Azam FC Yatambulisha Jezi Mpya za Msimu 2026/27

 Klabu ya Azam FC imezindua rasmi jezi zitakazotumika katika msimu wa mashindano wa 2026/27, ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea changamoto mpya za msimu ujao Kupitia kurasa rasmi za mtandao wa Instagram, klabu hiyo imewaonyesha mashabiki wake muonekano wa jezi hizo mpya kwa kuchapisha picha na video maalum za utambulisho. Jezi hizo zinatarajiwa kutumika katika…

Read More

Jumatano ya Mabingwa: Arsenal, Chelsea, PSG na Derby ya Milan Zipo Tayari Kukupa Nafasi ya Kushinda

Kama unajiuliza kuwa Jumatano ya leo utapata wapi pesa, basi mimi nakwambia kuwa Meridianbet pekee ndipo sehemu sahihi ya wewe kupiga pesa. Bashiri mechi zote za kirafiki hapa. Chelsea siku ya leo watakuwa wakikipiga dhidi ya Juventus kutoka kule Italia moja ya mchezo mzuri wa kutazama kwani The Blues wamefanya usajili mzuri wa wachezaji wenye…

Read More

Depú Kuondoka Yanga? Klabu Ya Angola Yaanza Mazungumzo

Mshambuliaji wa kimataifa wa Angola, Laurindo Dilson Maria Aurélio maarufu kama Depú, amewekwa sokoni na klabu yake ya Yanga SC baada ya kuwasili kwa washambuliaji wawili wapya wa kigeni katika kikosi hicho. Uamuzi huo umefikiwa baada ya mabingwa hao wa Tanzania kuongeza nguvu katika eneo la ushambuliaji, hivyo kuona ni vyema kumpa nafasi Depú kutafuta…

Read More

Arsenal Yakaribia Kumsajili Bruno Guimaraes Kutoka Newcastle

LONDON: Klabu ya Arsenal imeendelea na mazungumzo na Newcastle United kuhusu uhamisho wa kiungo nyota wa Brazil, Bruno Guimaraes, huku kukiwa na matumaini kwamba pande hizo mbili zinaweza kufikia makubaliano. Taarifa kutoka Sky Sports News zinaeleza kuwa kuna matumaini ya tahadhari kuwa dili hilo linaweza kukamilika, huku Guimaraes akisubiri ruhusa ya kusafiri kwa ajili ya…

Read More

Infantino Aitwa Kwenye Kikao Maalum Huku Mvutano Ukiongezeka FIFA

RABAT, Morocco: Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), Gianni Infantino, anatarajiwa kuongoza mkutano wa dharura na viongozi waandamizi wa shirikisho hilo leo Jumatano mjini Rabat, Morocco, huku akikabiliwa na shinikizo linaloongezeka kuhusu uongozi wake. Mkutano huo umeitishwa baada ya viongozi wakuu wa FIFA kutakiwa kuhudhuria kikao hicho, wakati Infantino akiendelea kukosolewa na baadhi ya…

Read More

Trabzonspor Yamvutia Salah, Mazungumzo Yaingia Hatua ya Mwisho

ISTANBUL: Klabu ya Trabzonspor ya Uturuki imethibitisha kuwa ipo kwenye mazungumzo ya kumsajili nyota wa Misri, Mohamed Salah, huku ikitangaza kuwa mchezaji huyo anatarajiwa kuwasili Istanbul leo, Jumatano Agosti 5, 2026, kwa ajili ya mazungumzo ya mwisho kuhusu uhamisho wake. Katika taarifa yake, Trabzonspor ilisema Salah atawasili Uwanja wa Ndege wa Ataturk jijini Istanbul kabla…

Read More

Kila Raundi Inaweza Kubadili Maisha Yako Ndani ya Meridianbet

Burudani ya kasino imeingia hatua mpya baada ya Meridianbet kuanzisha Mystery Multiplier Drop, promosheni inayowapa wachezaji nafasi ya kupata ushindi wa kushangaza kila wanaposhiriki moja ya michezo ya Wazdan. Hii ni promosheni inayofanya kila raundi iwe na thamani zaidi kuliko kawaida. Baada ya kujiunga na promosheni, kila dau linalostahili linaweza kukupatia Mystery Multiplier kwa bahati…

Read More

Dinamo Zagreb Watafuta Faida ya Nyumbani Dhidi ya Kauno Žalgiris Kufuzu Ligi ya Mabingwa Ulaya

Olympiacos watawapokea wageni kutoka Uholanzi, NEC Nijmegen, Jumanne, Agosti 4, 2026, saa tatu usiku (21:00), katika mchezo wa kwanza wa raundi ya tatu ya kufuzu Champions League. Mchezo huu utafanyika katika uwanja wa Stadio Georgios Karaiskakis, jijini Piraeus, Ugiriki. Mchezo wa marudiano utafanyika Agosti 11 katika uwanja wa Goffertstadion huko Nijmegen, na mshindi wa jumla…

Read More

Mashindano ya Spin for Glory Yaleta Ushindi Meridianbet

Hakuna hisia zinazofanana na kuona jina lako likipanda kwenye msimamo huku ukisogea karibu na ushindi mkubwa. Ndiyo burudani ambayo Meridianbet imewaletea kupitia mashindano mapya ya Spin for Glory, yakihusisha sloti bora kutoka Endorphina na Games Global. Kila sloti unayocheza inakuwa tiketi ya kupambana na wachezaji wengine wanaotafuta nafasi ya kutwaa zawadi kubwa. Mashindano haya yanahitaji…

Read More

Video: Hersi Awataka Wanachama wa Yanga Kuvunja Makundi Baada ya Uchaguzi, Watano Wachaguliwa

Wanachama wa Yanga wamewachagua wajumbe watano wapya wa Kamati ya Utendaji katika Mkutano Mkuu wa klabu hiyo uliofanyika katika Ukumbi wa SuperDome, Masaki jijini Dar es Salaam. Waliochaguliwa kushika nafasi hizo ni Yanga Makaga, Alex Ngai, Julius Koyi, Munir Said na Fahd Afif, baada ya kuibuka washindi katika uchaguzi uliofanyika wakati wa mkutano huo. Uchaguzi…

Read More

Mangungu: Mimi na Mo Dewji Tulipitisha Majina ya Wajumbe Wapya

Mwenyekiti wa Simba Sports Club, Murtaza Mangungu, amesema uteuzi wa baadhi ya wajumbe wapya wa uongozi wa klabu hiyo ulifanyika baada ya majadiliano kati yake na mfadhili wa klabu, Mohammed Dewji maarufu kama Mo Dewji. Akizungumza leo Agosti 3, 2026 katika kipindi cha Crown, Mangungu alisema majina ya wajumbe waliochaguliwa yalipendekezwa kwa ushirikiano kati yake…

Read More

Mechi 14, Dau Dogo, Zawadi Hadi Bilioni 2, Jackpot Mpya ya Meridianbet Yaanza

Katika zile Jackpot ambazo unazijua basi kuna hii ya Meridianbet ambayo ni Diamond Jackpot ya Bilioni 2. Kwa Jero tuu unaweza ukabashiri mechi zako 14 na ukajiweka kwenye washindi. Kwenye ukuaji wa Sayansi na Teknolojia mambo mengi yamerahisishwa sana ikiwemo kubashiri ukiwa na siku yako Ndipo wakali wa ubashiri Meridianbet wakaamua sasa waje na Jackpot…

Read More