Dejan Petković ajiunga rasmi na Meridianbet kama Global Brand Ambassador
Meridianbet imefanya bonge la usajili kwa kumleta staa wa zamani wa Serbia, Dejan Petković maarufu…
Meridianbet imefanya bonge la usajili kwa kumleta staa wa zamani wa Serbia, Dejan Petković maarufu kama “Pet”, kuwa Global Brand Ambassador mpya wa kampuni hii. Hatua hii imeongeza nguvu mpya kwa mashabiki wa michezo wanaopenda ushindi, odds kali na burudani ya kimataifa inayovutia kizazi cha sasa. Kwa wale waliokulia kuangalia Flamengo na Vasco da Gama,…
NBC Premier League makipa wapo kazini kutimiza majukumu yao ndani ya msimu wa 2025/26. Hapa tunakuletea orodha ya makipa wenye clean sheet nyingi kwa mujibu wa Ligi Kuu:- Kipa Timu Clean Sheets Djigui Diarra Yanga SC 13 Mahamadou Kassali Simba SC 12 Aishi Manula Azam FC 11 Jean Joel TRA United 10 Zuberi Foba Azam…
Klabu ya Crystal Palace F.C. imeandika historia mpya baada ya kutwaa taji la UEFA Europa Conference League kufuatia ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Rayo Vallecano katika mchezo wa fainali uliochezwa Jumatano Mei 27, 2026 kwenye Uwanja wa Red Bull Arena Leipzig nchini Germany. Bao pekee la ushindi lilifungwa na mshambuliaji Jean-Philippe Mateta katika dakika…
Haya hapa matokeo ya mechi za Simba SC NBC Premier League 2025/26. Baada ya mechi 25 imepoteza mchezo mmoja dhidi ya Azam FC, nafasi ya pili kwenye msimamo na pointi 58. Kwa mujibu wa Ligi Kuu Bara timu hiyo imepata ushindi mechi 17 na sare 7. Tarehe Mechi Matokeo Septemba 25, 2025 Simba SC vs…
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amemteua Haji Manara kuwa msemaji wa timu zote za Taifa za Tanzania zinazoshiriki mpira wa miguu. Makonda ametangaza uteuzi huo leo Mei 28, 2026 wakati akizungumza na waandishi wa habari katika Viwanja vya Bunge jijini Dodoma. Kwa mujibu wa Waziri huyo, Haji Manara atafanya kazi chini…
Bila Intanenti ni rahisi kabisa kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kushindania Samsung A26 na Meridianbet leo. Jumatano ya Zawadi ipo kwaajili yako siku ya leo inaweza kukupa furaha sana. Jumatano hii haifanani na nyingine yoyote. Ni siku ambayo Meridianbet inawasha moto wa bahati kwa njia ambayo haijawahi kutokea. Kwa mara nyingine tena, wateja wote wanaopenda kubashiri…
Wimbo mpya wa Kombe la Dunia 2026 unaoitwa Dai Dai kutoka kwa Shakira akimshirikisha Burna Boy umeanza kuzua mjadala mkubwa mitandaoni huku mashabiki wengi wakilinganisha na wimbo maarufu wa mwaka 2010 Waka Waka (This Time for Africa). Wimbo huo umetolewa ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuelekea michuano ya Kombe la Dunia 2026 na tayari…
Katika ulimwengu wa soka, kuna nyakati ambazo timu zisizopewa nafasi hubadilisha historia na kuwafanya mashabiki waamini kuwa kila kitu kinawezekana. Fainali ya UEFA Conference League kati ya Crystal Palace na Rayo Vallecano ni mfano halisi wa hadithi hiyo. Hii si fainali ya timu tajiri zaidi wala zenye mastaa wengi zaidi, bali ni pambano la timu…
