Singida Black Stars 1-2 Simba SC

Mchezo umekamilika kwa wababe wawili katika msako wa pointi 3 muhimu ubao wa Uwanja wa Airtel umesoma Singida Black Stars 1-2 Simba SC. Wenyeji Singida Black Stars wamepata bao kupitia kwa nyota Shekhan Ibrahim ilikuwa dakika ya 23. Kwa upande wa Simba SC ambao walikuwa ugenini wamepata mabao kupitia kwa kiungo mshambuliaji Clatous Chama dakika…

Read More

NBC Premier League ratiba ya wiki ya 3

MZUNGUKO wa 3 msimu wa 2026/27  unaendelea na hii hapa ratiba ya wiki ya 3 Singida Black Stars vs Simba SC, Agosti 22,2026, Uwanja wa Airtel Geita Gold vs Kagera Sugar, Agosti 22,2026, Uwanja wa Bukombe Mbeya City vs Mashujaa FC, Uwanja wa Sokoine, Agosti 23,2026 Azam FC vs Pamba Jiji FC, Uwanja wa Azam…

Read More

Singida Black Stars vs Simba SC NBC Premier League

Singida Black Stars vs Simba SC NBC Premier League ni mchezo unaofuata kwa wababe hawa unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Airtel, Singida. Huu unakuwa ni mchezo wa tatu kwa wababe hawa kushuka uwanjani kusaka pointi 3 muhimu msimu mpya 2026/27 ambao umeanza kwa kasi. Simba SC itaingia uwanjani bila huduma ya Duchu ambaye alionyeshwa kadi nyekundu…

Read More

Chicken Hot Run Yaanza Kutamba Meridianbet, Je Utafika Mbali?

Uko tayari kwa mbio ambazo hazikupi nafasi ya kulegea? Chicken Hot Run imewasili Meridianbet ikiwa na burudani ya kasi na changamoto inayoweza kukuweka kwenye presha kila unapopiga hatua. Mchezo huu uliotengenezwa na Expanse Studios unakupeleka kwenye safari ya kukimbia, kukwepa vikwazo na kukusanya odds huku ukijaribu kuona ni umbali gani unaweza kufika. Hapa kila sekunde…

Read More

Yanga SC mafia yanasa faili la Coastal Union

BENCHI la ufundi la Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Manqoba Mngqithi limefanya ‘umafia’ kwa kunasa faili zima la wapinzani wao Coastal Union kabla ya kuwakabili leo Agosti 20,2026 Uwanja wa KMC Complex.Huu utakuwa ni mchezo wa pili kwa mabingwa watetezi wa ligi kushuka uwanjani, wamekusanya pointi 3 baada ya ushindi dhidi ya Namungo FC…

Read More