Aston Villa Kukiwasha Dhidi Liverpool, Mbinu na Fikra Kuamua Leo Usiku
Leo Ijumaa Mei 15, 2026 saa 22:00,Aston Villa wanakaribisha Liverpool kwenye Villa Park. Hili si…
Leo Ijumaa Mei 15, 2026 saa 22:00,Aston Villa wanakaribisha Liverpool kwenye Villa Park. Hili si mchezo wa kawaida ni pambano la wazi la kuwania nafasi ya nne inayokwenda Ulaya. Shinikizo liko kwa timu zote mbili, lakini kwa njia tofauti. Liverpool wamezoea kukaa kwenye nafasi za juu kwa miaka mingi, wana wachezaji waliocheza fainali za Ligi…
JKT Tanzania vs Yanga SC ni kivumbi Mei 16, 2026 Uwanja wa Meja Jeneral Isahmuyo kwa wababe hawa wawili kusaka tiketi kutinga hatua ya nusu fainali. Mabingwa watetezi ni Yanga SC kwenye taji hili hivyo wataingia uwanjani wakiwa na hesabu za kutetea taji hilo huku JKT Tanzania wakiwa na hesabu kutinga hatua ya nusu fainali….
CRDB Cup ni hatua ya robo fainali ambapo timu zinatarajiwa kushuka uwanjani kusaka ushindi kutinga hatua ya nusu fainali. Haya ni mashindano mengine makubwa Bongo ambapo ni hatua ya mtoano mpaka fainali ukishinda unasonga mbele ukifungwa umeumaliza mwendo. Katika mashindano haya ambayo yapo hatua ya robo fainali mabingwa watetezi ni Yanga SC watakuwa kazini Mei…
Uongozi wa klabu ya Young Africans Sports Club (Yanga SC) imetangaza rasmi kuingia katika hatua mpya ya kihistoria ya ujenzi wa uwanja wake binafsi, ndoto ambayo imekuwa ikiota mizizi kwa takribani miaka 90 ya historia ya klabu hiyo. Akizungumza kuhusu mradi huo, Mwenyekiti wa klabu hiyo Eng. Hersi Ally Said amesema uongozi na wanachama wa…
Kila jamii ina wakati wake mgumu, lakini pia ina wakati wa kuinuka. Tandale imekuwa sehemu ya hadithi hiyo mpya ambapo Meridianbet imeamua kugeuza changamoto za maisha kuwa fursa ya matumaini kupitia msaada wa vyakula kwa familia zenye uhitaji. Badala ya kuangalia tu upande wa burudani na michezo ya ubashiri, Meridianbet imeweka nguvu katika maisha halisi…
FT: Mashujaa FC 0-3 Simba SC ni matokeo ya mchezo wa NBC Premier League uliochezwa leo Mei 14, 2026 Uwanja wa Lake Tanganyika, mwisho wa reli Kigoma. Magoli ya Simba SC yamefungwa na Clatous Chama dakika ya 5 na dakika ya 70 huku kamba ya tatu ikifungwa na Seleman Mwalimu dakika ya 90+2. Matokeo haya…
Mashujaa FC vs Simba SC ni leo Mei 14, 2026 Uwanja wa Lake Tangayika, mwisho wa reli Kigoma kwa wababe hawa kusaka pointi tatu muhmu. Kwa upande wa Simba SC ni Djibrilla Kassali ameanza langoni. Vedastus Masinde, Neo Maema, Duchu, Clatous Chama ambaye ni kiungo mshambuliaji. Inno Loemba, Yusuph Kagoma, Libasse Gueye, Ismael Toure, Nickson…
MASHUJAA FC vs Simba SC NBC Premier League ni leo Mei 14, 2026, kikosi cha wenyeji kipo namna hii langoni ameanza Patrick Munthali. Wengine ni Mpoki Mwakinyuke, Samweli Onditi, Abdulnassir Assa, Salum Kihimbwa, Mgandila Shabani, Baraka Mtuwi, Kabasele Yusuph, Ismail Mgunda, Mohamed Salum na Samson Madeleke. Wachezaji wa akiba ni : Hassan Haji, Mapinduzi Balama,…
