Simba SC 2-0 Singida Black Stars
Simba SC 2-0 Singida Black Stars, NBC Premier League, Uwanja wa Meja Jeneral Isamuhyo ikiwa…
Simba SC 2-0 Singida Black Stars, NBC Premier League, Uwanja wa Meja Jeneral Isamuhyo ikiwa ni mzunguko wa 29, Juni 27,2026. Mabao yamefungwa na Ellie Mpanzu dakika ya 28 na Anicet Oura dakika ya 59. Kila kipindi kwenye mchezo limefungwa goli moja. Msimu wa 2025/26, Simba SC imepata ushindi nje ndani dhidi ya Singida Black…
Yanga SC 3-0 TRA United ni matokeo ya mchezo uliochezwa leo Juni 27,2026 Uwanja wa KMC Complex ikiwa ni mzunguko wa pili. Mabao yote yamefungwa na kiungo mshambuliaji Allan Okello ambaye amefunga hattrick ilikuwa ni dakika ya 38, 51 kwa mkwaju wa penati na kamba ya tatu ilifungwa dakika ya 60. Kwenye mchezo wa mzunguko…
Meridianbet Sportal Portal?, hili ni jukwaa ambalo Meridianbet hulitumia kwaajili ya kuwahabarisha, kuwaburudisha wapenzi wa michezo na Kasino kutoka sehemu mbalimbali huku lengo likiwa ni kuwafanya wapenzi na mashabiki wa soka kujua mambo mbalimbali yanayoendelea ya kimichezo, kasino, usajili, matokeo, na kupata fursa za kubashiri mechi mbalimbali. Kupitia Kampuni hii kubwa ya ubashiri Tanzania, Meridianbet…
NBC Premier League 2025/26 leo Juni 27, 2026 inaendelea huku mechi 8 zikitarajiwa kuchezwa kwenye viwanja tofauti. Dodoma Jiji FC vs Mbeya City FC, Uwanja wa Jamhuri, Dodoma Tanzania Prisons vs Mtibwa Sugar, Uwanja wa Sokoine Yanga SC vs TRA United, Uwanja wa KMC Complex Mashujaa FC vs KMC FC, Lake Tanganyika, Kigoma Pamba Jiji…
NBC Premier League inakwenda kufika ukingoni msimu wa 2025/26 ambapo kila timu inakwenda kuvuna kile ambacho ilipanda katika mechi za ushindani. Kuna vita ya ubingwa huku timu mbili zikipambania kutwaa ubingwa Yanga SC ni vinara wakiwa na pointi 69 wanafuatia na Simba SC wenye pointi 67. Wapo wakali kwenye pasi za mwisho ambapo kinara wao…
NDANI ya Ligi Kuu Tanzania Bara kuna msako wa kipa bora ambapo kinara anatoka kwa timu inayoongoza ligi msimu huu wakiwa ni mabingwa watetezi. Anaitwa Djigui Diarra kipa namba moja wa Yanga SC ni bahari nyingine Bongo kwa makipa wenye hati safi nyingi akiwa ananukia kutwaa tuzo ya kipa bora msimu wa 2025/26. Diarra amekusanya…
Buguruni imekuwa moja ya maeneo yaliyoshuhudia tukio la kipekee lililojaa upendo, mshikamano na kujali baada ya Meridianbet kuendesha zoezi la kugawa vyakula kwa familia zenye uhitaji. Katika kipindi ambacho changamoto za kiuchumi zimekuwa zikigusa kaya nyingi, msaada huo umeonekana kuwa mwanga wa matumaini kwa wananchi waliokuwa wanahitaji msaada wa haraka wa mahitaji ya msingi. Kupitia…
Meridianbet Yatoa Milioni 10 Taslimu Kupitia Expanse VIP Tournament Expanse VIP Tournament ni moja ya promosheni ya Meridianbet inayoendelea kufanya vizuri mjini, inatoa zawadi kubwa ya milioni kumi taslimu ikiwa inashindaniwa kwa kucheza michezo ya kasino iliyotengenezwa na Expanse ambayo ipo ndani ya Meridianbet. Jisajili hapa kuingia kwenye kinyang’anyiro cha ushindi. Promosheni hii ilianza June…
