Wikendi ya Moto Imeanza: Mechi za Ligi La Liga, Serie A, na EPL kuendelea leo
Wikendi ndio hiyo imeanza ambapo mechi za ligi mbalimbali Duniani zinatarajiwa kuendelea. Kule Uingereza, Hispania…
Wikendi ndio hiyo imeanza ambapo mechi za ligi mbalimbali Duniani zinatarajiwa kuendelea. Kule Uingereza, Hispania na Italia zipo mechi jkibao za pesa. Ingia na ujisajili siku ya leo. Tukianza na LALIGA leo Girona atamenyana dhidi ya Mallorca ambao mpaka sasa wanashika nafasi ya 17 huku wenyeji wao wakiwa nafasi ya 15 kwenye msimamo wa ligi….
Simba SC inajiandaa kwa mchezo wa kipekee dhidi ya Yanga, utakaofanyika Mei 3, 2026, katika Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo. Huu ni mchezo muhimu kwa timu ya Simba, kwani utakuwa na athari moja kwa moja kwenye ubingwa wa Ligi Kuu. Kuelekea kwenye mchezo huu, msemaji wa klabu, Ahmed Ally ametoa taarifa muhimu kuhusu maandalizi ya…
Rais wa Shirikisho la Soka Ulimwenguni, (FIFA), Gianni Infantino amethitibitisha kuwa Iran itashiriki mashindano ya Kombe la Dunia 2026 inayotarajiwa kuanza Juni 11 hadi Julai 19, 2026 licha ya mvutano kijiografia na kisiasa baina ya Marekani, Israel na Iran. Akizungumza kwenye Mkutano wa 76 wa FIFA huko Vancouver mnamo Aprili 30, 2026, Infantino alisema bila…
Kila kijana anapenda kufuatilia mechi, kujadili timu na kubashiri matokeo, lakini vipi kama ungeweza kufanya hii iwe chanzo cha faida zaidi? Meridianbet imekuja na ofa inayobadilisha kabisa mchezo wako kwa kukupa bonasi mara tatu mfululizo, ili kila dau lako liwe na thamani kubwa zaidi tangu mwanzo. Unapojiunga tu, unapata nafasi ya kuanza na hatua ya…
Maslahi ya kumtaka mshambuliaji wa Manchester United, Jadon Sancho, yanaendelea kuongezeka huku klabu mbalimbali zikianza kuonyesha nia ya kumsajili kuelekea dirisha la usajili la majira ya kiangazi. Kwa mujibu wa ripoti za Sky Sports, klabu moja kutoka Italia ambayo haijatajwa jina tayari imefanya mawasiliano ya awali kuulizia uwezekano wa kumsajili nyota huyo. Wakati huohuo, Borussia…
Vilabu vya Manchester United na Arsenal FC vinatajwa kuingia kwenye vita ya kuwania saini ya kiungo wa Newcastle United, Sandro Tonali, katika dirisha la usajili la majira ya kiangazi. Kwa mujibu wa ripoti mbalimbali, klabu zote mbili zimeonyesha nia ya kumtaka nyota huyo wa Italia, ambaye anatarajiwa kuwa miongoni mwa wachezaji wanaoweza kuondoka Newcastle mwishoni…
Manchester United kiungo Kobbie Mainoo ameongeza mkataba mpya wa muda mrefu utakaomuweka klabuni hapo hadi mwaka 2031, ikiwa ni dili la miaka mitano. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 alikuwa na mkataba uliotakiwa kumalizika 2027, lakini uongozi wa Manchester United umeamua kumpa masharti mapya yanayoendana na maendeleo yake na nafasi yake ya sasa kwenye…
Hii hapa ratiba ya Ligi Kuu ya NBC mzunguko wa 22 (msimu wa 2025/2026) kulingana na taarifa rasmi:
Rais wa Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF), Patrice Motsepe, ameongoza kikao muhimu cha viongozi wa soka wa Afrika kilichofanyika Jumatano, Aprili 29, 2026 jijini Vancouver, Canada. Kikao hicho kilihusisha marais wa mashirikisho yote 54 wanachama wa Confederation of African Football (CAF), ambapo walijadili kwa kina masuala ya maendeleo ya soka barani Afrika pamoja na…
Leo Alhamisi tarehe 30 Aprili saa 22:00 Uwanja wa Estadio de Vallecas utakuwa jukwaa la pambano la hatua ya nusu fainali ya Conference League kati ya Rayo Vallecano na Strasbourg. Mechi hii ni ya kihistoria kwa timu zote mbili, kwani zote zimefika hatua hii kwa mara ya kwanza katika historia yao. Rayo, wanaotoka kitongoji cha…
AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC amesema kuwa kuna raha kubwa kupata ubingwa kwa kumfunga mpinzani ambaye ni msumbufu kwa muda mrefu. Aprili 29, 2026 Yanga SC 0-1 Simba SC katika mchezo wa fainali Muungano Cup, Uwanja wa New Amaan Complex huku mfungaji akiwa ni Seleman Mwalimu dakika ya 124…
Siku hizi kubeti sio tu kuhusu kubahatisha, ni kuhusu kutumia nafasi sahihi kwa wakati sahihi. Meridianbet imeonyesha wazi kuwa inaelewa vijana wanahitaji nini, na matokeo yake yanaonekana. Ndani ya miezi mitatu ya mwanzo wa 2026, kampuni mama ya Meridian Holdings imeingiza zaidi ya dola milioni 50 kama faida, ishara tosha kuwa huu sio mchezo wa…
LEO ni leo Muungano Cup Fainali, saa 2:15 usiku Uwanja wa New Amaan Complex, Yanga SC vs Simba SC huku kila timu ikivutia kwake kombe. Mabingwa watetezi ni Yanga SC walitwaa taji hilo 2025 je nani atakuwa bingwa leo? Matokeo yatajulikana kwa kuwa hakuna kujivunja. Hapa tunakuletea takwimu za magoli na wafungaji namna hii:- Takwimu…
Mshindi lazima apatikane leo Yanga SC vs Simba SC, Muungano CUP leo Aprili 29, 2026 Uwanja wa New Amaan Complex. Mchezo huu unatarajiwa kuchezwa saa 2:15 kwa wababe hawa kusaka mshindi wa taji hilo ambalo lipo mikononi mwa Yanga SC. Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Pedro Goncalves anatarajia kupambana na Simba SC inayonolewa na…
Timu ya ligi kuu ya Uingereza na vinara wa ligi, Arsenal wanatarajiwa kusafiri kwenda Hispania ambapo watakuwa na mchezo wa Ligi ya Mabingwa hatua ya Nusu Fainali. Kila timu inahitaji kushinda leo. Je wewe nafasi yako ya ushindi unaiweka kwa nani? Dakika 90 za moto zinatarajiwa kupigwa kule Hispania kwenye uwanja wa Civitas Metropolitano mechi…
Mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Paris Saint-Germain (PSG), wameanza utetezi wao wa kombe lao kwa ushindi wa kifasaha wa 5-4 dhidi ya Bayern Munich katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa nusu fainali, uliofanyika kwenye dimba la Parc des Princes. Mechi hii ilikutanisha timu bora kabisa kwa sasa duniani, na hakukukosekana michezo ya…
Katika dunia ya leo ambapo watu wengi huzungumzia msaada kwa maneno, Meridianbet imechagua njia tofauti ya vitendo vinavyoonekana moja kwa moja kwenye maisha ya watu. Hili lilidhihirika katika Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala ambapo kampuni hiyo ilifika kwa lengo la kugusa maisha ya wagonjwa kwa namna ya kipekee. Badala ya msaada wa kawaida, Meridianbet ilitoa…