Simba SC yaanza mipango kuelekea Simba DAY
UONGOZI wa Simba SC umebainisha kuwa umeanza mpango wa kuhesabu siku kuelekea tamasha kubwa la…
UONGOZI wa Simba SC umebainisha kuwa umeanza mpango wa kuhesabu siku kuelekea tamasha kubwa la Simba Day ikiwa ni maandalizi ya msimu mpya wa 2026/27. Mwenyekiti wa Bodi, Crescentius Magori amesema : “Hii maana yake tumeanza count down kuelekea kwenye Simba Day. Kama kuna mkoa Simba tukija huwa tunasikia raha ni Arusha kuna wakati mwingine…
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeitoza Azam FC faini ya Shilingi milioni 50 kwa kukataa kushiriki sherehe za kukabidhiwa tuzo na zawadi baada ya fainali ya Kombe la Shirikisho la Benki ya CRDB (CRDB Bank Federation Cup 2026). Adhabu hiyo ilitangazwa leo, Julai 13, 2026, kufuatia kikao cha Kamati ya Mashindano ya TFF kilichofanyika jijini…
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Argentina, Paulo Dybala, ameongeza mkataba wake na klabu ya AS Roma utakaomuweka katika kikosi hicho cha Serie A hadi Juni 2027. Roma ilithibitisha taarifa hiyo Jumatatu, ikimaliza uvumi uliokuwa ukihusishwa na mustakabali wa nyota huyo mwenye umri wa miaka 32. Dybala alijiunga na Roma mwaka 2022 baada ya kuitumikia…
Wachezaji wanne wapo tayari kuwania tuzo ya mchezaji bora wa michuano hii mikubwa Duniani huku wewe ukiwa na nafasi ya kupiga pesa kupitia wachezaji hao. Weka pesa yako na uberti hapa. Lionel Messi ni moja ya wachezaji ambao wanapewa nafasi ya kushinda tuzo hii kutokana na kiwango ambacho anazidi kukionesha kwenye Taji hili la Dunia…
Beki wa timu ya taifa ya Ufaransa, Ibrahima Konate, amesema hawana hofu ya kukutana na Hispania katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Dunia 2026, lakini wanaiheshimu kutokana na kiwango bora ilichokionyesha katika mashindano hayo. Ufaransa itakutana na Hispania kesho, Julai 14, 2026 saa nne usiku, katika mchezo unaotarajiwa kuwa wa ushindani mkubwa huku…
Meridianbet inawapa wachezaji fursa ya kipekee ya kufurahia mchezo wa kasino wa Wild White Whale kwa kipindi hiki cha mwezi huu kupitia promosheni ya mizunguko ya bure. Kila mtu sasa ana fursa ya kipekee kabisa ya kuweza kupata mizunguko 50 ya bure kwa kukamilisha mizunguko 100 kwa kutumia pesa halisi kwenye mchezo huu wa kusisimua….
