Manchester City Yashinda 5-3, Haaland Aweka Rekodi

MANCHESTER, England — Manchester City imepata ushindi wa mabao 5-3 dhidi ya Sunderland katika mchezo wa Ligi Kuu England uliochezwa Uwanja wa Etihad, Septemba 20, 2026, katika mchezo uliokuwa na drama kubwa. Erling Haaland ndiye aliyehitimisha mchezo huo kwa kufunga bao la tano la City dakika ya 82, likiwa bao lake la 10 msimu huu….

Read More

Pia Sloti Yaleta Safari Mpya ya Jackpot Kwenye Meridianbet

Mchezo wa kasino unapokuwa na simulizi, mandhari na msisimko wa kutosha, kila mzunguko unaweza kuhisi kama safari mpya. Hivyo ndivyo ilivyo kwa Pia Sloti, mchezo unaozidi kuvutia wapenzi wa burudani kupitia Meridianbet. Kutoka kwenye muonekano wake hadi kwenye uwezekano wa jackpot, mchezo huu umebeba ladha inayomfanya mchezaji kutaka kuona kitakachojitokeza katika raundi inayofuata. Safari inaanzia…

Read More

Yanga SC 1-0 Saint George SC Kamwe atoa neno

Wakati ubao wa Uwanja wa Uhuru Septemba 18, 2026 ukisoma  Yanga SC 1-0 Saint George SC, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Yanga SC amesema kuwa hayo ni maandalizi kwa mechi zinazofuata. Katika mchezo huo wa kirafiki dakika 45 za awali ngoma ilikuwa 0-0 kwa timu zote uwanjani. Bao pekee kwa Yanga SC limefungwa…

Read More

FORTUNE FARM: Shamba la Bahati Linalokupeleka Kwenye Ngazi Tatu za Bonasi

Kuna wakati ambapo safari ya ushindi huanza kwa hatua ndogo, lakini hujenga msisimko mkubwa kadri inavyoendelea. Hiyo ndiyo simulizi inayopatikana ndani ya Fortune Farm ya Meridianbet, mchezo wa kasino unaokupeleka kwenye shamba la bahati lenye mandhari ya kipekee. Hapa, dau lako linakuwa mwanzo wa safari ya kufuatilia gurudumu la bonasi, Wilds na vizidishi vinavyoweza kuongeza…

Read More

Serikali Yatoa Tamko Kuhusu Jezi Mpya Za Timu Za Taifa

Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imetoa ufafanuzi kuhusu jezi za timu za taifa kufuatia mjadala uliotokana na mchakato wa kuzibadilisha na kuishirikisha Wizara katika maelekezo yaliyotolewa mwezi Februari 2026. Katika taarifa yake ya Septemba 18, 2026, Wizara imesema Serikali inaendelea kuweka fedha nyingi katika maandalizi ya timu za taifa zinazoshiriki mashindano ya kimataifa,…

Read More