Mataifa Yaliyoingiza Timu Mbili Katika Hatua Ya Pili Ya Mtoano Ligi ya Mabingwa
Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika CAF Champions League imefikia hatua ya kusisimua baada ya…
Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika CAF Champions League imefikia hatua ya kusisimua baada ya kukamilika kwa raundi ya kwanza ya mchujo. Mataifa makubwa ya soka yameonyesha ubabe kwa kufanikiwa kuingiza klabu zake zote mbili katika raundi ya pili ya mtoano ili kuwania nafasi ya kuigia makundi Tanzania imewakilishwa vyema na klabu zake kongwe za…
Vita ya kusaka tiketi ya kushiriki michuano ya Mataifa ya Afrika kwa Vijana wenye umri chini ya miaka 20 AFCON U-20 inaanza rasmi leo, Jumanne, Septemba 15, 2026, huku jiji la Dar es Salaam likiwa mwenyeji wa mashindano hayo ya Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati CECAFA. Michuano hiyo inayotarajiwa kuwa na ushindani mkali inashirikisha…
Kocha Mkuu wa Yanga SC, Manqoba Mngqithi amesema wanatambua wana mchezo mgumu vs Geita Gold ambao watakutana nao leo Septemba 15, 2026 kwenye mchezo wa ligi. Wababe hawa wawili watakuwa na kasi kusaka pointi 3 muhimu Uwanja wa KMC Complex saa 1:00 usiku. Kocha Manqoba amebainisha kuwa anatambua mbinu wanazotumia wapinzani wao katika kusaka ushindi….
SIMBA inatarajiwa kuvaana dhidi ya 15 De Agosto ya Guinea ya Ikweta(Equatorial Guinea) katika hatua ya Kwanza ya Ligi ya Mabingwa kusaka hatua ya mtoano ili kusaka tiketi ya kuingia makundi Ligi ya Mabingwa Afrika. Mchezo hwa kwanza utachezwa kati ya Oktoba tarehe 17 -18, 2026 huku Simba ikitakiwa kuanzia ugenini Na mchezo wa pili…
Mchezaji wa Yanga, Mohamed Hussein, amesema timu hiyo inaendelea vizuri na ipo tayari kwa mchezo wa kesho dhidi ya Geita Gold, licha ya kuwa na muda mfupi wa maandalizi. Mohamed amesema maandalizi yaliyofanyika katika siku mbili zilizopita yamewasaidia kujiandaa vyema kwa mchezo huo na kuongeza kuwa benchi la ufundi limefanya uchambuzi wa kina kuhusu wapinzani…
Kocha Mkuu wa Young Africans SC, Manqoba Mngqithi, amewatoa hofu mashabiki wa timu hiyo kufuatia kiwango kisichoridhisha katika baadhi ya michezo, akisema amepata “akili mpya” ya kukisuka na kukiunganisha vizuri kikosi chake ili kucheza soka la kuvutia na kupata matokeo makubwa zaidi. Mngqithi, raia wa Afrika Kusini, amekiri kuwa timu yake bado inakabiliwa na changamoto…
Je unajua kuwa leo huenda ikawa ni siku yako ya bahati?. Kama hujajua basi mimi ndio nakujuza, ingia kwenye akaunti yako na uweke dau lako dogo tuu kisha ubashiri mechi za leo. Hispania LALIGA kuna mechi moja kati ya Villarreal dhidi ya Real Betis ambapo Nyambizi wa Njano wao wakiwa na faida ya kucheza nyumbani…
MANCHESTER, England — Erling Haaland amekuwa shujaa wa Manchester City baada ya kufunga bao lenye utata na kuipa timu yake ushindi wa mabao 1-0 dhidi ya Manchester United katika mchezo wa 199 wa Manchester Derby uliochezwa Old Trafford. City, iliyokuwa ikicheza ikiwa na wachezaji 10 baada ya Phil Foden kutolewa kwa kadi nyekundu katika dakika…
