Tanzania Prisons vs Yanga SC kupigwa Tabora?

Tanzania Prisons vs Yanga SC kupigwa Tabora? Ni swali ambalo linaulizwa ni baada ya wenyeji kubainisha kuwa watakuwa Tabora kwenye mechi zinazofuata. Wapinzani hawa wawili wanatarajiwa kukutana Machi 12,2026 kwenye msako wa pointi tatu muhimu ndani ya uwanja. Ipo wazi kwamba Prisons wamekuwa wakitumia Uwanja wa Sokoine kwa mechi za nyumbani uliopo Mbeya kutokana na…

Read More

Fainali ya Kombe Brazil Yageuka Vurugu: Wachezaji 23 Watolewa kwa Kadi Nyekundu, Hulk Apigwa Teke la Kuruka

Fainali ya mashindano ya soka nchini Brazil imeingia kwenye historia kwa sababu zisizofurahisha baada ya kuzuka kwa vurugu kubwa uwanjani zilizofanya wachezaji 23 kupewa kadi nyekundu idadi kubwa zaidi kuwahi kutokea katika historia ya soka la nchi hiyo. Tukio hilo lilitokea katika fainali ya Mashindano ya Mineiro iliyochezwa kati ya Cruzeiro na Atlético Mineiro katika…

Read More

Singida Black Stars vs Simba SC

Singida Black Stars vs Simba SC ni mchezo unaofuata kwenye ratiba ya Ligi Kuu Tanzania Bara kwa wababe hawa wawili. Jumatano ya wiki hii wababe hawa wanatarajiwa kukutana Uwanja wa Airtel kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Singida Black Stars mchezo wake uliopita kwenye ligi ilipoteza kwa kufungwa mabao 3-0 dhidi ya Yanga SC wakiwa…

Read More

Eze Aibeba Arsenal Dakika za Mwisho Baada ya Mansfield Kuwasumbua Vibaya

Meneja wa Mikel Arteta alifanya maamuzi ya hatari katika upangaji wa kikosi, lakini hatimaye Arsenal walifanikiwa kusonga mbele baada ya ushindi mwembamba dhidi ya Mansfield Town katika pambano kali la raundi ya tano ya mashindano ya kombe. Arteta, ambaye mara nyingi hukosolewa kwa kuwatumia kupita kiasi wachezaji wake nyota hadi kupata majeraha, aliamua kuwapumzisha baadhi…

Read More