Yanga SC vs Coastal Union utachezwa mchezo mzuri
Yanga SC vs Coastal Union utachezwa mchezo mzuri leo Mei 9,2026 baada ya benchi la…
Yanga SC vs Coastal Union utachezwa mchezo mzuri leo Mei 9,2026 baada ya benchi la ufundi la wenyeji kubainisha hivyo. Wananchi ni mabingwa watetezi wanatarajia kuvaana na Coastal Union kwenye mchezo wa NBC Premier League, leo saa 12:15, Uwanja wa KMC Complex. Mchezo ulipita kwa Yanga SC ilipata ushindi wa goli 1-0 dhidi ya KMC…
Real Madrid imeripotiwa kuwatoza faini ya euro 500,000 kila mmoja viungo wake Federico Valverde na Aurélien Tchouaméni kufuatia kuhusishwa katika mzozo uliotokea wakati wa mazoezi ya timu hiyo. Kwa mujibu wa taarifa mbalimbali, wawili hao waliingia kwenye mabishano makali wakati wa mazoezi yenye ushindani mkubwa, kabla hali hiyo haijageuka kuwa ya vurugu na kuwalazimu makocha…
NBC Premier League inaendelea leo Mei 9 ambapo kuna michezo miwili mikali kwa wababe kusaka ushindi ndani ya uwanja. Saa 10:00 jioni, Singida Black Stars vs Mtibwa Sugar, Uwanja wa Airtel Saa 12:15, Yanga SC vs Coastal Union, Uwanja wa KMC Complex Ikumbukwe kwamba vinara wa ligi ni Yanga SC wakiwa na pointi 51 hawajapoteza…
Shughuli imehitimishwa katika dimba la Sheikh Amri Abeid Stadium ambapo TRA United wameonyesha ubabe wao kwa kuibuka na ushindi mnono wa mabao 4-1 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu. Mchezo huo uliokuwa na kasi na ushindani mkubwa ulianza kwa pande zote kushambuliana, ambapo Azam FC walitangulia kupata bao kupitia Japhet Kitambala dakika…
Mabingwa watetezi NBC Premier League, Yanga SC wamebakiwa na mechi 9 kukamilisha msimu wa 2025/26. Hizi hapa mechi zijazo:- Tarehe Mechi Uwanja Mei 9, 2026 Yanga SC vs Coastal Union KMC Complex Mei 13, 2026 Dodoma Jiji FC vs Yanga SC Jamhuri, Dodoma Mei 22, 2026 Yanga SC vs Singida Black Stars KMC Complex Mei…
Inawezekana kabisa kupata Samsung Mpya kabisa kwa wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet. Kupitia promosheni yako ya Bet Online ndugu mteja una nafasi ya kuchukua Samsung A26 hapa. Katika msimu huu wa burudani na ushindani mkali ndani ya ulimwengu wa soka, Meridianbet imewasha moto mpya unaowapa wachezaji wote sababu ya kuongeza hamasa wanapotazama na kubashiri mechi…
NBC Premier League inaendelea ikiwa ni mzunguko wa pili msimu wa 2025/26 mabingwa watetezi ni Yanga SC wanaoongoza ligi na pointi 51. Mei 8, 2026 Ijumaa zinatarajiwa kuchezwa mechi mbili kali kwa wababe kusaka pointi tatu muhimu uwanjani. TRA United vs Azam FC, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, saa 10:00 jioni Namungo FC vs Mashujaa…
INAELEZWA kuwa uongozi wa Simba SC upo kwenye hesabu za kuinasa saini ya kiungo wa TRA United Ramadhan Chobwedo. Kiungo huyo amekuwa kwenye ubora katika mechi za hivi karibuni dhidi ya vigogo wa Kariakoo jambo ambalo linatajwa kuwavutia mabosi wa Simba SC. Mbali na Simba SC imekuwa ikitajwa kuwa hata watani wa jadi wa timu…
