Levante Kwenye Mtihani Mgumu Seville, Betis Wakitafuta Tiketi ya Ulaya

Mchezo huu wa mwisho wa msimu utapigwa Leo May 23 kwenye Uwanja wa La Cartuja, Seville kuanzia saa 22:00 usiku, Uwanja unatazamiwa kuwa na mashabiki wengi wa Betis ambao wanataka kuwaona wachezaji wao wakimaliza msimu kwa ushindi kabla ya kusherehekea kufuzu kwa michuano ya Ulaya. Kwa upande wa mabadiliko ya wachezaji, Diego Llorente na Cucho Hernández wanatarajiwa kurejea kwenye kikosi cha Betis…

Read More

Allen Okello anakera kinomanoma

Allen Okello kiungo mshambuliaji wa Yanga SC anakera kinomanoma kama hayupo upande wako kutokana na kujiamulia mambo kwenye mechi ngumu NBC Premier League. Katika mchezo uliochezwa Uwanja wa KMC Complex, Mei 22, 2026 dhidi ya Singida Black Stars alijiamulia kufunga magoli mawili wakishinda magoli 3-0. Okello alifungua ukurasa wa magoli dakika ya 14 na 68…

Read More

Azam FC 2-0 Tanzania Prisons, hali ni tete

Azam FC 2-0 Tanzania Prisons, hali ni tete kwa wajelajela kutokana na mwendo usiofurahisha ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara inayodhaminiwa na NBC Premier League. Baada ya dakika 90, Mei 22, 2026 ubao wa Uwanja wa Azam Complex ulisoma Azam FC 2-0 Tanzania Prisons, magoli ya Feisal Salum dakika ya 15 na Idd Nado dakika…

Read More

Meridianbet Yaendeleza Upendo kwa Jamii Kupitia Msaada kwa Watoto wa Magomeni

Katika kuendeleza moyo wa kusaidia jamii, Meridianbet imetoa msaada wa vyakula kwa kituo cha watoto cha UMRA Children Center kilichopo Magomeni, Dar es Salaam kama sehemu ya shughuli zake za kijamii. Msaada huo umehusisha bidhaa muhimu za chakula kama mchele, unga, sukari, mafuta ya kupikia pamoja na mahitaji mengine yanayotumika kila siku katika kituo hicho…

Read More