Bruno Fernandes Atwaa Tuzo ya Mchezaji Bora EPL 2025/26
Nahodha wa Manchester United, Bruno Fernandes ametangazwa rasmi kuwa Mchezaji Bora wa Msimu wa Ligi…
Nahodha wa Manchester United, Bruno Fernandes ametangazwa rasmi kuwa Mchezaji Bora wa Msimu wa Ligi Kuu ya Uingereza 2025/2026 baada ya kuwa nguzo muhimu ya mafanikio ya timu hiyo msimu huu. Kiungo huyo raia wa Ureno ameshinda tuzo hiyo baada ya kura zilizopigwa na mashabiki, makocha pamoja na wachambuzi wa soka, huku akiwaongoza United kumaliza…
Kylian Mbappé ameanza maisha mapya ya kifahari nchini Hispania baada ya kuhamia kwenye jiji la Madrid kufuatia kujiunga na Real Madrid. Nyota huyo wa Ufaransa anaishi kwenye eneo maarufu la matajiri linaloitwa La Finca, ambalo linajulikana kwa kuwa makazi ya mastaa wa soka, wafanyabiashara wakubwa na watu maarufu duniani. Eneo hilo lina ulinzi wa hali…
Mchezaji wa Young Africans S.C. Allan Okello amezungumza na Global TV kuhusu watu wengi kumfananisha na Chama. Amesema: “Napata nguvu ya kupambana ninapofananishwa naye kwa sababu ni mchezaji mwenye uzoefu mkubwa kwenye ligi ya Tanzania na anaendelea kufanya vizuri.” 🔴 Tufuatilie kupitia YouTube ya Global TV, like, comment ili kuendelea kuhabarika kila siku kwa habari…
Mchezo huu wa mwisho wa msimu utapigwa Leo May 23 kwenye Uwanja wa La Cartuja, Seville kuanzia saa 22:00 usiku, Uwanja unatazamiwa kuwa na mashabiki wengi wa Betis ambao wanataka kuwaona wachezaji wao wakimaliza msimu kwa ushindi kabla ya kusherehekea kufuzu kwa michuano ya Ulaya. Kwa upande wa mabadiliko ya wachezaji, Diego Llorente na Cucho Hernández wanatarajiwa kurejea kwenye kikosi cha Betis…
Allen Okello kiungo mshambuliaji wa Yanga SC anakera kinomanoma kama hayupo upande wako kutokana na kujiamulia mambo kwenye mechi ngumu NBC Premier League. Katika mchezo uliochezwa Uwanja wa KMC Complex, Mei 22, 2026 dhidi ya Singida Black Stars alijiamulia kufunga magoli mawili wakishinda magoli 3-0. Okello alifungua ukurasa wa magoli dakika ya 14 na 68…
Azam FC 2-0 Tanzania Prisons, hali ni tete kwa wajelajela kutokana na mwendo usiofurahisha ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara inayodhaminiwa na NBC Premier League. Baada ya dakika 90, Mei 22, 2026 ubao wa Uwanja wa Azam Complex ulisoma Azam FC 2-0 Tanzania Prisons, magoli ya Feisal Salum dakika ya 15 na Idd Nado dakika…
Kocha wa Tottenham Hotspur, Roberto De Zerbi amesema tayari ana maono ya wazi kuhusu nini kifanyike kuirejesha timu hiyo kwenye ushindani mkubwa, lakini mazungumzo hayo yataanza rasmi baada ya mchezo wa mwisho wa msimu dhidi ya Everton siku ya Jumapili. Spurs kwa sasa wanashika nafasi ya 17 kwenye msimamo wa Premier League wakiwa na tofauti…
Manchester United imemtangaza rasmi Michael Carrick kuwa kocha mkuu wa kudumu wa timu hiyo kwa mkataba wa miaka miwili utakaomuweka katika dimba la Old Trafford hadi mwaka 2028. Uamuzi huo umefikiwa na uongozi wa United baada ya kuridhishwa na kiwango cha mafanikio alichokionesha Carrick tangu alipokabidhiwa jukumu la kuinoa timu hiyo kwa muda. Katika kipindi…
