Azam FC Yatambulisha Jezi Mpya za Msimu 2026/27
Klabu ya Azam FC imezindua rasmi jezi zitakazotumika katika msimu wa mashindano wa 2026/27, ikiwa…
Klabu ya Azam FC imezindua rasmi jezi zitakazotumika katika msimu wa mashindano wa 2026/27, ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea changamoto mpya za msimu ujao Kupitia kurasa rasmi za mtandao wa Instagram, klabu hiyo imewaonyesha mashabiki wake muonekano wa jezi hizo mpya kwa kuchapisha picha na video maalum za utambulisho. Jezi hizo zinatarajiwa kutumika katika…
Kama unajiuliza kuwa Jumatano ya leo utapata wapi pesa, basi mimi nakwambia kuwa Meridianbet pekee ndipo sehemu sahihi ya wewe kupiga pesa. Bashiri mechi zote za kirafiki hapa. Chelsea siku ya leo watakuwa wakikipiga dhidi ya Juventus kutoka kule Italia moja ya mchezo mzuri wa kutazama kwani The Blues wamefanya usajili mzuri wa wachezaji wenye…
Mshambuliaji wa kimataifa wa Angola, Laurindo Dilson Maria Aurélio maarufu kama Depú, amewekwa sokoni na klabu yake ya Yanga SC baada ya kuwasili kwa washambuliaji wawili wapya wa kigeni katika kikosi hicho. Uamuzi huo umefikiwa baada ya mabingwa hao wa Tanzania kuongeza nguvu katika eneo la ushambuliaji, hivyo kuona ni vyema kumpa nafasi Depú kutafuta…
LONDON: Klabu ya Arsenal imeendelea na mazungumzo na Newcastle United kuhusu uhamisho wa kiungo nyota wa Brazil, Bruno Guimaraes, huku kukiwa na matumaini kwamba pande hizo mbili zinaweza kufikia makubaliano. Taarifa kutoka Sky Sports News zinaeleza kuwa kuna matumaini ya tahadhari kuwa dili hilo linaweza kukamilika, huku Guimaraes akisubiri ruhusa ya kusafiri kwa ajili ya…
RABAT, Morocco: Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), Gianni Infantino, anatarajiwa kuongoza mkutano wa dharura na viongozi waandamizi wa shirikisho hilo leo Jumatano mjini Rabat, Morocco, huku akikabiliwa na shinikizo linaloongezeka kuhusu uongozi wake. Mkutano huo umeitishwa baada ya viongozi wakuu wa FIFA kutakiwa kuhudhuria kikao hicho, wakati Infantino akiendelea kukosolewa na baadhi ya…
ISTANBUL: Klabu ya Trabzonspor ya Uturuki imethibitisha kuwa ipo kwenye mazungumzo ya kumsajili nyota wa Misri, Mohamed Salah, huku ikitangaza kuwa mchezaji huyo anatarajiwa kuwasili Istanbul leo, Jumatano Agosti 5, 2026, kwa ajili ya mazungumzo ya mwisho kuhusu uhamisho wake. Katika taarifa yake, Trabzonspor ilisema Salah atawasili Uwanja wa Ndege wa Ataturk jijini Istanbul kabla…
Burudani ya kasino imeingia hatua mpya baada ya Meridianbet kuanzisha Mystery Multiplier Drop, promosheni inayowapa wachezaji nafasi ya kupata ushindi wa kushangaza kila wanaposhiriki moja ya michezo ya Wazdan. Hii ni promosheni inayofanya kila raundi iwe na thamani zaidi kuliko kawaida. Baada ya kujiunga na promosheni, kila dau linalostahili linaweza kukupatia Mystery Multiplier kwa bahati…
Klabu ya Young Africans SC (Yanga) imeandika historia mpya baada ya kupeleka tamasha lake la Wiki ya Mwananchi 2026 nje ya Mkoa wa Dar es Salaam kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa hafla hiyo. Yanga SC ipo Ushirombo, Wilaya ya Bukombe mkoani Geita, kwa ajili ya uzinduzi na maadhimisho ya Wiki ya Mwananchi, tukio…
Klabu ya Simba SC imeendeleza maandalizi yake kuelekea msimu wa 2026/27 kwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Al Merrikh SC ya Sudan katika mchezo wa kirafiki uliochezwa jijini Kigali, Rwanda. Simba ilionyesha kiwango kizuri katika mchezo huo, huku mshambuliaji Libasse Gueye akiifungia timu bao la kwanza baada ya kupokea pasi safi kutoka…
Klabu ya Yanga imemtambulisha rasmi beki wa kimataifa kutoka Ivory Coast, Oumar Farouk Komara, kuwa mchezaji mpya wa kikosi hicho kuelekea msimu wa 2026/27. Komara mwenye umri wa miaka 25 ni beki wa kati anayesifika kwa uimara wake katika ulinzi, uwezo wa kushinda mipira ya juu na utulivu wa kuanzisha mashambulizi kutoka eneo la nyuma….
