Arsenal Wakataliwa Kumnunua Nahodha wa Newcastle
Klabu ya Newcastle United F.C. inaonyesha nia ya kumsajili kiungo wa Borussia Dortmund, Felix Nmecha,…
Klabu ya Newcastle United F.C. inaonyesha nia ya kumsajili kiungo wa Borussia Dortmund, Felix Nmecha, huku mpango huo ukijitokeza wakati Arsenal F.C. ikikumbana na msimamo mkali wa Newcastle kuhusu nahodha wao Bruno Guimarães. Ripoti zinaeleza kuwa kocha Eddie Howe ni shabiki mkubwa wa Nmecha na alikuwa karibu kumsajili mwaka 2023 kabla ya klabu hiyo kuamua…
LOS ANGELES, Marekani – Tuzo za BET Awards 2026 zimefanyika rasmi katika ukumbi wa Peacock Theater na kuwakutanisha wasanii wakubwa wa muziki, filamu na michezo katika usiku uliojaa burudani na ushindani mkali. Sherehe hizo zilizoongozwa na mchekeshaji Druski, zilivuta mamilioni ya watazamaji kupitia BET na mitandao mingine ya kimataifa, huku majina makubwa yakigawana tuzo mbalimbali….
PARIS, Ufaransa – Mabingwa wa Ulaya, Paris Saint-Germain, wako kwenye mazungumzo na RB Leipzig kwa ajili ya kumsajili winga wa kimataifa wa Ivory Coast, Yan Diomande. Ripoti zinaeleza kuwa Diomande mwenye umri wa miaka 19 ameonyesha nia ya kujiunga na PSG badala ya Liverpool F.C., licha ya klabu hiyo ya England kuwa tayari kutoa pauni…
HOUSTON, Marekani – Nahodha msaidizi wa Brazil, Marquinhos, amesema timu yake imeimarika kwa kiwango kikubwa na iko tayari kuikabili Japan katika mchezo wa hatua ya mtoano wa Kombe la Dunia utakaopigwa Jumatatu. Brazil inashuka dimbani leo Saa mbili Usiku Juni 29, 2026 ikiwa na kumbukumbu ya kupoteza mabao 3-2 dhidi ya Japan katika mechi ya…
SPIELBERG, Austria – George Russell ameibuka mshindi wa mbio za Austrian Grand Prix baada ya kuanza kutoka nafasi ya kwanza (pole position), akipunguza pengo la alama dhidi ya mwenzake wa Mercedes-AMG Petronas Formula One Team, Kimi Antonelli, katika msimamo wa ubingwa wa Formula One. Russell alimaliza mbio hizo mbele ya Max Verstappen wa Red Bull…
LOS ANGELES, Marekani – Stephen Eustáquio aliifungia Canada bao la ushindi katika dakika za majeruhi na kuiwezesha timu hiyo kuifunga Afrika Kusini mabao 1-0, na kutinga hatua ya 16 bora ya Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza katika historia yake. Mchezo huo ulionekana kuelekea muda wa nyongeza baada ya timu zote kushindwa kufungana ndani…
RIYADH – Yasser Al-Misehal amejiuzulu nafasi yake ya Rais wa Bodi ya Saudi Arabian Football Federation (SAFF), akichukua jukumu la kutolewa mapema kwa timu ya taifa ya Saudi Arabia katika Kombe la Dunia la FIFA 2026. Kupitia taarifa aliyochapisha kwenye mtandao wa X, Al-Misehal alisema kushindwa kwa Green Falcons kuvuka hatua ya makundi hakukuendana na…
Meridianbet, jina linalotamba katika ulimwengu wa kubashiri, linawapa wateja wake fursa ya kipekee ya kuongeza furaha na faida zao kupitia huduma ya Bet Boost. Huduma hii ya kimapinduzi imebuniwa mahsusi kwa ajili ya wabashiri wanaotamani kufikia ushindi wa hali ya juu kwa kuongeza odds za mechi walizochagua. Bet Boost ni huduma ya kipekee inayotolewa na…
