Feisal anaongoza chati wafungaji Bongo

KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum anaongoza chati ya wafungaji ndani ya NBC Premier League msimu wa 2025/26. Kiungo huyo amefunga jumla ya magoli 11 akiwa anaongoza usukani katika chati ya wakali wa kucheka na nyavu ni mali ya Azam FC. Kwenye eneo la ufungaji msimu huu ushindani umekuwa mkubwa huku kila timu ikiwa…

Read More

Ratiba ya NBC Premier League hii hapa

Ratiba ya NBC Premier League hii hapa ambapo kuna mechi kali zinatarajiwa kuchezwa viwanja vitatu tofauti ndani ya dakika 90.  TRA United itakuwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid ikiwakabili Mtibwa Sugar, saa 10:00 jioni. KMC FC vs Pamba Jiji FC Uwanja wa KMC Complex saa 12:30, jioni.  Dodoma Jiji FC vs Mashujaa FC, Uwanja wa…

Read More

Wachezaji wa Arsenal Waruka Kwa Furaha Baada ya Kutangazwa Mabingwa

Furaha kubwa ilitawala ndani ya kambi ya Arsenal baada ya timu hiyo kutangazwa rasmi kuwa mabingwa kufuatia Manchester City kushindwa kupata ushindi katika mchezo wao dhidi ya Brighton. Arsenal walikuwa tayari wamefanya kazi yao mapema baada ya kuichapa Burnley siku ya Jumatatu, hali iliyoweka presha kubwa kwa Manchester City ambao walihitaji ushindi ili kuendelea kusubiri…

Read More

Gates of Arabia Inawafanya Vijana Wanapiga Pesa, Badilisha siku yako

Kama bado hujacheza Gates of Arabia kutoka Meridianbet basi kuna burudani kali unaikosa kwa sasa. Mtaani watu wanazungumzia kucheza, jackpot na ushindi mkubwa kila kona. Huu sio mchezo wa kawaida, ni mchezo unaoweza kubadilisha siku yako haraka kuliko unavyofikiria. Unatia dau lako, reels zinaanza kuzunguka halafu presha inapanda taratibu ukisubiri kuona nini kinaingia. Ndani ya…

Read More

Mashabiki 60,000 Kuitingisha Emirates Katika Mechi ya Moto Dhidi Burnley leo

Mechi hii inapigwa saa 22:00 kwa muda Uwanja wa Emirates utakuwa umejaa hadi kifusi kwa takriban mashabiki 60,000, nao wanajulikana kwa kuimba nyimbo maalumu za kusukuma timu yao wakati wa mbio za ubingwa. Kwa upande wa Burnley kwa kuwa wameshashuka daraja, mashabiki wao watakuja. Lakini shinikizo la Emirates litakuwa kubwa Arsenal wakichelewa kufunga, mashabiki wanaweza…

Read More

Mashujaa FC 0-1 Azam FC, CRDB Federation Cup

Mashujaa FC 0-1 Azam FC, CRDB Federation Cup ni matokeo rasmi kwenye mchezo wa leo Mei 17, 2026 hatua ya robo fainali CRDB Federation Cup. Matajiri wa Dar wameibuka na ushindi huo katika Uwanja wa Lake Tanganyika mwisho wa reli Kigoma kwa goli ambalo lilipachikwa dakika 45 za mwanzo. Anaitwa Idd Suleman maarufu kwa jina…

Read More