Trump Aomba Australia Iwalinde Wachezaji wa Timu ya Wanawake wa Iran
Rais Donald Trump amewaomba viongozi wa Australia kuepuka makosa makubwa ya kibinadamu kwa kuruhusu timu…
Rais Donald Trump amewaomba viongozi wa Australia kuepuka makosa makubwa ya kibinadamu kwa kuruhusu timu ya taifa ya wanawake wa Iran kurudishwa nyumbani, baada ya wachezaji hao kushutumiwa na vyombo vya habari vya Iran kwa kushindwa kuimba wimbo wa taifa kabla ya mechi yao dhidi ya Korea Kusini katika Kombe la Asia lililofanyika Australia. Baada…
RATIBA ya Kombe la FA imefanyika, zikileta mechi zenye mvuto mkubwa kwa mashabiki wa soka. Hizi ni mechi zilizokutwa na timu: Southampton vs Arsenal Chelsea vs Port Vale Manchester City vs Liverpool West Ham vs Leeds Changamoto na Fursa Kuu Manchester City wanakabiliwa na mwezi mgumu wa Aprili, wakiwa na mechi za Premier League, FA…
Manchester United imetangaza ongezeko la asilimia 5 kwenye bei za tiketi za msimu unaofuata kwenye Old Trafford, katika sehemu zote za uwanja. Klabu inasema hatua hii ni muhimu kwa kuongeza mapato ambayo yatawekezwa tena kwenye soka na miundombinu ya klabu. Maelezo ya Bei Mpya Ongezeko hili linamaanisha poundi zaidi ya 2 kwa mechi kwa wapenzi…
Nigeria inafanya maombolezo kufuatia kifo cha Kocha wa zamani wa timu ya Taifa, Super Eagles, Adegboye Onigbinde, ambaye alifariki dunia akiwa na umri wa miaka 88. Onigbinde aliiongoza Nigeria katika Kombe la Dunia la FIFA 2002, lililofanyika kwa pamoja Korea Kusini na Japan, na kuwa kocha wa kwanza wa mzawa kuiongoza timu ya taifa kwenye…
Fainali ya mashindano ya soka nchini Brazil imeingia kwenye historia kwa sababu zisizofurahisha baada ya kuzuka kwa vurugu kubwa uwanjani zilizofanya wachezaji 23 kupewa kadi nyekundu idadi kubwa zaidi kuwahi kutokea katika historia ya soka la nchi hiyo. Tukio hilo lilitokea katika fainali ya Mashindano ya Mineiro iliyochezwa kati ya Cruzeiro na Atlético Mineiro katika…
Meridianbet inakualika leo hii ukabashiri mechi zote za Simba kwa dau dogo tuuh na ujiweke kwenye nafasi ya ushindi. Lakini pia mechi za ligi kuu ya Tanzania unaweza ukabashiri huko. Je unajuwa kuwa huu ni msimu mbaya kwa Simba kwani kwenye michuano ya CAF timu hii imeshindwa kuendelea mbele baada ya kutolewa kwenye hatua ya…
Kama wewe ni mbashiri unayetafuta zaidi ya matokeo ya mkeka, basi huu ni wakati wako. Kupitia ushirikiano wa nguvu kati ya Meridianbet na Mixx by Yas, kampeni ya JIMIXX na Ushindi Bab Kubwa inapatikana pale Meridianbet kwa lengo la kuwapa wateja thamani halisi ya kila shilingi wanayoweka. Wabashiri wote wana nafasi ya kushinda zawadi za…
Rekodi zinaonyesha kuwa namba moja kwa hati safi ndani ya NBC Premier League ni Djigui Diarra wa Yanga SC akiwa nazo 7. Erick Johora wa Mashujaa yeye ni namba mbili kwa makipa wenye hati safi zakutosha akiwa ana hati safi 6. Ally Salim wa Dodoma Jiji, Yona Amosi wa Pamba Jiji FC na Mussa Mbisa…
