Yanga SC vs Muembe Makumbi City FC, Muungano CUP
Michuano ya Kombe la Muungano 2026 inatarajiwa kuanza Jumanne hii Aprili 21, 2026. Mechi ya…
Michuano ya Kombe la Muungano 2026 inatarajiwa kuanza Jumanne hii Aprili 21, 2026. Mechi ya kwanza itawahusu mabingwa watetezi ambao ni Yanga SC. NI Yanga SC vs Muembe Makumbi City FC unaotarajiwa kuchezwa kesho. Mabingwa watetezi tayari wameshatia timu Zanzibar. Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Pedro Goncalves amekuwa na kikosi hicho na tayari wameshawasili…
Kiungo wa Yanga, Mudathir Yahya amefungiwa michezo mitatu pamoja na kutozwa faini ya Tsh milioni 1 baada ya kukutwa na kosa la kumpiga kiwiko mchezaji wa Pamba Jiji FC, Ibrahim Abraham wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Adhabu hiyo imetolewa na Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu…
Klabu za Simba SC na TRA United zimetozwa faini ya Tsh. milioni tano kila moja kwa kosa la walinzi wa klabu hizo (Stewards) kupigana mara baada ya timu hizo kuwasili kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha. Adhabu hiyo imetolewa leo Aprili 20, 2026 na kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya…
Uwanja wa Selhurst Park, London Leo tarehe 20 kuanzia saa 22:00 utakuwa jukwaa la pambano la kusisimua la derby ya London kati ya Crystal Palace dhidi ya West Ham United katika Ligi Kuu ya Uingereza. Mchezo huu unakuja wakati timu zote zikiwa na malengo tofauti kwenye msimamo, huku Crystal Palace wakiwa na rekodi nzuri…
Kuna jambo moja linatikisa kila kona kwa sasa, fursa kali kutoka Meridianbet. Wabashiri wanazungumzia uwepo wa Samsung Galaxy A26 kama zawadi inayoweza kubadilisha stori yako ndani ya muda mfupi. Hii ni nafasi ya wale wanaocheza kwa akili na ujasiri. Super Heli umekuwa mchezo wa kasi na presha. Helikopta inapopaa, kila sekunde inaongeza thamani ya ushindi….
Erling Haaland ameibuka shujaa wa Manchester City baada ya kufunga bao la ushindi lililoihakikishia timu yake ushindi muhimu wa mabao 2-1 dhidi ya Arsenal FC, matokeo yaliyotikisa mbio za ubingwa wa Ligi Kuu England. City walianza kwa kasi na kupata bao la kwanza kupitia Rayan Cherki, aliyefunga bao la kuvutia baada ya kupita mabeki kadhaa…
Simba SC amechukua alama zote tatu ugenini dhidi ya Wauaji wa Kusini, Namungo FC katika dimba la Majaliwa, Ruangwa mkoani Lindi kwenye mchezo wa Ligi Kuu bara. Mnyama amesogea mpaka alama tano nyuma ya vinara Wananchi, Young Africans SC wakifikisha alama 42 baada ya mechi 19 wakiwa nafasi ya pili huku Namungo FC wakisalia nafasi…
Shuhudia Historia ya Afrika Ikifanyika Duniani Huku SuperSport Ikirusha Mechi Zote 104 za Kombe la Dunia la FIFA 2026™️ Mubashara SuperSport na DStv (kampuni tanzu za MultiChoice Group, kampuni ya CANAL+) zimejipanga kikamilifu kuwaletea wateja wao barani Afrika Kombe la Dunia la FIFA 2026™️ la kihistoria, kwa kurusha mechi zote 104 mubashara kutoka Mexico,…
Klabu ya Bayern Munich inaweza kutangazwa Bingwa wa Ujerumani leo iwapo haitapoteza dhidi ya VfB Stuttgart katika Dimba la Allianz Arena. Mabingwa hao watarajiwa wamepata nafuu baada ya mpinzani wao wa karibu, Borussia Dortmund, kupoteza kwa wiki ya pili mfululizo. Dortmund ilifungwa bao la dakika za mwisho na TSG Hoffenheim kwa mabao 2-1. Kwa sasa,…
Uwanja wa City Ground unajiandaa kushuhudia pambano kali la kuwania pointi muhimu za kunusurisha ligi leo tarehe 19 kuanzia saa 16:00 kwa muda wa Afrika Mashariki, ambapo Nottingham Forest (nafasi ya 16) itakuwa mwenyeji wa Burnley (nafasi ya 19) kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Uingereza. Mchezo huu ni wa kiwango cha juu kwa timu…
JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Namungo FC amesema kuwa maandalizi yamekamilika na vijana wapo tayari kwa mchezo wa leo vs Simba SC. Namungo FC vs Simba SC ni mchezo wa NBC Premier League unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Majaliwa huku wageni wakiwa ni Simba SC. Hii ni ligi namba 6 kwa ubora ushindani unekuwa mkubwa kutokana…
Bruno Fernandes aendelea kuwa shujaa wa Manchester United baada ya kutoa pasi ya bao (assist) lililoipa timu yake ushindi wa 1–0 dhidi ya Chelsea katika mchezo wa Ligi Kuu England uliochezwa Stamford Bridge usiku wa kuamkia leo Aprili 19, 2026. Bao pekee la mchezo lilifungwa na Matheus Cunha kufuatia krosi nzuri kutoka kwa Fernandes. Hii…
Mtaa unabadilika, na sasa sio nguvu tu, ni akili na kulenga muda sahihi. Big Bounty Challenge imekuja kama jibu kwa wale wanaotaka kugeuza muda wao kuwa pesa. Meridianbet wameweka jukwaa ambapo kila dau lina thamani, na kila mchezaji ana nafasi ya kung’ara. Kila mara unapocheza ni hatua kuelekea juu ya msimamo wa ushindani wa Games…
Jumamosi hii kule Uingereza kutakuwa na mitanange mingi, lakini Chelsea vs Man United ndio mechi kubwa itakayopigwa siku hiyo huku kila timu ikitaka ushindi mnono. Mechi kati ya Chelsea vs Manchester United ndani ya EPL Jumamosi, inakuja ikiwa na uzito mkubwa kutokana na msimamo wa ligi na malengo tofauti ya timu hizi mbili. Kwa mujibu…
Katika nyota 7 wa NBC Premier League wenye pasi nyingi 2025/26 kinara katika eneo hili ni kiungo mshambuliaji wa Azam FC Feisal Salum mwenye pasi 7 za magoli. Azam FC imekuwa kwenye mwendo bora ndani ya uwanja ikiwa ni timu namba moja kukusanya sare nyingi ambazo ni 10 na haijapoteza kwenye mechi 19 sawa na…
KIKOSI cha Simba SC kimewafuata wapinzani wao Namungo FC kamili gado kwa maandalizi ya mwisho ya mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Aprili 19, 2026 Uwanja wa Majaliwa. Chini ya Kocha Mkuu, Steve Barker kikosi hicho kimewasili Ruangwa, Lindi mara baada ya kuanza safari kikitokea Dar. Ikumbukwe kwamba kikosi cha Simba SC kimetoka Arusha ambapo kilikuwa…
Azam FC 3-0 JKT Tanzania matokeo rasmi mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex pointi tatu zikibaki kwa marajiri wa Dar. Magoli ya Azam FC yamefungwa na Japhte Kitambala dakika ya 48 na Idd Seleman alifunga magoli mawili dakika ya 58 na 60 na alichaguliwa kuwa mchezaji bora. Azam FC ipo nafasi ya 3 kwenye msimamo…