Singida Black Stars vs Azam FC Aprili Mosi 2026

Singida Black Stars vs Azam FC kwenye NBC Premier League inatarajiwa kupigwa Aprili Mosi, 2026 kwa wawili hawa kusaka pointi 3 muhimu ndani ya dakika 90. Ni Uwanja wa Airtel mchezo huu utachezwa ampao wenyeji ni Singida Black Stars watawakaribisha Azam FC kwenye mchezo wa ligi. Wenyeji Singida Black Stars kwenye mechi mbili zlizopita Machi…

Read More

Tanzania vs Liechtenstein ni leo FIFA Series

 Tanzania vs Liechtenstein ni leo kwenye FIFA Series ambayo mashindano maalum, yaliyo kwenye kalenda ya FIFA. Mashaindano haya  yanalenga kuhakikisha timu zinajiandaa na mashindano mbalimbali makubwa yanafanyika nchini Rwanda.  Miguel Gamondi, Kocha Mkuu wa Tanzania amesema wapo tayari kwa mchezo wa leo kutokana na maandalizi ambayo wameyafanya kukabiliana na Liechtenstein. Tanzania imesafiri na kikosi cha…

Read More

Mali Yazua Gumzo Baada ya Kuwaacha Wachezaji Wake Maarufu

Kocha wa Timu ya Taifa ya Mali, Tom Saintfiet ametangaza kikosi cha wachezaji 25 kwa ajili ya mechi mbili za kirafiki za Kalenda ya FIFA ya Machi 2026 huku golikipa wa Yanga SC, Djigui Diarra akiwa miongoni mwa wachezaji muhimu walioachwa kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo majeraha na mapumziko. Wachezaji wengine walioachwa ni pamoja na…

Read More

Mohamed Salah Atangaza Kuondoka Liverpool Bure Mwisho wa Msimu

Mshambuliaji nyota wa Mohamed Salah ametangaza rasmi kuwa ataondoka ndani ya klabu ya Liverpool mwishoni mwa msimu huu, akihitimisha safari ya kihistoria ya miaka tisa ndani ya Anfield. Salah, mwenye umri wa miaka 33, ameondoka akiwa mchezaji huru (free transfer), jambo ambalo limewashtua mashabiki wengi wa soka duniani. Kupitia video ya kihisia aliyochapisha mtandaoni, Salah…

Read More

Yanga Soccer School na EMWANI waja na mashindano bab kubwa

Yanga SC na Kampuni ya EMWANI wameandaa mashindano yatakayofanyika 28/03/2026 kituo cha TFF Kigamboni.  Ali Kamwe, Meneja wa Idara ya Habari amesema huo ni muitikio wa Watanzania katika mradi Yanga Soccer School na mshindi wa kwanza atapata milioni 3, mshindi wa pili milioni moja na watakaoishia nusu faiinali watapata laki 5. “Mradi wetu wa Yanga Soccer…

Read More

Dau Lako Dogo Linageuka Mamilioni Ukicheza Vaso Psycho

Sasa ni rasmi, Vaso Psycho kutoka Expanse imewasili ndani ya Meridianbet, na tayari imeanza kubadilisha namna wachezaji wanavyoiona kasino mtandaoni. Huu ni mchezo unaokupa zaidi ya burudani; unakupa nafasi ya kuandika historia yako ya ushindi kwa kila mzunguko unaoucheza. Kitu cha kwanza utakachogundua ni jinsi kila raundi ilivyo tofauti. Hakuna kubahatisha kwa mazoea hapa, mfumo…

Read More

Mpanzu afurahia kubaki ndani ya Simba SC

ELLIE Mpanzu winga wa Simba SC, raia wa DR Congo amesema kuwa ni furaha kwake kusalia katika familia ya timu hiyo kwa muda mwingine tena. Machi 23,2026 taarifa rasmi kutoka Simba SC ilieleza kuwa winga huyo mwenye pasi 5 za mabao msimu wa 2025/26 ndani ya NBC Premier League ameongeza kandarasi ya miaka miwili. Awali…

Read More