Meridianbet Yaja Kivingine na Kampeni Kubwa ya Summer Season of Legends

Ikiwa unapenda ushindani na zawadi kubwa, basi Evoplay Summer Season of Legends imekuja kwa ajili yako. Meridianbet imeandaa mashindano maalum yanayowapa wachezaji nafasi ya kushindania zawadi kubwa yenye thamani ya hadi TZS 1,089,000,000. Kuanza ni rahisi sana. Weka dau lako kuanzia TZS 600 na kila raundi inayostahili itachangia safari yako ya kupanda kwenye msimamo. Kila…

Read More

Mashujaa FC vs Yanga SC, kocha Moallin abainisha hesabu

MASHUJAA FC vs Yanga SC ni mchezo unaofuata kwenye ratiba ya NBC Premier League Juni 13, 2026 huku benchi la ufundi la mabingwa watetezi likibainisha kwamba lipo tayari kwa mchezo. Ahamid Moallin, Kocha Mkuu wa Yanga SC amesema wanatambua ushindani uliopo watapambana kupata matokeo mazuri uwanjani. “Hakuna mchezo rahisi katika ligi hii. Haijalishi tunacheza na…

Read More

Mwamuzi wa Somalia Omar Artan Ateuliwa Kuchezesha Super Cup ya PSG na Aston Villa

Mwamuzi wa kimataifa kutoka Somalia, Omar Abdulkadir Artan, ametangazwa rasmi na UEFA kuwa mwamuzi wa mchezo wa UEFA Super Cup 2026 utakaowakutanisha mabingwa wa Ulaya, Paris Saint-Germain (PSG), dhidi ya mabingwa wa Europa League, Aston Villa. Mchezo huo wa kifahari unatarajiwa kuchezwa tarehe 12 Agosti katika jiji la Salzburg, Austria, ukiwakutanisha mabingwa wa mashindano makubwa…

Read More