Singida Black Stars mpaka wakati ujao

BAADA ya kufungashiwa virago kwenye hatua ya robo fainali Muungano Cup 2026, Singida Black Stars wanarejea nyumbani kwa maandalizi ya mechi zijazo. Timu hiyo ilipoteza mchezo wa kwanza kwa kufungwa magoli 2-1 dhidi ya Mlandege ambao wametinga hatua ya nusu fainali. Timu hiyo ilianza kupata goli dakika ya 9 kupitia kwa Daud halikudumu mpaa mwisho…

Read More

Simba SC 1-0 Mafunzo SC

 Simba SC 1-0 Mafunzo FC ni matokeo rasmi mchezo wa hatua ya robo fainali Muungano Cup 2026. Goli la Simba SC limefungwa na Seleman Mwalimu dakika ya 54. Mchezaji huyo alianzia benchi amekuwa ni super sub. Katika dakika 45 za mwanzo wababe hawa wawili walishuhudia ubao wa Uwanja wa New Amaan Complex ukisoma Simba SC…

Read More

Yanga SC vs Azam FC Nusu fainali Muungano Cup

Yanga SC vs Azam FC Nusu fainali Muungano Cup ya kwanza Zanzbar kwa wababe hawa wawili kukutana ndani ya dakika 90 kusaka tiketi ya kutinga hatua ya fainal. Ipo wazi kwamba mabingwa watetezi wa taji hili ni Yanga SC iliyoanza kutinga hatua ya robo fainali kwa kupataushindi kwenye mchezo wa ufunguzi, hatua ya robo fainali….

Read More

Kikosi cha Simba SC vs Mafunzo FC

Simba SC leo inashuka Uwanja wa New Amaan kusaka ushindi mbele ya Mafunzo FC hatua ya robo fainali Muungano Cup. Ni wazi kuwa Mafunzo FC wanahitaji ushindi kwenye mchezo wa leo hivo ushindani unatarajiwa kuwa mkubwa kwa timu zote mbili. Katika kikosi cha Simba SC ni Hussen Abel ameanza langoni wachezaji wengine ni Duchu, Mligo,…

Read More

Singida Black Stars yaondolewa Muungano Cup

KLABU ya Singida Black Stars imeondolewa Muungano Cup 2026 kwa kufungashiwa virago na Mlandege FC leo Aprili 23, 2026 katika mchezo wa hatua ya robo fainali. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa New Amaan Complex umesoma Mlandege 2-1 Singida Black Stars magoli matatu yakifungwa. Mlandege wamepindua meza kwa kuwa walianza kufungwa katika dakika…

Read More

Man United Wajiandaa Kushtua Soko la Usajili kwa Mabadiliko Makubwa

Manchester United inaripotiwa kupanga mageuzi makubwa ya kikosi chake katika dirisha lijalo la usajili wa majira ya joto, ikiwa na orodha ya wachezaji tisa wanaofuatiliwa kwa karibu ili kuimarisha maeneo muhimu ya uwanja. Kwa mujibu wa taarifa, moja ya majina yanayoongoza kwenye orodha hiyo ni kiungo wa Brighton & Hove Albion, Carlos Baleba, ambaye Manchester…

Read More

Meridianbet Yazindua 100% Cash Back, Wabashiri Kunufaika Zaidi

Je unajua sikuhizi kubashiri kuna faida nyingi sana?. Mojawapo ni kurejeshewa pesa yako kwa 100% ambapo ukifata masharti na vigezo vya Meridianbet. Tengeneza jamvi lako leo na uwe mshindi. Meridianbet inawafahamisha wateja wake kuhusu promosheni maalum ya 100% Cash Back ambayo inalenga kuwapa wachezaji fursa ya kupata thamani zaidi wanaposhiriki katika michezo teule ya kubashiri….

Read More

KVZ vs Azam FC ni leo

Kombe la Muungano leo Jumatano Aprili 22, 2026 linaendelea ikiwa ni hatua ya robo fainali kwa wababe wawili kushuka uwanjani kusaka tiketi ya kutinga hatua ya nusu fainali. Uwanja wa New Amaan saa 1:15 usiku utapigwa mchezo mmoja utakaowakutanisha KVZ vs AzamFC. Kocha Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge amesema wapo tayari kwa mchezo huo…

Read More

Simba SC ndani ya Zanzibar

KIKOSI cha Simba SC kinachonolewa na Kocha Mkuu,Steve Barker kimewasili Zanzibar leo Aprili 22, 2026 kwa maandalizi ya mwisho mchezo wa robo fainali Muungano Cup. Timu hiyo inatarajiwa kutupa kete yake ya kwanza Aprili 23, 2026 itakuwa dhidi ya Mafunzo SC, saa 2:15 usiku. Ikumbukwe kwamba mabingwa watetezi wa taji hilo ni Yanga SC ambao…

Read More