Mohamed Salah Atangaza Kuondoka Liverpool Bure Mwisho wa Msimu

Mshambuliaji nyota wa Mohamed Salah ametangaza rasmi kuwa ataondoka ndani ya klabu ya Liverpool mwishoni mwa msimu huu, akihitimisha safari ya kihistoria ya miaka tisa ndani ya Anfield. Salah, mwenye umri wa miaka 33, ameondoka akiwa mchezaji huru (free transfer), jambo ambalo limewashtua mashabiki wengi wa soka duniani. Kupitia video ya kihisia aliyochapisha mtandaoni, Salah…

Read More

Yanga Soccer School na EMWANI waja na mashindano bab kubwa

Yanga SC na Kampuni ya EMWANI wameandaa mashindano yatakayofanyika 28/03/2026 kituo cha TFF Kigamboni.  Ali Kamwe, Meneja wa Idara ya Habari amesema huo ni muitikio wa Watanzania katika mradi Yanga Soccer School na mshindi wa kwanza atapata milioni 3, mshindi wa pili milioni moja na watakaoishia nusu faiinali watapata laki 5. “Mradi wetu wa Yanga Soccer…

Read More

Shinda Samsung A26 Leo Jumatano kwa Kubashiri Rahisi Kupitia *149*10#

Bila Intanenti ni rahisi kabisa kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kushindania Samsung A26 na Meridianbet leo. Jumatano ya Zawadi ipo kwaajili yako siku ya leo inaweza kukupa furaha sana. Jumatano hii haifanani na nyingine yoyote. Ni siku ambayo Meridianbet inawasha moto wa bahati kwa njia ambayo haijawahi kutokea. Kwa mara nyingine tena, wateja wote wanaopenda kubashiri…

Read More

Dau Lako Dogo Linageuka Mamilioni Ukicheza Vaso Psycho

Sasa ni rasmi, Vaso Psycho kutoka Expanse imewasili ndani ya Meridianbet, na tayari imeanza kubadilisha namna wachezaji wanavyoiona kasino mtandaoni. Huu ni mchezo unaokupa zaidi ya burudani; unakupa nafasi ya kuandika historia yako ya ushindi kwa kila mzunguko unaoucheza. Kitu cha kwanza utakachogundua ni jinsi kila raundi ilivyo tofauti. Hakuna kubahatisha kwa mazoea hapa, mfumo…

Read More

Mpanzu afurahia kubaki ndani ya Simba SC

ELLIE Mpanzu winga wa Simba SC, raia wa DR Congo amesema kuwa ni furaha kwake kusalia katika familia ya timu hiyo kwa muda mwingine tena. Machi 23,2026 taarifa rasmi kutoka Simba SC ilieleza kuwa winga huyo mwenye pasi 5 za mabao msimu wa 2025/26 ndani ya NBC Premier League ameongeza kandarasi ya miaka miwili. Awali…

Read More

Yanga SC yadunda na rekodi yake, Pedro kujadiliwa

Yanga SC chini ya Kocha Mkuu Pedro Goncalves inaendelea kundunda na rekodi yake kuwa miongoni mwa timu ambazo hazijafungwa ndani ya NBC Premier League, 2025/26. Timu hiyo imecheza jumla ya mechi 16 ikipata ushindi kwenye mechi 11, sare 5 ikiwa haijapoteza mchezo. Imekusanya jumla ya pointi 38 ndani ya ligi mchezo wake wa 16 iligawana…

Read More

Elie Mpanzu Asaini Mkataba Mpya wa Miaka Miwili Simba

Kiungo mshambuliaji wa kimataifa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Elie Mpanzu, ameongeza mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kuitumikia Simba hatua inayoimarisha kikosi hicho kuelekea msimu ujao wa mashindano ya ndani na kimataifa. Mpanzu, ambaye amekuwa sehemu muhimu ya kikosi cha Simba kutokana na uwezo wake wa kiufundi na mchango wake uwanjani, ameonesha nia…

Read More