Simba SC yawafuata Namungo FC kamili gado

KIKOSI cha Simba SC kimewafuata wapinzani wao Namungo FC kamili gado kwa maandalizi ya mwisho ya mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Aprili 19, 2026 Uwanja wa Majaliwa. Chini ya Kocha Mkuu, Steve Barker kikosi hicho kimewasili Ruangwa, Lindi mara baada ya kuanza safari kikitokea Dar. Ikumbukwe kwamba kikosi cha Simba SC kimetoka Arusha ambapo kilikuwa…

Read More

Azam FC 3-0 JKT Tanzania

Azam FC 3-0 JKT Tanzania matokeo rasmi mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex pointi tatu zikibaki kwa marajiri wa Dar. Magoli ya Azam FC yamefungwa na Japhte Kitambala dakika ya 48 na Idd Seleman alifunga magoli mawili dakika ya 58 na 60 na alichaguliwa kuwa mchezaji bora. Azam FC ipo nafasi ya 3 kwenye msimamo…

Read More

Kula Ushindi Ukiwa Juu Angani Na Kindege Cha Aviator

Kila siku unapambana, lakini mambo bado hayakai sawa upande wako, basi Meridianbet wamekuletea suluhisho kupitia Aviator. Huu ni mchezo unaokupa nafasi ya kuinuka haraka na kuchukua kile ambacho umekuwa ukikitafuta. Kila unapopaisha kindege chako, unakaribia kugusa ndoto zako. Hapa ni jitihada zako tu zinazokubeba. Unavyocheza sana, unaongeza pointi zako za ushindi na kupanda kwenye nafasi…

Read More

Namungo FC vs Simba SC NBC Premier League

Namungo FC vs Simba SC NBC Premier League ni mchezo unaofuata kwenye ratiba msimu wa 2025/26 unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Majaliwa, Aprili 19, 2026. Tayari kikosi cha Simba SC kimewasili Dar kikitokea Arusha ambapo huko kimetoka kuvuna pointi 3 mbele ya Fountain Gate kwa ushindi wa magoli 3-0. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari…

Read More

Makonda Amteua Tenga Kuongoza Maandalizi ya AFCON 2027

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wa Tanzania, Paul Makonda, amemteua aliyekuwa nahodha wa zamani wa timu ya taifa, Leodegar Tenga, kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Ndani ya Maandalizi ya Fainali za AFCON 2027. Mashindano hayo makubwa ya soka barani Afrika yanatarajiwa kufanyika kwa ushirikiano wa nchi tatu za Afrika Mashariki ambazo ni Tanzania,…

Read More

Raphinha Aomba Radhi Baada ya Ishara Dhidi ya Mashabiki wa Atlético Madrid

Nyota wa FC Barcelona, Raphinha, ameomba radhi kufuatia ishara aliyofanya kuelekea mashabiki wa Atlético Madrid baada ya timu yake kutolewa katika hatua ya robo fainali ya UEFA Champions League. Raphinha, ambaye hakushiriki kwenye mchezo wa marudiano kutokana na majeraha ya paja, alionekana akijibu mashabiki wa Atlético akiwa uwanjani baada ya mechi iliyopigwa kwenye Uwanja wa…

Read More