Azam FC yatambulisha nyota mpya
Azam FC imekamilisha usajili wa kiungo Donovan Makoma rai awa Ufaransa kuwa katika kikosi hicho…
Azam FC imekamilisha usajili wa kiungo Donovan Makoma rai awa Ufaransa kuwa katika kikosi hicho kuelekea msimu mpya wa 2026/27. Nyota huyu amesajiliwa akitokea Klabu ya Birkirkara ya Ligi Kuu Malta ikiwa ni mwendelezo wa kuongoeza nguvu kwenye kikosi hicho. Wengine ambao wametambulishwa Azam FC ni John Mano raia wa Sudan alitambulishwa Julai 21,2026 akitokea…
Klabu ya Wydad Athletic Club ya Morocco leo Julai 22, 2026 imetoa taarifa rasmi ikikanusha madai yaliyotolewa na Simba SC kuhusu hali ya kimkataba ya kiungo Selemani Mwalimu, ikisisitiza kuwa taarifa hiyo haiakisi ukweli wa mkataba wa mchezaji huyo. Hatua ya Wydad imekuja baada ya Simba SC kuchapisha picha ikimuonyesha Selemani Mwalimu akisaini mkataba, ikiambatana…
Katika kuendeleza juhudi za Meridianbet za kurejesha kwa jamii, awamu hii Ruangwa Queens walipokea zawadi ya kipekee kutoka katika kampuni hiyo, na mitaa ya Mkoa wa Lindi ikashuhudia furaha isiyo kifani. Jezi mpya na mipira mipya vilikabidhiwa kwa timu hiyo, tukio lililogeuka kuwa sherehe ya michezo na mshikamano. Meridianbet walijitokeza kama nguzo ya matumaini, wakiendelea…
Mashabiki wa mpira wa miguu barani Ulaya watashuhudia mchezo wa kuvutia kati ya Spartak Trnava na CSKA 1948 Sofia, Jumatano tarehe 22 Julai, saa 21:30 kwa saa za Afrika Mashariki. Mchezo huu ni sehemu ya leg ya kwanza ya duru ya pili ya kufuzu Conference League, na utafanyika katika uwanja wa nyumbani wa Trnava, City…
Klabu ya Chelsea imekamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa England, Morgan Rogers, kutoka Aston Villa kwa mkataba wa hadi mwaka 2033. Kwa mujibu wa taarifa za vyombo vya habari nchini England, Chelsea imelipa kiasi cha takribani pauni milioni 117 (zaidi ya Shilingi bilioni 400 za Tanzania), jambo lililomfanya Rogers kuwa mchezaji ghali zaidi…
Kipa wa timu ya taifa ya Hispania, Misa Rodríguez, amejiunga na klabu ya Arsenal Women kwa uhamisho wa bure (free transfer) baada ya kumaliza safari yake ya miaka sita akiwa na Real Madrid. Arsenal ilithibitisha usajili huo Jumatano, Julai 22, 2026, huku Rodríguez akieleza furaha yake ya kuanza changamoto mpya katika maisha yake ya soka….
