UEFA Europa League Third qualifying round Leg 1 of 2

Hii hapa ratiba ya UEFA Europa League Agosti 6,2026 KuPS vs Craiova, Agosti 6,2026 M. Tel Aviv vs CSKA Sofia Agosti 6,2026 Jagiellonia Bialystok vs Rangers Agosti 6,2026 RB Salzburg vs Pafos, Agosti 6,2026 Hradec Kralove vs Besiktas, Agosti 6,2026 … Imeandikwa na Lunyamadzo Mlyuka, Mtunzi kitabu cha Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo, Moyo Wangu…

Read More

Meridianbet Yazindua Rasmi Promosheni ya “Mzuka wa Mabingwa” kwa Watumiaji wa Airtel Money

Meridianbet imezindua rasmi promosheni ya Mzuka wa Mabingwa, kampeni inayowapa mashabiki wa michezo na kasino nafasi ya kujishindia zawadi kubwa kwa kutumia Airtel Money. Promosheni hii imekuja wakati ambao mashabiki wa burudani wanatafuta zaidi ya ushindi wa kawaida, kwa kuwa sasa kila dau linaweza kuleta zawadi nyingine ya ziada. Kwa kuweka dau lako la kuanzia…

Read More

Infantino Aomba Msamaha Baada ya Dosari za Mpango wa FIFA

Rais wa FIFA, Gianni Infantino, ameomba radhi kufuatia dosari zilizojitokeza katika mchakato wa kuwasilisha pendekezo la kuruhusu wawekezaji binafsi kuwekeza katika baadhi ya mashindano ya shirikisho hilo. Hatua hiyo imekuja baada ya viongozi wa FIFA kukiri kuwa kulikuwa na mapungufu ya kiutaratibu, hususan kutoshirikishwa ipasavyo kwa Baraza la FIFA na vyama wanachama kabla ya mpango…

Read More

Azam FC Yatambulisha Jezi Mpya za Msimu 2026/27

 Klabu ya Azam FC imezindua rasmi jezi zitakazotumika katika msimu wa mashindano wa 2026/27, ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea changamoto mpya za msimu ujao Kupitia kurasa rasmi za mtandao wa Instagram, klabu hiyo imewaonyesha mashabiki wake muonekano wa jezi hizo mpya kwa kuchapisha picha na video maalum za utambulisho. Jezi hizo zinatarajiwa kutumika katika…

Read More

Jumatano ya Mabingwa: Arsenal, Chelsea, PSG na Derby ya Milan Zipo Tayari Kukupa Nafasi ya Kushinda

Kama unajiuliza kuwa Jumatano ya leo utapata wapi pesa, basi mimi nakwambia kuwa Meridianbet pekee ndipo sehemu sahihi ya wewe kupiga pesa. Bashiri mechi zote za kirafiki hapa. Chelsea siku ya leo watakuwa wakikipiga dhidi ya Juventus kutoka kule Italia moja ya mchezo mzuri wa kutazama kwani The Blues wamefanya usajili mzuri wa wachezaji wenye…

Read More

Depú Kuondoka Yanga? Klabu Ya Angola Yaanza Mazungumzo

Mshambuliaji wa kimataifa wa Angola, Laurindo Dilson Maria Aurélio maarufu kama Depú, amewekwa sokoni na klabu yake ya Yanga SC baada ya kuwasili kwa washambuliaji wawili wapya wa kigeni katika kikosi hicho. Uamuzi huo umefikiwa baada ya mabingwa hao wa Tanzania kuongeza nguvu katika eneo la ushambuliaji, hivyo kuona ni vyema kumpa nafasi Depú kutafuta…

Read More

Arsenal Yakaribia Kumsajili Bruno Guimaraes Kutoka Newcastle

LONDON: Klabu ya Arsenal imeendelea na mazungumzo na Newcastle United kuhusu uhamisho wa kiungo nyota wa Brazil, Bruno Guimaraes, huku kukiwa na matumaini kwamba pande hizo mbili zinaweza kufikia makubaliano. Taarifa kutoka Sky Sports News zinaeleza kuwa kuna matumaini ya tahadhari kuwa dili hilo linaweza kukamilika, huku Guimaraes akisubiri ruhusa ya kusafiri kwa ajili ya…

Read More

Infantino Aitwa Kwenye Kikao Maalum Huku Mvutano Ukiongezeka FIFA

RABAT, Morocco: Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), Gianni Infantino, anatarajiwa kuongoza mkutano wa dharura na viongozi waandamizi wa shirikisho hilo leo Jumatano mjini Rabat, Morocco, huku akikabiliwa na shinikizo linaloongezeka kuhusu uongozi wake. Mkutano huo umeitishwa baada ya viongozi wakuu wa FIFA kutakiwa kuhudhuria kikao hicho, wakati Infantino akiendelea kukosolewa na baadhi ya…

Read More

Trabzonspor Yamvutia Salah, Mazungumzo Yaingia Hatua ya Mwisho

ISTANBUL: Klabu ya Trabzonspor ya Uturuki imethibitisha kuwa ipo kwenye mazungumzo ya kumsajili nyota wa Misri, Mohamed Salah, huku ikitangaza kuwa mchezaji huyo anatarajiwa kuwasili Istanbul leo, Jumatano Agosti 5, 2026, kwa ajili ya mazungumzo ya mwisho kuhusu uhamisho wake. Katika taarifa yake, Trabzonspor ilisema Salah atawasili Uwanja wa Ndege wa Ataturk jijini Istanbul kabla…

Read More

Kila Raundi Inaweza Kubadili Maisha Yako Ndani ya Meridianbet

Burudani ya kasino imeingia hatua mpya baada ya Meridianbet kuanzisha Mystery Multiplier Drop, promosheni inayowapa wachezaji nafasi ya kupata ushindi wa kushangaza kila wanaposhiriki moja ya michezo ya Wazdan. Hii ni promosheni inayofanya kila raundi iwe na thamani zaidi kuliko kawaida. Baada ya kujiunga na promosheni, kila dau linalostahili linaweza kukupatia Mystery Multiplier kwa bahati…

Read More