Mechi 5 zijazo Yanga SC NBC Premier League
MABINGWA watetezi wa NBC Premier League wapo nafasi ya kwanza wakiwa na pointi 38 baada…
MABINGWA watetezi wa NBC Premier League wapo nafasi ya kwanza wakiwa na pointi 38 baada ya mechi 16. Ratiba inaonyesha kuwa mchezo ujao kwa Yanga SC watakuwa nyumbani dhidi ya Wajelajela ambao wanapambania kubaki ndani ya ligi wakiwa nafasi ya 15. Hizi hapa mechi tano zijazo kwa Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Pedro Goncalves:…
Mohamed Salah mwenye miaka 33 raia wa Misri inaelezwa kuwa amekataa bonasi ya kiasi cha Pauni Milioni 20 (zaidi ya Sh64 bilioni) ili kuondoka Liverpool. Salah amefikia makubaliano ya kusitisha mkataba wake mwaka mmoja mapema, jambo litakaloifanya Liverpool kuokoa jumla ya Pauni Milioni 40.8 za mishahara na bonasi. Salah ilibidi asubiri mpaka 2027 kutokana na…
Ligi kuu ya Uturuki ni moja ya ligi pendwa sana hapa Ulimwenguni kwani imekuwa ikitoa matokeo ya ajabu inapokutana na timu zingine na kufanya watu wengi kuifatailia. Je msimu huu mpaka sasa wapo wapi? Klabu hii ya Galatasaray ni moja ya klabu zenye historia kubwa na ushawishi mkubwa ndani ya Süper Lig, na msimu huu…
Klabu ya Simba imetozwa faini ya shilingi milioni kumi (Tsh. 10,000,000) kufuatia mashabiki wake kuwarushia chupa za maji waamuzi wa mchezo baada ya kumalizika kwa mechi yao iliyomalizika kwa sare ya 1-1 dhidi ya Pamba Jiji FC. Tukio hilo lilitokea katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, wakati waamuzi walipokuwa wakitoka uwanjani baada ya…
Kesi inayomhusu mchezaji Mohammed Damaro Camara kuhusu uhalali wake wa kucheza kama raia wa Tanzania inasikilizwa leo na Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji. Shauri hilo limefunguliwa na Simba ambao wamepinga usajili wa mchezaji huyo kwa madai kuwa umefanyika kinyume na taratibu za FIFA kuhusu ubadilishaji wa uraia wa wachezaji (Switching of Nationality). Kwa…
Msanii mahiri wa muziki kutoka Tanzania, Harmonize, ameachia rasmi video mpya ya wimbo wake unaoitwa “Wewe,” ambao umeanza kupokelewa kwa hamasa kubwa na mashabiki wake. Video ya wimbo huo imebeba mandhari ya kuvutia yenye taswira za kisasa, zikichanganywa na scenes za kimahaba zinazoendana na ujumbe wa hisia ulio ndani ya wimbo wenyewe. Uteuzi wa rangi,…
Mlinda mlango wa klabu ya Young Africans SC, Djigui Diarra, amefungiwa kucheza mechi tatu pamoja na kutozwa faini ya shilingi milioni mbili (Tsh. 2,000,000) kutokana na makosa ya nidhamu yaliyotokea katika mchezo dhidi ya Mtibwa Sugar FC. Kwa mujibu wa taarifa za adhabu hiyo, Diarra ameadhibiwa baada ya kumshambulia mwamuzi wakati wa mchezo huo, tukio…
Timu ya Taifa ya Brazil chini ya kocha Carlo Ancelotti imekubali kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Ufaransa katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliopigwa kwenye dimba la Gillette Stadium, Marekani. Ufaransa ilianza kwa kasi ambapo nyota wake Kylian Mbappé aliifungia bao la kwanza dakika ya 32, kabla ya Hugo Ekitike kuongeza la pili dakika…
