Mashujaa FC vs Simba SC tambo zatawala

MASHUJAA FC vs Simba SC NBC Premier Leagu Mei 13, 2026 saa 10:15 jioni tambo zimetawala kwa wenyeji kubainisha wapo tayari kwa mchezo huo. Kwenye msimamo Mashujaa FC ipo nafasi ya 9 ikiwa na pointi 26 inakutana na Simba SC iliyo nafasi ya pili na pointi 49 zote zimecheza mechi 22. Steven Ndorobo, Ofisa Habari…

Read More

Dodoma Jiji FC vs Yanga SC kinawaka

Dodoma Jiji FC vs Yanga SC kinawaka kesho Mei 13, 2026 Uwanja wa Airtel Singida ambapo kila timu inapambania pointi tatu muhimu. Yanga SC ni timu pekee ambayo haijapoteza mchezo ndani ya ligi namba nne kwa ubora inakutana na Dodoma Jiji FC ambayo imepoteza jumla ya mechi 7. Mlinda mlango wa Dodoma Jiji FC, Hussen…

Read More

Maswali ya Clatous Chama 2026

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC ameachia maswali kuhusu kiungo mshambuliaji Clatous Chama ambayo ameyapa jina la NECTA Form Four 2026 kupitia ukurasa wake wa Instagram namna hii:- 1 (a) What is Chama (b) Types of Chama (c) Characteristics of Chama (a) Chama is the Branch of football which deals…

Read More

Lamine Yamal Aibua Gumzo Baada ya Kuinua Bendera ya Palestina

Nyota chipukizi wa FC Barcelona na timu ya taifa ya Spain, Lamine Yamal, ameibua mjadala mkubwa mitandaoni baada ya kuonekana akiinua bendera ya Palestine wakati wa sherehe za ubingwa wa La Liga zilizofanyika mitaani Jumatatu. Tukio hilo lilitokea saa chache baada ya Barcelona kuifunga Real Madrid mabao 2-0 katika mchezo wa El Clásico, ushindi uliowahakikishia…

Read More

Aspect Gaming na Superspade Games Zatinga Meridianbet kwa Msisimko Mpya

Burudani ya mtandaoni imeingia kiwango kipya kabisa, na Meridianbet inaongoza safari hiyo kwa kuleta uzoefu wa kasino uliojaa ubunifu na msisimko wa kisasa. Kwa kushirikiana na Aspect Gaming na Superspade Games, jukwaa hili linawapa wachezaji nafasi ya kufurahia michezo ya kiwango cha kimataifa kwa mtindo wa kidijitali unaovutia zaidi. Aspect Gaming inaleta mabadiliko makubwa kwenye…

Read More

Clatous Chama amefunga magoli matatu Mei

Kiungo mshambuliaji wa Simba SC, Clatous Chama ametwaa tuzo ya Man of the Match mara baada ya mchezo. Mwamba wa Lusaka alifunga goli moja katika mchezo huo alikuwa kwenye ubora. Inakuwa ni tuzo yake ya tatu mfululizo kwenye mechi za Mei. Alianza kukusanya tuzo Simba SC 2-2 Yanga SC, hapa alifunga goli moja na pasi…

Read More