Tottenham vs Aston Villa: Nani Atang’ara Leo London?
Ni siku nyingine tena ya kushuhudia miamba kibao ikishuka dimbani leo kwenye Ligi kuu ya…
Ni siku nyingine tena ya kushuhudia miamba kibao ikishuka dimbani leo kwenye Ligi kuu ya EPL. Je ni Arsenal kujihakikishia nafasi ya kwanza kwenye msimamo au Brighton watawashika shati mabingwa hao? Jisajili na ubashiri hapa. Tottenham Hotspur leo Jumamosi, itakuwa mwenyeji wa Aston Villa katika mchezo wa Ligi Kuu England utakaopigwa Tottenham Hotspur Stadium. Mchezo…
MAMELODI Sundowns ya Afrika Kusini inatarajiwa kupeperusha bendera ya Afrika katika mchezo wa FIFA Intercontinental Cup dhidi ya Al Ahli ya Saudi Arabia, mabingwa wa Asia. Sundowns imepata nafasi ya kushiriki mchezo huo baada ya kutwaa ubingwa wa CAF Champions League, wakati Al Ahli ilifuzu baada ya kushinda taji la AFC Champions League Elite. Mchezo…
Kuna wakati ambapo safari ya ushindi huanza kwa hatua ndogo, lakini hujenga msisimko mkubwa kadri inavyoendelea. Hiyo ndiyo simulizi inayopatikana ndani ya Fortune Farm ya Meridianbet, mchezo wa kasino unaokupeleka kwenye shamba la bahati lenye mandhari ya kipekee. Hapa, dau lako linakuwa mwanzo wa safari ya kufuatilia gurudumu la bonasi, Wilds na vizidishi vinavyoweza kuongeza…
KIPA wa Mamelodi Sundowns, Ronwen Williams, amefikisha michezo 550 katika soka la ushindani, hatua inayoongeza rekodi muhimu katika safari yake ya soka. Williams, ambaye pia ni nahodha wa timu ya taifa ya Afrika Kusini, amekuwa miongoni mwa makipa wanaoheshimika barani Afrika kutokana na uwezo wake wa kuokoa mipira, kufanya michomo muhimu na kuwaongoza walinzi wake…
TIMU ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, inatarajiwa kuanza kampeni yake ya kuwania kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027 kwa mchezo dhidi ya Guinea-Bissau. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Septemba 18, 2026, Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Clifford Ndimbo, amesema maandalizi ya mchezo…
Cristiano Ronaldo ataendelea kuitumikia timu ya taifa ya Portugal baada ya kutajwa kwenye kikosi cha kwanza cha kocha mpya, Jorge Jesus, kwa ajili ya michezo ijayo ya UEFA Nations League. Ronaldo, mwenye umri wa miaka 41, ameendelea kuwa sehemu ya mipango ya Portugal licha ya awali kueleza kuwa Kombe la Dunia la 2026 lilikuwa la…
Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imetoa ufafanuzi kuhusu jezi za timu za taifa kufuatia mjadala uliotokana na mchakato wa kuzibadilisha na kuishirikisha Wizara katika maelekezo yaliyotolewa mwezi Februari 2026. Katika taarifa yake ya Septemba 18, 2026, Wizara imesema Serikali inaendelea kuweka fedha nyingi katika maandalizi ya timu za taifa zinazoshiriki mashindano ya kimataifa,…
Klabu ya Young Africans (Yanga) inatarajiwa kushuka dimbani leo, Ijumaa, Septemba 18, 2026, kucheza mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya St. George ya Ethiopia. Mchezo huo utachezwa katika Uwanja wa Uhuru, jijini Dar es Salaam, kuanzia saa 12:00 jioni. Kwa mujibu wa taarifa ya Yanga, mchezo huo ni sehemu ya maandalizi ya timu hiyo,…
