Singida Black Stars mpaka wakati ujao
BAADA ya kufungashiwa virago kwenye hatua ya robo fainali Muungano Cup 2026, Singida Black Stars…
BAADA ya kufungashiwa virago kwenye hatua ya robo fainali Muungano Cup 2026, Singida Black Stars wanarejea nyumbani kwa maandalizi ya mechi zijazo. Timu hiyo ilipoteza mchezo wa kwanza kwa kufungwa magoli 2-1 dhidi ya Mlandege ambao wametinga hatua ya nusu fainali. Timu hiyo ilianza kupata goli dakika ya 9 kupitia kwa Daud halikudumu mpaa mwisho…
Simba SC 1-0 Mafunzo FC ni matokeo rasmi mchezo wa hatua ya robo fainali Muungano Cup 2026. Goli la Simba SC limefungwa na Seleman Mwalimu dakika ya 54. Mchezaji huyo alianzia benchi amekuwa ni super sub. Katika dakika 45 za mwanzo wababe hawa wawili walishuhudia ubao wa Uwanja wa New Amaan Complex ukisoma Simba SC…
Yanga SC vs Azam FC Nusu fainali Muungano Cup ya kwanza Zanzbar kwa wababe hawa wawili kukutana ndani ya dakika 90 kusaka tiketi ya kutinga hatua ya fainal. Ipo wazi kwamba mabingwa watetezi wa taji hili ni Yanga SC iliyoanza kutinga hatua ya robo fainali kwa kupataushindi kwenye mchezo wa ufunguzi, hatua ya robo fainali….
Simba SC leo inashuka Uwanja wa New Amaan kusaka ushindi mbele ya Mafunzo FC hatua ya robo fainali Muungano Cup. Ni wazi kuwa Mafunzo FC wanahitaji ushindi kwenye mchezo wa leo hivo ushindani unatarajiwa kuwa mkubwa kwa timu zote mbili. Katika kikosi cha Simba SC ni Hussen Abel ameanza langoni wachezaji wengine ni Duchu, Mligo,…
KLABU ya Singida Black Stars imeondolewa Muungano Cup 2026 kwa kufungashiwa virago na Mlandege FC leo Aprili 23, 2026 katika mchezo wa hatua ya robo fainali. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa New Amaan Complex umesoma Mlandege 2-1 Singida Black Stars magoli matatu yakifungwa. Mlandege wamepindua meza kwa kuwa walianza kufungwa katika dakika…
Manchester United inaripotiwa kupanga mageuzi makubwa ya kikosi chake katika dirisha lijalo la usajili wa majira ya joto, ikiwa na orodha ya wachezaji tisa wanaofuatiliwa kwa karibu ili kuimarisha maeneo muhimu ya uwanja. Kwa mujibu wa taarifa, moja ya majina yanayoongoza kwenye orodha hiyo ni kiungo wa Brighton & Hove Albion, Carlos Baleba, ambaye Manchester…
Usiku wamaamuzi kuamuliwa leo Alhamisi kati ya Rayo Vallecano na Espanyol ni moja ya mechi muhimu kwa timu zote mbili zinazotaka kuwa mbali na eneo la kushuka daraja katika Ligi Kuu ya Uhispania. Ikiwa na tofauti ya pointi tatu tu, timu itakayoshinda inaweza kukwea hadi nafasi ya kumi au hata ya tisa, huku mshindi akijiepusha…
Manchester City imekwea rasmi kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya Uingereza kufuatia ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Burnley katika dimba la Turf Moor. Bao pekee la mchezo lilifungwa mapema dakika ya tano na mshambuliaji nyota Erling Haaland, akiendeleza ubora wake msimu huu na kuipa City alama tatu muhimu ugenini. Ushindi huo unaifanya…
Je unajua sikuhizi kubashiri kuna faida nyingi sana?. Mojawapo ni kurejeshewa pesa yako kwa 100% ambapo ukifata masharti na vigezo vya Meridianbet. Tengeneza jamvi lako leo na uwe mshindi. Meridianbet inawafahamisha wateja wake kuhusu promosheni maalum ya 100% Cash Back ambayo inalenga kuwapa wachezaji fursa ya kupata thamani zaidi wanaposhiriki katika michezo teule ya kubashiri….
