Usiku wa Champions League: Levski na AEK Athens Kwenye Vita ya Play-Off
Leo Jumanne, Agosti 18, 2026 saa 22:00, uwanja wa Vasil Levski National Stadium jijini Sofia…
Leo Jumanne, Agosti 18, 2026 saa 22:00, uwanja wa Vasil Levski National Stadium jijini Sofia utakuwa mwenyeji wa mchezo mzito wa hatua ya mwisho ya kufuzu (play-off, mchezo wa kwanza) wa UEFA Champions League msimu wa 2026/27. Levski Sofia watapokea ugeni wa mabingwa wa Ugiriki, AEK Athens, katika pambano ambalo mshindi wake ataingia moja kwa…
Mabingwa watetezi wa NBC Premier League, Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Manqoba Mngqithi wamefungua ukurasa wa kwanza kwa kushuhudia ubao wa Uwanja wa Majaliwa, Agosti 15,2026 ukisoma Namungo FC 1-3 Yanga SC. Weka kando matokeo hayo ya ushindi kwa wageni, dakika 90 zilitawaliwa na rekodi kibao ambazo zimeandikwa na hapa tunakuletea 5 ambazo zilibamba…
Quibdó, Colombia — Mwanamuziki maarufu wa Colombia, Shakira Mebarak Ripoll, ameahidi kushiriki katika juhudi za kurejesha miundombinu ya elimu iliyoharibiwa na tetemeko la ardhi lililoikumba nchi hiyo, likiwemo kujenga upya shule 10 pamoja na kurejesha Chuo Kikuu cha Teknolojia katika eneo la Chocó. Ahadi hiyo imetolewa baada ya Shakira kutembelea Quibdó, Chocó, ambako alitembelea baadhi…
Tripoli, Libya — Klabu ya Al Ahli Tripoli ya Libya imemtambulisha rasmi mshambuliaji wa Burundi, Jean Claude Girumugisha, baada ya kumnasa kutoka Al Hilal ya Sudan. Girumugisha, ambaye amesaini mkataba wa miaka miwili, alikuwa akihusishwa na uwezekano wa kujiunga na Yanga SC ya Tanzania kabla ya hatimaye kuamua kuhamia Libya. Mshambuliaji huyo anaingia Al Ahli…
Mambo yamepamba moto kwenye ulimwengu wa kasino mtandaoni hasa upande wa michezo ya sloti. Fazi Cash Quest imeingia Meridianbet ikiwa na zawadi ya jumla ya TZS 6,000,000 kwa washiriki watakaofanya vizuri. Mashindano bado yanaendelea hadi tarehe 27 Agosti 2026, hivyo muda wa kuanza safari ni sasa. Kila dau linalokidhi vigezo linakupa nafasi ya kusogea juu…
Mshambuliaji wa kimataifa wa Angola, Laurindo Dilson “Depu”, ameaga rasmi klabu ya Yanga pamoja na mashabiki wake baada ya kuondoka Tanzania na kurejea Angola. Depu ametuma ujumbe wa kuwaaga mashabiki wa Yanga, huku akiwashukuru kwa mapokezi mazuri, upendo na ushirikano kubwa aliyopata tangu alipowasili klabuni hapo, pamoja na ushirikiano alioupata kutoka kwa wachezaji wenzake. Akizungumza…
Beki wa Manchester United, Harry Maguire, amesema anatumai mshambuliaji Marcus Rashford ataendelea kubaki katika klabu hiyo msimu ujao, akisisitiza kuwa mchezaji huyo ni mali muhimu kwa timu. Maguire alisema Rashford anaongeza ubora katika kikosi cha United na ana uwezo mkubwa wa kufunga mabao, hivyo wachezaji wenzake wangependa kumuona akiendelea kucheza Old Trafford. Hatma ya Rashford…
Je unajua kuwa leo hii inaweza kuwa ni siku ya bahati yako ukisuka jamvi lako na wakali wa ubashiri?. Timu za ushindi zinakungoja wewe pekee. Je nani unampa nafasi ya ushindi? Kule katika ligi kuu ya Hispania yaani LALIGA itaendelea kwa mchezo mmoja kati ya Deportivo La Coruna dhidi ya Elche ambapo huu ni mchezo…
