Mzamiru Yassin Aaga Rasmi Simba Baada ya Miaka Tisa ya Utumishi
Klabu ya Simba SC imethibitisha rasmi kuachana na kiungo wake mkongwe Mzamiru Yassin, baada ya…
Klabu ya Simba SC imethibitisha rasmi kuachana na kiungo wake mkongwe Mzamiru Yassin, baada ya mkataba wake kumalizika, ikiwa ni sehemu ya mabadiliko ya kikosi kuelekea msimu wa mashindano wa 2026/27. Mzamiru, ambaye ameihudumia Simba kwa takribani miaka tisa, anaondoka akiwa mmoja wa wachezaji walioacha alama ndani ya kikosi hicho kutokana na mchango wake katika…
Kuelekea kurejea msimu mpya wa ligi, timu zinaendelea kujaribu vikosi kwa kucheza mechi za kirafiki kujua nani ni nani huku nafasi ya wewe kujiondokea na mkwanja wa maana ikiwa nzuri kabisa. Baada ya kupanda ligi kuu kule Hispania, Levante wataumana dhidi ya Sheffield United ambao wanataka kufanya vyema msimu ujao. Ikumbukwe kuwa wenyeji wamepanda daraja…
Nahodha wa Argentina, Lionel Messi, amesema hakushangazwa na uwezo wa timu yake kupindua matokeo na kuiondoa England kwa ushindi wa mabao 2-1 katika nusu fainali ya Kombe la Dunia 2026, akisisitiza kuwa umoja na moyo wa kupambana ndio siri ya mafanikio yao. Katika mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Atlanta, Argentina ilitoka nyuma na kupata ushindi…
Klabu ya Simba SC imetangaza rasmi kuachana na wachezaji saba ikiwa ni sehemu ya mchakato wa kuboresha kikosi kuelekea msimu mpya wa mashindano. Kupitia kurasa zake rasmi za mitandao ya kijamii, Simba imewapongeza na kuwashukuru wachezaji hao kwa mchango wao walioutoa ndani ya klabu, huku ikiwatakia mafanikio mema katika hatua zinazofuata za maisha yao ya…
Huku wengine wakiwa wanapambani tuzo za mchezaji bora, wengine kiatu cha mfungaji bora, lakini pia kuna wengine wakiwa kwenye kuwania tuzo ya Golikipa Bora. Je nani kuondoka na heshima hiyo?. Meridianbet tayari imekupatia Odds zao ingia na ubeti sasa. Jordan Pickford ni miongoni mwa makipa bora duniani kule Uingereza katika kuanzisha mashambulizi kwa pasi ndefu…
Lionel Messi ametwaa tuzo ya Mwanasoka Bora wa Mwaka (Best Soccer Player) kwenye Tuzo za ESPY 2026, baada ya kuwashinda nyota wengine watatu waliokuwa kwenye orodha ya wanaowania tuzo hiyo; Ousmane Dembélé wa PSG na Ufaransa, Alexia Putellas wa Barcelona na Hispania, pamoja na Temwa Chawinga wa KC Current na Malawi. Tuzo hiyo ilitangazwa usiku…
Meridianbet inaendelea kubadilisha namna wapenzi wa kasino wanavyofurahia michezo ya sloti kwa kuwaletea Expanse Treasure Hunt, promosheni inayochochea ushindani na kufungua milango ya ushindi mkubwa. Hapa kila raundi ni hatua mpya ya kuelekea kwenye hazina ya mamilioni. Ukiwa ndani ya Meridianbet, utakutana na michezo ya Expanse iliyobeba nafasi ya kukuweka kwenye msimamo na kukusogeza karibu…
MABINGWA watetezi wa NBC Premier League kwa msimu mpya wa 2026/27 wamebainisha watakapoweka kambi kwa maandalizi ya msimu ujao. Ikumbukwe kwamba Yanga SC wametwaa ubingwa wakiwapoteza kwa pointi 2 wapinzani wao wa karibu Simba SC, ni pointi 75 walikusanya baada ya mechi 30 huku Simba SC wakiwa na pointi 73. Kuelekea kwenye maandalizi ya msimu…
