Mashabiki 60,000 Kuitingisha Emirates Katika Mechi ya Moto Dhidi Burnley leo

Mechi hii inapigwa saa 22:00 kwa muda Uwanja wa Emirates utakuwa umejaa hadi kifusi kwa takriban mashabiki 60,000, nao wanajulikana kwa kuimba nyimbo maalumu za kusukuma timu yao wakati wa mbio za ubingwa. Kwa upande wa Burnley kwa kuwa wameshashuka daraja, mashabiki wao watakuja. Lakini shinikizo la Emirates litakuwa kubwa Arsenal wakichelewa kufunga, mashabiki wanaweza…

Read More

Mashujaa FC 0-1 Azam FC, CRDB Federation Cup

Mashujaa FC 0-1 Azam FC, CRDB Federation Cup ni matokeo rasmi kwenye mchezo wa leo Mei 17, 2026 hatua ya robo fainali CRDB Federation Cup. Matajiri wa Dar wameibuka na ushindi huo katika Uwanja wa Lake Tanganyika mwisho wa reli Kigoma kwa goli ambalo lilipachikwa dakika 45 za mwanzo. Anaitwa Idd Suleman maarufu kwa jina…

Read More

Simba SC 4-0 TRA United CRDB Federation Cup

Simba SC 4-0 TRA United CRDB Federation Cup ni matokeo rasmi kwenye mchezo wa leo Mei 17, 2026 Uwanja wa KMC Complex hatua ya robo fainali. Matokeo haya yanaipa tiketi Simba SC kutinga hatua ya nusu fainali ambapo itakutana na Coastal Union iliyopata ushindi mbele ya Singida Black Stars kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkwakwani,…

Read More