Mechi ya Al Kholood vs Al Fateh yaweka presha kubwa katika msimamo wa ligi
Al Kholood wana pointi 32 baada ya mechi 33, wakiwa nafasi ya 14 kwenye msimamo…
Al Kholood wana pointi 32 baada ya mechi 33, wakiwa nafasi ya 14 kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya Saudi Arabia. Kwa upande mwingine, Al Fateh wana pointi 36 baada ya mechi 33, wakiwa nafasi ya 12. Tofauti ya pointi tatu tu kati yao inaifanya mechi hii kuwa ya kuvutia zaidi ushindi kwa Al Kholood…
Nyota wa zamani wa Klabu ya Manchester United na timu ya Taifa ya Uingereza, Rio Ferdinand akiwa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Paul Makonda, wamepata nafasi ya kufanya utalii wa puto katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti inayotambulika duniani kwa mandhari yake ya kipekee, wanyama wengi pamoja na uzuri wa asili…
Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Iran, Rashid Mazaheri, amekamatwa na kuwekwa gerezani kufuatia chapisho aliloliweka mtandaoni mapema mwaka huu likiwa na ukosoaji mkali dhidi ya Kiongozi Mkuu wa Iran, Ali Khamenei, kulingana na taarifa za mke wake. Shirika la habari la mahakama ya Iran, Mizan, limethibitisha kuwekwa kizuizini kwa Mazaheri, likidai kuwa…
Aston Villa wameandika historia mpya baada ya kutwaa ubingwa wa UEFA Europa 2026 kufuatia ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya SC Freiburg katika mchezo wa fainali uliochezwa kwenye dimba la Beşiktaş Park. Kocha Unai Emery ameendelea kuthibitisha ubora wake kwenye michuano hiyo baada ya kuweka rekodi ya kuwa kocha wa kwanza kutwaa taji la…
Kwenye dunia ya kasino za kisasa, Vaso Psycho ndani ya Meridianbet imekuja na nguvu mpya kabisa. Huu ni mchezo uliotengenezwa kwa vijana wanaopenda matukio, ushindani na nafasi ya kujishindia fedha kubwa kwa muda mfupi. Uzuri wa mchezo huu ni kwamba kila mzunguko unabeba matumaini mapya. Huwezi kujua bonasi itakuangukia lini au vizidishi vitapanda kiasi gani….
Rio Ferdinand, Nahodha na Mchezaji wa zamani na wa Timu ya Taifa ya Uingereza na Klabu ya Manchester United, akiwa katika viunga vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kushuhudia shughuli za uendeshaji wa Bunge hilo, leo Mei 20, 2026 Jijini Dodoma, ikiwa ni muelendelezo wa ziara yake nchini Tanzania ambayo inalenga kuboresha sekta…
KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum anaongoza chati ya wafungaji ndani ya NBC Premier League msimu wa 2025/26. Kiungo huyo amefunga jumla ya magoli 11 akiwa anaongoza usukani katika chati ya wakali wa kucheka na nyavu ni mali ya Azam FC. Kwenye eneo la ufungaji msimu huu ushindani umekuwa mkubwa huku kila timu ikiwa…
Ratiba ya NBC Premier League hii hapa ambapo kuna mechi kali zinatarajiwa kuchezwa viwanja vitatu tofauti ndani ya dakika 90. TRA United itakuwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid ikiwakabili Mtibwa Sugar, saa 10:00 jioni. KMC FC vs Pamba Jiji FC Uwanja wa KMC Complex saa 12:30, jioni. Dodoma Jiji FC vs Mashujaa FC, Uwanja wa…
