Brazil na Morocco Kukutana Katika Mchezo wa Kusisimua wa Kundi C
Nyota wa timu ya Taifa ya Brazil, Vinicius Junior, anatarajiwa kuwa mtu wa kuangaliwa zaidi…
Nyota wa timu ya Taifa ya Brazil, Vinicius Junior, anatarajiwa kuwa mtu wa kuangaliwa zaidi wakati Brazil itakapofungua kampeni yake ya Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Morocco usiku wa kuamkia kesho. Mshambuliaji huyo wa Real Madrid amesema mashindano haya ni muhimu zaidi katika maisha na taaluma yake, hasa baada ya nyota mkongwe Neymar kuondolewa…
Katika dimba la SoFi Stadium, timu ya taifa ya Marekani ilianza kampeni yake ya Kombe la Dunia kwa ushindi mkubwa wa mabao 4-1 dhidi ya Paraguay usiku wa Ijumaa. Nyota wa Marekani, Folarin Balogun, aliibuka shujaa wa mchezo huo baada ya kufunga mabao mawili katika kipindi cha kwanza, huku Marekani ikitengeneza historia kwa kuongoza kwa…
Wakati mataifa makubwa duniani yakipambana kuwania ubingwa wa Kombe la Dunia 2026, Meridianbet imeleta mashindano yatakayowapa mashabiki nafasi ya kushinda zawadi kubwa kupitia kampeni ya “Mbabe wa Dunia.” Kwa jumla ya zawadi zenye thamani ya TZS 100,000,000, huu ni wakati wa kufanya utabiri wako wa soka uwe na thamani zaidi kuliko hapo awali. Kampeni hii…
Mshambuliaji wa Canada, Cyle Larin, alitokea benchi na kuisadia timu yake kuambulia sare ya 1-1 dhidi ya Bosnia na Herzegovina katika mchezo wa ufunguzi wa Kundi B wa Kombe la Dunia uliochezwa Ijumaa mjini Toronto. Bosnia ilianza vizuri baada ya Jovo Lukic kufunga bao la kuongoza dakika ya 21 kwa kichwa, likiwa bao lake la…
Ikiwa unapenda ushindani na zawadi kubwa, basi Evoplay Summer Season of Legends imekuja kwa ajili yako. Meridianbet imeandaa mashindano maalum yanayowapa wachezaji nafasi ya kushindania zawadi kubwa yenye thamani ya hadi TZS 1,089,000,000. Kuanza ni rahisi sana. Weka dau lako kuanzia TZS 600 na kila raundi inayostahili itachangia safari yako ya kupanda kwenye msimamo. Kila…
Azam FC imeendelea kuonyesha ubora wake katika Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Fountain Gate FC kwenye mchezo uliopigwa katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha. Kikosi hicho cha Azam kilianza kutengeneza mazingira ya ushindi katika dakika ya 36 kupitia kwa Ngita aliyefunga bao…
MASHUJAA FC vs Yanga SC ni mchezo unaofuata kwenye ratiba ya NBC Premier League Juni 13, 2026 huku benchi la ufundi la mabingwa watetezi likibainisha kwamba lipo tayari kwa mchezo. Ahamid Moallin, Kocha Mkuu wa Yanga SC amesema wanatambua ushindani uliopo watapambana kupata matokeo mazuri uwanjani. “Hakuna mchezo rahisi katika ligi hii. Haijalishi tunacheza na…
Kama kawaida michuano hii mikubwa inatarajiwa kuendelea huku leo hii wababe wanne kushuka dimbani kusaka pointi 3 muhimu. Je nafasi ya kushinda unaiweka kwa nani?. Suka jamvi hapa. Kivumbi kitakuwa kwenye mechi ya Canada dhidi ya Bosnia and Herzegovina ambao hawapewi nafasi ya kuondoka na ushindi ndani ya Meridianbet kwani wenyeji wana kikosi chenye wachezaji…
