Kagera Sugar 0-2 Simba SC, NBC Premier League
UBAO wa Uwanja wa Kaitaba, Bukoba baada ya dakika 90 umesoma Kagera Sugar 0-2 Simba…
UBAO wa Uwanja wa Kaitaba, Bukoba baada ya dakika 90 umesoma Kagera Sugar 0-2 Simba SC, NBC Premier League. Mabao ya ushindi kwa Simba SC yamefungwa na Ismail Toure dakika ya 45 kwa pigo la kichwa na Ellie Mpanzu dakika ya 69 kwa pigo la mguu wa kulia. Mtengeneza asisti za mabao yote mawili ya…
WABABE wawili JKT Tanzania vs TRA United wanatarajiwa kukutana leo Agosti 16,2026 Uwanja wa Meja Jeneral Isahmuyo katika dakika 90 za kusaka pointi 3 muhimu. Saa 2:30 usiku mchezo huu mkali unatarajiwa kuchezwa na hapa ni matokeo ya mechi zilizopita walipokutana:- 25/10/2023, JKT Tanzania 1-0 TRA United 13/04/2024, TRA United 1-1 JKT Tanzania 04/06/2024, TRA…
Mechi nyingi za ufunguzi wa Ligi mbalimbali zitaenda kupigwa katika viwanja mbalimbali. Na Meridiabet wanasema hivi huu ndio msimu wa wewe kuondoka na utajiri wako. Unasubiri nini?. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri. Mashabiki wengi Duniani wanaenda kushuhudia mtanange wa Ngao ya Jamii kati ya Arsenal dhidi ya Manchester City ambao walimaliza msimu wakishika nafasi…
Wakati mwingine nafasi kubwa huja na muda maalum, na sasa Mzuka wa Mabingwa wa Meridianbet umebakiwa na siku 24 tu. Ofa hii maalum kwa watumiaji wa Airtel Money inaendelea kuwapa wapenzi wa michezo na kasino nafasi ya kushiriki kwenye droo zenye zawadi zinazovutia kabla kampeni haijafika mwisho. Kuingia kwenye kinyang’anyiro ni rahisi. Mtumiaji anatakiwa kuweka…
Klabu ya Yanga SC imekubali kumuuza winga wake wa kimataifa wa Uganda, Allan Okello, kwenda FAR Rabat ya Morocco kwa ada kubwa ya uhamisho. Okello, ambaye alikuwa sehemu ya kikosi cha Yanga, sasa anaelekea kuanza changamoto mpya katika soka la Morocco baada ya pande hizo kufikia makubaliano ya uhamisho wake. Uhamisho huo unatajwa kuwa wa…
Hatimaye Yanga SC imemtambulisha rasmi kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Burkina Faso, Stephane Aziz Ki, ambaye amerejea Jangwani baada ya kuondoka katika klabu hiyo mwaka 2025. Aziz Ki aliondoka Yanga na kujiunga na Wydad Casablanca ya Morocco, kabla ya baadaye kuhamia Al-Ittihad Tripoli ya Libya. Sasa nyota huyo amerejea Yanga akiwa na historia kubwa ndani…
Manchester United imeanza safari ya kuelekea msimu mpya kwa kichapo cha mabao 4-2 dhidi ya AC Milan katika mchezo wa kirafiki uliochezwa kwenye Tarczyński Arena, Wrocław, Poland. Mchezo huo ulikuwa wa kipekee kutokana na AC Milan kuwa chini ya kocha wa zamani wa Manchester United, Rúben Amorim, ambaye safari hii ameibuka na ushindi dhidi ya…
Klabu ya Simba leo Agosti 15, 2026 imemtambulisha rasmi mshambuliaji Ismail Mgunda kuwa mchezaji mpya wa klabu hiyo kwa ajili ya msimu wa 2026/27. Mgunda, mwenye umri wa miaka 31, amejiunga na Simba akitokea Mashujaa FC kwa mkataba wa miaka miwili. Mshambuliaji huyo raia wa Tanzania anatarajiwa kuongeza nguvu na ushindani katika safu ya ushambuliaji…
