Azam FC Yamwongeza Mkataba Kocha Florent Ibenge

Kocha Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge, ameripotiwa kusaini mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kuinoa klabu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara. Kwa mujibu wa taarifa hizo, Azam FC imefanikiwa kumbakisha kocha huyo licha ya kuwepo kwa tetesi kwamba alikuwa tayari amefikia makubaliano ya awali na Chama cha Soka cha Mali kwa ajili ya…

Read More

Cape Verde na Curaçao Waingia Kwenye Historia ya Kombe la Dunia la FIFA 2026

Kombe la Dunia la FIFA 2026 linatarajiwa kuandika historia mpya huku mataifa kadhaa yakirejea baada ya miongo mingi na mengine yakifuzu kwa mara ya kwanza kabisa kwenye mashindano hayo makubwa ya soka duniani. Mashindano hayo yatakayofanyika kuanzia Juni 11 hadi Julai 19, 2026 yatakuwa na muundo mpya uliopanuliwa, jambo lililofungua nafasi kwa timu nyingi zaidi…

Read More

Orodha ya wafungaji magoli Yanga SC 2025/26

YANGA SC inaongoza ligi na pointi 60 baada ya mechi 25, safu ya ushambuliaji imefunga magoli 58 na kinara ni Allan Okello mwenye magoli 11. Hii hapa orodha ya wafungaji magoli 2025/26 NBC Premier Mchezaji Magoli Asisti Allan Okello 11 7 Prince Dube 9 3 Mudathir Yahya 8 2 Pacom Zouzoua 7 4 Laurindo Depu…

Read More

Ratiba ya Yanga SC 2025/26

Mabingwa watetezi wa NBC Premier League na CRDB Federation Cup Juni wana mechi 6 za kazi kusaka ushindi ndani ya uwanja. Ni Yanga SC ambayo inatetea taji la CRDB Federation Cup ipo hatua ya nusu fainali. Kwenye ligi wapo nafasi ya kwanza na pointi 60. Hizi hapa mechi zinazofuata kwenye ratiba 2025/26 namna hii:- Juni…

Read More

Hii hapa ratiba ya Simba SC NBC Premier League

KIKOSI cha Simba SC tayari kimeanza maandalizi ya mechi zinazofuata ndani ya NBC Premier League 2025/26 mara baada ya mapumziko mafupi. Hii hapa ratiba kwa mechi zinazofuata kwenye ligi. Ikumbukwe kwamba timu hiyo ipo nafasi ya pili imekusanya jumla ya pointi 58 baada ya mechi 25. 14 Juni 2026 Simba SC vs Pamba Jiji FC…

Read More