New York Knicks Watwaa Ubingwa wa NBA Baada ya Kusubiri Zaidi ya Miaka 50
Timu ya New York Knicks imeandika historia kwa kutwaa ubingwa wa NBA kwa mara ya…
Timu ya New York Knicks imeandika historia kwa kutwaa ubingwa wa NBA kwa mara ya kwanza baada ya zaidi ya miaka 50, kufuatia ushindi wa pointi 94-90 dhidi ya San Antonio Spurs katika mchezo wa tano wa fainali uliochezwa Texas. Knicks walihitaji ushindi mmoja pekee kukamilisha kazi baada ya kuongoza mfululizo huo kwa michezo 3-1,…
Mabingwa kuanza kutafuta ushindi wao wa kwanza kwenye michuano hii Mikubwa Dunia. Meridianbet inakwambia kuwa tayari timu za ushindi zinakungoja wewe. Ingia na ubeti sasa. Kivumbi kutimka kwenye mechi ya Ujerumani dhidi ya Curaçao huku wajerumani wakitaka kuanza kampeni yao kwa nguvu na kuonyesha ubora wao dhidi ya timu inayoshiriki mashindano haya ikiwa na ari…
Australia imeanza vyema kampeni yake ya Kombe la Dunia baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Uturuki katika mchezo wa Kundi D uliochezwa Vancouver usiku wa Jumamosi. Nyota kijana Nestory Irankunda aliifungia Australia bao la kwanza dakika ya 27 kwa shuti la chini lililowashinda mabeki watatu wa Uturuki waliokuwa wakimkaba. Baada ya…
Timu ya taifa ya Morocco imeonyesha uimara mkubwa kwa kuibana Brazil na kulazimisha sare ya mabao 1-1 katika mchezo wa Kundi la Kombe la Dunia uliochezwa kwenye Uwanja wa MetLife. Morocco ilianza mchezo kwa kasi kubwa chini ya kocha mpya Mohamed Ouahbi na kuwasumbua mara kwa mara mabingwa hao mara tano wa dunia. Simba wa…
Meridianbet imeizindua Golden Goal Rewards, promosheni inayowapa wachezaji nafasi ya kushinda sehemu ya TZS milioni 450 kupitia zawadi mbalimbali zinazotolewa kila wiki. Huu ni wakati wa kuonyesha uwezo wako na kufurahia ushindi. Ushiriki ni rahisi, jiunge kwenye promosheni, cheza michezo inayohusika na uweke dau linalokubalika. Kuanzia hapo, utaingia kwenye mbio za kushinda zawadi za ghafla…
Nyota wa timu ya Taifa ya Brazil, Vinicius Junior, anatarajiwa kuwa mtu wa kuangaliwa zaidi wakati Brazil itakapofungua kampeni yake ya Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Morocco usiku wa kuamkia kesho. Mshambuliaji huyo wa Real Madrid amesema mashindano haya ni muhimu zaidi katika maisha na taaluma yake, hasa baada ya nyota mkongwe Neymar kuondolewa…
Katika dimba la SoFi Stadium, timu ya taifa ya Marekani ilianza kampeni yake ya Kombe la Dunia kwa ushindi mkubwa wa mabao 4-1 dhidi ya Paraguay usiku wa Ijumaa. Nyota wa Marekani, Folarin Balogun, aliibuka shujaa wa mchezo huo baada ya kufunga mabao mawili katika kipindi cha kwanza, huku Marekani ikitengeneza historia kwa kuongoza kwa…
Wakati mataifa makubwa duniani yakipambana kuwania ubingwa wa Kombe la Dunia 2026, Meridianbet imeleta mashindano yatakayowapa mashabiki nafasi ya kushinda zawadi kubwa kupitia kampeni ya “Mbabe wa Dunia.” Kwa jumla ya zawadi zenye thamani ya TZS 100,000,000, huu ni wakati wa kufanya utabiri wako wa soka uwe na thamani zaidi kuliko hapo awali. Kampeni hii…
