Tottenham Hotspur vs Newcastle United Uso kwa Uso EPL
Leo Tottenham Hotspur watawakaribisha Newcastle United kwenye uwanja wao, katika mechi ya pili ya msimu…
Leo Tottenham Hotspur watawakaribisha Newcastle United kwenye uwanja wao, katika mechi ya pili ya msimu wa Ligi Kuu ya Uingereza 2026-27. Timu hizi mbili zinaingia mechi hii zikiwa na hali tofauti kabisa baada ya wiki ya kwanza wanataka kurejea nyuma baada ya kufungwa 3-0 ugenini dhidi ya Brentford. Newcastle wanajaribu kujenga kasi baada ya kuanza…
Agosti 29,2026 NBC Premier League inaendelea kwa mechi 3 kali kukamilisha mzunguko wa 4. Kwa sasa vinara wa ligi ni Yanga SC ambao wameshinda mechi zote 4 wakiwa na pointi 12 ndani ya msimu wa 2026/27 nafasi ya pili ni Simba SC yenye pointi 12 tofauti ni idadi ya mabao ya kufunga na kufungwa. Hizi…
MABINGWA watetezi wa ligi, Yanga SC wameendeleza ubabe wao mbele ya Pamba Jiji FC kwa kusepa na pointi tatu mazima ndani ya uwanja. Baada ya dakika 90 Agosti 28, 2026 ilikuwa Yanga SC 2-0 Pamba Jiji FC, Uwanja wa KMC Complex. Mabao ya Yanga SC yalifungwa na Maxi Nzengeli dakika ya 17 na Ibrahim Toure…
Kengele ya mwisho inaanza kusikika kwenye Expanse: Big Wins Start Here, huku mashindano yakibakiza takribani wiki moja kabla ya kufikia tamati. Kwa sasa, kila raundi ya mchezo inaweza kuwa na uzito wake katika safari ya mshiriki kuelekea kileleni. Zawadi ya jumla ya TSh 5,000,000 bado inasubiri washindi, lakini muda wa kuwania sehemu ya mzigo huo…
Leo Ijumaa, Agosti 28, 2026, saa 21:30 usiku, msimu mpya wa Bundesliga utaanza rasmi na mechi kubwa kati ya mabingwa watetezi Bayern Munich na VfB Stuttgart katika uwanja wa Allianz Arena, Munich. Msimu wa 2026-27 wa Bundesliga unaanza rasmi Agosti 28, 2026 na utamalizika Mei 22, 2027, ukiwa msimu wa 64 wa ligi hiyo. Mechi…
Matokeo ya Agosti 27,2026 Mashujaa FC 2-1 Kagera Sugar, Uwanja wa Lake Tanganyika Simba SC 1-0 Coastal Union, Uwanja wa Meja Jen Isahmuyo Mechi za Leo Agosti 28,2026 Fountain Gate vs Mbeya City, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Agosti 28,2026 Geita Gold vs Azam FC, Uwanja wa Bukombe, Agosti 28,2026 Yanga SC vs Pamba Jiji…
Manchester United imepangwa kukutana na Bayern Munich na Atletico Madrid katika hatua ya ligi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu wa 2026/27, huku kocha Michael Carrick akiwa ameiongoza timu hiyo kurejea katika mashindano makubwa zaidi ya klabu barani Ulaya. Mbali na vigogo hao, United itakutana pia na Roma, Sporting CP, RB Leipzig, Villarreal, Sabah na…
Baadhi ya mashabiki wa Simba wameonekana kutoridhishwa na kiwango cha mshambuliaji wa klabu hiyo, Ibrahim Doumbia, licha ya timu hiyo kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Coastal Union FC. Mchezo huo umechezwa katika Uwanja wa Isamuyo, ambapo shabiki wa Simba, wametoa maoni yao kuhusu kiwango cha Doumbia wakati akizungumza na mtangazaji wetu Official…
Klabu ya Chelsea imefikia makubaliano ya kumsajili kipa wa Aston Villa na Argentina, Emi Martínez, kwa ada ya takribani Sh bilioni 26.98. Chelsea imekuwa ikihitaji kipa mpya kabla ya kufungwa kwa dirisha la usajili, huku Martínez akitarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya kabla ya kukamilisha uhamisho huo. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Martínez atasaini mkataba wa…
