Clatous Chama amefunga magoli matatu Mei

Kiungo mshambuliaji wa Simba SC, Clatous Chama ametwaa tuzo ya Man of the Match mara baada ya mchezo. Mwamba wa Lusaka alifunga goli moja katika mchezo huo alikuwa kwenye ubora. Inakuwa ni tuzo yake ya tatu mfululizo kwenye mechi za Mei. Alianza kukusanya tuzo Simba SC 2-2 Yanga SC, hapa alifunga goli moja na pasi…

Read More

Simba SC 4-0 Tanzania Prisons

Simba SC 4-0 Tanzania Prisons ni matokeo ya mchezo wa NBC Premier League, Mei 10, 2026 uliokuwa na ushindani mkubwa. Magoli yakifungwa na Morice Abraham dakika ya 27, Clatous Chama dakika ya 41, Seleman Mwalimu dakika ya 43 na Ismail Traore dakika ya 61. Mwalimu alikosa penati dakika ya 11 baada ya Anthon Mligo kuchezwa…

Read More

Shinda Samsung A26 Leo Jumatano kwa Kubashiri Rahisi Kupitia *149*10#

Bila Intanenti ni rahisi kabisa kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kushindania Samsung A26 na Meridianbet leo. Jumatano ya Zawadi ipo kwaajili yako siku ya leo inaweza kukupa furaha sana. Jumatano hii haifanani na nyingine yoyote. Ni siku ambayo Meridianbet inawasha moto wa bahati kwa njia ambayo haijawahi kutokea. Kwa mara nyingine tena, wateja wote wanaopenda kubashiri…

Read More

Super Heli Premium: Mchezo Unaotikisa Dunia ya Kasino Mtandaoni

Kuna mchezo mpya unatikisa anga la burudani ya kasino, Super Heli Premium kutoka Meridianbet. Hii si burudani ya kawaida, ni mwendo wa kasi unaochanganya ujasiri, akili na bahati katika kila sekunde unayocheza. Ukiingia hapa, unaingia kwenye ulimwengu wa ushindani wa papo kwa papo. Kila raundi inaanza kwa utulivu, lakini ghafla helikopta inapopaa, mchezo unabadilika kabisa….

Read More

Simba SC vs Tanzania Prisons kupigwa KMC Complex

Simba SC vs Tanzania Prisons kupigwa KMC Complex saa 1:00 jioni ukiwa ni mchezo wa NBC Premier League. Tayari viingilio vimetajwa ambapo mzunguko ni 10,000 na VIP 20,000 kushuhudia burudani ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba 6 kwa ubora. Kwenye msimamo Simba SC ni nafasi ya pili ikiwa na pointi 46 inakutana…

Read More

Yanga SC vs Coastal Union utachezwa mchezo mzuri

Yanga SC vs Coastal Union utachezwa mchezo mzuri leo Mei 9,2026 baada ya benchi la ufundi la wenyeji kubainisha hivyo. Wananchi ni mabingwa watetezi wanatarajia kuvaana na Coastal Union kwenye mchezo wa NBC Premier League, leo saa 12:15, Uwanja wa KMC Complex. Mchezo ulipita kwa Yanga SC ilipata ushindi wa goli 1-0 dhidi ya KMC…

Read More