Barcelona Inaweza Kuwa na Kipaumbele Kumchukua Erling Haaland

Victor Font, mgombea urais wa Barcelona, ameeleza kwamba Erling Haaland ndiye lengo lake kubwa, akionyesha kwamba klabu ya LaLiga inaweza kuwa na kipaumbele kumchukua mshambuliaji huyo ikiwa ataamua kuondoka Manchester City. Font alisema: “Haaland ni mmoja wa washambuliaji bora duniani. Tumejizatiti kuwa tutakuwa na kipaumbele kumchukua ikiwa atataka changamoto mpya.” Haaland, 25, alisaini mkataba wa…

Read More

Naga Games Inakuja Kukuhakikishia Ushindi Meridianbet

Meridianbet imefungua ukurasa mpya katika ulimwengu wa kasino mtandaoni kwa kumkaribisha rasmi Naga Games ndani ya jukwaa lake. Uzinduzi huu unaashiria hatua nyingine ya ubunifu inayolenga kuwapa wachezaji uzoefu wa kisasa zaidi, uliojengwa kwa teknolojia ya hali ya juu na michezo inayoweka msisimko kwenye kila mzunguko wa mchezo. Kupitia Naga Games, Meridianbet inaleta mfumo mpya…

Read More

Hiki hapa kikosi cha Yanga SC vs Tanzania Prisons

Tanzania Prisons vs Yanga SC ni leo Machi 12,2026 saa 2:00 usiku. Hiki hapa kikosi cha Yanga SC ambacho kinatarajiwa kuanza:- Langoni Djigui Diarra Mabeki: Israel Mwenda, Zimbwe Jr, Nondo, Bacca. Viungo ni Damaro, Abuya, Maxi, Mudathir na Okello. Mshambuliaji ni Prince Dube. Akiba: Masalanga, Abubakari, Assink, Andabwile, Yao, Abdulnasir, Shekhan, Edmund, Bupa, Depu. ***…

Read More

Valverde Aitikisa Man City kwa Hat-Trick Bernabéu, Real Madrid Waongoza 3-0

Kiungo wa Real Madrid, Federico Valverde, ameandika historia kwa kufunga mabao matatu (hat-trick) katika kipindi cha kwanza, akiiwezesha timu yake kuongoza mabao 3-0 dhidi ya Manchester City kwenye mchezo wa UEFA Champions League uliopigwa katika dimba la Santiago Bernabéu Stadium. Valverde alianza kuifungia Real Madrid bao la kwanza dakika ya 20, kabla ya kuongeza la…

Read More

Iran Yatangaza Huenda Isishiriki Kombe la Dunia 2026

Waziri wa Michezo na Vijana wa Iran, Ahmad Donyamali, amesema timu ya taifa ya wanaume ya nchi hiyo huenda isishiriki katika michuano ya FIFA World Cup 2026 kutokana na hali ya usalama na mvutano wa kisiasa unaoendelea. Akizungumza katika mahojiano na kituo cha televisheni cha michezo cha Islamic Republic of Iran Broadcasting (IRIB) siku ya…

Read More

Ubabe wa Yanga Ndani Wazidi Kuonekana Msimu wa 2025/26

Dar Young Africans wanazidi kuchanja mbuga baada ya kuendeleza mwenendo mzuri kwenye michuano ya ndani ikiwemo ligi na FA lakini kwa isivyo bahati walitolewa kwenye michuano ya CAF. Inawezekana huu ukawa ni msimu wa Yanga ambao umebeba hisia mchanganyiko fahari ya kutawala ligi ya nyumbani na maumivu ya kuishia njiani kwenye anga la kimataifa. Hata…

Read More

Singida Black Stars vs Simba SC, mnyama ajaza viungo

Kikosi cha Simba SC kwenye mchezo wa leo Machi 11 vs Singida Black Stars, viungo wametawala asilimia kubwa kikosi cha kwanza. Uwanja wa Airtel utashuhudia mchezo huu wa NBC Premier League na kikosi cha mnyama kipo namna hii:- Langoni Mahamadou Kassali  Mabeki  Shomari Kapombe Nickson Kibabage Ismael Toure  De Reuck Viungo Yusuph Kagoma Libasse Gueye…

Read More

Tanzania Prisons vs Yanga SC kupigwa Tabora?

Tanzania Prisons vs Yanga SC kupigwa Tabora? Ni swali ambalo linaulizwa ni baada ya wenyeji kubainisha kuwa watakuwa Tabora kwenye mechi zinazofuata. Wapinzani hawa wawili wanatarajiwa kukutana Machi 12,2026 kwenye msako wa pointi tatu muhimu ndani ya uwanja. Ipo wazi kwamba Prisons wamekuwa wakitumia Uwanja wa Sokoine kwa mechi za nyumbani uliopo Mbeya kutokana na…

Read More