Ratiba ya mzunguko wa 4 NBC Premier League

NBC Premier Leagu inaendelea ikiwa ni mzunguko wa 4 kwa sasa 2026/27. Hii hapa ratiba ipo namna hii:- Mashujaa FC vs Kagera Sugar, Uwanja wa Lake Tanganyika, Agosti 27,2026 Simba SC vs Coastal Union, Uwanja wa Meja Jen Isahmuyo, Agosti 27,2026 Fountain Gate vs Mbeya City, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Agosti 28,2026 Geita Gold…

Read More

Matokeo NBC Premier League 2025/26 na ratiba

NBC Premier League 2026/27 inazidi kushika kasi ambapo kila timu zinasaka pointi 3 ndani ya uwanja. Agosti 25 zilichezwa mechi mbili kali kwa wababe kusaka pointi uwanjani.Ndani ya dakika 180 yamefungwa mabao mawili kila mchezo ukikamilika kwa ushindi wa bao 1-0.Matokeo Agosti 25,2026 Namungo FC 1-0 Fountain Gate, saa 12:00 jioni Mtupiaji ni Herbert Lukindo…

Read More

Tottenham yamsajili Savinho kutoka Manchester City kwa £75 milioni

Tottenham Hotspur imekamilisha usajili wa winga wa Brazil, Savinho, kutoka Manchester City kwa ada ya awali ya £75 milioni, huku kiasi hicho kikitarajiwa kufikia £85 milioni iwapo vigezo vya nyongeza vitatimia. Savinho, mwenye umri wa miaka 22, ambaye sasa ametangaza kutumia jina Sávio, amesaini mkataba wa muda mrefu na Tottenham katika usajili unaoendelea kuonyesha nia…

Read More

Meridianbet yawasha Rewards Burst, zawadi hadi TSh milioni 75 zasubiri

Kama unatafuta burudani yenye nafasi za mshangao, basi Meridianbet imekuandalia kitu cha kuangalia kupitia Rewards Burst Prize Drops. Promosheni hii inawapa wachezaji nafasi ya kupata zawadi za papo hapo wanapofanya mizunguko inayokidhi vigezo kwenye michezo inayoshiriki. Kila mzunguko unaweza kuleta tukio jipya, na wakati mwingine sapraizi inaweza kuwa kubwa kuliko ulivyotarajia. Zawadi kuu ni kubwa…

Read More

Ratiba ya NBC Premier League 2026/27

LEO Agosti 25,2026 kuna mechi kali 2 za NBC Premier League ambazo zinatarajiwa kuchezwa kwa wababe kusaka pointi 3 muhimu ndani ya uwanja. Namungo FC iliyo nafasi ya 9 na pointi 3 baada ya mechi 2 itavaana na Fountain Gate iliyo nafasi ya10 na pointi 3 baada ya mechi 2 itakuwa saa, 12:00 jioni. Msimu…

Read More

Yanga SC 4-0 JKT Tanzania

Yanga SC imeibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo uliochezwa leo, Agosti 24, 2026, Uwanja wa KMC Complex,Mwenge, Dar. Ni Albert Kangwanda alifungua ukurasa wa mabao dakika ya 29,Ibrahim Bacca aliongeza bao la pili dakika ya 34, Chadrack Boka alifunga dakika ya 39. Mpaka dakika 45 za mwanzo zinakamilika ubao…

Read More

Non-Stop Blasts & Races: Cheza na Uingie Kwenye Nafasi Mpya za Kushinda

Uwanja wa zawadi umefunguliwa na Meridianbet imekuja na kitu kikubwa. Non-Stop Blasts & Races inatoa jumla ya TZS 75,000,000,000 katika zawadi, huku wachezaji wakipewa nafasi ya kushiriki mashindano mbalimbali na kukutana na zawadi zisizotarajiwa kupitia michezo iliyochaguliwa ya Playson. Mwanzo wa burudani unapatikana kwenye Power Blasts, ambapo bahati inaweza kukufuata ndani ya mchezo. Wachezaji wanaoshiriki…

Read More