Lamine Yamal Aibua Gumzo Baada ya Kuinua Bendera ya Palestina
Nyota chipukizi wa FC Barcelona na timu ya taifa ya Spain, Lamine Yamal, ameibua mjadala…
Nyota chipukizi wa FC Barcelona na timu ya taifa ya Spain, Lamine Yamal, ameibua mjadala mkubwa mitandaoni baada ya kuonekana akiinua bendera ya Palestine wakati wa sherehe za ubingwa wa La Liga zilizofanyika mitaani Jumatatu. Tukio hilo lilitokea saa chache baada ya Barcelona kuifunga Real Madrid mabao 2-0 katika mchezo wa El Clásico, ushindi uliowahakikishia…
Leo hii wakali wa ubashiri Tanzania wanakwambia kuwa kila mechi ni fursa kwako kutengeneza pesa na BET BUILDER. Chagua timu zako uzitakazo na ubashiri kupitia chaguo hili ambalo linakufanya upate Odds mara dufu kwenye timu zako. Je unapenda ushindi mkubwa?. Basi nafasi hii unaipata kwa wakali wa ubashiri Tanzania nzima kupitia chaguo la BET BUILDER…
Burudani ya mtandaoni imeingia kiwango kipya kabisa, na Meridianbet inaongoza safari hiyo kwa kuleta uzoefu wa kasino uliojaa ubunifu na msisimko wa kisasa. Kwa kushirikiana na Aspect Gaming na Superspade Games, jukwaa hili linawapa wachezaji nafasi ya kufurahia michezo ya kiwango cha kimataifa kwa mtindo wa kidijitali unaovutia zaidi. Aspect Gaming inaleta mabadiliko makubwa kwenye…
Mashabiki wa West Ham United F.C. wameonyesha hasira kubwa kufuatia uamuzi tata wa VAR uliowanyima bao la kusawazisha katika mchezo dhidi ya Arsenal F.C. uliomalizika kwa ushindi wa mabao 1-0 kwa Arsenal. Katika dakika ya 95, Callum Wilson alifunga bao lililoonekana kuisawazishia West Ham lakini mwamuzi Chris Kavanagh alilibatilisha baada ya ukaguzi wa VAR kubaini…
KAMPUNI ya MultiChoice Tanzania kupitia huduma yake ya DStv imezindua rasmi kampeni maalum kuelekea mashindano ya FIFA World Cup 2026, huku ikiahidi kuwaletea Watanzania burudani ya kiwango cha juu kupitia matangazo ya moja kwa moja ya mechi zote za michuano hiyo mikubwa duniani. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Mkuu wa Masoko wa kampuni hiyo, Ronald…
FC Barcelona imetwaa ubingwa wa La Liga kwa mara ya pili mfululizo baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya mahasimu wao wa jadi, Real Madrid CF, katika mchezo wa El Clasico uliopigwa kwenye dimba la Camp Nou. Barcelona imeandika historia kwa kutwaa taji hilo la 29 la LaLiga kwa namna ya kipekee,…
YANGA imetozwa faini ya Sh milioni 30 kwa kosa la wachezaji pamoja na maofisa wa benchi la ufundi kukataa kutumia chumba rasmi cha kuvalia katika Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo Stadium na badala yake kutumia nyumba iliyopo nje ya uwanja huo upande wa pili wa barabara. Tukio hilo lilitokea Mei 3, 2026 wakati wa mchezo…
Kiungo mshambuliaji wa Simba SC, Clatous Chama ametwaa tuzo ya Man of the Match mara baada ya mchezo. Mwamba wa Lusaka alifunga goli moja katika mchezo huo alikuwa kwenye ubora. Inakuwa ni tuzo yake ya tatu mfululizo kwenye mechi za Mei. Alianza kukusanya tuzo Simba SC 2-2 Yanga SC, hapa alifunga goli moja na pasi…
