Haaland, Guardiola na Maldini Washuhudia Harusi ya Donnarumma Italia
Kipa wa Manchester City na nahodha wa timu ya taifa ya Italia, Gianluigi Donnarumma,…
Kipa wa Manchester City na nahodha wa timu ya taifa ya Italia, Gianluigi Donnarumma, amefunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu Alessia Elefante katika sherehe kubwa iliyofanyika nchini Italia. Donnarumma (27) alimuoa Alessia katika kanisa la Chiesa Madre di San Giorgio Martire, lililopo Locorotondo, Italia, huku hafla hiyo ikihudhuriwa na mastaa mbalimbali wa…
Rais wa Young Africans SC, Injinia Hersi Said, amefichua kuwa jezi rasmi za msimu mpya za klabu hiyo bado hazijaonyeshwa, akisema zile zilizowasilishwa ni maalum kwa ajili ya mazoezi ya wachezaji pekee. Hersi amesema mashabiki wa Yanga wanapaswa kusubiri kwa hamu uzinduzi wa jezi rasmi za msimu mpya, akisisitiza kuwa zitakuwa na ubora wa hali…
Mechi hii ina umuhimu maalum kwa mwenyeji SV Wehen Wiesbaden, kwani inafanyika kama sehemu ya sherehe za miaka 100 ya klabu hiyo, huku FC Bayern wakiwa wageni katika tukio hili la kihistoria. Mechi hiyo itaonyeshwa moja kwa moja kupitia mtandao rasmi wa video wa Bayern, FC Bayern TV PLUS. Kwa timu ndogo kama Wehen Wiesbaden,…
Young Africans SC imeendelea kuimarisha kikosi chake kwa ajili ya msimu wa 2026/27 kwa kutambulisha rasmi wachezaji watatu wapya wenye uzoefu mkubwa wa kimataifa. Hizi ni rekodi zao: 🇫🇷 Cheikh Ibrahima Touré (29) – Mshambuliaji Yanga imemtambulisha mshambuliaji Cheikh Ibrahima Touré, raia wa Ufaransa, akitokea Al-Jabalain FC ya Saudi Arabia. Touré ni mshambuliaji mwenye uwezo…
Rais wa Young Africans SC (Yanga), Injinia Hersi Said, amesema msimu wa 2025/26 umekuwa wa mafanikio makubwa kwa klabu hiyo baada ya kutwaa jumla ya makombe manne, huku akiweka bayana mipango ya kuifanya timu kuwa imara zaidi kuelekea msimu wa 2026/27. Akizungumza na wanachama na mashabiki wa Yanga kupitia Azam TV na Yanga TV, Hersi…
Ni miaka 25 ya historia, na Meridianbet imeamua kuandika ukurasa mpya kwa staili ya kipekee. Kampuni hii kongwe ya ubashiri imechagua kusherehekea mafanikio yake kwa kudhamini pambano la UFC Fight Night Belgrade, tukio la kwanza kabisa kufanyika Serbia mnamo tarehe 01 mwezi wa 08. Hili ni tamasha la nguvu linalounganisha michezo, burudani na ubashiri kwa…
Zaidi ya kuwa mchezo wa kawaida wa maandalizi, mkutano wa Barcelona dhidi ya CE Europa Ijumaa hii ni fursa ya kwanza kwa kocha Hansi Flick kuanza kujenga mfumo wake wa mchezo kwa msimu wa 2026/27. Baada ya msimu uliopita kumalizika kwa mafanikio makubwa, sasa Flick anakabiliwa na changamoto ya kudumisha kiwango hicho huku akijenga kikosi…
Mabingwa wa Ligi Kuu England, Arsenal, wanajiandaa kuwasilisha ofa ya pauni milioni 70 kwa ajili ya kumsajili nahodha wa Newcastle United, Bruno Guimarães, katika dirisha hili la usajili. Kiungo huyo wa kimataifa wa Brazil mwenye umri wa miaka 28 anaripotiwa kuwa miongoni mwa wachezaji wanaopewa kipaumbele na kocha wa Arsenal, huku ikielezwa kuwa naye yuko…
