
THANK YOU SIMBA SC ZIMEPITA KWA MIAMBA HAWA MAZIMA
THANK You ndani ya kikosi cha Simba SC zinaendelea ambapo kuna mastaa ambao wamekutana nazo…
THANK You ndani ya kikosi cha Simba SC zinaendelea ambapo kuna mastaa ambao wamekutana nazo na wengine walianza wao kutoa hivyo hawatakuwa ndani ya timu hiyo kwa msimu wa 2025/26. Ni Fabrince Ngoma kiungo wa kazi alikuwa wa kwanza kutoa Thank You ambapo alibainisha kuwa walifanya kazi kwa ushirikiano ndani ya kikosi hicho licha ya…
FIFA Club World Cup 2025 mashindano haya yalianza kurindima Juni 14 na kugota mwisho Julai 13 2025 ambapo ni Chelsea kutoka England ilitwaa taji hilo mbele ya PSG kwa ushindi wa mabao 3-0 ni usiku wa kuamkia Juni 14 fainali ilichezwa. Ni mabao ya Cole Palmer ambaye alifunga mabao mawili dakika 22 na 30 mbele…
KIUNGO wa Yanga SC Pacome Zouzoua ambaye mkononi ana tuzo ya mchezaji bora ndani ya Ligi Kuu Bara inayodhaminiwa na NBC msimu wa 2024/25 ndani ya Juni 2025 anatajwa kuwa atasalia ndani ya kikosi hicho kwa msimu ujao wa 2025/25. Pacome alikuwa kwenye mwendo bora ndani ya uwanja msimu uliopita akiwa ni chaguo la kwanza…
Ilianza kama ndoto ya mbali. Wiki kadhaa zilizopita, Chelsea walikuwa wakijaribu kutengeneza mwelekeo mpya, huku PSG wakisaka uthibitisho wa ubabe wao duniani. Sasa, usiku wa leo, ndoto hizo mbili zitagongana uwanjani kwenye fainali ya Kombe la Dunia la Klabu, mchezo mmoja wa mwisho wa kuamua nani anabeba historia, na nani anabaki na “tulipambana sana.” Ni…
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, inayodhaminiwa na NBC Yanga SC msimu wa 2024/25 wapo kwenye hesabu kupitisha panga la moto. Timu hiyo ilitwaa ubingwa ikiwa na pointi 82 na safu ya ushambuliaji ilifunga mabao 83. Miloud Hamdi ameshasepa ndani ya Yanga SC alitangazwa kuwa kocha bora ndani ya Juni 2025 na mchezaji bora ni…
KUELEKA CHAN 2024, wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars wapo nchini Misri kwa kambi maalumu huku hesabu kubwa ikiwa ni kupata matokeo kwenye mechi zijazo za ushindani na kutwaa ubingwa kwa kupata matokeo chanya katika uwanja. Dickson Job ambaye ni beki mwenye uwezo wa kupiga pasi ndefu na fupi ni miongoni mwa…
WINGA wa Simba SC, Ellie Mpanzu anatajwa kuwa miongoni mwa wachezaji ambao wataondoka ndani ya kikosi cha Simba SC kutokana na ofa ambazo zipo mezani. Inaelezwa kuwa Klabu ya RS Berkane Waarabu wa Morocco wamekubali uwezo wa nyota huyo katika anga la kitaifa na kimataifa jambo linalotajwa kuwaleta Tanzania kufanya mazungumzo na Simba SC. Mpanzu…
KIUNGO wa Yanga Pacome Zouzoua amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Juni wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2024/2025, akiwashinda Clatous Chama wa Yanga na Kibu Denis wa Simba, alioingia nao fainali katika mchakato wa Tuzo za Mwezi uliofanywa na Kamati ya Tuzo za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF). Pacome raia wa…
Klabu ya Simba Sc imethibitisha kumtoa kwa mkopo kiungo Omary Omary kwenda kuitumikia Mashujaa Fc kwa msimu ujao wa 2025/26. Omary anarejea Mashujaa Fc takribani mwaka mmoja tangu ajiunge na Mnyama mnamo Juni 22, 2024.
