Kiungo wa kati wa timu ya taifa ya Afrika Kusini aaga dunia
Soka la Afrika Kusini limegubikwa na majonzi kufuatia kifo cha kiungo wa Mamelodi Sundowns na…
Soka la Afrika Kusini limegubikwa na majonzi kufuatia kifo cha kiungo wa Mamelodi Sundowns na timu ya taifa ya Afrika Kusini (Bafana Bafana), Jayden Adams, aliyefariki dunia akiwa na umri wa miaka 25, wiki chache tu baada ya kushiriki Kombe la Dunia la FIFA 2026. Adams, ambaye aliichezea Afrika Kusini katika mechi mbili za mwanzo…
Michuano ya Dunia ya FIFA 2026 limeanza kwa kuvunja rekodi kadhaa za kihistoria. Siku sita tu baada ya mechi ya ufunguzi kati ya Mexico na Afrika Kusini uwanjani Estadio Azteca (waliohudhuria 80,824), mashindano yaliweka rekodi mpya ya idadi kubwa zaidi ya mashabiki kuhudhuria siku moja watu 281,223 katika mechi nne za Ufaransa dhidi ya Senegal,…
Dili la kiungo wa Atalanta, José Éderson, kujiunga na Manchester United limevunjika rasmi baada ya mchezaji huyo kushindwa kupita vipimo vya pili vya afya, hali iliyowalazimu Mashetani Wekundu kusitisha usajili uliokuwa ukitajwa kuwa na thamani ya euro milioni 45. Kwa mujibu wa taarifa, Éderson alifanyiwa vipimo vya awali vya afya nchini Marekani wakati akiwa na…
Klabu ya Young Africans SC (Yanga) imemtangaza rasmi aliyekuwa kocha wa Mamelodi Sundowns, Manqoba Mngqithi, kuwa kocha mkuu mpya wa timu hiyo. Mngqithi ametua Jangwani kwa mkataba wa miaka miwili, akichukua nafasi iliyoachwa na Pedro Gonçalves, ambaye aliondolewa kwenye nafasi hiyo mapema mwezi Mei 2026. Kocha huyo raia wa Afrika Kusini anajiunga na Yanga akiwa…
Inglewood, California – Mchezaji wa akiba Mikel Merino aliibuka shujaa wa Hispania baada ya kufunga bao la ushindi dakika ya 88 na kuiwezesha timu yake kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Ubelgiji katika robo fainali ya Kombe la Dunia. Ushindi huo umeipeleka Hispania hatua ya nusu fainali, ambapo sasa itakutana na Ufaransa katika…
Katika ulimwengu wa burudani za kisasa, watu wanatafuta zaidi ya mchezo wa kawaida, wanatafuta uzoefu unaobeba msisimko na nafasi ya kushinda. Meridianbet imejibu hitaji hilo kupitia Golden Goal Rewards, promosheni inayotoa jumla ya TZS milioni 450 kwa washindi watakaothubutu kushiriki. Hii ni nafasi ya kuunganisha furaha ya kucheza na ndoto ya ushindi mkubwa. Safari inaanza…
Makundi ya michuano ya CECAFA Kagame Cup 2026 yametangazwa rasmi, huku baadhi ya klabu kubwa za Afrika Mashariki na Kati zikitarajiwa kukutana katika mechi zenye ushindani mkali. Mabingwa wa Rwanda, APR FC, wamepangwa Kundi A pamoja na Vipers SC ya Uganda, Gor Mahia ya Kenya na Garde Républicaine ya Djibouti. Kundi B linazikutanisha timu za…
El Alamein, Misri — Mamia ya mashabiki wa soka nchini Misri wamejitokeza kwa furaha kubwa kuwapokea wachezaji wa timu yao ya taifa, maarufu kama Pharaohs, baada ya kufanya vizuri zaidi katika historia yao kwenye Kombe la Dunia. Timu hiyo ilirejea nchini Ijumaa baada ya safari yao ya Kombe la Dunia 2026 kumalizika kwa kichapo cha…