Meridianbet inaleta burudani ya kiwango kipya kupitia Super Heli Premium, mchezo unaochanganya kasi, ubunifu na msisimko wa kipekee kwa wapenzi wa michezo ya kisasa. Huu ni uzoefu unaobadilisha namna ya kufurahia burudani ya kidijitali kwa mtazamo mpya kabisa. Kila mzunguko unapoanza, helikopta huonekana ikipaa angani, ikiongeza hamasa ya kuona hadi wapi safari ya ushindi inaweza…
Tarehe 1 Agosti 2026 itaingia kwenye historia ya michezo ya mapambano wakati UFC itakapofanya tukio lake la kwanza kabisa nchini Serbia. Katika tukio hilo la kipekee, Meridianbet itashiriki kama Mshirika Rasmi, ikiadhimisha miaka 25 tangu kuanzishwa kwake nchini humo. Meridianbet ilianzishwa nchini Serbia mwaka 2001 na imekua kuwa moja ya kampuni zinazoongoza katika sekta ya…
Klabu ya Inter Miami imetangaza rasmi kumsajili kiungo mkongwe wa Brazil, Casemiro, kama mchezaji huru baada ya kuondoka Manchester United mwishoni mwa msimu uliopita. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 34 amesaini mkataba wa kuitumikia Inter Miami hadi mwisho wa msimu wa MLS wa mwaka 2027, ukiwa na kipengele cha kuongeza hadi Juni 2029. Hata…
Zaidi ya matokeo ya uwanjani, mechi ya leo kati ya Dynamo Kyiv na PAOK inabeba ujumbe mzito wa kihistoria na kijamii kwa Ukraine. Tangu vita kuanza mwaka 2022, klabu za Ukraine hazijaweza kuchezea mechi za nyumbani nchini mwao kutokana na hatari za kiusalama na vikwazo vya UEFA. Dynamo Kyiv, mojawapo ya klabu kongwe na maarufu…
Kama unapenda kasino yenye mzuka, msisimko na nafasi kubwa ya kushinda, basi Drops & Wins ya Pragmatic Play ndani ya Meridianbet ndiyo mchezo sahihi kwako. Hapa kila mchezo una maana na kila dau linaweza kukupeleka hatua nyingine ya maisha. Kuanza ni rahisi sana. Jisajili kupitia Meridianbet, ingia kasino na uchague game za Pragmatic Play zinazokubamba…
Azam FC imekamilisha usajili wa kiungo Donovan Makoma rai awa Ufaransa kuwa katika kikosi hicho kuelekea msimu mpya wa 2026/27. Nyota huyu amesajiliwa akitokea Klabu ya Birkirkara ya Ligi Kuu Malta ikiwa ni mwendelezo wa kuongoeza nguvu kwenye kikosi hicho. Wengine ambao wametambulishwa Azam FC ni John Mano raia wa Sudan alitambulishwa Julai 21,2026 akitokea…
Klabu ya Wydad Athletic Club ya Morocco leo Julai 22, 2026 imetoa taarifa rasmi ikikanusha madai yaliyotolewa na Simba SC kuhusu hali ya kimkataba ya kiungo Selemani Mwalimu, ikisisitiza kuwa taarifa hiyo haiakisi ukweli wa mkataba wa mchezaji huyo. Hatua ya Wydad imekuja baada ya Simba SC kuchapisha picha ikimuonyesha Selemani Mwalimu akisaini mkataba, ikiambatana…
Katika kuendeleza juhudi za Meridianbet za kurejesha kwa jamii, awamu hii Ruangwa Queens walipokea zawadi ya kipekee kutoka katika kampuni hiyo, na mitaa ya Mkoa wa Lindi ikashuhudia furaha isiyo kifani. Jezi mpya na mipira mipya vilikabidhiwa kwa timu hiyo, tukio lililogeuka kuwa sherehe ya michezo na mshikamano. Meridianbet walijitokeza kama nguzo ya matumaini, wakiendelea…
Mashabiki wa mpira wa miguu barani Ulaya watashuhudia mchezo wa kuvutia kati ya Spartak Trnava na CSKA 1948 Sofia, Jumatano tarehe 22 Julai, saa 21:30 kwa saa za Afrika Mashariki. Mchezo huu ni sehemu ya leg ya kwanza ya duru ya pili ya kufuzu Conference League, na utafanyika katika uwanja wa nyumbani wa Trnava, City…