Katika wiki mbili za mwanzo wa Julai, Meridianbet imeandika historia kubwa sana. Kupitia mchezo pendwa wa kupaisha kindege cha Aviator, rekodi kubwa imewekwa, yaani umekua mchezo namba moja uliovuta zaidi ya wachezaji 12,202 ndani ya siku 14, yaani tarehe 01 hadi 15, na wengi wao wakashinda kwa kishindo. Aviator ni zaidi ya mchezo kwa wabashiri…
Klabu ya Yanga imeendelea kuimarisha benchi lake la ufundi kwa kuwatambulisha Simo Dladla kuwa kocha msaidizi na Kagisho Dikgacoi kuwa mtaalamu wa mipira iliyokufa (set pieces), ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya msimu mpya wa mashindano. Simo Dladla atafanya kazi kwa karibu na kocha mkuu Manqoba Mngqithi, akileta uzoefu alioupata katika vilabu mbalimbali vya Afrika…
Mabingwa wapya wa Kombe la Dunia 2026, Hispania, wamerudi kileleni mwa viwango vya ubora vya FIFA kwa upande wa timu za taifa za wanaume, huku Argentina ikishuka hadi nafasi ya pili. Hispania ilifanikiwa kupanda tena nafasi ya kwanza baada ya kuifunga Argentina kwa bao 1-0 katika muda wa nyongeza kwenye fainali ya Kombe la Dunia…
Umuhimu wa kifedha wa mechi Zaidi ya heshima ya soka, mechi hii ina uzito mkubwa wa kifedha. Kufuzu hadi hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa kunaweza kuingiza mamilioni ya euro kwa klabu husika kupitia mgao wa UEFA, matangazo ya televisheni, na tiketi. Kwa Fenerbahce, ambao wamejenga kikosi chenye gharama kubwa msimu huu, kukosa mapato…
Kijana wa Mercedes, Kimi Antonelli, ameibuka mshindi wa mbio za Belgian Grand Prix na kuongeza pengo la uongozi katika msimamo wa madereva wa Formula One baada ya kutumia vyema bahati mbaya iliyompata mwenzake George Russell. Ushindi huo wa Antonelli mwenye umri wa miaka 19 umehitimisha mbio tatu mfululizo bila ushindi na kumfanya afikishe tofauti ya…
Klabu ya Young Africans SC imeendelea kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu mpya baada ya kutangaza rasmi usajili wa wachezaji wawili kutoka Mashujaa FC ya Kigoma. Yanga imemaliza usajili wa mshambuliaji Hussein Mihambo, ambaye anajiunga na mabingwa hao wa Tanzania Bara kwa lengo la kuongeza nguvu kwenye safu ya ushambuliaji kufuatia kuondoka kwa mshambuliaji Prince Mpumelelo…
Kwa mara ya kwanza, UFC inaleta mapigano yake nchini Serbia, na Meridianbet imepewa heshima ya kipekee kuwa mshirika rasmi wa tukio hilo. Agosti 1, 2026, Belgrade Arena itakuwa uwanja wa historia, na mashabiki wa michezo ya kupigana watashuhudia tukio lisilosahaulika. Meridianbet, iliyoanzishwa Serbia mwaka 2001, imekuwa bega kwa bega na michezo ya mapigano kwa miaka…
RASMI mabingwa watetezi wa NBC Premier League wametambulisha mshambuliaji mpya ikiwa ni maandalizi kuelekea msimu wa 2026/27 unaotarajiwa kuwa na ushindani mkali. Nyota huyu anakuwa wa pili kutambulishwa kutoka kwa watoto wa Jangwani ambao wamebainisha kwamba wamekamilisha usajili wa nyota wapya zaidi ya wawili. Huyu anaitwa Hussen Mihambo aliyekuwa anakipiga ndani ya kikosi cha Mashujaa…
KUELEKEA msimu wa 2026/27 Simba SC imetambulisha nyota wapya wawili ambao imekamilisha usajili ikiwa ni maandalizi kwa mechi zijazo za ushindani. Simba SC itafungua mchezo wa kwanza wa NBC Premier League kwa kumenyana na Kagera Sugar , Agosti 16,2026 ikiwa ni mchezo wa kwanza kwenye msimu mpya. Wachezaji wote wawili ambao wametambulishwa wametoka timu za…
Ratiba ya Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara kwa msimu wa 2026/27 imetangazwa rasmi leo Julai 20, 2026, huku msimu mpya ukitarajiwa kuanza Agosti 14, 2026 na kuhitimishwa Mei 16, 2027. Kabla ya kuanza kwa ligi, mashabiki wa soka watapata burudani ya pambano la Ngao ya Jamii litakalochezwa Agosti 12, 2026, likiwakutanisha watani wa jadi…
Mechi hii ya leo Julai 20 dhidi ya Strasbourg itakuwa fursa muhimu ya kuona jinsi Sporting CP wanavyojenga upya kikosi chao baada ya msimu wa uhamisho wenye mabadiliko makubwa. Chini ya kocha Rui Borges, ambaye ameonyesha matokeo ya kuvutia akiwa na kiwango cha ushindi cha asilimia 72 katika mechi 53 alizosimamia, timu inaingia msimu mpya…