Singida Black Stars 4-1 Mbeya City
Singida Black Stars 4-1 Mbeya City ni matokeo rasmi mchezo wa leo Mei 26, 2026…
Singida Black Stars 4-1 Mbeya City ni matokeo rasmi mchezo wa leo Mei 26, 2026 NBC Premier League kwa wababe hawa wawili Uwanja wa Airtel. Huu ni ushindi mkubwa kwa walima alizeti wakisalia na pointi 3 muhimu huku magoli yote yakifungwa na wachezaji wa Singida Black Stars. Magoli ya Singida Black Stars yamefungwa na Ande…
Yanga SC 3- 1 Namungo FC, NBC Premier League, Mei 25, 2026, Uwanja wa KMC Complex pointi tatu zikiwa ni mali ya wenyeji wakibeba zote jumlajumla. Magoli ya Yanga SC yamefungwa na Duke Abuya dakika ya 26 na mawili yamefungwa na Allan Okello dakika ya 84 ikiwa ni goli lake 11. Goli pekee la Namungo…
VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC msimu wa 2025/26 wamekusanya mtaji mkubwa kwenye magoli yakufunga huku wakiruhusu magoli machache. Timu hiyo inapambania taji ililotwaa msimu wa 2024/25 ambapo kwa sasa mshindani wake namba moja ni Simba SC anafuatia Azam FC ambaye yupo nafasi ya tatu. Yanga SC baada ya mechi 25 safu ya…
Ni Feisal Salum kiungo mshambuliaji wa Azam FC anaongoza chati kwenye ufungaji msimu wa 2025/26 ndani ya ligi namba 6 kwa ubora Afrika. Kiungo huyo anaongoza chati kwenye ufungaji akiwa na magoli 14 anafuatiwa na kiungo wa Yanga SC, Allen Okello mwenye magoli 11. Mshambuliaji namba moja kwenye chati ya ufungaji ni Prince Dube naye…
Mechi hii ni sehemu ya nusu fainali ya kombe la kirafiki la Unity Cup 2026, na itapigwa, kuanzia saa 21:30 kwa saa za Nigeria. Kwa Nigeria, ni nafasi ya kulipa kisasi baada ya kukosa kufuzu Kombe la Dunia 2026 kwa kupoteza kwa penalti dhidi ya DR Congo. Kwa Zimbabwe, wana motisha ya kuendeleza kasi baada…
Rais wa Mexico Claudia Sheinbaum ametangaza kuwa nchi hiyo itaihifadhi timu ya taifa ya Iran wakati wa mashindano ya 2026 FIFA World Cup baada ya Marekani kuonyesha kutotaka kuipokea kutokana na mvutano wa kisiasa unaoendelea. Sheinbaum amesema kuwa FIFA iliwasiliana na serikali ya Mexico kuomba msaada huo baada ya utawala wa Rais Donald Trump kueleza…
Kama wewe ni mtu wa mipango na maamuzi ya fasta basi Stock Trade ndani ya Meridianbet imekuja kwa ajili yako. Mchezo huu unakupa nafasi ya kuingia kwenye ulimwengu wa biashara za hisa za anga huku ukijifunza namna masoko yanavyobadilika kila muda. Mchezo huu umejaa mwenendo wa masoko unaokufanya uwe macho kila wakati. Bei zinabadilika kutokana…
KIKOSI cha Yanga SC kinashuka leo Uwanja wa KMC Complex kuvaana na Namungo FC katika mchezo wa NBC Premier League ikiwa ni mzunguko wa pili langoni ameanza Djigui Diarra. Wachezaji wengine ni Yao Yao, Israel Mwenda, Bakari Nondo, Ibrahim Bacca, Damaro, Maxi Nzengeli, Duke Abuya, Prince Dube, Mudathir Yahya na Allan Okello. Wachezaji wa akiba…
MECHI za leo Mei 25, 2026 ni moto wa kuotea mbali na zinapigwa Uwanja wa KMC Complex kwa wababe kusaka pointi tatu muhimu ndani ya dakika 90. Yanga SC hawa ni mabingwa watetezi wa ligi watamenyana na Namungo FC kwenye mchezo wa mzunguko wa pili. Wababe hawa wanatarajiwa kukutana saa 12:30 kusaka pointi 3 muhimu…
