Rashford Arejea Manchester United Apewa Jezi namba 14
Staa wa Manchester United Marcus Rashford amerudi katika kambi ya maandalizi ya baada ya kumaliza…
Staa wa Manchester United Marcus Rashford amerudi katika kambi ya maandalizi ya baada ya kumaliza mkopo wa msimu mmoja na mabingwa wa Hispania FC Barcelona, nyota huyo amejiunga na kikosi kinachoendelea na maandalizi huko Ireland chini ya kocha Michael Carrick. United imeamua kubaki na Rashford na kumrejesha kwenye mipango ya timu, na taarifa zinaeleza kuwa…
JOSE Mourinho amefichua kuwa aliwahi kusaini makubaliano ya kuchukua nafasi ya ukocha wa Manchester United kutoka kwa Sir Alex Ferguson mwaka 2013, lakini akabadilisha uamuzi baada ya kutoa ahadi ya kurejea Chelsea. Mourinho amefichua siri hiyo kupitia makala yake mpya ya Netflix, akieleza kuwa alikubaliana kuichukua Manchester United baada ya kuondoka Real Madrid. “Nilikwenda Chelsea…
RASMI kikosi cha Simba SC Agosti 10,2026 kimewasili Zanzibar kwa maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga SC. Agosti 12,2026 mchezo huo unatarajiwa kuchezwa kwa watani hawa wa jadi kuwa uwanjani kupambania taji ya Ngao ya Jamii. Miongoni mwa wachezaji waliopo katika msafara ni Ibrahim Doumbia, Rushine De Reuck, Ellie…
Rais wa GSM Group, Ghalib Said Mohamed, amehudhuria hafla ya Yanga Day inayofanyika leo katika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Ghalib aliwasili uwanjani na kupokelewa kwa hamasa na viongozi pamoja na mashabiki wa Yanga waliojitokeza kushuhudia tukio hilo. Mahudhurio yake yanaongeza uzito katika hafla hiyo ambayo imewakutanisha viongozi, wachezaji, benchi la ufundi na…
Zurich.Shirikisho la Kimataifa la Soka FIFA limekosoa vikali kile ilichokiita kuwa ni juhudi zinazoendelea za “kulidhoofisha” shirikisho hilo pamoja na Rais wake, Gianni Infantino. Kauli hiyo ya FIFA imekuja baada ya ripoti iliyochapishwa na Daily Telegraph kudai kuwa mwanamke anayedaiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Infantino alilipwa fedha za kuachishwa kazi na UEFA baada…
Mchezo wa ufunguzi wa msimu mpya wa ligi kuu ya Ureno Primeira Liga itachezwa leo Jumapili, tarehe 9 Agosti 2026, katika uwanja maarufu wa Estádio do Dragão mjini Porto. Mechi hii imepangwa kuanza saa 20:00. Uwanja huu wenye uwezo wa kubeba mashabiki wengi utakuwa umejaa hamasa kubwa, ikizingatiwa kuwa hii ni mechi ya kwanza ya…
Hadithi za kale za Misri zimerudi kwa sura mpya kupitia Throne of Ra, sloti mpya yenye mvuto mkubwa kutoka Meridianbet na Expanse. Mchezo huu unawapeleka wachezaji kwenye safari ya kuvutia ndani ya ufalme wa mafarao, ambako nguvu za jua, hazina za kifalme na alama za kale zinakutana kuunda uzoefu wa kipekee wa kasino. Ukiingia kwenye…
Zaidi ya Maelfu wametoka kupata ushindi mkubwa kwa kubashiri mechi zao zote na Meridianbet. Huenda hii ikawa ni nafasi yako na wewe kuondoka na maokoto sasa. Unasubiri nini?. Jisajili hapa. Michuano ya EFL kule Uingereza itaendelea leo ambapo West Ham United watawakaribisha Portsmouth katika Uwanja wa London Stadium, mechi ambayo inatarajiwa kuwa ya ushindani mkubwa…