Soka la Nigeria limeingia kwenye majonzi kufuatia taarifa za kifo cha mshambuliaji chipukizi Victor Udoh aliyefariki akiwa na umri wa miaka 21. Udoh anaripotiwa kufariki mjini Abuja huku chanzo cha kifo chake kikiendelea kuchunguzwa na mamlaka husika. Ripoti za awali zinaeleza kuwa huenda tukio hilo lilihusishwa na sumu ya chakula au matumizi ya kitu chenye…
Hii hapa ratiba ya mechi zijazo ndani ya NBC Premier League kwa vinara Yanga SC:- 13 Juni 2026 Mashujaa FC vs Yanga SC Lake Tanganyika 17 Juni 2026 Fountain Gate vs Yanga SC Sheikh Amri Abeid 24 Juni 2026 Yanga SC vs Azam FC KMC Complex 27 Juni 2026 Yanga SC vs TRA United KMC…
Klabu ya Paris Saint-Germain imepata habari njema kuelekea fainali ya UEFA Champions League baada ya nyota wao Ousmane Dembele na Achraf Hakimi kurejea mazoezini kikosini. Dembele alikuwa nje baada ya kupata majeraha ya misuli ya mguu wa kulia katika mchezo wa Ligue 1 dhidi ya Paris FC uliochezwa Mei 17, 2026. Kwa upande wa Hakimi,…
KMC FC ni sikio la kufua kutokana na kuwa na rekodi isiyofurahisha kwa msimu wa 2025/26 kutokana na matokeo kutokuwa mazuri ndani ya ligi huku ikiwa ni kinara kwenye kufungwa magoli mengi ndani ya ligi. Timu hiyo inayotumia Uwanja wa KMC Complex baada ya mechi 25 imekusanya jumla ya pointi 9 ikiwa imepata ushindi kwenye…
Spinning Buddha ni moja ya michezo mipya inayotikisa Meridianbet kwa sasa. Imebeba kila kitu ambacho vijana wanapenda, kuanzia burudani, muonekano mkali hadi nafasi za ushindi zinazoweza kubadilisha siku yako kwa dakika chache. Hapa hakuna kubagua. Iwe ni mchezaji mchanga au mkali wa kasino, kila mmoja anaingia na nafasi sawa ya kupiga ushindi. Unachotakiwa ni kuamini…
Singida Black Stars 4-1 Mbeya City ni matokeo rasmi mchezo wa leo Mei 26, 2026 NBC Premier League kwa wababe hawa wawili Uwanja wa Airtel. Huu ni ushindi mkubwa kwa walima alizeti wakisalia na pointi 3 muhimu huku magoli yote yakifungwa na wachezaji wa Singida Black Stars. Magoli ya Singida Black Stars yamefungwa na Ande…
Yanga SC 3- 1 Namungo FC, NBC Premier League, Mei 25, 2026, Uwanja wa KMC Complex pointi tatu zikiwa ni mali ya wenyeji wakibeba zote jumlajumla. Magoli ya Yanga SC yamefungwa na Duke Abuya dakika ya 26 na mawili yamefungwa na Allan Okello dakika ya 84 ikiwa ni goli lake 11. Goli pekee la Namungo…
VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC msimu wa 2025/26 wamekusanya mtaji mkubwa kwenye magoli yakufunga huku wakiruhusu magoli machache. Timu hiyo inapambania taji ililotwaa msimu wa 2024/25 ambapo kwa sasa mshindani wake namba moja ni Simba SC anafuatia Azam FC ambaye yupo nafasi ya tatu. Yanga SC baada ya mechi 25 safu ya…
Ni Feisal Salum kiungo mshambuliaji wa Azam FC anaongoza chati kwenye ufungaji msimu wa 2025/26 ndani ya ligi namba 6 kwa ubora Afrika. Kiungo huyo anaongoza chati kwenye ufungaji akiwa na magoli 14 anafuatiwa na kiungo wa Yanga SC, Allen Okello mwenye magoli 11. Mshambuliaji namba moja kwenye chati ya ufungaji ni Prince Dube naye…