Azam FC vs AS Maniema, Jumamosi New Amaan Complex
Azam FC vs AS Maniema, Jumamosi New Amaan Complex ni mchezo ujao kwa wawakilishi wa…
Azam FC vs AS Maniema, Jumamosi New Amaan Complex ni mchezo ujao kwa wawakilishi wa Tanzania katika anga la kimataifa. Ni mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya makundi kwenye msako wa kutinga hatua ya robo fainali. Ikumbukwe kwamba mchezo wa kwanza Azam FC ilipoteza dhidi ya AS Maniema hivyo itaingia uwanjani ikiwa na…
Pesa iko nje nje leo hii kwenye mechi za ligi ndani ya Meridianbet kwani kila kitu unachotaka kipo hapa kuanzia Odds kubwa, machaguo zaidi ya 1000. Jisajili sasa na uanze safari yako ya ushindi. Uingereza itapigwa mechi ya Nusu Fainali ya Carabao kati ya Arsenal vs Chelsea ambapo The Blues wataingia uwanjani kusaka ushindi dhidi…
Dar es Salaam, Tanzania – Kikosi cha Young Africans SC (Yanga) kinasafiri leo Jumanne Februari 3, 2026 saa 12:00 mchana kuelekea Morocco, ambapo kitacheza mechi muhimu ya CAF Champions League dhidi ya AS FAR Rabat. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Jumamosi, Februari 7, 2026, na unatarajiwa kuwa changamoto kubwa kwa Majavi, huku wakiwa wanatafuta ushindi muhimu…
Sosholaiti maarufu kutoka Tanzania, Malaika Cute, ameendelea kuwa gumzo mitandaoni baada ya kuonyesha maisha yake ya kifahari na yenye kujiamini kupitia ukurasa wake wa Instagram, huku akiambatanisha ujumbe mfupi unaosema “No pressure.” Kupitia picha na video anazochapisha mara kwa mara, Malaika ameonekana akifurahia maisha, akisafiri, kupiga pozi za kuvutia na kuvaa mavazi ya kisasa yanayoonyesha…
Liverpool wametangaza rasmi kukamilisha usajili wa mchezaji Jeremy Jacquet, na hatua inayosubiriwa sasa ni kupatikana kwa kibali cha Kimataifa ili nyota huyo aanze kazi rasmi Anfield. Jeremy Jacquet ni Nyota wa Ufaransa, anacheza kama Mlinzi wa kati (central defender) akitokea katika klabu ya Stade Rennais FC nchini Ufaransa na kujiunga na Majogoo hao wa Anfield.
Meridianbet imekuja na fursa ya kuwaneemesha na kuwathaminisha wateja wake kwa kuwapatia nafasi ya kushinda bonasi ya hadi beti 500 za bure kila siku kwa hatua rahisi tu, kwa kuunda mchanganyiko wa machaguo kwenye mchezo wa Win&Go. Pamoja na kwamba ofa nyingi zimekua zikitoka kama vile mizunguko ya bure, bonasi ya ukaribisho kwa wateja wapya,…
UONGOZI wa Simba SC umewaomba mashabiki kutokata tamaa wala kuivunjia adabu timu hiyo mara baada ya matumaini ya kukata tiketi kutinga hatua ya robo fainali kuzimika Februari Mosi 2026. Sare ya kufungana magoli 2-2 de Tunis inainfanya Simba SC kukusanya pointi moja baada ya mechi nne ikiburuza mkia katika kundi D. Ahmed Ally, Meneja wa…
Je unajua kuwa vijana wa Liam wanazidi kuimarika siku hadi siku?. Bashiri na Meridianbet mechi zote za Chelsea ambazo mara nyingi kufungana kwao ni wazi sana. Jisajili sasa na uibuke bingwa. Chelsea wameonyesha hali ya kupanda na kushuka, lakini kwa ujumla wameendelea kujijenga kama timu yenye ushindani mkubwa. Uwepo wa wachezaji kama Cole Palmer, Enzo…
