Msichana wa Maisha Yangu mezani Julai 10, 2026
Tatizo la ajira lilikuwa limeota sugu katika kichwa cha Steven ambaye awali kabla ya kufika…
Tatizo la ajira lilikuwa limeota sugu katika kichwa cha Steven ambaye awali kabla ya kufika Dar aliamini kila mtu mjini ana kazi nzuri na ana hela zakutosha. Alizunguka kila ofisi na bahasha yake ya khaki iliyokuwa na CV milango ilikuwa migumu mithili ya chuma cha pua. Aliitambua kuna siri nzito nzito kuhusu wadukuaji wa akaunti,…
SIMBA SC imepata ushindi kwenye mchezo wa CRDB Federation Cup hatua ya fainali ikipata ushindi mbele ya mpinzani wake mkubwa Azam FC. Bao la ushindi limefungwa na Yahya Zayd kiungo wa Azam FC ambaye alijifunga dakika ya 62 wakati akipambana kuokoa faulo iliyopigwa na kiungo Ellie Mpanzu. Hili linakuwa taji la nne kwa Simba SC…
LEO Juni 4,2026 Simba SC vs Azam FC watamenyana mchezo wa fainali CRDB Cup, Uwanja wa Gombani huku Air Manula akianza langoni. Wengine ni Lusajo, Msindo, Lawi, Fuentes, Himid Mao, Sopu, Bin Zayd, Kitambala, Fei Toto, Idd Nado hawa watakuwa kikosi cha kwanza. Wachezaji wa akiba ni Foba, Twalib, Zouzou, Kibeku, Kanoute, Akamiko, Abah, Alobogast,…
Kikosi cha Simba SC dhidi ya Azam FC katika mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB tayari kimetangazwa. Ni Mzizima Dabi ambao utakwenda kumpata bingwa mpya mara baada ya mabingwa watetezi Yanga SC kuishia hatua ya nusu fainali. Azam FC waliwaondoa Yanga SC kwa ushindi wa mabao 3-2 katika mchezo uliokuwa na ushindani…
Ikiwa leo ni Jumamosi ya kwanza ya Mwezi July, Dunia inaenda kushuhudia mechi ya hadhi ya Nyota 5 kati ya Canada vs Morocco huku wote wakiwania nafasi ya kwenda Robo Fainali. Je nani kuendelea na safari kwenye michuano hii? Leo hii kutakuwa na mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 bora kati ya Canada dhidi…
Timu ya taifa ya Colombia imefuzu hatua ya 16 bora ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Ghana katika mchezo wa hatua ya 32 bora uliopigwa mjini Kansas City. Bao pekee la mchezo lilifungwa na Jhon Arias, aliyetikisa nyavu katika kipindi cha kwanza baada ya kupokea…
Timu ya taifa ya Misri imefuzu hatua ya 16 bora ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-2 kwa mikwaju ya penalti dhidi ya Australia kufuatia sare ya 1-1 iliyodumu hadi mwisho wa muda wa nyongeza. Mchezo huo uliochezwa jijini Dallas ulikuwa wa ushindani mkubwa, huku Misri ikionyesha ubora katika…
Kila kizazi kina burudani yake, na kwa kizazi cha sasa kinachopenda teknolojia, kasi na mshangao, Fury of Anubis Prize Drop imewasili kwa wakati sahihi. Meridianbet imefungua ukurasa mpya wa burudani kwa kuleta mchezo unaochanganya historia ya Misri ya kale na teknolojia ya kisasa ya kasino. Huu ni mchezo unaokualika kuingia kwenye safari ya kusisimua ambapo…
Kwa miaka mingi, wabashiri wamekuwa wakiamini kwamba fursa kubwa huja pale ambapo mtu anathubutu kujaribu. Falsafa hiyo ndiyo imeonekana kupewa uhai mpya kupitia promosheni ya Mzuka wa Mabingwa kutoka Meridianbet. Ikiwa umezoea kufuatilia michezo au kufurahia kasino mtandaoni, sasa unaweza kufanya hivyo huku ukifungua milango ya kushinda zawadi ambazo wengi wamekuwa wakiziota. Meridianbet imezindua promosheni…
Ni leo tena pale katika Dimba la Arlington ambapo mbele ya mashabiki kutashuhudia mpambano wa kukata na shoka kati ya Australia dhidi ya Misri huku kila timu ikitaka kumaliza kishujaa dakika zote 90. Hii ni mechi ambayo si Australia au Misri ambaye anataka kupata ushindi wa kusonga mbele kwenye michuano hii. Timu zote mbili zimeonyesha…
Aliyekuwa mshambuliaji wa Young Africans SC, Prince Dube, amekamilisha rasmi uhamisho wake na kujiunga na klabu ya Hardrock FC baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili. Dube amejiunga na klabu hiyo kufuatia kumalizika kwa mkataba wake na Yanga SC, ambako alikuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo kabla ya kurejea nchini kwao Zimbabwe. Hardrock FC…
Nahodha wa Ureno, Cristiano Ronaldo, ameendelea kuiweka hai ndoto yake ya kutwaa Kombe la Dunia baada ya kuiongoza timu yake kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Croatia katika mchezo wa hatua ya 32 bora. Ureno walijikuta wakitangulia kufungwa kipindi cha pili kupitia kwa Ivan Perisic, lakini walirejea mchezoni baada ya Ronaldo kufunga bao…
Switzerland imeandika historia kwa kuvunja ukame wa miaka 88 wa kushinda mchezo wa hatua ya mtoano wa Kombe la Dunia baada ya kuifunga Algeria mabao 2-0 na kutinga hatua ya 16 bora. Ushindi huo uliopatikana jijini Vancouver ulihitimisha rekodi mbaya ya Uswisi, ambao walikuwa wameondolewa katika michezo yao saba mfululizo ya hatua za mtoano za…
BAADA ya kufunga msimu wa 2025/26 wakiwa nafasi ya pili na pointi 73, uongozi wa Simba SC umebainisha kuwa mpango mkubwa kwa sasa ni mechi ya fainali dhidi ya Azam FC. Simba SC ilifunga msimu wa 2025/26 kwa kupata ushindi wa bao 1-0 KMC FC uliochezwa Juni 30,2026 Uwanja wa KMC Complex. Ahmed Ally, Meneja…
Sasa ni hatua ya mtoano imefika kwenye michuano hii ya Taji la Dunia ambapo timu moja pekee kuondoka na ushindi huo mkubwa Duniani. Je nani kupeperusha bendera ya Taifa lake? Leo hii Hispania vs Austria ni mechi ambayo inatrajiwa kuwa ya kiushindani sana kwani kila timu inahitaji kufuzu kwenye hatua ya 16, hivyo hii sio…
England imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya DR Congo national football team katika mchezo mkali wa Kombe la Dunia uliopigwa mjini Atlanta, Georgia nchini Marekani. DR Congo walianza kwa kasi na kupata bao la mapema dakika ya 7 kupitia Cipenga, wakishika uongozi na kuweka presha kubwa kwa England mapema kabisa kwenye mchezo….
FC Bayern Munich imekamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji wa Morocco, Ismael Saibari, akitokea PSV Eindhoven kwa ada inayoripotiwa kufikia dola milioni 63. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25 amesaini mkataba wa muda mrefu utakaomuweka Bayern hadi Juni 2031, na atavaa jezi namba 34 katika klabu hiyo ya Bundesliga. Bayern imethibitisha kuwa namba hiyo ina…