Simba SC 3-0 Greenland FC CRDB Federation Cup
Simba SC 3-0 Greenland FC matokeo ya dakika 90 mchezo wa CRDB Federation Cup hatua…
Simba SC 3-0 Greenland FC matokeo ya dakika 90 mchezo wa CRDB Federation Cup hatua ya 64 bora Uwanja wa Mej Isahmuyo. Magoli ya Simba SC yamefungwa na Baraka Mwangosi dakika ya 13, Anthony Mligo dakika ya 45 na kamba ya tatu imefungwa na Neo Maema dakika ya 90. Mwangosi amefunga goli hilo akitumia makosa…
Hatimaye presha inaanza! Kuanzia leo Februari 17,2026 vilabu vikubwa barani Ulaya vitapigania heshima na nafasi ya kusonga mbele katika hatua ya mtoano ya UEFA Champions League. Mechi za leo Februari 17, 2026 Galatasaray vs Juventus Monaco vs Paris Borussia Dortmund vs Atalanta Benfica vs Real Madrid Februari 18, 2026 Qarabağ vs Newcastle Club Brugge vs…
KIWANGO cha mastaa wa Yanga SC walichoonesha mchezo wa mwisho hatua ya makundi vs JS Kabylie kimemkosha Kocha Mkuu Pedro Goncalves kwa kubainisha kwamba wachezaji walijituma bila kuchoka. Katika mchezo huo wa makundi uliochezwa New Amaan Complex, Februari 15 2026 baada ya dakika 90 ubao ulisoma Yanga SC 3-0 JS Kabylie ukiwa ni ushindi mkubwa…
Winga wa England, Jadon Sancho, alionekana jijini Paris akiwa ameshikana mikono na mpenzi wake, rapa wa Marekani Saweetie, katika tukio lililoonyesha wazi mahusiano yao hadharani. Sancho, anayekipiga kwa mkopo katika klabu ya Aston Villa akitokea Manchester United, alionekana akiwa amevalia beanie nyeusi, jaketi la ngozi, fulana nyeusi na jeans, huku Saweetie (32) akivutia kwa koti…
Michuano ya Kombe la Shirikisho la CRDB (CRDB Bank Federation Cup) inaendelea kutimua vumbi leo kwa mechi mbili ambapo Wekundu wa Msimbazi, Simba Sc watakuwa wenyeji wa Greenland FC katika dimba la Meja Janerali Isamuhyo majira ya saa 1:00 usiku. Mapema saa 10:00 jioni Wakusanya ushuru wa Jiji la Dar, KMC FC watakuwa wenyeji wa…
Kiungo nyota wa Burkina Faso, Stephane Aziz Ki, ambaye hivi karibuni ameondoka Wydad Athletic Club na kujiunga na Al Ittihad Club ya Libya, amemzawadia mke wake, Hamisa Mobetto, gari la kifahari aina ya Mercedes Benz G-Class (G-Wagon) lenye thamani zaidi ya TSh milioni 300. Zawadi hiyo imekuja ikiwa ni maadhimisho ya mwaka mmoja wa ndoa…
Taarifa zinadai kuwa Shirikisho la Soka la Angola (FAF) lipo kwenye mazungumzo na kocha Florent Ibenge (64) ili kuwa kocha mkuu mpya wa timu ya taifa ya Angola. Ibenge anatajwa kuchukua nafasi ya Patrice Beaumelle (47), kocha raia wa Ufaransa ambaye hivi karibuni aliondoka kwa makubaliano ya pande zote na shirikisho hilo na kwenda zake…
Je unajua kuwa Meridianbet ndio wakali wa Odds Tanzania?. Yaani namaanisha kuwa ukitaka Odds kubwa na za kibabe wewe njoo hapa na ubashiri leo. Lakini pia unaweza ukaibuka bingwa kwani machaguo ni mengi hapa. PSG atakuwa ugenini kukiwasha dhidi ya AS Monaco huku hawa wote wakiwa wanakipiga kule ligi kuu ya Ufaransa yaani LIGUE 1….