Suala la utajiri hivi sasa ni wewe kuamua tu. Unaweza lala maskini ukaamka tajiri kesho kwa maamuzi ya mara moja tu ya kucheza Gates of Arabia, mchezo maalumu kutoka Meridianbet unaokupa fursa ya kuelekea jangwa la nchi za kiarabu kwa lengo moja pekee, kutafuta hazina kubwa na kukufanya uibuke milionea. Ndani ya mchezo huu wa…
Aliyekuwa nyota wa zamani wa Leicester City na Wolverhampton Wanderers, Ben Marshall, ameepuka kifungo cha jela baada ya kuvamia duka la vitu vya kale na kuliharibu vibaya akiwa katika hali ya ulevi. Tukio hilo lilitokea Februari 4 mwaka huu mjini Newport, Shropshire, ambapo Marshall mwenye umri wa miaka 35 alivamia duka la antiques lijulikanalo kama…
Klabu ya Simba SC leo Mei 7, 2026 wametangaza kuhamishia mechi zao za nyumbani katika Uwanja wa KMC Complex kwa michezo ijayo, wakiachana kwa muda na matumizi ya Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo ambao ulikuwa ukitumika hapo awali. Taarifa hiyo imetolewa kupitia kurasa rasmi za klabu hiyo, ikiwa ni sehemu ya mabadiliko ya matumizi ya…
Kule Uturuki kunatarajiwa kupamba moto ambapo timu nne bado zinapambana kupata nafasi ya kwenda kucheza mechi ya Fainali ya Europa League. Je nani na nani kuingia Fainali? Mbilinge mbilinge zitakuwa kwenye mechi hii ya Aston Villa dhidi ya Nottingham Forest kutoka kule Uingereza hawa wote wanajuana vyema kabisa. Hii ni mechi ambayo ni ya kisasi…
Mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Paris Saint-Germain (PSG), wamefanikiwa kutinga fainali ya michuano hiyo kwa mara ya pili mfululizo baada ya kuiondosha Bayern Munich kwa ushindi wa jumla wa mabao 6-5 katika hatua ya nusu fainali. Katika mchezo wa marudiano uliopigwa usiku wa kuamkia leo, PSG walitoka sare ya 1-1 dhidi ya Bayern…
Meridianbet Missions siyo tu mfumo wa kucheza, bali ni njia mpya ya kuifanya burudani yako ya kila siku iwe na mpangilio na maana. Hapa, kila mission inakuwa kama changamoto ndogo inayokupa sababu ya kujishughulisha na kujipima kwa njia ya kisasa na ya kufurahisha. Tofauti kubwa ya mfumo huu ni jinsi unavyokuingiza kwenye tabia ya kushiriki…
Simba SC 1-0 JKT Tanzania ni matokeo rasmi kwenye mchezo wa leo NBC Premier League, Mei 6, 2026, Uwanja wa Meja Jeneral Isahmuyo. Goli la ushindi limefungwa na kiungo mshambuliaji Clatous Chama dakika ya 54 limetosha kuipa timu hiyo pointi tatu muhimu. Mara baada ya mchezo kukamilika kiungo Chama amechaguliwa kuwa Man of the Match…
Klabu ya Yanga imemfuta kazi kocha Pedro Goncalves leo Mei 6, 2026 muda mfupi baada ya ushindi wa goli 1-0 dhidi ya KMC FC, Uwanja wa KMC Complex. Goli la ushindi kwenye mchezo wa leo limefungwa na Allen Okello dakika ya 65 limedumu mpaka mwisho wa mchezo huku kiungo huyo akichaguliwa kuwa mchezaji bora. Taarifa…
Klabu ya Young Africans SC imeendelea kujiimarisha kileleni mwa msimamo wa ligi baada ya kuibuka na ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya KMC FC katika mchezo uliopigwa kwenye dimba la KMC Complex. Bao pekee la mchezo lilifungwa dakika ya 65 na kiungo mshambuliaji Allan Okello maarufu kama “Star Boy”, ambaye aliendelea kuwa tegemeo kubwa…