Ruto Aialika Arsenal Kutembelea Kenya Baada ya Sherehe Kubwa za Ubingwa
Rais wa Kenya, William Ruto, amesema ameialika klabu ya Arsenal kutembelea Kenya baada ya kushuhudia…
Rais wa Kenya, William Ruto, amesema ameialika klabu ya Arsenal kutembelea Kenya baada ya kushuhudia namna mashabiki wa timu hiyo walivyosherehekea ubingwa wa Ligi Kuu ya England kwa shamrashamra kubwa nchini humo. Akizungumza wakati wa Mkutano wa G7 uliofanyika nchini Ufaransa, Ruto alisema alishangazwa na ukubwa wa sherehe zilizofanyika jijini Nairobi na maeneo mengine nchini…
Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imewaondoa kwenye orodha ya waamuzi kwa mizunguko mitano mwamuzi wa kati Hance Mabena kutoka Tanga pamoja na mwamuzi msaidizi namba moja Frank Komba kutokana na mapungufu ya kiuchezeshaji yaliyojitokeza katika mchezo kati ya Simba SC na Pamba Jiji FC. Adhabu hiyo…
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga leo Juni 18, 2026 wamerejea kileleni mwa msimamo wa ligi baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Fountain Gate FC katika mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Stadium jijini Arusha. Mabao ya Yanga yalifungwa ndani ya dakika mbili pekee kipindi cha pili,…
Mama wa kipa mkongwe wa timu ya taifa ya Cape Verde, Vozinha, amewasili katika mji mkuu wa Cape Verde, Praia, kwa ajili ya maandalizi ya safari yake kuelekea Marekani kumshuhudia mwanawe akicheza katika mashindano ya Kombe la Dunia 2026. Bi. Ana Cândida Évora aliondoka katika mji wa São Vicente Jumatano usiku akiwa ameambatana na mbunge…
Mchezo wa michuano mikubwa 2026 kati ya Czechia na South Africa unaotarajiwa kupigwa leo saa 19:00 usiku katika Kundi A unaleta mvuto mkubwa kutokana na mtindo tofauti wa uchezaji wa timu hizi mbili. Czechia inaingia ikiwa na lengo la kurekebisha makosa baada ya kupoteza 2-1 dhidi ya South Korea, huku South Africa ikitafuta pointi zake…
Nahodha wa Argentina, Lionel Messi, amefichua sababu iliyomfanya ashindwe kuzuia hisia zake na kulia baada ya kufunga bao lake la kwanza katika ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Algeria kwenye mchezo wa ufunguzi wa Kombe la Dunia 2026. Messi, mwenye umri wa miaka 38, alionekana akifuta machozi kwa jezi yake mara baada ya kuifungia Argentina…
Meridianbet imezindua SmartSoft Spin & Win Instant Prizes Tournament kwa lengo la kuwapa wachezaji nafasi zaidi za kushinda kila siku wanapocheza michezo wanayoipenda. Katika kipindi cha mwezi mzima, yaani hadi 28 Juni 2026, kila unaposhiriki kwa kuweka dau la TZS 300 au zaidi kwenye michezo shiriki, dau hilo linaweza kukuletea nafasi ya kupata mzunguko wa…
FIFA World Cup 2026, England 4-2 Croatia, Uwanja wa Dallas mchezo wa Kundi L kwenye msako wa pointi 3 muhimu. Magoli ya England yamefungwa na Harry Kanne dakika ya 12 kwa mkwaju wa penalti, dakika ya 42, Jude Bellingham dakika ya 47 na Marcus Rashford dakika ya 85. Croatia imefunga magoli kupitia Martin Baturina dakika…
Serena Williams ameandika sura mpya katika historia yake ya tenisi baada ya kushinda mechi yake ya kwanza ya kitaaluma tangu alipoacha mchezo huo karibu miaka minne iliyopita. Bingwa huyo wa mataji 23 ya Grand Slam alirejea uwanjani Juni 9 katika michuano ya Queen’s Club Championship jijini London, ambapo alicheza mchezo wa wawili wawili (doubles) akiwa…
Mbeya City 0-1 Simba SC, NBC Premier League, mchezo uliochezwa Uwanja wa Sokoine, Mbeya Juni 17, 2026 kwa wababe hawa kupambania pointi 3. Goli pekee ka ushindi limefungwa na winga Ellie Mpanzu dakika ya 43 kipindi cha kwanza limedumu mpaka mwisho wa mchezo. Huu unakuwa ni mchezo wa 3 mfululizo Mpanzu anafunga kwenye NBC Premier…
Waziri wa Michezo wa Saudi Arabia, Prince Abdulaziz bin Turki Al-Faisal, amesema ufalme huo utashirikiana kwa karibu na FIFA kuhakikisha tiketi za Kombe la Dunia 2034 zinapatikana kwa bei nafuu zaidi na mashabiki wanakuwa salama wakati wa mashindano hayo. Akizungumza na Reuters, Al-Faisal alisema Saudi Arabia inatambua changamoto zilizojitokeza katika Kombe la Dunia la 2026,…
Klabu ya Real Madrid imethibitisha kumsajili kiungo wa kimataifa wa Ureno, Bernardo Silva, kwa mkataba wa miaka miwili baada ya nyota huyo kuondoka Manchester City mwishoni mwa msimu uliopita. Silva mwenye umri wa miaka 31 alimaliza safari yake ya mafanikio ya miaka tisa ndani ya Manchester City baada ya mkataba wake kumalizika, akiacha historia ya…
Nahodha wa Argentina, Lionel Messi, ameandika historia nyingine usiku wa kuamkia leo baada ya kufunga mabao matatu (hat-trick) na kuiongoza Argentina kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Algeria katika mchezo wa ufunguzi wa Kombe la Dunia. Mashabiki wengi walikuwa wakisubiri kuona mchango wa Messi mwenye umri wa miaka 39 katika mashindano hayo ambayo…
Je, uko tayari kwa safari ya ushindi? Meridianbet imezindua Road to Glory kutoka Pragmatic Play, kampeni inayokupa nafasi ya kupata zawadi kila unapocheza kwenye michezo husika. Kila dau la fedha halisi linalokidhi masharti linaweza kuchaguliwa na kukuletea zawadi za papo hapo. Hii ni nafasi ya kuongeza msisimko na kufanya kila mchezo uwe na maana zaidi….
Nahodha wa Ufaransa, Kylian Mbappe, amefunga mabao mawili na kuiongoza timu yake kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Senegal katika mchezo wa Kundi I wa Kombe la Dunia uliochezwa mjini East Rutherford, Marekani. Nyota huyo wa Real Madrid aliendelea kuandika historia baada ya kufikisha mabao 14 katika Kombe la Dunia, akibakiwa na mabao…
MCHEZO wa NBC Premier League uliochezwa leo Juni 16, 2026 Uwanja wa Majaliwa hakuna timu ambayo imepata bahati yakufunga goli ndani ya dakika 90. Ubao wa Uwanja wa Majaliwa umesoma Namungo FC 0-0 TRA United, moja ya mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa uwanjani. Wababe hawa wawili wamegawana pointi mojamoja katika ligi namba 6 kwa ubora…
Azam FC wameibuka na ushindi kwenye mchezo wa mzunguko wa pili dhidi ya Mashujaa FC kwenye mchezo wa NBC Premier League uliochezwa leo Juni 16, 2026 Uwanja wa Azam Complex. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Azam FC 2-0 Mashujaa FC, magoli yakifungwa na Sadio Kanoute dakika ya 39 na James Akaminko dakika ya 41….