Refa Aliyeinyima Yanga Penati Afungiwa Mizunguko Mitatu
Mwamuzi Ally Mnyupe kutoka Morogoro amefungiwa kuchezesha mechi kwa mizunguko mitatu (3) baada ya kushindwa…
Mwamuzi Ally Mnyupe kutoka Morogoro amefungiwa kuchezesha mechi kwa mizunguko mitatu (3) baada ya kushindwa kutafsiri ipasavyo sheria za mpira wa miguu katika mchezo kati ya Azam FC na Yanga. Katika mchezo huo uliochezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa na kumalizika kwa sare tasa, mwamuzi huyo alishindwa kutoa penalti kwa Yanga licha ya tukio la…
Shabiki maarufu wa Yanga, Carlos Leonard Mayangura, amefungiwa kwa muda wa miezi 12 kufuatia kuhusika katika tukio la uharibifu wa mali katika dimba la Uwanja wa Airtel Mtipa. Kwa mujibu wa taarifa rasmi, shabiki huyo aliongoza kundi la mashabiki pamoja na baadhi ya maofisa wa ulinzi wa klabu kuvunja madirisha ya chumba cha kuvalia na…
Mwamuzi Katanga Hussein kutoka Tabora amefungiwa kuchezesha mechi kwa mizunguko mitatu (3) baada ya kubainika kushindwa kutafsiri ipasavyo sheria za mpira wa miguu. Adhabu hiyo inatokana na tukio la mchezo kati ya Singida Black Stars na Simba SC uliochezwa katika dimba la Uwanja wa Airtel Mtipa. Katika mchezo huo uliomalizika kwa Simba SC kuibuka na…
Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet kwenye simu yako ni rahisi sana kutengeneza pesa?. Mechi kibao zipo kuhakikisha huondoki patupu hapa suka jamvi lako sasa na uanze kubashiri hapa. Aston Villa watakuwa pale Villa Park kusaka nafasi ya kufuzu dhidi ya Lille kutoka kule Ufaransa. Vijana wa Unai wamekuwa na msimu bora sana kwenye michuano…
Simba imeshindwa kuibuka na ushindi baada ya kulazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Pamba Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara uliopigwa kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Katika mchezo huo, Simba walikuwa wa kwanza kupata bao kupitia kwa Anicet Oura dakika ya 32, kabla ya Pamba Jiji kusawazisha dakika…
Mashujaa FC 0-0 Azam FC mchezo umekamilika kwa wababe kugawana pointi mojamoja katika Uwanja wa Lake, Tanganyika mwisho wa reli Kigoma. Matokeo haya yanaifanya Azam FC kusalia nafasi ya pili wakiongeza pointi moja kibindoni leo Machi 19,2026. Ni pointi 29 wanafikisha Azam FC baada ya mechi 15 NBC Premier League wakiwa hawajapoteza mchezo mpaka sasa…
PAMBA Jiji FC 1-1 Simba SC ni matokeo rasmi mchezo wa NBC Premier League uliochezwa Uwanja wa Kirumba, leo Machi 19,2026. Alianza Anicent Oura alianza kufunga goli kwa Simba SC dakika ya 33 na dakika ya 36 James alifunga goli kwa upande wa Pamba Jiji FC. Licha ya mnyama kuanza kutangulia kufunga kwenye mchezo alikwama…
HT: Pamba Jiji FC 1-1 Simba SC, NBC Premier League, Uwanja wa CCM Kirumba, Machi 19,2026. Simba SC walianza kufunga dakika ya 33 ni Anicent Oura alifungua ukurasa na goli hilo lilidumu kwa dakika 3 kabla wenyeji kujaza mpira kimiani. James Mwashinga alifunga goli la usawa dakika ya 36 ya mchezo na kuwanyanyua mashabiki wa…
