Azam FC vs Simba SC fomu ya timu na H2H

Septemba 16, 2026 ni Mzizima Dabi, Azam FC vs Simba SC, Uwanja wa Azam Complex, saa 1:00 usiku. Hapa tumekuletea mechi 5 za hivi karibuni kwa timu hizi mbili na H2H Mechi 5 za Simba SC 13/09/2026, Simba SC 6-1 Mighty Wanderers 06/09/2026, Mighty Wanderers 0-1 Simba SC 31/08/2026, Simba SC 2-0 Geita Gold 27/08/2026,…

Read More

Sokabet yatumia Sh44.7 bilioni kuwazawadia washindi wa mwezi Agosti

Kampuni ya michezo ya kubashiri ya Sokabet imetumia jumla ya Sh44, 658,787,637 kuwazawadia washindi mbalimbali kwa mwezi Agosti. Hayo yamesemwa na Meneja Msaidizi wa Huduma kwa Wateja wa Sokabet Tanzania, Lazaro Mduma, wakati wa wa zoezi la kumkabidhi fedha mmoja wa washindi, akiwemo R. Likwawa ambaye alishindi Sh Sh143.1 milioni kupitia mchezo wa Shining Crown Mduma alisema…

Read More

Yanga SC vs Geita Gold kupigwa KMC Complex

 Kocha Mkuu wa Yanga SC, Manqoba Mngqithi amesema wanatambua wana mchezo mgumu vs Geita Gold ambao watakutana nao leo Septemba 15, 2026 kwenye mchezo wa ligi. Wababe hawa wawili watakuwa na kasi kusaka pointi 3 muhimu Uwanja wa KMC Complex saa 1:00 usiku. Kocha Manqoba amebainisha kuwa anatambua mbinu wanazotumia wapinzani wao katika kusaka ushindi….

Read More

Jumatatu yenye zawadi, Meridianbet yaendeleza cashback na bonus

Kuna wakati Jumatatu huwa siku ambayo wengi hutamani ipite haraka, lakini kwa wachezaji wa kasino mtandaoni hali inaweza kuwa tofauti. Meridianbet imeendeleza Monday Cashback & Bonus Back, promosheni inayoufanya mwanzo wa wiki uwe na jambo la kusubiri. Kupitia mpango huu, shughuli za kasino za wiki iliyopita zinaweza kuleta zawadi kwa wachezaji wanaostahili, na hivyo kufanya…

Read More

Gates Of Halloween Inakung’ojea Ndani Ya Giza Meridianbet

Kuna michezo inayokupa burudani, lakini kuna mingine inayokufanya usubiri kila mzunguko kwa hamu ukitaka kujua kitakachotokea. Gates of Halloween ni miongoni mwa michezo hiyo, na sasa imewasili Meridianbet wakati ambapo maandalizi ya Halloween 2026 yanaanza kushika kasi. Ukiwa umesalia takribani mwezi mmoja kabla ya sherehe hizo, Meridianbet imefungua lango la ulimwengu wa kutisha ambapo kila…

Read More