Chelsea Kukipiga Dhidi ya Man United leo Usiku, Nani Atatoka na Ushindi?
Jumamosi hii kule Uingereza kutakuwa na mitanange mingi, lakini Chelsea vs Man United ndio mechi…
Jumamosi hii kule Uingereza kutakuwa na mitanange mingi, lakini Chelsea vs Man United ndio mechi kubwa itakayopigwa siku hiyo huku kila timu ikitaka ushindi mnono. Mechi kati ya Chelsea vs Manchester United ndani ya EPL Jumamosi, inakuja ikiwa na uzito mkubwa kutokana na msimamo wa ligi na malengo tofauti ya timu hizi mbili. Kwa mujibu…
Katika nyota 7 wa NBC Premier League wenye pasi nyingi 2025/26 kinara katika eneo hili ni kiungo mshambuliaji wa Azam FC Feisal Salum mwenye pasi 7 za magoli. Azam FC imekuwa kwenye mwendo bora ndani ya uwanja ikiwa ni timu namba moja kukusanya sare nyingi ambazo ni 10 na haijapoteza kwenye mechi 19 sawa na…
KIKOSI cha Simba SC kimewafuata wapinzani wao Namungo FC kamili gado kwa maandalizi ya mwisho ya mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Aprili 19, 2026 Uwanja wa Majaliwa. Chini ya Kocha Mkuu, Steve Barker kikosi hicho kimewasili Ruangwa, Lindi mara baada ya kuanza safari kikitokea Dar. Ikumbukwe kwamba kikosi cha Simba SC kimetoka Arusha ambapo kilikuwa…
Azam FC 3-0 JKT Tanzania matokeo rasmi mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex pointi tatu zikibaki kwa marajiri wa Dar. Magoli ya Azam FC yamefungwa na Japhte Kitambala dakika ya 48 na Idd Seleman alifunga magoli mawili dakika ya 58 na 60 na alichaguliwa kuwa mchezaji bora. Azam FC ipo nafasi ya 3 kwenye msimamo…
Kila siku unapambana, lakini mambo bado hayakai sawa upande wako, basi Meridianbet wamekuletea suluhisho kupitia Aviator. Huu ni mchezo unaokupa nafasi ya kuinuka haraka na kuchukua kile ambacho umekuwa ukikitafuta. Kila unapopaisha kindege chako, unakaribia kugusa ndoto zako. Hapa ni jitihada zako tu zinazokubeba. Unavyocheza sana, unaongeza pointi zako za ushindi na kupanda kwenye nafasi…
Namungo FC vs Simba SC NBC Premier League ni mchezo unaofuata kwenye ratiba msimu wa 2025/26 unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Majaliwa, Aprili 19, 2026. Tayari kikosi cha Simba SC kimewasili Dar kikitokea Arusha ambapo huko kimetoka kuvuna pointi 3 mbele ya Fountain Gate kwa ushindi wa magoli 3-0. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari…
Klabu ya Como 1907 ambayo kwasasa inanolewa na kocha mkuu Cesc Fabregas imezidi kuwa tishio kwa timu zingine hasa huko Italia baada ya kuonesha makali yao. Nafasi yao ya kutaka kushiriki michuano ya Ulaya ipo karibu. Je wataweza? Como 1907 wanaendelea kushangaza wengi katika Serie A chini ya Cesc Fàbregas, wakionyesha maendeleo makubwa msimu huu….