Lake Tanganyika, mwisho wa reli Kigoma kuna mchezo wa Mashujaa FC vs Azam FC leo Machi 19,2026 ambapo jeshi la wenyeji langoni yupo Patrick Munthali. Wachezaji wengine ni Baraka Mtuwi, Samweli Onditi, Samsoni Madeleke, Abdulnasir Assa, Mgandila Shaban, Mpoki Mwakinyuke, Mohamed Mussa, Salum Kihimbwa, Ismail Mgunda na Crispin Ngushi. Wachezaji wa akiba ni Hassan Haji,…
Aishi Manula mlinda mlango wa Azam FC ameanza kikosi cha kwanza ambacho kitawakabili Mashujaa FC leo, Uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma. Wachezaji wengine ni Himid Mao, Sadio Kanoute, Twalibu Nuru, Lusajo Mwaikenda, Pascal Msindo, Zidane Sereri, Feisal Salum, Ashrafu Kibeku, Lameck Lawi, Idd Nondo. Wachezaji wa akiba ni Abah Abel, James Akaminko, Jean Ngita, Yeison…
Kikosi cha Pamba Jiji FC kitakachoanza dhidi ya Simba SC Uwanja wa Kirumba kipo tayari ambapo mchezo unatarajiwa kuanza saa 10:00 jioni. Langoni ni Yona Amosi. Wachezaji wengine ni Abdulmajid Mangalo, Ibrahim Abrahim, Mathew Tegisi, Peter Lwasa, Keneth Kunambi, Sharpahn Sawa, Zabona Mayombya, James Mwashinga, Hussen Kibailo na Michael Samamba. Wachezaji wa akiba ni Brian,…
Uwanja wa CCM Kirumba, Ssaa 10:00 jioni ni Pamba Jiji FC vs Simba SC mchezo wa NBC Premier League ambayo ni namba 6 kwa ubora. Kwenye kikosi cha kwanza cha mnyama kiungo Ellie Mpanzu ameanza ikumbukwe kwamba mchezo uliopita dhidi ya Singida Black Stars alianzia benchi na alifunga goli la ushindi akitumia pasi ya Clatous…
Mtibwa Sugar vs Yanga SC ni Jumamosi mchezo wa NBC Premier League Uwanja wa Jamhuri, Dodoma kwa wababe hawa kusaka pointi tatu. Tayari Yanga SC imewasili Dodoma kwa maandalizi ya mwisho ya mchezo huo unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa ndani ya dakika 90. Machi 18,2026 Yanga SC ilikuwa Arusha kwenye mchezo wa ligi vs TRA…
Ratiba ya Ligi Kuu Bara imezua mjadala mkali miongoni mwa mashabiki, huku wengi wakieleza kutoridhishwa na namna baadhi ya timu zinavyopangiwa michezo yao. Licha ya msimamo tofauti wa mashabiki, hoja kubwa imekuwa ni tofauti ya idadi ya mechi zilizochezwa kati ya timu mbalimbali, hali inayodaiwa kuibua sintofahamu kuhusu usawa wa ushindani. Kwa mujibu wa takwimu…
Kwenye upepo mwanana wa Coco Beach, kumezaliwa tabasamu mpya kwa kina mama wanaochangamsha jiji la Dar es Salaam kwa vyakula vyao vitamu. Meridianbet imewasili na zawadi za aproni ikiwa ni ishara ya heshima kwa juhudi za Mama Lishe wanaopambana kila siku kujitafutia kipato na kuhudumia mamia ya wateja ufukweni hapo. Hili halikuwa tukio la mara…
MCHEZO wa NBC Premier League umekamilika kwa wababe wawili kutoshana nguvu baada ya dakika 90. Ubao wa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid umesoma TRA United 0-0 Yaga SC wakigawana pointi mojamoja. Kiungo mkabaji wa TRA United, Mzamiru Yassin alionyeshwa kadi mbili za njano hali iliyopelekea kuonyeshwa kadi nyekudu dakika ya 85. Matokeo hayo yanafanya Yanga…
HT: TRA United 0-0 Yanga SC Uwanja wa Sheikh Amri Abeid dakika 45 zimekamilika ubao ukisoma TRA United 0-0 Yanga SC TRA United Yanga SC 2 Mashuti 3 0 Lenga lango 0 34% Umiliki 66% 2 Mashuti yasiyolenga lango 3 0 Kadi nyekundu 0 0 Kadi ya njano 0 0 Kona 1 0 Magoli 0…