Ratiba ya NBC Premier League 2025/26 hii hapa
NBC Premier League inazidi kushika kasi huku vinara wakiwa ni Yanga SC chini ya Kocha…
NBC Premier League inazidi kushika kasi huku vinara wakiwa ni Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Pedro Goncalves wao ni mabingwa watetezi. Machi 18,2026 kuna mechi mbili ambazo zinatarajiwa kuchezwa kwenye ratiba namna hii:- TRA United vs Yanga SC, saa 10:15, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Tanzania Prisons vs Singida Black Stars, saa 2:15, Uwanja…
Chato, Geita – 17 Machi 2026 – Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, ameiungana na viongozi mbalimbali pamoja na wananchi katika Misa Takatifu ya Kumbukizi ya Miaka Mitano ya kifo cha Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli. Misa hiyo imefanyika katika mji wa Chato,…
Je unajua kuwa maokoto yapo mengi kwenye mechi za UEFA siku ya leo?. Kila timu inahitaji kufuzu kwenda Robo Fainali hivyo suka mkeka wako wa ushindi sasa. Arsenal watakuwa nyumbani kusaka nafasi ya ushindi dhidi ya Bayer Leverkusen ya kule Ujerumani. Mtanange wa kwanza wametoa sare baada ya Havertz kusawazisha goli dakika za jioni za…
TRA United vs Yanga SC ni mchezo unaofuata kwenye ratiba huku mabingwa watetezi wakiwakosa nyota wanne kuelekea mchezo huo kutokana na kutokuwa fiti. Taarifa rasmi kutoka Yanga SC imeeleza kuwa wachezaji hao watakuwa nje kwa mujibu wa ripoti ya madaktari na mchezo ambao wote wataukosa ni ule unaofuata dhidi ya TRA United. Ibrahim Abdullah (Bacca)…
TRA United vs Yanga SC kupigwa kesho Uwanja wa Sheikh Amri Abeid ikiwa ni ratiba ya NBC Premier League. Yanga SC vinara wa ligi wanaingia uwanjani wakiwa wametoka kucheza mchezo mgumu dhidi ya Azam FC, Uwanja wa Mkapa. Katika mchezo huo uliochezwa Machi 15,2026 baada ya dakika 90 ubao ulisoma Azam FC 0-0 Yanga SC…
Sekta ya michezo ya kubahatisha duniani imepata habari njema baada ya Expanse Studios kutangaza rasmi ushirikiano mpya na jukwaa kubwa la ubashiri la kimataifa, Stake. Hatua hii inakuja baada ya mafanikio makubwa ya kampuni hiyo katika kushirikiana na wadau mbalimbali wa tasnia, akiwemo Meridianbet. Ushirikiano huu unatarajiwa kuleta msisimko mpya kwa wachezaji huku ukipanua upatikanaji…
MSHAMBULIAJI namba moja wa Simba SC, Jonathan Sowah kuna hatihati kuondoka ndani ya kikosi hicho kutokana na tatizo la nidhamu. Sowah ndani ya NBC Premier League amefunga magoli matatu akiwa ni miongoni mwa wachezaji wenye magoli mengi ndani ya kikosi hicho. Kwa sasa Sowah hayupo kwenye mipango ya timu hiyo kutokana na kile kilichoelezwa alisimamishwa…
Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United, Wayne Rooney, amempongeza kiungo wa klabu hiyo, Bruno Fernandes, baada ya mchezaji huyo wa Ureno kutoa asisti mbili kwenye ushindi wa 3-1 dhidi ya Everton siku ya Jumapili. Nahodha huyo wa Man United amefikisha jumla ya asisti 16 kwenye Ligi ya Uingereza msimu huu, akivunja rekodi ya David Beckham…
