Barcelona Inaweza Kuwa na Kipaumbele Kumchukua Erling Haaland
Victor Font, mgombea urais wa Barcelona, ameeleza kwamba Erling Haaland ndiye lengo lake kubwa, akionyesha…
Victor Font, mgombea urais wa Barcelona, ameeleza kwamba Erling Haaland ndiye lengo lake kubwa, akionyesha kwamba klabu ya LaLiga inaweza kuwa na kipaumbele kumchukua mshambuliaji huyo ikiwa ataamua kuondoka Manchester City. Font alisema: “Haaland ni mmoja wa washambuliaji bora duniani. Tumejizatiti kuwa tutakuwa na kipaumbele kumchukua ikiwa atataka changamoto mpya.” Haaland, 25, alisaini mkataba wa…
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kwamba Kombe la Dunia la FIFA 2026, litakaloandaliwa kwa pamoja na Marekani, Canada, na Mexico, litakuwa tukio bora kabisa na salama kabisa la michezo katika historia ya Marekani. Trump alisisitiza kwamba Serikali yake inafanya maandalizi makubwa kuhakikisha usalama na mafanikio ya mashindano haya makubwa zaidi ya soka duniani. Ili…
Inawezekana kabisa kupata Samsung Mpya kabisa kwa wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet. Kupitia promosheni yako ya Bet Online ndugu mteja una nafasi ya kuchukua Samsung A26 hapa. Katika msimu huu wa burudani na ushindani mkali ndani ya ulimwengu wa soka, Meridianbet imewasha moto mpya unaowapa wachezaji wote sababu ya kuongeza hamasa wanapotazama na kubashiri mechi…
Meridianbet imefungua ukurasa mpya katika ulimwengu wa kasino mtandaoni kwa kumkaribisha rasmi Naga Games ndani ya jukwaa lake. Uzinduzi huu unaashiria hatua nyingine ya ubunifu inayolenga kuwapa wachezaji uzoefu wa kisasa zaidi, uliojengwa kwa teknolojia ya hali ya juu na michezo inayoweka msisimko kwenye kila mzunguko wa mchezo. Kupitia Naga Games, Meridianbet inaleta mfumo mpya…
Tanzania Prisons vs Yanga SC ni leo Machi 12,2026 saa 2:00 usiku. Hiki hapa kikosi cha Yanga SC ambacho kinatarajiwa kuanza:- Langoni Djigui Diarra Mabeki: Israel Mwenda, Zimbwe Jr, Nondo, Bacca. Viungo ni Damaro, Abuya, Maxi, Mudathir na Okello. Mshambuliaji ni Prince Dube. Akiba: Masalanga, Abubakari, Assink, Andabwile, Yao, Abdulnasir, Shekhan, Edmund, Bupa, Depu. ***…
FT: Tanzania Prisons 0-1 Yanga SC Dakika ya 90 Dakika ya 88 Dakika ya 83 Goal dk 79 Depu Dakika ya 67. Dakika ya 53 Dakika ya 50 George Mpole wa Prisons anaonyeshwa kadi ya njano. Dakika ya 45 Dakika ya 45 Jermia Juma wa Prisons alionyeshwa kadi ya njano. Dakika ya 40 Dakika ya…
Timu ya Arsenal imelazimishwa sare ya bao 1-1 na wenyeji Bayer Leverkusen katika mchezo wa hatua ya 16 bora ya UEFA Champions League uliochezwa nchini Ujerumani. Kipindi cha kwanza cha mchezo huo kilimalizika bila timu yoyote kuona lango la mwenzake, huku pande zote zikionyesha ushindani mkubwa katika kutafuta bao la kuongoza. Kipindi cha pili kilianza…
Kiungo wa Real Madrid, Federico Valverde, ameandika historia kwa kufunga mabao matatu (hat-trick) katika kipindi cha kwanza, akiiwezesha timu yake kuongoza mabao 3-0 dhidi ya Manchester City kwenye mchezo wa UEFA Champions League uliopigwa katika dimba la Santiago Bernabéu Stadium. Valverde alianza kuifungia Real Madrid bao la kwanza dakika ya 20, kabla ya kuongeza la…
