
JUMAPILI YA KUMALIZA WIKENDI! FRANCE, PORTUGAL, ITALY KUKIWASHA LEO
Jumapili ya kumaliza wikendi imekuja na mechi kali kabisa za kukuwezesha wewe kuondoka na mkwanja…
Jumapili ya kumaliza wikendi imekuja na mechi kali kabisa za kukuwezesha wewe kuondoka na mkwanja wa maana ndani ya Meridianbet. France, Portugal, Italy na wengine wengi wapo dimbani kukupatia ushindi. Serbia atamualika kwake Austria ambao kwenye mechi ya kwanza walitoka sare ya kufungana. Kila timu inahitaji ushindi leo hii iweze kusonga mbele kwenye hatua inayofuata….
RAIS wa Yanga Eng. Hersi Said alfajiri ya Machi 22, 2025 amekamilish Ibada ya Umrah Mjini Makka, Saudi Arabia.
Ijumaa ndio hiyo imefika ya kuchukua maokoto yako ya maana na mabingwa wa odds kubwa Meridianbet leo kwani mechi kibao za pesa zitakuwa uwanjani hapo baadae kusaka pointi 3. Tukianza na Equatorial Guinea yeye atamenyana dhidi ya Sao Tome and Principle katika kundi H ambapo mgeni kwenye mechi 4 alizocheza amepiga zote huku mwenyeji wake…
Jumamosi tamu kabisa ya wewe kuondoka na pesa pale Meridianbet imefika, huku wakali hao wa ubashiri leo hii wao wakiamua kurejesha kidogo wanachokipata na safafri hii ilikuwa ni pale Kariakoo ambapo wametoa reflectors na helmet. Katika jitihada za kuimarisha usalama barabarani, Meridianbet imefanya tukio la kugawa helmet na reflectors kwa madereva wa boda boda katika…
Mchambuzi wa soka nchini, Saleh Jembe ameeleza kuwa klabu ya Yanga SC wanapaswa kufuata utaratibu maalum katika uwasilishwaji wa malalamiko kuhusu Derby.
Leo hii France, Portugal, Italy, Serbia wote wapo dimbani kuhakikisha huondoki patupu. Suka jamvi lako la ushindi na uibuke bingwa siku ya leo. Pesa ipo hapa kwa Ukraine dhidi ya Belgium ambao wapo chini ya Rudi Garcia na wenyeji wao wananolewa na Serhiy Rebrov. Timu hizi zilikutana kwenye EURO 2024 ambapo walitoshana nguvu. ODDS za…
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeufungulia uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza kutumika kwa michezo ya Ligi baada ya kufanya marekebisho yaliyokidhi vigezo vya kikanuni na sheria za mpira wa miguu. Taarifa ya TFF ya leo Machi 20, 2025 imeeleza kuwa Uwanja huo uliofungiwa kutokana na miundombinu yake kutofaa kutumika kama ilivyoainishwa kwenye masharti…
FEISAL Salum, Fei Toto kiungo wa Azam FC ambaye ni namba moja kwenye pasi za mwisho za mabao ndani ya Ligi Kuu Bara ambayo ni namba nne kwa ubora jina lake limekuwa likitajwa kuwa katika rada za Simba. Kiungo huyo aliibuka ndani ya Azam FC akitokea Yanga ambapo kwa sasa amekuwa ni chaguo la kwanza…
BAADA ya dakika 90 Kwenye Kariakoo Dabi ya Wanawake kukamilika na ubao kusoma Simba Queens 0-1 Yanga Princess rekodi ya timu hiyo kutopoteza pointi tatu ndani ya msimu wa 2024/25 imeyusha mazima na watani zao wa jadi. Ikumbukwe kwamba baada ya Simba Queens kucheza mechi 12 ilikuwa haijapoteza mchezo ndani ya ligi kwenye dakika 1,080…
MILOUD Hamdi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa ingizo jipya ndani ya Yanga ambaye ni mshambuliaji Jonathan Ikangalombo ana spidi kubwa akiwa uwanjani jambo ambalo ni faida kwa timu kwenye mechi za ushindani. Kocha huyo ameweka wazi kuwa mshambuliaji huyo alikuwa hachezi kwenye mechi zilizopita kwa kuwa hakuwa fiti kwa asilimia kubwa jambo ambalo lilifanya…
KOCHA Pitso Mosimane aliamua kumsajili Selemani Matola katika kikosi cha Super Sport ya Afrika Kusini bila ya majaribio. Katika mahojiano yangu naye mwaka 2006, alisema hakukuwa na haja wakati huo kumjaribu tena Matola sababu mechi mbili Simba Vs Asante Kotoko ya Ghana na Tusker ya Kenya ambao wote walifungwa na Simba katika nusu Fainali na…
BAADA ya dakika 90 Kwenye Kariakoo Dabi ya Wanawake kukamilika na ubao kusoma Simba Queens 0-1 Yanga Princess rekodi ya timu hiyo kutopoteza pointi tatu ndani ya msimu wa 2024/25 imeyusha mazima na watani zao wa jadi. Ikumbukwe kwamba baada ya Simba Queens kucheza mechi 12 ilikuwa haijapoteza mchezo ndani ya ligi kwenye dakika 1,080…
MWAMBA Prince Dube mshambuliaji wa Yanga amemkimbiza kwenye suala la kucheka na nyavu mshambuliaji wa Simba, Leonel Ateba. Wakali hawa wamekuwa na mwendelezo wao kwenye mechi ambazo wanacheza ndani ya uwanja huku Prince Dube akiwa nyota aliyeanza kwa kusuasua kabla ya gari kuwaka kwenye mchezo dhidi ya Mashujaa uliochezwa Uwanja wa KMC, Complex. Ateba alianza…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa wiki ijayo wanatarajia kuingia kambini kwa ajili ya maandalizi ya mechi za ushindani kitaifa na kimataifa kwa msimu wa 2024/25. Mchezo uliopita Simba ilivuna pointi tatu dhidi ya Dodoma Jiji ulichezwa Uwanja wa KMC, Complex ilikuwa Machi 14 2025 baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba 6-0 Dodoma Jiji….
CHADRACK Boka beki wa kikosi cha Yanga ambao ni vinara wa ligi amebainisha kuwa ligi ya Tanzania ni ngumu jambo ambalo linawafanya wazidi kupambana kupata matokeo kwenye mechi ambazo wanacheza. Boka ndani ya ligi kafunga bao moja ilikuwa kwenye mchezo dhidi ya Pamba Jiji uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba katika mchezo huo alipachika bao hilo…
NYOTA wa Yanga Princess, Jeannine Mukandayisenga muuaji wa Simba Queens kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi uliochezwa Uwanja wa KMC Complex amefichua siri kuwa walipewa maelekezo na benchi la ufundi lialoongozwa na Edna Lema namna ya kuuvunja ukuta wa Simba. Ushindi wa Yanga Princess unavunja rekodi ya kukwama kupata pointi tatu kwenye mechi tanoambazo ni dakika…
KOCHA wa Simba Queens, Yassif Basigi amelia na wachezaji wake kushindwa kutumia nafasi za wazi ambazo walizipata kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi Ligi ya Wanawake ndani ya dakika 90 ambazo walizipata. Kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa KMC Complex Machi 18 2025 baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba Queens 0-1 Yanga Princess ambapo katika dakika…