Mshambuliaji wa Canada, Cyle Larin, alitokea benchi na kuisadia timu yake kuambulia sare ya 1-1 dhidi ya Bosnia na Herzegovina katika mchezo wa ufunguzi wa Kundi B wa Kombe la Dunia uliochezwa Ijumaa mjini Toronto. Bosnia ilianza vizuri baada ya Jovo Lukic kufunga bao la kuongoza dakika ya 21 kwa kichwa, likiwa bao lake la…
Ikiwa unapenda ushindani na zawadi kubwa, basi Evoplay Summer Season of Legends imekuja kwa ajili yako. Meridianbet imeandaa mashindano maalum yanayowapa wachezaji nafasi ya kushindania zawadi kubwa yenye thamani ya hadi TZS 1,089,000,000. Kuanza ni rahisi sana. Weka dau lako kuanzia TZS 600 na kila raundi inayostahili itachangia safari yako ya kupanda kwenye msimamo. Kila…
Azam FC imeendelea kuonyesha ubora wake katika Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Fountain Gate FC kwenye mchezo uliopigwa katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha. Kikosi hicho cha Azam kilianza kutengeneza mazingira ya ushindi katika dakika ya 36 kupitia kwa Ngita aliyefunga bao…
MASHUJAA FC vs Yanga SC ni mchezo unaofuata kwenye ratiba ya NBC Premier League Juni 13, 2026 huku benchi la ufundi la mabingwa watetezi likibainisha kwamba lipo tayari kwa mchezo. Ahamid Moallin, Kocha Mkuu wa Yanga SC amesema wanatambua ushindani uliopo watapambana kupata matokeo mazuri uwanjani. “Hakuna mchezo rahisi katika ligi hii. Haijalishi tunacheza na…
Kama kawaida michuano hii mikubwa inatarajiwa kuendelea huku leo hii wababe wanne kushuka dimbani kusaka pointi 3 muhimu. Je nafasi ya kushinda unaiweka kwa nani?. Suka jamvi hapa. Kivumbi kitakuwa kwenye mechi ya Canada dhidi ya Bosnia and Herzegovina ambao hawapewi nafasi ya kuondoka na ushindi ndani ya Meridianbet kwani wenyeji wana kikosi chenye wachezaji…
Klabu ya Yanga SC imetangaza uteuzi wa Kamati ya Uchaguzi itakayosimamia mchakato wa uchaguzi wa klabu hiyo, huku Adv. Malangwe Mchungahela akiteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati hiyo. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Juni 13, 2026 na Idara ya Mawasiliano ya Yanga SC, Adv. Samuel Mangesho ameteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo. Wajumbe wengine…
GUADALAJARA, Mexico – Timu ya taifa ya Korea Kusini imeonyesha moyo mkubwa wa kupambana baada ya kutoka nyuma na kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Czech Republic katika mechi ya Kundi A ya Kombe la Dunia 2026 iliyochezwa Estadio Guadalajara. Korea Kusini ilitawala sehemu kubwa ya mchezo kwa soka la pasi nyingi na…
MEXICO CITY – Mwenyeji mwenza wa Kombe la Dunia 2026, Mexico, ameanza vyema kampeni yake ya michuano hiyo baada ya kuichapa Afrika Kusini mabao 2-0 katika mechi ya ufunguzi iliyochezwa kwenye Uwanja wa Estadio Azteca usiku wa Alhamisi. Julian Quinones aliandika historia kwa kufunga bao la kwanza la Kombe la Dunia 2026 dakika ya tisa…
Kama unapenda burudani ya kasino na zawadi za kisasa, Meridianbet imekuandalia fursa ambayo hutakiwi kuikosa. Kupitia promosheni ya Mzuka wa Mabingwa, wateja wa Airtel Money wanaweza kushinda Bajaj, PlayStation 5, Hisense TV, simu janja na mizunguko ya bure. Kushiriki ni rahisi na haraka. Weka TZS 5,000 au zaidi kupitia Airtel Money kisha cheza mchezo wowote…