Mechi ya Kisasi! Ukraine na Sweden Kukutana Kufuzu WC 2026
Usiku wa leo macho ya mashabiki wa soka yataelekezwa kwenye dimba la Estadi Ciutat…
Usiku wa leo macho ya mashabiki wa soka yataelekezwa kwenye dimba la Estadi Ciutat De Valencia, ambapo timu ya taifa ya Ukraine itakuwa mwenyeji wa Sweden katika mchezo wa hatua ya mtoano wa kufuzu WC 2026, ambapo kwenye mechi hii unaweza kujizolea maokoto na Meridianbet. Mchezo huu umepewa jina la “kisasi” kutokana na kumbukumbu…
Singida Black Stars vs Azam FC kwenye NBC Premier League inatarajiwa kupigwa Aprili Mosi, 2026 kwa wawili hawa kusaka pointi 3 muhimu ndani ya dakika 90. Ni Uwanja wa Airtel mchezo huu utachezwa ampao wenyeji ni Singida Black Stars watawakaribisha Azam FC kwenye mchezo wa ligi. Wenyeji Singida Black Stars kwenye mechi mbili zlizopita Machi…
Tanzania vs Liechtenstein ni leo kwenye FIFA Series ambayo mashindano maalum, yaliyo kwenye kalenda ya FIFA. Mashaindano haya yanalenga kuhakikisha timu zinajiandaa na mashindano mbalimbali makubwa yanafanyika nchini Rwanda. Miguel Gamondi, Kocha Mkuu wa Tanzania amesema wapo tayari kwa mchezo wa leo kutokana na maandalizi ambayo wameyafanya kukabiliana na Liechtenstein. Tanzania imesafiri na kikosi cha…
Kila mchezaji anajua kuwa bahati hubadilika, lakini sasa unaweza kufaidika hata siku ambayo haijawa yako. Kupitia Meridianbet, promosheni ya Lucky Friday imeletwa mahsusi kuhakikisha kila Ijumaa inaleta furaha mpya kwa wachezaji wote. Hii ni nafasi ya kugeuza mchezo wako kuwa faida, bila kujali matokeo. Ushiriki wake ni mwepesi na wenye kuvutia, cheza michezo ya Lucky…
Kocha wa Timu ya Taifa ya Mali, Tom Saintfiet ametangaza kikosi cha wachezaji 25 kwa ajili ya mechi mbili za kirafiki za Kalenda ya FIFA ya Machi 2026 huku golikipa wa Yanga SC, Djigui Diarra akiwa miongoni mwa wachezaji muhimu walioachwa kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo majeraha na mapumziko. Wachezaji wengine walioachwa ni pamoja na…
Mshambuliaji nyota wa Mohamed Salah ametangaza rasmi kuwa ataondoka ndani ya klabu ya Liverpool mwishoni mwa msimu huu, akihitimisha safari ya kihistoria ya miaka tisa ndani ya Anfield. Salah, mwenye umri wa miaka 33, ameondoka akiwa mchezaji huru (free transfer), jambo ambalo limewashtua mashabiki wengi wa soka duniani. Kupitia video ya kihisia aliyochapisha mtandaoni, Salah…
Yanga SC na Kampuni ya EMWANI wameandaa mashindano yatakayofanyika 28/03/2026 kituo cha TFF Kigamboni. Ali Kamwe, Meneja wa Idara ya Habari amesema huo ni muitikio wa Watanzania katika mradi Yanga Soccer School na mshindi wa kwanza atapata milioni 3, mshindi wa pili milioni moja na watakaoishia nusu faiinali watapata laki 5. “Mradi wetu wa Yanga Soccer…
Katika eneo la kutengeneza pasi za mwisho ndani ya NBC Premier League wakali wawili wapo kwenye chati wakiwa wametengeneza pasi nyingi ambazo ni 5. Ni Ellie Mpanzu wa Simba SC yupo sawa na kiungo wa Azam FC Feisal Salum ambao hawa wote wamekuwa katika ubora kwenye eneo la kutengeneza pasi za mwisho. Wengine kwa mujibu…