Shirikisho la Soka Ulaya (UEFA) linajiandaa kuanzisha mchakato wa kisheria nchini Uswisi dhidi ya Rais wa FIFA, Gianni Infantino, kwa tuhuma za usimamizi mbaya wa fedha, huku mashabiki wakimzomea na kumtukana wakati akiwakabidhi kombe washindi wa mashindano nchini Vietnam. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, nyaraka za kisheria zinaonyesha kuwa UEFA pamoja na wahusika wengine wanajiandaa…
MONACO : Droo ya hatua ya Ligi ya mabingwa (league phase ya UEFA Champions League) msimu wa 2026/27 imefanyika usiku wa kuamkia leo Agosti 28, 2026 mjini Monaco, huku timu 36 zikijua wapinzani wao katika hatua hiyo ya mashindano. Kwa mujibu wa mfumo mpya wa mashindano hayo, kila timu itacheza jumla ya mechi nane dhidi…
Meridianbet imeongeza ladha mpya kwenye burudani za kasino kwa kuleta Thunder Riches: Fortune Eagle, mchezo mpya kutoka Games Global unaopatikana kwa kipekee kupitia Meridianbet. Kwa wapenzi wa michezo mipya, huu ni ujio unaostahili kupewa nafasi kwani unakuletea safari yenye msisimko na mazingira yanayokualika kugundua nguvu ya Fortune Eagle. Thunder Riches: Fortune Eagle umeundwa kwa ajili…
Klabu ya Barcelona imekamilisha usajili wa kipa wa kimataifa wa Croatia, Dominik Livaković, kutoka Fenerbahçe, akitia saini mkataba wa miaka minne utakaomuweka klabuni hapo hadi Juni 2030. Livaković, mwenye umri wa miaka 31, amejiunga na mabingwa hao wa LaLiga kwa ada ya awali ya takribani €2 milioni, huku thamani ya uhamisho huo ikitarajiwa kufikia hadi…
FK Kauno Žalgiris watapokea Beşiktaş katika uwanja wa Darius ir Girėnas Stadium, jijini Kaunas, Lithuania, Alhamisi Agosti 27, 2026, saa 20:00 katika mechi ya marudiano ya raundi ya kufuzu (play-off) ya UEFA Europa League msimu wa 2026/27. Mshindi wa mzunguko huu atajiunga na hatua ya makundi makuu ya mashindano hayo. Mechi ya kwanza iliyochezwa Istanbul,…
Liverpool imefikia makubaliano ya awali yenye thamani ya takribani Shilingi bilioni 418 (£120 milioni) na Paris Saint-Germain (PSG) kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji wa pembeni wa Ufaransa, Bradley Barcola. Makubaliano hayo bado hayajakamilishwa rasmi, lakini hatua hiyo imeelezwa kuwa ni mafanikio makubwa katika mazungumzo ya muda mrefu kati ya Liverpool na PSG kuhusu uhamisho wa…
Mwandishi mahiri wa habari za michezo nchini Tanzania, Saleh Ally (@salehjembefacts), amefanya mahojiano maalum (exclusive interview) na Global TV, ambapo amefunguka kwa kina kuhusu safari yake ya uandishi wa habari za michezo na mambo mbalimbali ambayo wengi hawakuyajua kuhusu maisha yake ya kikazi. Katika mahojiano hayo, Saleh Ally amezungumzia kwa undani safari yake katika taaluma…
Wapenzi wa burudani za kasino, safari mpya imeanza Meridianbet kupitia 3 Fisher Cats, mchezo wa kuvutia kutoka Amigo unaowaleta paka watatu wajanja kwenye misheni ya kutafuta samaki na hazina mbalimbali. Safari hii imejaa mandhari ya kuvutia, raundi zenye msisimko na matukio yanayoweza kufanya kila hatua iwe ya kipekee. Kwa wanaopenda kugundua michezo mipya, 3 Fisher…