Iran Yatangaza Huenda Isishiriki Kombe la Dunia 2026

Waziri wa Michezo na Vijana wa Iran, Ahmad Donyamali, amesema timu ya taifa ya wanaume ya nchi hiyo huenda isishiriki katika michuano ya FIFA World Cup 2026 kutokana na hali ya usalama na mvutano wa kisiasa unaoendelea. Akizungumza katika mahojiano na kituo cha televisheni cha michezo cha Islamic Republic of Iran Broadcasting (IRIB) siku ya…

Read More

Ubabe wa Yanga Ndani Wazidi Kuonekana Msimu wa 2025/26

Dar Young Africans wanazidi kuchanja mbuga baada ya kuendeleza mwenendo mzuri kwenye michuano ya ndani ikiwemo ligi na FA lakini kwa isivyo bahati walitolewa kwenye michuano ya CAF. Inawezekana huu ukawa ni msimu wa Yanga ambao umebeba hisia mchanganyiko fahari ya kutawala ligi ya nyumbani na maumivu ya kuishia njiani kwenye anga la kimataifa. Hata…

Read More

Singida Black Stars vs Simba SC, mnyama ajaza viungo

Kikosi cha Simba SC kwenye mchezo wa leo Machi 11 vs Singida Black Stars, viungo wametawala asilimia kubwa kikosi cha kwanza. Uwanja wa Airtel utashuhudia mchezo huu wa NBC Premier League na kikosi cha mnyama kipo namna hii:- Langoni Mahamadou Kassali  Mabeki  Shomari Kapombe Nickson Kibabage Ismael Toure  De Reuck Viungo Yusuph Kagoma Libasse Gueye…

Read More

Tanzania Prisons vs Yanga SC kupigwa Tabora?

Tanzania Prisons vs Yanga SC kupigwa Tabora? Ni swali ambalo linaulizwa ni baada ya wenyeji kubainisha kuwa watakuwa Tabora kwenye mechi zinazofuata. Wapinzani hawa wawili wanatarajiwa kukutana Machi 12,2026 kwenye msako wa pointi tatu muhimu ndani ya uwanja. Ipo wazi kwamba Prisons wamekuwa wakitumia Uwanja wa Sokoine kwa mechi za nyumbani uliopo Mbeya kutokana na…

Read More

Fainali ya Kombe Brazil Yageuka Vurugu: Wachezaji 23 Watolewa kwa Kadi Nyekundu, Hulk Apigwa Teke la Kuruka

Fainali ya mashindano ya soka nchini Brazil imeingia kwenye historia kwa sababu zisizofurahisha baada ya kuzuka kwa vurugu kubwa uwanjani zilizofanya wachezaji 23 kupewa kadi nyekundu idadi kubwa zaidi kuwahi kutokea katika historia ya soka la nchi hiyo. Tukio hilo lilitokea katika fainali ya Mashindano ya Mineiro iliyochezwa kati ya Cruzeiro na Atlético Mineiro katika…

Read More