Je unajua kuwa ukipakua APP ya Meridianbet unajiweka kwenye nafasi nzuri ya kupata bonasi ya TZS 10000?. Hii ni nafasi yako wewe mteja mpya wa Meridianbet changamkia fursa hii mkononi mwako leo. Kampuni kubwa ya ubashiri Tanzania, Meridianbet inaendelea kuwaletea wateja wake uzoefu bora zaidi wa kubashiri kwa njia rahisi na ya kisasa kupitia App…
Soko la burudani za michezo ya kasino mtandaoni limepata nguvu mpya baada ya uzinduzi wa Vaso Psycho, mchezo mpya na wa kipekee kutoka Expanse unaopatikana Meridianbet. Huu mchezo umeundwa kwa wachezaji wanaopenda changamoto, burudani ya kisasa na nafasi ya kushinda zawadi kubwa. Vaso Psycho imebuniwa kwa kutumia teknolojia ya hali ya juu inayojumuisha michoro ya…
Waziri wa Michezo na Vijana wa Iran, Ahmad Donyamali, amesema timu ya taifa ya wanaume ya nchi hiyo huenda isishiriki katika michuano ya FIFA World Cup 2026 kutokana na hali ya usalama na mvutano wa kisiasa unaoendelea. Akizungumza katika mahojiano na kituo cha televisheni cha michezo cha Islamic Republic of Iran Broadcasting (IRIB) siku ya…
Dar Young Africans wanazidi kuchanja mbuga baada ya kuendeleza mwenendo mzuri kwenye michuano ya ndani ikiwemo ligi na FA lakini kwa isivyo bahati walitolewa kwenye michuano ya CAF. Inawezekana huu ukawa ni msimu wa Yanga ambao umebeba hisia mchanganyiko fahari ya kutawala ligi ya nyumbani na maumivu ya kuishia njiani kwenye anga la kimataifa. Hata…
FT: NBC Premier League Machi 11,2026 Uwanja wa Airtel Singida Black Stars 1-2 Simba SC Dakika ya 85 goal Ellie Mpanzu. Goal Mossi dakika ya 38 Goal Anicent Oura dakika ya 7 Dakika ya 80 Dakika ya 72 Dakika ya 70 Dakika ya 54 Dakika ya 45 Dakika ya 40 Dakika ya 35 Dakika ya…
Kikosi cha Simba SC kwenye mchezo wa leo Machi 11 vs Singida Black Stars, viungo wametawala asilimia kubwa kikosi cha kwanza. Uwanja wa Airtel utashuhudia mchezo huu wa NBC Premier League na kikosi cha mnyama kipo namna hii:- Langoni Mahamadou Kassali Mabeki Shomari Kapombe Nickson Kibabage Ismael Toure De Reuck Viungo Yusuph Kagoma Libasse Gueye…
Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara inaendelea leo Machi 11, 2026 kwa mechi tatu muhimu kwenye viwanja tofauti. Simba SC, Wekundu wa Msimbazi, watakuwa ugenini wakipambana na Singida Black Stars katika dimba la Airtel Mtipa, Singida, majira ya saa 16:15 jioni. Simba SC wanatafuta ushindi wao wa kwanza baada ya sare mbili mfulululizo huku wakiangazia…
Kama kuna sehemu ndoto hukutana na uhalisia, basi ni kupitia Diamond Jackpot ya Meridianbet. Hebu fikiria, shilingi 500 tu, kiasi ambacho mara nyingi hakipewi uzito kinaweza kuwa tiketi yako ya kushinda hadi Tsh Bilioni 2. Huu mchezo ni jukwaa la mashabiki wa soka kuonesha upeo wao wa kuchambua mechi na kugeuza maarifa kuwa mabilioni. Diamond…
Tanzania Prisons vs Yanga SC kupigwa Tabora? Ni swali ambalo linaulizwa ni baada ya wenyeji kubainisha kuwa watakuwa Tabora kwenye mechi zinazofuata. Wapinzani hawa wawili wanatarajiwa kukutana Machi 12,2026 kwenye msako wa pointi tatu muhimu ndani ya uwanja. Ipo wazi kwamba Prisons wamekuwa wakitumia Uwanja wa Sokoine kwa mechi za nyumbani uliopo Mbeya kutokana na…