
KAIZER CHIEFS KUVUNJA BENKI KUIPATA SAINI YA AHOUA
KIUNGO mshambualiaji wa Simba SC Jean Ahoua raia wa Ivory Coast mkataba wake umesalia mwaka…
KIUNGO mshambualiaji wa Simba SC Jean Ahoua raia wa Ivory Coast mkataba wake umesalia mwaka mmoja kuwa ndani ya kikosi cha Simba SC. Alitambulishwa Julai 3 2024 kwa kandarasi ya miaka miwili yeye ni raia wa Ivory Coast. Amekuwa na msimu bora licha ya Simba SC kupishana na mataji yote iliyokuwa inayasaka. Ikiwa Kaizer Chiefs…
Dar es Salaam, Julai 10, 2025 – Kesi namba 8323/2025 inayohusu mgawanyo wa rasilimali za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), imeahirishwa rasmi na Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, hadi Jumatatu, Julai 14 saa nne asubuhi. Shauri hilo limesitishwa kufuatia maombi ya mawakili wa upande wa waleta maombi waliotaka…
Klabu ya RS Berkane kutoka Morocco wamefungua rasmi mazungumzo ya awali na upande wa mchezaji Elie Mpanzu, ambaye kwa sasa ni nyota wa Simba SC. Hawajatuma ofa rasmi kwa Simba SC bado, bali wanataka kwanza kukubaliana na mchezaji kuhusu maslahi binafsi kama mshahara na bonasi. Vyanzo vinaeleza kuwa RS Berkane wako tayari kulipa kifungu cha…
Fursa ya kujishindia zawadi kubwa kwa muda mfupi ni kitu adimu. Ndiyo maana mashindano mapya ya Playson Short Races ndani ya Meridianbet yameleta msisimko mpya kwa wapenzi wa michezo ya bahati. Kwa zawadi ya kuvutia ya hadi TZS Bilioni 6, haya si mashindano ya kawaida ni mbio za kweli za ushindi. Tofauti na mashindano marefu…
MATAJIRI wa Dar, Azam FC hawapoi baada ya kumtambulisha nyota mwingine mpya ambaye aliwahi kucheza hapo kabla ya kuondoka kuelekea Misri kwa changamoto mpya. Kazi imeanza kwa timu hiyo ambayo itashiriki Kombe la Shirikisho Afrika ikiwa imegotea nafasi ya tatu kwenye msimamo wa ligi msimu wa 2024/25. Ni Kocha Mkuu, Florent Ibenge atakuwa kwenye benchi…
KAMPUNI ya SportPesa imewapa Yanga SC Milioni 262.5 ambazo ni sehemu ya kukamilisha takwa la kimkataba kwa kutoa gawio la Tsh milioni 262.5 kama sehemu ya hongera kwa mafanikio bora yaliyopatikana ndani ya timu hiyo. Ilikuwa Julai 9 2025. Ikumbukwe kwamba Klabu ya Yanga SC imekuwa na mahusiano ya muda mrefu yanayokaribia kufikia miaka 8…
INAELEZWA kuwa kiungo mshambuliaji wa Yanga SC ambaye aliibuka hapo akitokea Simba SC, Clatous Chama huenda akaondoka ndani ya timu hiyo baada ya mkataba wake kugota mwisho. Mbali na Chama kusepa Yanga SC taarifa za kuaminika kutoka ndani ya Yanga SC zimethibitisha kuwa, timu hiyo imefikia makubaliano ya kuachana na mastaa wao wengine wa ushambuliaji…
Meridianbet imezindua promosheni kabambe kwa wachezaji wote wa mchezo maarufu wa Aviator, ikiwa ni nafasi adhimu ya kujishindia simu mpya kabisa za kisasa aina ya Samsung A25. Kuanzia tarehe 1 hadi 31 Julai 2025, kila wiki wachezaji wawili watakuwa na nafasi ya kushinda simu hizi kwa kushiriki tu kwenye mchezo wa Aviator kupitia tovuti rasmi…
