Ibenge Amtembelea Pacome Hospitalini Baada ya Kuumia

Kocha Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge, pamoja na benchi lake la ufundi, wamemtembelea kiungo wa Yanga SC, Pacome Zouzoua, hospitalini kwa ajili ya kumjulia hali baada ya kuumia katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Pacome alipata majeraha hayo jana katika mchezo uliowakutanisha Yanga SC na JKT Tanzania kwenye Uwanja wa Meja…

Read More

Monday Cashback & Bonus Back Kwenye Akaunti Yako Kila Jumatatu

Kwa wengi, wikendi ni muda wa kupumzika, kujiburudisha na kufurahia mambo wanayoyapenda. Kwa wapenzi wa kasino za mtandaoni ndani ya Meridianbet, burudani hiyo haimaliziki Jumapili usiku. Badala yake, inaendelea hadi Jumatatu kupitia promosheni ya Monday Cashback & Bonus Back, ambayo imekuwa ikiwapa wachezaji sababu mpya ya kutazamia mwanzo wa wiki. Katika kipindi ambacho ushindani katika…

Read More

Cardi B, Kendrick Lamar WashindaTuzo Kubwa BET Awards 2026

LOS ANGELES, Marekani – Tuzo za BET Awards 2026 zimefanyika rasmi katika ukumbi wa Peacock Theater na kuwakutanisha wasanii wakubwa wa muziki, filamu na michezo katika usiku uliojaa burudani na ushindani mkali. Sherehe hizo zilizoongozwa na mchekeshaji Druski, zilivuta mamilioni ya watazamaji kupitia BET na mitandao mingine ya kimataifa, huku majina makubwa yakigawana tuzo mbalimbali….

Read More

PSG Yafungua Mazungumzo na Leipzig kwa Ajili ya Diomande

PARIS, Ufaransa – Mabingwa wa Ulaya, Paris Saint-Germain, wako kwenye mazungumzo na RB Leipzig kwa ajili ya kumsajili winga wa kimataifa wa Ivory Coast, Yan Diomande. Ripoti zinaeleza kuwa Diomande mwenye umri wa miaka 19 ameonyesha nia ya kujiunga na PSG badala ya Liverpool F.C., licha ya klabu hiyo ya England kuwa tayari kutoa pauni…

Read More