Azam FC yatambulisha nyota mpya

Azam FC imekamilisha usajili wa kiungo Donovan Makoma rai awa Ufaransa kuwa katika kikosi hicho kuelekea msimu mpya wa 2026/27. Nyota huyu amesajiliwa akitokea Klabu ya Birkirkara ya Ligi Kuu Malta ikiwa ni mwendelezo wa kuongoeza nguvu kwenye kikosi hicho. Wengine ambao wametambulishwa Azam FC ni John Mano raia wa Sudan alitambulishwa Julai 21,2026 akitokea…

Read More

Wydad Yakanusha Taarifa za Simba Kuhusu Suleiman Mwalimu

Klabu ya Wydad Athletic Club ya Morocco leo Julai 22, 2026 imetoa taarifa rasmi ikikanusha madai yaliyotolewa na Simba SC kuhusu hali ya kimkataba ya kiungo Selemani Mwalimu, ikisisitiza kuwa taarifa hiyo haiakisi ukweli wa mkataba wa mchezaji huyo. Hatua ya Wydad imekuja baada ya Simba SC kuchapisha picha ikimuonyesha Selemani Mwalimu akisaini mkataba, ikiambatana…

Read More

Yanga Yawatambulisha Hussein Mihambo na Abdulnassir ‘Gamal’ Kutoka Mashujaa FC

Klabu ya Young Africans SC imeendelea kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu mpya baada ya kutangaza rasmi usajili wa wachezaji wawili kutoka Mashujaa FC ya Kigoma. Yanga imemaliza usajili wa mshambuliaji Hussein Mihambo, ambaye anajiunga na mabingwa hao wa Tanzania Bara kwa lengo la kuongeza nguvu kwenye safu ya ushambuliaji kufuatia kuondoka kwa mshambuliaji Prince Mpumelelo…

Read More

Meridianbet Yaandika Historia, Yawa Mshirika Rasmi wa UFC Fight Night Serbia

Kwa mara ya kwanza, UFC inaleta mapigano yake nchini Serbia, na Meridianbet imepewa heshima ya kipekee kuwa mshirika rasmi wa tukio hilo. Agosti 1, 2026, Belgrade Arena itakuwa uwanja wa historia, na mashabiki wa michezo ya kupigana watashuhudia tukio lisilosahaulika. Meridianbet, iliyoanzishwa Serbia mwaka 2001, imekuwa bega kwa bega na michezo ya mapigano kwa miaka…

Read More

Breaking: Yanga SC yatambulisha mshambuliaji mpya

RASMI mabingwa watetezi wa NBC Premier League wametambulisha mshambuliaji mpya ikiwa ni maandalizi kuelekea msimu wa 2026/27 unaotarajiwa kuwa na ushindani mkali. Nyota huyu anakuwa wa pili kutambulishwa kutoka kwa watoto wa Jangwani ambao wamebainisha kwamba wamekamilisha usajili wa nyota wapya zaidi ya wawili. Huyu anaitwa Hussen Mihambo aliyekuwa anakipiga ndani ya kikosi cha Mashujaa…

Read More

Simba SC yatambulisha wapya wawili

KUELEKEA msimu wa 2026/27 Simba SC imetambulisha nyota wapya wawili ambao imekamilisha usajili ikiwa ni maandalizi kwa mechi zijazo za ushindani. Simba SC itafungua mchezo wa kwanza wa NBC Premier League kwa kumenyana na Kagera Sugar , Agosti 16,2026 ikiwa ni mchezo wa kwanza kwenye msimu mpya. Wachezaji wote wawili ambao wametambulishwa wametoka timu za…

Read More