RS BERKANE WAANZA MAZUNGUMZO NA KAMBI YA ELIE MPANZU

Klabu ya RS Berkane kutoka Morocco wamefungua rasmi mazungumzo ya awali na upande wa mchezaji Elie Mpanzu, ambaye kwa sasa ni nyota wa Simba SC. Hawajatuma ofa rasmi kwa Simba SC bado, bali wanataka kwanza kukubaliana na mchezaji kuhusu maslahi binafsi kama mshahara na bonasi. Vyanzo vinaeleza kuwa RS Berkane wako tayari kulipa kifungu cha…

Read More

AZAM FC YAREJESHA CHUMA KINGINE CHA KAZI

MATAJIRI wa Dar, Azam FC hawapoi baada ya kumtambulisha nyota mwingine mpya ambaye aliwahi kucheza hapo kabla ya kuondoka kuelekea Misri kwa changamoto mpya. Kazi imeanza kwa timu hiyo ambayo itashiriki Kombe la Shirikisho Afrika ikiwa imegotea nafasi ya tatu kwenye msimamo wa ligi msimu wa 2024/25. Ni Kocha Mkuu, Florent Ibenge atakuwa kwenye benchi…

Read More

YANGA SC YAKOMBA MILIONI 262.5 KUTOKA SportPesa

 KAMPUNI ya SportPesa imewapa Yanga SC Milioni 262.5 ambazo ni sehemu ya kukamilisha takwa la kimkataba kwa kutoa gawio la Tsh milioni 262.5 kama sehemu ya hongera kwa mafanikio bora yaliyopatikana ndani ya timu hiyo. Ilikuwa Julai 9 2025. Ikumbukwe kwamba Klabu ya Yanga SC imekuwa na mahusiano ya muda mrefu yanayokaribia kufikia miaka 8…

Read More

CHAMA CLATOUS ATAJWA KUONDOKA YANGA SC

INAELEZWA kuwa kiungo mshambuliaji wa Yanga SC ambaye aliibuka hapo akitokea Simba SC, Clatous Chama huenda akaondoka ndani ya timu hiyo baada ya mkataba wake kugota mwisho. Mbali na Chama kusepa Yanga SC taarifa za kuaminika kutoka ndani ya Yanga SC zimethibitisha kuwa, timu hiyo imefikia makubaliano ya kuachana na mastaa wao wengine wa ushambuliaji…

Read More

MATOKEO YA KIDATO CHA SITA NA UALIMU MEI 2025, YAPO HAPA

Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza rasmi matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita (ACSEE) pamoja na Mitihani ya Ualimu iliyofanyika mwezi Mei 2025. Matokeo hayo yanapatikana kupitia tovuti rasmi ya NECTA (www.necta.go.tz), ambapo wanafunzi na walimu waliohusika wanaweza kuyatazama kwa kutumia namba za mtihani au majina ya shule na vituo husika. Kwa mujibu…

Read More

MPANZU WA SIMBA SC KWENYE RADA ZA WAARABU

INAELEZWA kuwa winga chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Fadlu Davids ndani ya kikosi cha Simba SC, Ellie Mpanzu yupo kwenye rada za RS Berkane,Waarabu wa Morocco. Mpanzu ni miongoni mwa wachezaji waliokuwa tegemeo katika kikosi cha Simba SC msimu wa 2024/25 kwenye anga la kimataifa na kitaifa. Ndani ya ligi rekodi zinaonyesha kuwa alicheza…

Read More

AZIZ KI WA YANGA SC KUCHEZA HAPA BONGO

MFUNGAJI bora ndani ya ligi namba nne kwa ubora Afrika, Aziz Ki msimu wa 2023/24 huenda akarejea kwa mara nyingine ndani ya ardhi ya Tanzania. Ki alifunga jumla ya mabao 21 alipokuwa namba moja. Timu ya Yanga SC ilitwaa ubingwa wa ligi na Azam FC ilikuwa nafasi ya pili. Mei 24 2025 Ki alitoa Thank…

Read More

JISHINDIE TZS 1.5 BILIONI NA MERIDIANBET KUPITIA LUCKY RUSH TOURNAMENT

Meridianbet inawapa wachezaji fursa ya kipekee ya kushiriki Lucky Rush Tournament, promosheni ya kusisimua iliyoanza tarehe 27 Juni hadi 3 Agosti 2025. Promosheni hii inatoa zawadi za pesa taslimu TZS 1.5 bilioni, zikigawanywa katika mashindano matano ya leaderboard, kila moja ikiwa na TZS 300 milioni kwa washindi 5,000. Ili kushiriki, wachezaji wanahitaji kujiandikisha (opt-in) kwa…

Read More