Klabu ya Yanga SC imetangaza uteuzi wa Kamati ya Uchaguzi itakayosimamia mchakato wa uchaguzi wa klabu hiyo, huku Adv. Malangwe Mchungahela akiteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati hiyo. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Juni 13, 2026 na Idara ya Mawasiliano ya Yanga SC, Adv. Samuel Mangesho ameteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo. Wajumbe wengine…
GUADALAJARA, Mexico – Timu ya taifa ya Korea Kusini imeonyesha moyo mkubwa wa kupambana baada ya kutoka nyuma na kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Czech Republic katika mechi ya Kundi A ya Kombe la Dunia 2026 iliyochezwa Estadio Guadalajara. Korea Kusini ilitawala sehemu kubwa ya mchezo kwa soka la pasi nyingi na…
MEXICO CITY – Mwenyeji mwenza wa Kombe la Dunia 2026, Mexico, ameanza vyema kampeni yake ya michuano hiyo baada ya kuichapa Afrika Kusini mabao 2-0 katika mechi ya ufunguzi iliyochezwa kwenye Uwanja wa Estadio Azteca usiku wa Alhamisi. Julian Quinones aliandika historia kwa kufunga bao la kwanza la Kombe la Dunia 2026 dakika ya tisa…
Kama unapenda burudani ya kasino na zawadi za kisasa, Meridianbet imekuandalia fursa ambayo hutakiwi kuikosa. Kupitia promosheni ya Mzuka wa Mabingwa, wateja wa Airtel Money wanaweza kushinda Bajaj, PlayStation 5, Hisense TV, simu janja na mizunguko ya bure. Kushiriki ni rahisi na haraka. Weka TZS 5,000 au zaidi kupitia Airtel Money kisha cheza mchezo wowote…
Kiungo mshambuliaji wa Young Africans SC, Allan Okello, ametangazwa kuwa Mchezaji Bora wa Mwezi Mei wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2025/26 baada ya kuonyesha kiwango cha juu katika mechi za mwezi huo. Okello aling’ara kwa kufunga mabao tisa na kutoa pasi moja ya bao katika michezo sita, akichangia kwa kiasi kikubwa mafanikio ya…
Mwamuzi wa kimataifa kutoka Somalia, Omar Abdulkadir Artan, ametangazwa rasmi na UEFA kuwa mwamuzi wa mchezo wa UEFA Super Cup 2026 utakaowakutanisha mabingwa wa Ulaya, Paris Saint-Germain (PSG), dhidi ya mabingwa wa Europa League, Aston Villa. Mchezo huo wa kifahari unatarajiwa kuchezwa tarehe 12 Agosti katika jiji la Salzburg, Austria, ukiwakutanisha mabingwa wa mashindano makubwa…
Mechi ya ufunguzi inatarajiwa kuwa ya kipekee kabisa ambapo wenyeji wa mashindano haya Mexico watauamana vikali dhidi ya Afrika Kusini ambao hawapewa nafasi kubwa ya kushinda?. Nani kuondoka na pointi 3 leo? Kwenye mechi hii ya ufunguzi wa michuano mikubwa Duniani kati ya Mexico na Afrika Kusini utakaopigwa Alhamisi ya leo ni mchezo ambao utakuwa…
Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), Gianni Infantino, amesema ni jambo la kusikitisha kwa mwamuzi wa Somalia, Omar Artan, kunyimwa ruhusa ya kuingia nchini Marekani licha ya kuwa alikuwa amepangiwa kushiriki katika michuano ya Kombe la Dunia. Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kabla ya kuanza kwa mashindano hayo, Infantino alisema FIFA imeguswa…
Usiku wa kuamkia leo, mambo hayakwenda vizuri kwa bondia Hassan Mwakinyo aliyekuwa akiipeperusha bendera ya Tanzania, Abidjan, Ivory Coast kwa kuzipiga na bondia Michel Soro mwenye uraia pacha wa Ivory Coast na Ufaransa. Mwakinyo alipoteza kwa TKO katika raundi ya tisa kwenye pambano la uzito wa Middleweight la raundi 12 na kushindwa kubeba mkanda wa…