Milio ya risasi ilisikika karibu na nyumba ya mwimbaji maarufu Rihanna iliyopo katika eneo la Beverly Hills, jimbo la California nchini United States, huku polisi wakithibitisha kuwa hakuna mtu aliyejeruhiwa katika tukio hilo. Kwa mujibu wa taarifa za polisi, mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 30 alisimama nje ya nyumba hiyo baada ya kushuka kutoka…
Shirikisho la soka barani Afrika (CAF), limetoa orodha ya Waamuzi wa Afrika na Maafisa wa VAR waliochaguliwa kuchezesha Kombe la Dunia la FIFA 2026, huku maafisa kadhaa wenye uzoefu wakipata fursa ya kuwakilisha bara kwenye Mashindano makubwa zaidi ya Kandanda. Michuano hiyo ya Kombe la Dunia ambayo itaandaliwa kwa pamoja kati ya Marekani, Mexico na…
Huu ni msimu bora kabisa kwa timu ya Ujerumani, Bayern Munich ambao wamekuwa kwenye mwendelezo wa kufanya vizuri Ulaya na hata ligi ya ndani. Je Kompany na vijana wake watachukua Makombe mangapi msimu huu? Klabu hii imeendelea kuonesha ubora wake msimu huu, ikionesha kuwa ni miongoni mwa nguvu za soka la Ujerumani na Ulaya. Bayern…
Singida Black Stars vs Simba SC ni mchezo unaofuata kwenye ratiba ya Ligi Kuu Tanzania Bara kwa wababe hawa wawili. Jumatano ya wiki hii wababe hawa wanatarajiwa kukutana Uwanja wa Airtel kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Singida Black Stars mchezo wake uliopita kwenye ligi ilipoteza kwa kufungwa mabao 3-0 dhidi ya Yanga SC wakiwa…
Meridianbet ipo kwa ajili yako na haikuachi kirahisi. Kupitia mfumo wa Lucky Loser, tiketi yako iliyokosa inageuka kuwa nafasi mpya ya kushinda hadi mara 30 ya dau lako. Hapa, hasara si mwisho, ni tiketi ya pili ya matumaini. Lucky Loser imeundwa mahsusi kwa wachezaji wanaocheza mchezo wa namba 6 kwenye Win&Go kwa akaunti ya pesa…
Siku ya leo inaenda kubadilisha maisha yako moja kwa moja kwani mechi kibao zipo uwanjani na nafasi ya kuondoka na ushindi ipo mikononi mwako. Ingia kwenye akaunti yako na uanze kubeti sasa. Ligi kuu ya Italia, SERIE A kuna mechi za kubashiri Fiorentina ataumana dhidi ya Parma ambao wanashika nafasi ya 11 huku mwenyeji yeye…
Meneja wa Mikel Arteta alifanya maamuzi ya hatari katika upangaji wa kikosi, lakini hatimaye Arsenal walifanikiwa kusonga mbele baada ya ushindi mwembamba dhidi ya Mansfield Town katika pambano kali la raundi ya tano ya mashindano ya kombe. Arteta, ambaye mara nyingi hukosolewa kwa kuwatumia kupita kiasi wachezaji wake nyota hadi kupata majeraha, aliamua kuwapumzisha baadhi…
Katika kuendeleza ubunifu kwenye sekta ya burudani za mtandaoni, Meridianbet imeendelea kuimarisha nafasi yake sokoni kupitia mchezo unaovutia wa Gates of Halloween. Mchezo huu umechota hamasa ya Halloween na kuiwasilisha kwa muonekano wa kisasa unaojumuisha teknolojia, ubunifu na msisimko wa hali ya juu. Tofauti yake kubwa ipo kwenye mfumo wake wa kipekee wa ushindi. Kupatikana…
Simba SC 2-0 B19 FC katika mchezo wa hatua ya 32 CRDB Federation Cup, Uwanja wa Mej. General Isamuhyo. Watupiaji ni Inno Loemba dakika ya 22 kwa pigo la kichwa na Clatous Chama dakika ya 77 akitumia pasi ya Ellie Mpanzu. Mpanzu na Chama wote walianzia benchi mchezo wa leo. Chama alichukua nafasi ya kiungo…