Waamuzi wa Kimataifa Wateuliwa Kwa Mchezo wa Simba na Yanga Mei 3, 2026
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara imewatangaza waamuzi kutoka nchini Morocco kwa ajili ya kuchezesha…
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara imewatangaza waamuzi kutoka nchini Morocco kwa ajili ya kuchezesha mchezo mkubwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakaowakutanisha watani wa jadi, Simba na Yanga, mchezo unaosubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa soka nchini. Mwamuzi wa kati katika mchezo huo atakuwa Hamza El Fareq, akisaidiwa na mwamuzi msaidizi Lahsene Agaou….
Manchester United vs Liverpool inatarajiwa kuwa moja ya mechi kubwa zaidi ya msimu, huku pande zote mbili zikiwania nafasi muhimu ya kufuzu Ligi ya Mabingwa Ulaya. Manchester United wanahitaji pointi mbili pekee kuhakikisha wanamaliza katika nafasi ya juu inayowapa tiketi ya Ulaya. Kwa sasa wako nafasi ya tatu, wakiwa mbele ya wapinzani wao kwa pointi…
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema yapo mazungumzo yanaendelea ili kuwaleta nchini mabondia Mike Tyson na Floyd Mayweather. Makonda amesema hayo Mei 1, 2026 wakati akizungumza kwenye msimu wa nane wa pambano la ngumi la Vita ya Kisasi (Knockout ya Mama) ambapo, Bondia Assemahle Wellem ametetea ubingwa wake wa WBO Afrika…
Muungano Cup 2026 imefika tamati huku rekodi zikiwa zimeandikwa kwa wachezaji na Klabu ya Simba SC kutwaa taji hilo. Hapa tumekuletea orodha ya wachezaji waliotwaa tuzo ya Man of the Match katika kila hatua namna hii: Hatua Mechi/Timu husika Mchezaji aliyechaguliwa Robo fainali Yanga SC vs Muembe Makumbi Shekhan Khamis (Yanga SC) Nusu fainali Yanga…
Simba SC vs Yanga SC ni mchezo unaofuata kwenye ratiba ya NBC Premier League kwa wababe hawa wawili kusaka pointi tatu muhimu ndani ya dakika 90. Vinara ni Yanga SC wakiwa na pointi 47 huku Simba SC ikiwa nafasi ya pili na pointi 42 tofauti ya pointi 5 kwa wababe hawa wawili. Katika mchezo wa…
Wikendi ndio hiyo imeanza ambapo mechi za ligi mbalimbali Duniani zinatarajiwa kuendelea. Kule Uingereza, Hispania na Italia zipo mechi jkibao za pesa. Ingia na ujisajili siku ya leo. Tukianza na LALIGA leo Girona atamenyana dhidi ya Mallorca ambao mpaka sasa wanashika nafasi ya 17 huku wenyeji wao wakiwa nafasi ya 15 kwenye msimamo wa ligi….
Simba SC inajiandaa kwa mchezo wa kipekee dhidi ya Yanga, utakaofanyika Mei 3, 2026, katika Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo. Huu ni mchezo muhimu kwa timu ya Simba, kwani utakuwa na athari moja kwa moja kwenye ubingwa wa Ligi Kuu. Kuelekea kwenye mchezo huu, msemaji wa klabu, Ahmed Ally ametoa taarifa muhimu kuhusu maandalizi ya…
Rais wa Shirikisho la Soka Ulimwenguni, (FIFA), Gianni Infantino amethitibitisha kuwa Iran itashiriki mashindano ya Kombe la Dunia 2026 inayotarajiwa kuanza Juni 11 hadi Julai 19, 2026 licha ya mvutano kijiografia na kisiasa baina ya Marekani, Israel na Iran. Akizungumza kwenye Mkutano wa 76 wa FIFA huko Vancouver mnamo Aprili 30, 2026, Infantino alisema bila…
Kila kijana anapenda kufuatilia mechi, kujadili timu na kubashiri matokeo, lakini vipi kama ungeweza kufanya hii iwe chanzo cha faida zaidi? Meridianbet imekuja na ofa inayobadilisha kabisa mchezo wako kwa kukupa bonasi mara tatu mfululizo, ili kila dau lako liwe na thamani kubwa zaidi tangu mwanzo. Unapojiunga tu, unapata nafasi ya kuanza na hatua ya…
Maslahi ya kumtaka mshambuliaji wa Manchester United, Jadon Sancho, yanaendelea kuongezeka huku klabu mbalimbali zikianza kuonyesha nia ya kumsajili kuelekea dirisha la usajili la majira ya kiangazi. Kwa mujibu wa ripoti za Sky Sports, klabu moja kutoka Italia ambayo haijatajwa jina tayari imefanya mawasiliano ya awali kuulizia uwezekano wa kumsajili nyota huyo. Wakati huohuo, Borussia…
Vilabu vya Manchester United na Arsenal FC vinatajwa kuingia kwenye vita ya kuwania saini ya kiungo wa Newcastle United, Sandro Tonali, katika dirisha la usajili la majira ya kiangazi. Kwa mujibu wa ripoti mbalimbali, klabu zote mbili zimeonyesha nia ya kumtaka nyota huyo wa Italia, ambaye anatarajiwa kuwa miongoni mwa wachezaji wanaoweza kuondoka Newcastle mwishoni…
Manchester United kiungo Kobbie Mainoo ameongeza mkataba mpya wa muda mrefu utakaomuweka klabuni hapo hadi mwaka 2031, ikiwa ni dili la miaka mitano. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 alikuwa na mkataba uliotakiwa kumalizika 2027, lakini uongozi wa Manchester United umeamua kumpa masharti mapya yanayoendana na maendeleo yake na nafasi yake ya sasa kwenye…
Hii hapa ratiba ya Ligi Kuu ya NBC mzunguko wa 22 (msimu wa 2025/2026) kulingana na taarifa rasmi:
Rais wa Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF), Patrice Motsepe, ameongoza kikao muhimu cha viongozi wa soka wa Afrika kilichofanyika Jumatano, Aprili 29, 2026 jijini Vancouver, Canada. Kikao hicho kilihusisha marais wa mashirikisho yote 54 wanachama wa Confederation of African Football (CAF), ambapo walijadili kwa kina masuala ya maendeleo ya soka barani Afrika pamoja na…
Leo Alhamisi tarehe 30 Aprili saa 22:00 Uwanja wa Estadio de Vallecas utakuwa jukwaa la pambano la hatua ya nusu fainali ya Conference League kati ya Rayo Vallecano na Strasbourg. Mechi hii ni ya kihistoria kwa timu zote mbili, kwani zote zimefika hatua hii kwa mara ya kwanza katika historia yao. Rayo, wanaotoka kitongoji cha…
AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC amesema kuwa kuna raha kubwa kupata ubingwa kwa kumfunga mpinzani ambaye ni msumbufu kwa muda mrefu. Aprili 29, 2026 Yanga SC 0-1 Simba SC katika mchezo wa fainali Muungano Cup, Uwanja wa New Amaan Complex huku mfungaji akiwa ni Seleman Mwalimu dakika ya 124…
Siku hizi kubeti sio tu kuhusu kubahatisha, ni kuhusu kutumia nafasi sahihi kwa wakati sahihi. Meridianbet imeonyesha wazi kuwa inaelewa vijana wanahitaji nini, na matokeo yake yanaonekana. Ndani ya miezi mitatu ya mwanzo wa 2026, kampuni mama ya Meridian Holdings imeingiza zaidi ya dola milioni 50 kama faida, ishara tosha kuwa huu sio mchezo wa…