Chelsea Yakamilisha Usajili wa Valentin Barco kwa Mkataba wa Miaka Saba
Klabu ya Chelsea FC imekamilisha usajili wa kiungo wa RC Strasbourg Alsace, Valentin Barco, kwa…
Klabu ya Chelsea FC imekamilisha usajili wa kiungo wa RC Strasbourg Alsace, Valentin Barco, kwa mkataba wa muda mrefu wa miaka saba. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 amekuwa usajili wa sita wa Chelsea katika dirisha hili la majira ya joto, baada ya klabu hiyo pia kuwasajili Morgan Rogers, Danny Welbeck, Emmanuel Emegha, Maxence…
Wanachama wa Yanga wamewachagua wajumbe watano wapya wa Kamati ya Utendaji katika Mkutano Mkuu wa klabu hiyo uliofanyika katika Ukumbi wa SuperDome, Masaki jijini Dar es Salaam. Waliochaguliwa kushika nafasi hizo ni Yanga Makaga, Alex Ngai, Julius Koyi, Munir Said na Fahd Afif, baada ya kuibuka washindi katika uchaguzi uliofanyika wakati wa mkutano huo. Uchaguzi…
Mwenyekiti wa Simba Sports Club, Murtaza Mangungu, amesema uteuzi wa baadhi ya wajumbe wapya wa uongozi wa klabu hiyo ulifanyika baada ya majadiliano kati yake na mfadhili wa klabu, Mohammed Dewji maarufu kama Mo Dewji. Akizungumza leo Agosti 3, 2026 katika kipindi cha Crown, Mangungu alisema majina ya wajumbe waliochaguliwa yalipendekezwa kwa ushirikiano kati yake…
Safari mpya imeanza ndani ya Meridianbet kasino baada ya uzinduzi wa mchezo mpya wa Jungle Temple kutoka Expanse. Kuanzia tarehe 29 Julai 2026, wapenzi wa sloti sasa wana nafasi ya kuingia kwenye ulimwengu wa mahekalu ya kale na misitu yenye siri nyingi, wakisaka ushindi kupitia kilaraundi wanayocheza. Ni burudani mpya inayochanganya mandhari ya kuvutia na…
Katika zile Jackpot ambazo unazijua basi kuna hii ya Meridianbet ambayo ni Diamond Jackpot ya Bilioni 2. Kwa Jero tuu unaweza ukabashiri mechi zako 14 na ukajiweka kwenye washindi. Kwenye ukuaji wa Sayansi na Teknolojia mambo mengi yamerahisishwa sana ikiwemo kubashiri ukiwa na siku yako Ndipo wakali wa ubashiri Meridianbet wakaamua sasa waje na Jackpot…
Rais wa FIFA, Gianni Infantino, amepata pigo kubwa kisiasa baada ya mpango wake wa kuanzisha kampuni ya kibiashara ya kusimamia haki za mashindano ya FIFA, ikiwemo Kombe la Dunia, kushindikana kufuatia upinzani mkali kutoka kwa wadau mbalimbali wa soka duniani. Katika taarifa iliyotolewa Ijumaa, FIFA ilithibitisha kuwa imeondoa rasmi pendekezo hilo baada ya kuzua mgawanyiko…
Hatimaye kile ambacho mashabiki wa Yanga SC walikuwa wakikisubiri kwa hamu kimetimia baada ya klabu hiyo kumtambulisha rasmi kiungo mkabaji wa kimataifa kutoka DR Congo, Fred Duval Ngoma, kama usajili mpya wa kuziba nafasi ya namba 6 ndani ya kikosi cha Wananchi. Utambulisho huo ulifanywa na Rais wa Yanga SC, Hersi Said, huku ukihitimisha mjadala…
Rais wa FIFA, Gianni Infantino, anakabiliwa na shinikizo kubwa la kisiasa ndani ya soka la dunia kufuatia kushindwa kwa mpango wake wa kuanzisha kampuni ya kibiashara ambayo ingeuza sehemu ya hisa za mashindano ya FIFA kwa wawekezaji binafsi. Mpango huo ulizua upinzani mkubwa kutoka kwa mashirikisho mbalimbali ya soka duniani, huku UEFA ikiongoza upinzani huo…
Je unajua sikuhizi kubashiri kuna faida nyingi sana?. Mojawapo ni kurejeshewa pesa yako kwa 100% ambapo ukifata masharti na vigezo vya Meridianbet. Tengeneza jamvi lako leo na uwe mshindi. Meridianbet inawafahamisha wateja wake kuhusu promosheni maalum ya 100% Cash Back ambayo inalenga kuwapa wachezaji fursa ya kupata thamani zaidi wanaposhiriki katika michezo teule ya kubashiri….
