Ghalib Said Mohamed Ahudhuria Yanga Day Uwanja wa Uhuru

  Rais wa GSM Group, Ghalib Said Mohamed, amehudhuria hafla ya Yanga Day inayofanyika leo katika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Ghalib aliwasili uwanjani na kupokelewa kwa hamasa na viongozi pamoja na mashabiki wa Yanga waliojitokeza kushuhudia tukio hilo. Mahudhurio yake yanaongeza uzito katika hafla hiyo ambayo imewakutanisha viongozi, wachezaji, benchi la ufundi na…

Read More

FIFA Yapinga Kampeni ya Kumng’oa Infantino, Yaita Madai Hayo “Uzushi”

Zurich.Shirikisho la Kimataifa la Soka FIFA limekosoa vikali kile ilichokiita kuwa ni juhudi zinazoendelea za “kulidhoofisha” shirikisho hilo pamoja na Rais wake, Gianni Infantino. Kauli hiyo ya FIFA imekuja baada ya ripoti iliyochapishwa na Daily Telegraph kudai kuwa mwanamke anayedaiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Infantino alilipwa fedha za kuachishwa kazi na UEFA baada…

Read More

UEFA Europa League Third qualifying round Leg 1 of 2

Hii hapa ratiba ya UEFA Europa League Agosti 6,2026 KuPS vs Craiova, Agosti 6,2026 M. Tel Aviv vs CSKA Sofia Agosti 6,2026 Jagiellonia Bialystok vs Rangers Agosti 6,2026 RB Salzburg vs Pafos, Agosti 6,2026 Hradec Kralove vs Besiktas, Agosti 6,2026 … Imeandikwa na Lunyamadzo Mlyuka, Mtunzi kitabu cha Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo, Moyo Wangu…

Read More

Meridianbet Yazindua Rasmi Promosheni ya “Mzuka wa Mabingwa” kwa Watumiaji wa Airtel Money

Meridianbet imezindua rasmi promosheni ya Mzuka wa Mabingwa, kampeni inayowapa mashabiki wa michezo na kasino nafasi ya kujishindia zawadi kubwa kwa kutumia Airtel Money. Promosheni hii imekuja wakati ambao mashabiki wa burudani wanatafuta zaidi ya ushindi wa kawaida, kwa kuwa sasa kila dau linaweza kuleta zawadi nyingine ya ziada. Kwa kuweka dau lako la kuanzia…

Read More