Breaking: Yanga SC yatambulisha mshambuliaji mpya

RASMI mabingwa watetezi wa NBC Premier League wametambulisha mshambuliaji mpya ikiwa ni maandalizi kuelekea msimu wa 2026/27 unaotarajiwa kuwa na ushindani mkali. Nyota huyu anakuwa wa pili kutambulishwa kutoka kwa watoto wa Jangwani ambao wamebainisha kwamba wamekamilisha usajili wa nyota wapya zaidi ya wawili. Huyu anaitwa Hussen Mihambo aliyekuwa anakipiga ndani ya kikosi cha Mashujaa…

Read More

Simba SC yatambulisha wapya wawili

KUELEKEA msimu wa 2026/27 Simba SC imetambulisha nyota wapya wawili ambao imekamilisha usajili ikiwa ni maandalizi kwa mechi zijazo za ushindani. Simba SC itafungua mchezo wa kwanza wa NBC Premier League kwa kumenyana na Kagera Sugar , Agosti 16,2026 ikiwa ni mchezo wa kwanza kwenye msimu mpya. Wachezaji wote wawili ambao wametambulishwa wametoka timu za…

Read More

Monopoly Big Baller Yaibuka Mchezo Unaolipa Zaidi

Katika wiki mbili za mwanzo wa Julai, Meridianbet imeandika historia mpya kupitia mchezo wake wa kasino maarufu, Monopoly Big Baller. Washindi wa mchezo huu bora na wakisasa wamejikusanyia zaidi ya Tsh. 11,700,000/=, jambo linalothibitisha kuwa huu ni mchezo wa ushindi wa kweli. Kila siku, wachezaji wanaoshiriki mchezo huu wanajikuta wakipokea malipo makubwa, wakishuhudia akaunti zao…

Read More

FIFA Yamtangaza Mwamuzi wa Fainali ya Kombe la Dunia 2026 Argentina vs Hispania Kesho

hirikisho la Soka Duniani (FIFA) limemtangaza mwamuzi kutoka Slovenia, Slavko Vinčić, kuwa ndiye atakayechezesha fainali ya Kombe la Dunia 2026 kati ya mabingwa watetezi Argentina na Hispania, itakayopigwa kesho Jumapili Julai 18, 2026. Vinčić mwenye umri wa miaka 46 anapewa jukumu hilo miaka miwili baada ya kuchezesha fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA Champions…

Read More

Gates of Olympia Yatoa Zaidi ya Tsh Milioni 248 kwa Washindi Ndani ya Wiki Mbili

Katika kipindi cha nusu mwezi pekee, Meridianbet imeandika historia kupitia mchezo wake wa kasino Gates of Olympia. Kuanzia Julai 01 hadi 15, mchezo huu umetoa zaidi ya Tsh. 248,524,000/= kwa washindi wake. Hii ni takwimu inayosisimua na kuonyesha ukubwa wa bahati iliyoshuka kwa wachezaji wa Tanzania. Gates of Olympia ni mchezo unaojulikana kwa mandhari ya…

Read More

Simba Yaanza Mabadiliko Makubwa, Yaaga Wachezaji Saba

Klabu ya Simba SC imetangaza rasmi kuachana na wachezaji saba ikiwa ni sehemu ya mchakato wa kuboresha kikosi kuelekea msimu mpya wa mashindano. Kupitia kurasa zake rasmi za mitandao ya kijamii, Simba imewapongeza na kuwashukuru wachezaji hao kwa mchango wao walioutoa ndani ya klabu, huku ikiwatakia mafanikio mema katika hatua zinazofuata za maisha yao ya…

Read More