Barcelona vs Celta Vigo Patashika Kubwa Camp Nou Usiku wa Leo
Patashika nguo kuchanika Leo tarehe 22 Aprili 2026, saa 10:30 usiku kwa saa za Afrika…
Patashika nguo kuchanika Leo tarehe 22 Aprili 2026, saa 10:30 usiku kwa saa za Afrika Mashariki, uwanja wa Spotify Camp Nou huko Barcelona utakuwa jukwaa la pambano la kusisimua la La Liga kati ya Barcelona na Celta Vigo. Barcelona wanaingia kwenye mechi hii wakiwa kileleni mwa msimamo wa La Liga wakiwa na pointi 76 baada…
Klabu ya Chelsea FC imejikuta katika kipindi kigumu baada ya kupoteza mechi tano mfululizo za Ligi Kuu England kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1993, huku pia ikishindwa kufunga bao katika mfululizo huo wa mechi hali ambayo haijawahi kutokea katika kipindi cha miaka 114. Matokeo hayo yamekuja baada ya kipigo cha mabao 3-0 kutoka kwa…
Nyota wa soka duniani Cristiano Ronaldo anaweza kuandika historia nyingine kubwa ya michezo iwapo atafanikiwa kucheza pamoja na mwanawe Cristiano Ronaldo Jr katika timu ya Al Nassr msimu ujao. Ripoti kutoka vyombo vya habari vya Kiarabu zinasema kuwa klabu hiyo ya Saudi Arabia inaangalia uwezekano wa kumuinua kijana huyo mwenye umri wa miaka 15 kutoka…
Klabu ya Yanga imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Muungano 2026 baada ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao 4-0 dhidi ya Muembe Makumbi City katika mchezo uliopigwa kwenye dimba la New Amaan Complex, Zanzibar. Yanga walionesha ubora wao mapema katika mchezo huo, wakitawala kabisa dhidi ya wapinzani wao na kupata bao…
Inawezekana kabisa kupata Samsung Mpya kabisa kwa wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet. Kupitia promosheni yako ya Bet Online ndugu mteja una nafasi ya kuchukua Samsung A26 hapa. Katika msimu huu wa burudani na ushindani mkali ndani ya ulimwengu wa soka, Meridianbet imewasha moto mpya unaowapa wachezaji wote sababu ya kuongeza hamasa wanapotazama na kubashiri mechi…
Vita inazidi kuwa kali huko Uingereza ambapo baada ya kubakia mechi chache sasa timu zinapambana kwa hali na mali kusaka nafasi ya kufuzu kwenye Uefa, wengine Europa. Je vipi The Blues watapita?. Jumanne hii hapa kule Uingereza kutakuwa na mchezo mmoja wa EPL kati ya Brighton & Hove Albion dhidi ya Chelsea ambao wamekuwa na…
Rekodi zinazidi kuandikwa ndani ya Tanzania Premier League ambayo ni ligi namba 6 kwa ubora Afrika. Wakati timu mbili zikiwa hazijapoteza ndani ya ligi, Yanga SC na Azam FC kinara kwenye kutengeneza pasi za mwisho maskani yake ipo Azam Complex kwenye mechi za nyumbani. Ni Kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum huyu ni King…
LEO Aprili 21, 2026 mabingwa watetezi wa taji la Muungano Cup Yanga SC watakuwa uwanjani kwenye mchezo wa ufunguzi kutetea taji hilo. Yanga SC vs Maembe Makumbi, saa 1:15 usiku, Aprili 21, 2026 KVZ vs Azam FC, saa 1:15, usiku, Aprili 22, 2026 Mlandege FC vs Singida Black Stars, saa 10:15, jioni Aprili 23, 2026…
Meridianbet inafuraha kutangaza uzinduzi wa mchezo wake mpya wa kisasa, The Expanse: Stock Trade, unaolenga kubadilisha namna wachezaji wanavyoshiriki katika michezo ya kimkakati. Ukichanganya msisimko wa maamuzi ya kifedha na upeo usio na mipaka wa anga za juu, The Expanse: Stock Trade unawapeleka wachezaji katika ulimwengu wa kipekee ambapo masoko hubadilika kwa wakati halisi na…
Michuano ya Kombe la Muungano 2026 inatarajiwa kuanza Jumanne hii Aprili 21, 2026. Mechi ya kwanza itawahusu mabingwa watetezi ambao ni Yanga SC. NI Yanga SC vs Muembe Makumbi City FC unaotarajiwa kuchezwa kesho. Mabingwa watetezi tayari wameshatia timu Zanzibar. Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Pedro Goncalves amekuwa na kikosi hicho na tayari wameshawasili…
Kiungo wa Yanga, Mudathir Yahya amefungiwa michezo mitatu pamoja na kutozwa faini ya Tsh milioni 1 baada ya kukutwa na kosa la kumpiga kiwiko mchezaji wa Pamba Jiji FC, Ibrahim Abraham wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Adhabu hiyo imetolewa na Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu…
Klabu za Simba SC na TRA United zimetozwa faini ya Tsh. milioni tano kila moja kwa kosa la walinzi wa klabu hizo (Stewards) kupigana mara baada ya timu hizo kuwasili kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha. Adhabu hiyo imetolewa leo Aprili 20, 2026 na kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya…
Uwanja wa Selhurst Park, London Leo tarehe 20 kuanzia saa 22:00 utakuwa jukwaa la pambano la kusisimua la derby ya London kati ya Crystal Palace dhidi ya West Ham United katika Ligi Kuu ya Uingereza. Mchezo huu unakuja wakati timu zote zikiwa na malengo tofauti kwenye msimamo, huku Crystal Palace wakiwa na rekodi nzuri…
Kuna jambo moja linatikisa kila kona kwa sasa, fursa kali kutoka Meridianbet. Wabashiri wanazungumzia uwepo wa Samsung Galaxy A26 kama zawadi inayoweza kubadilisha stori yako ndani ya muda mfupi. Hii ni nafasi ya wale wanaocheza kwa akili na ujasiri. Super Heli umekuwa mchezo wa kasi na presha. Helikopta inapopaa, kila sekunde inaongeza thamani ya ushindi….
Erling Haaland ameibuka shujaa wa Manchester City baada ya kufunga bao la ushindi lililoihakikishia timu yake ushindi muhimu wa mabao 2-1 dhidi ya Arsenal FC, matokeo yaliyotikisa mbio za ubingwa wa Ligi Kuu England. City walianza kwa kasi na kupata bao la kwanza kupitia Rayan Cherki, aliyefunga bao la kuvutia baada ya kupita mabeki kadhaa…
Simba SC amechukua alama zote tatu ugenini dhidi ya Wauaji wa Kusini, Namungo FC katika dimba la Majaliwa, Ruangwa mkoani Lindi kwenye mchezo wa Ligi Kuu bara. Mnyama amesogea mpaka alama tano nyuma ya vinara Wananchi, Young Africans SC wakifikisha alama 42 baada ya mechi 19 wakiwa nafasi ya pili huku Namungo FC wakisalia nafasi…
Shuhudia Historia ya Afrika Ikifanyika Duniani Huku SuperSport Ikirusha Mechi Zote 104 za Kombe la Dunia la FIFA 2026™️ Mubashara SuperSport na DStv (kampuni tanzu za MultiChoice Group, kampuni ya CANAL+) zimejipanga kikamilifu kuwaletea wateja wao barani Afrika Kombe la Dunia la FIFA 2026™️ la kihistoria, kwa kurusha mechi zote 104 mubashara kutoka Mexico,…