Wachezaji wanaoshiriki Ligi ya Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) wanatarajiwa kunufaika na uwekezaji wa mwaka mmoja wenye thamani ya Sh588.9 milioni katika msimu wa 2026. Kwa mujibu wa mkataba uliosainiwa juzi kati ya kampuni ya michezo ya kubashiri ya betPawa kwa ajili ya kuongeza udhamini kwa msimu mmoja, wachezaji watalipwa fedha…
Ufaransa vs Hispania zinakutana tena katika moja ya mechi kubwa zaidi katika soka la Ulaya, zikimenyana kwenye nusu fainali ya Kombe la Dunia la FIFA 2026 siku ya Jumanne, katika Uwanja wa Dallas. Les Bleus (jina la utani la timu ya taifa ya Ufaransa) wamekuwa miongoni mwa timu zilizong’ara zaidi kwenye mashindano haya. Walishinda mechi…
Argentina imefuzu hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuifunga Uswisi mabao 3-1 baada ya muda wa nyongeza, katika mchezo mkali uliochezwa jijini Kansas City. Mashabiki wa Argentina walishuhudia timu yao ikianza vyema baada ya nahodha Lionel Messi kutoa pasi ya bao kwa Alexis Mac Allister aliyefunga kwa kichwa dakika ya…
England imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia 2026 kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2018 baada ya kuichapa Norway mabao 2-1 katika mchezo uliochezwa Miami Gardens, Florida. Shujaa wa England alikuwa kiungo wa Jude Bellingham, aliyefunga mabao yote mawili ya timu yake, likiwemo bao la ushindi dakika ya tatu ya muda…
Burudani ya kweli huwa tamu zaidi pale inapokupa sababu ya kutabasamu kila unapocheza, na hilo ndilo Meridianbet imeamua kulifanya kupitia kampeni yake mpya ya SmartSoft Spin & Win Instant Prizes Tournament. Kampeni hii imekuja wakati ambao wabashiri wengi wanatafuta burudani yenye msisimko, ubunifu na nafasi za ushindi zinazoweza kubadili siku yao kwa muda mfupi. Badala…
Soka la Afrika Kusini limegubikwa na majonzi kufuatia kifo cha kiungo wa Mamelodi Sundowns na timu ya taifa ya Afrika Kusini (Bafana Bafana), Jayden Adams, aliyefariki dunia akiwa na umri wa miaka 25, wiki chache tu baada ya kushiriki Kombe la Dunia la FIFA 2026. Adams, ambaye aliichezea Afrika Kusini katika mechi mbili za mwanzo…
Michuano ya Dunia ya FIFA 2026 limeanza kwa kuvunja rekodi kadhaa za kihistoria. Siku sita tu baada ya mechi ya ufunguzi kati ya Mexico na Afrika Kusini uwanjani Estadio Azteca (waliohudhuria 80,824), mashindano yaliweka rekodi mpya ya idadi kubwa zaidi ya mashabiki kuhudhuria siku moja watu 281,223 katika mechi nne za Ufaransa dhidi ya Senegal,…
Dili la kiungo wa Atalanta, José Éderson, kujiunga na Manchester United limevunjika rasmi baada ya mchezaji huyo kushindwa kupita vipimo vya pili vya afya, hali iliyowalazimu Mashetani Wekundu kusitisha usajili uliokuwa ukitajwa kuwa na thamani ya euro milioni 45. Kwa mujibu wa taarifa, Éderson alifanyiwa vipimo vya awali vya afya nchini Marekani wakati akiwa na…
Klabu ya Young Africans SC (Yanga) imemtangaza rasmi aliyekuwa kocha wa Mamelodi Sundowns, Manqoba Mngqithi, kuwa kocha mkuu mpya wa timu hiyo. Mngqithi ametua Jangwani kwa mkataba wa miaka miwili, akichukua nafasi iliyoachwa na Pedro Gonçalves, ambaye aliondolewa kwenye nafasi hiyo mapema mwezi Mei 2026. Kocha huyo raia wa Afrika Kusini anajiunga na Yanga akiwa…
Inglewood, California – Mchezaji wa akiba Mikel Merino aliibuka shujaa wa Hispania baada ya kufunga bao la ushindi dakika ya 88 na kuiwezesha timu yake kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Ubelgiji katika robo fainali ya Kombe la Dunia. Ushindi huo umeipeleka Hispania hatua ya nusu fainali, ambapo sasa itakutana na Ufaransa katika…
Katika ulimwengu wa burudani za kisasa, watu wanatafuta zaidi ya mchezo wa kawaida, wanatafuta uzoefu unaobeba msisimko na nafasi ya kushinda. Meridianbet imejibu hitaji hilo kupitia Golden Goal Rewards, promosheni inayotoa jumla ya TZS milioni 450 kwa washindi watakaothubutu kushiriki. Hii ni nafasi ya kuunganisha furaha ya kucheza na ndoto ya ushindi mkubwa. Safari inaanza…