Nyumba Mpya ya Kisasa Inauzwa Mapinga – Hati Miliki, Bei Poa!
NYUMBA YA KISASA INAUZWA – MAPINGA Eneo: Mapinga, kilomita 1 tu kutoka Bagamoyo Road Bei:…
NYUMBA YA KISASA INAUZWA – MAPINGA Eneo: Mapinga, kilomita 1 tu kutoka Bagamoyo Road Bei: Milioni 150 (maongezi yapo) Ukubwa wa kiwanja: 1,200 sqm Document clean TITLE DEED ( Hati miliki kutoka wizara ya aridhi) MAELEZO YA NDANI ◇Vyumba 4 vya kulala (2 Master ◇Bedrooms – Self Contained) ◇Sebule kubwa yenye mwanga wa kutosha ◇Chumba…
Meridianbet wanakwambia kuwa siku ya leo unaweza ukabadilisha maisha yako yako kwa kubashiri mechi zote zinazoendelea hapa. Mechi za ligi mbalimbali zinaendelea hivyo usiipuuzie nafasi hii. Jisajili na uanze safari yako ya ushindi hapa. Hispania LALIGA napo kitawaka sana ambapo Sevilla atamenyana dhidi ya Real Oviedo ambao mpaka sasa wameshinda mechi zao 2 pekee wakiwa…
Mshambuliaji wa zamani wa klabu za TP Mazembe, AS Vita Club na Yanga SC, Chico Ushindi Wakubanza, amefariki dunia leo mchana akiwa nyumbani kwao Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Chico Wakubanza alikuwa mmoja wa washambuliaji waliopata heshima kubwa katika soka la Afrika ya Kati na Mashariki, akitambulika kwa uwezo wake wa kufumania nyavu, nguvu…
Leo hii ni nafasi yako sasa kutimiza zile ndoto zako ambazo uliziweka ndani ya muda mrefu na Meridianbet. Machaguo zaidi ya 1000 yapo kwenye mechi za kufuzu Kombe la Dunia. Jisajili na utengeneze jamvi sasa. Tengeneza pesa pia mechi hizi za ligi kuu ya Hispania, yaani LALIGA ambapo Atletico Madrid ataumana dhidi ya Valencia ambao…
Leo Disemba 13, 2025 hafla ya utoaji Tuzo za Muziki Tanzania(TMA) 2025 kwa wasanii wa muziki waliofanya vizuri katika maeneo mbalimbali nchini ilitarajiwa kufanyika. Taarifa iliyotolewa na Baraza la Sanaa Tanzania(BASATA) imeeleza kuwa zoezi hilo halitafanyika mpaka wakati mwingine. “Tunawataarifu kuwa hafla ya TMA iliyokuwa imepangwa kufanyika tarehe 13/12/2025 imeahirishwa mpaka pale tarehe nyingine itakapotangazwa.”…
Aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Algeria, Madjid Bougherra, ametangaza rasmi kuachana na kikosi hicho siku nane kabla ya kuanza kwa michuano ya AFCON, kufuatia kuondolewa kwa Algeria kwenye FIFA Arab Cup. Bougherra, ambaye mkataba wake ulikuwa ukifikia tamati mwezi Desemba mwaka huu (2025), amesema kuwa safari yake na timu ya taifa ya…
INAELEZWA kuwa kiungo mshambuliaji wa Simba SC yupo kwenye hesabu za mabosi wa Mbeya City ambao wanahitaji huduma yake. Awesu kwa msimu wa 2025/26 hajawa na nafasi kikosi cha kwanza kwenye mechi za ushindani jambo linalofanya kiwango chake kutokuwa imara. Ikumbukwe kwamba aliibuka ndani ya Simba SC akitokea Klabu ya KMC huko alikuwa ni chaguo…
Kama wewe ni mpenzi wa michezo ya kasino au umekuwa ukitamani kuonja burudani ya kiwango cha kimataifa, basi Meridianbet imekufungulia mlango wazi kuliko wakati mwingine wowote. Kupitia ushirikiano mpya na Ruby Play, dunia ya michezo mtandaoni imepata upepo mpya mkali, wa kasi, na wenye msisimko usiokoma. Ruby Play imejipatia umaarufu duniani kutokana na uwezo wake…
