Alisha Lehmann Aonyesha “Batmobile” Yake ya Pauni 130,000
Mchezaji wa soka wa kimataifa, Alisha Lehmann, amewaacha wengi midomo wazi baada ya kuonyesha gari…
Mchezaji wa soka wa kimataifa, Alisha Lehmann, amewaacha wengi midomo wazi baada ya kuonyesha gari lake jipya linalofanana na “Batmobile” linalodaiwa kuwa na thamani ya takribani pauni 130,000. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 27, ambaye amewahi kutajwa mara kadhaa kwenye mitandao ya kijamii kutokana na mvuto wake na umaarufu wake uwanjani, alihama kutoka klabu…
Magwiji wa ndondi, Mike Tyson na Floyd Mayweather Jr., wanatarajiwa kukutana katika pambano la maonyesho litakalofanyika Aprili 4, 2026 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Pambano hilo linatajwa kuwa la kihistoria, likirejesha kumbukumbu za mapambano makubwa yaliyowahi kufanyika barani Afrika, hususan tukio maarufu la Rumble in the Jungle lililowakutanisha Muhammad Ali na George Foreman…
Serikali kupitia Baraza la Michezo la Taifa (BMT) imeidhinisha rasmi marekebisho ya Katiba ya Simba Sports Club baada ya kukamilika kwa mchakato wa kisheria uliokuwa unasimamiwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Michezo. Hatua hiyo inafuatia maelekezo yaliyotolewa Februari 16, 2026 na Paul Makonda, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, ambaye alimwagiza Msajili…
Je unajua kuwa Meridianbet ndio wakali wa Odds Tanzania?. Yaani namaanisha kuwa ukitaka Odds kubwa na za kibabe wewe njoo hapa na ubashiri leo. Lakini pia unaweza ukaibuka bingwa kwani machaguo ni mengi hapa. Inter Milan watakuwa ugenini kukiwasha dhidi ya Bodoe/Glimt ambao ni moja kati ya timu ambazo zimewashangaza wengi sana baada ya kuzifunga…
Meridianbet Tanzania inakuletea mchezo mpya unaokufanya ujisikie mpenzi wa ushindi, Gates of Love. Mchezo huu wa sloti una msisimko mkubwa, ukiunganisha mandhari ya Valentine yenye rangi za kupendeza, sauti za kuvutia, na fursa ya kushinda hadi x5,000 kwa mzunguko mmoja. Gates of Love inakuza msisimko kupitia mfumo wake wa tumbling reels, ambapo alama zinazofanana hupotea…
Simba SC 3-0 Greenland FC matokeo ya dakika 90 mchezo wa CRDB Federation Cup hatua ya 64 bora Uwanja wa Mej Isahmuyo. Magoli ya Simba SC yamefungwa na Baraka Mwangosi dakika ya 13, Anthony Mligo dakika ya 45 na kamba ya tatu imefungwa na Neo Maema dakika ya 90. Mwangosi amefunga goli hilo akitumia makosa…
Hatimaye presha inaanza! Kuanzia leo Februari 17,2026 vilabu vikubwa barani Ulaya vitapigania heshima na nafasi ya kusonga mbele katika hatua ya mtoano ya UEFA Champions League. Mechi za leo Februari 17, 2026 Galatasaray vs Juventus Monaco vs Paris Borussia Dortmund vs Atalanta Benfica vs Real Madrid Februari 18, 2026 Qarabağ vs Newcastle Club Brugge vs…
KIWANGO cha mastaa wa Yanga SC walichoonesha mchezo wa mwisho hatua ya makundi vs JS Kabylie kimemkosha Kocha Mkuu Pedro Goncalves kwa kubainisha kwamba wachezaji walijituma bila kuchoka. Katika mchezo huo wa makundi uliochezwa New Amaan Complex, Februari 15 2026 baada ya dakika 90 ubao ulisoma Yanga SC 3-0 JS Kabylie ukiwa ni ushindi mkubwa…
