Fainali ya CAFCC Kutimua Vumbi Cairo Usiku wa Leo
Pazia la michuano ya CAF Confederation Cup msimu wa 2025/26 linafungwa rasmi leo Mei 16,…
Pazia la michuano ya CAF Confederation Cup msimu wa 2025/26 linafungwa rasmi leo Mei 16, 2026, kwa mchezo wa mkondo wa pili wa fainali utakaopigwa katika dimba la Cairo International Stadium nchini Misri. Mchezo huo unawakutanisha wenyeji Zamalek SC dhidi ya USM Alger, katika pambano la kusisimua litakaloanza majira ya saa 3:00 usiku. Huu ni…
Manchester United wamefikia makubaliano ya kumteua Michael Carrick kuwa kocha mkuu wa kudumu wa klabu hiyo baada ya kufanya vizuri tangu apewe jukumu la muda mwezi Januari. Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa, taratibu rasmi za kubadilishana mikataba zinaendelea kwa sasa huku tangazo rasmi likitarajiwa kutolewa ndani ya saa 48 zijazo. Hata hivyo, bado haijafahamika kama…
Fainali ya FA CUP inaenda kutimua vumbi wiekndi hii siku ya Jumamosi katika dimba la Wembley huku hili likiwa ni Kombe la heshima kwa timu hizi mbili Chelsea vs Man City pale Uingereza. Hii ni mechi ambayo inaenda kuwa ya moto zaidi kwani hili ni moja ya pambano la kihistoria ambalo linaenda kutokea kutokana mbinu…
JKT Tanzania vs Yanga SC ni leo Mei 16, 2026 hatua ya robo fainali kwa wababe wawili kusaka tiketi kutinga hatua ya nusu fainali. Mchezo huu unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Meja Jeneral Isahmuyo saa 12:30 jioni mshindi atakata tiketi moja kwa moja hatua inayofuata na atakayepoteza mwendo atakuwa amemaliza mpaka wakati ujao 2027. Kocha Mkuu…
Coastal Union yatisha Singida Black Stars kuelekea kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali CRDB Federation Cup leo Mei 16, 2026. Ni Coastal Union vs Siginda Black Stars mchezo mkali unaotarajiwa kuchezwa saa 10 jioni kwa wababe hawa kusaka tiketi kutinga hatua ya nusu fainali. Mabingwa watetezi wa taji hili ni Yanga SC ambao watashuka…
Kama tunavyojua, leo ni siku ya mapumziko, ni siku ya kutokutumia nguvu lakini haimaanishi kwamba usitafute pesa siku ya leo. Kuwa wa kisasa kwa kuzisaka pesa bila matumizi ya nguvu kwa kucheza Gates of Arabia kutoka Meridianbet. Huku unajipigia tu pesa bila kutoka ulipokaa, ni raundi chache tu ndani ya mchezo na unakua tajiri kwelikweli….
Leo Ijumaa Mei 15, 2026 saa 22:00,Aston Villa wanakaribisha Liverpool kwenye Villa Park. Hili si mchezo wa kawaida ni pambano la wazi la kuwania nafasi ya nne inayokwenda Ulaya. Shinikizo liko kwa timu zote mbili, lakini kwa njia tofauti. Liverpool wamezoea kukaa kwenye nafasi za juu kwa miaka mingi, wana wachezaji waliocheza fainali za Ligi…
JKT Tanzania vs Yanga SC ni kivumbi Mei 16, 2026 Uwanja wa Meja Jeneral Isahmuyo kwa wababe hawa wawili kusaka tiketi kutinga hatua ya nusu fainali. Mabingwa watetezi ni Yanga SC kwenye taji hili hivyo wataingia uwanjani wakiwa na hesabu za kutetea taji hilo huku JKT Tanzania wakiwa na hesabu kutinga hatua ya nusu fainali….
