Orodha ya wafungaji magoli Yanga SC 2025/26
YANGA SC inaongoza ligi na pointi 60 baada ya mechi 25, safu ya ushambuliaji imefunga…
YANGA SC inaongoza ligi na pointi 60 baada ya mechi 25, safu ya ushambuliaji imefunga magoli 58 na kinara ni Allan Okello mwenye magoli 11. Hii hapa orodha ya wafungaji magoli 2025/26 NBC Premier Mchezaji Magoli Asisti Allan Okello 11 7 Prince Dube 9 3 Mudathir Yahya 8 2 Pacom Zouzoua 7 4 Laurindo Depu…
Kiungo wa Serengeti Boys, Dismas Athanasi, ameibuka mfungaji bora wa michuano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa vijana chini ya miaka 17 (AFCON U-17) baada ya kufunga jumla ya mabao matatu katika mashindano hayo. Athanasi amefanya vyema na kuisaidia Tanzania kumaliza katika nafasi ya pili, baada ya Serengeti Boys kupoteza fainali kwa mikwaju ya penalti…
Mabingwa watetezi wa NBC Premier League na CRDB Federation Cup Juni wana mechi 6 za kazi kusaka ushindi ndani ya uwanja. Ni Yanga SC ambayo inatetea taji la CRDB Federation Cup ipo hatua ya nusu fainali. Kwenye ligi wapo nafasi ya kwanza na pointi 60. Hizi hapa mechi zinazofuata kwenye ratiba 2025/26 namna hii:- Juni…
KIKOSI cha Simba SC tayari kimeanza maandalizi ya mechi zinazofuata ndani ya NBC Premier League 2025/26 mara baada ya mapumziko mafupi. Hii hapa ratiba kwa mechi zinazofuata kwenye ligi. Ikumbukwe kwamba timu hiyo ipo nafasi ya pili imekusanya jumla ya pointi 58 baada ya mechi 25. 14 Juni 2026 Simba SC vs Pamba Jiji FC…
Afrika imeweka rekodi mpya ya kihistoria baada ya kupata wawakilishi 10 katika Kombe la Dunia la FIFA 2026, litakalofanyika Marekani, Canada na Mexico kuanzia Juni 11, 2026. Nchi zilizofuzu ni pamoja na Senegal, Morocco, Misri, Ghana, Algeria, Tunisia, Ivory Coast, Cape Verde, Kongo (DRC) na Afrika Kusini. Hii ni mara ya kwanza katika historia ya…
Timu ya Taifa ya Tanzania ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti Boys, imekosa ubingwa wa Kombe la Mataifa Afrika kwa vijana wa umri huo (AFCON U-17) baada ya kufungwa kwa mikwaju ya penalti 4-2 dhidi ya Senegal katika mchezo wa fainali uliopigwa usiku wa kuamkia leo. Mchezo huo ulimalizika kwa sare ya mabao 1-1…
Je unajua kuwa sekunde chache zinaweza kuamua kila kitu. Ndoto ya kushinda mara kubwa haikuishi tu kwenye kabla ya mchezo kuanza sasa Meridianbet inakuletea Live In-Play Booster, huduma ya kipekee inayokuwezesha kuongeza odds zako wakati mchezo unaendelea, na hivyo kuongeza nafasi yako ya ushindi mkubwa kwa kila dau unaloweka. Huduma hii ya Live In-Play Booster…
Kama unapenda michezo yenye hadithi na msisimko wa kweli, basi Pia Sloti kutoka Meridianbet imekuandalia kila kitu unachohitaji. Mchezo huu unakutoa kwenye maisha ya kawaida na kukupeleka kwenye safari ya kusisimua ya Marekani ya zamani. Ndani ya mchezo huu utakutana na alama mbalimbali zinazowakilisha maisha ya porini na safari za wawindaji wa hazina. Kila mzunguko…
