Allan Okello Atwaa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwezi Mei NBC Premier League
Kiungo mshambuliaji wa Young Africans SC, Allan Okello, ametangazwa kuwa Mchezaji Bora wa Mwezi Mei…
Kiungo mshambuliaji wa Young Africans SC, Allan Okello, ametangazwa kuwa Mchezaji Bora wa Mwezi Mei wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2025/26 baada ya kuonyesha kiwango cha juu katika mechi za mwezi huo. Okello aling’ara kwa kufunga mabao tisa na kutoa pasi moja ya bao katika michezo sita, akichangia kwa kiasi kikubwa mafanikio ya…
Mwamuzi wa kimataifa kutoka Somalia, Omar Abdulkadir Artan, ametangazwa rasmi na UEFA kuwa mwamuzi wa mchezo wa UEFA Super Cup 2026 utakaowakutanisha mabingwa wa Ulaya, Paris Saint-Germain (PSG), dhidi ya mabingwa wa Europa League, Aston Villa. Mchezo huo wa kifahari unatarajiwa kuchezwa tarehe 12 Agosti katika jiji la Salzburg, Austria, ukiwakutanisha mabingwa wa mashindano makubwa…
Mechi ya ufunguzi inatarajiwa kuwa ya kipekee kabisa ambapo wenyeji wa mashindano haya Mexico watauamana vikali dhidi ya Afrika Kusini ambao hawapewa nafasi kubwa ya kushinda?. Nani kuondoka na pointi 3 leo? Kwenye mechi hii ya ufunguzi wa michuano mikubwa Duniani kati ya Mexico na Afrika Kusini utakaopigwa Alhamisi ya leo ni mchezo ambao utakuwa…
Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), Gianni Infantino, amesema ni jambo la kusikitisha kwa mwamuzi wa Somalia, Omar Artan, kunyimwa ruhusa ya kuingia nchini Marekani licha ya kuwa alikuwa amepangiwa kushiriki katika michuano ya Kombe la Dunia. Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kabla ya kuanza kwa mashindano hayo, Infantino alisema FIFA imeguswa…
Usiku wa kuamkia leo, mambo hayakwenda vizuri kwa bondia Hassan Mwakinyo aliyekuwa akiipeperusha bendera ya Tanzania, Abidjan, Ivory Coast kwa kuzipiga na bondia Michel Soro mwenye uraia pacha wa Ivory Coast na Ufaransa. Mwakinyo alipoteza kwa TKO katika raundi ya tisa kwenye pambano la uzito wa Middleweight la raundi 12 na kushindwa kubeba mkanda wa…
Meridianbet inaendelea kuwaletea vijana burudani bora zaidi kwa kushirikiana na EGT Digital, moja ya majina yanayoongoza kwenye ulimwengu wa michezo ya kasino ya kidigitali. Sasa ni rahisi zaidi kufurahia michezo yenye ubora wa hali ya juu ukiwa popote. Kilichofanya EGT Digital kuwa tofauti ni uwezo wake wa kuunganisha teknolojia ya kisasa na burudani inayovutia. Michezo…
Mchezo huu ni wa pili katika mfululizo wa majaribio ya England nchini Florida, ukifuata ushindi wao dhidi ya New Zealand mnamo Juni 6. Uwanja wa mechi ni Inter&Co Stadium jijini Orlando, uwanja wa nyumbani wa timu ya MLS Orlando City. Umuhimu wa mchezo huu ni mkubwa kwani ni mechi ya mwisho ya England kabla ya…
Vijana wengi wanatafuta burudani inayotoa zaidi ya starehe ya kawaida, na Gates of Love imekuja na mchanganyiko huo kamili. Ni mchezo wenye msisimko, urahisi wa kucheza na nafasi za ushindi zinazovutia. Mandhari yake ya kuvutia huifanya kila raundi ionekane kama mwanzo wa jambo jipya. Hali hiyo huongeza hamasa ya kuendelea kufurahia mchezo kila wakati. Vilevile,…