CRDB Cup ni hatua ya robo fainali ambapo timu zinatarajiwa kushuka uwanjani kusaka ushindi kutinga hatua ya nusu fainali. Haya ni mashindano mengine makubwa Bongo ambapo ni hatua ya mtoano mpaka fainali ukishinda unasonga mbele ukifungwa umeumaliza mwendo. Katika mashindano haya ambayo yapo hatua ya robo fainali mabingwa watetezi ni Yanga SC watakuwa kazini Mei…
Uongozi wa klabu ya Young Africans Sports Club (Yanga SC) imetangaza rasmi kuingia katika hatua mpya ya kihistoria ya ujenzi wa uwanja wake binafsi, ndoto ambayo imekuwa ikiota mizizi kwa takribani miaka 90 ya historia ya klabu hiyo. Akizungumza kuhusu mradi huo, Mwenyekiti wa klabu hiyo Eng. Hersi Ally Said amesema uongozi na wanachama wa…
Kila jamii ina wakati wake mgumu, lakini pia ina wakati wa kuinuka. Tandale imekuwa sehemu ya hadithi hiyo mpya ambapo Meridianbet imeamua kugeuza changamoto za maisha kuwa fursa ya matumaini kupitia msaada wa vyakula kwa familia zenye uhitaji. Badala ya kuangalia tu upande wa burudani na michezo ya ubashiri, Meridianbet imeweka nguvu katika maisha halisi…
FT: Mashujaa FC 0-3 Simba SC ni matokeo ya mchezo wa NBC Premier League uliochezwa leo Mei 14, 2026 Uwanja wa Lake Tanganyika, mwisho wa reli Kigoma. Magoli ya Simba SC yamefungwa na Clatous Chama dakika ya 5 na dakika ya 70 huku kamba ya tatu ikifungwa na Seleman Mwalimu dakika ya 90+2. Matokeo haya…
Mashujaa FC vs Simba SC ni leo Mei 14, 2026 Uwanja wa Lake Tangayika, mwisho wa reli Kigoma kwa wababe hawa kusaka pointi tatu muhmu. Kwa upande wa Simba SC ni Djibrilla Kassali ameanza langoni. Vedastus Masinde, Neo Maema, Duchu, Clatous Chama ambaye ni kiungo mshambuliaji. Inno Loemba, Yusuph Kagoma, Libasse Gueye, Ismael Toure, Nickson…
MASHUJAA FC vs Simba SC NBC Premier League ni leo Mei 14, 2026, kikosi cha wenyeji kipo namna hii langoni ameanza Patrick Munthali. Wengine ni Mpoki Mwakinyuke, Samweli Onditi, Abdulnassir Assa, Salum Kihimbwa, Mgandila Shabani, Baraka Mtuwi, Kabasele Yusuph, Ismail Mgunda, Mohamed Salum na Samson Madeleke. Wachezaji wa akiba ni : Hassan Haji, Mapinduzi Balama,…
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imemtangaza rasmi Yahaya Abushehe kuwa Kaimu Ofisa Habari wa bodi hiyo, akichukua nafasi ya Karim Boimanda ambaye atapangiwa majukumu mengine ndani ya taasisi hiyo. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Mei 14, 2026 na Ofisa Mtendaji Mkuu wa TPLB, Cornel Barnabas, uteuzi huo ni sehemu ya mabadiliko ya kiutendaji…
MARA baada yakupoteza mchezo wa kwanza ndani ya NBC Premier League, uongozi wa Yanga SC umebainisha kuwa ulijua kuwa siku moja watapoteza mchezo. Mei 13, 2026 ubao wa Uwanja wa Airtel, Singida ulisoma Dodoma Jiji FC 3-2 Yanga SC ukiwa ni mchezo wa kwanza kwa mabingwa watetezi kupoteza ndani ya ligi msimu wa 2025/26. Timu…
Klabu ya Manchester United imetambulisha rasmi jezi zake mpya za nyumbani kwa ajili ya msimu ujao wa 2026/27, ambapo timu hiyo itashiriki Ligi Kuu ya England pamoja na Ligi ya Mabingwa Ulaya na mashindano mengine ya ndani. Jezi hizo, zilizotengenezwa kwa ushirikiano na kampuni ya Adidas, zimebuniwa kwa mtindo wa kisasa huku zikichochewa na muonekano…