Olympiacos watawapokea wageni kutoka Uholanzi, NEC Nijmegen, Jumanne, Agosti 4, 2026, saa tatu usiku (21:00), katika mchezo wa kwanza wa raundi ya tatu ya kufuzu Champions League. Mchezo huu utafanyika katika uwanja wa Stadio Georgios Karaiskakis, jijini Piraeus, Ugiriki. Mchezo wa marudiano utafanyika Agosti 11 katika uwanja wa Goffertstadion huko Nijmegen, na mshindi wa jumla…
Hakuna hisia zinazofanana na kuona jina lako likipanda kwenye msimamo huku ukisogea karibu na ushindi mkubwa. Ndiyo burudani ambayo Meridianbet imewaletea kupitia mashindano mapya ya Spin for Glory, yakihusisha sloti bora kutoka Endorphina na Games Global. Kila sloti unayocheza inakuwa tiketi ya kupambana na wachezaji wengine wanaotafuta nafasi ya kutwaa zawadi kubwa. Mashindano haya yanahitaji…
Klabu ya Chelsea FC imekamilisha usajili wa kiungo wa RC Strasbourg Alsace, Valentin Barco, kwa mkataba wa muda mrefu wa miaka saba. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 amekuwa usajili wa sita wa Chelsea katika dirisha hili la majira ya joto, baada ya klabu hiyo pia kuwasajili Morgan Rogers, Danny Welbeck, Emmanuel Emegha, Maxence…
Wanachama wa Yanga wamewachagua wajumbe watano wapya wa Kamati ya Utendaji katika Mkutano Mkuu wa klabu hiyo uliofanyika katika Ukumbi wa SuperDome, Masaki jijini Dar es Salaam. Waliochaguliwa kushika nafasi hizo ni Yanga Makaga, Alex Ngai, Julius Koyi, Munir Said na Fahd Afif, baada ya kuibuka washindi katika uchaguzi uliofanyika wakati wa mkutano huo. Uchaguzi…
Mwenyekiti wa Simba Sports Club, Murtaza Mangungu, amesema uteuzi wa baadhi ya wajumbe wapya wa uongozi wa klabu hiyo ulifanyika baada ya majadiliano kati yake na mfadhili wa klabu, Mohammed Dewji maarufu kama Mo Dewji. Akizungumza leo Agosti 3, 2026 katika kipindi cha Crown, Mangungu alisema majina ya wajumbe waliochaguliwa yalipendekezwa kwa ushirikiano kati yake…
Safari mpya imeanza ndani ya Meridianbet kasino baada ya uzinduzi wa mchezo mpya wa Jungle Temple kutoka Expanse. Kuanzia tarehe 29 Julai 2026, wapenzi wa sloti sasa wana nafasi ya kuingia kwenye ulimwengu wa mahekalu ya kale na misitu yenye siri nyingi, wakisaka ushindi kupitia kilaraundi wanayocheza. Ni burudani mpya inayochanganya mandhari ya kuvutia na…
Katika zile Jackpot ambazo unazijua basi kuna hii ya Meridianbet ambayo ni Diamond Jackpot ya Bilioni 2. Kwa Jero tuu unaweza ukabashiri mechi zako 14 na ukajiweka kwenye washindi. Kwenye ukuaji wa Sayansi na Teknolojia mambo mengi yamerahisishwa sana ikiwemo kubashiri ukiwa na siku yako Ndipo wakali wa ubashiri Meridianbet wakaamua sasa waje na Jackpot…