FT: Fountain Gate 0-3 Simba SC
Fountain Gate 0-3 Simba SC ni matokeo rasmi kwenye mchezo wa leo Aprili 15, 2026…
Fountain Gate 0-3 Simba SC ni matokeo rasmi kwenye mchezo wa leo Aprili 15, 2026 NBC Premier League Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha. Mchezo wa leo ulianza kwa kasi katika dakika 44 za mwanzo ambapo Fountain Gate walikuwa wakijilinda zaidi na Simba SC ikitafuta goli la kuongoza. Ni kiungo Clatous Chama alifunga goli la…
Nusu Fainali hiyo inanukia leo kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Timu mbili zenye majina makubwa Duniani zinatarajia kuvaana haswa kutafuta nafasi ya kwenda hatua nyingine. Je nani unampa nafasi ya ushindi leo? Kwenye mechi ya mkondo wa kwanza kule Santiago Bernabeu Bayern walishinda 2-1 wakiwa wamecheza mchezo mzuri kabisa ambapo kama wangekuwa wametumia…
Fountain Gate vs Simba SC kupigwa leo Aprili 15, 2025 Uwanja wa Sheikh Amri Abeid kwa wababe hawa kusaka pointi tatu muhimu. Aboubakar Ally kocha wa Fountain Gate amesema kuwa wametoka kucheza mchezo wa CRDB Federation Cup dhidi ya Azam FC hivyo wamejiandaa kuwakabili wapinzani wao. “Tumejiandaa kwa ajili ya mchezo wetu dhidi ya Simba…
Atlético Madrid iko kwenye kiwango cha juu cha mafanikio baada ya kutinga nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa (UEFA) na wakati huo huo ikiwa na nafasi ya kunyakuwa taji la Copa del Rey mwishoni mwa wiki hii. Timu hiyo ya kocha Diego Simeone imeonyesha ubora wake baada ya kuiondoa FC Barcelona katika hatua ya robo fainali…
MLINDA mlango namba moja wa Yanga SC, Djigui Diarra ni ruksa kuwakabili Mbeya City kwenye mchezo ujao wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Aprili 16, 2026 Uwanja wa KMC Complex. Kipa huyo alifungiwa mechi 3 na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara, (TPLB) kutokana na kosa la utovu wa nidhamu alilofanya mchezo wa ligi, Mtibwa Sugar 1-1…
Jonathan Sowah amerejeshwa katika kikosi cha Simba SC kwa masharti afanye mazoezi na timu ya vijana chini ya miaka 20, (Simba SC U 20) Sowah raia wa Ghana alisimamishwa Februari timu ilipokuwa inajiandaa kuikabili Dodoma Jiji FC. Alikosekana kwenye mechi za ushindani ikiwemo mchezo wa Kariakoo Dabi, Yanga SC 0-0 Simba SC. Ahmed Ally, Meneja…
KMC FC vs Tanzania Prisons ni balaa zito leo ndani ya NBC Premier League inayotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC Complex, saa 1:00 usiku. Utamu wa mechi ya leo unanogeshwa na vita yakupambana kushuka daraja kwa timu zote mbili ambapo wenyeji KMC FC wanaburuza mkiwa wakiwa na pointi 8 kwenye msimamo wa ligi. Tanzania Prisons ipo…
Fountain Gate vs Simba SC ni mchezo unaofuata kwenye ratiba kwa wababe hawa kusaka pointi 3 ndani ya dakika 90. Fountain Gate kwenye msimamo ipo nafasi ya 14 ikiwa na pointi 16 baada ya mechi 17 ipo kwenye mstari wa kucheza play off. Simba SC ipo nafasi ya pili kwenye msimamo ikiwa na pointi 36…
