Ratiba ya NBC Premier League Juni 30,2026

NBC Premier League funga kazi ni Juni 30,2026 ikiwa ni raudi ya 30 hii hapa ratiba ya mechi zote zipo namna hii:- JKT Tanzania vs Yanga SC itarushwa Azam Sports 1 HD Simba SC vs KMC FC itarushwa Azam Sports 2 HD Coastal Union vs Pamba Jiji FC, Azam One Fountain Gate vs Singida Black…

Read More

Okello ameandika rekodi yake Bongo raundi ya 29

Alllan Okello kiungo mshambuliaji wa Yanga SC ameandika rekodi yake Bongo katika mechi za raundi ya 29 kwa kusepa na mpira na tuzo ya mchezaji bora. Juni 27,2026 ubao wa Uwanja wa KMC Complex ulisoma Yanga SC 3-0 TRA United pointi 3 zikibaki kwa mabingwa watetezi. Mabao yote kwenye mchezo huo yalifungwa na Okello ambaye…

Read More

Simba SC 2-0 Singida Black Stars

Simba SC 2-0 Singida Black Stars, NBC Premier League, Uwanja wa Meja Jeneral Isamuhyo ikiwa ni mzunguko wa 29, Juni 27,2026. Mabao yamefungwa na Ellie Mpanzu dakika ya 28 na Anicet Oura dakika ya 59. Kila kipindi kwenye mchezo limefungwa goli moja. Msimu wa 2025/26, Simba SC imepata ushindi nje ndani dhidi ya Singida Black…

Read More

Yanga SC 3-0 TRA United, NBC Premier League

Yanga SC 3-0 TRA United ni matokeo ya mchezo uliochezwa leo Juni 27,2026 Uwanja wa KMC Complex ikiwa ni mzunguko wa pili. Mabao yote yamefungwa na kiungo mshambuliaji Allan Okello ambaye amefunga hattrick ilikuwa ni dakika ya 38, 51 kwa mkwaju wa penati na kamba ya tatu ilifungwa dakika ya 60. Kwenye mchezo wa mzunguko…

Read More

Pata Habari za Michezo na Uchambuzi Kupitia Meridianbet Sport Portal

Meridianbet Sportal Portal?, hili ni jukwaa ambalo Meridianbet hulitumia kwaajili ya kuwahabarisha, kuwaburudisha wapenzi wa michezo na Kasino kutoka sehemu mbalimbali huku lengo likiwa ni kuwafanya wapenzi na mashabiki wa soka kujua mambo mbalimbali yanayoendelea ya kimichezo, kasino, usajili, matokeo, na kupata fursa za kubashiri mechi mbalimbali. Kupitia Kampuni hii kubwa ya ubashiri Tanzania, Meridianbet…

Read More

Hii hapa ratiba ya mechi zote leo NBC Premier League

NBC Premier League 2025/26 leo Juni 27, 2026 inaendelea huku mechi 8 zikitarajiwa kuchezwa kwenye viwanja tofauti. Dodoma Jiji FC vs Mbeya City FC, Uwanja wa Jamhuri, Dodoma Tanzania Prisons vs Mtibwa Sugar, Uwanja wa Sokoine Yanga SC vs TRA United, Uwanja wa KMC Complex Mashujaa FC vs KMC FC, Lake Tanganyika, Kigoma Pamba Jiji…

Read More

Hii hapa orodha ya wakali wa asissti Bongo

NBC Premier League inakwenda kufika ukingoni msimu wa 2025/26 ambapo kila timu inakwenda kuvuna kile ambacho ilipanda katika mechi za ushindani. Kuna vita ya ubingwa huku timu mbili zikipambania kutwaa ubingwa Yanga SC ni vinara wakiwa na pointi 69 wanafuatia na Simba SC wenye pointi 67. Wapo wakali kwenye pasi za mwisho ambapo kinara wao…

Read More

Tabasamu Zarejea Buguruni Baada ya Meridianbet Kuwafikia Wenye Mahitaji

Buguruni imekuwa moja ya maeneo yaliyoshuhudia tukio la kipekee lililojaa upendo, mshikamano na kujali baada ya Meridianbet kuendesha zoezi la kugawa vyakula kwa familia zenye uhitaji. Katika kipindi ambacho changamoto za kiuchumi zimekuwa zikigusa kaya nyingi, msaada huo umeonekana kuwa mwanga wa matumaini kwa wananchi waliokuwa wanahitaji msaada wa haraka wa mahitaji ya msingi. Kupitia…

Read More

Meridianbet Yatoa Milioni 10 Taslimu Kupitia Expanse VIP Tournament

Meridianbet Yatoa Milioni 10 Taslimu Kupitia Expanse VIP Tournament Expanse VIP Tournament ni moja ya promosheni ya Meridianbet inayoendelea kufanya vizuri mjini, inatoa zawadi kubwa ya milioni kumi taslimu ikiwa inashindaniwa kwa kucheza michezo ya kasino iliyotengenezwa na Expanse ambayo ipo ndani ya Meridianbet. Jisajili hapa kuingia kwenye kinyang’anyiro cha ushindi. Promosheni hii ilianza June…

Read More

Simba SC vs Singida Black Stars NBC Premier League

Simba SC vs Singida Black Stars NBC Premier League ni mchezo unaofuata kwenye ratiba ya NBC Premier League, Juni 27, 2026 ukiwa ni mzunguko wa pili. Mchezo huu unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Meja Jenerali Isahmuyo kwa wababe hawa kusaka pointi 3 muhimu ndani ya dakika 90. Ni mchezo unaotoa taswira ya bingwa kupatikana mapema ama…

Read More

Yanga SC vs TRA United KMC Complex

Yanga SC vs TRA United ni mchezo unaofuata NBC Premier League kwa vinara wa NBC Premier kusaka pointi 3 Uwanja wa KMC Complex ukiwa ni mchezo wa 29. Kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza wababe hawa walitoshana nguvu kwa kugawana pointi mojamoja, huu mchezo unatarajiwa kuwa na  ushindani mkubwa. Aboutwalib Mshery, mlinda mlango wa Yanga…

Read More

Croatia vs Ghana FIFA Kombe la Dunia takwimu

Mchezo wa Croatia dhidi ya Ghana utakuwa na mvuto mkubwa kwa sababu kila timu ina malengo tofauti. Croatia wanahitaji ushindi ili kuendelea, huku Ghana wakihitaji sare tu kufuzu. Unatarajiwa kuchezwa Juni 28,2026, Uwanja wa Lincoln Financial Field, Philadelphia, Pennsylvania, Marekani. Takwimu Muhimu Croatia Ghana Alama: 3pts kutoka mechi 2 Alama: 4pts kutoka mechi 2 Matokeo:…

Read More