Pamba Jiji na Dodoma Jiji Wagawana Alama Katika Ufunguzi wa Ligi Kuu
Pamba Jiji na Dodoma Jiji zimeanza msimu wa Ligi Kuu ya NBC 2026/27 kwa kugawana…
Pamba Jiji na Dodoma Jiji zimeanza msimu wa Ligi Kuu ya NBC 2026/27 kwa kugawana alama baada ya kutoka sare ya bao 1-1 katika mchezo wa ufunguzi uliochezwa leo, Agosti 14, 2026, kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Dodoma Jiji ndiyo ilianza kwa kasi katika mchezo huo na kufanikiwa kupata bao la kuongoza dakika ya…
Klabu ya Mashujaa FC ya Kigoma imefanikiwa kumnasa golikipa Wilbol Maseke, aliyekuwa akiitumikia Coastal Union, kwa usajili wa mchezaji huru. Usajili huo unatajwa kuwa hatua muhimu kwa Mashujaa FC katika kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu mpya, hasa katika eneo la ulinzi wa lango ambalo linahitaji uzoefu na utulivu. Maseke anafahamika kwa uwezo wake wa kulinda…
Msimu mpya wa LALIGA 2026/27 unatarajiwa kuanza wikiendi hii, huku mashabiki wa soka nchini Hispania na duniani wakisubiri kwa hamu mwanzo wa mbio mpya za ubingwa. Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa, mchezo wa kwanza wa msimu utakuwa kati ya Racing na Villarreal, utakaochezwa Jumapili, Agosti 16, kuanzia saa 12:00 jioni. Baada ya mchezo huo, Espanyol…
Beki wa Yanga SC, Bakari Mwamnyeto, amesema morali ndani ya kikosi hicho ipo juu kuelekea mchezo wao wa kwanza wa ligi dhidi ya Namungo FC, huku akisisitiza kuwa wamejiandaa kuhakikisha wanaondoka na alama tatu. Yanga inatarajiwa kushuka dimbani Jumamosi, Agosti 15, 2026, kukutana na Namungo FC katika Uwanja wa Majaliwa, Ruangwa, Lindi, katika mchezo unaotarajiwa…
Pazia la NBC Premier League linatarajiwa kufunguliwa rasmi Agosti 14 huku Simba SC ikiwa na mechi 5 za moto mwanzo wa msimu kusaka pointi 3 muhimu. Simba SC ilimaliza nafasi ya pili kwenye msimamo baada ya mechi 30 ikivuna pointi 73 tofauti ya pointi 2 na mabingwa Yanga SC waliomaliza msimu wakiwa na pointi 75….
HATIMAYE kile kitabu kipya cha Msichana wa Maisha Yangu kutoka kwa Best Seller Authors, Lunyamadzo Mlyuka kimepandishwa leo Agosti 14,2026 kwenye mtandao wa mauzo wa selar.com. Hii ni njia nyingine tena kwa msomaji kupata kitabu chenye simulizi ya kiafrika inayozungumzia maisha halisi na mabadiliko ya teknolojia. Kuipata sasa bofya hapa: Buy Book: Msichana wa Maisha…
Yanga SC inayonolewa na Kocha Mkuu Manqoba Mngqithi, ilimaliza msimu wa 2025/26 ikiwa na pointi 75 baada ya mechi 30, ilipoteza mchezo mmoja pekee dhidi ya Dodoma Jiji FC. Kwa sasa timu hiyo ipo Lindi kwa maandalizi ya mchezo wa ufunguzi ndani ya msimu mpya wa 2026/27 unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Majaliwa. Ni Agosti 15…
New Zealand imekuwa nchi ya hivi karibuni kujiondoa katika kumuunga mkono Gianni Infantino katika azma yake ya kugombea tena urais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA). New Zealand Football (NZF) imetangaza rasmi kuwa imeondoa uungwaji mkono wake kwa Infantino, ambaye anatafuta muhula wa nne wa kuongoza FIFA. Kwa mujibu wa taarifa ya NZF, uamuzi huo…
