Simba SC 2-0 B19 FC

Simba SC 2-0 B19 FC katika mchezo wa hatua ya 32 CRDB Federation Cup, Uwanja wa Mej. General Isamuhyo. Watupiaji ni Inno Loemba dakika ya 22 kwa pigo la kichwa na Clatous Chama dakika ya 77 akitumia pasi ya Ellie Mpanzu. Mpanzu na Chama wote walianzia benchi mchezo wa leo. Chama alichukua nafasi ya kiungo…

Read More

Ujumbe kwa Kamati ya Saa 72

Takribani nusu siku tokea Kamati ya Saa 72 itangaze adhabu kadhaa kwa wakosefu ambao hakika wanapaswa kujirekebisha. Lakini wazi kuonaonekana ndani yake kuna SIASA na haiwezi kuwa msaada kwa wachezaji wetu, klabu au mpira wa Tanzania. Adhabu ya Mwalimu wa Simba ni sahihi kabisa na anapaswa kujifunza kwa kuwa alifanya shambulizi hata kama aliyeshambuliwa alianza….

Read More

Bonasi Za Kibabe Zinamiminika Ukicheza Zombie Apocalypse

Msisimko mpya umeikumba tasnia ya michezo ya kasino mtandaoni baada ya Meridianbet kuungana na wabunifu mahiri wa michezo, Expanse Studios, kuleta mchezo wa kipekee wa Zombie Apocalypse. Huu ni zaidi ya mchezo uliozoeleka machoni pa wengi, hapa unasisimka kwa michoro ya kuvutia, sauti na mandhari inayokuweka katikati ya mapambano ya ushindi. Kupitia ofa hii maalum,…

Read More

Wananchi Wapeta Singida! Yanga 3-0 Singida Black Stars

Singida Black Stars 0️⃣–3️⃣ Yanga SC Ushindi mnono kwa Wananchi baada ya kuonyesha ubora wao uwanjani! ⚽️ 39’ Dube ⚽️ 45+2’ Okello (Pen) ⚽️ 58’ Mudathir Kwa matokeo haya, Yanga wanafikisha alama 32 kileleni mwa msimamo wa ligi, huku watani zao Simba SC wakiwa na alama 24 na mechi moja mkononi. Mbio za ubingwa zinaendelea…

Read More