Mpenzi wa Cole Palmer Aonyesha Maua ya Mamilioni Wakiwa Dubai
Nyota wa klabu ya Chelsea FC, Cole Palmer, amezua gumzo mitandaoni kufuatia safari yake ya…
Nyota wa klabu ya Chelsea FC, Cole Palmer, amezua gumzo mitandaoni kufuatia safari yake ya mapumziko jijini Dubai. Mchezaji huyo wa timu ya taifa ya England alisafiri kwenda Mashariki ya Kati pamoja na baadhi ya wachezaji wenzake wa Chelsea kwa ajili ya kupumzika wakati wa mapumziko mafupi ya ligi. Hata hivyo, macho ya wengi yalielekezwa…
Ukiwa na Meridianbet pesa inakuwa ipo nje nje muda wote kwnai kila siku timu za ushindi zipo kwaajili yako. Odds kubwa, machaguo zaidi ya 1000. Jisajili sasa na uanze safari yako ya ushindi. Lille kutoka Ufaransa watakuwa nyumbani kumenyana vikali dhidi ya FK Crvena Zvezda ambao hawapewi nafasi kubwa ya kushinda mtanange huu. Mwenyeji anahitaji…
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuwa linatafuta kampuni moja kwa ajili ya haki za kipekee za ubashiri (exclusive betting rights) katika mechi ya Yanga na Simba utakaochezwa Machi 01, 2026 katika Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar kuanzia saa 2.15 usiku. Kupitia taarifa yake ya leo Februari 18, 2026, TFF imewakumbusha wadau…
Mechi za FIFA World Cup zilizopangwa kuchezwa katika Gillette Stadium huenda zikafutwa iwapo mamlaka za eneo hilo hazitapokea fedha za kutosha kwa ajili ya ulinzi wa mashindano. Uwanja huo ambao ni nyumbani kwa timu ya NFL New England Patriots unatarajiwa kuwa mwenyeji wa jumla ya mechi saba, ikiwemo pambano la England dhidi ya Ghana Juni…
Arsenal wameendelea kupoteza mwelekeo katika mbio za ubingwa baada ya kulazimishwa sare ya mabao 2-2 dhidi ya Wolverhampton Wanderers kwenye dimba la Molineux Stadium. Arsenal walionekana kuwa na udhibiti wa mchezo mapema, lakini makosa ya safu ya ulinzi yaliwapa Wolves nafasi ya kusawazisha na hata kutishia ushindi dakika za lala salama. ⚽ Wafungaji: 05’ Bukayo…
Burudani ya mtandaoni imeingia katika zama mpya za ubunifu na ushindani. Kwa kulitambua hilo, Meridianbet imezindua rasmi mchezo mpya wa kipekee, Vaso Psycho, uliotengenezwa na Expanse. Huu ni mchezo uliobuniwa mahsusi kwa wachezaji wanaotaka kuwa mbele ya muda, wakitafuta ushindani wa kiwango cha juu na fursa za ushindi mkubwa. Vaso Psycho umejengwa kwa msingi wa…
Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Gachi (Fatma Omary) ameibuka na madai mazito akimtuhumu rafiki yake wa karibu, Yammi, kwa kuhusika katika kuvunjika kwa mahusiano yake. Akizungumza kwa hisia, Gachi amesema alimtambua Yammi kwa mpenzi wake kwa nia njema, lakini baadaye mambo yakabadilika na kusababisha kuvunjika kwa uhusiano wake. “Nilimtambulisha Yammi kwa mpenzi wangu lakini ndiye aliyechangia…
Mchezaji wa soka wa kimataifa, Alisha Lehmann, amewaacha wengi midomo wazi baada ya kuonyesha gari lake jipya linalofanana na “Batmobile” linalodaiwa kuwa na thamani ya takribani pauni 130,000. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 27, ambaye amewahi kutajwa mara kadhaa kwenye mitandao ya kijamii kutokana na mvuto wake na umaarufu wake uwanjani, alihama kutoka klabu…
