Presha Ya Ubingwa Yalipuka, Manchester City vs Crystal Palace Kitawaka!
Kama kawaida ni siku nyingine tena ya kuhakikisha huondoki patupu kwani wakali kadhaa watashuka dimbani…
Kama kawaida ni siku nyingine tena ya kuhakikisha huondoki patupu kwani wakali kadhaa watashuka dimbani kusakata kabumbu. Kila mechi iliyobaki ina umuhimu sana kwasasa. Je nani kuondoka na pointi 3 siku ya leo?. LIGUE 1 itaendelea huku nafasi ya wewe kutengeneza mkwanja ikiwa nje nje kabisa vinara wa ligi PSG watakuwa ugenini kumenyana dhidi ya…
Real Madrid CF wameweka msimamo thabiti kuhusu mustakabali wa Kylian Mbappé huku tetesi zikiongezeka kuhusu changamoto za tabia na mabadiliko yake tangu kujiunga na klabu hiyo. Ripoti mbalimbali zinaeleza kuwa ndani ya klabu kumekuwa na mijadala kuhusu namna nyota huyo wa Ufaransa alivyojumuika na kikosi, lakini uongozi wa Real Madrid umeamua wazi kwamba hakuna mpango…
Klabu ya soka ya Al Hilal Omdurman imeandika historia mpya katika soka la Afrika baada ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Rwanda msimu huu, licha ya kucheza uhamishoni kutokana na vita vinavyoendelea nchini Sudan. Miamba hiyo ya Sudan ilimaliza msimu kwa kiwango cha juu baada ya kukusanya pointi 70 katika michezo 30, wakifunga mabao…
MASHUJAA FC vs Simba SC NBC Premier Leagu Mei 13, 2026 saa 10:15 jioni tambo zimetawala kwa wenyeji kubainisha wapo tayari kwa mchezo huo. Kwenye msimamo Mashujaa FC ipo nafasi ya 9 ikiwa na pointi 26 inakutana na Simba SC iliyo nafasi ya pili na pointi 49 zote zimecheza mechi 22. Steven Ndorobo, Ofisa Habari…
Mashabiki wa soka duniani wamebaki MIDOMO WAZI baada ya dabi kali ya Riyadh kati ya Al-Nassr FC na Al-Hilal SFC kumalizika kwa sare ya 1-1 kwenye uwanja wa Al-Awwal Park! Kila kitu kilionekana kwenda upande wa Cristiano Ronaldo baada ya Mohamed Simakan kufunga bao safi dakika ya 37 kupitia krosi ya Kingsley Coman. Mashabiki wa…
Dodoma Jiji FC vs Yanga SC ni leo Mei 13, 2026 NBC Premier League Uwanja wa Airtel saa 10:15 jioni. Kwa mujibu wa Kocha Mkuu wa Yanga SC, Ahamid Moallin amesema kuwa wachezaji wote wapo tayari kwa mchezo isipokuwa Zimbwe Jr anafuatiliwa kwa ukaribu maendeleo yake. “Wachezaji wote wako salama na tayari kwa mchezo isipokuwa…
Rais wa Yanga SC, Eng. Hersi Ally Said, ameongoza kikao maalumu kilichojadili mustakabali wa mradi wa ujenzi wa Uwanja wa Klabu hiyo katika Makao Makuu ya Jangwani, Dar es Salaam. Kikao hicho kimehudhuriwa pia na Ghalib Said Mohammed (GSM), Rais wa GSM Group of Companies, ambaye ni mbia mkuu na mshindi wa zabuni ya ujenzi…
Dodoma Jiji FC vs Yanga SC kinawaka kesho Mei 13, 2026 Uwanja wa Airtel Singida ambapo kila timu inapambania pointi tatu muhimu. Yanga SC ni timu pekee ambayo haijapoteza mchezo ndani ya ligi namba nne kwa ubora inakutana na Dodoma Jiji FC ambayo imepoteza jumla ya mechi 7. Mlinda mlango wa Dodoma Jiji FC, Hussen…
AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC ameachia maswali kuhusu kiungo mshambuliaji Clatous Chama ambayo ameyapa jina la NECTA Form Four 2026 kupitia ukurasa wake wa Instagram namna hii:- 1 (a) What is Chama (b) Types of Chama (c) Characteristics of Chama (a) Chama is the Branch of football which deals…
Nyota chipukizi wa FC Barcelona na timu ya taifa ya Spain, Lamine Yamal, ameibua mjadala mkubwa mitandaoni baada ya kuonekana akiinua bendera ya Palestine wakati wa sherehe za ubingwa wa La Liga zilizofanyika mitaani Jumatatu. Tukio hilo lilitokea saa chache baada ya Barcelona kuifunga Real Madrid mabao 2-0 katika mchezo wa El Clásico, ushindi uliowahakikishia…
Leo hii wakali wa ubashiri Tanzania wanakwambia kuwa kila mechi ni fursa kwako kutengeneza pesa na BET BUILDER. Chagua timu zako uzitakazo na ubashiri kupitia chaguo hili ambalo linakufanya upate Odds mara dufu kwenye timu zako. Je unapenda ushindi mkubwa?. Basi nafasi hii unaipata kwa wakali wa ubashiri Tanzania nzima kupitia chaguo la BET BUILDER…
Burudani ya mtandaoni imeingia kiwango kipya kabisa, na Meridianbet inaongoza safari hiyo kwa kuleta uzoefu wa kasino uliojaa ubunifu na msisimko wa kisasa. Kwa kushirikiana na Aspect Gaming na Superspade Games, jukwaa hili linawapa wachezaji nafasi ya kufurahia michezo ya kiwango cha kimataifa kwa mtindo wa kidijitali unaovutia zaidi. Aspect Gaming inaleta mabadiliko makubwa kwenye…
Mashabiki wa West Ham United F.C. wameonyesha hasira kubwa kufuatia uamuzi tata wa VAR uliowanyima bao la kusawazisha katika mchezo dhidi ya Arsenal F.C. uliomalizika kwa ushindi wa mabao 1-0 kwa Arsenal. Katika dakika ya 95, Callum Wilson alifunga bao lililoonekana kuisawazishia West Ham lakini mwamuzi Chris Kavanagh alilibatilisha baada ya ukaguzi wa VAR kubaini…
KAMPUNI ya MultiChoice Tanzania kupitia huduma yake ya DStv imezindua rasmi kampeni maalum kuelekea mashindano ya FIFA World Cup 2026, huku ikiahidi kuwaletea Watanzania burudani ya kiwango cha juu kupitia matangazo ya moja kwa moja ya mechi zote za michuano hiyo mikubwa duniani. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Mkuu wa Masoko wa kampuni hiyo, Ronald…
FC Barcelona imetwaa ubingwa wa La Liga kwa mara ya pili mfululizo baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya mahasimu wao wa jadi, Real Madrid CF, katika mchezo wa El Clasico uliopigwa kwenye dimba la Camp Nou. Barcelona imeandika historia kwa kutwaa taji hilo la 29 la LaLiga kwa namna ya kipekee,…
YANGA imetozwa faini ya Sh milioni 30 kwa kosa la wachezaji pamoja na maofisa wa benchi la ufundi kukataa kutumia chumba rasmi cha kuvalia katika Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo Stadium na badala yake kutumia nyumba iliyopo nje ya uwanja huo upande wa pili wa barabara. Tukio hilo lilitokea Mei 3, 2026 wakati wa mchezo…
Kiungo mshambuliaji wa Simba SC, Clatous Chama ametwaa tuzo ya Man of the Match mara baada ya mchezo. Mwamba wa Lusaka alifunga goli moja katika mchezo huo alikuwa kwenye ubora. Inakuwa ni tuzo yake ya tatu mfululizo kwenye mechi za Mei. Alianza kukusanya tuzo Simba SC 2-2 Yanga SC, hapa alifunga goli moja na pasi…