Simba Yaanza Mabadiliko Makubwa, Yaaga Wachezaji Saba
Klabu ya Simba SC imetangaza rasmi kuachana na wachezaji saba ikiwa ni sehemu ya mchakato…
Klabu ya Simba SC imetangaza rasmi kuachana na wachezaji saba ikiwa ni sehemu ya mchakato wa kuboresha kikosi kuelekea msimu mpya wa mashindano. Kupitia kurasa zake rasmi za mitandao ya kijamii, Simba imewapongeza na kuwashukuru wachezaji hao kwa mchango wao walioutoa ndani ya klabu, huku ikiwatakia mafanikio mema katika hatua zinazofuata za maisha yao ya…
Huku wengine wakiwa wanapambani tuzo za mchezaji bora, wengine kiatu cha mfungaji bora, lakini pia kuna wengine wakiwa kwenye kuwania tuzo ya Golikipa Bora. Je nani kuondoka na heshima hiyo?. Meridianbet tayari imekupatia Odds zao ingia na ubeti sasa. Jordan Pickford ni miongoni mwa makipa bora duniani kule Uingereza katika kuanzisha mashambulizi kwa pasi ndefu…
Lionel Messi ametwaa tuzo ya Mwanasoka Bora wa Mwaka (Best Soccer Player) kwenye Tuzo za ESPY 2026, baada ya kuwashinda nyota wengine watatu waliokuwa kwenye orodha ya wanaowania tuzo hiyo; Ousmane Dembélé wa PSG na Ufaransa, Alexia Putellas wa Barcelona na Hispania, pamoja na Temwa Chawinga wa KC Current na Malawi. Tuzo hiyo ilitangazwa usiku…
MABINGWA watetezi wa NBC Premier League kwa msimu mpya wa 2026/27 wamebainisha watakapoweka kambi kwa maandalizi ya msimu ujao. Ikumbukwe kwamba Yanga SC wametwaa ubingwa wakiwapoteza kwa pointi 2 wapinzani wao wa karibu Simba SC, ni pointi 75 walikusanya baada ya mechi 30 huku Simba SC wakiwa na pointi 73. Kuelekea kwenye maandalizi ya msimu…
BAADA ya kusubiri kwa muda ile simulizi nzuri ya maisha na masuala ya teknolojia kutoka kwa Best Seller Author, Lunyamadzo Mlyuka hatimaye kazi imefika mezani. Ni yuleyule mtunzi wa Msichana wa Maisha Yangu na Moyo Wangu Unavuja Damu safari hii amekuja na kazi mpya inayoitwa Msichana wa Maisha Yangu. Kwa ufupi kuhusu simulizi: Tatizo la…
Julai 15, saa 22:00 usiku, Atlanta Stadium itakuwa kitovu cha dunia ya soka pale England na Argentina watakapokutana kwenye nusu fainali ya pili ya michuano ya Dunia 2026. Ni mara ya kwanza timu hizi mbili kukutana kwenye mtoano wa michuano ya Dunia tangu mwaka 2002, na ushindi wa jioni hiyo utafungua mlango wa fainali dhidi…
Hispania imefanikiwa kutinga fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuichapa Ufaransa mabao 2-0 katika mchezo wa nusu fainali uliopigwa Arlington, Texas. Nahodha wa ushambuliaji, Mikel Oyarzabal, aliifungia Hispania bao la kwanza kwa mkwaju wa penalti dakika ya 22 baada ya chipukizi Lamine Yamal kuchezewa faulo ndani ya eneo la hatari na beki Lucas…
Kuna mechi ambazo huwa tu mechi, na kuna mechi ambazo huandika historia kabla hata hazijaanza. Ile ya leo kati ya France na Spain, itakayoanza saa 22:00 usiku. Ni nusu fainali ya kwanza ya michuano ya Dunia 2026, na wengi tayari wanaiita “fainali kabla ya fainali.” Sababu ni rahisi hizi ndizo timu mbili zilizoingia kwenye mashindano…
