpanzu akianzia benchi Mohamed Kassali Mabeki Mabeki ni Shomari Kapombe, Rushine De Reuck, Nickson Kibabage na Ismael Toure. Viungo Inno Loemba, Allasane Kante,Libasse Gueye, Anicent Oura, Yusuph…
Kocha mkuu wa Azam FC, F. Ibenge, ametoa malalamiko rasmi kwa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), akiwataka watende haki kwa timu zote na kuhakikisha usawa katika kupanga ratiba na viwanja vya mechi. Ibenge amesisitiza kwamba hakuona sababu ya mchezo wao dhidi ya Yanga SC uhamishiwe kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, ilhali ratiba ya…
Kiungo wa Real Madrid C.F., Aurelien Tchouaméni, amepata mshtuko mkubwa katika maisha yake ya kibinafsi baada ya kumkuta mke wake akizungumza na mwanamume mwingine, licha ya kumpa posho ya kila wiki ya £25,000 (takriban Tshs 86 milioni) na kumnunulia nyumba huko Fuenlabrada, Spain . Hali hii imechukua msongo wa mawazo mkubwa kwa kiungo huyo, kiasi…
Ligi Kuu ya Soka ya NBC Tanzania bara inaendelea leo, Machi 14, 2026, kwa mechi moja ya kusisimua ambapo Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, watakuwa ugenini kukabiliana na Wakusanya Kodi, TRA United. Mchezo huu utachezwa katika Sheikh Amri Abeid Memorial Stadium, Kaloleni, Jijini Arusha kuanzia saa 4:00 jioni. Simba SC wanakuja kwenye mchezo huu wakiwa…
Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet kwenye simu yako ni rahisi sana kutengeneza pesa?. Mechi kibao zipo kuhakikisha huondoki patupu hapa suka jamvi lako sasa na uanze kubashiri hapa. Ligi kuu ya Hispania, LALIGA nayo kama kawaida kitawaka Girona atakuwa mwenyeji wa Athletic Bilbao huku takwimu zikionesha kuwa tofauti ya pointi kati yao hadi sasa…