Matokeo ya Muungano Cup 2026

Muungano Cup 2026 inatarajiwa kufika tamati Aprili 29, 2026 kwa mchezo wa fainali Yanga SC vs Simba SC, saa 2:15 usiku Uwanja wa New Amaan Complex. Hapa tunakuletea matokeo ya timu zote 8 kuanzia hatua ya robo fainali namna hii:- Matokeo Muungano Cup 2026 Timu Tarehe Mechi Hatua Matokeo Yanga SC Aprili 21, 2026 Yanga…

Read More

Ujue muda wa mechi ya Yanga SC vs Simba SC

Yanga SC vs Simba SC, fainali Muungano Cup inatarajiwa kuchezwa kesho Aprili 29, 2026 Uwanja wa New Amaan Complex. Mechi hii itachezwa kuanzia saa 2:15 usiku kwa wababe wawili kukutana uwanjani kusaka bingwa wa Muungano Cup 2026. Ikumbukwe kwamba mabingwa watetezi wa taji hilo ni Yanga SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Pedro Goncalves. Simba SC…

Read More

Matokeo ya Simba SC Muungano Cup 2026

Simba SC imekata tiketi ya kutinga hatua ya fainali Muungano Cup 2026 kwa ushindi wa magoli 3-0 dhidi ya Mlandege FC katika mchezo nusu fainali ya pili. Ushindi huo unaipata tiketi kukutana na Yanga SC kwenye mchezo wa fainali unaotarajiwa kuchezwa Aprili 29, 2026 Uwanja wa New Amaan Complex. Ni wazi kwamba mabingwa watetezi wa…

Read More

Yanga SC vs Simba SC, Muungano Cup fainali

Yanga SC vs Simba SC ni Dabi ya Kariakoo, Kombe la Muungano Cup kwa wababe hawa kupambana kusaka taji. Mchezo huu unatarajiwa kuchezwa kesho 29/4/2026 Jumatano, Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar, kuanzia majira ya saa 2:15 usiku kwa saa za Afrika Mashariki. Yanga SC wanaingia katika mchezo huu kama mabingwa watetezi, huku watani zao…

Read More

Fanya Biashara Katika Anga za Kidijitali na Meridianbet Stock Trade

Hivi sasa ulimwengu wa burudani ya kidijitali umapata shangwe mpya kabisa, Meridianbet imeileta Stock Trade,mchezo unakuingiza kwenye safari ya kipekee ya biashara za hisa katika anga za mbali. Haya ni mazingira ya kimkakati yanayokufanya ufikirie haraka na kufanya maamuzi kwa uangalifu. Ndani ya mchezo huu, utajikuta katika dunia ya masoko yanayobadilika kila wakati. Bei hupanda…

Read More

Simba SC imetinga fainali Muungano Cup

Simba SC imetinga hatua ya fainali Muungano Cup 2026 kwa ushindi wa magoli 3-0 Mlandege FC. Kituo kinachofuata fainali ni Yanga SC vs Simba SC, Aprili 29, 2026. Magoli ya Simba SC katika nusu fainali ya pili Aprili 26,2026 yamefungwa na Seleman Mwalimu dakika ya 61, Anicet Oura dakika ya 76 na Maema dakika ya…

Read More

Simba SC vs Mlandege FC leo

LEO Aprili 26, 2026 mchezo wa Hatua ya Nusu Fainali ya Muungano Cup 2026 utapigwa kwa wababe wawili kusaka tiketi kusonga hatua ya fainali. Ni katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar, Simba SC vs  Mlandege FC, nusu Fainali ya pili ya mashindano haya. Mshindi wa mechi hii atavaana naYanga SC iliyopata ushindi wa magoli…

Read More