Mtaani hakuna anayependa kubaki nyuma linapokuja suala la mkwanja na burudani. Ndiyo maana Gates of Arabia kutoka Meridianbet umekuwa mchezo unaotikisa kwa sasa. Hapa kila mzunguko unaoufanya unaweza kuwa mwanzo wa stori mpya kabisa. Unaingia freshi tu kucheza, lakini ndani ya sekunde chache unaweza kujikuta umebeba ushindi mkubwa. Gates of Arabia inakupa nafasi ya kushinda…
Young Africans SC wamefanikiwa kurejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya kupata ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya Singida Black Stars katika mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa KMC Complex. Nyota wa mchezo huo alikuwa Allan Okello, ambaye alifunga mabao mawili na kufikisha jumla ya magoli 9 kwenye ligi…
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Paul Makonda amesema ziara ya mwana Soka Rio Frerdnand, italeta fursa kwa vijana wenye ndoto ya kukua kwenye mpira wa miguu kupata nafasi ya kukuza vipaji vyao. Makonda amesema hayo leo, Mei 22, 2026 jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu ujio wa…
Paul Makonda amesema alimwomba mchezaji wa zamani wa England national football team na klabu ya Manchester United FC, Rio Ferdinand, kutoposti kwa sasa kuhusu uwepo wake nchini Tanzania, akieleza kuwa jambo muhimu zaidi ni kazi ya maendeleo na kuinua vipaji vya vijana wa Kitanzania. Akizungumza na waandishi wa habari Mei 22, 2026 jijini Dar es…
Cristiano Ronaldo amefunga mabao mawili na kuisaidia Cristiano Ronaldo pamoja na klabu yake Al Nassr FC kutwaa ubingwa wa Saudi Pro League baada ya ushindi wa 4–1 dhidi ya Damac FC katika mchezo wa mwisho wa msimu. Huu ni ubingwa wa 11 kihistoria kwa Al Nassr na wa kwanza tangu kuwasili kwa Ronaldo klabuni hapo,…
Nyota wa zamani wa mpira wa miguu wa timu ya Taifa ya Uingereza na Klabu ya Manchester United Rio Ferdinand amesema, Uwanja wa Arusha ambao utatumika katika Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2027 (AFCON 2027) umejengwa kwa kiwango bora kilichozingatia viwango vya kisasa duniani. Amesema hayo Mei 21, 2026 wakati alipotembelea uwanja…
Katika kuendeleza moyo wa kusaidia jamii, Meridianbet imetoa msaada wa vyakula kwa kituo cha watoto cha UMRA Children Center kilichopo Magomeni, Dar es Salaam kama sehemu ya shughuli zake za kijamii. Msaada huo umehusisha bidhaa muhimu za chakula kama mchele, unga, sukari, mafuta ya kupikia pamoja na mahitaji mengine yanayotumika kila siku katika kituo hicho…
Kwenye harakati za utafutaji, kila mbinu ya kuongeza nafasi ya ushindi ni muhimu. Meridianbet inaleta mapinduzi kwa wateja wake kupitia huduma ya kipekee ya Bet Boost, kipengele maalum kinachokupa nguvu ya kuongeza odds zako na kukupeleka moja kwa moja kwenye ushindi wa kiwango cha juu zaidi. Bet Boost imeundwa kwa ajili ya wabashiri wanaotaka faida…
MCHEZO wa NBC Premier League umekamilika ubao wa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga umesoma Coastal Union 1-2 Simba SC. Ni Maabad Maabad alifungua ukurasa wa magoli dakika ya 9 kwa shuti kali huku Libasse Gueye aliweka usawa dakika ya 37 na goli la ushindi limefungwa na Anicent Oura dakika ya 44 akitumia pasi ya Clatous Chama….