Nondo Afunguka Baada Ya Kurejea Kikosi Cha Kwanza Yanga
Nahodha wa Yanga SC, Bakari Nondo, amesema sababu kubwa ya kurejea kwenye kiwango bora ni…
Nahodha wa Yanga SC, Bakari Nondo, amesema sababu kubwa ya kurejea kwenye kiwango bora ni maandalizi mazuri pamoja na ushirikiano anaoupata kutoka kwa wachezaji wenzake. Nondo alianza katika kikosi cha kwanza cha Yanga SC kwenye mchezo wa hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United, uliomalizika kwa sare ya bao 1-1….
Fenerbahce inaanza kampeni yake ya UEFA Champions League msimu wa 2026/27 nyumbani dhidi ya AS Roma, katika mchezo utakaopigwa leo Alhamisi, Septemba 10, saa 19:45 usiku. Mchezo huu una umuhimu mkubwa kwa pande zote mbili kwa sababu Fenerbahce inarejea kwenye hatua hii ya Champions League kwa mara ya kwanza tangu msimu wa 2008/09, huku Roma…
Fountain Gate Academy Tanzania iko katika hatua za kuanzisha chuo cha michezo kitakachojulikana kama Fountain Gate Institute of Sports and Talent Development, ambapo tawi la kwanza linatarajiwa kufunguliwa Babati, Manyara, hivi karibuni. Kupitia taasisi hii, Fountain Gate Academy inalenga kuimarisha zaidi programu zake za michezo, hususan Football Development, kwa kuhakikisha vijana wanapata mafunzo ya kisasa,…
Meridianbet imeongeza burudani nyingine kwenye kasino baada ya Vaso Psycho kuingia rasmi na kuwapa mashabiki wa kasino mtandaoni sababu mpya ya kusisimka. Huu si mchezo unaokuacha ukijua kila kitakachotokea, kila raundi ina nafasi ya kuleta tukio jipya na kubadilisha kabisa mwelekeo wa mchezo. Vaso Psycho imeingia na mfumo unaolenga kufanya kila sekunde iwe na mvuto…
Napoli inaanza kampeni yake ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa mtihani mzito dhidi ya washindi wapili wa michuano hii msimu ulioisha Arsenal, mchezo utakaopigwa leo Jumatano, Septemba 9, saa 22:00 usiku, katika Uwanja wa Diego Armando Maradona. Huu ni mchezo unaobeba uzito mkubwa kwa timu zote mbili, kwani kupata pointi katika mechi ya kwanza kunaweza…
Hii hapa ratiba ya mzunguko wa 6 NBC Premier League:-Mashujaa FC vs Singida Black Stars, Septemba 9, 2026, Uwanja wa Lake Tanganyika. Dodoma Jij FC vs Namungo FC, Septemba 11, Uwanja wa Jamhuri, Dodoma Polisi Tanzania vs Mbeya City, Septemba 12, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Coastal Union vs JKT Tanzania, Septemba 12, Uwanja wa…
Mzunguko wa kwanza wa hatua ya ligi ya UEFA Champions League msimu wa 2026/27 umeanza kwa michezo yenye ushindani mkubwa, huku baadhi ya vigogo wa soka barani Ulaya wakianza kampeni zao kwa ushindi. Katika michezo iliyochezwa jana usiku, Manchester City ilianza kwa ushindi wa 2–0 dhidi ya Porto, huku mshambuliaji wake Erling Haaland akifunga mabao…
.Beki wa kati ndani ya kikosi cha Yanga SC, Dickson Job na mshambuliaji Clement Mzize wanatarajiwa kurejea uwanjani hivi karibuni baada ya kufanyiwa vipimo nchini Afrika Kusini. Wachezaji hao wa Yanga SC walikosekana kwenye mechi 5 za ligi 2026/27 kutokana na kutokuwa fiti tayari walianza mazoezi chini ya uangalizi wajopo la madaktari la Yanga SC….
