Dar Derby Yahamia Zanzibar! Yanga na Azam Kukutana New Amaan

Mashabiki wa soka nchini wanatarajiwa kushuhudia pambano kali la Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Yanga SC na Azam FC litakalochezwa Juni 24, 2026 katika Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Mchezo huo unaotarajiwa kuvuta maelfu ya mashabiki kutoka pande mbalimbali za nchi unakuja wakati timu zote mbili zikiendelea kupigania malengo yao muhimu katika msimamo…

Read More

Ujerumani 7-1 Curabao FIFA Kombe la Dunia

TIMU ya taifa ya Ujerumani imeichapa jumla ya magoli 7-1 Curacao kwenye mchezo wa hatua ya makundi FIFA Kombe la Dunia 2026. Haya ni matokeo rasmi ukiwa ni ushindi mkubwa kwenye mashindano haya makubwa ndani ya 2026 huku mabingwa watetezi wakiwa ni Argentina yenye Lionel Messi iliyotwaa taji hilo 2022 nchini Qatar. Magoli ya Ujerumani…

Read More

Golden Goal Rewards Yaanza Rasmi, Washindi Kusaka Milioni 450

Meridianbet imeizindua Golden Goal Rewards, promosheni inayowapa wachezaji nafasi ya kushinda sehemu ya TZS milioni 450 kupitia zawadi mbalimbali zinazotolewa kila wiki. Huu ni wakati wa kuonyesha uwezo wako na kufurahia ushindi. Ushiriki ni rahisi, jiunge kwenye promosheni, cheza michezo inayohusika na uweke dau linalokubalika. Kuanzia hapo, utaingia kwenye mbio za kushinda zawadi za ghafla…

Read More