BAADA ya kusubiri kwa muda ile simulizi nzuri ya maisha na masuala ya teknolojia kutoka kwa Best Seller Author, Lunyamadzo Mlyuka hatimaye kazi imefika mezani. Ni yuleyule mtunzi wa Msichana wa Maisha Yangu na Moyo Wangu Unavuja Damu safari hii amekuja na kazi mpya inayoitwa Msichana wa Maisha Yangu. Kwa ufupi kuhusu simulizi: Tatizo la…
Julai 15, saa 22:00 usiku, Atlanta Stadium itakuwa kitovu cha dunia ya soka pale England na Argentina watakapokutana kwenye nusu fainali ya pili ya michuano ya Dunia 2026. Ni mara ya kwanza timu hizi mbili kukutana kwenye mtoano wa michuano ya Dunia tangu mwaka 2002, na ushindi wa jioni hiyo utafungua mlango wa fainali dhidi…
Wapenzi wa michezo ya kasino siku zote hutafuta kitu kipya kinachoweza kuwapa burudani ya kipekee pamoja na msisimko wa ushindi, na safari hiyo sasa imepata mwelekeo mpya kupitia Meridian Scatter Whale kutoka Meridianbet. Huu ni mwaliko wa kuingia kwenye ulimwengu wa bahari uliojaa maajabu, siri na fursa zisizohesabika za kujishindia zawadi zinazovutia. Kuanzia unapoufungua mchezo…
Hispania imefanikiwa kutinga fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuichapa Ufaransa mabao 2-0 katika mchezo wa nusu fainali uliopigwa Arlington, Texas. Nahodha wa ushambuliaji, Mikel Oyarzabal, aliifungia Hispania bao la kwanza kwa mkwaju wa penalti dakika ya 22 baada ya chipukizi Lamine Yamal kuchezewa faulo ndani ya eneo la hatari na beki Lucas…
Kuna mechi ambazo huwa tu mechi, na kuna mechi ambazo huandika historia kabla hata hazijaanza. Ile ya leo kati ya France na Spain, itakayoanza saa 22:00 usiku. Ni nusu fainali ya kwanza ya michuano ya Dunia 2026, na wengi tayari wanaiita “fainali kabla ya fainali.” Sababu ni rahisi hizi ndizo timu mbili zilizoingia kwenye mashindano…
Timu ya taifa ya Norway imepokelewa kwa shangwe kubwa na maelfu ya mashabiki jijini Oslo baada ya safari yao ya kihistoria kwenye Kombe la Dunia 2026 kumalizika kwa huzuni katika hatua ya robo fainali. Zaidi ya mashabiki 100,000 walijaa mitaa ya mji mkuu wa Norway Jumatatu, wakitoa heshima kwa wachezaji wao licha ya kuondolewa kwenye…
Wakati wengi wakiitambua Meridianbet kama moja ya majukwaa yanayoongoza kwa michezo ya kasino mtandaoni na ubashiri wa mechi zenye ushindani mkubwa, kuna simulizi nyingine inayozidi kuvutia mioyo ya Watanzania. Ni simulizi ya kampuni inayoamini kuwa mafanikio ya kweli hayapimwi kwa idadi ya michezo pekee, bali pia kwa mchango wake katika kuboresha maisha ya jamii. Meridianbet…
UONGOZI wa Simba SC umebainisha kuwa umeanza mpango wa kuhesabu siku kuelekea tamasha kubwa la Simba Day ikiwa ni maandalizi ya msimu mpya wa 2026/27. Mwenyekiti wa Bodi, Crescentius Magori amesema : “Hii maana yake tumeanza count down kuelekea kwenye Simba Day. Kama kuna mkoa Simba tukija huwa tunasikia raha ni Arusha kuna wakati mwingine…
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeitoza Azam FC faini ya Shilingi milioni 50 kwa kukataa kushiriki sherehe za kukabidhiwa tuzo na zawadi baada ya fainali ya Kombe la Shirikisho la Benki ya CRDB (CRDB Bank Federation Cup 2026). Adhabu hiyo ilitangazwa leo, Julai 13, 2026, kufuatia kikao cha Kamati ya Mashindano ya TFF kilichofanyika jijini…