Leo Septemba 9, 2026 mchezo mkali wa NBC Premier League unatarajiwa kuchezwa kwa wababe wawili kusaka pointi tatu muhimu Uwanja wa Lake Tanganyika, mwisho wa reli Kigoma. Mashujaa FC iliyo nafasi ya 10 na pointi 6 baada ya mechi 5 inakutana na Singida Black Stars iliyo nafasi ya 4 na pointi 10 baada ya mechi…
Matokeo ya mzunguko wa 5 NBC Premier League 2026/27 Tarehe Matokeo Wafungaji Uwanja Man of The Match Agosti 31,2026 Fountain Gate 0-2 Yanga SC Peter Shalulile dakika ya 26 na Mudathir Yahya dakika ya 76. Uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Maxi Nzengeli Agosti 31,2026 Simba SC 2-0 Geita Gold Clatous Chama dakika ya 22, Libase…
Umeshawahi kufikiria mchezo ambao kila sekunde helikopta inapopaa inaweza kufanya ushindi upande zaidi? Sasa safari hiyo imewasili kupitia Super Heli Premium, mchezo mpya wa kasino mtandaoni unaochanganya burudani, kasi na maamuzi ya papo kwa papo. Mchezaji anaingia kwenye raundi kwa kuchagua kiasi cha dau, kisha helikopta inaanza safari yake. Kadri inavyopaa, odds zinaendelea kuongezeka, hivyo…
Je unajua kuwa usiku wa Ulaya unaweza ukakutengenezea pesa zaidi ya Mamilioni kwa dau lako dogo?. Odds kubwa na machaguo zaidi ya 1000 yapo kwaajili yako sasa. Anza kupiga pesa kwenye mechi ya FC Porto dhidi ya Manchester City ambayo itapigwa katika uwanja wa City itachezwa katika uwanja wa Estádio do Dragão, ikiwa ni mechi…
Klabu ya TRA United SC imethibitisha kufikia makubaliano ya kusitisha mkataba na Kocha Mkuu, Etienne Ndayiragije, kwa makubaliano ya pande zote mbili kuanzia Septemba 7, 2026. Kupitia taarifa yake, uongozi wa klabu hiyo umemshukuru Ndayiragije kwa mchango wake mkubwa, weledi na huduma aliyotoa kwa timu katika kipindi chote alichokuwa sehemu ya klabu hiyo. TRA United…
Safari mpya ya burudani ya kasino imeanza kupitia Meridian Icy Fruits, mchezo wa sloti unaochanganya mandhari ya barafu na picha za matunda yenye kung’aa. Badala ya kutegemea muonekano wa kawaida, mchezo huu umejengwa kwa ubunifu unaolenga kufanya skrini iwe sehemu ya burudani yenyewe. Rangi, picha na mandhari vinaungana kuleta mazingira yanayovutia na kumpa mtumiaji hisia…
Elche watawapokea Real Sociedad katika uwanja wao wa nyumbani wa Martínez Valero, katika mechi ya round ya nne ya msimu mpya wa LaLiga. Mechi hii inatarajiwa kuwa na changamoto kubwa kwa wenyeji, ambao wataenda kupambana na timu iliyokuwa na historia ya ubora dhidi yao katika miaka ya hivi karibuni. Elche wanahitaji ushindi ili kuboresha nafasi…
Wapenzi wa kasino, safari mpya ya zawadi imeanza. Meridianbet imezindua Pragmatic Play Drops & Wins 2026, promosheni inayowapa wachezaji nafasi ya kucheza michezo wanayoipenda huku wakikusanya vipande vya gurudumu vinavyoweza kuwapeleka kwenye zawadi mbalimbali. Hapa kila raundi ina umuhimu wake, kwa sababu unapocheza kwenye michezo inayoshiriki, kila mzunguko unahesabiwa katika safari yako ya kufikia zawadi….
FC Barcelona imeendelea na mwanzo bora wa msimu baada ya kuichapa Valencia CF mabao 5-0 katika mchezo wa La Liga uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Mestalla. Barcelona ilianza kwa kasi, huku Lamine Yamal akifungua ukurasa wa mabao mapema dakika ya 6. Fermín López akaongeza la pili dakika ya 22 kabla ya Raphinha kufunga la tatu…