Ratiba ya NBC Premier League mzunguko wa 4

Agosti 29,2026 NBC Premier League inaendelea kwa mechi 3 kali kukamilisha mzunguko wa 4. Kwa sasa vinara wa ligi ni Yanga SC ambao wameshinda mechi zote 4 wakiwa na pointi 12 ndani ya msimu wa 2026/27 nafasi ya pili ni Simba SC yenye pointi 12 tofauti ni idadi ya mabao ya kufunga na kufungwa. Hizi…

Read More

Yanga SC 2-0 Pamba Jiji FC

MABINGWA watetezi wa ligi, Yanga SC wameendeleza ubabe wao mbele ya Pamba Jiji FC kwa kusepa na pointi tatu mazima ndani ya uwanja. Baada ya dakika 90 Agosti 28, 2026 ilikuwa Yanga SC 2-0 Pamba Jiji FC, Uwanja wa KMC Complex. Mabao ya Yanga SC yalifungwa na Maxi Nzengeli dakika ya 17 na Ibrahim Toure…

Read More

UEFA Yaandaa Kesi ya Jinai Dhidi ya Infantino, Mashabiki Wamlipua

Shirikisho la Soka Ulaya (UEFA) linajiandaa kuanzisha mchakato wa kisheria nchini Uswisi dhidi ya Rais wa FIFA, Gianni Infantino, kwa tuhuma za usimamizi mbaya wa fedha, huku mashabiki wakimzomea na kumtukana wakati akiwakabidhi kombe washindi wa mashindano nchini Vietnam. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, nyaraka za kisheria zinaonyesha kuwa UEFA pamoja na wahusika wengine wanajiandaa…

Read More

Mchezo Mpya Wawasili! Fortune Eagle Akufungulia Ulimwengu Mpya

Meridianbet imeongeza ladha mpya kwenye burudani za kasino kwa kuleta Thunder Riches: Fortune Eagle, mchezo mpya kutoka Games Global unaopatikana kwa kipekee kupitia Meridianbet. Kwa wapenzi wa michezo mipya, huu ni ujio unaostahili kupewa nafasi kwani unakuletea safari yenye msisimko na mazingira yanayokualika kugundua nguvu ya Fortune Eagle. Thunder Riches: Fortune Eagle umeundwa kwa ajili…

Read More

Barcelona Yamsajili Dominik Livaković kwa Mkataba wa Miaka Minne

Klabu ya Barcelona imekamilisha usajili wa kipa wa kimataifa wa Croatia, Dominik Livaković, kutoka Fenerbahçe, akitia saini mkataba wa miaka minne utakaomuweka klabuni hapo hadi Juni 2030. Livaković, mwenye umri wa miaka 31, amejiunga na mabingwa hao wa LaLiga kwa ada ya awali ya takribani €2 milioni, huku thamani ya uhamisho huo ikitarajiwa kufikia hadi…

Read More

Liverpool Yafikia Dili ya Sh Bilioni 418 Kumnasa Bradley Barcola

Liverpool imefikia makubaliano ya awali yenye thamani ya takribani Shilingi bilioni 418 (£120 milioni) na Paris Saint-Germain (PSG) kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji wa pembeni wa Ufaransa, Bradley Barcola. Makubaliano hayo bado hayajakamilishwa rasmi, lakini hatua hiyo imeelezwa kuwa ni mafanikio makubwa katika mazungumzo ya muda mrefu kati ya Liverpool na PSG kuhusu uhamisho wa…

Read More

Exclusive: Saleh Ally Afichua Siri ya Safari Yake Katika Uandishi wa Habari za Michezo – Video

Mwandishi mahiri wa habari za michezo nchini Tanzania, Saleh Ally (@salehjembefacts), amefanya mahojiano maalum (exclusive interview) na Global TV, ambapo amefunguka kwa kina kuhusu safari yake ya uandishi wa habari za michezo na mambo mbalimbali ambayo wengi hawakuyajua kuhusu maisha yake ya kikazi. Katika mahojiano hayo, Saleh Ally amezungumzia kwa undani safari yake katika taaluma…

Read More

3 Fisher Cats: Mchezo Mpya Unaowapeleka Wachezaji Kwenye Safari ya Uvuvi

Wapenzi wa burudani za kasino, safari mpya imeanza Meridianbet kupitia 3 Fisher Cats, mchezo wa kuvutia kutoka Amigo unaowaleta paka watatu wajanja kwenye misheni ya kutafuta samaki na hazina mbalimbali. Safari hii imejaa mandhari ya kuvutia, raundi zenye msisimko na matukio yanayoweza kufanya kila hatua iwe ya kipekee. Kwa wanaopenda kugundua michezo mipya, 3 Fisher…

Read More