Kwa mashabiki wa michezo ya kasino ya mtandaoni, Meridianbet imeleta msisimko mpya unaoteka hisia na kuongeza furaha ya ushindi. Kupitia promosheni yake kabambe ya Non-Stop Win&Go Drop, wateja sasa wana nafasi ya kupata hadi beti za bure 500 kila siku, kwa hatua rahisi na za haraka. Hii ni zawadi ya kipekee kwa kila mchezaji, iwe…
Mchezo kati ya Afrika Kusini vs Canada FIFA Kombe la Dunia hatua ya 32 bora ni leo Jumapili, 28 Juni katika Uwanja wa SoFi. Saa 10:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki wababe hawa watakutana kusaka mshindi atakayesonga mbele. Kwa upande wa Canada, mjadala mkubwa unahusu nahodha Alphonso Davies, ambaye amerejea kwenye mazoezi kamili baada…
Ivory Coast watacheza hatua ya mtoano ya Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza katika historia yao watakapokutana na Norway katika mchezo wa hatua ya 32 Bora utakaochezwa Jumanne usiku nchini Texas. Ivory Coast wameonyesha kiwango kizuri tangu kuanza kwa mashindano haya, wakipata ushindi dhidi ya Ecuador na Curaçao. Walipoteza kwa mabao 2-1 dhidi ya…
NBC Premier League funga kazi ni Juni 30,2026 ikiwa ni raudi ya 30 hii hapa ratiba ya mechi zote zipo namna hii:- JKT Tanzania vs Yanga SC itarushwa Azam Sports 1 HD Simba SC vs KMC FC itarushwa Azam Sports 2 HD Coastal Union vs Pamba Jiji FC, Azam One Fountain Gate vs Singida Black…
Alllan Okello kiungo mshambuliaji wa Yanga SC ameandika rekodi yake Bongo katika mechi za raundi ya 29 kwa kusepa na mpira na tuzo ya mchezaji bora. Juni 27,2026 ubao wa Uwanja wa KMC Complex ulisoma Yanga SC 3-0 TRA United pointi 3 zikibaki kwa mabingwa watetezi. Mabao yote kwenye mchezo huo yalifungwa na Okello ambaye…
Afrika Kusini wamefanya kile ambacho wengi walidhani hakiwezekani. Timu iliyotarajiwa kumaliza chini kabisa ya Kundi A na iliyoorodheshwa nafasi ya 60 duniani, imewafunga Korea Kusini (nafasi ya 25) kwa bao 1-0 na kufuzu hatua ya mtoano kwa mara ya kwanza katika historia yao. Mchezo huo ulikuwa na mshangao mkubwa kabla ya kuanza Korea Kusini walimweka…
Ulikuwa wapi wakati Meridianbet ilipoleta mapinduzi ya burudani? Sasa hakuna tena kutamani kasino za mbali au michezo isiyo na faida. Meridianbet Bonanza ni zaidi ya mchezo, ni mlango wa ushindi wa kweli, uliobuniwa kwa teknolojia ya kisasa na msisimko wa hali ya juu. Kila mzunguko unakupeleka kwenye ulimwengu wa furaha na fursa. Muundo wake wa…
Simba SC 2-0 Singida Black Stars, NBC Premier League, Uwanja wa Meja Jeneral Isamuhyo ikiwa ni mzunguko wa 29, Juni 27,2026. Mabao yamefungwa na Ellie Mpanzu dakika ya 28 na Anicet Oura dakika ya 59. Kila kipindi kwenye mchezo limefungwa goli moja. Msimu wa 2025/26, Simba SC imepata ushindi nje ndani dhidi ya Singida Black…
Yanga SC 3-0 TRA United ni matokeo ya mchezo uliochezwa leo Juni 27,2026 Uwanja wa KMC Complex ikiwa ni mzunguko wa pili. Mabao yote yamefungwa na kiungo mshambuliaji Allan Okello ambaye amefunga hattrick ilikuwa ni dakika ya 38, 51 kwa mkwaju wa penati na kamba ya tatu ilifungwa dakika ya 60. Kwenye mchezo wa mzunguko…