Barcelona Yalenga Kufufua Makali Yake Barani Ulaya
Klabu ya FC Barcelona imeendelea kufanya vyema kwenye michuano yote msimu huu huku wakiwa na…
Klabu ya FC Barcelona imeendelea kufanya vyema kwenye michuano yote msimu huu huku wakiwa na malengo ya kuchukua makombe yote msimu huu. Meridianbet wanakwambia kuwa bashiri mechi zote za Barca hapa. Barcelona imekuwa katika safari yenye ushindani mkubwa msimu huu, ikishiriki mashindano yote makubwa kwa malengo ya kurejesha hadhi yake ya juu barani Ulaya. Ingawa…
Vigogo wa soka Tanzania, Simba na Yanga usiku wa kuamkia leo Februari 23, 2026 wameendeleza ushindani mkali wa kuwania taji la Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuibuka na ushindi muhimu katika michezo yao ya jana. Katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma, Simba walionyesha ubora wao kwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya…
Arsenal wameonyesha ubabe kwa kuichapa Tottenham Hotspur mabao 4-1 katika dabi kali ya London, ushindi unaowasogeza kileleni mwa Premier League. Kwa ushindi huo, Arsenal wamefikisha pointi 61 baada ya mechi 28, wakisogea kwa tofauti ya alama tano dhidi ya Manchester City ambao wana mchezo mmoja mkononi. ⚽ Magoli yalifungwa na: Kolo Muani (34’) Eze (32’,…
Wapenzi wa kasino na michezo ya mtandaoni, ingawa msimu wa Halloween umepita lakini bado Meridianbet inaendelea kukupatia burudani isiyo na kifani kupitia Trick or Treat Bonanza, mchezo ambao unachanganya ladha ya Halloween na fursa za ushindi wa kweli. Karibu katika Haunted Candy Realm, ulimwengu wa ajabu uliojaa pipi za kuogofya, vishawishi vya kutisha, na zawadi…
MTIBWA Sugar 1-3 Singida Black Stars, (SBS) ni matokeo rasmi mchezo wa NBC Premier League uliochezwa mapema leo Februari 22,2026 Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. Wageni Singida Black Stars wamewatuliza wenyeji kwenye mchezo wa leo ambao ulichezwa saa 8:00 mchana katika msako wa pointi tatu muhimu. Magoli ya SBS yamefungwa na Ndumumwe Mossi dakika ya 5,…
Je unajua kuwa Meridianbet ndio wakali wa Odds Tanzania?. Yaani namaanisha kuwa ukitaka Odds kubwa na za kibabe wewe njoo hapa na ubashiri leo. Lakini pia unaweza ukaibuka bingwa kwani machaguo ni mengi hapa. LALIGA kama kawaida kuna mitanange ya kukata na shoka Getafe ataumana vikali dhidi ya Sevilla ambapo tofauti ya pointi kati yao…
Soko la burudani ya michezo ya mtandaoni limepata sura mpya kupitia Vaso Psycho, toleo jipya la mchezo wa kasino mtandaoni lililoboreshwa kutoka Expanse linalopatikana ndani ya Meridianbet. Huu ni zaidi ya michezo iliyozoeleka, yaani ni hatua mpya ya ubunifu inayowapa wachezaji uzoefu wa kisasa zaidi, wenye kasi na fursa kubwa za ushindi. Katika mchezo huu…
Chelsea F.C. 1️⃣ ➖ 1️⃣ Burnley F.C. Chelsea wameshindwa kuibuka na ushindi baada ya kulazimishwa sare ya 1-1 dhidi ya Burnley katika mchezo uliokuwa na drama hadi dakika za majeruhi. ⚽ Dakika ya 4, João Pedro aliitanguliza Chelsea kwa pasi ya Pedro Neto, akiwapa mashabiki matumaini ya ushindi wa mapema. 🟥 Dakika ya 72, mambo…