Timu ya taifa ya Norway imepokelewa kwa shangwe kubwa na maelfu ya mashabiki jijini Oslo baada ya safari yao ya kihistoria kwenye Kombe la Dunia 2026 kumalizika kwa huzuni katika hatua ya robo fainali. Zaidi ya mashabiki 100,000 walijaa mitaa ya mji mkuu wa Norway Jumatatu, wakitoa heshima kwa wachezaji wao licha ya kuondolewa kwenye…
Wakati wengi wakiitambua Meridianbet kama moja ya majukwaa yanayoongoza kwa michezo ya kasino mtandaoni na ubashiri wa mechi zenye ushindani mkubwa, kuna simulizi nyingine inayozidi kuvutia mioyo ya Watanzania. Ni simulizi ya kampuni inayoamini kuwa mafanikio ya kweli hayapimwi kwa idadi ya michezo pekee, bali pia kwa mchango wake katika kuboresha maisha ya jamii. Meridianbet…
UONGOZI wa Simba SC umebainisha kuwa umeanza mpango wa kuhesabu siku kuelekea tamasha kubwa la Simba Day ikiwa ni maandalizi ya msimu mpya wa 2026/27. Mwenyekiti wa Bodi, Crescentius Magori amesema : “Hii maana yake tumeanza count down kuelekea kwenye Simba Day. Kama kuna mkoa Simba tukija huwa tunasikia raha ni Arusha kuna wakati mwingine…
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeitoza Azam FC faini ya Shilingi milioni 50 kwa kukataa kushiriki sherehe za kukabidhiwa tuzo na zawadi baada ya fainali ya Kombe la Shirikisho la Benki ya CRDB (CRDB Bank Federation Cup 2026). Adhabu hiyo ilitangazwa leo, Julai 13, 2026, kufuatia kikao cha Kamati ya Mashindano ya TFF kilichofanyika jijini…
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Argentina, Paulo Dybala, ameongeza mkataba wake na klabu ya AS Roma utakaomuweka katika kikosi hicho cha Serie A hadi Juni 2027. Roma ilithibitisha taarifa hiyo Jumatatu, ikimaliza uvumi uliokuwa ukihusishwa na mustakabali wa nyota huyo mwenye umri wa miaka 32. Dybala alijiunga na Roma mwaka 2022 baada ya kuitumikia…
Wachezaji wanne wapo tayari kuwania tuzo ya mchezaji bora wa michuano hii mikubwa Duniani huku wewe ukiwa na nafasi ya kupiga pesa kupitia wachezaji hao. Weka pesa yako na uberti hapa. Lionel Messi ni moja ya wachezaji ambao wanapewa nafasi ya kushinda tuzo hii kutokana na kiwango ambacho anazidi kukionesha kwenye Taji hili la Dunia…
Beki wa timu ya taifa ya Ufaransa, Ibrahima Konate, amesema hawana hofu ya kukutana na Hispania katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Dunia 2026, lakini wanaiheshimu kutokana na kiwango bora ilichokionyesha katika mashindano hayo. Ufaransa itakutana na Hispania kesho, Julai 14, 2026 saa nne usiku, katika mchezo unaotarajiwa kuwa wa ushindani mkubwa huku…
Meridianbet inawapa wachezaji fursa ya kipekee ya kufurahia mchezo wa kasino wa Wild White Whale kwa kipindi hiki cha mwezi huu kupitia promosheni ya mizunguko ya bure. Kila mtu sasa ana fursa ya kipekee kabisa ya kuweza kupata mizunguko 50 ya bure kwa kukamilisha mizunguko 100 kwa kutumia pesa halisi kwenye mchezo huu wa kusisimua….
Wachezaji wanaoshiriki Ligi ya Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) wanatarajiwa kunufaika na uwekezaji wa mwaka mmoja wenye thamani ya Sh588.9 milioni katika msimu wa 2026. Kwa mujibu wa mkataba uliosainiwa juzi kati ya kampuni ya michezo ya kubashiri ya betPawa kwa ajili ya kuongeza udhamini kwa msimu mmoja, wachezaji watalipwa fedha…