Chelsea Yalazimishwa Sare ya Dakika za Mwisho na Burnley
Chelsea F.C. 1️⃣ ➖ 1️⃣ Burnley F.C. Chelsea wameshindwa kuibuka na ushindi baada ya kulazimishwa…
Chelsea F.C. 1️⃣ ➖ 1️⃣ Burnley F.C. Chelsea wameshindwa kuibuka na ushindi baada ya kulazimishwa sare ya 1-1 dhidi ya Burnley katika mchezo uliokuwa na drama hadi dakika za majeruhi. ⚽ Dakika ya 4, João Pedro aliitanguliza Chelsea kwa pasi ya Pedro Neto, akiwapa mashabiki matumaini ya ushindi wa mapema. 🟥 Dakika ya 72, mambo…
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ameweka jiwe la msingi la uzinduzi wa shule ya Sekondari ya Mbatakero iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro ambayo imejengwa kupitia mradi wa SEQUIP Ujenzi wa Shule hiyo ambao umegharimu shilingi milioni 584 itasaidia kuondoa adha wanayopata wanafunzi wa eneo hilo ya kutembea umbali mrefu wa kwenda shule…
Kiungo na nahodha wa Manchester United, Bruno Fernandes anaripotiwa kuwa kwenye rada ya vilabu vikubwa barani Ulaya pamoja na Mashariki ya Kati. klabu ya Paris Saint-Germain, FC Bayern Munich, pamoja na vilabu kadhaa vya Saudi Arabia vinaonesha nia kubwa ya kumsajili nyota huyo raia wa Ureno. Ripoti hiyo inaongeza kuwa Manchester United huenda ikafikiria kumuuza…
Leo ni siku ya mapambano makubwa kwenye ligi top barani Ulaya — LaLiga, Serie A, EPL na Bundesliga zote moto 🔥 🇪🇸 LaLiga 🔹 Real Sociedad 🆚 Real Oviedo – Tofauti pointi 15, wenyeji wanataka kuendelea kukaza juu ya msimamo. 🔹 Real Madrid 🆚 Osasuna – Madrid wanaongoza kwa tofauti ya pointi 30! Je, wataendeleza…
Je unajua kuwa siku ya leo unaweza ukaondoka na tabasamu ndani ya Meridianbet?. Mechi nyingi za ushindi zipo uwanjani leo hivyo suka jamvi lako na uanze safari ya ushindi hapa. Tukianza na Iigi kuu ya Hispania, yaani LALIGA nayo kuna mechi za pesa ambapo Real Sociedad atakuwa nyumbani kusaka ushindi dhidi ya Real Oviedo ambapo…
Burudani ya mtandaoni imepata sura mpya kupitia ushirikiano wa kimkakati kati ya Meridianbet na Expanse Studios, wakileta kampeni ya kipekee ndani ya mchezo wa kusisimua wa Zombie Apocalypse. Hii ni ofa iliyobuniwa mahsusi kwa wachezaji wanaotafuta msisimko wa kiwango cha juu pamoja na nafasi kubwa zaidi ya ushindi. Kupitia ofa hii maalum, mteja atakayekamilisha mizunguko…
Uongozi wa Simba SC umetangaza kwa masikitiko makubwa kifo cha baba mzazi wa mchezaji wake, Abdulrazak Hamza, Marehemu Mohamed Spea Hamza, kilichotokea leo asubuhi jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa ya klabu hiyo, marehemu alikuwa akisumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu kabla ya kufariki dunia asubuhi ya leo, na kuacha pengo kubwa kwa…
Meridianbet Sportal Portal?, hili ni jukwaa ambalo Meridianbet hulitumia kwaajili ya kuwahabarisha, kuwaburudisha wapenzi wa michezo na Kasino kutoka sehemu mbalimbali huku lengo likiwa ni kuwafanya wapenzi na mashabiki wa soka kujua mambo mbalimbali yanayoendelea ya kimichezo, kasino, usajili, matokeo, na kupata fursa za kubashiri mechi mbalimbali. Kupitia Kampuni hii kubwa ya ubashiri Tanzania, Meridianbet…
