Simba SC vs Mlandege FC leo

LEO Aprili 26, 2026 mchezo wa Hatua ya Nusu Fainali ya Muungano Cup 2026 utapigwa kwa wababe wawili kusaka tiketi kusonga hatua ya fainali. Ni katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar, Simba SC vs  Mlandege FC, nusu Fainali ya pili ya mashindano haya. Mshindi wa mechi hii atavaana naYanga SC iliyopata ushindi wa magoli…

Read More

Yanga SC vs Azam FC ni leo Muungano Cup

Yanga SC vs Azam FC ni leo Aprili 25, 2026 kwenye hatua ya nusu fainali Muungano Cup, Uwanja wa New Amaan Complex. Hii ni Nusu Fainali ya kwanza, ya mashindano ya Muungano Cup 2026, ambao unajulikana kama ‘Dar es Salaam Derby’. Ikumbukwe kwamba Yanga SC imefika hatua hii baada ya kuifunga Muembe Makumbi City 4-0…

Read More

Singida Black Stars mpaka wakati ujao

BAADA ya kufungashiwa virago kwenye hatua ya robo fainali Muungano Cup 2026, Singida Black Stars wanarejea nyumbani kwa maandalizi ya mechi zijazo. Timu hiyo ilipoteza mchezo wa kwanza kwa kufungwa magoli 2-1 dhidi ya Mlandege ambao wametinga hatua ya nusu fainali. Timu hiyo ilianza kupata goli dakika ya 9 kupitia kwa Daud halikudumu mpaa mwisho…

Read More

Simba SC 1-0 Mafunzo SC

 Simba SC 1-0 Mafunzo FC ni matokeo rasmi mchezo wa hatua ya robo fainali Muungano Cup 2026. Goli la Simba SC limefungwa na Seleman Mwalimu dakika ya 54. Mchezaji huyo alianzia benchi amekuwa ni super sub. Katika dakika 45 za mwanzo wababe hawa wawili walishuhudia ubao wa Uwanja wa New Amaan Complex ukisoma Simba SC…

Read More

Yanga SC vs Azam FC Nusu fainali Muungano Cup

Yanga SC vs Azam FC Nusu fainali Muungano Cup ya kwanza Zanzbar kwa wababe hawa wawili kukutana ndani ya dakika 90 kusaka tiketi ya kutinga hatua ya fainal. Ipo wazi kwamba mabingwa watetezi wa taji hili ni Yanga SC iliyoanza kutinga hatua ya robo fainali kwa kupataushindi kwenye mchezo wa ufunguzi, hatua ya robo fainali….

Read More

Kikosi cha Simba SC vs Mafunzo FC

Simba SC leo inashuka Uwanja wa New Amaan kusaka ushindi mbele ya Mafunzo FC hatua ya robo fainali Muungano Cup. Ni wazi kuwa Mafunzo FC wanahitaji ushindi kwenye mchezo wa leo hivo ushindani unatarajiwa kuwa mkubwa kwa timu zote mbili. Katika kikosi cha Simba SC ni Hussen Abel ameanza langoni wachezaji wengine ni Duchu, Mligo,…

Read More

Singida Black Stars yaondolewa Muungano Cup

KLABU ya Singida Black Stars imeondolewa Muungano Cup 2026 kwa kufungashiwa virago na Mlandege FC leo Aprili 23, 2026 katika mchezo wa hatua ya robo fainali. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa New Amaan Complex umesoma Mlandege 2-1 Singida Black Stars magoli matatu yakifungwa. Mlandege wamepindua meza kwa kuwa walianza kufungwa katika dakika…

Read More