Yanga Yashuka Dimbani Kuendeleza Moto Dhidi ya Coastal Union
DAR ES SALAAM — Mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC, Yanga SC, leo Alhamisi, Agosti…
DAR ES SALAAM — Mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC, Yanga SC, leo Alhamisi, Agosti 20, 2026, wanatarajiwa kushuka dimbani kuikabili Coastal Union katika mchezo wa raundi ya pili ya msimu wa 2026/27. Mchezo huo utapigwa katika Uwanja wa KMC Complex, Mwenge jijini Dar es Salaam, huku Yanga ikiwa na dhamira ya kuendeleza mwanzo mzuri…
Nyota wa Ibrahim Jabaar, Ibrahim Jabaar, ameonyesha ukomavu kwa kukubali na kuchukua jukumu kamili kufuatia tukio lililomfanya kuonyeshwa kadi nyekundu katika mchezo uliopita. Kupitia ujumbe aliouweka kwenye Instagram, Jabaar amesema: “Hakuna visingizio. Ninachukua jukumu kamili.” 🙏🏽 Kauli hiyo inaonyesha kuwa Jabaar ametambua kosa lake na yuko tayari kuwajibika, huku akitarajiwa kujifunza kutokana na tukio hilo…
Tengeneza pesa ndefu kwa kusuka jamvi lako la ushindi na Meridianbet. Timu kibao zenye Odds kubwa zipo kwaajili yako, ingia na usuke jamvi siku ya leo. Kama kawaida ligi zinaendelea kuchanganya huku wewe ukichangamkia odds za kibabe, Yanga atakuwa nyumbani kumenyana dhidi ya Coastal Union kwenye Ligi kuu ya Tanzania, NBC PREMIER LEAGUE. Hii ni…
MANCHESTER: Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford, amesema angependa kupata nafasi ya kujikita katika kucheza soka bila jina lake kutajwa kila siku katika mijadala ya vyombo vya habari. Rashford alitoa kauli hiyo baada ya mchezaji wa zamani wa Manchester United, Gary Neville, kuanzisha mjadala kuhusu mshambuliaji huyo katika podcast ya Stick to Football. Katika kipande…
LONDON: Arsenal imefikia makubaliano na Aston Villa kuhusu kumsajili beki wa England, Ezri Konsa, kwa ada inayozidi pauni milioni 50. Konsa, mwenye umri wa miaka 28, anatarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya kabla ya kukamilisha uhamisho wake kwenda Emirates Stadium. Arsenal ilianza tena mazungumzo na Aston Villa wiki iliyopita baada ya awali kushindwa kufikia makubaliano. Kwa…
Mwanza: Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wameanza msimu wa NBC Premier League kwa kasi baada ya kuichapa Pamba Jiji FC mabao 2-1 na kuchukua alama zote tatu. Simba ilipata mabao yake kupitia Clatous Chama dakika ya 18 na Oura dakika ya 30, kabla ya Pamba Jiji kujibu kupitia Diomande dakika ya 72. Mchezo huo ulikuwa…
Dar es Salaam: Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limetoa ufafanuzi kuhusu utekelezaji wa Katiba ya Klabu ya Simba iliyofanyiwa marekebisho na kuidhinishwa rasmi Februari 18, 2026. Kwa mujibu wa BMT, marekebisho hayo yalipitishwa na Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Simba uliofanyika Novemba 30, 2025, kabla ya kuwasilishwa kwa Msajili wa Vyama na Vilabu vya…
Safari ya kuwa Milionea huanza kwa nia ya dhati kabisa lakini pia hufuata na juhudi ambazo mtu amewekeza, lakini kupitia Meridianbet wanakwambia unachotakiwa kufanya kutimiza ndoto hizo ni kusuka jamvi pekee. Ushindi upo nje nja hapa. Kwanza kabisa pesa ipo kwenye mechi hii ya LALIGA ambapo Atletico Madrid wataanza kampeni yao ya kusaka taji la…