Kuna mechi ambazo zinabeba historia zaidi ya matokeo yenyewe. Hii ni mojawapo. Miaka 40 iliyopita, kwenye uwanja wa Puebla, Mexico, Ubelgiji walimshinda Hispania kwenye mikwaju ya penati katika hatua hii hii ya robo fainali. Sasa, kizazi kipya cha wachezaji ambao wengi wao hawakuwa wamezaliwa mwaka huo wanarithi ushindani huo kwenye jukwaa kubwa zaidi la mpira…
Ndoto ya Morocco ya kurudia mafanikio ya kutinga nusu fainali ya Kombe la Dunia imefikia tamati baada ya kufungwa mabao 2-0 na Ufaransa katika mchezo wa robo fainali uliochezwa usiku wa kuamkia leo. Morocco ilionyesha uimara mkubwa, huku kipa Yassine Bounou akiokoa mkwaju wa penalti wa Kylian Mbappe katika dakika ya 25 na kufanya save…
Wapo wanaosubiri habari mpya zisambae ndipo wachukue hatua, na wapo wanaochagua kuwa wa kwanza kuonja kila jambo jipya kabla halijawa gumzo. Ikiwa wewe ni miongoni mwa wanaopenda kuwa mbele ya wakati, Meridianbet imekuandalia nafasi ambayo haitokei mara kwa mara. Kupitia uzinduzi maalum wa 12 Masks of Fire: Night Fever, sasa unaweza kuingia kwenye moja ya…
Ulimwengu wa mpira wa miguu unasubiri kwa hamu mchezo wa leo Alhamisi, tarehe 9 Julai 2026, ambapo mabingwa wa zamani France watakabiliana na Morocco katika hatua ya robo fainali ya michuano ya Dunia. Mchezo utafanyika katika uwanja wa Gillette Stadium, Foxborough (karibu na Boston), ukianza saa 23:00 usiku kwa muda wa Afrika Mashariki. Njia iliyowafikisha…
Katika zama ambazo burudani ya kidijitali imekuwa sehemu ya maisha yetu kila siku, kupata mchezo wenye ubunifu, msisimko na nafasi za ushindi si jambo la kawaida. Hata hivyo, Meridianbet imeamua kubadilisha simulizi hilo kwa kuleta Candy Treasures 3 Reels kutoka Oryx. Mchezo huu mpya umeingia sokoni na tayari umeanza kuvutia maelfu ya mashabiki wa kasino…
Mashabiki wa soka nchini wanatarajia kushuhudia msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2026/2027 ukianza rasmi Agosti 16, 2026, huku ukitarajiwa kumalizika kabla ya Juni 1, 2027. Ratiba hiyo imepangwa mapema ili kutoa nafasi ya maandalizi ya Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2027), ambazo zitafanyika kwa pamoja nchini Tanzania, Kenya na Uganda kuanzia Juni…
Hatua ya 16 Bora ya Kombe la Dunia 2026 imekamilika rasmi usiku wa kuamkia leo baada ya timu nane kufuzu hatua ya robo fainali. Mabingwa wa dunia wa mwaka 2018, Ufaransa, watakutana na Morocco katika mchezo utakaochezwa Julai 9 katika Uwanja wa Boston, Huku Morocco ikihitaji kulipiza kisasi baada ya kutolewa hatua ya nusu fainali…
Kwa vijana wengi wa kizazi hiki, simu ya mkononi si kifaa cha mawasiliano pekee, bali ni lango la fursa, burudani na mafanikio. Ndiyo maana Meridianbet imezindua Big Win Battle, promosheni inayowaalika wachezaji kuingia kwenye ushindani wa kiwango cha juu wenye zawadi ya jumla ya Tsh 3,000,000. Hii ni nafasi ya kipekee kwa wale wanaotaka kujaribu…
Argentina 3-2 Misri, FIFA Kombe la Dunia 2026 ni matokeo ambayo yamekuwa pigo kwa timu ya Misri kutoka Afrika iliyoanza kwa kuongoza katika 67 za mchezo huku V.A.R ikifuta bao moja kwa upande wao. Magoli ya Misri yamefungwa na Yasser Ibrahim dakika ya 15 na Mostafa Ziko dakika ya 67. Walikwenda mapumziko wakiwa wanaongoza. Nyota…