Ratiba ya NBC Premier League

Ratiba ya NBC Premier League 2025/26 inaendelea kwa sasa ni mzunguko wa pili, lala salama ndani ya ligi namba 6 kwa ubora Afrika. Ni mechi mbili zinatarajiwa kuchezwa Juni 16 itakuwa saa 10:00 jioni, Namungo  vs TRA United, Uwanja wa Majaliwa. Saa 1:00 usiku, Azam FC vs Mashujaa FC, Uwanja wa Azam Complex. Juni 17,…

Read More

Allan Okello mtambo wa mabao NBC Premier League

Allan Okello kiungo mshambuliaji wa Yanga SC ni mtambo wa mabao ndani ya NBC Premier League 2025/26. Nyota huyo raia wa Uganda ni ingizo jipya katika kikosi hicho akiwa ametambulishwa dirisha dogo ana uwezo wakufunga na kutengeneza pasi za magoli. Ni magoli 11 na kutengeneza pasi 7 akihusika kwenye magoli 18 kati ya 60 ambayo…

Read More

Furahia Msisimko wa Soka na Ushindi Kupitia Goal Strike Frenzy ya Meridianbet

Mashabiki wa michezo sasa wana nafasi ya kufurahia aina mpya ya burudani kupitia Goal Strike Frenzy kutoka Meridianbet. Mchezo huu mpya umebeba kila kitu ambacho mpenzi wa soka anatamani; msisimko, burudani na nafasi za kushinda zawadi kubwa. Kila unapofungua mchezo huu, unahisi kama umeingia kwenye mechi muhimu inayosubiri matokeo makubwa. Hali ya ushindani na matarajio…

Read More

Dar Derby Yahamia Zanzibar! Yanga na Azam Kukutana New Amaan

Mashabiki wa soka nchini wanatarajiwa kushuhudia pambano kali la Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Yanga SC na Azam FC litakalochezwa Juni 24, 2026 katika Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Mchezo huo unaotarajiwa kuvuta maelfu ya mashabiki kutoka pande mbalimbali za nchi unakuja wakati timu zote mbili zikiendelea kupigania malengo yao muhimu katika msimamo…

Read More

Ujerumani 7-1 Curabao FIFA Kombe la Dunia

TIMU ya taifa ya Ujerumani imeichapa jumla ya magoli 7-1 Curacao kwenye mchezo wa hatua ya makundi FIFA Kombe la Dunia 2026. Haya ni matokeo rasmi ukiwa ni ushindi mkubwa kwenye mashindano haya makubwa ndani ya 2026 huku mabingwa watetezi wakiwa ni Argentina yenye Lionel Messi iliyotwaa taji hilo 2022 nchini Qatar. Magoli ya Ujerumani…

Read More