JKT Tanzania Wamjulia Hali Pacome, Wahabi Aomba Dua
Mchezaji wa JKT Tanzania FC, Hassan Wahabi, leo amefika katika Hospitali ya Aga Khan jijini…
Mchezaji wa JKT Tanzania FC, Hassan Wahabi, leo amefika katika Hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam na kuongoza dua ya kumuombea kiungo wa Yanga SC, Pacome Zouzoua, aliyelazwa kutokana na maumivu aliyoyapata katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara kati ya JKT Tanzania na Yanga SC. Wahabi, ambaye bila kukusudia alihusika…
Michuano mikubwa Duniani imefika kwenye hatua ya mtoano ambapo leo hii mapema kabisa timu zitashuka dimbani kuonesha ubabe. Wakati huo huo Meridianbet wanakwambia tengeneza jamvi lako la ushindi hapa. Majira ya saa moja usiku kutakuwa na kipute kati ya Uingereza dhidi ya DR Congo kutoka Afrika ambao wao kwenye Kundi K walimaliza nafasi ya 3…
Kocha Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge, pamoja na benchi lake la ufundi, wamemtembelea kiungo wa Yanga SC, Pacome Zouzoua, hospitalini kwa ajili ya kumjulia hali baada ya kuumia katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Pacome alipata majeraha hayo jana katika mchezo uliowakutanisha Yanga SC na JKT Tanzania kwenye Uwanja wa Meja…
Kwa wengi, wikendi ni muda wa kupumzika, kujiburudisha na kufurahia mambo wanayoyapenda. Kwa wapenzi wa kasino za mtandaoni ndani ya Meridianbet, burudani hiyo haimaliziki Jumapili usiku. Badala yake, inaendelea hadi Jumatatu kupitia promosheni ya Monday Cashback & Bonus Back, ambayo imekuwa ikiwapa wachezaji sababu mpya ya kutazamia mwanzo wa wiki. Katika kipindi ambacho ushindani katika…
NBC Premier League 2025/26 Yanga SC bingwa akifikisha pointi 75 huku Simba SC ikiwa nafasi ya pili na pointi 73. Tofauti ya pointi 2 kwa wababe hawa wawili. Haya hapa matokeo ya mechi zote ambazo zilikuwa mubashara Azam TV FT: JKT Tanzania 0-3 Yanga SC (Dube 8’, Maxi 50’, Depu 66’) FT Simba SC 1-0…
JUNI 30,2026 ni funga kazi msimu wa 2025/26 ambapo mechi zote zinachezwa muda mmoja na mshindi anatafutwa mmoja, timu mbili zitashuka daraja moja kwa moja na mbili zitacheza mtoano. Matokeo yapo namna hii kwa sasa dakika 45 za mwanzo:- HT: JKT Tanzania 0-1 Yanga SC (Dube 8’) HT: Simba SC 0-0 KMC FC HT: Azam…
Katika kila jamii, maendeleo ya kweli huanza pale ambapo vijana na watoto wanapewa mazingira bora ya kufikia uwezo wao. Kwa kutambua ukweli huo, Meridianbet imeendelea kutekeleza miradi ya kijamii inayolenga kuleta mabadiliko chanya kwa jamii mbalimbali nchini. Safari hii, kampuni hiyo imeelekeza nguvu zake kwa wasichana wa kata ya Kasekese, Manispaa ya Wilaya ya Tanganyika…
Ivory Coast wanaingia kwenye mchezo huu wakiwa na rekodi nzuri ya ushindi wa mechi nne katika mechi tano za mwisho, na wameweza kufungwa mabao mawili tu katika mechi zote tatu za makundi. Lakini siri yao kubwa iko katika kuenea kwa mabao miongoni mwa wachezaji wao. Kocha Emerse Fae amejivunia kuwa ana wachezaji tisa wa kushambulia…
