Barcelona Yatwaa Ubingwa wa LaLiga Baada ya Kuifunga Real Madrid El Clasico
FC Barcelona imetwaa ubingwa wa La Liga kwa mara ya pili mfululizo baada ya kuibuka…
FC Barcelona imetwaa ubingwa wa La Liga kwa mara ya pili mfululizo baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya mahasimu wao wa jadi, Real Madrid CF, katika mchezo wa El Clasico uliopigwa kwenye dimba la Camp Nou. Barcelona imeandika historia kwa kutwaa taji hilo la 29 la LaLiga kwa namna ya kipekee,…
YANGA imetozwa faini ya Sh milioni 30 kwa kosa la wachezaji pamoja na maofisa wa benchi la ufundi kukataa kutumia chumba rasmi cha kuvalia katika Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo Stadium na badala yake kutumia nyumba iliyopo nje ya uwanja huo upande wa pili wa barabara. Tukio hilo lilitokea Mei 3, 2026 wakati wa mchezo…
Kiungo mshambuliaji wa Simba SC, Clatous Chama ametwaa tuzo ya Man of the Match mara baada ya mchezo. Mwamba wa Lusaka alifunga goli moja katika mchezo huo alikuwa kwenye ubora. Inakuwa ni tuzo yake ya tatu mfululizo kwenye mechi za Mei. Alianza kukusanya tuzo Simba SC 2-2 Yanga SC, hapa alifunga goli moja na pasi…
Simba SC 4-0 Tanzania Prisons ni matokeo ya mchezo wa NBC Premier League, Mei 10, 2026 uliokuwa na ushindani mkubwa. Magoli yakifungwa na Morice Abraham dakika ya 27, Clatous Chama dakika ya 41, Seleman Mwalimu dakika ya 43 na Ismail Traore dakika ya 61. Mwalimu alikosa penati dakika ya 11 baada ya Anthon Mligo kuchezwa…
Bila Intanenti ni rahisi kabisa kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kushindania Samsung A26 na Meridianbet leo. Jumatano ya Zawadi ipo kwaajili yako siku ya leo inaweza kukupa furaha sana. Jumatano hii haifanani na nyingine yoyote. Ni siku ambayo Meridianbet inawasha moto wa bahati kwa njia ambayo haijawahi kutokea. Kwa mara nyingine tena, wateja wote wanaopenda kubashiri…
Jangwa la Arabuni limejaa siri za utajiri mkubwa na sasa Meridianbet imekupa nafasi ya kuzifikia kupitia mchezo wenye msisimko wa hali ya juu. Kila mzunguko ni safari mpya yenye nafasi ya kuibuka mshindi mkubwa. Mchezo huu umeundwa kwa wale wanaopenda changamoto na ushindi wa kweli. Ukiwa na nafasi ya kushinda hadi mara 5,000 ya dau…
Pata shika Leo Mei 9 saa 10:00 usiku Uwanja wa Spotify Camp Nou utakuwa mwenyeji wa mchezo wa El Clasico kati ya Barcelona nafasi ya 1 na Real Madrid nafasi ya 2. Barcelona wakiongoza Ligi wakiwa na pointi 88, wana pointi 11 mbele ya Real Madrid walio na pointi 77 . Kwa tofauti hiyo, wanahitaji…
Mwanariadha nyota wa Tanzania, Alphonce Simbu ametwaa tuzo ya Mwanamichezo Bora wa Kiume wa Mwaka katika Tuzo za Baraza la Michezo la Taifa (BMT) 2025. Tuzo hiyo imekabidhiwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwigulu Lameck Nchemba katika hafla iliyofanyika katika Ukumbi wa The Super Dome Masaki jijini Dar es Salaam. Tuzo…
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amekabidhi Tuzo Maalum ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa Waziri Mkuu, Mwigulu Lameck Nchemba, ikiwa ni kutambua mchango mkubwa wa Rais huyo katika maendeleo ya sekta ya michezo nchini. Makabidhiano hayo yamefanyika katika hafla ya Tuzo za Baraza la Michezo la Taifa (BMT) 2025 zilizofanyika katika…
Klabu ya USM Alger imepiga hatua muhimu kuelekea ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 1-0 dhidi ya Zamalek SC katika mchezo wa kwanza wa fainali uliopigwa nchini Algeria. Bao pekee la mchezo huo lilifungwa dakika ya 90+8 kupitia kwa Ahmed Khaldi na kuipa USM Alger ushindi muhimu…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amepongezwa kwa uongozi wake mahiri, dira pana na dhamira ya dhati ya kuwekeza katika sekta ya michezo ambapo chini ya Serikali ya Awamu ya Sita, sekta hiyo imepiga hatua kubwa ambazo leo zinashuhudiwa kwa fahari, kuongezeka hamasa, ushindani na mafanikio ya timu na wanamichezo…
Simba SC imetwaa tuzo ya Klabu Bora ya Wanaume wa Mwaka 2025 katika Tuzo za Baraza la Michezo la Taifa (BMT) zilizofanyika Mei 9, 2026 katika Ukumbi wa The Super Dome, Masaki, Dar es Salaam. Tuzo hiyo ilikabidhiwa na Gerson Msigwa na kupokewa na Zubeda Sakuru. Washindi wengine wakuu ni: Alphonce Simbu — Mwanamichezo Bora…
Kuna mchezo mpya unatikisa anga la burudani ya kasino, Super Heli Premium kutoka Meridianbet. Hii si burudani ya kawaida, ni mwendo wa kasi unaochanganya ujasiri, akili na bahati katika kila sekunde unayocheza. Ukiingia hapa, unaingia kwenye ulimwengu wa ushindani wa papo kwa papo. Kila raundi inaanza kwa utulivu, lakini ghafla helikopta inapopaa, mchezo unabadilika kabisa….
Simba SC vs Tanzania Prisons kupigwa KMC Complex saa 1:00 jioni ukiwa ni mchezo wa NBC Premier League. Tayari viingilio vimetajwa ambapo mzunguko ni 10,000 na VIP 20,000 kushuhudia burudani ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba 6 kwa ubora. Kwenye msimamo Simba SC ni nafasi ya pili ikiwa na pointi 46 inakutana…
Yanga SC vs Coastal Union ni leo Mei 9, 2026 Uwanja wa KMC Complex saa 12:15 jioni. Langoni katika kikosi cha kwanza ameanza Djigui Diarra mabeki ni Yao, Boka, Nondo na Bacca. Viungo ni Duke Abuya, Maxi Nzengeli, Sheikhan Khamis, Allan Okello na Pacome huku mshambuliaji akiwa ni Prince Dube. Wachezaji wa akiba Masalanga, SureBoy,…
Leo Mei 9 saa 7:30 usiku, Uwanja wa Etihad utakuwa mwenyeji wa mchezo wa Ligi Kuu kati ya Manchester City ambao wanashikilia nafasi 2 na Brentford waliopo nafasi ya 7. City wakiwa na pointi 71 wapo nyuma ya Arsenal kwa pointi 5 lakini wana mchezo mmoja mkononi, hivyo ushindi ni lazima kwa ajili ya kukaa…
Yanga SC vs Coastal Union utachezwa mchezo mzuri leo Mei 9,2026 baada ya benchi la ufundi la wenyeji kubainisha hivyo. Wananchi ni mabingwa watetezi wanatarajia kuvaana na Coastal Union kwenye mchezo wa NBC Premier League, leo saa 12:15, Uwanja wa KMC Complex. Mchezo ulipita kwa Yanga SC ilipata ushindi wa goli 1-0 dhidi ya KMC…