Mashujaa FC 0-1 Azam FC, CRDB Federation Cup
Mashujaa FC 0-1 Azam FC, CRDB Federation Cup ni matokeo rasmi kwenye mchezo wa leo…
Mashujaa FC 0-1 Azam FC, CRDB Federation Cup ni matokeo rasmi kwenye mchezo wa leo Mei 17, 2026 hatua ya robo fainali CRDB Federation Cup. Matajiri wa Dar wameibuka na ushindi huo katika Uwanja wa Lake Tanganyika mwisho wa reli Kigoma kwa goli ambalo lilipachikwa dakika 45 za mwanzo. Anaitwa Idd Suleman maarufu kwa jina…
Simba SC 4-0 TRA United CRDB Federation Cup ni matokeo rasmi kwenye mchezo wa leo Mei 17, 2026 Uwanja wa KMC Complex hatua ya robo fainali. Matokeo haya yanaipa tiketi Simba SC kutinga hatua ya nusu fainali ambapo itakutana na Coastal Union iliyopata ushindi mbele ya Singida Black Stars kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkwakwani,…
Rais wa Simba SC, Mohammed Dewji maarufu kama Mo Dewji, leo amekutana na kufanya mazungumzo na wachezaji pamoja na benchi la ufundi la klabu hiyo ikiwa ni sehemu ya kuwapa hamasa kuelekea michezo ya mwisho ya msimu. Katika kikao hicho, Mo Dewji aliwataka wachezaji waendelee kupambana kwa kujituma ili kuhakikisha timu inamaliza msimu kwa mafanikio…
Mchezo wa kumaliza msimu Leo Mei 17, 2026 saa 17:00, Everton itakuwa mwenyeji wa Sunderland kwenye Uwanja mpya wa Hill Dickinson Stadium katika mchezo wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) wa mwisho wa msimu. Everton wapo nafasi ya 10 kwa pointi 49, wakati Sunderland wako nafasi ya 12 kwa pointi 48 . Kwa kuwa timu…
Klabu ya Chelsea FC ipo hatua za mwisho kumtangaza kocha Mhispania Xabi Alonso kuwa meneja mkuu mpya wa kudumu wa timu hiyo baada ya kufikiwa kwa makubaliano ya awali ya mkataba wa miaka minne. Alonso mwenye umri wa miaka 44 anatarajiwa kuchukua nafasi ya Liam Rosenior aliyefutwa kazi mwezi uliopita, huku taarifa rasmi zikitarajiwa kutolewa…
Nyota wa kimataifa wa Ureno, Cristiano Ronaldo, ameendelea kusubiri taji rasmi akiwa na Al Nassr FC baada ya klabu hiyo kupokea kipigo cha 1-0 dhidi ya Gamba Osaka katika fainali ya michuano ya AFC Champions League Two iliyopigwa kwenye dimba la Al Awwal Park mjini Riyadh, Saudi Arabia. Bao pekee la mchezo lilifungwa dakika ya…
Klabu ya USM Alger imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika (CAF Confederation Cup) kwa mara ya pili katika historia yao baada ya kuibuka na ushindi wa penalti 8-7 dhidi ya Zamalek SC kwenye mchezo wa fainali uliopigwa mjini Cairo. Mchezo huo ulimalizika kwa ushindi wa 1-0 kwa Zamalek ndani ya dakika 90 kupitia…
Wakati mwingine unahitaji mzunguko mmoja tu kuona maisha yanaanza kubadilika mbele ya macho yako. Kupitia Gates of Arabia kutoka Meridianbet, unaweza kupata burudani kali huku ukiwa na nafasi ya kushinda ushindi mkubwa unaotikisa. Huu ni mchezo unaokupa nafasi ya kushinda hadi mara 5,000 ya dau lako. Kila nafasi ya mchezo inakuweka kwenye msisimko mtamu wa…
