Meridianbet Yazindua 100% Cash Back, Wabashiri Kunufaika Zaidi

Je unajua sikuhizi kubashiri kuna faida nyingi sana?. Mojawapo ni kurejeshewa pesa yako kwa 100% ambapo ukifata masharti na vigezo vya Meridianbet. Tengeneza jamvi lako leo na uwe mshindi. Meridianbet inawafahamisha wateja wake kuhusu promosheni maalum ya 100% Cash Back ambayo inalenga kuwapa wachezaji fursa ya kupata thamani zaidi wanaposhiriki katika michezo teule ya kubashiri….

Read More

KVZ vs Azam FC ni leo

Kombe la Muungano leo Jumatano Aprili 22, 2026 linaendelea ikiwa ni hatua ya robo fainali kwa wababe wawili kushuka uwanjani kusaka tiketi ya kutinga hatua ya nusu fainali. Uwanja wa New Amaan saa 1:15 usiku utapigwa mchezo mmoja utakaowakutanisha KVZ vs AzamFC. Kocha Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge amesema wapo tayari kwa mchezo huo…

Read More

Simba SC ndani ya Zanzibar

KIKOSI cha Simba SC kinachonolewa na Kocha Mkuu,Steve Barker kimewasili Zanzibar leo Aprili 22, 2026 kwa maandalizi ya mwisho mchezo wa robo fainali Muungano Cup. Timu hiyo inatarajiwa kutupa kete yake ya kwanza Aprili 23, 2026 itakuwa dhidi ya Mafunzo SC, saa 2:15 usiku. Ikumbukwe kwamba mabingwa watetezi wa taji hilo ni Yanga SC ambao…

Read More

Feisal Salum ni King of Asisti NBC Premier League

Rekodi zinazidi kuandikwa ndani ya Tanzania Premier League ambayo ni ligi namba 6 kwa ubora Afrika. Wakati timu mbili zikiwa hazijapoteza ndani ya ligi, Yanga SC na Azam FC kinara kwenye kutengeneza pasi za mwisho maskani yake ipo Azam Complex kwenye mechi za nyumbani. Ni Kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum huyu ni King…

Read More

Ratiba ya Muungano Cup robo fainali 2026 hii hapa

LEO Aprili 21, 2026 mabingwa watetezi wa taji la Muungano Cup Yanga SC watakuwa uwanjani kwenye mchezo wa ufunguzi kutetea taji hilo. Yanga SC vs Maembe Makumbi, saa 1:15 usiku, Aprili 21, 2026 KVZ vs Azam FC, saa 1:15, usiku, Aprili 22, 2026 Mlandege FC vs Singida Black Stars, saa 10:15, jioni Aprili 23, 2026…

Read More

Fursa Mpya, Ushindi Mpya: The Expanse: Stock Trade Yatikisa Soko

Meridianbet inafuraha kutangaza uzinduzi wa mchezo wake mpya wa kisasa, The Expanse: Stock Trade, unaolenga kubadilisha namna wachezaji wanavyoshiriki katika michezo ya kimkakati. Ukichanganya msisimko wa maamuzi ya kifedha na upeo usio na mipaka wa anga za juu, The Expanse: Stock Trade unawapeleka wachezaji katika ulimwengu wa kipekee ambapo masoko hubadilika kwa wakati halisi na…

Read More

Yanga SC vs Muembe Makumbi City FC, Muungano CUP

 Michuano ya Kombe la Muungano 2026 inatarajiwa kuanza Jumanne hii Aprili 21, 2026. Mechi ya kwanza itawahusu mabingwa watetezi ambao ni Yanga SC. NI Yanga SC vs Muembe Makumbi City FC unaotarajiwa kuchezwa kesho. Mabingwa watetezi tayari wameshatia timu Zanzibar. Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Pedro Goncalves amekuwa na kikosi hicho na tayari wameshawasili…

Read More