Simba SC yaanza mipango kuelekea Simba DAY

UONGOZI wa Simba SC umebainisha kuwa umeanza mpango wa kuhesabu siku kuelekea tamasha kubwa la Simba Day ikiwa ni maandalizi ya msimu mpya wa 2026/27. Mwenyekiti wa Bodi, Crescentius Magori amesema : “Hii maana yake tumeanza count down kuelekea kwenye Simba Day. Kama kuna mkoa Simba tukija huwa tunasikia raha ni Arusha kuna wakati mwingine…

Read More

Paulo Dybala Aongeza Mkataba AS Roma Hadi 2027

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Argentina, Paulo Dybala, ameongeza mkataba wake na klabu ya AS Roma utakaomuweka katika kikosi hicho cha Serie A hadi Juni 2027. Roma ilithibitisha taarifa hiyo Jumatatu, ikimaliza uvumi uliokuwa ukihusishwa na mustakabali wa nyota huyo mwenye umri wa miaka 32. Dybala alijiunga na Roma mwaka 2022 baada ya kuitumikia…

Read More

Konate: Ufaransa Haiiogopi Hispania, Lakini Tunaithamini Kabla ya Nusu Fainali ya Kombe la Dunia 2026

Beki wa timu ya taifa ya Ufaransa, Ibrahima Konate, amesema hawana hofu ya kukutana na Hispania katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Dunia 2026, lakini wanaiheshimu kutokana na kiwango bora ilichokionyesha katika mashindano hayo. Ufaransa itakutana na Hispania kesho, Julai 14, 2026 saa nne usiku, katika mchezo unaotarajiwa kuwa wa ushindani mkubwa huku…

Read More

Zungusha Gurudumu Ushinde! Meridianbet Yatoa Zaidi ya Milioni 3 kwa Washindi

Burudani ya kweli huwa tamu zaidi pale inapokupa sababu ya kutabasamu kila unapocheza, na hilo ndilo Meridianbet imeamua kulifanya kupitia kampeni yake mpya ya SmartSoft Spin & Win Instant Prizes Tournament. Kampeni hii imekuja wakati ambao wabashiri wengi wanatafuta burudani yenye msisimko, ubunifu na nafasi za ushindi zinazoweza kubadili siku yao kwa muda mfupi. Badala…

Read More

Yanga Yamtangaza Manqoba Mngqithi Kuwa Kocha Mkuu Mpya

Klabu ya Young Africans SC (Yanga) imemtangaza rasmi aliyekuwa kocha wa Mamelodi Sundowns, Manqoba Mngqithi, kuwa kocha mkuu mpya wa timu hiyo. Mngqithi ametua Jangwani kwa mkataba wa miaka miwili, akichukua nafasi iliyoachwa na Pedro Gonçalves, ambaye aliondolewa kwenye nafasi hiyo mapema mwezi Mei 2026. Kocha huyo raia wa Afrika Kusini anajiunga na Yanga akiwa…

Read More

Milioni 450 za Golden Goal Rewards Zinawaita Wapenzi wa Kasino

Katika ulimwengu wa burudani za kisasa, watu wanatafuta zaidi ya mchezo wa kawaida, wanatafuta uzoefu unaobeba msisimko na nafasi ya kushinda. Meridianbet imejibu hitaji hilo kupitia Golden Goal Rewards, promosheni inayotoa jumla ya TZS milioni 450 kwa washindi watakaothubutu kushiriki. Hii ni nafasi ya kuunganisha furaha ya kucheza na ndoto ya ushindi mkubwa. Safari inaanza…

Read More