Ruto Aialika Arsenal Kutembelea Kenya Baada ya Sherehe Kubwa za Ubingwa

Rais wa Kenya, William Ruto, amesema ameialika klabu ya Arsenal kutembelea Kenya baada ya kushuhudia namna mashabiki wa timu hiyo walivyosherehekea ubingwa wa Ligi Kuu ya England kwa shamrashamra kubwa nchini humo. Akizungumza wakati wa Mkutano wa G7 uliofanyika nchini Ufaransa, Ruto alisema alishangazwa na ukubwa wa sherehe zilizofanyika jijini Nairobi na maeneo mengine nchini…

Read More

Mbeya City 0-1 Simba SC

Mbeya City 0-1 Simba SC, NBC Premier League, mchezo uliochezwa Uwanja wa Sokoine, Mbeya Juni 17, 2026 kwa wababe hawa kupambania pointi 3. Goli pekee ka ushindi limefungwa na winga Ellie Mpanzu dakika ya 43 kipindi cha kwanza limedumu mpaka mwisho wa mchezo. Huu unakuwa ni mchezo wa 3 mfululizo Mpanzu anafunga kwenye NBC Premier…

Read More

Namungo FC 0-0 TRA United

MCHEZO wa NBC Premier League uliochezwa leo Juni 16, 2026 Uwanja wa Majaliwa hakuna timu ambayo imepata bahati yakufunga goli ndani ya dakika 90.  Ubao wa Uwanja wa Majaliwa umesoma Namungo FC 0-0 TRA United, moja ya mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa uwanjani. Wababe hawa wawili wamegawana pointi mojamoja katika ligi namba 6 kwa ubora…

Read More

Azam FC 2-0 Mashujaa FC

Azam FC wameibuka na ushindi kwenye mchezo wa mzunguko wa pili dhidi ya Mashujaa FC kwenye mchezo wa NBC Premier League uliochezwa leo Juni 16, 2026 Uwanja wa Azam Complex. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Azam FC 2-0 Mashujaa FC, magoli yakifungwa na Sadio Kanoute dakika ya 39 na James Akaminko dakika ya 41….

Read More