Tukiwa bado tunaendelea na mitanange ya ligi mbalimbali, leo hii kuna mechi za kukata na shoka. Bayern Munich itakuwa mwenyeji wa Union Berlin Ijumaa, Septemba 18, katika mchezo wa raundi ya nne ya Bundesliga utakaochezwa Allianz Arena. Mchezo huo unatarajiwa kuanza saa 21:30 usiku. Bayern imeanza msimu wa ligi bila kupoteza katika michezo mitatu, ikikusanya…
KOCHA mpya wa timu ya taifa ya Ufaransa, Zinédine Zidane, ameanza rasmi ukurasa mpya baada ya kuchukua nafasi ya Didier Deschamps, aliyeondoka madarakani baada ya kuiongoza timu hiyo kwa miaka 14. Zidane alithibitishwa na Shirikisho la Soka la Ufaransa (FFF) Julai 28, 2026, kwa mkataba wa miaka minne. Zidane amesema wazi kwamba atafanya mambo kwa…
Habari njema kwa wapenzi wa kasino mtandaoni. Meridianbet imeongeza ladha mpya kwenye burudani yake kwa kuileta Chicago Gold 2, mchezo mpya kutoka Games Global ambao sasa unapatikana kwenye jukwaa lake. Huu ni wakati wa kuanza safari nyingine ya kuchunguza michezo mipya na kufurahia msisimko unaopatikana ndani ya kasino ya Meridianbet. Chicago Gold 2 inawasili ikiwa…
Real Betis itakuwa mwenyeji wa Getafe katika mchezo wa ligi kuu ya uhispania Laliga utakaochezwa leo Alhamisi, Septemba 17, 2026, kwenye Uwanja wa Estadio La Cartuja mjini Sevilla. Mchezo huo wa raundi ya sita unatarajiwa kuanza saa 20:00 usiku. Betis inaingia kwenye mchezo huo ikiwa na matumaini ya kuendeleza kiwango kizuri kilichoanza kuonekana katika mechi…
MOTO wa NBC Premier League unaendelea kwa msimu wa 2026/27 wenye ushindani mkubwa huku kila timu zikipambana kusaka ushindi. Kwenye mechi 8 zilizopigwa jumla yamefungwa mabao 18 huku mchezo uliokusanya mabao mengi ni ule uliowakutanisha Pamba Jiji FC 1-3 TRA United yalipokusanywa jumla ya mabao 4. Mchezo mmoja pekee wababe wawili waligawana pointi mojamoja kwa…
Ukiona watu wakifuatilia gurudumu likizunguka bila kutaka kupepesa macho, huenda umefika kwenye Magic Wheel. Mchezo huu wa kasino umeleta aina nyingine ya burudani kwa wapenzi wa kubashiri, ukifanya kila raundi kuwa na presha yake. Kinachovutia zaidi ni kutokuwepo kwa uhakika wa mahali gurudumu litasimama, hivyo kila mzunguko unaanza kama ukurasa mpya wenye mwisho usiojulikana….
Azam FC 0-2 Simba SC ni matokeo rasmi mchezo wa NBC Premier League uliokuwa na ushindani mkubwa ndani ya uwanja dakika zote 90. Mabao ya Simba SC yamefungwa na Fasika Idumba ambaye alijifunga dakika ya 58 na bao la pili limefungwa na Clatous Chama dakika ya 68. Unakuwa mchezo wa kwanza matajiri wa Dar wanapoteza…
Klabu ya Barcelona itakuwa mwenyeji wa Racing Santander katika mchezo wa LaLiga utakaopigwa leo Jumatano, Septemba 16, 2026, kwenye dimba la Spotify Camp Nou kwenye Mchezo wa raundi ya sita wa ligi kuu, ambao utaanza saa 22:30 usiku, huku Barcelona ikiwa na nafasi ya kuendeleza kampeni yake ya kutetea taji msimu huu. Barcelona inaingia kwenye…
MLINDA mlango namba moja wa Azam FC, Aishi Manula amesema kuwa timu ambayo itacheza kwa umakini leo na kutumia nafasi uwanjani ina nafasi kubwa kupata ushindi. Leo Septemba 16, 2026 Azam FC vs Simba SC watamenyana Uwanja wa Azam Complex kwenye msako wa pointi 3 muhimu saa 1:00 usiku. Manula amesema: “Timu itakayocheza vizuri kwa…