Kiungo wa Arsenal, Declan Rice, amepata tukio la kuchekesha wakati wa sherehe za kutwaa Kombe la Community Shield, baada ya kujigonga usoni kwa bahati mbaya wakati akiinua kombe hilo. Tukio hilo lilitokea baada ya Arsenal kuifunga Manchester City mabao 3-0 katika mchezo wa Community Shield, uliokuwa ukiashiria mwanzo wa msimu wa 2026/27. Baada ya nahodha…
Timu ya Taifa ya Wanawake ya Cameroon, maarufu kama Indomitable Lionesses, imeandika historia mpya baada ya kutwaa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026 kwa mara ya kwanza, ikiiangusha Malawi kwa mabao 3-0 katika fainali iliyochezwa Jumapili, Agosti 16, 2026, kwenye Uwanja wa Moulay El Hassan mjini Rabat, Morocco. Cameroon ilianza…
Kila Jumatatu huja na mwanzo mpya, lakini kwa wapenzi wa kasino mtandaoni wanaotumia Meridianbet, mwanzo huo unaweza kuja na matarajio zaidi kupitia Monday Cashback & Bonus Back. Promosheni hii imeifanya siku ya kwanza ya wiki kuwa sehemu ya kuvutia zaidi kwa wachezaji wanaosubiri kuona kama shughuli zao za wiki iliyopita zimewaletea zawadi. Kupitia mpango huu,…
UBAO wa Uwanja wa Kaitaba, Bukoba baada ya dakika 90 umesoma Kagera Sugar 0-2 Simba SC, NBC Premier League. Mabao ya ushindi kwa Simba SC yamefungwa na Ismail Toure dakika ya 45 kwa pigo la kichwa na Ellie Mpanzu dakika ya 69 kwa pigo la mguu wa kulia. Mtengeneza asisti za mabao yote mawili ya…
WABABE wawili JKT Tanzania vs TRA United wanatarajiwa kukutana leo Agosti 16,2026 Uwanja wa Meja Jeneral Isahmuyo katika dakika 90 za kusaka pointi 3 muhimu. Saa 2:30 usiku mchezo huu mkali unatarajiwa kuchezwa na hapa ni matokeo ya mechi zilizopita walipokutana:- 25/10/2023, JKT Tanzania 1-0 TRA United 13/04/2024, TRA United 1-1 JKT Tanzania 04/06/2024, TRA…
Mechi nyingi za ufunguzi wa Ligi mbalimbali zitaenda kupigwa katika viwanja mbalimbali. Na Meridiabet wanasema hivi huu ndio msimu wa wewe kuondoka na utajiri wako. Unasubiri nini?. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri. Mashabiki wengi Duniani wanaenda kushuhudia mtanange wa Ngao ya Jamii kati ya Arsenal dhidi ya Manchester City ambao walimaliza msimu wakishika nafasi…
Wakati mwingine nafasi kubwa huja na muda maalum, na sasa Mzuka wa Mabingwa wa Meridianbet umebakiwa na siku 24 tu. Ofa hii maalum kwa watumiaji wa Airtel Money inaendelea kuwapa wapenzi wa michezo na kasino nafasi ya kushiriki kwenye droo zenye zawadi zinazovutia kabla kampeni haijafika mwisho. Kuingia kwenye kinyang’anyiro ni rahisi. Mtumiaji anatakiwa kuweka…
Klabu ya Yanga SC imekubali kumuuza winga wake wa kimataifa wa Uganda, Allan Okello, kwenda FAR Rabat ya Morocco kwa ada kubwa ya uhamisho. Okello, ambaye alikuwa sehemu ya kikosi cha Yanga, sasa anaelekea kuanza changamoto mpya katika soka la Morocco baada ya pande hizo kufikia makubaliano ya uhamisho wake. Uhamisho huo unatajwa kuwa wa…
Hatimaye Yanga SC imemtambulisha rasmi kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Burkina Faso, Stephane Aziz Ki, ambaye amerejea Jangwani baada ya kuondoka katika klabu hiyo mwaka 2025. Aziz Ki aliondoka Yanga na kujiunga na Wydad Casablanca ya Morocco, kabla ya baadaye kuhamia Al-Ittihad Tripoli ya Libya. Sasa nyota huyo amerejea Yanga akiwa na historia kubwa ndani…