Dar Derby Yahamia Zanzibar! Yanga na Azam Kukutana New Amaan
Mashabiki wa soka nchini wanatarajiwa kushuhudia pambano kali la Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya…
Mashabiki wa soka nchini wanatarajiwa kushuhudia pambano kali la Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Yanga SC na Azam FC litakalochezwa Juni 24, 2026 katika Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Mchezo huo unaotarajiwa kuvuta maelfu ya mashabiki kutoka pande mbalimbali za nchi unakuja wakati timu zote mbili zikiendelea kupigania malengo yao muhimu katika msimamo…
Leo ndiyo ile siku ya Mchezo kati ya Spain dhidi ya Cape Verde utakaopigwa leo Juni 15 saa 19:00 usiku unatarajiwa kuwa mmoja wa mechi zinazovutia macho ya mashabiki wengi ulimwenguni kote. Spain inaingia ikiwa miongoni mwa timu zinazopigiwa upatu mkubwa kufika mbali kwenye mashindano haya kutokana na ubora wa kikosi chao, huku Cape Verde…
Nyota wa Formula One, Lewis Hamilton, ameonyesha hisia zake baada ya kupata ushindi wake wa kwanza akiwa na timu ya Ferrari, akieleza kuwa ni moja ya nyakati za kipekee zaidi katika maisha yake ya mbio. Kupitia ujumbe aliouchapisha kwenye mitandao ya kijamii, Hamilton alisema amekuwa akiota kufanikisha jambo ambalo wengi waliliona haliwezekani, huku akiwashukuru viongozi,…
Kocha wa timu ya taifa ya Iran, Amir Ghalenoei, amesema mvutano wa kisiasa pamoja na matatizo ya upatikanaji wa visa vimeathiri maandalizi ya timu yake kuelekea mchezo wa kwanza wa Kombe la Dunia 2026 dhidi ya New Zealand. Iran imewasili kwenye mashindano hayo ikiwa katikati ya hali ya sintofahamu kufuatia uhusiano mbaya wa kidiplomasia kati…
Kiungo Yasin Ayari aliiongoza Sweden kupata ushindi mkubwa wa mabao 5-1 dhidi ya Tunisia katika mchezo wa Kundi E wa Kombe la Dunia 2026, huku akifunga mabao mawili dhidi ya taifa ambalo lilitamani kumshawishi kuichezea timu yake ya taifa. Ayari aliifungia Sweden bao la kwanza mapema dakika ya saba kwa shuti kali la mbali lililomshinda…
Timu ya taifa ya Ivory Coast imeanza vyema kampeni yake ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Ecuador katika mchezo wa Kundi E uliochezwa jijini Philadelphia. Shujaa wa mchezo huo alikuwa Amad Diallo ambaye alitokea benchi na kufunga bao la ushindi dakika ya 90, akimalizia kwa…
Timu ya taifa ya Ujerumani imeanza kwa kishindo kampeni yake ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuichapa Curaçao mabao 7-1 katika mchezo wa Kundi E uliochezwa jijini Houston. Ujerumani ilionyesha ubora wake tangu dakika za mwanzo huku Felix Nmecha akiandika rekodi ya kufunga bao la haraka zaidi katika mashindano hayo hadi sasa baada ya…
Meridianbet imeleta sababu mpya ya kutabasamu kwa kuzindua Skyward Deluxe. Huu si mchezo wa kawaida bali ni nafasi ya kufurahia burudani ya hali ya juu huku ukisaka ushindi mkubwa kila siku. Mwezi huu wa mashindano ya dunia umejaa zawadi kupitia Sky Drops zinazotolewa kila saa. Kila mchezo unaocheza unaweza kukuweka karibu zaidi na beti za…
