Yanga Yarudi Kileleni Baada ya Ushindi Mnono wa 3-0 Dhidi ya Singida Black Stars
Young Africans SC wamefanikiwa kurejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara…
Young Africans SC wamefanikiwa kurejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya kupata ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya Singida Black Stars katika mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa KMC Complex. Nyota wa mchezo huo alikuwa Allan Okello, ambaye alifunga mabao mawili na kufikisha jumla ya magoli 9 kwenye ligi…
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Paul Makonda amesema ziara ya mwana Soka Rio Frerdnand, italeta fursa kwa vijana wenye ndoto ya kukua kwenye mpira wa miguu kupata nafasi ya kukuza vipaji vyao. Makonda amesema hayo leo, Mei 22, 2026 jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu ujio wa…
Paul Makonda amesema alimwomba mchezaji wa zamani wa England national football team na klabu ya Manchester United FC, Rio Ferdinand, kutoposti kwa sasa kuhusu uwepo wake nchini Tanzania, akieleza kuwa jambo muhimu zaidi ni kazi ya maendeleo na kuinua vipaji vya vijana wa Kitanzania. Akizungumza na waandishi wa habari Mei 22, 2026 jijini Dar es…
Cristiano Ronaldo amefunga mabao mawili na kuisaidia Cristiano Ronaldo pamoja na klabu yake Al Nassr FC kutwaa ubingwa wa Saudi Pro League baada ya ushindi wa 4–1 dhidi ya Damac FC katika mchezo wa mwisho wa msimu. Huu ni ubingwa wa 11 kihistoria kwa Al Nassr na wa kwanza tangu kuwasili kwa Ronaldo klabuni hapo,…
Nyota wa zamani wa mpira wa miguu wa timu ya Taifa ya Uingereza na Klabu ya Manchester United Rio Ferdinand amesema, Uwanja wa Arusha ambao utatumika katika Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2027 (AFCON 2027) umejengwa kwa kiwango bora kilichozingatia viwango vya kisasa duniani. Amesema hayo Mei 21, 2026 wakati alipotembelea uwanja…
Katika kuendeleza moyo wa kusaidia jamii, Meridianbet imetoa msaada wa vyakula kwa kituo cha watoto cha UMRA Children Center kilichopo Magomeni, Dar es Salaam kama sehemu ya shughuli zake za kijamii. Msaada huo umehusisha bidhaa muhimu za chakula kama mchele, unga, sukari, mafuta ya kupikia pamoja na mahitaji mengine yanayotumika kila siku katika kituo hicho…
Kwenye harakati za utafutaji, kila mbinu ya kuongeza nafasi ya ushindi ni muhimu. Meridianbet inaleta mapinduzi kwa wateja wake kupitia huduma ya kipekee ya Bet Boost, kipengele maalum kinachokupa nguvu ya kuongeza odds zako na kukupeleka moja kwa moja kwenye ushindi wa kiwango cha juu zaidi. Bet Boost imeundwa kwa ajili ya wabashiri wanaotaka faida…
MCHEZO wa NBC Premier League umekamilika ubao wa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga umesoma Coastal Union 1-2 Simba SC. Ni Maabad Maabad alifungua ukurasa wa magoli dakika ya 9 kwa shuti kali huku Libasse Gueye aliweka usawa dakika ya 37 na goli la ushindi limefungwa na Anicent Oura dakika ya 44 akitumia pasi ya Clatous Chama….
JKT Tanzania yagawana alama na Fountain Gate kwenye mchezo wa NBC Premier League leo Mei 21, 2026 kwa kufungana magoli 2-2. Fountain Gate ya Issa Mbulizi ilianza kupata magoli ya kuongoza mapema kipindi cha kwanza ni kazi ya Juma Abushiri dakika ya 3 na Ismail Kader dakika ya 45. Mpaka dakika 45 za mwanzo zinakamilika…
Al Kholood wana pointi 32 baada ya mechi 33, wakiwa nafasi ya 14 kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya Saudi Arabia. Kwa upande mwingine, Al Fateh wana pointi 36 baada ya mechi 33, wakiwa nafasi ya 12. Tofauti ya pointi tatu tu kati yao inaifanya mechi hii kuwa ya kuvutia zaidi ushindi kwa Al Kholood…
Nyota wa zamani wa Klabu ya Manchester United na timu ya Taifa ya Uingereza, Rio Ferdinand akiwa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Paul Makonda, wamepata nafasi ya kufanya utalii wa puto katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti inayotambulika duniani kwa mandhari yake ya kipekee, wanyama wengi pamoja na uzuri wa asili…
Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Iran, Rashid Mazaheri, amekamatwa na kuwekwa gerezani kufuatia chapisho aliloliweka mtandaoni mapema mwaka huu likiwa na ukosoaji mkali dhidi ya Kiongozi Mkuu wa Iran, Ali Khamenei, kulingana na taarifa za mke wake. Shirika la habari la mahakama ya Iran, Mizan, limethibitisha kuwekwa kizuizini kwa Mazaheri, likidai kuwa…
Aston Villa wameandika historia mpya baada ya kutwaa ubingwa wa UEFA Europa 2026 kufuatia ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya SC Freiburg katika mchezo wa fainali uliochezwa kwenye dimba la Beşiktaş Park. Kocha Unai Emery ameendelea kuthibitisha ubora wake kwenye michuano hiyo baada ya kuweka rekodi ya kuwa kocha wa kwanza kutwaa taji la…
Kwenye dunia ya kasino za kisasa, Vaso Psycho ndani ya Meridianbet imekuja na nguvu mpya kabisa. Huu ni mchezo uliotengenezwa kwa vijana wanaopenda matukio, ushindani na nafasi ya kujishindia fedha kubwa kwa muda mfupi. Uzuri wa mchezo huu ni kwamba kila mzunguko unabeba matumaini mapya. Huwezi kujua bonasi itakuangukia lini au vizidishi vitapanda kiasi gani….
Rio Ferdinand, Nahodha na Mchezaji wa zamani na wa Timu ya Taifa ya Uingereza na Klabu ya Manchester United, akiwa katika viunga vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kushuhudia shughuli za uendeshaji wa Bunge hilo, leo Mei 20, 2026 Jijini Dodoma, ikiwa ni muelendelezo wa ziara yake nchini Tanzania ambayo inalenga kuboresha sekta…
KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum anaongoza chati ya wafungaji ndani ya NBC Premier League msimu wa 2025/26. Kiungo huyo amefunga jumla ya magoli 11 akiwa anaongoza usukani katika chati ya wakali wa kucheka na nyavu ni mali ya Azam FC. Kwenye eneo la ufungaji msimu huu ushindani umekuwa mkubwa huku kila timu ikiwa…
Ratiba ya NBC Premier League hii hapa ambapo kuna mechi kali zinatarajiwa kuchezwa viwanja vitatu tofauti ndani ya dakika 90. TRA United itakuwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid ikiwakabili Mtibwa Sugar, saa 10:00 jioni. KMC FC vs Pamba Jiji FC Uwanja wa KMC Complex saa 12:30, jioni. Dodoma Jiji FC vs Mashujaa FC, Uwanja wa…