Burudani ya kasino imepanda kiwango Meridianbet baada ya kuzinduliwa rasmi kwa Expanse Mega Cash Race, promosheni mpya inayowapa mashabiki wa sloti nafasi ya kushindania zawadi yenye thamani ya TZS 6,000,000. Hizi ni mbio za ushindi zinazowakutanisha wachezaji kutoka sehemu mbalimbali, kila mmoja akipambana kupanda nafasi na kujihakikishia sehemu ya kitita hicho kikubwa. Kama unapenda ushindani…
Leo, Jumamosi Agosti 1, 2026, uwanja wa Strawberry Arena jijini Solna, Stockholm nchini Uswidi, utakuwa jukwaa la mkutano kati ya Manchester United na Atletico Madrid katika mchezo wa kirafiki wa maandalizi ya msimu mpya. Mchezo huu utaanza saa 16:00 (saa za Afrika Mashariki), sawa na saa 15:00 CET. Ni mojawapo ya michezo mikubwa ya ziara…
Hatimaye siku iliyokuwa ikisubiriwa na mashabiki wa UFC imewadia. Usiku wa leo Belgrade Arena nchini Serbia itageuka kitovu cha michezo ya mapigano duniani wakati UFC Fight Night Belgrade ikiwakutanisha wapiganaji wenye kiu ya ushindi mbele ya mashabiki kutoka kila kona ya dunia. Kwa upande wa wabashiri, huu ni usiku wa fursa nyingi kupitia Meridianbet, kampuni…
Aliyekuwa mshambuliaji wa Young Africans SC, David Molinga maarufu kama ‘Falcao’, ameanza ukurasa mpya katika maisha yake ya soka baada ya kuteuliwa rasmi kuwa Rais wa Klabu ya AC Bandal kwa kipindi cha miaka mitano. AC Bandal, yenye makao yake katika wilaya ya Bandalungwa jijini Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), ni klabu inayoshiriki…
Bournemouth imefikia makubaliano na Benfica ya kumsajili beki wa kati wa kimataifa wa Ureno, Antonio Silva, katika dili lenye thamani ya hadi pauni milioni 26. Silva, mwenye umri wa miaka 22, anatarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya baada ya klabu hizo kukubaliana ada ya awali ya pauni milioni 21.4 pamoja na nyongeza ya hadi pauni milioni…
Kuna mechi za kirafiki za kawaida, na kuna mechi zenye hadithi nyuma yake mechi ya Ijumaa hii kati ya Birmingham City na FC Barcelona ni ya aina ya pili. Itachezwa leo tarehe 31 Julai 2026 katika uwanja wa St. Andrew’s @ Knighthead Park, saa 21:45 CEST (19:45 kwa saa za Uingereza), na tayari imeshavuta hisia…
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuwa mchezo wa Ngao ya Jamii kwa msimu wa 2026/27 utachezwa katika Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Mchezo huo wa ufunguzi wa msimu mpya wa soka nchini Tanzania utawakutanisha watani wa jadi, Young Africans SC na Simba SC, katika pambano linalotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Kwa mujibu wa…
Yanga SC inaendelea kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu mpya, huku ikiwa hatua za mwisho kukamilisha usajili wa beki wa kati wa klabu ya Golden Arrows, raia wa Ivory Coast, Oumar Farouk Comara (25). Kwa mujibu wa taarifa zilizopo, makubaliano binafsi kati ya mchezaji huyo na Yanga tayari yamefikiwa. Kinachosalia kwa sasa ni klabu hiyo ya…