Chelsea wanafikiria kumuweka sokoni winga wao Chelsea Alejandro Garnacho katika dirisha lijalo la majira ya joto, kufuatia msimu uliokuwa mgumu kwa nyota huyo mwenye umri wa miaka 21 tangu aliposajiliwa kwa pauni milioni 40 akitokea Manchester United. Garnacho, aliyesajiliwa siku ya mwisho ya dirisha la usajili Septemba, ameanza mechi 21 kati ya 51 za…
Leo Aprili 17, 2026, jijini Dar es Salaam imefanyika droo ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB (CRDB Federation Cup), tukio lililovuta hisia kubwa za wadau wa soka nchini kutokana na upangaji wa mechi zinazotarajiwa kuwa na ushindani mkali. Droo hiyo imeziweka Simba na Yanga kwenye mazingira tofauti, huku mashabiki wakianza kujadili uwezekano…
Meridianbet imeendeleza dhamira yake ya kurejesha kwa jamii kupitia ziara maalum katika eneo la Kijitonyama Kisiwani, ikiwa ni sehemu ya juhudi zake za kusaidia makundi yenye uhitaji mkubwa. Safari hii ililenga zaidi kuwafikia wajane na familia zinazokabiliwa na changamoto za maisha ya kila siku. Katika tukio hilo, kampuni ilitoa msaada wa mahitaji muhimu ikiwemo chakula…
Allan Okello ameendelea kung’ara katika Ligi Kuu, akijipambanua kama mmoja wa wachezaji hatari zaidi kwenye ubunifu wa pasi za mabao (assists). Nyota huyo wa kimataifa amefika kileleni mwa orodha ya vinara wa kutoa pasi za mabao katika NBC Premier League, hatua inayodhihirisha mchango wake mkubwa kwenye timu yake na ushindani wa ligi kwa ujumla. Kwa…
Klabu ya Mbeya City imetangaza kuachana na Kocha Mkuu wake, Mecky Maxime, pamoja na benchi lake la ufundi kwa makubaliano ya pande zote, kufuatia matokeo mabaya ya hivi karibuni ya timu hiyo. Mbali na Maxime, wengine walioondoka ni Kocha Msaidizi Nizar Khalfan na Kocha wa Utimamu wa Mwili, Francis Mkanula. Uamuzi huo umefikiwa saa chache…
Mgogoro umeibuka kati ya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) na viongozi wa jimbo la New Jersey nchini Marekani kufuatia ongezeko kubwa la nauli za usafiri wa treni kuelekea mechi za Kombe la Dunia 2026. Ripoti zinaeleza kuwa nauli ya safari ya treni kati ya Penn Station jijini New York na Uwanja wa MetLife ulioko New…
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wa Tanzania, Paul Makonda, amemteua aliyekuwa nahodha wa zamani wa timu ya taifa, Leodegar Tenga, kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Ndani ya Maandalizi ya Fainali za AFCON 2027. Mashindano hayo makubwa ya soka barani Afrika yanatarajiwa kufanyika kwa ushirikiano wa nchi tatu za Afrika Mashariki ambazo ni Tanzania,…
Mechi ya Ligi ya Mabingwa iliyojaa burudani isiyoisha imeacha mashabiki midomo wazi baada ya Real Madrid na Bayern Munich kutoa pambano la kiwango cha juu lililojaa mabao ya mbali, makosa ya mabeki na matukio ya kusisimua kila dakika. Mchezo ulianza kwa kasi ya ajabu ambapo kinda wa Real Madrid, Arda Güler, aliwapa uongozi mapema ndani…
Timu 4 kushuka dimbani leo kujua mustakabali wao wa wkenda Nusu Fainali ya Ligi ya Europa. Timu kama Aston Villa, na Freiburg tayari wana mtaji wa kutosha. Je wanaweza kuzuiwa kusonga mbele?. Aston Villa dhidi ya Bologna ni mechi ambayo itakuwa ya moto sana kwani wenyeji walishangazwa kwenye mechi yao ya kwanza wakiwa nyumbani. Vijana…
Nyota wa FC Barcelona, Raphinha, ameomba radhi kufuatia ishara aliyofanya kuelekea mashabiki wa Atlético Madrid baada ya timu yake kutolewa katika hatua ya robo fainali ya UEFA Champions League. Raphinha, ambaye hakushiriki kwenye mchezo wa marudiano kutokana na majeraha ya paja, alionekana akijibu mashabiki wa Atlético akiwa uwanjani baada ya mechi iliyopigwa kwenye Uwanja wa…