Singida Black Stars 4-1 Mbeya City

Singida Black Stars 4-1 Mbeya City ni matokeo rasmi mchezo wa leo Mei 26, 2026 NBC Premier League kwa wababe hawa wawili Uwanja wa Airtel. Huu ni ushindi mkubwa kwa walima alizeti wakisalia na pointi 3 muhimu huku magoli yote yakifungwa na wachezaji wa Singida Black Stars. Magoli ya Singida Black Stars yamefungwa na Ande…

Read More

Yanga SC ina mtaji wa magoli yakufunga

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC msimu wa 2025/26 wamekusanya mtaji mkubwa kwenye magoli yakufunga huku wakiruhusu magoli machache. Timu hiyo inapambania taji ililotwaa msimu wa 2024/25 ambapo kwa sasa mshindani wake namba moja ni Simba SC anafuatia Azam FC ambaye yupo nafasi ya tatu. Yanga SC baada ya mechi 25 safu ya…

Read More

Feisal namba moja chati ya ufugaji

Ni Feisal Salum kiungo mshambuliaji wa Azam FC anaongoza chati kwenye ufungaji msimu wa 2025/26 ndani ya ligi namba 6 kwa ubora Afrika. Kiungo huyo anaongoza chati kwenye ufungaji akiwa na magoli 14 anafuatiwa na kiungo wa Yanga SC, Allen Okello mwenye magoli 11. Mshambuliaji namba moja kwenye chati ya ufungaji ni Prince Dube naye…

Read More

Mexico Yakubali Kuwa Mwenyeji wa Timu ya Iran Kombe la Dunia 2026 Kufuatia Mvutano na Marekani

Rais wa Mexico Claudia Sheinbaum ametangaza kuwa nchi hiyo itaihifadhi timu ya taifa ya Iran wakati wa mashindano ya 2026 FIFA World Cup baada ya Marekani kuonyesha kutotaka kuipokea kutokana na mvutano wa kisiasa unaoendelea. Sheinbaum amesema kuwa FIFA iliwasiliana na serikali ya Mexico kuomba msaada huo baada ya utawala wa Rais Donald Trump kueleza…

Read More

Yanga SC vs Namungo FC kikosi kazi hiki hapa

KIKOSI cha Yanga SC kinashuka leo Uwanja wa KMC Complex kuvaana na Namungo FC katika mchezo wa NBC Premier League ikiwa ni mzunguko wa pili langoni ameanza Djigui Diarra. Wachezaji wengine ni Yao Yao, Israel Mwenda, Bakari Nondo, Ibrahim Bacca, Damaro, Maxi Nzengeli, Duke Abuya, Prince Dube, Mudathir Yahya na Allan Okello. Wachezaji wa akiba…

Read More

NBC Premier League mechi za leo moto

MECHI za leo Mei 25, 2026 ni moto wa kuotea mbali na zinapigwa Uwanja wa KMC Complex kwa wababe kusaka pointi tatu muhimu ndani ya dakika 90. Yanga SC hawa ni mabingwa watetezi wa ligi watamenyana na Namungo FC kwenye mchezo wa mzunguko wa pili. Wababe hawa wanatarajiwa kukutana saa 12:30 kusaka pointi 3 muhimu…

Read More

Planet Power Slots” yaibua gumzo kwa muonekano wake wa kisasa wa anga

Mitaa mingi sasa watu wanatafuta mchezo unaotoa burudani na ushindi wa kweli. Meridianbet wamejibu kwa kuachia Planet Power Slots, mchezo unaochanganya burudani kubwa na za kisasa pamoja na nafasi kubwa za kutengeneza hela. Planet Power Slots limeundwa kwa mtindo wa kipekee wenye sayari zinazometameta na picha kali sana. Ukianza kucheza tu unahisi kabisa umeingia kwenye…

Read More