Fahamu Filamu 100 Bora Kuanzia Mwaka 2000 -2026, ‘Parasite’ Ya Korea Kusini Yaongoza

Tovuti maarufu ya mapitio ya filamu Rotten Tomatoes imetoa orodha ya filamu 100 bora za karne ya 21 (2000-2026) zilizopata sifa kubwa kutoka kwa wakosoaji wa filamu pamoja na watazamaji duniani. Filamu ya Korea Kusini “Parasite” ya mwaka 2019 iliongoza orodha hiyo baada ya kupata asilimia 99 kutoka kwa wakosoaji na asilimia 90 kutoka kwa…

Read More

Orodha ya makipa wenye clean sheets nyingi

NBC Premier League makipa wapo kazini kutimiza majukumu yao ndani ya msimu wa 2025/26. Hapa tunakuletea orodha ya makipa wenye clean sheet nyingi kwa mujibu wa Ligi Kuu:- Kipa Timu Clean Sheets Djigui Diarra Yanga SC 13 Mahamadou Kassali Simba SC 12 Aishi Manula Azam FC 11 Jean Joel TRA United 10 Zuberi Foba Azam…

Read More

Shinda Samsung A26 Leo Jumatano kwa Kubashiri Rahisi Kupitia *149*10#

Bila Intanenti ni rahisi kabisa kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kushindania Samsung A26 na Meridianbet leo. Jumatano ya Zawadi ipo kwaajili yako siku ya leo inaweza kukupa furaha sana. Jumatano hii haifanani na nyingine yoyote. Ni siku ambayo Meridianbet inawasha moto wa bahati kwa njia ambayo haijawahi kutokea. Kwa mara nyingine tena, wateja wote wanaopenda kubashiri…

Read More

Mchezaji Chipukizi Victor Udoh Afariki Akiwa Na Miaka 21

Soka la Nigeria limeingia kwenye majonzi kufuatia taarifa za kifo cha mshambuliaji chipukizi Victor Udoh aliyefariki akiwa na umri wa miaka 21. Udoh anaripotiwa kufariki mjini Abuja huku chanzo cha kifo chake kikiendelea kuchunguzwa na mamlaka husika. Ripoti za awali zinaeleza kuwa huenda tukio hilo lilihusishwa na sumu ya chakula au matumizi ya kitu chenye…

Read More

KMC FC kinara wakufungwa magoli mengi

KMC FC ni sikio la kufua kutokana na kuwa na rekodi isiyofurahisha kwa msimu wa 2025/26 kutokana na matokeo kutokuwa mazuri ndani ya ligi huku ikiwa ni kinara kwenye kufungwa magoli mengi ndani ya ligi. Timu hiyo inayotumia Uwanja wa KMC Complex baada ya mechi 25 imekusanya jumla ya pointi 9 ikiwa imepata ushindi kwenye…

Read More