Afisa Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda, ameeleza sababu za kuhamishwa kwa mchezo wa Dabi ya Kariakoo uliopangwa kupigwa Machi 01, 2026. Kwa mujibu wa Boimanda, dabi hiyo kati ya Yanga SC (wenyeji) dhidi ya Simba SC sasa itapigwa katika Uwanja wa New Amaan Complex badala ya Benjamin Mkapa Stadium kama…
Katika hatua ya kuunga mkono juhudi za kulinda mazingira na afya za wananchi, Meridianbet imetoa mapipa ya taka katika maeneo ya umma kwa Kata mbalimbali za wilaya ya Kinondoni. Msaada huu unalenga kuimarisha usimamizi wa taka, kupunguza uchafuzi wa mazingira, na kuhamasisha utamaduni wa usafi katika maeneo yenye mikusanyiko mikubwa ya watu kila siku. Akizungumza…
Nyota wa klabu ya Chelsea FC, Cole Palmer, amezua gumzo mitandaoni kufuatia safari yake ya mapumziko jijini Dubai. Mchezaji huyo wa timu ya taifa ya England alisafiri kwenda Mashariki ya Kati pamoja na baadhi ya wachezaji wenzake wa Chelsea kwa ajili ya kupumzika wakati wa mapumziko mafupi ya ligi. Hata hivyo, macho ya wengi yalielekezwa…
Ukiwa na Meridianbet pesa inakuwa ipo nje nje muda wote kwnai kila siku timu za ushindi zipo kwaajili yako. Odds kubwa, machaguo zaidi ya 1000. Jisajili sasa na uanze safari yako ya ushindi. Lille kutoka Ufaransa watakuwa nyumbani kumenyana vikali dhidi ya FK Crvena Zvezda ambao hawapewi nafasi kubwa ya kushinda mtanange huu. Mwenyeji anahitaji…
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuwa linatafuta kampuni moja kwa ajili ya haki za kipekee za ubashiri (exclusive betting rights) katika mechi ya Yanga na Simba utakaochezwa Machi 01, 2026 katika Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar kuanzia saa 2.15 usiku. Kupitia taarifa yake ya leo Februari 18, 2026, TFF imewakumbusha wadau…
Mechi za FIFA World Cup zilizopangwa kuchezwa katika Gillette Stadium huenda zikafutwa iwapo mamlaka za eneo hilo hazitapokea fedha za kutosha kwa ajili ya ulinzi wa mashindano. Uwanja huo ambao ni nyumbani kwa timu ya NFL New England Patriots unatarajiwa kuwa mwenyeji wa jumla ya mechi saba, ikiwemo pambano la England dhidi ya Ghana Juni…
Arsenal wameendelea kupoteza mwelekeo katika mbio za ubingwa baada ya kulazimishwa sare ya mabao 2-2 dhidi ya Wolverhampton Wanderers kwenye dimba la Molineux Stadium. Arsenal walionekana kuwa na udhibiti wa mchezo mapema, lakini makosa ya safu ya ulinzi yaliwapa Wolves nafasi ya kusawazisha na hata kutishia ushindi dakika za lala salama. ⚽ Wafungaji: 05’ Bukayo…
Burudani ya mtandaoni imeingia katika zama mpya za ubunifu na ushindani. Kwa kulitambua hilo, Meridianbet imezindua rasmi mchezo mpya wa kipekee, Vaso Psycho, uliotengenezwa na Expanse. Huu ni mchezo uliobuniwa mahsusi kwa wachezaji wanaotaka kuwa mbele ya muda, wakitafuta ushindani wa kiwango cha juu na fursa za ushindi mkubwa. Vaso Psycho umejengwa kwa msingi wa…
Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Gachi (Fatma Omary) ameibuka na madai mazito akimtuhumu rafiki yake wa karibu, Yammi, kwa kuhusika katika kuvunjika kwa mahusiano yake. Akizungumza kwa hisia, Gachi amesema alimtambua Yammi kwa mpenzi wake kwa nia njema, lakini baadaye mambo yakabadilika na kusababisha kuvunjika kwa uhusiano wake. “Nilimtambulisha Yammi kwa mpenzi wangu lakini ndiye aliyechangia…