Coastal Union vs Simba SC ni mchezo unaofuata kwenye ligi Mei 21, 2025 kwa wababe hawa kusaka pointi tatu muhimu uwanjani. Huu utakuwa mchezo wa mzunguko wa pili, walipokutana mzunguko wa kwanza ubao wa Uwanja wa Meja Jeneral Isahmuyo ulisoma, Simba SC 2-0 Coastal Union. Coastal Union kwenye msimamo ipo nafasi ya 12 ina pointi…
Furaha kubwa ilitawala ndani ya kambi ya Arsenal baada ya timu hiyo kutangazwa rasmi kuwa mabingwa kufuatia Manchester City kushindwa kupata ushindi katika mchezo wao dhidi ya Brighton. Arsenal walikuwa tayari wamefanya kazi yao mapema baada ya kuichapa Burnley siku ya Jumatatu, hali iliyoweka presha kubwa kwa Manchester City ambao walihitaji ushindi ili kuendelea kusubiri…
Mtaani kila mtu anatafuta dili lenye faida na burudani kwa pamoja, na sasa Meridianbet wamekuja na Non-Stop Win&Go Drop kuleta upepo mpya kwa mashabiki wa kasino. Hii sio promosheni ya kawaida, ni nafasi ya kushinda kila muda bila kusubiri sana. Kupitia ofa hii kali, wachezaji wanapata hadi tiketi 500 za bure kila siku, kitu kinachoongeza…
Ushindi mzuri unaanzia Meridianbet siku ya leo kwa kusuka jamvi lako na Meridianbet na kubashiri kwa kutumia Early Payout leo. Ingia kwenye akaunti yako sasa na uanze safari yako ya ushindi. Promosheni hii kubwa kabisa ambayo ipo Meridianbet ina lengo la kuhakikisha kuwa unapiga pesa nyingi kwani endapo ukitumia chaguo la EARLY PAYOUT unajiweka kwenye…
Taifa Stars imepangwa Kundi L katika droo ya kufuzu AFCON 2027, kundi ambalo lina timu za Nigeria national football team, Madagascar national football team na Guinea-Bissau national football team. Ratiba ya mechi za kufuzu itakuwa kama ifuatavyo: • Mzunguko wa kwanza na wa pili: Septemba 21 hadi Oktoba 6, 2026. • Mzunguko wa tatu na…
Mechi hii inaangazia tofauti kubwa ya kiuchumi kati ya timu mbili. Manchester City wana thamani ya kikosi cha £1.13 bilioni, wakati Bournemouth wana thamani ya £370 milioni tu . Hata hivyo, Bournemouth wamefanikiwa kugeuza ukosefu huu wa usawa kuwa nguvu, wakiwa na rekodi ya mechi 17 mfululizo bila kushindwa Ligi Kuu licha ya kuwa na…
Uteuzi wa Fiston Mayele katika kikosi cha DR Congo national football team kitakachoshiriki FIFA World Cup 2026 umetarajiwa kunufaisha klabu yake ya Pyramids FC kwa mapato ya takribani dola 198,000 (sawa na Shilingi milioni 514) kutoka FIFA. Kwa mujibu wa taarifa hizo, FIFA hulipa klabu ambazo wachezaji wake wanashiriki Kombe la Dunia, ambapo kila siku…
Arsenal F.C. imeendelea kukaribia kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu baada ya kuibuka na ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Burnley F.C. katika mchezo uliochezwa Jumatatu usiku. Bao pekee la mchezo huo lilifungwa na Kai Havertz dakika chache kabla ya mapumziko ya kipindi cha kwanza baada ya kuunganisha kwa kichwa kona iliyopigwa na Bukayo Saka….
Kama bado hujacheza Gates of Arabia kutoka Meridianbet basi kuna burudani kali unaikosa kwa sasa. Mtaani watu wanazungumzia kucheza, jackpot na ushindi mkubwa kila kona. Huu sio mchezo wa kawaida, ni mchezo unaoweza kubadilisha siku yako haraka kuliko unavyofikiria. Unatia dau lako, reels zinaanza kuzunguka halafu presha inapanda taratibu ukisubiri kuona nini kinaingia. Ndani ya…