Simba SC vs Singida Black Stars NBC Premier League

Simba SC vs Singida Black Stars NBC Premier League ni mchezo unaofuata kwenye ratiba ya NBC Premier League, Juni 27, 2026 ukiwa ni mzunguko wa pili. Mchezo huu unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Meja Jenerali Isahmuyo kwa wababe hawa kusaka pointi 3 muhimu ndani ya dakika 90. Ni mchezo unaotoa taswira ya bingwa kupatikana mapema ama…

Read More

Yanga SC vs TRA United KMC Complex

Yanga SC vs TRA United ni mchezo unaofuata NBC Premier League kwa vinara wa NBC Premier kusaka pointi 3 Uwanja wa KMC Complex ukiwa ni mchezo wa 29. Kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza wababe hawa walitoshana nguvu kwa kugawana pointi mojamoja, huu mchezo unatarajiwa kuwa na  ushindani mkubwa. Aboutwalib Mshery, mlinda mlango wa Yanga…

Read More

Croatia vs Ghana FIFA Kombe la Dunia takwimu

Mchezo wa Croatia dhidi ya Ghana utakuwa na mvuto mkubwa kwa sababu kila timu ina malengo tofauti. Croatia wanahitaji ushindi ili kuendelea, huku Ghana wakihitaji sare tu kufuzu. Unatarajiwa kuchezwa Juni 28,2026, Uwanja wa Lincoln Financial Field, Philadelphia, Pennsylvania, Marekani. Takwimu Muhimu Croatia Ghana Alama: 3pts kutoka mechi 2 Alama: 4pts kutoka mechi 2 Matokeo:…

Read More

Mtibwa Sugar 0-3 Simba SC

UBAO wa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro umesoma Mtibwa Sugar 0-3 Simba SC ikiwa ni NBC Premier League mzunguko wa pili kwa wababe hawa wawili. Mabao yamefungwa na Rushine dakika ya 9 kwa penati, Seleman Mwalimu dakika ya 77 na Anicent Oura dakika 90. Matokeo haya yanaifanya Simba SC kufikisha pointi 67 nafasi ya pili tofauti…

Read More

Yanga SC 3-0 Azam FC

DAKIKA 90 zimekamilika kwa wababe wawili kumtambua mshindi nani katika mchezo wa NBC Premier League uliokuwa na ushindani mkubwa. Mwisho ubao wa Uwanja wa Amaan Zanzibar umesoma Yanga SC 3-0 Azam FC, pointi 3 zikibaki kwa wenyeji wa mchezo Juni 24, 2026 ikiwa ni mzunguko wa pili. Magoli yamefungwa na Ibrahim Bacca dakika 41, Depu…

Read More

Tunisia vs Netherlands Juni 26,2026 Kombe la Dunia

Tunisia vs Netherlands FIFA Kombe la Dunia 2026 unayakutanisha mataifa yenye historia tofauti, Juni 26, 2026 saa 8:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki. Mchezo huu utachezwa Uwanja wa Kansas City huku Tunisia wakiwa na kibarua kusaka ushindi kwa mara ya kwanza. Tunisia hawajashinda mechi yoyote katika michezo mitano iliyopita. Netherlands wanaingia wakiwa katika kiwango…

Read More