Mzize, Shalulile, Toure, Mwijage na Okello: Yanga Yaonyesha Silaha Mpya za Msimu
Uongozi wa Klabu ya Yanga SC umeweka wazi mipango mikubwa kuelekea msimu mpya, huku ikielezwa…
Uongozi wa Klabu ya Yanga SC umeweka wazi mipango mikubwa kuelekea msimu mpya, huku ikielezwa kuwa mfadhili wa klabu hiyo, Ghalib Said Mohamed (GSM), ametenga bajeti ya takribani Sh bilioni 15 kwa ajili ya usajili wa wachezaji pekee. Kauli hiyo imetolewa na Msemaji wa Yanga SC, Ali Kamwe, ambaye amesema Rais wa klabu hiyo, Eng….
Makamu wa Rais wa Young Africans (Yanga SC), Arafat Haji, amewatoa hofu mashabiki na wanachama wa klabu hiyo kuhusu maendeleo ya mradi wa ujenzi wa uwanja wa kisasa katika eneo la Jangwani, akieleza kuwa hatua muhimu za maandalizi tayari zimekamilika. Arafat amesema Yanga na mwekezaji GSM walitia saini mkataba rasmi wa utekelezaji wa mradi huo…
Peter Shalulile ni mshambuliaji kutoka Namibia aliyezaliwa Oktoba 23, 1993 huko Windhoek. Anajulikana kwa uwezo wake mkubwa wa kufunga mabao, kasi, na kujipanga vizuri ndani ya eneo la hatari. Amekuwa nahodha wa timu ya taifa ya Namibia na alijijengea sifa kubwa akiwa Klabu ya Mamelodi Sundowns nchini Afrika Kusini. Safari ya soka Tura Magic (Namibia):…
Philadelphia 76ers wamethibitisha kumsajili nyota wa NBA, LeBron James, ambaye amesema huu utakuwa mkataba wake wa mwisho katika ligi hiyo. James mwenye umri wa miaka 41 ameondoka Los Angeles Lakers baada ya kuitumikia kwa misimu minane, na sasa ataungana na kikosi chenye wachezaji kama Joel Embiid, Tyrese Maxey, Jaylen Brown na VJ Edgecombe. Akizungumza baada…
Burudani huwa tamu zaidi pale inapokuja na nafasi ya kupata zawadi kubwa. Hivyo ndivyo ilivyo kwa Gates of Love, mchezo unaowapa wachezaji nafasi ya kufurahia kila mzunguko huku wakisaka ushindi mkubwa, na Meridianbet haiwaachi wateja wake, sasa unaweza cheza mchezo huu mahali popote kupitia simu yako. Mchezo huu umeundwa kwa muonekano wa kuvutia unaoendana na…
SANTIAGO, Chile – Kipa wa timu ya taifa ya Cape Verde, Vozinha, amekubaliana kujiunga na klabu ya Colo Colo ya Chile baada ya kuonyesha kiwango bora katika Kombe la Dunia 2026. Rais wa Colo Colo, Aníbal Mosa, amethibitisha kuwa mlinda mlango huyo mwenye umri wa miaka 40 atatua nchini Chile kwa ajili ya vipimo vya…
Vilabu vikubwa barani Ulaya vinaendelea kujipanga kuelekea msimu mpya huku tetesi za usajili zikizidi kushika kasi. Arsenal na Liverpool zimeonyesha nia ya kumsajili mshambuliaji wa Paris Saint-Germain, Bradley Barcola, lakini mabingwa hao wa Ufaransa wanadaiwa kutaka kiasi cha pauni milioni 145 kwa nyota huyo wa miaka 23. Kwa upande mwingine, Arsenal bado haijaanza mazungumzo rasmi…
Ushindi mzuri unaanzia Meridianbet siku ya leo kwa kusuka jamvi lako na Meridianbet na kubashiri kwa kutumia Early Payout leo. Ingia kwenye akaunti yako sasa na uanze safari yako ya ushindi. Promosheni hii kubwa kabisa ambayo ipo Meridianbet ina lengo la kuhakikisha kuwa unapiga pesa nyingi kwani endapo ukitumia chaguo la EARLY PAYOUT unajiweka kwenye…
