Matokeo ya Simba SC Muungano Cup 2026
Simba SC imekata tiketi ya kutinga hatua ya fainali Muungano Cup 2026 kwa ushindi wa…
Simba SC imekata tiketi ya kutinga hatua ya fainali Muungano Cup 2026 kwa ushindi wa magoli 3-0 dhidi ya Mlandege FC katika mchezo nusu fainali ya pili. Ushindi huo unaipata tiketi kukutana na Yanga SC kwenye mchezo wa fainali unaotarajiwa kuchezwa Aprili 29, 2026 Uwanja wa New Amaan Complex. Ni wazi kwamba mabingwa watetezi wa…
Yanga SC vs Simba SC ni Dabi ya Kariakoo, Kombe la Muungano Cup kwa wababe hawa kupambana kusaka taji. Mchezo huu unatarajiwa kuchezwa kesho 29/4/2026 Jumatano, Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar, kuanzia majira ya saa 2:15 usiku kwa saa za Afrika Mashariki. Yanga SC wanaingia katika mchezo huu kama mabingwa watetezi, huku watani zao…
Mechi ya leo kati ya Cagliari na Atalanta itakuwa ya matokeo makubwa kwa timu zote mbili kwenye misimamo tofauti. Atalanta wapo nafasi ya 7 wakiwa na pointi 54 wanazitaka kwa ajili ya kuwania Kombe la Ulaya, Huku Cagliari wakiwa katika nafasi ya 16 karibu na eneo la kushuka daraja wakiwa na pointi 33 tu ….
Uwanja wa Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa sasa uko kwenye hatua za maboresho ya eneo la kuchezea (pitch), ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuuboresha ili uwe wa kisasa na kukidhi viwango vya kimataifa. Maboresho hayo yanahusisha uwekaji wa nyasi bora zaidi, uboreshaji wa mifumo ya umwagiliaji na mifereji ya maji, pamoja na kusawazisha uso…
Hivi sasa ulimwengu wa burudani ya kidijitali umapata shangwe mpya kabisa, Meridianbet imeileta Stock Trade,mchezo unakuingiza kwenye safari ya kipekee ya biashara za hisa katika anga za mbali. Haya ni mazingira ya kimkakati yanayokufanya ufikirie haraka na kufanya maamuzi kwa uangalifu. Ndani ya mchezo huu, utajikuta katika dunia ya masoko yanayobadilika kila wakati. Bei hupanda…
Simba SC imetinga hatua ya fainali Muungano Cup 2026 kwa ushindi wa magoli 3-0 Mlandege FC. Kituo kinachofuata fainali ni Yanga SC vs Simba SC, Aprili 29, 2026. Magoli ya Simba SC katika nusu fainali ya pili Aprili 26,2026 yamefungwa na Seleman Mwalimu dakika ya 61, Anicet Oura dakika ya 76 na Maema dakika ya…
Leo tarehe 26 Aprili saa 19:30 jioni, uwanja wa El Sadar huko Pamplona utakuwa shuhuda wa pambano la kuvutia kati ya Osasuna na Sevilla. Osasuna wakiwa nyumbani wanajulikana kwa nguvu zao za kutumia mashabiki, huku Sevilla wakiwa ugenini watajaribu kurejea kwenye matokeo mazuri baada ya msimu mgumu. Kwa Osasuna, kila pointi inawasaidia kukaa salama katikati…
Kwenye mechi 13 za Jackpot ya Meridianbet unaweza ukajishindia TZS 200M. Hii ni nafasi ya wewe kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kuwa mshindi kwnai hata bila intaneti unaweza ukabashiri mechi za mpira wa miguu. Katika maisha, kuna nyakati chache sana ambazo fursa huja kwa urahisi lakini hubeba uwezo mkubwa wa kubadilisha hatima ya mtu. Kupitia Meridianbet,…
