Yanga SC yazitaka pointi tatu za KMC FC

KMC FC vs Yanga SC ni ratiba inayofuata ndani ya NBC Premier League leo Mei 6, 2026 Uwanja wa KMC Complex. KMC FC imecheza mchezo mmoja na mabingwa watetezi katika msimu huu na ilipoteza kwa kufungwa magoli 4-1 hivyo leo ni mchezo wa mzunguko wa pili. Pedro Goncalves, Kocha Mkuu wa Yanga SC amesema kuwa…

Read More

Feisal Salum kinara utupiaji magoli Bongo

KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ni kinara wa utupiaji magoli ndani ya BC Premier League. Katika mchezo wa Mei 5, 2026 uliochezwa Uwanja wa Azam Complex baada ya dakika 90 ubao ulisoma Azam FC 1-0 Namungo FC. Goli la ushindi limefungwa na Feisal dakika ya 41 kwa mkwaju wa penati. Hivyo anafikisha magoli…

Read More

Ratiba ya mechi za NBC Premier League

MEI 6, 2026 NBC Premier League inaendelea ambapo kutakuwa na mechi tatu kali viwanja tofauti namna hii:- KMC FC vs Yanga SC, saa 10:00, Uwanja wa KMC Complex Simba SC vs JKT Tanzania, saa 12:15, Uwanja wa Meja Jeneral Isahmuyo Mtibwa Sugar vs Dodoma Jiji FC, Uwanja wa Azam Complex, saa 2:15 usiku *** Imeandikwa…

Read More

Win&Go Yaongeza Msisimko: Meridianbet Watoa Nafasi ya Pili ya Ushindi

Katika michezo ya kubahatisha, wengi huamini kwamba ukikosa mara moja basi ndio mwisho. Lakini Meridianbet wameleta mtazamo mpya unaobadilisha kabisa mchezo, kwamba hata kushindwa kunaweza kuwa mwanzo wa ushindi. Kupitia kipengele cha Lucky Loser kwenye Win&Go, tiketi yako haimaliziki kuwa ya hasara hata kama namba zote 6 hazijatoka. Badala yake, inapata maisha mapya na kugeuzwa…

Read More

City Wapoteza Uongozi, Everton Wavunja Ndoto za Ubingwa kwa Sare ya Kusisimua 3-3

Uwanja wa Hill Dickinson ulikuwa kimya kwa sekunde chache kabla ya kulipuka kwa kelele za mashabiki wa Everton. Ilikuwa jioni ambayo ilibadilika kutoka matumaini ya ushindi wa Manchester City hadi tamthilia ya kusisimua ya EPL msimu wa 2025/26. Manchester City walikuwa wameingia uwanjani wakijua hawana nafasi ya kupoteza pointi, wakipambana kumfikia vinara Arsenal katika mbio…

Read More

Wachezaji Man United Waendelea Kumsifia Carrick Baada ya Matokeo Mazuri

Matheus Cunha ameendelea kumiminia sifa kocha wa muda wa Manchester United, Michael Carrick, akisema anastahili kupewa kibarua cha kudumu kutokana na matokeo na mchango wake mkubwa ndani ya klabu hiyo. Carrick, ambaye aliwahi kuwa kiungo tegemeo wa Manchester United kwa zaidi ya mechi 400 akiwa mchezaji, amerudi Old Trafford kama kocha na ameonekana kuibadilisha timu…

Read More

Fungua Mlango wa Bahati Yako Leo na Ufurahie Msisimko wa Kipekee Ndani ya Gates of Halloween

Katika dunia ya burudani za mtandaoni, vijana wengi wanatafuta kitu kipya, rahisi kuelewa na chenye msisimko wa kweli. Meridianbet imeendelea kuthibitisha ubora wake kwa kuleta Gates of Halloween, mchezo unaochanganya ubunifu wa kisasa na mandhari ya kipekee inayovutia tangu mwanzo hadi mwisho. Mchezo huu umeundwa kwa mtindo unaoendeleza ushindi ndani ya mzunguko mmoja. Unapopata alama…

Read More