Kuna wakati Jumatatu huwa siku ambayo wengi hutamani ipite haraka, lakini kwa wachezaji wa kasino mtandaoni hali inaweza kuwa tofauti. Meridianbet imeendeleza Monday Cashback & Bonus Back, promosheni inayoufanya mwanzo wa wiki uwe na jambo la kusubiri. Kupitia mpango huu, shughuli za kasino za wiki iliyopita zinaweza kuleta zawadi kwa wachezaji wanaostahili, na hivyo kufanya…
Kuna michezo inayokupa burudani, lakini kuna mingine inayokufanya usubiri kila mzunguko kwa hamu ukitaka kujua kitakachotokea. Gates of Halloween ni miongoni mwa michezo hiyo, na sasa imewasili Meridianbet wakati ambapo maandalizi ya Halloween 2026 yanaanza kushika kasi. Ukiwa umesalia takribani mwezi mmoja kabla ya sherehe hizo, Meridianbet imefungua lango la ulimwengu wa kutisha ambapo kila…
Simba SC imefanikiwa kusonga mbele hadi hatua ya pili ya awali ya Ushindi huo umeifanya Simba kufuzu kwa jumla ya Katika mchezo huo, Simba ilianza kwa kasi na kufunga bao la kwanza dakika ya 7 kupitia Clatous Chama, kabla ya Cheikh Gueye kuongeza la pili dakika ya 26. Chama alifunga bao lake la pili katika…
Uongozi wa Klabu ya Singida Black Stars umetangaza mabadiliko ya uongozi baada ya Mtendaji Mkuu wa Klabu hiyo, Ndg. Kassano Jonathan, kuomba kujiuzulu nafasi yake. Kupitia taarifa iliyotolewa leo Septemba 13, 2026, uongozi wa klabu umesema umekubali ombi hilo na kumteua Ndg. Tabitha Kidawawa kuwa Mtendaji Mkuu mpya wa Singida Black Stars, akisaidiwa na Naibu…
Manchester United na Manchester City wanatarajiwa kukutana katika mchezo wa kusisimua wa Premier League leo Jumapili, Septemba 13, 2026, kwenye Uwanja wa Old Trafford. Mchezo huo ni derby ya 199 kati ya timu hizo mbili na utakuwa mtihani mkubwa kwa makocha Michael Carrick wa United na Enzo Maresca wa City. Manchester City wanaingia kwenye mchezo…
Pesa iko nje nje leo hii kwenye mechi za leo ndani ya Meridianbet kwani kila kitu unachotaka kipo hapa kuanzia Odds kubwa, machaguo zaidi ya 1000. Jisajili sasa na uanze safari yako ya ushindi. LALIGA kuna mechi za kukata na shoka lakini sisi tutajikita kwenye mtanange wa Real Sociedad dhidi ya Atletico Madrid ya Diego…
YANGA imefanikiwa kutinga hatua ya pili ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) baada ya kuiondoa Gaborone United ya Botswana kwa ushindi wa jumla wa mabao 3-2 katika michezo miwili. Yanga imemaliza kazi hiyo kwa ushindi wa mabao 2-1 katika mchezo wa marudiano uliochezwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, baada ya…
MCHEZO wa NBC Premier League kwa wababe wawili umekamilika baada ya dakika 90 huku pointi tatu zote zikibaki nyumbani. Ubao wa Uwanja wa Sheikh Amri umesoma Polisi Tanzania 2-0 Mbeya City. Mabao yote mawili yamefungwa na mshambuliaji wa mabao Anuary Jabir dakika ya 38 na 45+2 kwa mkwaju wa penati. Ushindi huu unaifanya Polisi Tanzania…
Klabu ya Sunderland itawakaribisha mabingwa watetezi wa ligi kuu ya England Arsenal katika mchezo wa Ligi Kuu England utakaopigwa leo Jumamosi, Septemba 12, 2026, katika dimba la Stadium of Light. Mchezo huo utaanza saa 22:00 usiku. Arsenal inaingia kwenye mchezo huu ikiwa na mwanzo mzuri wa msimu, ikiwa imeshinda michezo yote mitatu ya kwanza ya…