Winga wa England, Jadon Sancho, alionekana jijini Paris akiwa ameshikana mikono na mpenzi wake, rapa wa Marekani Saweetie, katika tukio lililoonyesha wazi mahusiano yao hadharani. Sancho, anayekipiga kwa mkopo katika klabu ya Aston Villa akitokea Manchester United, alionekana akiwa amevalia beanie nyeusi, jaketi la ngozi, fulana nyeusi na jeans, huku Saweetie (32) akivutia kwa koti…
Michuano ya Kombe la Shirikisho la CRDB (CRDB Bank Federation Cup) inaendelea kutimua vumbi leo kwa mechi mbili ambapo Wekundu wa Msimbazi, Simba Sc watakuwa wenyeji wa Greenland FC katika dimba la Meja Janerali Isamuhyo majira ya saa 1:00 usiku. Mapema saa 10:00 jioni Wakusanya ushuru wa Jiji la Dar, KMC FC watakuwa wenyeji wa…
Kiungo nyota wa Burkina Faso, Stephane Aziz Ki, ambaye hivi karibuni ameondoka Wydad Athletic Club na kujiunga na Al Ittihad Club ya Libya, amemzawadia mke wake, Hamisa Mobetto, gari la kifahari aina ya Mercedes Benz G-Class (G-Wagon) lenye thamani zaidi ya TSh milioni 300. Zawadi hiyo imekuja ikiwa ni maadhimisho ya mwaka mmoja wa ndoa…
Taarifa zinadai kuwa Shirikisho la Soka la Angola (FAF) lipo kwenye mazungumzo na kocha Florent Ibenge (64) ili kuwa kocha mkuu mpya wa timu ya taifa ya Angola. Ibenge anatajwa kuchukua nafasi ya Patrice Beaumelle (47), kocha raia wa Ufaransa ambaye hivi karibuni aliondoka kwa makubaliano ya pande zote na shirikisho hilo na kwenda zake…
Je unajua kuwa Meridianbet ndio wakali wa Odds Tanzania?. Yaani namaanisha kuwa ukitaka Odds kubwa na za kibabe wewe njoo hapa na ubashiri leo. Lakini pia unaweza ukaibuka bingwa kwani machaguo ni mengi hapa. PSG atakuwa ugenini kukiwasha dhidi ya AS Monaco huku hawa wote wakiwa wanakipiga kule ligi kuu ya Ufaransa yaani LIGUE 1….
Kinara wa michezo ya kubashiri mtandaoni, Meridianbet, inaongeza nguvu kwenye ulimwengu wa kasino kwa kuleta Mystery Multiplier, promosheni inayobadili mtazamo wa kawaida wa kucheza na kuufanya kuwa fursa halisi ya ushindi. Kupitia kampeni hii, kila mzunguko una nafasi ya kukuletea zawadi ya papo hapo, na kufanya kila dau kuwa mwanzo wa safari mpya ya mafanikio….
Paul Makonda, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, amemtaka Msajili wa Vyama vya Michezo nchini, Abel Ngilangwa, kuipa majibu Simba Sports Club kuhusu kinachoendelea katika mchakato wa mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji wa klabu hiyo. Agizo la Kukamilisha Ndani ya Mwezi Akizungumza, Waziri Makonda amesema msajili anatakiwa kuhakikisha kuwa kabla ya mwezi huu kumalizika,…
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda, ameweka wazi kuwa, Kocha Miguel Gamondi amesaini rasmi mkataba wa miaka miwili wa kuifundisha timu ya Taifa ya soka ya Tanzania (Taifa Stars). Waziri Makonda amesema hayo wakati akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam leo Februari 16, 2026, wakati wa Hafla ya…
Kule Uingereza hasa mitaa ya London, Arsenal wanazidi kung’ara siku hadi siku baada ya kuendelea kufanya vizuri kwenye mashindano yote ambayo wanashiriki ikiwemo EPL mpaka yale ya UEFA huku ikiwa ni timu mojawapo inayopewa nafasi ya kushinda mataji msimu huu. Arsenal wanaendelea kuthibitisha kuwa mafanikio ya sasa si bahati, bali ni matokeo ya mpango madhubuti,…