Unajisikia vipi ukiwa na nafasi ya kushinda kila siku? Meridianbet inachukua hatua nyingine ya kipekee kwa kuleta Naga Games, jukwaa jipya la kasino linaloleta msisimko wa kipekee na fursa za malipo makubwa. Hapa, kila mchezo ni mwaliko na kila kitufe unachobonyeza kinaweza kubadilisha mlingano wa ushindi wako. Naga Games haiundi michezo ya kawaida, inaandaa michezo…
KATIKA kundi D Simba SC inaburuza mkia ikiwa imekusanya pointi moja baada ya mechi 4 2025/26. Matokeo haya yanadidimiza malego ya Simba SC kutinga hatua ya makundi kutokana na kukusanya pointi kiduchu baada ya mechi nne ikisaliwa na mechi mbili. Mahesabu yanawagomea Simba SC kutinga hatua ya robo fainali ikiwa Esperance watapata matokeo kwenye mchezo…
CHINI ya Kocha Mkuu, Pedro Goncalves, msafara wa Yanga SC umerejea Dar Februari Mosi kutoka Zanzibar baada ya kukamilisha dakika 90 zakimataifa. Januari 31,2026 Yanga SC 1-1 Al Ahly ulikuwa mchezo wa hatua ya makundi CAF Champions League ikiwa ni mchezo wa nne kwa wababe wote wawili. Yanga SC kwenye kundi D ipo nafasi ya…
Simba SC vs de Tunis ni mchezo wa hatua ya makundi unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Februari Mosi 2026. Kwenye kikosi cha kwanza winga Ellie Mpanzu ameanza benchi huku kiungo mshambuliaji Clatous Chama akianza kikosi cha kwanza. Mshambuliaji Seleman Mwalimu na Jonathan Sowah wote wapo benchi huku kiungo mshambuliaji Gueye akipewa jukumu eneo la ushambuliaji….
Dar es Salaam, Februari 1, 2026 – Kikosi cha Simba SC kitakachoanza kwa mechi ya mzunguko wa nne wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya ES Tunis ya Tunisia. Mechi itachezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Mechi imepangwa kuanza saa 10:00 jioni kwa muda wa Tanzania, huku mashabiki wakitarajiwa…
Mchezaji wa kimataifa wa Burundi, Saidi Ntibazonkiza, amerejea rasmi kwenye klabu yake ya zamani, Vital’o FC, baada ya kipindi kirefu akiwa mbali na uwanja wa mpira. Ntibazonkiza atashiriki katika mechi za mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Burundi pamoja na mashindano ya Kombe la Rais, akitarajiwa kuongeza nguvu kwenye mstari wa mbele wa Vital’o…
Je unataka Odds kubwa siku ya leo?. Ingia kwa wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet na uanze safari yako ya kutimiza ndoto zako hapa. Weka dau lako ulitakalo sasa na ubeti leo. LALIGA kuna mechi za pesa ambapo mapema kabisa Real Madrid atakipiga dhidi ya Rayo Vallecano ambao wanashika nafasi ya 16 kwenye msimamo wa ligi….
Meridianbet Tanzania inaendelea kufungua milango mipya ya burudani na ushindi kwa kuileta rasmi Super Heli Premium, mchezo wa kasino unaochanganya kasi, mkakati na maamuzi ya papo kwa papo. Hapa, si suala la kubahatisha tu, ni kuhusu kusoma mchezo, kuhisi muda sahihi na kuchukua hatua kabla helikopta haijapotea angani. Kila raundi ni hadithi mpya. Unaweka dau…
Dar es Salaam, Januari 31, 2026 — Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza rasmi matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne uliofanyika mwaka 2025 kote nchini. Akizungumza katika ofisi za baraza hilo jijini Dar es Salaam, Katibu Mtendaji wa NECTA, Profesa Said A. Mohamed, amesema kuwa ufaulu wa jumla umeongezeka kwa asilimia 2.61 na…