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imemtangaza rasmi Yahaya Abushehe kuwa Kaimu Ofisa Habari wa bodi hiyo, akichukua nafasi ya Karim Boimanda ambaye atapangiwa majukumu mengine ndani ya taasisi hiyo. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Mei 14, 2026 na Ofisa Mtendaji Mkuu wa TPLB, Cornel Barnabas, uteuzi huo ni sehemu ya mabadiliko ya kiutendaji…
MARA baada yakupoteza mchezo wa kwanza ndani ya NBC Premier League, uongozi wa Yanga SC umebainisha kuwa ulijua kuwa siku moja watapoteza mchezo. Mei 13, 2026 ubao wa Uwanja wa Airtel, Singida ulisoma Dodoma Jiji FC 3-2 Yanga SC ukiwa ni mchezo wa kwanza kwa mabingwa watetezi kupoteza ndani ya ligi msimu wa 2025/26. Timu…
Klabu ya Manchester United imetambulisha rasmi jezi zake mpya za nyumbani kwa ajili ya msimu ujao wa 2026/27, ambapo timu hiyo itashiriki Ligi Kuu ya England pamoja na Ligi ya Mabingwa Ulaya na mashindano mengine ya ndani. Jezi hizo, zilizotengenezwa kwa ushirikiano na kampuni ya Adidas, zimebuniwa kwa mtindo wa kisasa huku zikichochewa na muonekano…
Mashujaa FC vs Simba SC h2h rekodi kwenye mechi 5 ushindi ilikuwa ni kwa mnyama nje ndani tangu 2024-26 hivyo leo unatarajiwa kuwa mchezo wa 6. Licha ya Simba SC kupata matokeo bado ushindi wake kwenye mechi za ugenini kwenye mechi zote mbili umegotea goli moja pekee. Hivyo inamaanisha kwamba Lake Tanganyika sio sehemu nyepesi…
Leo Alhamisi Mei 14, saa 22:30, uwanja wa Santiago Bernabéu utakuwa mwenyeji wa Real Madrid dhidi ya Real Oviedo katika mchezo wa Ligi Kuu ya Uhispania, La Liga, wa dakika 90. Real Madrid wapo nafasi ya 2 kwenye msimamo wakiwa na pointi 77 baada ya mechi 34, wakiwa wana uwezekano wa kumaliza msimu katika nafasi…
Serikali ya Marekani imetangaza kuondoa hitaji la amana ya visa ya dola 15,000 (Tsh 39,077,250) kwa mashabiki wa soka kutoka nchi 50 watakaosafiri kwenda Marekani kwa ajili ya Kombe la Dunia 2026, ikiwa tu wana tiketi halali za mechi. Awali, sheria hiyo ilianzishwa kama sehemu ya mpango wa majaribio wa uhamiaji uliolenga kupunguza watu wanaozidisha…
Yanga imepoteza mchezo wao wa kwanza msimu huu baada ya kupokea kichapo cha mabao 3-2 dhidi ya Dodoma Jiji FC katika mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa uliofanyika kwenye uwanja wa Dodoma. Licha ya kupoteza mchezo huo, Yanga bado wanaendelea kusalia kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya NBC wakiwa na pointi 54 baada ya kucheza…
Dodoma Jiji FC vs Yanga SC kwenye mechi ambazo wamekutana ushindi umekuwa ni mali ya mabingwa watetezi ndani ya dakika 90. Haya hapa matokeo ya mechi zao ambazo zimepita ndani ya NBC Premier League:- 27/01/2026, Yanga SC 3-1 Dodoma Jiji FC 22/06/2025 Yanga SC 5-0 Dodoma Jiji FC 25/12/2024, Dodoma Jiji FC 0-4 Yanga SC…
Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Yanga, Allan Okello amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Aprili wa Ligi Kuu ya soka ya NBC msimu wa mwaka 2025/26 baada ya kutoa mchango mkubwa kwa timu yake katika michezo mitatu aliyocheza mwezi huo, akifunga bao moja na kuhusika na mengine sita kwa dakika 320 alizocheza. Okello alionesha kiwango…