Manchester City Yashinda 2-1 Dhidi ya Arsenal FC, Erling Haaland Aibeba Timu Kwenye Mbio za Ubingwa
Erling Haaland ameibuka shujaa wa Manchester City baada ya kufunga bao la ushindi lililoihakikishia timu…
Erling Haaland ameibuka shujaa wa Manchester City baada ya kufunga bao la ushindi lililoihakikishia timu yake ushindi muhimu wa mabao 2-1 dhidi ya Arsenal FC, matokeo yaliyotikisa mbio za ubingwa wa Ligi Kuu England. City walianza kwa kasi na kupata bao la kwanza kupitia Rayan Cherki, aliyefunga bao la kuvutia baada ya kupita mabeki kadhaa…
Simba SC amechukua alama zote tatu ugenini dhidi ya Wauaji wa Kusini, Namungo FC katika dimba la Majaliwa, Ruangwa mkoani Lindi kwenye mchezo wa Ligi Kuu bara. Mnyama amesogea mpaka alama tano nyuma ya vinara Wananchi, Young Africans SC wakifikisha alama 42 baada ya mechi 19 wakiwa nafasi ya pili huku Namungo FC wakisalia nafasi…
Shuhudia Historia ya Afrika Ikifanyika Duniani Huku SuperSport Ikirusha Mechi Zote 104 za Kombe la Dunia la FIFA 2026™️ Mubashara SuperSport na DStv (kampuni tanzu za MultiChoice Group, kampuni ya CANAL+) zimejipanga kikamilifu kuwaletea wateja wao barani Afrika Kombe la Dunia la FIFA 2026™️ la kihistoria, kwa kurusha mechi zote 104 mubashara kutoka Mexico,…
Klabu ya Bayern Munich inaweza kutangazwa Bingwa wa Ujerumani leo iwapo haitapoteza dhidi ya VfB Stuttgart katika Dimba la Allianz Arena. Mabingwa hao watarajiwa wamepata nafuu baada ya mpinzani wao wa karibu, Borussia Dortmund, kupoteza kwa wiki ya pili mfululizo. Dortmund ilifungwa bao la dakika za mwisho na TSG Hoffenheim kwa mabao 2-1. Kwa sasa,…
Uwanja wa City Ground unajiandaa kushuhudia pambano kali la kuwania pointi muhimu za kunusurisha ligi leo tarehe 19 kuanzia saa 16:00 kwa muda wa Afrika Mashariki, ambapo Nottingham Forest (nafasi ya 16) itakuwa mwenyeji wa Burnley (nafasi ya 19) kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Uingereza. Mchezo huu ni wa kiwango cha juu kwa timu…
JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Namungo FC amesema kuwa maandalizi yamekamilika na vijana wapo tayari kwa mchezo wa leo vs Simba SC. Namungo FC vs Simba SC ni mchezo wa NBC Premier League unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Majaliwa huku wageni wakiwa ni Simba SC. Hii ni ligi namba 6 kwa ubora ushindani unekuwa mkubwa kutokana…
Bruno Fernandes aendelea kuwa shujaa wa Manchester United baada ya kutoa pasi ya bao (assist) lililoipa timu yake ushindi wa 1–0 dhidi ya Chelsea katika mchezo wa Ligi Kuu England uliochezwa Stamford Bridge usiku wa kuamkia leo Aprili 19, 2026. Bao pekee la mchezo lilifungwa na Matheus Cunha kufuatia krosi nzuri kutoka kwa Fernandes. Hii…
Mtaa unabadilika, na sasa sio nguvu tu, ni akili na kulenga muda sahihi. Big Bounty Challenge imekuja kama jibu kwa wale wanaotaka kugeuza muda wao kuwa pesa. Meridianbet wameweka jukwaa ambapo kila dau lina thamani, na kila mchezaji ana nafasi ya kung’ara. Kila mara unapocheza ni hatua kuelekea juu ya msimamo wa ushindani wa Games…
