Yanga yavuka mipaka, yamtumia Fabrizio Romano kutambulisha jezi

Klabu ya Yanga imemtumia mwandishi maarufu wa habari za michezo duniani, hususan taarifa za usajili wa wachezaji, Fabrizio Romano, kutambulisha jezi zake zitakazotumika katika michuano ya CAF Champions League msimu wa 2026/2027. Romano, raia wa Italia, amejizolea umaarufu mkubwa duniani kupitia taarifa zake za usajili wa wachezaji na kauli yake maarufu “Here We Go”. Katika…

Read More

Ukikosa Namba Zote Usichane Tiketi, Lucky Loser Ipo

Umechagua namba zako sita, ukasubiri matokeo kwa hamu, lakini mwisho wa siku namba zote zikakataa kuingia? Usikimbilie kuhesabu hasara. Kwenye Win&Go ya Meridianbet, kuna Lucky Loser, chaguo linaloweza kufanya kile kilichoonekana kama kushindwa kugeuka kuwa ushindi. Hii ni fursa inayoongeza msisimko kwa sababu hata tiketi ambayo haikufanya ulivyotarajia bado inaweza kuwa na habari njema. Lucky…

Read More

Uganda U23 Yaondolewa AFCON 2027 Kwa Kukosa Fedha

Timu ya taifa ya Uganda ya vijana chini ya miaka 23, maarufu kama Kobs, imeondolewa kwenye mashindano ya kuwania kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Vijana chini ya miaka 23 (AFCON U23) 2027. Uamuzi huo umefikiwa baada ya Shirikisho la Soka Uganda (FUFA) kushindwa kupata fedha za kutosha kugharamia ushiriki wa timu hiyo katika…

Read More

Tanzanite Queens kukabiliana na Brazil, England na Canada Kombe la Dunia U-20

Timu ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania chini ya umri wa miaka 20, Tanzanite Queens, imeondoka nchini kuelekea Poland tayari kwa fainali za Kombe la Dunia la FIFA U-20, zinazotarajiwa kuanza Septemba 5, 2026. Tanzanite Queens imepangwa katika Kundi B, ambalo linaonekana kuwa na ushindani mkubwa baada ya Tanzania kukutana na mataifa yenye historia kubwa…

Read More

Gates of Olympia, Ladies Days na Super Heli Zawa Sehemu ya Meridianbet Missions

Mashindano ya zawadi yamepata sura mpya kupitia Meridianbet Missions, mfumo unaowapa wachezaji nafasi ya kufanya kila dau kuwa sehemu ya safari ya kukusanya alama. Kwa mashabiki wa sloti na michezo ya bahati nasibu, sasa kuna zaidi ya kusubiri matokeo ya mchezo, kuna misheni za kukamilisha, alama za kukusanya na zawadi za kulenga. Ni safari inayoongeza…

Read More

Matokeo ya mzunguko wa 4 NBC Premier League

Haya ni matokeo ya mechi za mzunguko wa 4 ndani ya NBC Premeir League 2026/27 Mashujaa FC 2-1 Kagera Sugar, Uwanja wa Lake Tanganyika, Agosti 27,2026 Wafungaji Mishano Daud dakika ya 64 na Haroun Lyawatana dakika ya 72 kwa Mashujaa FC na Mudathir Said dakika ya 38. Man of The Match Mishamo Michael wa Mashujaa…

Read More

Yamefungwa mabao 83 NBC Premier League 2026/27

Kivumbi kinaendelea ndani ya NBC Premier League kwa timu kusaka pointi 3 uwanjani. Nyavu zimekuwa zikitikiswa huku makipa wakiwa na jukumu kuzuia michomo kutoka kwa wapinzani. Ni wazi kwamba mzunguko mmoja zinachezwa jumla ya mechi 8 katika viwanja tofauti huku zikirushwa mubashara Azam TV. Ikiwa ni mzunguko wa 4 yamefungwa jumla ya mabao 83. Wastani…

Read More