Bila Intanenti ni rahisi kabisa kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kushindania Samsung A26 na Meridianbet leo. Jumatano ya Zawadi ipo kwaajili yako siku ya leo inaweza kukupa furaha sana. Jumatano hii haifanani na nyingine yoyote. Ni siku ambayo Meridianbet inawasha moto wa bahati kwa njia ambayo haijawahi kutokea. Kwa mara nyingine tena, wateja wote wanaopenda kubashiri…
Sasa ni rasmi, Vaso Psycho kutoka Expanse imewasili ndani ya Meridianbet, na tayari imeanza kubadilisha namna wachezaji wanavyoiona kasino mtandaoni. Huu ni mchezo unaokupa zaidi ya burudani; unakupa nafasi ya kuandika historia yako ya ushindi kwa kila mzunguko unaoucheza. Kitu cha kwanza utakachogundua ni jinsi kila raundi ilivyo tofauti. Hakuna kubahatisha kwa mazoea hapa, mfumo…
LIGI ya NBC Premier League ushindani wake ni mkubwa kwa kila timu kupambania ushindi ndani ya uwanja msimu wa 2025/26. Makipa kazi kubwa kwenye kuokoa michomo ndani ya uwanja huku Yanga SC wakiwa namba moja kwenye eneo hilo na ipo wazi baada ya mechi 16 timu hiyo haijapoteza mchezo. Hii hapa orodha ya makipa wenye…
ELLIE Mpanzu winga wa Simba SC, raia wa DR Congo amesema kuwa ni furaha kwake kusalia katika familia ya timu hiyo kwa muda mwingine tena. Machi 23,2026 taarifa rasmi kutoka Simba SC ilieleza kuwa winga huyo mwenye pasi 5 za mabao msimu wa 2025/26 ndani ya NBC Premier League ameongeza kandarasi ya miaka miwili. Awali…
Julián Álvarez hana mpango wowote wa kuondoka Atlético Madrid msimu huu wa majira ya joto jambo linalozipa pigo kubwa juhudi za FC Barcelona kumsajili. ❌ Mshambuliaji huyo ameonyesha kujitolea kikamilifu kwa mradi wa timu unaoendelezwa na kocha Diego Simeone pale Atletico. Arsenal pia wamekuwa wakihusishwa na mshambuliaji huyo raia wa Argentina 🇦🇷 (Chanzo: SPORT) ⚽
Kiungo nyota wa zamani wa Ufaransa, Zinedine Zidane, amekubali rasmi kurithi mikoba ya Didier Deschamps kama Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Ufaransa baada ya kumalizika kwa Kombe la Dunia la FIFA 2026. Kwa mujibu wa taarifa zilizothibitishwa, Zidane anatarajiwa kuchukua jukumu hilo mara baada ya michuano hiyo itakayofanyika katika mataifa ya Marekani, Mexico…
Klabu ya Yanga, imetangaza kumrejesha kocha Abdihamid Moalin kuwa kocha Msaidizi chini ya Kocha Mkuu Pedro Gonçalves hatua ambayo klabu hiyo imeeleza kuwa imalenga kutatua changamoto ya kiufundi klabu hiyo inayopelekea kupata wakati mgumu kupata matokeo mazuri na kucheza vizuri. Taarifa ya Machi 23, 2026 iliyotolewa na klabu hiyo na klabu hiyo baada ya kikao…
Mlinzi wa kushoto wa Simba SC, Nickson Kibabage, ameibua mjadala baada ya kuonesha tattoo ya mnyama simba mgongoni mwake, hatua inayokuja siku chache tangu kauli za mafumbo kutoka kwa Afisa Habari wa Yanga SC, Ali Kamwe. Kamwe, akizungumza na waandishi wa habari, alidokeza kuhusu mchezaji wa zamani wa Yanga ambaye tangu aondoke klabuni hapo ameanza…
Inawezekana kabisa kupata Samsung Mpya kabisa kwa wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet. Kupitia promosheni yako ya Bet Online ndugu mteja una nafasi ya kuchukua Samsung A26 hapa. Katika msimu huu wa burudani na ushindani mkali ndani ya ulimwengu wa soka, Meridianbet imewasha moto mpya unaowapa wachezaji wote sababu ya kuongeza hamasa wanapotazama na kubashiri mechi…