Iran Yatangaza Huenda Isishiriki Kombe la Dunia 2026
Waziri wa Michezo na Vijana wa Iran, Ahmad Donyamali, amesema timu ya taifa ya wanaume…
Waziri wa Michezo na Vijana wa Iran, Ahmad Donyamali, amesema timu ya taifa ya wanaume ya nchi hiyo huenda isishiriki katika michuano ya FIFA World Cup 2026 kutokana na hali ya usalama na mvutano wa kisiasa unaoendelea. Akizungumza katika mahojiano na kituo cha televisheni cha michezo cha Islamic Republic of Iran Broadcasting (IRIB) siku ya…
Dar Young Africans wanazidi kuchanja mbuga baada ya kuendeleza mwenendo mzuri kwenye michuano ya ndani ikiwemo ligi na FA lakini kwa isivyo bahati walitolewa kwenye michuano ya CAF. Inawezekana huu ukawa ni msimu wa Yanga ambao umebeba hisia mchanganyiko fahari ya kutawala ligi ya nyumbani na maumivu ya kuishia njiani kwenye anga la kimataifa. Hata…
FT: NBC Premier League Machi 11,2026 Uwanja wa Airtel Singida Black Stars 1-2 Simba SC Dakika ya 85 goal Ellie Mpanzu. Goal Mossi dakika ya 38 Goal Anicent Oura dakika ya 7 Dakika ya 80 Dakika ya 72 Dakika ya 70 Dakika ya 54 Dakika ya 45 Dakika ya 40 Dakika ya 35 Dakika ya…
Kikosi cha Simba SC kwenye mchezo wa leo Machi 11 vs Singida Black Stars, viungo wametawala asilimia kubwa kikosi cha kwanza. Uwanja wa Airtel utashuhudia mchezo huu wa NBC Premier League na kikosi cha mnyama kipo namna hii:- Langoni Mahamadou Kassali Mabeki Shomari Kapombe Nickson Kibabage Ismael Toure De Reuck Viungo Yusuph Kagoma Libasse Gueye…
Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara inaendelea leo Machi 11, 2026 kwa mechi tatu muhimu kwenye viwanja tofauti. Simba SC, Wekundu wa Msimbazi, watakuwa ugenini wakipambana na Singida Black Stars katika dimba la Airtel Mtipa, Singida, majira ya saa 16:15 jioni. Simba SC wanatafuta ushindi wao wa kwanza baada ya sare mbili mfulululizo huku wakiangazia…
Kama kuna sehemu ndoto hukutana na uhalisia, basi ni kupitia Diamond Jackpot ya Meridianbet. Hebu fikiria, shilingi 500 tu, kiasi ambacho mara nyingi hakipewi uzito kinaweza kuwa tiketi yako ya kushinda hadi Tsh Bilioni 2. Huu mchezo ni jukwaa la mashabiki wa soka kuonesha upeo wao wa kuchambua mechi na kugeuza maarifa kuwa mabilioni. Diamond…
Tanzania Prisons vs Yanga SC kupigwa Tabora? Ni swali ambalo linaulizwa ni baada ya wenyeji kubainisha kuwa watakuwa Tabora kwenye mechi zinazofuata. Wapinzani hawa wawili wanatarajiwa kukutana Machi 12,2026 kwenye msako wa pointi tatu muhimu ndani ya uwanja. Ipo wazi kwamba Prisons wamekuwa wakitumia Uwanja wa Sokoine kwa mechi za nyumbani uliopo Mbeya kutokana na…
Dodoma Jiji FC vs Azam FC ni Machi 11, 2026, Uwanja wa Jamhuri, Dodoma, saa 1:15 usiku. Azam FC imetoka kucheza mchezo wa CRDB Federation Cup dhidi ya Mbeya Kwanza, Uwanja wa Azam Complex. Mechi zijazo kwa Dodoma Jiji FC Aprili 3,2026 ni Dodoma Jiji FC vs Fountain Gate FC Aprili 14,2026 ni Coastal Union…