KIUNGO wa Azam FC, Feisal Salum ni namba moja kwa mastaa waliohusika katika magoli mengi ndani ya NBC Premier League 2025/26. Ni mabao 11 amehusika katika kikosi cha Azam FC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Florent Ibenge ndani ya ligi namba 6 kwa ubora. Fei amefunga jumla ya magoli 6 na ametoa pasi 5. Azam FC…
Katika mwendelezo wa juhudi zake za kuleta mabadiliko chanya kwenye jamii, Meridianbet imefanya tukio la kugusa mioyo kwa kutoa msaada wa vifaa vya usafi kwa watu waliolazwa Hospitali ya Mwananyamala. Msaada huu umefika kwa wakati muafaka, ukiwapa faraja na tabasamu katika kipindi hiki. Akizungumza kwa niaba ya kampuni, Nancy Ingram alieleza kuwa Meridianbet inaamini katika…
Miguel Gamondi, Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars amesema kuwa kushindwa kutumia nafasi mbili ambazo walipata kwenye mchezo ni sababu kushindwa kupata ushindi. Tanzania 0-1 Liechtenstein ni matokeo kwenye mchezo uliochezwa Machi 26,2026 kwenye FIFA Series, Uwanja wa Kigali, Rwanda. Gamondi amesema: “Kila mwenye macho ameona, tulipata nafasi mbili tukashindwa kuzitumia…
Usiku wa leo macho ya mashabiki wa soka yataelekezwa kwenye dimba la Estadi Ciutat De Valencia, ambapo timu ya taifa ya Ukraine itakuwa mwenyeji wa Sweden katika mchezo wa hatua ya mtoano wa kufuzu WC 2026, ambapo kwenye mechi hii unaweza kujizolea maokoto na Meridianbet. Mchezo huu umepewa jina la “kisasi” kutokana na kumbukumbu…
Singida Black Stars vs Azam FC kwenye NBC Premier League inatarajiwa kupigwa Aprili Mosi, 2026 kwa wawili hawa kusaka pointi 3 muhimu ndani ya dakika 90. Ni Uwanja wa Airtel mchezo huu utachezwa ampao wenyeji ni Singida Black Stars watawakaribisha Azam FC kwenye mchezo wa ligi. Wenyeji Singida Black Stars kwenye mechi mbili zlizopita Machi…
Tanzania vs Liechtenstein ni leo kwenye FIFA Series ambayo mashindano maalum, yaliyo kwenye kalenda ya FIFA. Mashaindano haya yanalenga kuhakikisha timu zinajiandaa na mashindano mbalimbali makubwa yanafanyika nchini Rwanda. Miguel Gamondi, Kocha Mkuu wa Tanzania amesema wapo tayari kwa mchezo wa leo kutokana na maandalizi ambayo wameyafanya kukabiliana na Liechtenstein. Tanzania imesafiri na kikosi cha…
Kila mchezaji anajua kuwa bahati hubadilika, lakini sasa unaweza kufaidika hata siku ambayo haijawa yako. Kupitia Meridianbet, promosheni ya Lucky Friday imeletwa mahsusi kuhakikisha kila Ijumaa inaleta furaha mpya kwa wachezaji wote. Hii ni nafasi ya kugeuza mchezo wako kuwa faida, bila kujali matokeo. Ushiriki wake ni mwepesi na wenye kuvutia, cheza michezo ya Lucky…
Kocha wa Timu ya Taifa ya Mali, Tom Saintfiet ametangaza kikosi cha wachezaji 25 kwa ajili ya mechi mbili za kirafiki za Kalenda ya FIFA ya Machi 2026 huku golikipa wa Yanga SC, Djigui Diarra akiwa miongoni mwa wachezaji muhimu walioachwa kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo majeraha na mapumziko. Wachezaji wengine walioachwa ni pamoja na…
Mshambuliaji nyota wa Mohamed Salah ametangaza rasmi kuwa ataondoka ndani ya klabu ya Liverpool mwishoni mwa msimu huu, akihitimisha safari ya kihistoria ya miaka tisa ndani ya Anfield. Salah, mwenye umri wa miaka 33, ameondoka akiwa mchezaji huru (free transfer), jambo ambalo limewashtua mashabiki wengi wa soka duniani. Kupitia video ya kihisia aliyochapisha mtandaoni, Salah…