Refa Aliyeinyima Yanga Penati Afungiwa Mizunguko Mitatu

Mwamuzi Ally Mnyupe kutoka Morogoro amefungiwa kuchezesha mechi kwa mizunguko mitatu (3) baada ya kushindwa kutafsiri ipasavyo sheria za mpira wa miguu katika mchezo kati ya Azam FC na Yanga. Katika mchezo huo uliochezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa na kumalizika kwa sare tasa, mwamuzi huyo alishindwa kutoa penalti kwa Yanga licha ya tukio la…

Read More

FT: Mashujaa FC 0-0 Azam FC

Mashujaa FC 0-0 Azam FC mchezo umekamilika kwa wababe kugawana pointi mojamoja katika Uwanja wa Lake, Tanganyika mwisho wa reli Kigoma. Matokeo haya yanaifanya Azam FC kusalia nafasi ya pili wakiongeza pointi moja kibindoni leo Machi 19,2026. Ni pointi 29 wanafikisha Azam FC baada ya mechi 15 NBC Premier League wakiwa hawajapoteza mchezo mpaka sasa…

Read More

FT: Pamba Jiji FC 1-1 Simba SC

PAMBA Jiji FC 1-1 Simba SC ni matokeo rasmi mchezo wa NBC Premier League uliochezwa Uwanja wa Kirumba, leo Machi 19,2026. Alianza Anicent Oura alianza kufunga goli kwa Simba SC dakika ya 33 na dakika ya 36 James alifunga goli kwa upande wa Pamba Jiji FC. Licha ya mnyama kuanza kutangulia kufunga kwenye mchezo alikwama…

Read More

HT: Pamba Jiji FC 1-1 Simba SC

 HT: Pamba Jiji FC 1-1 Simba SC, NBC Premier League, Uwanja wa CCM Kirumba, Machi 19,2026.  Simba SC walianza kufunga dakika ya 33 ni Anicent Oura alifungua ukurasa na goli hilo lilidumu kwa dakika 3 kabla wenyeji kujaza mpira kimiani. James Mwashinga alifunga goli la usawa dakika ya 36 ya mchezo na kuwanyanyua mashabiki wa…

Read More

Kikosi cha Mashujaa FC vs Azam FC

Lake Tanganyika, mwisho wa reli Kigoma kuna mchezo wa Mashujaa FC vs Azam FC leo Machi 19,2026 ambapo jeshi la wenyeji langoni yupo Patrick Munthali. Wachezaji wengine ni Baraka Mtuwi, Samweli Onditi, Samsoni Madeleke, Abdulnasir Assa, Mgandila Shaban, Mpoki Mwakinyuke, Mohamed Mussa, Salum Kihimbwa, Ismail Mgunda na Crispin Ngushi. Wachezaji wa akiba ni Hassan Haji,…

Read More

Kikosi cha Azam FC vs Mashujaa FC

Aishi Manula mlinda mlango wa Azam FC ameanza kikosi cha kwanza ambacho kitawakabili Mashujaa FC leo, Uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma. Wachezaji wengine ni Himid Mao, Sadio Kanoute, Twalibu Nuru, Lusajo Mwaikenda, Pascal Msindo, Zidane Sereri, Feisal Salum, Ashrafu Kibeku, Lameck Lawi, Idd Nondo. Wachezaji wa akiba ni Abah Abel, James Akaminko, Jean Ngita, Yeison…

Read More

Kikosi cha Pamba Jiji FC vs Simba SC hiki hapa

Kikosi cha Pamba Jiji FC kitakachoanza dhidi ya Simba SC Uwanja wa Kirumba kipo tayari ambapo mchezo unatarajiwa kuanza saa 10:00 jioni. Langoni ni Yona Amosi. Wachezaji wengine ni Abdulmajid Mangalo, Ibrahim Abrahim, Mathew Tegisi, Peter Lwasa, Keneth Kunambi, Sharpahn Sawa, Zabona Mayombya, James Mwashinga, Hussen Kibailo na Michael Samamba. Wachezaji wa akiba ni Brian,…

Read More

Mtibwa Sugar vs Yanga SC ni Jumamosi

Mtibwa Sugar vs Yanga SC ni Jumamosi mchezo wa NBC Premier League Uwanja wa Jamhuri, Dodoma kwa wababe hawa kusaka pointi tatu. Tayari Yanga SC imewasili Dodoma kwa maandalizi ya mwisho ya mchezo huo unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa ndani ya dakika 90. Machi 18,2026 Yanga SC ilikuwa Arusha kwenye mchezo wa ligi vs TRA…

Read More

FT: TRA United 0-0 Yanga SC

MCHEZO wa NBC Premier League umekamilika kwa wababe wawili kutoshana nguvu baada ya dakika 90. Ubao wa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid umesoma TRA United 0-0 Yaga SC wakigawana pointi mojamoja. Kiungo mkabaji wa TRA United, Mzamiru Yassin alionyeshwa kadi mbili za njano hali iliyopelekea kuonyeshwa kadi nyekudu dakika ya 85. Matokeo hayo yanafanya Yanga…

Read More

HT: TRA United 0-0 Yanga SC

HT: TRA United 0-0 Yanga SC Uwanja wa Sheikh Amri Abeid dakika 45 zimekamilika ubao ukisoma TRA United 0-0 Yanga SC TRA United Yanga SC 2 Mashuti 3 0 Lenga lango 0 34% Umiliki 66% 2 Mashuti yasiyolenga lango 3 0 Kadi nyekundu 0 0 Kadi ya njano 0 0 Kona 1 0 Magoli 0…

Read More