Rais Donald Trump amewaomba viongozi wa Australia kuepuka makosa makubwa ya kibinadamu kwa kuruhusu timu ya taifa ya wanawake wa Iran kurudishwa nyumbani, baada ya wachezaji hao kushutumiwa na vyombo vya habari vya Iran kwa kushindwa kuimba wimbo wa taifa kabla ya mechi yao dhidi ya Korea Kusini katika Kombe la Asia lililofanyika Australia. Baada…
RATIBA ya Kombe la FA imefanyika, zikileta mechi zenye mvuto mkubwa kwa mashabiki wa soka. Hizi ni mechi zilizokutwa na timu: Southampton vs Arsenal Chelsea vs Port Vale Manchester City vs Liverpool West Ham vs Leeds Changamoto na Fursa Kuu Manchester City wanakabiliwa na mwezi mgumu wa Aprili, wakiwa na mechi za Premier League, FA…
Manchester United imetangaza ongezeko la asilimia 5 kwenye bei za tiketi za msimu unaofuata kwenye Old Trafford, katika sehemu zote za uwanja. Klabu inasema hatua hii ni muhimu kwa kuongeza mapato ambayo yatawekezwa tena kwenye soka na miundombinu ya klabu. Maelezo ya Bei Mpya Ongezeko hili linamaanisha poundi zaidi ya 2 kwa mechi kwa wapenzi…
Nigeria inafanya maombolezo kufuatia kifo cha Kocha wa zamani wa timu ya Taifa, Super Eagles, Adegboye Onigbinde, ambaye alifariki dunia akiwa na umri wa miaka 88. Onigbinde aliiongoza Nigeria katika Kombe la Dunia la FIFA 2002, lililofanyika kwa pamoja Korea Kusini na Japan, na kuwa kocha wa kwanza wa mzawa kuiongoza timu ya taifa kwenye…
Fainali ya mashindano ya soka nchini Brazil imeingia kwenye historia kwa sababu zisizofurahisha baada ya kuzuka kwa vurugu kubwa uwanjani zilizofanya wachezaji 23 kupewa kadi nyekundu idadi kubwa zaidi kuwahi kutokea katika historia ya soka la nchi hiyo. Tukio hilo lilitokea katika fainali ya Mashindano ya Mineiro iliyochezwa kati ya Cruzeiro na Atlético Mineiro katika…
Meridianbet inakualika leo hii ukabashiri mechi zote za Simba kwa dau dogo tuuh na ujiweke kwenye nafasi ya ushindi. Lakini pia mechi za ligi kuu ya Tanzania unaweza ukabashiri huko. Je unajuwa kuwa huu ni msimu mbaya kwa Simba kwani kwenye michuano ya CAF timu hii imeshindwa kuendelea mbele baada ya kutolewa kwenye hatua ya…
Kama wewe ni mbashiri unayetafuta zaidi ya matokeo ya mkeka, basi huu ni wakati wako. Kupitia ushirikiano wa nguvu kati ya Meridianbet na Mixx by Yas, kampeni ya JIMIXX na Ushindi Bab Kubwa inapatikana pale Meridianbet kwa lengo la kuwapa wateja thamani halisi ya kila shilingi wanayoweka. Wabashiri wote wana nafasi ya kushinda zawadi za…
Rekodi zinaonyesha kuwa namba moja kwa hati safi ndani ya NBC Premier League ni Djigui Diarra wa Yanga SC akiwa nazo 7. Erick Johora wa Mashujaa yeye ni namba mbili kwa makipa wenye hati safi zakutosha akiwa ana hati safi 6. Ally Salim wa Dodoma Jiji, Yona Amosi wa Pamba Jiji FC na Mussa Mbisa…
Milio ya risasi ilisikika karibu na nyumba ya mwimbaji maarufu Rihanna iliyopo katika eneo la Beverly Hills, jimbo la California nchini United States, huku polisi wakithibitisha kuwa hakuna mtu aliyejeruhiwa katika tukio hilo. Kwa mujibu wa taarifa za polisi, mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 30 alisimama nje ya nyumba hiyo baada ya kushuka kutoka…