Orodha ya makipa wenye clean sheets nyingi

NBC Premier League makipa wapo kazini kutimiza majukumu yao ndani ya msimu wa 2025/26. Hapa tunakuletea orodha ya makipa wenye clean sheet nyingi kwa mujibu wa Ligi Kuu:- Kipa Timu Clean Sheets Djigui Diarra Yanga SC 13 Mahamadou Kassali Simba SC 12 Aishi Manula Azam FC 11 Jean Joel TRA United 10 Zuberi Foba Azam…

Read More

Shinda Samsung A26 Leo Jumatano kwa Kubashiri Rahisi Kupitia *149*10#

Bila Intanenti ni rahisi kabisa kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kushindania Samsung A26 na Meridianbet leo. Jumatano ya Zawadi ipo kwaajili yako siku ya leo inaweza kukupa furaha sana. Jumatano hii haifanani na nyingine yoyote. Ni siku ambayo Meridianbet inawasha moto wa bahati kwa njia ambayo haijawahi kutokea. Kwa mara nyingine tena, wateja wote wanaopenda kubashiri…

Read More

Mchezaji Chipukizi Victor Udoh Afariki Akiwa Na Miaka 21

Soka la Nigeria limeingia kwenye majonzi kufuatia taarifa za kifo cha mshambuliaji chipukizi Victor Udoh aliyefariki akiwa na umri wa miaka 21. Udoh anaripotiwa kufariki mjini Abuja huku chanzo cha kifo chake kikiendelea kuchunguzwa na mamlaka husika. Ripoti za awali zinaeleza kuwa huenda tukio hilo lilihusishwa na sumu ya chakula au matumizi ya kitu chenye…

Read More

KMC FC kinara wakufungwa magoli mengi

KMC FC ni sikio la kufua kutokana na kuwa na rekodi isiyofurahisha kwa msimu wa 2025/26 kutokana na matokeo kutokuwa mazuri ndani ya ligi huku ikiwa ni kinara kwenye kufungwa magoli mengi ndani ya ligi. Timu hiyo inayotumia Uwanja wa KMC Complex baada ya mechi 25 imekusanya jumla ya pointi 9 ikiwa imepata ushindi kwenye…

Read More

Singida Black Stars 4-1 Mbeya City

Singida Black Stars 4-1 Mbeya City ni matokeo rasmi mchezo wa leo Mei 26, 2026 NBC Premier League kwa wababe hawa wawili Uwanja wa Airtel. Huu ni ushindi mkubwa kwa walima alizeti wakisalia na pointi 3 muhimu huku magoli yote yakifungwa na wachezaji wa Singida Black Stars. Magoli ya Singida Black Stars yamefungwa na Ande…

Read More

Yanga SC ina mtaji wa magoli yakufunga

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC msimu wa 2025/26 wamekusanya mtaji mkubwa kwenye magoli yakufunga huku wakiruhusu magoli machache. Timu hiyo inapambania taji ililotwaa msimu wa 2024/25 ambapo kwa sasa mshindani wake namba moja ni Simba SC anafuatia Azam FC ambaye yupo nafasi ya tatu. Yanga SC baada ya mechi 25 safu ya…

Read More

Feisal namba moja chati ya ufugaji

Ni Feisal Salum kiungo mshambuliaji wa Azam FC anaongoza chati kwenye ufungaji msimu wa 2025/26 ndani ya ligi namba 6 kwa ubora Afrika. Kiungo huyo anaongoza chati kwenye ufungaji akiwa na magoli 14 anafuatiwa na kiungo wa Yanga SC, Allen Okello mwenye magoli 11. Mshambuliaji namba moja kwenye chati ya ufungaji ni Prince Dube naye…

Read More