Jonathan Sowah hatihati kuondoka Simba SC

MSHAMBULIAJI namba moja wa Simba SC, Jonathan Sowah kuna hatihati kuondoka ndani ya kikosi hicho kutokana na tatizo la nidhamu. Sowah ndani ya NBC Premier League amefunga magoli matatu akiwa ni miongoni mwa wachezaji wenye magoli mengi ndani ya kikosi hicho. Kwa sasa Sowah hayupo kwenye mipango ya timu hiyo kutokana na kile kilichoelezwa alisimamishwa…

Read More

TVBET ya Meridianbet Kukupa Burudani ya Kasino Yenye Matokeo Ya Papo Hapo

Wapenzi wa michezo ya kasino wamekua wakitafuta burudani inayoweza kuwapa matokeo haraka bila kusubiri kwa muda mrefu. Meridianbet imejibu hitaji hilo kwa kuleta TVBET, mfumo wa michezo mubashara unaowapa wachezaji nafasi ya kucheza raundi nyingi ndani ya muda mfupi na kufurahia matokeo yanayotokea papo hapo. Kupitia TVBET, wachezaji wanaweza kushiriki michezo maarufu na yenye msisimko…

Read More

Mwalimu wa Kiingereza wa Mastaa wa Bongo Fleva, Allen Ngonyani Afariki Dunia

Mwalimu aliyewasaidia mastaa wakubwa wa muziki wa Bongo Fleva, akiwemo Diamond Platnumz, Harmonize na Rayvanny, kuzungumza Kiingereza kwa ufasaha, Allen Ngonyani, amefariki dunia mapema asubuhi ya leo katika Hospitali ya Geza, Kigamboni, jijini Dar es Salaam, alikokuwa anapatiwa matibabu. Akizungumza na Global TV Online, mmoja kati ya ndugu wa karibu wa marehemu amesema kuwa Ngonyani…

Read More