Ijumaa hii, Agosti 14, mashabiki wa mpira wa miguu Uturuki watashuhudia kuanza kwa msimu mpya wa Süper Lig kwa mechi itakayowakutanisha mabingwa watetezi Galatasaray na wageni wapya kabisa katika ligi kuu, Çorum FK. Mchezo huu utafanyika uwanjani RAMS Park, Istanbul, saa 21:30 usiku, na unabeba uzito maalum kwani ni mchezoo wa kwanza kabisa wa timu…
Usajili mpya ndani ya kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Manqoba Mngqithi, umeanza kuonyesha uwezo mapema baada ya wachezaji hao kufanya vizuri katika dakika 180 za mwanzo walizocheza katika mechi mbili za ushindani na maandalizi. Katika mchezo wa kwanza uliochezwa Agosti 9, 2026 kwenye kilele cha Yanga Day, Yanga SC ilipoteza kwa mabao…
Mashindano mapya yameingia Meridianbet na safari hii macho yanaelekezwa kwenye Expanse Epic Spins, Epic Rewards, ambapo wachezaji wa kasino wanapewa nafasi ya kushindania zawadi kubwa hadi TSh 1.5 milioni kwa mshindi wa kwanza. Promosheni hii itaendelea hadi Agosti 21, 2026, kupitia michezo maalum ya Expanse iliyopo ndani ya Meridianbet. Tofauti na kucheza bila ushindani, Expanse…
Leo Alhamisi, Agosti 13, saa 21:30, uwanja wa Ibrox, Glasgow, utakuwa jukwaa la mchezo wa pili wa raundi ya tatu ya kufuzu Europa League baina ya Rangers FC na Jagiellonia Białystok. Mchezo huu ni mmoja wa “semi-finals” za raundi za kufuzu, ambapo mshindi wa mzunguko huu atapata nafasi ya kuendelea kuelekea raundi ya “playoff” kabla…
DAR ES SALAAM: Mabingwa watetezi wa NBC Premier League, Yanga SC, watafungua kampeni ya msimu wa 2026/27 kwa mchezo mgumu wa ugenini dhidi ya Namungo FC, huku Simba SC, Azam FC na timu nyingine zikianza mapambano ya kusaka pointi tatu muhimu katika wiki za mwanzo za ligi. Yanga, iliyomaliza msimu wa 2025/26 ikiwa kileleni kwa…
DAR ES SALAAM: Azam FC imesisitiza kuwa kiungo wake nyota, Feisal “Fei Toto” Salum, ataendelea kuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo licha ya kuwepo kwa taarifa zinazomhusisha na uwezekano wa kujiunga na Yanga SC au Simba SC katika dirisha hili la usajili. Afisa Mtendaji Mkuu Msaidizi wa Azam FC, Rashid Seif, amesema klabu hiyo…
Kuna wakati hadithi za kale zinapokutana na ulimwengu wa kisasa, matokeo yake huwa ya kipekee. Hivyo ndivyo ilivyo kwa Meridian Leprechaun Wish, mchezo unaowaleta leprechaun, hazina zilizofichwa na mandhari za kichawi kwenye ulimwengu wa kasino. Safari ya mchezo huu imejengwa kuzunguka dhana ya bahati na hazina. Leprechaun, anayehusishwa kwa muda mrefu na ngano za Ireland,…
ZANZIBAR: Young Africans SC (Yanga) wameanza msimu mpya kwa kishindo baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya watani wao wa jadi, Simba SC, na kutwaa Ngao ya Jamii 2026 katika dimba la New Amaan Complex, Zanzibar. Ushindi huo umeifanya Yanga kutwaa taji hilo kwa mara ya 10 katika historia ya michuano ya…
Yanga imekataa ofa ya USD 700,000 (takribani TSh bilioni 1.8) kutoka FAR Rabat kwa ajili ya kumsajili kiungo mshambuliaji Allan Okello. FAR Rabat walituma ofa hiyo jana, lakini Yanga imeikataa na kuwaeleza kuwa Okello ataondoka endapo klabu hiyo itakuwa tayari kulipa USD milioni 1.5 (takribani TSh bilioni 3.9). Yanga inaamini Okello ana thamani kubwa sokoni,…