Mshindi wa Kombe la Dunia akiwa na Hispania, Rodri, amesema yuko tayari kuanza ukurasa mpya wa maisha yake ya soka baada ya kukamilisha uhamisho wake kutoka Manchester City kwenda Barcelona. Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 30 amesaini mkataba wa miaka minne na Barcelona, baada ya klabu hiyo kukubaliana na Manchester City kuhusu ada ya…
Mshambuliaji wa Bayern Munich, Harry Kane, amesema yuko tayari kuanza mazungumzo na mabingwa hao wa Bundesliga kuhusu kuongeza mkataba wake. Kane mwenye umri wa miaka 33 amebakiza miezi 12 kwenye mkataba wake wa miaka minne aliosaini baada ya kuhamia Bayern Munich akitokea Tottenham Hotspur kwa ada ya pauni milioni 86.4 mwezi Agosti 2023. Msimu…
Klabu ya Simba SC imemtambulisha rasmi beki wa kati Ibrahim Nindi kama mchezaji mpya wa kikosi hicho, akirejea Msimbazi baada ya kuitumikia Singida Black Stars. Nindi mwenye umri wa miaka 19 amewahi kupitia akademi ya Simba SC kabla ya kuendelea na safari yake ya soka katika klabu za Mashujaa, KMC na Singida Black Stars. Beki…
Mashabiki wa michezo mipya, kuna kitu kipya kimeingia uwanjani. Eastern Fury kutoka Pragmatic Play sasa inapatikana kwenye kipindi maalumu cha uzinduzi wa utangulizi kupitia jukwaa bora la kasino mtandaoni la Meridianbet hadi 27 Agosti 2026, ikileta burudani yenye ladha ya kipekee kutoka Mashariki. Fikiria ukiingia kwenye ulimwengu uliojaa nguvu, nishati kali, nafasi kubwa na nyingi…
Leo Jumanne, Agosti 18, 2026 saa 22:00, uwanja wa Vasil Levski National Stadium jijini Sofia utakuwa mwenyeji wa mchezo mzito wa hatua ya mwisho ya kufuzu (play-off, mchezo wa kwanza) wa UEFA Champions League msimu wa 2026/27. Levski Sofia watapokea ugeni wa mabingwa wa Ugiriki, AEK Athens, katika pambano ambalo mshindi wake ataingia moja kwa…
Mabingwa watetezi wa NBC Premier League, Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Manqoba Mngqithi wamefungua ukurasa wa kwanza kwa kushuhudia ubao wa Uwanja wa Majaliwa, Agosti 15,2026 ukisoma Namungo FC 1-3 Yanga SC. Weka kando matokeo hayo ya ushindi kwa wageni, dakika 90 zilitawaliwa na rekodi kibao ambazo zimeandikwa na hapa tunakuletea 5 ambazo zilibamba…
Quibdó, Colombia — Mwanamuziki maarufu wa Colombia, Shakira Mebarak Ripoll, ameahidi kushiriki katika juhudi za kurejesha miundombinu ya elimu iliyoharibiwa na tetemeko la ardhi lililoikumba nchi hiyo, likiwemo kujenga upya shule 10 pamoja na kurejesha Chuo Kikuu cha Teknolojia katika eneo la Chocó. Ahadi hiyo imetolewa baada ya Shakira kutembelea Quibdó, Chocó, ambako alitembelea baadhi…
Tripoli, Libya — Klabu ya Al Ahli Tripoli ya Libya imemtambulisha rasmi mshambuliaji wa Burundi, Jean Claude Girumugisha, baada ya kumnasa kutoka Al Hilal ya Sudan. Girumugisha, ambaye amesaini mkataba wa miaka miwili, alikuwa akihusishwa na uwezekano wa kujiunga na Yanga SC ya Tanzania kabla ya hatimaye kuamua kuhamia Libya. Mshambuliaji huyo anaingia Al Ahli…
Mambo yamepamba moto kwenye ulimwengu wa kasino mtandaoni hasa upande wa michezo ya sloti. Fazi Cash Quest imeingia Meridianbet ikiwa na zawadi ya jumla ya TZS 6,000,000 kwa washiriki watakaofanya vizuri. Mashindano bado yanaendelea hadi tarehe 27 Agosti 2026, hivyo muda wa kuanza safari ni sasa. Kila dau linalokidhi vigezo linakupa nafasi ya kusogea juu…