Klabu ya Simba imeanza rasmi mpango wa kusuka upya kikosi chake kwa msimu ujao kwa kufanya mabadiliko makubwa, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa Kocha Mkuu Fadlu Davids na uongozi wa klabu hiyo kuhakikisha wanarejea kwenye ubora wa juu kitaifa na kimataifa. Kwa mujibu wa taarifa zilizovuja kutoka ndani ya klabu hiyo, tayari wachezaji sita…
Uongozi wa mchezaji wa kimataifa Célestin Ecua umetangaza rasmi kuwa kiungo huyo sasa ni mchezaji halali wa klabu ya Yanga SC ya Tanzania, akitokea Zoman FC. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Ecua alisaini mkataba na Yanga takriban wiki tatu zilizopita, kama ilivyoripotiwa awali, na sasa mipango yote imekamilika rasmi. “Ni kweli. Célestin alisaini mkataba na…
Katika moyo wa Tanzania, ambapo ndoto zinaangaza kuliko jua la mchana, hadithi ya ajabu inaendelea sasa hivi. Inaitwa LOOT Legends, kutoka Meridianbet, kiongozi asiye na mpinzani katika ulimwengu wa michezo ya kubashiri nchini Tanzania. Hii sio promosheni tu, ni wito wa kuchukua hazina na kuwa tajiri kwani zawadi za pesa taslimu za TZS 1.5 bilioni…
Je unajua kuwa Jumamosi ya leo unaweza kutimiza ndoto zako na mechi za kirafiki ndani ya Meridianbet?. Norwich, Galatasaray, Lille wote wapo uwanjani kuhakikisha kuwa huondoki patupu. Bashiri sasa hapa. Mechi ya kusuka jamvi ni hii ya FC Toulouse FC dhidi ya Pau FC ambao wanakipiga kule Ufaransa LIGUE 2 wakati wenyeji wao wanakipiga LIGUE…
BEKI mpya wa Singida Black Stars, Kelvin Kijili ameweka wazi kuwa yupo tayari kwa ajili ya kupambana kutimiza majukumu kwenye timu hiyo kitaifa na kimataifa. Kijili ametambulishwa rasmi ndani ya Singida Black Stars Julai 10 2025 ikiwa ni mchezaji wa kwanza kutambulishwa ndani ya Singida Black Stars. Msimu wa 2024/25 alikuwa ndani ya kikosi cha…
Dar es Salaam, Tanzania – Klabu ya Yanga SC kupitia kwa Msemaji wake, Alikamwe, leo imezindua rasmi kampeni mpya iitwayo “Tofali la Ubingwa” inayolenga kuchangisha fedha kutoka kwa mashabiki na wanachama ili kusaidia timu katika usajili wa wachezaji wenye ubora wa hali ya juu. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Kamwe amesema kampeni hii ni sehemu…
Kiungo wa kati wa Klabu ya Yanga na timu ya taifa ya Tanzania, Mudathir Yahya Abbas, amesaini mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kuitumikia klabu hiyo ya Jangwani. Licha ya ofa ya kuvutia kutoka Azam FC – klabu aliyowahi kuitumikia kabla – Mudathir amechagua kubaki Yanga, akivutiwa na nguvu ya ushawishi wa Rais wa klabu…
KIUNGO wa kazi ndani ya Yanga SC, Clatous Chama yupo kwenye hesabu za mwisho kujiunga na Klabu ya Zesco United ambayo nahitaji huduma yake. Julai Mosi 2024, Chama alitambulishwa ndani ya kikosi cha Yanga SC kwa kandarasi ya mwaka mmoja ambayo imegota mwisho. Inaelezwa kuwa alikuwa kwenye mazungumzo ya kuongeza mkataba wake ila kuna vipengele…