Usiku wa leo, PSG wanawakaribisha Real Madrid katika mechi ya kukata na shoka. Huku watu wengi wakitabiri kuwa huu utakuwa ni mchezo wa wazi kabisa na wenye magoli mengi. Huku kwa wewe mteja wa Meridianbet ni nafasi yako ya kuondoka na kitita cha pesa yaani unapata mara mbili ya kile ambaco ulikuwa unapata. Bashiri na…
KIKOSI cha Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars Julai 08 2025 kiliingia kambini Dar es Salaam kisha alfajiri ya kuamkia Julai 9 kimekwea pipa kuelekea nchini Misri kwa ajili ya kambi ya wiki tatu. Hivyo kuelekea CHAN mambo ni moto na maandalizi yanaendelea kwa kasi ikiwa ni mwendelezo wa ukarabati wa Uwanja wa Mkapa…
AIR Manula amerejea ndani ya kikosi cha Azam FC akitokea kwa waajiri wake Simba SC akiwa mchezaji huru. Mkataba wa Air Manula na Simba SC ilikuwa mpaka 2025 tayari umegota mwisho. Kwa msimu wa 2025/26 atakuwa ndani ya Azam FC, matajiri wa Dar mpaka 2028 akitimiza majukumu yake kwenye eneo la mlinda mlango. Msimu wa…
Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza rasmi matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita (ACSEE) pamoja na Mitihani ya Ualimu iliyofanyika mwezi Mei 2025. Matokeo hayo yanapatikana kupitia tovuti rasmi ya NECTA (www.necta.go.tz), ambapo wanafunzi na walimu waliohusika wanaweza kuyatazama kwa kutumia namba za mtihani au majina ya shule na vituo husika. Kwa mujibu…
INAELEZWA kuwa winga chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Fadlu Davids ndani ya kikosi cha Simba SC, Ellie Mpanzu yupo kwenye rada za RS Berkane,Waarabu wa Morocco. Mpanzu ni miongoni mwa wachezaji waliokuwa tegemeo katika kikosi cha Simba SC msimu wa 2024/25 kwenye anga la kimataifa na kitaifa. Ndani ya ligi rekodi zinaonyesha kuwa alicheza…
MFUNGAJI bora ndani ya ligi namba nne kwa ubora Afrika, Aziz Ki msimu wa 2023/24 huenda akarejea kwa mara nyingine ndani ya ardhi ya Tanzania. Ki alifunga jumla ya mabao 21 alipokuwa namba moja. Timu ya Yanga SC ilitwaa ubingwa wa ligi na Azam FC ilikuwa nafasi ya pili. Mei 24 2025 Ki alitoa Thank…
Meridianbet inawapa wachezaji fursa ya kipekee ya kushiriki Lucky Rush Tournament, promosheni ya kusisimua iliyoanza tarehe 27 Juni hadi 3 Agosti 2025. Promosheni hii inatoa zawadi za pesa taslimu TZS 1.5 bilioni, zikigawanywa katika mashindano matano ya leaderboard, kila moja ikiwa na TZS 300 milioni kwa washindi 5,000. Ili kushiriki, wachezaji wanahitaji kujiandikisha (opt-in) kwa…
Jumanne ya kibingwa imewadia ambapo Dunia inaenda kushuhudia mtanange wa kukata na shoka kati za Fluminense vs Chelsea. Wewe una nafasi ya kuishangaza Meridianbet kwa kubashiri mechi hii na GG&3+ ili upate bonasi. Leo hii mashabiki wa soka wanatarajia pambano kali la Nusu Fainali kati ya Fluminense ya Brazil na Chelsea ya England. Hii si…
SIMBA SC katika anga la kimataifa msimu wa 2024/25 imegotea nafasi ya pili kwa kupoteza mchezo wa fainali dhidi ya RS Berkane ya Morocco. Katika dakika 180, Simba SC ilifungwa jumla ya mabao 3-1, bao la kufutia machozi kwa Simba SC lilifungwa na Joshua Mutale mchezo uliochezwa Uwanja wa New Amaan Complex. Kibu Dennis ni…