Mabingwa watetezi wa Muungano Cup Yanga SC wametinga hatua ya fainali kwa ushindi wa magoli 2-1 Azam FC. Ni Prince Dube alifungua ukurasa wa magoli dakika ya 9 kwa pasi ya Allen Okelo na kamba ya pili mali ya Maxi Nzengeli kwa pasi ya Dube dakika ya 24. Goli pekee la Azam FC limefungwa na…
LEO Aprili 26, 2026 mchezo wa Hatua ya Nusu Fainali ya Muungano Cup 2026 utapigwa kwa wababe wawili kusaka tiketi kusonga hatua ya fainali. Ni katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar, Simba SC vs Mlandege FC, nusu Fainali ya pili ya mashindano haya. Mshindi wa mechi hii atavaana naYanga SC iliyopata ushindi wa magoli…
Kupitia mchezo mpya wa Meridianbet wa Stock Trade unakupa nafasi ya kushinda papo hapo, soma mchezo unavoenda na uweke dau lako la ushindi leo. Kila nafasi ni ushindi nje nje. Kwenye Dunia hii ya utandawazi, kila kitu kinaenda kwa kasi sana, na kupata burudani ni rahisi sana ukijisajili na wakali wa ubashiri Tanzania kwani kupitia…
Mchezo wa Ligi Kuu ya England kati ya West Ham United na Everton unaotarajiwa kupigwa Aprili 25, 2026 katika uwanja wa London Stadium, ni pambano muhimu kwa timu zote mbili hasa katika kipindi hiki cha mwisho wa msimu. West Ham wanahitaji ushindi ili kuimarisha nafasi yao katikati ya msimamo au kusogea juu zaidi, huku Everton…
Mambo yamezidi kuwa magumu kwa Real Madrid katika mbio za kuwania ubingwa wa La Liga, baada ya kupoteza alama muhimu kufuatia sare ya 1-1 dhidi ya Real Betis ugenini, katika dimba la La Cartuja jijini Sevilla. Real Madrid walianza vyema mchezo huo, wakitangulia kupata bao kupitia Vinicius Junior mapema katika kipindi cha kwanza, bao lililoashiria…
Yanga SC vs Azam FC ni leo Aprili 25, 2026 kwenye hatua ya nusu fainali Muungano Cup, Uwanja wa New Amaan Complex. Hii ni Nusu Fainali ya kwanza, ya mashindano ya Muungano Cup 2026, ambao unajulikana kama ‘Dar es Salaam Derby’. Ikumbukwe kwamba Yanga SC imefika hatua hii baada ya kuifunga Muembe Makumbi City 4-0…
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania imetangaza mabadiliko ya uwanja kwa mchezo wa pili wa Dabi ya Kariakoo msimu wa 2025/26 kati ya Simba na Yanga. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Aprili 24, 2026, mchezo huo sasa utapigwa Mei 03, 2026 saa 12:00 jioni katika Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, ambao ni uwanja wa nyumbani wa…
Mchezo wa Ligi Kuu ya Ujerumani (Bundesliga) kati ya RB Leipzig dhidi ya Union Berlin unaotarajiwa kupigwa leo Aprili 24, 2026 saa 21:30 usiku katika uwanja wa Red Bull Arena, Leipzig, unatarajiwa kuwa mmoja wa michezo muhimu katika mzunguko huu wa ligi. Leipzig wakiwa nyumbani wanatafuta pointi muhimu kujiimarisha kwenye nafasi za juu za msimamo…
BAADA ya kufungashiwa virago kwenye hatua ya robo fainali Muungano Cup 2026, Singida Black Stars wanarejea nyumbani kwa maandalizi ya mechi zijazo. Timu hiyo ilipoteza mchezo wa kwanza kwa kufungwa magoli 2-1 dhidi ya Mlandege ambao wametinga hatua ya nusu fainali. Timu hiyo ilianza kupata goli dakika ya 9 kupitia kwa Daud halikudumu mpaa mwisho…