Tottenham yamsajili Savinho kutoka Manchester City kwa £75 milioni

Tottenham Hotspur imekamilisha usajili wa winga wa Brazil, Savinho, kutoka Manchester City kwa ada ya awali ya £75 milioni, huku kiasi hicho kikitarajiwa kufikia £85 milioni iwapo vigezo vya nyongeza vitatimia. Savinho, mwenye umri wa miaka 22, ambaye sasa ametangaza kutumia jina Sávio, amesaini mkataba wa muda mrefu na Tottenham katika usajili unaoendelea kuonyesha nia…

Read More

Yanga SC 4-0 JKT Tanzania

Yanga SC imeibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo uliochezwa leo, Agosti 24, 2026, Uwanja wa KMC Complex,Mwenge, Dar. Ni Albert Kangwanda alifungua ukurasa wa mabao dakika ya 29,Ibrahim Bacca aliongeza bao la pili dakika ya 34, Chadrack Boka alifunga dakika ya 39. Mpaka dakika 45 za mwanzo zinakamilika ubao…

Read More

Non-Stop Blasts & Races: Cheza na Uingie Kwenye Nafasi Mpya za Kushinda

Uwanja wa zawadi umefunguliwa na Meridianbet imekuja na kitu kikubwa. Non-Stop Blasts & Races inatoa jumla ya TZS 75,000,000,000 katika zawadi, huku wachezaji wakipewa nafasi ya kushiriki mashindano mbalimbali na kukutana na zawadi zisizotarajiwa kupitia michezo iliyochaguliwa ya Playson. Mwanzo wa burudani unapatikana kwenye Power Blasts, ambapo bahati inaweza kukufuata ndani ya mchezo. Wachezaji wanaoshiriki…

Read More

Amka Na Mystic Guardians, Safari Ya Kumbukumbu Za Kale

Kuna wakati burudani inahitaji kitu zaidi ya mchezo wa kawaida, inahitajika safari inayokuvuta ndani yake. Hilo ndilo linalokuja kupitia Mystic Guardians, mchezo mpya kutoka Expanse unaopatikana Meridianbet. Ukiwa umejengwa kwenye msingi wa walinzi wa kale, nguvu za ajabu na ulimwengu wa mafumbo, mchezo huu unakualika kuchunguza kila kinachojificha nyuma yake. Mara tu unapochukua hatua kuingia…

Read More