Jumamosi hii kule Uingereza kutakuwa na mitanange mingi, lakini Chelsea vs Man United ndio mechi kubwa itakayopigwa siku hiyo huku kila timu ikitaka ushindi mnono. Mechi kati ya Chelsea vs Manchester United ndani ya EPL Jumamosi, inakuja ikiwa na uzito mkubwa kutokana na msimamo wa ligi na malengo tofauti ya timu hizi mbili. Kwa mujibu…
Katika nyota 7 wa NBC Premier League wenye pasi nyingi 2025/26 kinara katika eneo hili ni kiungo mshambuliaji wa Azam FC Feisal Salum mwenye pasi 7 za magoli. Azam FC imekuwa kwenye mwendo bora ndani ya uwanja ikiwa ni timu namba moja kukusanya sare nyingi ambazo ni 10 na haijapoteza kwenye mechi 19 sawa na…
KIKOSI cha Simba SC kimewafuata wapinzani wao Namungo FC kamili gado kwa maandalizi ya mwisho ya mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Aprili 19, 2026 Uwanja wa Majaliwa. Chini ya Kocha Mkuu, Steve Barker kikosi hicho kimewasili Ruangwa, Lindi mara baada ya kuanza safari kikitokea Dar. Ikumbukwe kwamba kikosi cha Simba SC kimetoka Arusha ambapo kilikuwa…
Azam FC 3-0 JKT Tanzania matokeo rasmi mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex pointi tatu zikibaki kwa marajiri wa Dar. Magoli ya Azam FC yamefungwa na Japhte Kitambala dakika ya 48 na Idd Seleman alifunga magoli mawili dakika ya 58 na 60 na alichaguliwa kuwa mchezaji bora. Azam FC ipo nafasi ya 3 kwenye msimamo…
Kila siku unapambana, lakini mambo bado hayakai sawa upande wako, basi Meridianbet wamekuletea suluhisho kupitia Aviator. Huu ni mchezo unaokupa nafasi ya kuinuka haraka na kuchukua kile ambacho umekuwa ukikitafuta. Kila unapopaisha kindege chako, unakaribia kugusa ndoto zako. Hapa ni jitihada zako tu zinazokubeba. Unavyocheza sana, unaongeza pointi zako za ushindi na kupanda kwenye nafasi…
Namungo FC vs Simba SC NBC Premier League ni mchezo unaofuata kwenye ratiba msimu wa 2025/26 unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Majaliwa, Aprili 19, 2026. Tayari kikosi cha Simba SC kimewasili Dar kikitokea Arusha ambapo huko kimetoka kuvuna pointi 3 mbele ya Fountain Gate kwa ushindi wa magoli 3-0. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari…
Klabu ya Como 1907 ambayo kwasasa inanolewa na kocha mkuu Cesc Fabregas imezidi kuwa tishio kwa timu zingine hasa huko Italia baada ya kuonesha makali yao. Nafasi yao ya kutaka kushiriki michuano ya Ulaya ipo karibu. Je wataweza? Como 1907 wanaendelea kushangaza wengi katika Serie A chini ya Cesc Fàbregas, wakionyesha maendeleo makubwa msimu huu….
Chelsea wanafikiria kumuweka sokoni winga wao Chelsea Alejandro Garnacho katika dirisha lijalo la majira ya joto, kufuatia msimu uliokuwa mgumu kwa nyota huyo mwenye umri wa miaka 21 tangu aliposajiliwa kwa pauni milioni 40 akitokea Manchester United. Garnacho, aliyesajiliwa siku ya mwisho ya dirisha la usajili Septemba, ameanza mechi 21 kati ya 51 za…
Leo Aprili 17, 2026, jijini Dar es Salaam imefanyika droo ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB (CRDB Federation Cup), tukio lililovuta hisia kubwa za wadau wa soka nchini kutokana na upangaji wa mechi zinazotarajiwa kuwa na ushindani mkali. Droo hiyo imeziweka Simba na Yanga kwenye mazingira tofauti, huku mashabiki wakianza kujadili uwezekano…