Atlanta United ya Marekani iko katika hatua za mwisho kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa kimataifa wa Uswisi, Breel Embolo, kutoka klabu ya Rennes ya Ufaransa. Kwa mujibu wa The Athletic, Atlanta United imekubali ada ya uhamisho inayokadiriwa kufikia dola milioni 18 sawa na TSh bilioni 46.8, kiasi ambacho kitamfanya Embolo, mwenye umri wa miaka 29,…
Polisi Tanzania FC na Azam FC zimetoka sare ya bao 1-1 katika mchezo wa ushindani uliopigwa leo kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha. Mchezo huo ulikuwa na ushindani mkubwa huku timu zote zikionekana kutafuta nafasi ya kupata bao la kuongoza. Polisi Tanzania ilifanikiwa kuvunja ukuta wa Azam FC dakika ya 74 baada ya kupewa…
Leo Jumamosi, Agosti 15, FC Utrecht watawakaribisha AZ Alkmaar uwanjani Stadion Galgenwaard, jijini Utrecht, katika mechi ya raundi ya pili ya Eredivisie ya Uholanzi. Mechi hii itaanza saa 19:45 usiku. Ni mchezo kati ya timu mbili zenye mwelekeo tofauti mapema kwenye msimu AZ wakiwa juu ya msimamo na Utrecht wakijaribu kujiweka sawa kwenye msimamo baada…
Agosti 15,2026 NBC Premier League inatarajiwa kuendelea mara baada ya pazia kufunguliwa rasmi Agosti 14,2026. Kuna mechi 3 kali zinatarajiwa kuchezwa leo katika viwanja vitatu tofauti ambapo mabingwa watetezi Yanga SC watakuwa ugenini. Polisi Tanzania vs Azam FC, saa 10:00 jioni, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha. Coastal Union vs Mashujaa FC, saa 12:30 jioni,…
PARIS, Ufaransa — 15 Agosti 2026: Mabingwa wa Ulaya, Paris Saint-Germain (PSG), wamekamilisha usajili wa mshambuliaji wa Barcelona na timu ya taifa ya Hispania, Ferran Torres, kwa mkataba utakaomuweka klabuni hapo hadi mwaka 2031. Torres, mwenye umri wa miaka 26, amejiunga na PSG kwa ada inayoripotiwa kufikia Euro milioni 50 (takribani pauni milioni 42.7), baada…
Uwanja wa kasino umepata mgeni mpya, Bubble Up kutoka Pragmatic Play sasa inapatikana Meridianbet, ikiwa imekuja na mchanganyiko wa rangi, bubbles na mfumo wa uchezaji unaolenga kuwapa wachezaji uzoefu mpya wa kusisimua. Mchezo huo umefunguliwa kwa mashabiki katika kipindi maalum kuanzia Agosti 10 hadi Agosti 24, 2026. Hii ni fursa kwa wachezaji kuonja mchezo kabla…
Pamba Jiji na Dodoma Jiji zimeanza msimu wa Ligi Kuu ya NBC 2026/27 kwa kugawana alama baada ya kutoka sare ya bao 1-1 katika mchezo wa ufunguzi uliochezwa leo, Agosti 14, 2026, kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Dodoma Jiji ndiyo ilianza kwa kasi katika mchezo huo na kufanikiwa kupata bao la kuongoza dakika ya…
Klabu ya Mashujaa FC ya Kigoma imefanikiwa kumnasa golikipa Wilbol Maseke, aliyekuwa akiitumikia Coastal Union, kwa usajili wa mchezaji huru. Usajili huo unatajwa kuwa hatua muhimu kwa Mashujaa FC katika kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu mpya, hasa katika eneo la ulinzi wa lango ambalo linahitaji uzoefu na utulivu. Maseke anafahamika kwa uwezo wake wa kulinda…
Msimu mpya wa LALIGA 2026/27 unatarajiwa kuanza wikiendi hii, huku mashabiki wa soka nchini Hispania na duniani wakisubiri kwa hamu mwanzo wa mbio mpya za ubingwa. Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa, mchezo wa kwanza wa msimu utakuwa kati ya Racing na Villarreal, utakaochezwa Jumapili, Agosti 16, kuanzia saa 12:00 jioni. Baada ya mchezo huo, Espanyol…