Kombe la Muungano leo Jumatano Aprili 22, 2026 linaendelea ikiwa ni hatua ya robo fainali kwa wababe wawili kushuka uwanjani kusaka tiketi ya kutinga hatua ya nusu fainali. Uwanja wa New Amaan saa 1:15 usiku utapigwa mchezo mmoja utakaowakutanisha KVZ vs AzamFC. Kocha Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge amesema wapo tayari kwa mchezo huo…
KIKOSI cha Simba SC kinachonolewa na Kocha Mkuu,Steve Barker kimewasili Zanzibar leo Aprili 22, 2026 kwa maandalizi ya mwisho mchezo wa robo fainali Muungano Cup. Timu hiyo inatarajiwa kutupa kete yake ya kwanza Aprili 23, 2026 itakuwa dhidi ya Mafunzo SC, saa 2:15 usiku. Ikumbukwe kwamba mabingwa watetezi wa taji hilo ni Yanga SC ambao…
Patashika nguo kuchanika Leo tarehe 22 Aprili 2026, saa 10:30 usiku kwa saa za Afrika Mashariki, uwanja wa Spotify Camp Nou huko Barcelona utakuwa jukwaa la pambano la kusisimua la La Liga kati ya Barcelona na Celta Vigo. Barcelona wanaingia kwenye mechi hii wakiwa kileleni mwa msimamo wa La Liga wakiwa na pointi 76 baada…
Klabu ya Chelsea FC imejikuta katika kipindi kigumu baada ya kupoteza mechi tano mfululizo za Ligi Kuu England kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1993, huku pia ikishindwa kufunga bao katika mfululizo huo wa mechi hali ambayo haijawahi kutokea katika kipindi cha miaka 114. Matokeo hayo yamekuja baada ya kipigo cha mabao 3-0 kutoka kwa…
Nyota wa soka duniani Cristiano Ronaldo anaweza kuandika historia nyingine kubwa ya michezo iwapo atafanikiwa kucheza pamoja na mwanawe Cristiano Ronaldo Jr katika timu ya Al Nassr msimu ujao. Ripoti kutoka vyombo vya habari vya Kiarabu zinasema kuwa klabu hiyo ya Saudi Arabia inaangalia uwezekano wa kumuinua kijana huyo mwenye umri wa miaka 15 kutoka…
Klabu ya Yanga imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Muungano 2026 baada ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao 4-0 dhidi ya Muembe Makumbi City katika mchezo uliopigwa kwenye dimba la New Amaan Complex, Zanzibar. Yanga walionesha ubora wao mapema katika mchezo huo, wakitawala kabisa dhidi ya wapinzani wao na kupata bao…
Inawezekana kabisa kupata Samsung Mpya kabisa kwa wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet. Kupitia promosheni yako ya Bet Online ndugu mteja una nafasi ya kuchukua Samsung A26 hapa. Katika msimu huu wa burudani na ushindani mkali ndani ya ulimwengu wa soka, Meridianbet imewasha moto mpya unaowapa wachezaji wote sababu ya kuongeza hamasa wanapotazama na kubashiri mechi…
Vita inazidi kuwa kali huko Uingereza ambapo baada ya kubakia mechi chache sasa timu zinapambana kwa hali na mali kusaka nafasi ya kufuzu kwenye Uefa, wengine Europa. Je vipi The Blues watapita?. Jumanne hii hapa kule Uingereza kutakuwa na mchezo mmoja wa EPL kati ya Brighton & Hove Albion dhidi ya Chelsea ambao wamekuwa na…