Mamlaka za Marekani zimeunda kikosi kazi maalum (task force) kitakachosimamia usalama na uchunguzi mkali wa mashabiki, wachezaji na wageni wote watakaofika nchini Marekani wakati wa Kombe la Dunia la FIFA 2026. Hatua hiyo imekuja baada ya matukio kadhaa ya kuhojiwa na kucheleweshwa kwa watu wanaohusiana na michuano hiyo, ikiwemo mshambuliaji wa Iraq Aymen Hussein aliyekamatwa…
Serena Williams amerejea rasmi kwenye mashindano ya kitaaluma baada ya takribani miaka minne nje ya uwanja wa tenisi, akitarajiwa kucheza mechi yake ya kwanza Jumanne katika mashindano ya Queen’s Club jijini London. Nyota huyo wa Marekani, mwenye mataji 23 ya Grand Slam, amepata nafasi ya wildcard kwenye mchezo wa wanawake wawili (doubles), ambapo atacheza akiwa…
Neymar ameendelea kuonyesha maendeleo mazuri katika tiba ya jeraha la nyama ya ndama (calf injury), kulingana na taarifa ya Shirikisho la Soka la Brazil iliyotolewa Jumatatu. MRI ya hivi karibuni imeonesha kuwa nyota huyo wa Brazil “anaendelea vizuri” na mchakato wa kupona, huku akiwa chini ya uangalizi wa timu ya madaktari wa timu ya taifa….
Hawa hapa wababe wawili ambao watakutana kukipiga kwenye Fainali ya Kombe la Dunia. Je nafasi yako unampa nani na nani kukipiga huko Amerika ya Kusini?. Jisajili na uweke jamvi hapa. Hispania vs Brazil hii ni fainali ambayo tunaweza kuishudia huko bara la Amerika ya Kusini ambapo Brazil mpaka sasa wanahitaji kushinda Kombe hili chini ya…
Shirikisho la Soka Duniani, FIFA limethibitisha kuwa mwamuzi wa Somalia, Omar Abdulkadir Artan, hatachezesha mechi za Kombe la Dunia 2026 baada ya kunyimwa kuingia nchini Marekani. Kwa mujibu wa FIFA, Artan hataweza kufanya mazoezi wala kuchezesha mashindano hayo kufuatia uamuzi wa mamlaka za Marekani kutomruhusu kuingia nchini humo, licha ya kuripotiwa kuwa alikuwa na visa…
Kama unatafuta burudani yenye msisimko wa kweli, Slotopia ndani ya Meridianbet ndiyo mahali sahihi. Jukwaa hili limeundwa kuwapa wachezaji nafasi ya kufurahia michezo ya sloti yenye ubora wa hali ya juu na fursa za ushindi katika kila hatua. Kila mchezaji ana nafasi ya kunufaika na bonasi mbalimbali zinazotolewa ndani ya Slotopia. Kuanzia mizunguko ya bure…
Pilika pilika za michuano ya Kombe la Dunia zinazidi kunoga huku tayari mabara yote yamejiandaa kufanya vyema. Bingwa mtetezi anataka kutetea taji lake. Je Bara lipi litapokea kijiti hicho?. America ya Kaskazini ipo nafasi ya 3 kwenye mabara ambayo ynaweza kushinda kombe hilila Dunia. Nchi ambazo zipo kwenye bara hili ni pamoja na Marekani, Canada,…
Kuna wakati ambapo nafasi moja tu inaweza kubadilisha siku yako, na Ruby Play kupitia Meridianbet imeleta nafasi hiyo karibu zaidi kuliko wakati mwingine wowote. Hapa ndipo burudani na ushindi vinapokutana katika mazingira yenye msisimko wa hali ya juu. Ruby Play imebuni michezo inayovutia macho na kuwafanya wachezaji wajisikie kama sehemu ya hadithi kubwa. Kuanzia michoro…
Rais wa sasa wa klabu ya Real Madrid, Florentino Pérez, anatarajiwa kushinda uchaguzi wa urais wa klabu hiyo kwa kupata takribani asilimia 65 ya kura, kwa mujibu wa exit polls zilizoripotiwa na vyombo vya habari vya michezo vya Hispania. Kwa mujibu wa taarifa hizo, kura zilizopigwa kwa njia ya posta bado hazijajumuishwa kwenye matokeo hayo…