Manchester City imemtangaza Enzo Maresca kuwa kocha mkuu mpya wa klabu hiyo, akichukua nafasi ya Pep Guardiola na kuanza rasmi enzi mpya katika kikosi hicho cha Ligi Kuu England. Maresca, mwenye umri wa miaka 46, amesaini mkataba wa miaka mitatu kuinoa City. Taarifa za kutangazwa kwake zilichelewa kutokana na mazungumzo kati ya Manchester City na…
Paraguay imeandika historia kwa kuiondosha Ujerumani kwenye Kombe la Dunia 2026 baada ya kushinda kwa mabao 4-3 kwa mikwaju ya penalti kufuatia sare ya 1-1 ndani ya dakika 120 katika mchezo wa hatua ya 32 bora uliochezwa Foxborough, Marekani. Matokeo hayo yameifanya Ujerumani kupoteza kwa mara ya kwanza kabisa katika mikwaju ya penalti kwenye historia…
Brazil imefuzu hatua ya 16 bora ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Japan katika mchezo wa hatua ya 32 bora uliochezwa kwenye Uwanja wa NRG, Houston, Marekani. Shujaa wa Brazil alikuwa mshambuliaji wa Arsenal, Gabriel Martinelli, aliyefunga bao la ushindi katika dakika ya tano ya muda…
Katika ulimwengu wa michezo ya kubashiri, kuna jambo moja ambalo kila mchezaji hulitamani zaidi ya yote, ushindi. Hata hivyo, kwa miaka mingi, ushindi huo umekuwa ukihitaji uvumilivu mkubwa huku wachezaji wakisubiri dakika 90 za mchezo kuisha ili kujua hatima ya dau lao. Lakini sasa, Meridianbet imeamua kubadilisha simulizi hilo kupitia Early Payout, ubunifu mpya unaowapa…
Klabu ya Newcastle United F.C. inaonyesha nia ya kumsajili kiungo wa Borussia Dortmund, Felix Nmecha, huku mpango huo ukijitokeza wakati Arsenal F.C. ikikumbana na msimamo mkali wa Newcastle kuhusu nahodha wao Bruno Guimarães. Ripoti zinaeleza kuwa kocha Eddie Howe ni shabiki mkubwa wa Nmecha na alikuwa karibu kumsajili mwaka 2023 kabla ya klabu hiyo kuamua…
LOS ANGELES, Marekani – Tuzo za BET Awards 2026 zimefanyika rasmi katika ukumbi wa Peacock Theater na kuwakutanisha wasanii wakubwa wa muziki, filamu na michezo katika usiku uliojaa burudani na ushindani mkali. Sherehe hizo zilizoongozwa na mchekeshaji Druski, zilivuta mamilioni ya watazamaji kupitia BET na mitandao mingine ya kimataifa, huku majina makubwa yakigawana tuzo mbalimbali….
PARIS, Ufaransa – Mabingwa wa Ulaya, Paris Saint-Germain, wako kwenye mazungumzo na RB Leipzig kwa ajili ya kumsajili winga wa kimataifa wa Ivory Coast, Yan Diomande. Ripoti zinaeleza kuwa Diomande mwenye umri wa miaka 19 ameonyesha nia ya kujiunga na PSG badala ya Liverpool F.C., licha ya klabu hiyo ya England kuwa tayari kutoa pauni…
HOUSTON, Marekani – Nahodha msaidizi wa Brazil, Marquinhos, amesema timu yake imeimarika kwa kiwango kikubwa na iko tayari kuikabili Japan katika mchezo wa hatua ya mtoano wa Kombe la Dunia utakaopigwa Jumatatu. Brazil inashuka dimbani leo Saa mbili Usiku Juni 29, 2026 ikiwa na kumbukumbu ya kupoteza mabao 3-2 dhidi ya Japan katika mechi ya…
SPIELBERG, Austria – George Russell ameibuka mshindi wa mbio za Austrian Grand Prix baada ya kuanza kutoka nafasi ya kwanza (pole position), akipunguza pengo la alama dhidi ya mwenzake wa Mercedes-AMG Petronas Formula One Team, Kimi Antonelli, katika msimamo wa ubingwa wa Formula One. Russell alimaliza mbio hizo mbele ya Max Verstappen wa Red Bull…