Simba Yaanza Mabadiliko Makubwa, Yaaga Wachezaji Saba

Klabu ya Simba SC imetangaza rasmi kuachana na wachezaji saba ikiwa ni sehemu ya mchakato wa kuboresha kikosi kuelekea msimu mpya wa mashindano. Kupitia kurasa zake rasmi za mitandao ya kijamii, Simba imewapongeza na kuwashukuru wachezaji hao kwa mchango wao walioutoa ndani ya klabu, huku ikiwatakia mafanikio mema katika hatua zinazofuata za maisha yao ya…

Read More

Msichana wa Maisha Yangu ipo mezani tayari

BAADA ya kusubiri kwa muda ile simulizi nzuri ya maisha na masuala ya teknolojia kutoka kwa Best Seller Author, Lunyamadzo Mlyuka hatimaye kazi imefika mezani. Ni yuleyule mtunzi wa Msichana wa Maisha Yangu na Moyo Wangu Unavuja Damu safari hii amekuja na kazi mpya inayoitwa Msichana wa Maisha Yangu. Kwa ufupi kuhusu simulizi: Tatizo la…

Read More

France na Spain Kukutana Leo Katika Nusu Fainali ya Kombe la Dunia 2026, Mbappé na Yamal Waandika Sura Mpya

Kuna mechi ambazo huwa tu mechi, na kuna mechi ambazo huandika historia kabla hata hazijaanza. Ile ya leo kati ya France na Spain, itakayoanza saa 22:00 usiku. Ni nusu fainali ya kwanza ya michuano ya Dunia 2026, na wengi tayari wanaiita “fainali kabla ya fainali.” Sababu ni rahisi hizi ndizo timu mbili zilizoingia kwenye mashindano…

Read More

Meridianbet yakabidhi vifaa vya usafi Hospitali ya Wilaya ya Kinondoni, yaendeleza dhamira ya kuigusa jamii

Wakati wengi wakiitambua Meridianbet kama moja ya majukwaa yanayoongoza kwa michezo ya kasino mtandaoni na ubashiri wa mechi zenye ushindani mkubwa, kuna simulizi nyingine inayozidi kuvutia mioyo ya Watanzania. Ni simulizi ya kampuni inayoamini kuwa mafanikio ya kweli hayapimwi kwa idadi ya michezo pekee, bali pia kwa mchango wake katika kuboresha maisha ya jamii. Meridianbet…

Read More

Simba SC yaanza mipango kuelekea Simba DAY

UONGOZI wa Simba SC umebainisha kuwa umeanza mpango wa kuhesabu siku kuelekea tamasha kubwa la Simba Day ikiwa ni maandalizi ya msimu mpya wa 2026/27. Mwenyekiti wa Bodi, Crescentius Magori amesema : “Hii maana yake tumeanza count down kuelekea kwenye Simba Day. Kama kuna mkoa Simba tukija huwa tunasikia raha ni Arusha kuna wakati mwingine…

Read More

Paulo Dybala Aongeza Mkataba AS Roma Hadi 2027

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Argentina, Paulo Dybala, ameongeza mkataba wake na klabu ya AS Roma utakaomuweka katika kikosi hicho cha Serie A hadi Juni 2027. Roma ilithibitisha taarifa hiyo Jumatatu, ikimaliza uvumi uliokuwa ukihusishwa na mustakabali wa nyota huyo mwenye umri wa miaka 32. Dybala alijiunga na Roma mwaka 2022 baada ya kuitumikia…

Read More

Konate: Ufaransa Haiiogopi Hispania, Lakini Tunaithamini Kabla ya Nusu Fainali ya Kombe la Dunia 2026

Beki wa timu ya taifa ya Ufaransa, Ibrahima Konate, amesema hawana hofu ya kukutana na Hispania katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Dunia 2026, lakini wanaiheshimu kutokana na kiwango bora ilichokionyesha katika mashindano hayo. Ufaransa itakutana na Hispania kesho, Julai 14, 2026 saa nne usiku, katika mchezo unaotarajiwa kuwa wa ushindani mkubwa huku…

Read More