Timu ya Taifa ya Canada itamenyana na Uzbekistan leo Juni 2 saa 04:00 alfajiri katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa utakaochezwa kwenye Uwanja wa Commonwealth mjini Edmonton. Mchezo huu ni sehemu muhimu ya maandalizi ya mataifa hayo kuelekea Kombe la Dunia 2026, huku Canada ikiwa mwenyeji wa mashindano hayo pamoja na Marekani na Mexico. Canada…
TIMU ya Taifa ya Tanzania ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti Boys, itashuka dimbani leo Jumanne Juni 2, 2026 usiku kumenyana na Senegal katika fainali ya michuano ya TotalEnergies CAF U-17 AFCON Morocco 2026 itakayochezwa mjini Rabat, Morocco. Mchezo huo wa fainali unatarajiwa kuchezwa katika Uwanja wa Moulay El Hassan kuanzia saa 4:00 usiku…
Mawimbi ya bahari yamebeba habari njema kwa mashabiki wa sloti. Pirates Power kutoka Meridianbet imewasili ikiwa na burudani ya kiwango cha juu na nafasi za ushindi zinazoweza kukufanya uwe gumzo mtaani. Ndani ya mchezo huu, kila mzunguko umejaa mshangao. Ukiwa na nafasi ya kushinda hadi x5000 ya dau lako, kila mzunguko unaweza kuleta matokeo makubwa…
MASHUJAA FC inayotumia Uwanja wa Lake Tanganyika kwa mechi za nyumbani wamerejea kambini kwa maandalizi ya mechi zijazo ndani ya ligi. Timu hiyo Mei 31 2026 rasmi ilirejea kambini na kuanza maandalizi kwa mchezo ujao unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Lake Tanganyika. Mashujaa FC vs Yanga SC ni mchezao ujao kwenye ratiba ambapo utakuwa ni mzunguko…
Kiungo mshambuliaji wa Azam FC na Tanzania national football team, Feisal Salum, anatarajiwa kukosa mechi mbili za kirafiki za Taifa Stars dhidi ya Uganda na Rwanda zitakazopigwa nchini Morocco kutokana na majeraha. Taarifa zinaeleza kuwa mchezaji huyo alipata majeraha akiwa kambini, na sasa ameruhusiwa kuondoka ili aendelee na matibabu pamoja na uangalizi wa afya yake….
TIMU ya Taifa ya Tanzania ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti Boys, itashuka dimbani kesho Jumanne Juni 2, 2026 usiku kumenyana na Senegal katika fainali ya michuano ya TotalEnergies CAF U-17 AFCON Morocco 2026 itakayochezwa mjini Rabat, Morocco. Mchezo huo wa fainali unatarajiwa kuchezwa katika Uwanja wa Moulay El Hassan kuanzia saa 4:00 usiku…
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetangaza rasmi mabadiliko ya muda wa mchezo wa NBC Premier League kati ya Mbeya City dhidi ya Simba SC uliokuwa ufanyike Juni 17, 2026 saa 10:00 jioni. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, mchezo huo sasa utapigwa siku hiyohiyo ya Juni 17 lakini kuanzia saa 8:00 mchana jijini Mbeya kutokana…
WACHEZAJI wa Simba SC wamerejea kambini kwa maandalizi kwa ajili ya mechi za NBC Premier League na CRDB Federation Cup. Katika msimamo Simba SC ipo nafasi ya pili imekusanya pointi 58 baada ya mechi 25 tofauti ya pointi 2 na vinara wa ligi ambao ni Yanga SC wenye pointi 60. Mchezo uliopita Simba SC ilipata…
Kombe la Dunia la FIFA 2026 FIFA World Cup 2026 litakuwa moja ya matukio ya kihistoria zaidi katika soka duniani, kwa sababu kwa mara ya kwanza litafanyika kwenye nchi tatu kwa pamoja. Nchi hizo ni: Canada Mexico United States Hili linaifanya World Cup 2026 kuwa tofauti kabisa na matoleo ya nyuma. Maajabu makubwa ya World…