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ameweka jiwe la msingi la uzinduzi wa shule ya Sekondari ya Mbatakero iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro ambayo imejengwa kupitia mradi wa SEQUIP Ujenzi wa Shule hiyo ambao umegharimu shilingi milioni 584 itasaidia kuondoa adha wanayopata wanafunzi wa eneo hilo ya kutembea umbali mrefu wa kwenda shule…
Kiungo na nahodha wa Manchester United, Bruno Fernandes anaripotiwa kuwa kwenye rada ya vilabu vikubwa barani Ulaya pamoja na Mashariki ya Kati. klabu ya Paris Saint-Germain, FC Bayern Munich, pamoja na vilabu kadhaa vya Saudi Arabia vinaonesha nia kubwa ya kumsajili nyota huyo raia wa Ureno. Ripoti hiyo inaongeza kuwa Manchester United huenda ikafikiria kumuuza…
Leo ni siku ya mapambano makubwa kwenye ligi top barani Ulaya — LaLiga, Serie A, EPL na Bundesliga zote moto 🔥 🇪🇸 LaLiga 🔹 Real Sociedad 🆚 Real Oviedo – Tofauti pointi 15, wenyeji wanataka kuendelea kukaza juu ya msimamo. 🔹 Real Madrid 🆚 Osasuna – Madrid wanaongoza kwa tofauti ya pointi 30! Je, wataendeleza…
Je unajua kuwa siku ya leo unaweza ukaondoka na tabasamu ndani ya Meridianbet?. Mechi nyingi za ushindi zipo uwanjani leo hivyo suka jamvi lako na uanze safari ya ushindi hapa. Tukianza na Iigi kuu ya Hispania, yaani LALIGA nayo kuna mechi za pesa ambapo Real Sociedad atakuwa nyumbani kusaka ushindi dhidi ya Real Oviedo ambapo…
Burudani ya mtandaoni imepata sura mpya kupitia ushirikiano wa kimkakati kati ya Meridianbet na Expanse Studios, wakileta kampeni ya kipekee ndani ya mchezo wa kusisimua wa Zombie Apocalypse. Hii ni ofa iliyobuniwa mahsusi kwa wachezaji wanaotafuta msisimko wa kiwango cha juu pamoja na nafasi kubwa zaidi ya ushindi. Kupitia ofa hii maalum, mteja atakayekamilisha mizunguko…
Uongozi wa Simba SC umetangaza kwa masikitiko makubwa kifo cha baba mzazi wa mchezaji wake, Abdulrazak Hamza, Marehemu Mohamed Spea Hamza, kilichotokea leo asubuhi jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa ya klabu hiyo, marehemu alikuwa akisumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu kabla ya kufariki dunia asubuhi ya leo, na kuacha pengo kubwa kwa…
Meridianbet Sportal Portal?, hili ni jukwaa ambalo Meridianbet hulitumia kwaajili ya kuwahabarisha, kuwaburudisha wapenzi wa michezo na Kasino kutoka sehemu mbalimbali huku lengo likiwa ni kuwafanya wapenzi na mashabiki wa soka kujua mambo mbalimbali yanayoendelea ya kimichezo, kasino, usajili, matokeo, na kupata fursa za kubashiri mechi mbalimbali. Kupitia Kampuni hii kubwa ya ubashiri Tanzania, Meridianbet…
Afisa Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda, ameeleza sababu za kuhamishwa kwa mchezo wa Dabi ya Kariakoo uliopangwa kupigwa Machi 01, 2026. Kwa mujibu wa Boimanda, dabi hiyo kati ya Yanga SC (wenyeji) dhidi ya Simba SC sasa itapigwa katika Uwanja wa New Amaan Complex badala ya Benjamin Mkapa Stadium kama…
Katika hatua ya kuunga mkono juhudi za kulinda mazingira na afya za wananchi, Meridianbet imetoa mapipa ya taka katika maeneo ya umma kwa Kata mbalimbali za wilaya ya Kinondoni. Msaada huu unalenga kuimarisha usimamizi wa taka, kupunguza uchafuzi wa mazingira, na kuhamasisha utamaduni wa usafi katika maeneo yenye mikusanyiko mikubwa ya watu kila siku. Akizungumza…