Eastern Fury yafika Meridianbet, nguvu mpya ya kasino ya Pragmatic Play

Mashabiki wa michezo mipya, kuna kitu kipya kimeingia uwanjani. Eastern Fury kutoka Pragmatic Play sasa inapatikana kwenye kipindi maalumu cha uzinduzi wa utangulizi kupitia jukwaa bora la kasino mtandaoni la Meridianbet hadi 27 Agosti 2026, ikileta burudani yenye ladha ya kipekee kutoka Mashariki. Fikiria ukiingia kwenye ulimwengu uliojaa nguvu, nishati kali, nafasi kubwa na nyingi…

Read More

Rekodi za Namungo FC 1-3 Yanga SC NBC Premier League

Mabingwa watetezi wa NBC Premier League, Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Manqoba Mngqithi wamefungua ukurasa wa kwanza kwa kushuhudia ubao wa Uwanja wa Majaliwa, Agosti 15,2026 ukisoma Namungo FC 1-3 Yanga SC. Weka kando matokeo hayo ya ushindi kwa wageni, dakika 90 zilitawaliwa na rekodi kibao ambazo zimeandikwa na hapa tunakuletea 5 ambazo zilibamba…

Read More

Shakira Aahidi Kujenga Upya Shule 10 Zilizoharibiwa na Tetemeko Colombia

Quibdó, Colombia — Mwanamuziki maarufu wa Colombia, Shakira Mebarak Ripoll, ameahidi kushiriki katika juhudi za kurejesha miundombinu ya elimu iliyoharibiwa na tetemeko la ardhi lililoikumba nchi hiyo, likiwemo kujenga upya shule 10 pamoja na kurejesha Chuo Kikuu cha Teknolojia katika eneo la Chocó. Ahadi hiyo imetolewa baada ya Shakira kutembelea Quibdó, Chocó, ambako alitembelea baadhi…

Read More

Depu Atoa Ujumbe Mzito Akiwaaga Mashabiki wa Yanga

Mshambuliaji wa kimataifa wa Angola, Laurindo Dilson “Depu”, ameaga rasmi klabu ya Yanga pamoja na mashabiki wake baada ya kuondoka Tanzania na kurejea Angola. Depu ametuma ujumbe wa kuwaaga mashabiki wa Yanga, huku akiwashukuru kwa mapokezi mazuri, upendo na ushirikano kubwa aliyopata tangu alipowasili klabuni hapo, pamoja na ushirikiano alioupata kutoka kwa wachezaji wenzake. Akizungumza…

Read More

Maguire Amtaka Rashford Kubaki Manchester United

Beki wa Manchester United, Harry Maguire, amesema anatumai mshambuliaji Marcus Rashford ataendelea kubaki katika klabu hiyo msimu ujao, akisisitiza kuwa mchezaji huyo ni mali muhimu kwa timu. Maguire alisema Rashford anaongeza ubora katika kikosi cha United na ana uwezo mkubwa wa kufunga mabao, hivyo wachezaji wenzake wangependa kumuona akiendelea kucheza Old Trafford. Hatma ya Rashford…

Read More

Cashback & Bonus Back: Hiki Ndicho Kinachofanya Jumatatu Isubiriwe

Kila Jumatatu huja na mwanzo mpya, lakini kwa wapenzi wa kasino mtandaoni wanaotumia Meridianbet, mwanzo huo unaweza kuja na matarajio zaidi kupitia Monday Cashback & Bonus Back. Promosheni hii imeifanya siku ya kwanza ya wiki kuwa sehemu ya kuvutia zaidi kwa wachezaji wanaosubiri kuona kama shughuli zao za wiki iliyopita zimewaletea zawadi. Kupitia mpango huu,…

Read More

Kagera Sugar 0-2 Simba SC, NBC Premier League

UBAO wa Uwanja wa Kaitaba, Bukoba baada ya dakika 90 umesoma Kagera Sugar 0-2 Simba SC, NBC Premier League. Mabao ya ushindi kwa Simba SC yamefungwa na Ismail Toure dakika ya 45 kwa pigo la kichwa na Ellie Mpanzu dakika ya 69 kwa pigo la mguu wa kulia. Mtengeneza asisti za mabao yote mawili ya…

Read More