Magwiji wa ndondi, Mike Tyson na Floyd Mayweather Jr., wanatarajiwa kukutana katika pambano la maonyesho litakalofanyika Aprili 4, 2026 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Pambano hilo linatajwa kuwa la kihistoria, likirejesha kumbukumbu za mapambano makubwa yaliyowahi kufanyika barani Afrika, hususan tukio maarufu la Rumble in the Jungle lililowakutanisha Muhammad Ali na George Foreman…
Serikali kupitia Baraza la Michezo la Taifa (BMT) imeidhinisha rasmi marekebisho ya Katiba ya Simba Sports Club baada ya kukamilika kwa mchakato wa kisheria uliokuwa unasimamiwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Michezo. Hatua hiyo inafuatia maelekezo yaliyotolewa Februari 16, 2026 na Paul Makonda, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, ambaye alimwagiza Msajili…
Je unajua kuwa Meridianbet ndio wakali wa Odds Tanzania?. Yaani namaanisha kuwa ukitaka Odds kubwa na za kibabe wewe njoo hapa na ubashiri leo. Lakini pia unaweza ukaibuka bingwa kwani machaguo ni mengi hapa. Inter Milan watakuwa ugenini kukiwasha dhidi ya Bodoe/Glimt ambao ni moja kati ya timu ambazo zimewashangaza wengi sana baada ya kuzifunga…
Meridianbet Tanzania inakuletea mchezo mpya unaokufanya ujisikie mpenzi wa ushindi, Gates of Love. Mchezo huu wa sloti una msisimko mkubwa, ukiunganisha mandhari ya Valentine yenye rangi za kupendeza, sauti za kuvutia, na fursa ya kushinda hadi x5,000 kwa mzunguko mmoja. Gates of Love inakuza msisimko kupitia mfumo wake wa tumbling reels, ambapo alama zinazofanana hupotea…
Simba SC 3-0 Greenland FC matokeo ya dakika 90 mchezo wa CRDB Federation Cup hatua ya 64 bora Uwanja wa Mej Isahmuyo. Magoli ya Simba SC yamefungwa na Baraka Mwangosi dakika ya 13, Anthony Mligo dakika ya 45 na kamba ya tatu imefungwa na Neo Maema dakika ya 90. Mwangosi amefunga goli hilo akitumia makosa…
Hatimaye presha inaanza! Kuanzia leo Februari 17,2026 vilabu vikubwa barani Ulaya vitapigania heshima na nafasi ya kusonga mbele katika hatua ya mtoano ya UEFA Champions League. Mechi za leo Februari 17, 2026 Galatasaray vs Juventus Monaco vs Paris Borussia Dortmund vs Atalanta Benfica vs Real Madrid Februari 18, 2026 Qarabağ vs Newcastle Club Brugge vs…
KIWANGO cha mastaa wa Yanga SC walichoonesha mchezo wa mwisho hatua ya makundi vs JS Kabylie kimemkosha Kocha Mkuu Pedro Goncalves kwa kubainisha kwamba wachezaji walijituma bila kuchoka. Katika mchezo huo wa makundi uliochezwa New Amaan Complex, Februari 15 2026 baada ya dakika 90 ubao ulisoma Yanga SC 3-0 JS Kabylie ukiwa ni ushindi mkubwa…
Winga wa England, Jadon Sancho, alionekana jijini Paris akiwa ameshikana mikono na mpenzi wake, rapa wa Marekani Saweetie, katika tukio lililoonyesha wazi mahusiano yao hadharani. Sancho, anayekipiga kwa mkopo katika klabu ya Aston Villa akitokea Manchester United, alionekana akiwa amevalia beanie nyeusi, jaketi la ngozi, fulana nyeusi na jeans, huku Saweetie (32) akivutia kwa koti…
Michuano ya Kombe la Shirikisho la CRDB (CRDB Bank Federation Cup) inaendelea kutimua vumbi leo kwa mechi mbili ambapo Wekundu wa Msimbazi, Simba Sc watakuwa wenyeji wa Greenland FC katika dimba la Meja Janerali Isamuhyo majira ya saa 1:00 usiku. Mapema saa 10:00 jioni Wakusanya ushuru wa Jiji la Dar, KMC FC watakuwa wenyeji wa…