Fountain Gate Washindwa Kutamba Nyumbani, Azam FC Washinda 2-0
Azam FC imeendelea kuonyesha ubora wake katika Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya…
Azam FC imeendelea kuonyesha ubora wake katika Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Fountain Gate FC kwenye mchezo uliopigwa katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha. Kikosi hicho cha Azam kilianza kutengeneza mazingira ya ushindi katika dakika ya 36 kupitia kwa Ngita aliyefunga bao…
MASHUJAA FC vs Yanga SC ni mchezo unaofuata kwenye ratiba ya NBC Premier League Juni 13, 2026 huku benchi la ufundi la mabingwa watetezi likibainisha kwamba lipo tayari kwa mchezo. Ahamid Moallin, Kocha Mkuu wa Yanga SC amesema wanatambua ushindani uliopo watapambana kupata matokeo mazuri uwanjani. “Hakuna mchezo rahisi katika ligi hii. Haijalishi tunacheza na…
Kama kawaida michuano hii mikubwa inatarajiwa kuendelea huku leo hii wababe wanne kushuka dimbani kusaka pointi 3 muhimu. Je nafasi ya kushinda unaiweka kwa nani?. Suka jamvi hapa. Kivumbi kitakuwa kwenye mechi ya Canada dhidi ya Bosnia and Herzegovina ambao hawapewi nafasi ya kuondoka na ushindi ndani ya Meridianbet kwani wenyeji wana kikosi chenye wachezaji…
Klabu ya Yanga SC imetangaza uteuzi wa Kamati ya Uchaguzi itakayosimamia mchakato wa uchaguzi wa klabu hiyo, huku Adv. Malangwe Mchungahela akiteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati hiyo. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Juni 13, 2026 na Idara ya Mawasiliano ya Yanga SC, Adv. Samuel Mangesho ameteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo. Wajumbe wengine…
GUADALAJARA, Mexico – Timu ya taifa ya Korea Kusini imeonyesha moyo mkubwa wa kupambana baada ya kutoka nyuma na kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Czech Republic katika mechi ya Kundi A ya Kombe la Dunia 2026 iliyochezwa Estadio Guadalajara. Korea Kusini ilitawala sehemu kubwa ya mchezo kwa soka la pasi nyingi na…
MEXICO CITY – Mwenyeji mwenza wa Kombe la Dunia 2026, Mexico, ameanza vyema kampeni yake ya michuano hiyo baada ya kuichapa Afrika Kusini mabao 2-0 katika mechi ya ufunguzi iliyochezwa kwenye Uwanja wa Estadio Azteca usiku wa Alhamisi. Julian Quinones aliandika historia kwa kufunga bao la kwanza la Kombe la Dunia 2026 dakika ya tisa…
Kama unapenda burudani ya kasino na zawadi za kisasa, Meridianbet imekuandalia fursa ambayo hutakiwi kuikosa. Kupitia promosheni ya Mzuka wa Mabingwa, wateja wa Airtel Money wanaweza kushinda Bajaj, PlayStation 5, Hisense TV, simu janja na mizunguko ya bure. Kushiriki ni rahisi na haraka. Weka TZS 5,000 au zaidi kupitia Airtel Money kisha cheza mchezo wowote…
Kiungo mshambuliaji wa Young Africans SC, Allan Okello, ametangazwa kuwa Mchezaji Bora wa Mwezi Mei wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2025/26 baada ya kuonyesha kiwango cha juu katika mechi za mwezi huo. Okello aling’ara kwa kufunga mabao tisa na kutoa pasi moja ya bao katika michezo sita, akichangia kwa kiasi kikubwa mafanikio ya…