Simba SC 4-0 Tanzania Prisons ni matokeo ya mchezo wa NBC Premier League, Mei 10, 2026 uliokuwa na ushindani mkubwa. Magoli yakifungwa na Morice Abraham dakika ya 27, Clatous Chama dakika ya 41, Seleman Mwalimu dakika ya 43 na Ismail Traore dakika ya 61. Mwalimu alikosa penati dakika ya 11 baada ya Anthon Mligo kuchezwa…
Bila Intanenti ni rahisi kabisa kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kushindania Samsung A26 na Meridianbet leo. Jumatano ya Zawadi ipo kwaajili yako siku ya leo inaweza kukupa furaha sana. Jumatano hii haifanani na nyingine yoyote. Ni siku ambayo Meridianbet inawasha moto wa bahati kwa njia ambayo haijawahi kutokea. Kwa mara nyingine tena, wateja wote wanaopenda kubashiri…
Jangwa la Arabuni limejaa siri za utajiri mkubwa na sasa Meridianbet imekupa nafasi ya kuzifikia kupitia mchezo wenye msisimko wa hali ya juu. Kila mzunguko ni safari mpya yenye nafasi ya kuibuka mshindi mkubwa. Mchezo huu umeundwa kwa wale wanaopenda changamoto na ushindi wa kweli. Ukiwa na nafasi ya kushinda hadi mara 5,000 ya dau…
Pata shika Leo Mei 9 saa 10:00 usiku Uwanja wa Spotify Camp Nou utakuwa mwenyeji wa mchezo wa El Clasico kati ya Barcelona nafasi ya 1 na Real Madrid nafasi ya 2. Barcelona wakiongoza Ligi wakiwa na pointi 88, wana pointi 11 mbele ya Real Madrid walio na pointi 77 . Kwa tofauti hiyo, wanahitaji…
Mwanariadha nyota wa Tanzania, Alphonce Simbu ametwaa tuzo ya Mwanamichezo Bora wa Kiume wa Mwaka katika Tuzo za Baraza la Michezo la Taifa (BMT) 2025. Tuzo hiyo imekabidhiwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwigulu Lameck Nchemba katika hafla iliyofanyika katika Ukumbi wa The Super Dome Masaki jijini Dar es Salaam. Tuzo…
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amekabidhi Tuzo Maalum ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa Waziri Mkuu, Mwigulu Lameck Nchemba, ikiwa ni kutambua mchango mkubwa wa Rais huyo katika maendeleo ya sekta ya michezo nchini. Makabidhiano hayo yamefanyika katika hafla ya Tuzo za Baraza la Michezo la Taifa (BMT) 2025 zilizofanyika katika…
Klabu ya USM Alger imepiga hatua muhimu kuelekea ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 1-0 dhidi ya Zamalek SC katika mchezo wa kwanza wa fainali uliopigwa nchini Algeria. Bao pekee la mchezo huo lilifungwa dakika ya 90+8 kupitia kwa Ahmed Khaldi na kuipa USM Alger ushindi muhimu…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amepongezwa kwa uongozi wake mahiri, dira pana na dhamira ya dhati ya kuwekeza katika sekta ya michezo ambapo chini ya Serikali ya Awamu ya Sita, sekta hiyo imepiga hatua kubwa ambazo leo zinashuhudiwa kwa fahari, kuongezeka hamasa, ushindani na mafanikio ya timu na wanamichezo…
Simba SC imetwaa tuzo ya Klabu Bora ya Wanaume wa Mwaka 2025 katika Tuzo za Baraza la Michezo la Taifa (BMT) zilizofanyika Mei 9, 2026 katika Ukumbi wa The Super Dome, Masaki, Dar es Salaam. Tuzo hiyo ilikabidhiwa na Gerson Msigwa na kupokewa na Zubeda Sakuru. Washindi wengine wakuu ni: Alphonce Simbu — Mwanamichezo Bora…