Azerbaijan na Malta Kuumana Katika Mechi ya Kirafiki Leo
Leo Juni 5, 2026 saa 21:00 kwa saa za Afrika Mashariki, Uwanja wa Haladás Sportkomplexum…
Leo Juni 5, 2026 saa 21:00 kwa saa za Afrika Mashariki, Uwanja wa Haladás Sportkomplexum (Haladás Stadion) mjini Szombathely, Hungary utakuwa jukwaa la mchezo wa kirafiki kati ya Azerbaijan na Malta. Kwa vyovyote, timu zote mbili zimekwishafuta ndoto za kufuzu Kombe la Dunia 2026, hivyo mechi hii ni mwanzo wa mchakato wa kujenga timu kwa…
Liverpool imemtangaza rasmi Andoni Iraola kama kocha mkuu mpya wa klabu hiyo, akichukua nafasi ya Arne Slot ambaye aliondoka hivi karibuni kufuatia msimu mmoja tu tangu kushinda ubingwa wa 20 wa ligi kuu ya England. Kocha huyo wa zamani wa Bournemouth amesaini mkataba wa miaka miwili Anfield, hatua inayozua mjadala mkubwa miongoni mwa mashabiki wa…
Kombe la Dunia 2026 litakumbukwa si tu kwa ukubwa wake wa kushirikisha mataifa matatu, bali pia kwa ubunifu wa kisasa katika mpira utakaotumika. Mpira huo mpya unaitwa Adidas Trionda, na umebeba teknolojia, ubunifu wa kisanii, na maana ya kipekee inayowakilisha historia ya mashindano haya. Jina “Trionda” lina maana ya mataifa matatu Jina Trionda limetokana na…
SINGIDA Black Stars wamerejea mzigoni ikiwa ni maandalizi kuelekea mechi 5 ambazo zimesalia ndani ya NBC Premier League 2025/26. Timu hiyo inapambana kumaliza katika nafasi nne za juu huku ikifuatiliwa kwa ushindani mkubwa na JKT Tanzania ambayo ipo nafasi ya 5. Ukitazama msimamo unaonyesha Singida Black Stars nafasi ya 4 na pointi 41 inafuatiwa na…
Kundi la wawekezaji kutoka Qatar lililowahi kujaribu kuinunua Manchester United halijawasiliana tena na uongozi wa klabu hiyo, licha ya taarifa zinazoendelea kusambaa kuwa baadhi ya familia ya Glazer wanataka kuuza hisa zao. Kwa mujibu wa taarifa mbalimbali, hata kama kundi hilo lingefuatwa kwa ajili ya mazungumzo mapya, uwezekano wa kurejea mezani kuwasilisha ofa nyingine kwa…
Kama unapenda michezo ya kasino yenye mwonekano wa kuvutia, Meridian Icy Fruits imekuja kwa ajili yako. Meridianbet imeleta sloti hii maalum inayounganisha alama za matunda, kengele na Lucky 7 katika mazingira ya barafu yenye kuvutia. Muziki wake wa kipekee na picha za kisasa vinaunda hali ya burudani inayokufanya utake kuendelea kucheza. Kila mzunguko wa mchezo…
Michuano ya Kombe la Dunia inakupa nafasi nzuri ya wewe kutengeneza maisha yako. Timu kibao za kukupa ushindi zipo kwaajili yako. Je nani kuondoka na Kombe hili?. Pesa nyingi zinakungoja leo. Uingereza ni moja ya Taifa lingine ambalo linapewa nafasi ya tatu na wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet kushinda taji hili kwa ODDS 7.00 kwani…
Kocha Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge, ameripotiwa kusaini mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kuinoa klabu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara. Kwa mujibu wa taarifa hizo, Azam FC imefanikiwa kumbakisha kocha huyo licha ya kuwepo kwa tetesi kwamba alikuwa tayari amefikia makubaliano ya awali na Chama cha Soka cha Mali kwa ajili ya…
Kombe la Dunia la FIFA 2026 linatarajiwa kuandika historia mpya huku mataifa kadhaa yakirejea baada ya miongo mingi na mengine yakifuzu kwa mara ya kwanza kabisa kwenye mashindano hayo makubwa ya soka duniani. Mashindano hayo yatakayofanyika kuanzia Juni 11 hadi Julai 19, 2026 yatakuwa na muundo mpya uliopanuliwa, jambo lililofungua nafasi kwa timu nyingi zaidi…
Mechi za kirafiki za Tanzania zilizokuwa zichezwe nchini Morocco dhidi ya Uganda na Rwanda zimeripotiwa kufutwa kutokana na changamoto za upangaji wa ratiba na maandalizi ya timu hizo. Awali, Taifa Stars ilikuwa imepangwa kucheza dhidi ya Uganda Juni 5, 2026 na Rwanda Juni 9, 2026 katika michezo ya maandalizi ya kimataifa nchini Morocco.