Timu za Atletico Madrid na Paris Saint-Germain zinaingia dimbani leo usiku zikiwa na faida muhimu ya matokeo, zikisaka kulinda ushindi wao na kutinga nusu fainali ya UEFA Champions League. Atletico Madrid watakuwa nyumbani katika dimba la Wanda Metropolitano wakiwa mbele kwa mabao 2-0 dhidi ya Barcelona, hali inayowapa uhuru wa kucheza kwa tahadhari huku wakilinda…
Rapa wa Marekani Cardi B amezua mjadala mkubwa mtandaoni baada ya kuzungumzia kifo cha influencer wa mitindo ya maisha, Ashlee Jenae, aliyefariki akiwa Zanzibar siku chache zilizopita. Kupitia chapisho lake kwenye mtandao wa X, Cardi B alipinga vikali taarifa zilizodai kuwa Ashlee alijiua, akisisitiza kwa maneno makali: “Msichana huyo hakujiua.” Kauli hiyo ilisambaa kwa kasi…
Baada ya miaka 23 kupita, Prince Harry anatarajiwa kurejea kwenye uwanja wa raga jijini Sydney tukio linaloamsha kumbukumbu za ushindi mkubwa wa England national rugby union team kwenye Rugby World Cup 2003. Miaka hiyo, Harry alikuwepo uwanjani wakati Jonny Wilkinson alipofunga drop goal ya mwisho iliyowapa ushindi England dhidi ya Australia national rugby union team…
Leo tarehe 13 Aprili saa 21:45, Uwanja wa Artemio Franchi mjini Firenze utakuwa mwenyeji wa pambano la Ligi Kuu ya Italia (Serie A) kati ya Fiorentina na Lazio. Mechi hii ni ya msingi kwa timu zote mbili kutokana na malengo tofauti. Lazio inayofundishwa na Maurizio Sarri inatafuta kuimarisha nafasi yake ya kuwania Michuano ya Ulaya,…
Klabu ya Mamelodi Sundowns imepiga hatua kubwa kuelekea fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 1-0 dhidi ya Espérance Sportive de Tunis katika mchezo wa nusu fainali uliopigwa nchini Tunisia. Katika dimba la Stade Olympique Hammadi Agrebi, Sundowns walionyesha ubora wao kwa kupata bao pekee la ushindi dakika ya…
Andaa silaha zako kwa umakini kwani wakati wa vita umewadia. Uwanja wa mapigano upo tayari kukupokea shujaa kuja kuutetea ulimwengu wa ubashiri dhidi ya mashambulizi ya mazombi kipindi hiki cha anguko. Zombie Apocalypse ndani ya Meridianbet ni Zaidi ya vita, ni nafasi ya kuutetea ulimwengu huu uliosalia na kujipatia malipo ya ushindi mnono. Meridianbet kwa…
Azam FC 4-0 Fountain Gate FC ni matokeo rasmi kwenye mchezo wa leo Aprili 12, 2026 Uwanja wa Azam Complex ikiwa ni hatua ya 16 bora. Matajiri wa Dar waligawa mchezo kwa kila dakika 45 wakipata magoli mawili ambapo walikwenda mapumziko ubao ukisoma Azam FC 2-0 Fountain Gate na kipindi cha pili wakaongeza magoli mawili….
Simba SC 3-1 Dodoma Jiji FC, CRDB Federation Cup ni matokeo rasmi kwenye mchezo wa leo hatua ya 16 bora mchezo uliochezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha. Simba SC wenyeji waliruhusu goli la mapema dakika ya 9 ambalo lilidumu mpaka muda wa mapumziko ubao ulipokuwa ukisoma Simba SC 0-1 Dodoma Jiji FC. Nyota wa…
Singida Black Stars 5-1 Mbeya City FC matokeo ya mchezo wa leo Aprili 12, 2026 kwenye hatua ya 16 bora CRDB Federation Cup. Ni mchezo ambao umechezwa Uwanja wa Airtel huku wenyeji Singida Black Stars wakikata tiketi yakutinga hatua ya robo fainali kwa ushindi mnono dhidi ya wageni ndani ya dakika 90. Magoli ya Singida…