Meridian Icy Fruits ni mchezo wa sloti unaoonyesha jinsi burudani ya kidijitali inavyoendelea kubadilika kwa kutumia teknolojia ya kisasa. Mchezo huu umejengwa kwa mandhari ya baridi ya majira ya barafu ndani ya Meridianbet, ukiwa na alama za matunda na vipengele vya sloti za kawaida vinavyotambulika kwa urahisi. Muundo wa mchezo huu unazingatia urahisi wa matumizi,…
Bingwa wa zamani wa dunia mara mbili katika uzani wa juu, Anthony Joshua, alionyesha moyo wa kipekee baada ya kuinuka mara mbili kutoka chini na kumchapa kwa mtoano (TKO) mpinzani wake Kristian Prenga katika raundi ya pili ya pambano lisilo la ubingwa lililofanyika usiku wa kuamkia leo Jumapili Julai 26, 2026 mjini Jeddah. Joshua, ambaye…
Meridianbet inakuletea promosheni ya ajabu ambapo unaweza kushinda moja kati ya simu tatu mpya kabisa za Samsung Galaxy A26. Jisajili tu kwenye app au tovuti ya Meridianbet, weka dau, na uwe miongoni mwa watakaochaguliwa kama washindi wa simu hizi za kisasa kila mwisho wa wiki. Hapa burudani inakutana na zawadi. Haijalishi unapenda michezo ya kasino…
Meridianbet inatimiza miaka 25 kwa staili ya kipekee, kudhamini pambano la kwanza la UFC kufanyika Serbia, UFC Fight Night Belgrade, tarehe 01 mwezi wa 08. Hii ni zawadi kwa vijana na mashabiki wa michezo, tukio la kihistoria linaloleta msisimko wa dunia moja kwa moja Ulaya Mashariki. Kwa udhamini huu, Meridianbet imeweka rekodi mpya. Ni hatua…
Kipa wa Manchester City na nahodha wa timu ya taifa ya Italia, Gianluigi Donnarumma, amefunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu Alessia Elefante katika sherehe kubwa iliyofanyika nchini Italia. Donnarumma (27) alimuoa Alessia katika kanisa la Chiesa Madre di San Giorgio Martire, lililopo Locorotondo, Italia, huku hafla hiyo ikihudhuriwa na mastaa mbalimbali wa…
Rais wa Young Africans SC, Injinia Hersi Said, amefichua kuwa jezi rasmi za msimu mpya za klabu hiyo bado hazijaonyeshwa, akisema zile zilizowasilishwa ni maalum kwa ajili ya mazoezi ya wachezaji pekee. Hersi amesema mashabiki wa Yanga wanapaswa kusubiri kwa hamu uzinduzi wa jezi rasmi za msimu mpya, akisisitiza kuwa zitakuwa na ubora wa hali…
Mechi hii ina umuhimu maalum kwa mwenyeji SV Wehen Wiesbaden, kwani inafanyika kama sehemu ya sherehe za miaka 100 ya klabu hiyo, huku FC Bayern wakiwa wageni katika tukio hili la kihistoria. Mechi hiyo itaonyeshwa moja kwa moja kupitia mtandao rasmi wa video wa Bayern, FC Bayern TV PLUS. Kwa timu ndogo kama Wehen Wiesbaden,…
Young Africans SC imeendelea kuimarisha kikosi chake kwa ajili ya msimu wa 2026/27 kwa kutambulisha rasmi wachezaji watatu wapya wenye uzoefu mkubwa wa kimataifa. Hizi ni rekodi zao: 🇫🇷 Cheikh Ibrahima Touré (29) – Mshambuliaji Yanga imemtambulisha mshambuliaji Cheikh Ibrahima Touré, raia wa Ufaransa, akitokea Al-Jabalain FC ya Saudi Arabia. Touré ni mshambuliaji mwenye uwezo…
Rais wa Young Africans SC (Yanga), Injinia Hersi Said, amesema msimu wa 2025/26 umekuwa wa mafanikio makubwa kwa klabu hiyo baada ya kutwaa jumla ya makombe manne, huku akiweka bayana mipango ya kuifanya timu kuwa imara zaidi kuelekea msimu wa 2026/27. Akizungumza na wanachama na mashabiki wa Yanga kupitia Azam TV na Yanga TV, Hersi…