Books of Egypt ni moja ya michezo inayowapa wachezaji nafasi ya kufurahia burudani ya kiwango cha juu kupitia Meridianbet. Ikiwa unapenda michezo yenye mandhari ya kihistoria na fursa za ushindi, huu ni mchezo ambao hutakiwi kuukosa. Mchezo huu umejaa alama maalum zinazoweza kubadilisha matokeo ya kawaida kuwa ushindi wa kuvutia. Kitabu cha mafarao ndicho nyota…
YANGA SC inaongoza ligi na pointi 60 baada ya mechi 25, safu ya ushambuliaji imefunga magoli 58 na kinara ni Allan Okello mwenye magoli 11. Hii hapa orodha ya wafungaji magoli 2025/26 NBC Premier Mchezaji Magoli Asisti Allan Okello 11 7 Prince Dube 9 3 Mudathir Yahya 8 2 Pacom Zouzoua 7 4 Laurindo Depu…
Kiungo wa Serengeti Boys, Dismas Athanasi, ameibuka mfungaji bora wa michuano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa vijana chini ya miaka 17 (AFCON U-17) baada ya kufunga jumla ya mabao matatu katika mashindano hayo. Athanasi amefanya vyema na kuisaidia Tanzania kumaliza katika nafasi ya pili, baada ya Serengeti Boys kupoteza fainali kwa mikwaju ya penalti…
Mabingwa watetezi wa NBC Premier League na CRDB Federation Cup Juni wana mechi 6 za kazi kusaka ushindi ndani ya uwanja. Ni Yanga SC ambayo inatetea taji la CRDB Federation Cup ipo hatua ya nusu fainali. Kwenye ligi wapo nafasi ya kwanza na pointi 60. Hizi hapa mechi zinazofuata kwenye ratiba 2025/26 namna hii:- Juni…
KIKOSI cha Simba SC tayari kimeanza maandalizi ya mechi zinazofuata ndani ya NBC Premier League 2025/26 mara baada ya mapumziko mafupi. Hii hapa ratiba kwa mechi zinazofuata kwenye ligi. Ikumbukwe kwamba timu hiyo ipo nafasi ya pili imekusanya jumla ya pointi 58 baada ya mechi 25. 14 Juni 2026 Simba SC vs Pamba Jiji FC…
Afrika imeweka rekodi mpya ya kihistoria baada ya kupata wawakilishi 10 katika Kombe la Dunia la FIFA 2026, litakalofanyika Marekani, Canada na Mexico kuanzia Juni 11, 2026. Nchi zilizofuzu ni pamoja na Senegal, Morocco, Misri, Ghana, Algeria, Tunisia, Ivory Coast, Cape Verde, Kongo (DRC) na Afrika Kusini. Hii ni mara ya kwanza katika historia ya…
Timu ya Taifa ya Tanzania ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti Boys, imekosa ubingwa wa Kombe la Mataifa Afrika kwa vijana wa umri huo (AFCON U-17) baada ya kufungwa kwa mikwaju ya penalti 4-2 dhidi ya Senegal katika mchezo wa fainali uliopigwa usiku wa kuamkia leo. Mchezo huo ulimalizika kwa sare ya mabao 1-1…