UONGOZI wa Yanga SC umebainisha kuwa nyota wa kikosi hicho ambaye hakuwa kwenye mechi za ushindani kwa muda mrefu anatarajiwa kurejea uwanjani rasmi 2026. Ni beki wa kupanda na kushuka Yao ambaye hajaonekana uwanjani msimu mzima wa 2024/25 na 2025/26 kwenye mechi za awali hakuwa katika mipango ya benchi la ufundi zaidi ya kuendelea na…
Mchambuzi wa soka nchini, Hans Rafael, ametoa taarifa kupitia mitandao ya kijamii akidai kuwa uongozi wa Simba SC umejadili mpango wa kuachana kabisa na kocha Suleiman Matola, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kumpokea kocha mkuu mpya. Kwa mujibu wa Hans Rafael, uongozi wa klabu hiyo umeweka mezani wazo la kutoa nafasi kwa kocha mpya…
Afisa Habari na Mawasiliano wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Clifford Mario Ndimbo, amesema maandalizi ya timu ya taifa kuelekea michuano ya AFCON 2025 yanaendelea vizuri katika kambi ya timu iliyowekwa nchini Misri. Akizungumza na waandishi wa habari leo, Desemba 12, Ndimbo ameeleza kuwa mazingira ya maandalizi ni mazuri na kwamba wachezaji wanaendelea…
Leo hii kuna mechi kibao sana ambazo zitapigwa ndani ya Meridianbet baada ya kushuhudia wikendi timu nyingi zikifuana jasho. Je unajua kwako wewe mteja wa Meridianbet ni rahisi sana kutengeneza pesa hapa?. Bashiri sasa. Tandika jamvi mechi ya Angers vs Nantes kule LIGUE 1 ambapo tofauti ya pointi kati yao hadi sasa ni 5 pekee….
Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, wapo kwenye mazoezi ya ukali kwenye uwanja wa Hoteli ya Jewel, Misri, wakijiandaa kikamilifu kwa fainali za Kombe la Mataifa Afrika (AFCON 2025) zitakazofanyika nchini Morocco kuanzia Desemba 21, 2025. Kocha Mkuu wa Taifa Stars, pamoja na wasaidizi wake, wameweka mkazo kwenye ufundi wa mashambulizi, mpangilio…
Kocha wa Timu ya Taifa ya Morocco, Walid Regragui, ametangaza kikosi chake cha mwisho kuelekea michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON 2025), ambacho kitaipa matumaini taifa hilo litakaloikaribisha michuano hiyo kuanzia Desemba 21, 2025 hadi Januari 18, 2026. Katika kikosi hicho, nyota kadhaa waliotamba kwenye klabu zao barani Ulaya wamerejea, akiwemo beki wa kulia…
Kama ulikuwa unafikiri sloti ni zile zile ulizozizoea, Meridianbet imeamua kukufungulia ukurasa mpya. Wameleta kitu kipya, Kalamba Games, kundi la wabunifu wanaochukulia mchezo wa sloti kama sanaa, sio bahati tu. Kalamba Games hawajaingia kimya kimya, wameingia kama msanii anayefungua onyesho lake jipya. Kila mchezo wao unaonekana kana kwamba umetengenezwa kwa mkono, ukiwa na rangi zilizopangwa…
Pesa iko nje nje leo hii kwenye mechi za Europa ndani ya Meridianbet kwani kila kitu unachotaka kipo hapa kuanzia Odds kubwa, machaguo zaidi ya 1000. Jisajili sasa na uanze safari yako ya ushindi. VFB Stuttgart yeye atakuwa nyumbani kusaka ushindi dhidi ya Maccabi Tel Aviv ambapo takwimu zinaonesha kuwa timu hizi hazijawahi kukutana kwenye…
Kocha wa Real Madrid, Xabi Alonso, yupo kwenye wakati mgumu baada ya timu yake kupoteza tena, safari hii 2-1 mbele ya Manchester City katika dimba la Santiago Bernabeu. Huu ni mchezo wa pili mfululizo kupoteza, baada ya wiki iliyopita Madrid kulala 2-0 dhidi ya Celta Vigo, hali inayowafanya mashabiki na uongozi kuanza kuhoji mwenendo wa…