Huu ni mchezo wa marudiano wa mchujo wa kuwania nafasi ya Ligi Kuu ya Ujerumani msimu ujao (Relegation Play-off). Katika mchezo wa kwanza uliopigwa Mei 21, Wolfsburg na Paderborn walitoka kwa sare ya 0-0 uwanjani mwa Volkswagen Arena. Kwa kuwa hakuna timu iliyofunga bao ugenini, mchezo wa leo una mwanya wa wazi kabisa mshindi atakuwa…
West Ham United F.C. wamejikuta wakishuka daraja kwenda Championship baada ya msimu mbaya uliowaacha mashabiki wakiwa na hasira kubwa dhidi ya uongozi wa klabu hiyo. Mashabiki wa West Ham walitawala kwa nyimbo za kumshambulia mwenyekiti mwenza David Sullivan ndani ya London Stadium baada ya timu hiyo kushindwa kujinasua kutoka eneo la kushuka daraja licha ya…
Bruno Fernandes ameendelea kuonyesha ubora wake ndani ya Manchester United F.C. baada ya kuweka rekodi mpya ya pasi za mabao nyingi ndani ya msimu mmoja wa Ligi Kuu ya Uingereza 2025/2026 kwa kufikisha assists 21 na kuwazidi mastaa waliowahi kutamba kama Thierry Henry na Kevin De Bruyne. Kiungo huyo wa Ureno aliiongoza United kwenye ushindi…
Arsenal F.C. wameandika historia mpya baada ya kutwaa ubingwa wa Premier Ligi Kuu kwa mara ya kwanza baada ya kusubiri kwa miaka 22, huku wakisherehekea kwa kishindo mbele ya maelfu ya mashabiki wao katika Uwanja wa Selhurst Park. The Gunners walihitimisha msimu kwa ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Crystal Palace F.C. kupitia mabao ya…
Mamelodi Sundowns wametwaa ubingwa wa pili wa kihistoria wa Ligi ya Mabingwa baada ya kuichapa AS FAR kwa jumla ya mabao 2-1 katika fainali ya msimu wa 2025/26. Miamba hiyo ya Afrika Kusini iliingia mchezo wa marudiano ikiwa na faida ya ushindi wa bao 1-0 walioupata nyumbani, kabla ya kutoka sare ya 1-1 ugenini kwenye…
Kama bado hujaicheza Gates of Arabia kutoka Meridianbet basi kuna starehe kubwa unaikosa. Huu mchezo umekuwa mada kila kona kwa sababu ya msisimko wake na nafasi za ushindi mkubwa zinazowafanya wengi washindwe kuiacha. Hapa ni mwendo wa ushindi, jackpot na burudani ya hali ya juu. Kila unapoweka dau lako, moyo unaanza kwenda mbio ukisubiri reels…
Mitaa mingi sasa watu wanatafuta mchezo unaotoa burudani na ushindi wa kweli. Meridianbet wamejibu kwa kuachia Planet Power Slots, mchezo unaochanganya burudani kubwa na za kisasa pamoja na nafasi kubwa za kutengeneza hela. Planet Power Slots limeundwa kwa mtindo wa kipekee wenye sayari zinazometameta na picha kali sana. Ukianza kucheza tu unahisi kabisa umeingia kwenye…
Saa 18:00 jioni leo, Mei 24, Uwanja wa Tottenham Hotspur Stadium utakuwa kinara wa tamasha la kukatana shoka. Tottenham Hotspur, wanaoshika nafasi ya 17 yenye pointi 37, wanakabiliwa na hatari ya kushuka daraja la kwanza tangu 1977. Kinyume chao, Everton iliyopo nafasi ya 10 yenye pointi 48 wana ndoto ndogo za kufuzu Kombe la Ulaya,…