Trump Aingilia Kati, FIFA Yamruhusu Balogun Kucheza Dhidi ya Belgium

FIFA imeondoa adhabu ya kutocheza mechi moja kwa mshambuliaji wa Marekani, Folarin Balogun, baada ya Donald Trump kuripotiwa kuwasiliana na Rais wa FIFA, Gianni Infantino, akiomba kadi nyekundu aliyopewa mchezaji huyo ipitiwe upya. Balogun alikuwa amepewa kadi baada ya kumkanyaga kifundo cha mguu mchezaji wa Bosnia na Herzegovina, Tarik Muharemović, katika ushindi wa mabao 2-0…

Read More

Wild 4th Fruits Na Burudani ya Kisasa Inayokutana na Ladha ya Ushindi

Katika maisha ya kila siku ya watu wengi, burudani imekuwa sehemu muhimu ya kupumzika, kujifurahisha na kutengeneza pesa. Hapa ndipo Wild 4th Fruits kutoka Meridianbet inapochukua nafasi yake. Ikiwa imebeba muonekano wa kisasa, rangi zenye mvuto, na mfumo wa uchezaji unaovutia, mchezo huu umejipambanua kama moja ya sloti zinazostahili kupewa nafasi na kila mpenda burudani…

Read More

Paredi la ubingwa Yanga SC laacha historia

Paredi la ubingwa Yanga SC Julai 4,2026 limeacha historia kutokana na burudani kutolewa kutoka kwa wasanii mbalimbali huku Dj Zee akitoa burudani. Ni Mohamed Hussen Zimbwe Jr beki bora wa muda wote ndani ya NBC Premier League alikuwa na jukumu la kuwapandisha wachezaji wa timu hiyo ambao walikuwepo Bongo. Miongoni mwa wachezaji hao ni Allan…

Read More

Kiangazi cha Mabilioni Kinakumulika Kupitia Evoplay Summer Season of Legends

Katika kipindi ambacho burudani ya kidijitali imekuwa sehemu ya maisha ya kila siku ya vijana wengi, Meridianbet imekuja na tukio ambalo linaweza kubadilisha kabisa namna watu wanavyoona mashindano ya kasino mtandaoni. Kupitia Evoplay Summer Season of Legends, wachezaji wanapewa nafasi ya kushindania zawadi kubwa inayofikia zaidi ya shilingi bilioni moja za Kitanzania. Hii ni fursa…

Read More

Kikosi cha Azam FC vs Simba SC

LEO Juni 4,2026 Simba SC vs Azam FC watamenyana mchezo wa fainali CRDB Cup, Uwanja wa Gombani huku Air Manula akianza langoni. Wengine ni Lusajo, Msindo, Lawi, Fuentes, Himid Mao, Sopu, Bin Zayd, Kitambala, Fei Toto, Idd Nado hawa watakuwa kikosi cha kwanza. Wachezaji wa akiba ni Foba, Twalib, Zouzou, Kibeku, Kanoute, Akamiko, Abah, Alobogast,…

Read More