Alphonce Simbu Aibuka Mwanamichezo Bora wa Kiume BMT 2025
Mwanariadha nyota wa Tanzania, Alphonce Simbu ametwaa tuzo ya Mwanamichezo Bora wa Kiume wa Mwaka…
Mwanariadha nyota wa Tanzania, Alphonce Simbu ametwaa tuzo ya Mwanamichezo Bora wa Kiume wa Mwaka katika Tuzo za Baraza la Michezo la Taifa (BMT) 2025. Tuzo hiyo imekabidhiwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwigulu Lameck Nchemba katika hafla iliyofanyika katika Ukumbi wa The Super Dome Masaki jijini Dar es Salaam. Tuzo…
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amekabidhi Tuzo Maalum ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa Waziri Mkuu, Mwigulu Lameck Nchemba, ikiwa ni kutambua mchango mkubwa wa Rais huyo katika maendeleo ya sekta ya michezo nchini. Makabidhiano hayo yamefanyika katika hafla ya Tuzo za Baraza la Michezo la Taifa (BMT) 2025 zilizofanyika katika…
Klabu ya USM Alger imepiga hatua muhimu kuelekea ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 1-0 dhidi ya Zamalek SC katika mchezo wa kwanza wa fainali uliopigwa nchini Algeria. Bao pekee la mchezo huo lilifungwa dakika ya 90+8 kupitia kwa Ahmed Khaldi na kuipa USM Alger ushindi muhimu…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amepongezwa kwa uongozi wake mahiri, dira pana na dhamira ya dhati ya kuwekeza katika sekta ya michezo ambapo chini ya Serikali ya Awamu ya Sita, sekta hiyo imepiga hatua kubwa ambazo leo zinashuhudiwa kwa fahari, kuongezeka hamasa, ushindani na mafanikio ya timu na wanamichezo…
Simba SC imetwaa tuzo ya Klabu Bora ya Wanaume wa Mwaka 2025 katika Tuzo za Baraza la Michezo la Taifa (BMT) zilizofanyika Mei 9, 2026 katika Ukumbi wa The Super Dome, Masaki, Dar es Salaam. Tuzo hiyo ilikabidhiwa na Gerson Msigwa na kupokewa na Zubeda Sakuru. Washindi wengine wakuu ni: Alphonce Simbu — Mwanamichezo Bora…
Simba SC vs Tanzania Prisons kupigwa KMC Complex saa 1:00 jioni ukiwa ni mchezo wa NBC Premier League. Tayari viingilio vimetajwa ambapo mzunguko ni 10,000 na VIP 20,000 kushuhudia burudani ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba 6 kwa ubora. Kwenye msimamo Simba SC ni nafasi ya pili ikiwa na pointi 46 inakutana…
Yanga SC vs Coastal Union ni leo Mei 9, 2026 Uwanja wa KMC Complex saa 12:15 jioni. Langoni katika kikosi cha kwanza ameanza Djigui Diarra mabeki ni Yao, Boka, Nondo na Bacca. Viungo ni Duke Abuya, Maxi Nzengeli, Sheikhan Khamis, Allan Okello na Pacome huku mshambuliaji akiwa ni Prince Dube. Wachezaji wa akiba Masalanga, SureBoy,…
Leo Mei 9 saa 7:30 usiku, Uwanja wa Etihad utakuwa mwenyeji wa mchezo wa Ligi Kuu kati ya Manchester City ambao wanashikilia nafasi 2 na Brentford waliopo nafasi ya 7. City wakiwa na pointi 71 wapo nyuma ya Arsenal kwa pointi 5 lakini wana mchezo mmoja mkononi, hivyo ushindi ni lazima kwa ajili ya kukaa…