Michuano ya CAF Champions League msimu wa 2025/26 imeendelea kwa hatua ya robo fainali huku vilabu vinane vikubwa barani Afrika vikishuka dimbani kuwania nafasi ya kutinga hatua ya nusu fainali. Mechi za kwanza zilichezwa kati ya tarehe 13 hadi 15 Machi 2026, zikitoa ushindani mkubwa na matokeo muhimu kwa timu husika. Matokeo ya Mechi za…
Sekta ya michezo ya kubahatisha duniani imepata habari njema baada ya Expanse Studios kutangaza rasmi ushirikiano mpya na jukwaa kubwa la ubashiri la kimataifa, Stake. Hatua hii inakuja baada ya mafanikio makubwa ya kampuni hiyo katika kushirikiana na wadau mbalimbali wa tasnia, akiwemo Meridianbet. Ushirikiano huu unatarajiwa kuleta msisimko mpya kwa wachezaji huku ukipanua upatikanaji…
Kama unataka ODDS za kishua njoo Meridianbet?. Safari yako ya ushindi ipo hapa pekee hivyo changamkia nafasi hii leo. Machaguo zaidi ya 1000 yanapatikana kwa kila mechi. CHAMPIONSHIP Uingereza kuna mchezo mmoja ambao utaendelea kati za Portsmouth dhidi ya Derby Country ambao wapo nafasi ya 8 huku wenyeji wao wakiwa nafasi ya 19 kwenye msimamo…
Dabi ya Jiji la Dar es Salaam kati ya Azam FC na Young Africans SC (Yanga) imeisha kwa sare tasa 0-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara uliochezwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa. Wenyeji, Azam FC, walijitahidi kudhibiti mchezo lakini walishindwa kupata nafasi ya kufunga dhidi ya Yanga SC, ambao bado wanaendelea…
Wapenzi wa michezo ya kasino wamekua wakitafuta burudani inayoweza kuwapa matokeo haraka bila kusubiri kwa muda mrefu. Meridianbet imejibu hitaji hilo kwa kuleta TVBET, mfumo wa michezo mubashara unaowapa wachezaji nafasi ya kucheza raundi nyingi ndani ya muda mfupi na kufurahia matokeo yanayotokea papo hapo. Kupitia TVBET, wachezaji wanaweza kushiriki michezo maarufu na yenye msisimko…
Wiki hii imekuwa nzuri sana kwa wale wanaoutumia Meridianbet kufanya ubashiri kwani timu za ushindi zipo hapa leo. ODDS KUBWA na mcahguo zaidi ya 1000 yapo hapa, hivyo ingia na usuke jamvi lako. SERIE A kuna mechi za kubashiri Sassuolo ataumana dhidi ya Bologna huku tofauti yao ni pointi 1 pekee. Timu hizi zinafatana kwenye…
Mwalimu aliyewasaidia mastaa wakubwa wa muziki wa Bongo Fleva, akiwemo Diamond Platnumz, Harmonize na Rayvanny, kuzungumza Kiingereza kwa ufasaha, Allen Ngonyani, amefariki dunia mapema asubuhi ya leo katika Hospitali ya Geza, Kigamboni, jijini Dar es Salaam, alikokuwa anapatiwa matibabu. Akizungumza na Global TV Online, mmoja kati ya ndugu wa karibu wa marehemu amesema kuwa Ngonyani…
West Ham United wamewalazimisha Manchester City kwa sare ya 1–1 katika mchezo wa Premier League uliokuwa na ushindani mkubwa. City walitangulia kufunga kupitia Bernardo Silva dakika ya 31, lakini West Ham wakajibu haraka kupitia Konstantinos Mavropanos dakika ya 35, na kuifanya mechi hiyo kumalizika kwa sare. Matokeo hayo yanamaanisha Arsenal F.C. sasa wako pointi 9…
Kwenye mchezo wa kasino mtandaoni, ushindi haupo tu kwenye namba, uko kwenye uzoefu, msisimko, na zawadi halisi. Meridianbet imeleta mapinduzi mapya kwa wachezaji wa kasino mtandaoni kupitia mchezo wa Super Heli, ambao sasa unakuja na ofa ya kuvutia ya kujishindia simu mpya ya Samsung Galaxy A26 kwa kucheza Super Heli. Super Heli si mchezo wa…