Kinara wa michezo ya kubashiri mtandaoni, Meridianbet, inaongeza nguvu kwenye ulimwengu wa kasino kwa kuleta Mystery Multiplier, promosheni inayobadili mtazamo wa kawaida wa kucheza na kuufanya kuwa fursa halisi ya ushindi. Kupitia kampeni hii, kila mzunguko una nafasi ya kukuletea zawadi ya papo hapo, na kufanya kila dau kuwa mwanzo wa safari mpya ya mafanikio….
Paul Makonda, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, amemtaka Msajili wa Vyama vya Michezo nchini, Abel Ngilangwa, kuipa majibu Simba Sports Club kuhusu kinachoendelea katika mchakato wa mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji wa klabu hiyo. Agizo la Kukamilisha Ndani ya Mwezi Akizungumza, Waziri Makonda amesema msajili anatakiwa kuhakikisha kuwa kabla ya mwezi huu kumalizika,…
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda, ameweka wazi kuwa, Kocha Miguel Gamondi amesaini rasmi mkataba wa miaka miwili wa kuifundisha timu ya Taifa ya soka ya Tanzania (Taifa Stars). Waziri Makonda amesema hayo wakati akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam leo Februari 16, 2026, wakati wa Hafla ya…
Kule Uingereza hasa mitaa ya London, Arsenal wanazidi kung’ara siku hadi siku baada ya kuendelea kufanya vizuri kwenye mashindano yote ambayo wanashiriki ikiwemo EPL mpaka yale ya UEFA huku ikiwa ni timu mojawapo inayopewa nafasi ya kushinda mataji msimu huu. Arsenal wanaendelea kuthibitisha kuwa mafanikio ya sasa si bahati, bali ni matokeo ya mpango madhubuti,…
Msanii wa Bongo Fleva kutoka Weusi, George Sixtus Mdemu, anayejulikana kwa jina la sanaa G Nako, ameachia video ya wimbo wake mpya unaoitwa “Kula Bia”. Wimbo huu unaelezea maisha ya kijamii na burudani, ukichanganya midundo ya kisasa ya Bongo Fleva na mtindo wa kipekee wa G Nako. Video hiyo inaonyesha mandhari ya sherehe, uhusiano wa…
Fursa mpya imewasili kwa wapenzi wa michezo ya mtandaoni kupitia Vaso Psycho, toleo la kipekee kutoka Expanse linalopatikana kwanza na pekee ndani ya Meridianbet. Huu ni mchezo uliobuniwa kwa wachezaji wanaopenda msisimko wa hali ya juu na wanaotafuta ushindi usio wa kawaida. Ni mwaliko wa kujaribu kitu tofauti, cha kuthubutu na cha kuvuka mipaka ya…
Yanga SC imetangaza rasmi kuanza mchakato wa kujenga uwanja wake wa kisasa baada ya kumaliza mchakato wa zabuni na kuchagua mwekezaji. Kampuni iliyoshinda zabuni ni GSM, chini ya Rais wake Ghalib Said Mohamed, huku klabu ikionyesha msukumo mkubwa wa kuhakikisha mradi unakidhi viwango vya kitaifa na kimataifa. Hersi Ally Said, Rais wa Yanga SC, amesema:…
LIGI ya Mabingwa Afrika CAFCL inaendelea tena leo Februari 15, 2026 kwa mechi mbili za kuhitimisha hatua ya makundi huku wawakilishi wa Tanzania waliosalia kwenye michuano hiyo, Young Africans Sc wakitupa karata yao ya mwisho ya kuwania kufuzu robo fainali. Wananchi (pointi 5) wapo nyumbani, New Amaan Complex Zanzibar kuchuana na washika mkia wa kundi…
Pesa iko nje nje leo hii kwenye mechi za Europa ndani ya Meridianbet kwani kila kitu unachotaka kipo hapa kuanzia Odds kubwa, machaguo zaidi ya 1000. Jisajili sasa na uanze safari yako ya ushindi. ITALIA SERIE A kitawaka vilivyo, mapema kabisa Udinese atamenyana dhidi ya Sassuolo ambapo mara ya mwisho kukutana kati yao mgeni aliondoka…