Simba SC vs Singida Black Stars NBC Premier League ni mchezo unaofuata kwenye ratiba ya NBC Premier League, Juni 27, 2026 ukiwa ni mzunguko wa pili. Mchezo huu unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Meja Jenerali Isahmuyo kwa wababe hawa kusaka pointi 3 muhimu ndani ya dakika 90. Ni mchezo unaotoa taswira ya bingwa kupatikana mapema ama…
Yanga SC vs TRA United ni mchezo unaofuata NBC Premier League kwa vinara wa NBC Premier kusaka pointi 3 Uwanja wa KMC Complex ukiwa ni mchezo wa 29. Kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza wababe hawa walitoshana nguvu kwa kugawana pointi mojamoja, huu mchezo unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Aboutwalib Mshery, mlinda mlango wa Yanga…
Mchezo wa Croatia dhidi ya Ghana utakuwa na mvuto mkubwa kwa sababu kila timu ina malengo tofauti. Croatia wanahitaji ushindi ili kuendelea, huku Ghana wakihitaji sare tu kufuzu. Unatarajiwa kuchezwa Juni 28,2026, Uwanja wa Lincoln Financial Field, Philadelphia, Pennsylvania, Marekani. Takwimu Muhimu Croatia Ghana Alama: 3pts kutoka mechi 2 Alama: 4pts kutoka mechi 2 Matokeo:…
Timu zote zimekwishafuzu kwa hatua ya 32 Bora baada ya ushindi katika mechi zao mbili za awali. Hata hivyo, mechi hii ni muhimu kwa kuamua nani atakayemaliza kileleni mwa Kundi I. Ufaransa wanaongoza kwa tofauti ya mabao (+5 dhidi ya +4 ya Norway), kumaanisha kwamba ushindi pekee ndio unaoweza kuipa Norway nafasi ya kwanza. Nafasi…
Michuano mikubwa Duniani inazidi kupamba moto huku kila timu ikihitaji ushindi kuelekea mechi za mwisho za makundi. Nafasi ya wewe kuondoka na pesa ipo hapa hivyo tengeneza jamvi lako la ushindi leo. Nafasi ya kuondoka na mshiko ipo hapa kwa Ecuador dhidi ya Ujerumani, mechi ambayo muhimu sana kwa Ecuador ambao mpaka sasa kwenye mechi…
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza kuwa mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank (CRDB Federation Cup) kati ya Simba SC na Azam FC utafanyika Julai 4, 2026 saa 11:00 jioni. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TFF, fainali hiyo itachezwa katika Gombani Stadium, ikiwa ni sehemu ya kuhitimisha rasmi mashindano yote…
Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), Gianni Infantino, ametetea uamuzi wa kuanzishwa kwa mapumziko ya lazima ya maji (hydration breaks) katika Kombe la Dunia 2026, akisisitiza kuwa uamuzi huo hauhusiani na maslahi ya kibiashara bali ni kwa sababu za kiusalama na kiutendaji kwa wachezaji. Kwa mujibu wa mfumo huo mpya, kila mchezo unasimama kwa…
Saudi Arabia bado ina matumaini ya kufuzu moja kwa moja hatua ya 32 bora ya Kombe la Dunia 2026 kuelekea mchezo wa mwisho wa Kundi H, katika moja ya makundi yaliyojaa ushindani mkubwa na matokeo ya kushangaza. Kabla ya michuano kuanza, wengi walitarajia Spain na Uruguay kutawala kundi hilo, huku Saudi Arabia na Cape Verde…
Timu ya taifa ya Morocco imefuzu hatua ya 32 bora ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Haiti katika mchezo wa mwisho wa Kundi C, lakini ikashindwa kutwaa nafasi ya kwanza ya kundi hilo kutokana na ushindi wa Brazil dhidi ya Scotland. Atlas Lions walihitaji ushindi mkubwa…