Mourinho Afichua Alisaini Mkataba wa Kuchukua Manchester United Baada ya Sir Alex

JOSE Mourinho amefichua kuwa aliwahi kusaini makubaliano ya kuchukua nafasi ya ukocha wa Manchester United kutoka kwa Sir Alex Ferguson mwaka 2013, lakini akabadilisha uamuzi baada ya kutoa ahadi ya kurejea Chelsea. Mourinho amefichua siri hiyo kupitia makala yake mpya ya Netflix, akieleza kuwa alikubaliana kuichukua Manchester United baada ya kuondoka Real Madrid. “Nilikwenda Chelsea…

Read More

Simba SC yawasili Zanzibar Agosti 10,2026

RASMI kikosi cha Simba SC Agosti 10,2026 kimewasili Zanzibar kwa maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga SC. Agosti 12,2026 mchezo huo unatarajiwa kuchezwa kwa watani hawa wa jadi kuwa uwanjani kupambania taji ya Ngao ya Jamii. Miongoni mwa wachezaji waliopo katika msafara ni Ibrahim Doumbia, Rushine De Reuck, Ellie…

Read More

Ghalib Said Mohamed Ahudhuria Yanga Day Uwanja wa Uhuru

  Rais wa GSM Group, Ghalib Said Mohamed, amehudhuria hafla ya Yanga Day inayofanyika leo katika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Ghalib aliwasili uwanjani na kupokelewa kwa hamasa na viongozi pamoja na mashabiki wa Yanga waliojitokeza kushuhudia tukio hilo. Mahudhurio yake yanaongeza uzito katika hafla hiyo ambayo imewakutanisha viongozi, wachezaji, benchi la ufundi na…

Read More

FIFA Yapinga Kampeni ya Kumng’oa Infantino, Yaita Madai Hayo “Uzushi”

Zurich.Shirikisho la Kimataifa la Soka FIFA limekosoa vikali kile ilichokiita kuwa ni juhudi zinazoendelea za “kulidhoofisha” shirikisho hilo pamoja na Rais wake, Gianni Infantino. Kauli hiyo ya FIFA imekuja baada ya ripoti iliyochapishwa na Daily Telegraph kudai kuwa mwanamke anayedaiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Infantino alilipwa fedha za kuachishwa kazi na UEFA baada…

Read More

UEFA Europa League Third qualifying round Leg 1 of 2

Hii hapa ratiba ya UEFA Europa League Agosti 6,2026 KuPS vs Craiova, Agosti 6,2026 M. Tel Aviv vs CSKA Sofia Agosti 6,2026 Jagiellonia Bialystok vs Rangers Agosti 6,2026 RB Salzburg vs Pafos, Agosti 6,2026 Hradec Kralove vs Besiktas, Agosti 6,2026 … Imeandikwa na Lunyamadzo Mlyuka, Mtunzi kitabu cha Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo, Moyo Wangu…

Read More