TIMU ya taifa ya Ujerumani imeichapa jumla ya magoli 7-1 Curacao kwenye mchezo wa hatua ya makundi FIFA Kombe la Dunia 2026. Haya ni matokeo rasmi ukiwa ni ushindi mkubwa kwenye mashindano haya makubwa ndani ya 2026 huku mabingwa watetezi wakiwa ni Argentina yenye Lionel Messi iliyotwaa taji hilo 2022 nchini Qatar. Magoli ya Ujerumani…
Simba SC 2-1 Pamba Jiji FC, Gueye Man of The Match ni baada yakuvuna pointi 3 muhimu katika mchezo wa NBC Premier League, Uwanja wa KMC Complex, Juni 14, 2026. Magoli ya Simba SC yalifungwa na Ellie Mpanzu dakika ya 7 na Libase Gueye dakika ya 64 katika mchezo huo uliokuwa na ushindani mkubwa. Goli…
MSAFARA wa kikosi cha Yanga SC umerejea salama Dar Juni 14, 2026 mara baada ya kumalizana na Mashujaa FC katika mchezo wa NBC Premier League uliochezwa Uwanja wa Lake Tanganyika, mwisho wa reli Kigoma. Katika mchezo huo Juni 13, 2026 baada ya dakika 90 ubao ulisoma Mashujaa FC 0-2 Yanga SC, magoli yakifungwa na Mudathir…
Timu ya New York Knicks imeandika historia kwa kutwaa ubingwa wa NBA kwa mara ya kwanza baada ya zaidi ya miaka 50, kufuatia ushindi wa pointi 94-90 dhidi ya San Antonio Spurs katika mchezo wa tano wa fainali uliochezwa Texas. Knicks walihitaji ushindi mmoja pekee kukamilisha kazi baada ya kuongoza mfululizo huo kwa michezo 3-1,…
Mabingwa kuanza kutafuta ushindi wao wa kwanza kwenye michuano hii Mikubwa Dunia. Meridianbet inakwambia kuwa tayari timu za ushindi zinakungoja wewe. Ingia na ubeti sasa. Kivumbi kutimka kwenye mechi ya Ujerumani dhidi ya Curaçao huku wajerumani wakitaka kuanza kampeni yao kwa nguvu na kuonyesha ubora wao dhidi ya timu inayoshiriki mashindano haya ikiwa na ari…
Australia imeanza vyema kampeni yake ya Kombe la Dunia baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Uturuki katika mchezo wa Kundi D uliochezwa Vancouver usiku wa Jumamosi. Nyota kijana Nestory Irankunda aliifungia Australia bao la kwanza dakika ya 27 kwa shuti la chini lililowashinda mabeki watatu wa Uturuki waliokuwa wakimkaba. Baada ya…
Timu ya taifa ya Morocco imeonyesha uimara mkubwa kwa kuibana Brazil na kulazimisha sare ya mabao 1-1 katika mchezo wa Kundi la Kombe la Dunia uliochezwa kwenye Uwanja wa MetLife. Morocco ilianza mchezo kwa kasi kubwa chini ya kocha mpya Mohamed Ouahbi na kuwasumbua mara kwa mara mabingwa hao mara tano wa dunia. Simba wa…
Meridianbet imeizindua Golden Goal Rewards, promosheni inayowapa wachezaji nafasi ya kushinda sehemu ya TZS milioni 450 kupitia zawadi mbalimbali zinazotolewa kila wiki. Huu ni wakati wa kuonyesha uwezo wako na kufurahia ushindi. Ushiriki ni rahisi, jiunge kwenye promosheni, cheza michezo inayohusika na uweke dau linalokubalika. Kuanzia hapo, utaingia kwenye mbio za kushinda zawadi za ghafla…
Nyota wa timu ya Taifa ya Brazil, Vinicius Junior, anatarajiwa kuwa mtu wa kuangaliwa zaidi wakati Brazil itakapofungua kampeni yake ya Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Morocco usiku wa kuamkia kesho. Mshambuliaji huyo wa Real Madrid amesema mashindano haya ni muhimu zaidi katika maisha na taaluma yake, hasa baada ya nyota mkongwe Neymar kuondolewa…