Yanga SC vs Coastal Union utachezwa mchezo mzuri leo Mei 9,2026 baada ya benchi la ufundi la wenyeji kubainisha hivyo. Wananchi ni mabingwa watetezi wanatarajia kuvaana na Coastal Union kwenye mchezo wa NBC Premier League, leo saa 12:15, Uwanja wa KMC Complex. Mchezo ulipita kwa Yanga SC ilipata ushindi wa goli 1-0 dhidi ya KMC…
Real Madrid imeripotiwa kuwatoza faini ya euro 500,000 kila mmoja viungo wake Federico Valverde na Aurélien Tchouaméni kufuatia kuhusishwa katika mzozo uliotokea wakati wa mazoezi ya timu hiyo. Kwa mujibu wa taarifa mbalimbali, wawili hao waliingia kwenye mabishano makali wakati wa mazoezi yenye ushindani mkubwa, kabla hali hiyo haijageuka kuwa ya vurugu na kuwalazimu makocha…
NBC Premier League inaendelea leo Mei 9 ambapo kuna michezo miwili mikali kwa wababe kusaka ushindi ndani ya uwanja. Saa 10:00 jioni, Singida Black Stars vs Mtibwa Sugar, Uwanja wa Airtel Saa 12:15, Yanga SC vs Coastal Union, Uwanja wa KMC Complex Ikumbukwe kwamba vinara wa ligi ni Yanga SC wakiwa na pointi 51 hawajapoteza…
Sio kila siku unapata nafasi ya kubadilisha maisha kwa vichenji kidogo tu. Meridianbet wamekuja na Diamond Jackpot ambayo inaweka kila kitu mezani, mechi 14, presha kali, na zawadi inayoweza kufika hadi Tsh Bilioni 2. Hii ni fursa ya vijana wanaotaka zaidi ya kawaida. Hapa hakuna ugumu wowote, unachagua matokeo ya mechi 14 za soka, na…
Shughuli imehitimishwa katika dimba la Sheikh Amri Abeid Stadium ambapo TRA United wameonyesha ubabe wao kwa kuibuka na ushindi mnono wa mabao 4-1 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu. Mchezo huo uliokuwa na kasi na ushindani mkubwa ulianza kwa pande zote kushambuliana, ambapo Azam FC walitangulia kupata bao kupitia Japhet Kitambala dakika…
Mabingwa watetezi NBC Premier League, Yanga SC wamebakiwa na mechi 9 kukamilisha msimu wa 2025/26. Hizi hapa mechi zijazo:- Tarehe Mechi Uwanja Mei 9, 2026 Yanga SC vs Coastal Union KMC Complex Mei 13, 2026 Dodoma Jiji FC vs Yanga SC Jamhuri, Dodoma Mei 22, 2026 Yanga SC vs Singida Black Stars KMC Complex Mei…
Inawezekana kabisa kupata Samsung Mpya kabisa kwa wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet. Kupitia promosheni yako ya Bet Online ndugu mteja una nafasi ya kuchukua Samsung A26 hapa. Katika msimu huu wa burudani na ushindani mkali ndani ya ulimwengu wa soka, Meridianbet imewasha moto mpya unaowapa wachezaji wote sababu ya kuongeza hamasa wanapotazama na kubashiri mechi…
NBC Premier League inaendelea ikiwa ni mzunguko wa pili msimu wa 2025/26 mabingwa watetezi ni Yanga SC wanaoongoza ligi na pointi 51. Mei 8, 2026 Ijumaa zinatarajiwa kuchezwa mechi mbili kali kwa wababe kusaka pointi tatu muhimu uwanjani. TRA United vs Azam FC, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, saa 10:00 jioni Namungo FC vs Mashujaa…
INAELEZWA kuwa uongozi wa Simba SC upo kwenye hesabu za kuinasa saini ya kiungo wa TRA United Ramadhan Chobwedo. Kiungo huyo amekuwa kwenye ubora katika mechi za hivi karibuni dhidi ya vigogo wa Kariakoo jambo ambalo linatajwa kuwavutia mabosi wa Simba SC. Mbali na Simba SC imekuwa ikitajwa kuwa hata watani wa jadi wa timu…