JKT Tanzania vs TRA United H2H

WABABE wawili JKT Tanzania vs TRA United wanatarajiwa kukutana leo Agosti 16,2026 Uwanja wa Meja Jeneral Isahmuyo katika dakika 90 za kusaka pointi 3 muhimu. Saa 2:30 usiku mchezo huu mkali unatarajiwa kuchezwa na hapa ni matokeo ya mechi zilizopita walipokutana:- 25/10/2023, JKT Tanzania 1-0 TRA United 13/04/2024, TRA United 1-1 JKT Tanzania 04/06/2024, TRA…

Read More

Arsenal vs Man City, Arteta na Maresca Kitawaka, PSG Kuendeleza Ubabe Dhidi ya Lens leo

Mechi nyingi za ufunguzi wa Ligi mbalimbali zitaenda kupigwa katika viwanja mbalimbali. Na Meridiabet wanasema hivi huu ndio msimu wa wewe kuondoka na utajiri wako. Unasubiri nini?. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri. Mashabiki wengi Duniani wanaenda kushuhudia mtanange wa Ngao ya Jamii kati ya Arsenal dhidi ya Manchester City ambao walimaliza msimu wakishika nafasi…

Read More

Yanga SC Yamuuza Allan Okello FAR Rabat

Klabu ya Yanga SC imekubali kumuuza winga wake wa kimataifa wa Uganda, Allan Okello, kwenda FAR Rabat ya Morocco kwa ada kubwa ya uhamisho. Okello, ambaye alikuwa sehemu ya kikosi cha Yanga, sasa anaelekea kuanza changamoto mpya katika soka la Morocco baada ya pande hizo kufikia makubaliano ya uhamisho wake. Uhamisho huo unatajwa kuwa wa…

Read More

Ratiba ya NBC Premier League Agosti 15,2026

Agosti 15,2026 NBC Premier League inatarajiwa kuendelea mara baada ya pazia kufunguliwa rasmi Agosti 14,2026. Kuna mechi 3 kali zinatarajiwa kuchezwa leo katika viwanja vitatu tofauti ambapo mabingwa watetezi Yanga SC watakuwa ugenini. Polisi Tanzania vs Azam FC, saa 10:00 jioni, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha. Coastal Union vs Mashujaa FC, saa 12:30 jioni,…

Read More