Simba SC hesabu zimehamia CRDB Cup
BAADA ya kufunga msimu wa 2025/26 wakiwa nafasi ya pili na pointi 73, uongozi wa…
BAADA ya kufunga msimu wa 2025/26 wakiwa nafasi ya pili na pointi 73, uongozi wa Simba SC umebainisha kuwa mpango mkubwa kwa sasa ni mechi ya fainali dhidi ya Azam FC. Simba SC ilifunga msimu wa 2025/26 kwa kupata ushindi wa bao 1-0 KMC FC uliochezwa Juni 30,2026 Uwanja wa KMC Complex. Ahmed Ally, Meneja…
Sasa ni hatua ya mtoano imefika kwenye michuano hii ya Taji la Dunia ambapo timu moja pekee kuondoka na ushindi huo mkubwa Duniani. Je nani kupeperusha bendera ya Taifa lake? Leo hii Hispania vs Austria ni mechi ambayo inatrajiwa kuwa ya kiushindani sana kwani kila timu inahitaji kufuzu kwenye hatua ya 16, hivyo hii sio…
England imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya DR Congo national football team katika mchezo mkali wa Kombe la Dunia uliopigwa mjini Atlanta, Georgia nchini Marekani. DR Congo walianza kwa kasi na kupata bao la mapema dakika ya 7 kupitia Cipenga, wakishika uongozi na kuweka presha kubwa kwa England mapema kabisa kwenye mchezo….
FC Bayern Munich imekamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji wa Morocco, Ismael Saibari, akitokea PSV Eindhoven kwa ada inayoripotiwa kufikia dola milioni 63. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25 amesaini mkataba wa muda mrefu utakaomuweka Bayern hadi Juni 2031, na atavaa jezi namba 34 katika klabu hiyo ya Bundesliga. Bayern imethibitisha kuwa namba hiyo ina…
Ubelgiji imefanikiwa kusonga hatua ya 16 bora ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Senegal katika mchezo wa kusisimua uliokwenda hadi muda wa nyongeza mjini Seattle. Senegal walianza mchezo kwa kasi na kuonekana kudhibiti kabisa mchezo huo, wakipata mabao mawili kupitia Habib Diarra na Ismaïla Sarr, hali…
Marekani imefanikiwa kutinga hatua ya 16 bora ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Bosnia na Herzegovina katika mchezo wa hatua ya makundi uliochezwa mjini Santa Clara, California. Mshambuliaji Folarin Balogun aliwapa wenyeji bao la kuongoza katika dakika ya 45 baada ya kumalizia vizuri pasi iliyotengenezwa na…
Kuna wakati katika burudani ambapo bahati, msisimko na matarajio hukutana na kuunda uzoefu usiosahaulika. Hilo ndilo hasa Meridianbet inaleta kupitia kampeni yake mpya ya Mystery Multiplier Drop, promosheni ambayo imeanzisha msimu wa mshangao kwa mashabiki wa michezo ya slot. Kila mchezaji anayeshiriki kwenye michezo ya Wazdan kwa kutumia fedha halisi ana nafasi ya kufungua mlango…
Mchezaji wa JKT Tanzania FC, Hassan Wahabi, leo amefika katika Hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam na kuongoza dua ya kumuombea kiungo wa Yanga SC, Pacome Zouzoua, aliyelazwa kutokana na maumivu aliyoyapata katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara kati ya JKT Tanzania na Yanga SC. Wahabi, ambaye bila kukusudia alihusika…
Michuano mikubwa Duniani imefika kwenye hatua ya mtoano ambapo leo hii mapema kabisa timu zitashuka dimbani kuonesha ubabe. Wakati huo huo Meridianbet wanakwambia tengeneza jamvi lako la ushindi hapa. Majira ya saa moja usiku kutakuwa na kipute kati ya Uingereza dhidi ya DR Congo kutoka Afrika ambao wao kwenye Kundi K walimaliza nafasi ya 3…
Kocha Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge, pamoja na benchi lake la ufundi, wamemtembelea kiungo wa Yanga SC, Pacome Zouzoua, hospitalini kwa ajili ya kumjulia hali baada ya kuumia katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Pacome alipata majeraha hayo jana katika mchezo uliowakutanisha Yanga SC na JKT Tanzania kwenye Uwanja wa Meja…
Kwa wengi, wikendi ni muda wa kupumzika, kujiburudisha na kufurahia mambo wanayoyapenda. Kwa wapenzi wa kasino za mtandaoni ndani ya Meridianbet, burudani hiyo haimaliziki Jumapili usiku. Badala yake, inaendelea hadi Jumatatu kupitia promosheni ya Monday Cashback & Bonus Back, ambayo imekuwa ikiwapa wachezaji sababu mpya ya kutazamia mwanzo wa wiki. Katika kipindi ambacho ushindani katika…
NBC Premier League 2025/26 Yanga SC bingwa akifikisha pointi 75 huku Simba SC ikiwa nafasi ya pili na pointi 73. Tofauti ya pointi 2 kwa wababe hawa wawili. Haya hapa matokeo ya mechi zote ambazo zilikuwa mubashara Azam TV FT: JKT Tanzania 0-3 Yanga SC (Dube 8’, Maxi 50’, Depu 66’) FT Simba SC 1-0…
JUNI 30,2026 ni funga kazi msimu wa 2025/26 ambapo mechi zote zinachezwa muda mmoja na mshindi anatafutwa mmoja, timu mbili zitashuka daraja moja kwa moja na mbili zitacheza mtoano. Matokeo yapo namna hii kwa sasa dakika 45 za mwanzo:- HT: JKT Tanzania 0-1 Yanga SC (Dube 8’) HT: Simba SC 0-0 KMC FC HT: Azam…
Katika kila jamii, maendeleo ya kweli huanza pale ambapo vijana na watoto wanapewa mazingira bora ya kufikia uwezo wao. Kwa kutambua ukweli huo, Meridianbet imeendelea kutekeleza miradi ya kijamii inayolenga kuleta mabadiliko chanya kwa jamii mbalimbali nchini. Safari hii, kampuni hiyo imeelekeza nguvu zake kwa wasichana wa kata ya Kasekese, Manispaa ya Wilaya ya Tanganyika…
Ivory Coast wanaingia kwenye mchezo huu wakiwa na rekodi nzuri ya ushindi wa mechi nne katika mechi tano za mwisho, na wameweza kufungwa mabao mawili tu katika mechi zote tatu za makundi. Lakini siri yao kubwa iko katika kuenea kwa mabao miongoni mwa wachezaji wao. Kocha Emerse Fae amejivunia kuwa ana wachezaji tisa wa kushambulia…
Manchester City imemtangaza Enzo Maresca kuwa kocha mkuu mpya wa klabu hiyo, akichukua nafasi ya Pep Guardiola na kuanza rasmi enzi mpya katika kikosi hicho cha Ligi Kuu England. Maresca, mwenye umri wa miaka 46, amesaini mkataba wa miaka mitatu kuinoa City. Taarifa za kutangazwa kwake zilichelewa kutokana na mazungumzo kati ya Manchester City na…
Paraguay imeandika historia kwa kuiondosha Ujerumani kwenye Kombe la Dunia 2026 baada ya kushinda kwa mabao 4-3 kwa mikwaju ya penalti kufuatia sare ya 1-1 ndani ya dakika 120 katika mchezo wa hatua ya 32 bora uliochezwa Foxborough, Marekani. Matokeo hayo yameifanya Ujerumani kupoteza kwa mara ya kwanza kabisa katika mikwaju ya penalti kwenye historia…