Fenerbahce yaenda Austria kwa mechi ya marudiano dhidi ya Sturm Graz

Leo Jumanne usiku, Sturm Graz watajaribu kufanya lisilowezekana kuwa la kawaida wanapowakaribisha Fenerbahce katika uwanja wao wa Merkur Arena, wakiwa na jukumu zito la kuzibua nakisi ya mabao mawili kwa sifuri waliyoachiwa na wageni katika mechi ya kwanza. Mechi hiyo ya kwanza huko Istanbul iliisha 2-0 kwa ushindi wa Fenerbahce, ambapo Anderson Talisca aliifungua dakika…

Read More

Aliyetibua shughuli ya Yanga SC atajwa Simba SC

MABOSI wa Simba SC wanatajwa kufikiria kuanza mazungumzo na muuaji wa Yanga SC,Tonny Talasi aliyefunga mabao 2 katika Wiki ya Mwananchi, Uwanja wa Uhuru. Simba SC imepishana na mshambuliaji iliyekuwa naye msimu wa 2025/26, Seleman Mwalimu ambaye ametambulishwa kwa watani zao wa jadi Yanga SC tayari kwa changamoto mpya msimu wa 2026/27. Taarifa zinaeleza kuwa…

Read More

Seleman Mwalimu atambulishwa Yanga SC rasmi

RASMI Agosti 11,2026 Seleman Mwalimu ametambulishwa ndani ya kikosi cha Yanga SC akitokea kikosi cha Wydad Casablanca kwa mkopo. Ikumbukwe kwamba mchezaji huyu msimu wa 2025/26 alikuwa ndani ya kikosi cha Simba SC ambapo alifunga jumla mabao 9 katika NBC Premier League. Mwalimu anakumbukwa kuwa miongoni mwa wachezaji aliyefunga goli la ushindi kwenye mchezo wa…

Read More

Mourinho Afichua Alisaini Mkataba wa Kuchukua Manchester United Baada ya Sir Alex

JOSE Mourinho amefichua kuwa aliwahi kusaini makubaliano ya kuchukua nafasi ya ukocha wa Manchester United kutoka kwa Sir Alex Ferguson mwaka 2013, lakini akabadilisha uamuzi baada ya kutoa ahadi ya kurejea Chelsea. Mourinho amefichua siri hiyo kupitia makala yake mpya ya Netflix, akieleza kuwa alikubaliana kuichukua Manchester United baada ya kuondoka Real Madrid. “Nilikwenda Chelsea…

Read More

Simba SC yawasili Zanzibar Agosti 10,2026

RASMI kikosi cha Simba SC Agosti 10,2026 kimewasili Zanzibar kwa maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga SC. Agosti 12,2026 mchezo huo unatarajiwa kuchezwa kwa watani hawa wa jadi kuwa uwanjani kupambania taji ya Ngao ya Jamii. Miongoni mwa wachezaji waliopo katika msafara ni Ibrahim Doumbia, Rushine De Reuck, Ellie…

Read More

Ghalib Said Mohamed Ahudhuria Yanga Day Uwanja wa Uhuru

  Rais wa GSM Group, Ghalib Said Mohamed, amehudhuria hafla ya Yanga Day inayofanyika leo katika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Ghalib aliwasili uwanjani na kupokelewa kwa hamasa na viongozi pamoja na mashabiki wa Yanga waliojitokeza kushuhudia tukio hilo. Mahudhurio yake yanaongeza uzito katika hafla hiyo ambayo imewakutanisha viongozi, wachezaji, benchi la ufundi na…

Read More

FIFA Yapinga Kampeni ya Kumng’oa Infantino, Yaita Madai Hayo “Uzushi”

Zurich.Shirikisho la Kimataifa la Soka FIFA limekosoa vikali kile ilichokiita kuwa ni juhudi zinazoendelea za “kulidhoofisha” shirikisho hilo pamoja na Rais wake, Gianni Infantino. Kauli hiyo ya FIFA imekuja baada ya ripoti iliyochapishwa na Daily Telegraph kudai kuwa mwanamke anayedaiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Infantino alilipwa fedha za kuachishwa kazi na UEFA baada…

Read More