Leo ni siku kubwa kwa mashabiki wa Simba SC, huku klabu hiyo ikiandaa tamasha lake la Simba Day, ambalo litatumika rasmi kuwatambulisha wachezaji pamoja na benchi la ufundi kwa msimu wa 2026/2027. Simba Day imekuwa moja ya matukio muhimu kwa klabu hiyo, ambapo mashabiki hupata fursa ya kuiona timu yao mpya, wachezaji wapya pamoja na…
Barcelona imewasilisha ofa ya kwanza ya pauni milioni 38.5 (TSh bilioni 137) kwa Manchester City kwa ajili ya kiungo wa kati wa Hispania, Rodri, lakini ofa hiyo imekataliwa. Manchester City iko tayari kumuuza nyota huyo mwenye umri wa miaka 30, ambaye mkataba wake unakaribia kumalizika, lakini klabu hiyo inataka zaidi ya pauni milioni 60 (TSh…
Mzuka mpya umeingia kwenye ulimwengu wa kasino mtandaoni baada ya Meridianbet kuwaletea wachezaji wake mchezo wa Zombie Apocalypse unaokuja na burudani ya aina yake. Mchezo huu umebeba kila kitu ambacho mchezaji anahitaji; msisimko, changamoto na nafasi ya kushinda zawadi kubwa. Kupitia ushirikiano wake na Expanse Studios, Meridianbet imeleta mchezo wenye ubunifu wa hali ya juu…
Kuelekea ligi kuanza zikiwa zimebaki siku chache wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet wanakwambia kuwa tengeneza pesa kwa dau dogo ambalo ulitakalo. Ingia na ubeti siku ya leo. Tukianza na mashindano ya Carabao Cup Raundi ya kwanza kule Uingereza yanatarajiwa kuanza ambapo mechi ya kwanza ni hii ya Wolves dhidi ya Port Vale ambao wao wanacheza…
Winga wa kimataifa wa Brazil, Vinicius Jr, amekubaliana na klabu ya Real Madrid kuongeza mkataba mpya wa miaka sita utakaomuweka Santiago Bernabeu hadi Juni 30, 2032. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 alikuwa amebakiza mwaka mmoja pekee kwenye mkataba wake wa awali na alikuwa akihusishwa na kuhamia Arsenal, lakini sasa ameamua kuendelea na safari…
Wapenzi wa michezo ya kasino mtandaoni sasa wana sababu mpya ya kuongeza msisimko wao baada ya Meridianbet kuanza kutoa mchezo mpya wa 3 Fisher Cats kabla ya uzinduzi wake rasmi. Hatua hiyo imewapa wachezaji nafasi ya kipekee ya kuufurahia mchezo huo mapema, huku wakijaribu bahati yao kwenye safari ya uvuvi iliyojaa zawadi, burudani na nafasi…
Wawakilishi wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) msimu wa 2026/27, Simba SC na Yanga SC, wamefahamu wapinzani wao wa hatua ya awali baada ya ratiba ya droo kutangazwa. Simba SC, maarufu kama Wekundu wa Msimbazi, imepangwa kucheza dhidi ya Mighty Wanderers ya Malawi katika hatua ya kwanza ya awali ya mashindano…
CANAL+ imetangaza kupata haki miliki za kuonesha mashindano yote ya klabu za wanaume ya UEFA katika nchi za Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara. Kuanzia katikati ya mwaka 2027, CANAL+ itakuwa ikiwaletea wateja wake mechi kubwa za UEFA Champions League, UEFA Europa League, na UEFA Conference League katika nchi zaidi ya 40 za ukanda huu…
Hii hapa ratiba ya UEFA Europa League Agosti 6,2026 KuPS vs Craiova, Agosti 6,2026 M. Tel Aviv vs CSKA Sofia Agosti 6,2026 Jagiellonia Bialystok vs Rangers Agosti 6,2026 RB Salzburg vs Pafos, Agosti 6,2026 Hradec Kralove vs Besiktas, Agosti 6,2026 … Imeandikwa na Lunyamadzo Mlyuka, Mtunzi kitabu cha Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo, Moyo Wangu…