Mashujaa FC 0-1 Azam FC, CRDB Federation Cup

Mashujaa FC 0-1 Azam FC, CRDB Federation Cup ni matokeo rasmi kwenye mchezo wa leo Mei 17, 2026 hatua ya robo fainali CRDB Federation Cup. Matajiri wa Dar wameibuka na ushindi huo katika Uwanja wa Lake Tanganyika mwisho wa reli Kigoma kwa goli ambalo lilipachikwa dakika 45 za mwanzo. Anaitwa Idd Suleman maarufu kwa jina…

Read More

Simba SC 4-0 TRA United CRDB Federation Cup

Simba SC 4-0 TRA United CRDB Federation Cup ni matokeo rasmi kwenye mchezo wa leo Mei 17, 2026 Uwanja wa KMC Complex hatua ya robo fainali. Matokeo haya yanaipa tiketi Simba SC kutinga hatua ya nusu fainali ambapo itakutana na Coastal Union iliyopata ushindi mbele ya Singida Black Stars kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkwakwani,…

Read More

Yanga SC yaipigia hesabu JKT Tanzania

JKT Tanzania vs Yanga SC ni leo Mei 16, 2026 hatua ya robo fainali kwa wababe wawili kusaka tiketi kutinga hatua ya nusu fainali. Mchezo huu unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Meja Jeneral Isahmuyo saa 12:30 jioni mshindi atakata tiketi moja kwa moja hatua inayofuata na atakayepoteza mwendo atakuwa amemaliza mpaka wakati ujao 2027. Kocha Mkuu…

Read More

Coastal Union yaitisha Singida Black Stars

Coastal Union yatisha Singida Black Stars kuelekea kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali CRDB Federation Cup leo Mei 16, 2026. Ni Coastal Union vs Siginda Black Stars mchezo mkali unaotarajiwa kuchezwa saa 10 jioni kwa wababe hawa kusaka tiketi kutinga hatua ya nusu fainali. Mabingwa watetezi wa taji hili ni Yanga SC ambao watashuka…

Read More

JKT Tanzania vs Yanga SC ni kivumbi

JKT Tanzania vs Yanga SC ni kivumbi Mei 16, 2026 Uwanja wa Meja Jeneral Isahmuyo kwa wababe hawa wawili kusaka tiketi kutinga hatua ya nusu fainali. Mabingwa watetezi ni Yanga SC kwenye taji hili hivyo wataingia uwanjani wakiwa na hesabu za kutetea taji hilo huku JKT Tanzania wakiwa na hesabu kutinga hatua ya nusu fainali….

Read More

CRDB Cup ratiba ya robo fainali hii hapa

CRDB Cup ni hatua ya robo fainali ambapo timu zinatarajiwa kushuka uwanjani kusaka ushindi kutinga hatua ya nusu fainali. Haya ni mashindano mengine makubwa Bongo ambapo ni hatua ya mtoano mpaka fainali ukishinda unasonga mbele ukifungwa umeumaliza mwendo. Katika mashindano haya ambayo yapo hatua ya robo fainali mabingwa watetezi ni Yanga SC watakuwa kazini Mei…

Read More