Bahati Yashushwa Ghafla Na Mystery Multiplier Drop

Kuna wakati mchezo unaanza kawaida, lakini sekunde chache baadaye kila kitu kinabadilika. Hiyo ndiyo ladha inayokuja na Mystery Multiplier Drop, kampeni mpya inayowapa wachezaji wa Meridianbet nafasi ya kukutana na vizidishi vya kushtukiza katika michezo yote ya Wazdan inayoshiriki. Kila dau linalokidhi vigezo linaweza kukuweka kwenye nafasi ya kupata bahati nasibu, huku kiwango cha juu…

Read More

Ratiba ya NBC Premier League mzunguko wa 4

Agosti 29,2026 NBC Premier League inaendelea kwa mechi 3 kali kukamilisha mzunguko wa 4. Kwa sasa vinara wa ligi ni Yanga SC ambao wameshinda mechi zote 4 wakiwa na pointi 12 ndani ya msimu wa 2026/27 nafasi ya pili ni Simba SC yenye pointi 12 tofauti ni idadi ya mabao ya kufunga na kufungwa. Hizi…

Read More

Yanga SC 2-0 Pamba Jiji FC

MABINGWA watetezi wa ligi, Yanga SC wameendeleza ubabe wao mbele ya Pamba Jiji FC kwa kusepa na pointi tatu mazima ndani ya uwanja. Baada ya dakika 90 Agosti 28, 2026 ilikuwa Yanga SC 2-0 Pamba Jiji FC, Uwanja wa KMC Complex. Mabao ya Yanga SC yalifungwa na Maxi Nzengeli dakika ya 17 na Ibrahim Toure…

Read More

UEFA Yaandaa Kesi ya Jinai Dhidi ya Infantino, Mashabiki Wamlipua

Shirikisho la Soka Ulaya (UEFA) linajiandaa kuanzisha mchakato wa kisheria nchini Uswisi dhidi ya Rais wa FIFA, Gianni Infantino, kwa tuhuma za usimamizi mbaya wa fedha, huku mashabiki wakimzomea na kumtukana wakati akiwakabidhi kombe washindi wa mashindano nchini Vietnam. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, nyaraka za kisheria zinaonyesha kuwa UEFA pamoja na wahusika wengine wanajiandaa…

Read More

Mchezo Mpya Wawasili! Fortune Eagle Akufungulia Ulimwengu Mpya

Meridianbet imeongeza ladha mpya kwenye burudani za kasino kwa kuleta Thunder Riches: Fortune Eagle, mchezo mpya kutoka Games Global unaopatikana kwa kipekee kupitia Meridianbet. Kwa wapenzi wa michezo mipya, huu ni ujio unaostahili kupewa nafasi kwani unakuletea safari yenye msisimko na mazingira yanayokualika kugundua nguvu ya Fortune Eagle. Thunder Riches: Fortune Eagle umeundwa kwa ajili…

Read More

Barcelona Yamsajili Dominik Livaković kwa Mkataba wa Miaka Minne

Klabu ya Barcelona imekamilisha usajili wa kipa wa kimataifa wa Croatia, Dominik Livaković, kutoka Fenerbahçe, akitia saini mkataba wa miaka minne utakaomuweka klabuni hapo hadi Juni 2030. Livaković, mwenye umri wa miaka 31, amejiunga na mabingwa hao wa LaLiga kwa ada ya awali ya takribani €2 milioni, huku thamani ya uhamisho huo ikitarajiwa kufikia hadi…

Read More