Mwamuzi wa kimataifa kutoka Somalia, Omar Abdulkadir Artan, ametangazwa rasmi na UEFA kuwa mwamuzi wa mchezo wa UEFA Super Cup 2026 utakaowakutanisha mabingwa wa Ulaya, Paris Saint-Germain (PSG), dhidi ya mabingwa wa Europa League, Aston Villa. Mchezo huo wa kifahari unatarajiwa kuchezwa tarehe 12 Agosti katika jiji la Salzburg, Austria, ukiwakutanisha mabingwa wa mashindano makubwa…
Mechi ya ufunguzi inatarajiwa kuwa ya kipekee kabisa ambapo wenyeji wa mashindano haya Mexico watauamana vikali dhidi ya Afrika Kusini ambao hawapewa nafasi kubwa ya kushinda?. Nani kuondoka na pointi 3 leo? Kwenye mechi hii ya ufunguzi wa michuano mikubwa Duniani kati ya Mexico na Afrika Kusini utakaopigwa Alhamisi ya leo ni mchezo ambao utakuwa…
Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), Gianni Infantino, amesema ni jambo la kusikitisha kwa mwamuzi wa Somalia, Omar Artan, kunyimwa ruhusa ya kuingia nchini Marekani licha ya kuwa alikuwa amepangiwa kushiriki katika michuano ya Kombe la Dunia. Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kabla ya kuanza kwa mashindano hayo, Infantino alisema FIFA imeguswa…
Usiku wa kuamkia leo, mambo hayakwenda vizuri kwa bondia Hassan Mwakinyo aliyekuwa akiipeperusha bendera ya Tanzania, Abidjan, Ivory Coast kwa kuzipiga na bondia Michel Soro mwenye uraia pacha wa Ivory Coast na Ufaransa. Mwakinyo alipoteza kwa TKO katika raundi ya tisa kwenye pambano la uzito wa Middleweight la raundi 12 na kushindwa kubeba mkanda wa…
Meridianbet inaendelea kuwaletea vijana burudani bora zaidi kwa kushirikiana na EGT Digital, moja ya majina yanayoongoza kwenye ulimwengu wa michezo ya kasino ya kidigitali. Sasa ni rahisi zaidi kufurahia michezo yenye ubora wa hali ya juu ukiwa popote. Kilichofanya EGT Digital kuwa tofauti ni uwezo wake wa kuunganisha teknolojia ya kisasa na burudani inayovutia. Michezo…
Mchezo huu ni wa pili katika mfululizo wa majaribio ya England nchini Florida, ukifuata ushindi wao dhidi ya New Zealand mnamo Juni 6. Uwanja wa mechi ni Inter&Co Stadium jijini Orlando, uwanja wa nyumbani wa timu ya MLS Orlando City. Umuhimu wa mchezo huu ni mkubwa kwani ni mechi ya mwisho ya England kabla ya…
Vijana wengi wanatafuta burudani inayotoa zaidi ya starehe ya kawaida, na Gates of Love imekuja na mchanganyiko huo kamili. Ni mchezo wenye msisimko, urahisi wa kucheza na nafasi za ushindi zinazovutia. Mandhari yake ya kuvutia huifanya kila raundi ionekane kama mwanzo wa jambo jipya. Hali hiyo huongeza hamasa ya kuendelea kufurahia mchezo kila wakati. Vilevile,…
Mamlaka za Marekani zimeunda kikosi kazi maalum (task force) kitakachosimamia usalama na uchunguzi mkali wa mashabiki, wachezaji na wageni wote watakaofika nchini Marekani wakati wa Kombe la Dunia la FIFA 2026. Hatua hiyo imekuja baada ya matukio kadhaa ya kuhojiwa na kucheleweshwa kwa watu wanaohusiana na michuano hiyo, ikiwemo mshambuliaji wa Iraq Aymen Hussein aliyekamatwa…
Serena Williams amerejea rasmi kwenye mashindano ya kitaaluma baada ya takribani miaka minne nje ya uwanja wa tenisi, akitarajiwa kucheza mechi yake ya kwanza Jumanne katika mashindano ya Queen’s Club jijini London. Nyota huyo wa Marekani, mwenye mataji 23 ya Grand Slam, amepata nafasi ya wildcard kwenye mchezo wa wanawake wawili (doubles), ambapo atacheza akiwa…