Pazia la michuano ya CAF Confederation Cup msimu wa 2025/26 linafungwa rasmi leo Mei 16, 2026, kwa mchezo wa mkondo wa pili wa fainali utakaopigwa katika dimba la Cairo International Stadium nchini Misri. Mchezo huo unawakutanisha wenyeji Zamalek SC dhidi ya USM Alger, katika pambano la kusisimua litakaloanza majira ya saa 3:00 usiku. Huu ni…
Manchester United wamefikia makubaliano ya kumteua Michael Carrick kuwa kocha mkuu wa kudumu wa klabu hiyo baada ya kufanya vizuri tangu apewe jukumu la muda mwezi Januari. Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa, taratibu rasmi za kubadilishana mikataba zinaendelea kwa sasa huku tangazo rasmi likitarajiwa kutolewa ndani ya saa 48 zijazo. Hata hivyo, bado haijafahamika kama…
Fainali ya FA CUP inaenda kutimua vumbi wiekndi hii siku ya Jumamosi katika dimba la Wembley huku hili likiwa ni Kombe la heshima kwa timu hizi mbili Chelsea vs Man City pale Uingereza. Hii ni mechi ambayo inaenda kuwa ya moto zaidi kwani hili ni moja ya pambano la kihistoria ambalo linaenda kutokea kutokana mbinu…
JKT Tanzania vs Yanga SC ni leo Mei 16, 2026 hatua ya robo fainali kwa wababe wawili kusaka tiketi kutinga hatua ya nusu fainali. Mchezo huu unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Meja Jeneral Isahmuyo saa 12:30 jioni mshindi atakata tiketi moja kwa moja hatua inayofuata na atakayepoteza mwendo atakuwa amemaliza mpaka wakati ujao 2027. Kocha Mkuu…
Coastal Union yatisha Singida Black Stars kuelekea kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali CRDB Federation Cup leo Mei 16, 2026. Ni Coastal Union vs Siginda Black Stars mchezo mkali unaotarajiwa kuchezwa saa 10 jioni kwa wababe hawa kusaka tiketi kutinga hatua ya nusu fainali. Mabingwa watetezi wa taji hili ni Yanga SC ambao watashuka…
Kama tunavyojua, leo ni siku ya mapumziko, ni siku ya kutokutumia nguvu lakini haimaanishi kwamba usitafute pesa siku ya leo. Kuwa wa kisasa kwa kuzisaka pesa bila matumizi ya nguvu kwa kucheza Gates of Arabia kutoka Meridianbet. Huku unajipigia tu pesa bila kutoka ulipokaa, ni raundi chache tu ndani ya mchezo na unakua tajiri kwelikweli….
Leo Ijumaa Mei 15, 2026 saa 22:00,Aston Villa wanakaribisha Liverpool kwenye Villa Park. Hili si mchezo wa kawaida ni pambano la wazi la kuwania nafasi ya nne inayokwenda Ulaya. Shinikizo liko kwa timu zote mbili, lakini kwa njia tofauti. Liverpool wamezoea kukaa kwenye nafasi za juu kwa miaka mingi, wana wachezaji waliocheza fainali za Ligi…
JKT Tanzania vs Yanga SC ni kivumbi Mei 16, 2026 Uwanja wa Meja Jeneral Isahmuyo kwa wababe hawa wawili kusaka tiketi kutinga hatua ya nusu fainali. Mabingwa watetezi ni Yanga SC kwenye taji hili hivyo wataingia uwanjani wakiwa na hesabu za kutetea taji hilo huku JKT Tanzania wakiwa na hesabu kutinga hatua ya nusu fainali….
CRDB Cup ni hatua ya robo fainali ambapo timu zinatarajiwa kushuka uwanjani kusaka ushindi kutinga hatua ya nusu fainali. Haya ni mashindano mengine makubwa Bongo ambapo ni hatua ya mtoano mpaka fainali ukishinda unasonga mbele ukifungwa umeumaliza mwendo. Katika mashindano haya ambayo yapo hatua ya robo fainali mabingwa watetezi ni Yanga SC watakuwa kazini Mei…