Tyson na Mayweather Kupigana DR Congo, Pambano la Maonyesho Kuvuta Hisia za Dunia

Magwiji wa ndondi, Mike Tyson na Floyd Mayweather Jr., wanatarajiwa kukutana katika pambano la maonyesho litakalofanyika Aprili 4, 2026 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Pambano hilo linatajwa kuwa la kihistoria, likirejesha kumbukumbu za mapambano makubwa yaliyowahi kufanyika barani Afrika, hususan tukio maarufu la Rumble in the Jungle lililowakutanisha Muhammad Ali na George Foreman…

Read More

Safari ya Mapenzi na Zawadi Kubwa ipo Meridianbet Kupitia Gates of Love

Meridianbet Tanzania inakuletea mchezo mpya unaokufanya ujisikie mpenzi wa ushindi, Gates of Love. Mchezo huu wa sloti una msisimko mkubwa, ukiunganisha mandhari ya Valentine yenye rangi za kupendeza, sauti za kuvutia, na fursa ya kushinda hadi x5,000 kwa mzunguko mmoja. Gates of Love inakuza msisimko kupitia mfumo wake wa tumbling reels, ambapo alama zinazofanana hupotea…

Read More

Simba SC 3-0 Greenland FC CRDB Federation Cup

Simba SC 3-0 Greenland FC matokeo ya dakika 90 mchezo wa CRDB Federation Cup hatua ya 64 bora Uwanja wa Mej Isahmuyo. Magoli ya Simba SC yamefungwa na Baraka Mwangosi dakika ya 13, Anthony Mligo dakika ya 45 na kamba ya tatu imefungwa na Neo Maema dakika ya 90. Mwangosi amefunga goli hilo akitumia makosa…

Read More

Kiwango mastaa Yanga SC chamkosha kocha

KIWANGO cha mastaa wa Yanga SC walichoonesha mchezo wa mwisho hatua ya makundi vs JS Kabylie kimemkosha Kocha Mkuu Pedro Goncalves kwa kubainisha kwamba wachezaji walijituma bila kuchoka. Katika mchezo huo wa makundi uliochezwa New Amaan Complex, Februari 15 2026 baada ya dakika 90 ubao ulisoma Yanga SC 3-0 JS Kabylie ukiwa ni ushindi mkubwa…

Read More

Jadon Sancho na Saweetie Waonekana Paris Wakiwa Wameshikana Mikono

Winga wa England, Jadon Sancho, alionekana jijini Paris akiwa ameshikana mikono na mpenzi wake, rapa wa Marekani Saweetie, katika tukio lililoonyesha wazi mahusiano yao hadharani. Sancho, anayekipiga kwa mkopo katika klabu ya Aston Villa akitokea Manchester United, alionekana akiwa amevalia beanie nyeusi, jaketi la ngozi, fulana nyeusi na jeans, huku Saweetie (32) akivutia kwa koti…

Read More

Makonda Amtaka Msajili Kukamilisha Mchakato wa Mabadiliko Simba

Paul Makonda, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, amemtaka Msajili wa Vyama vya Michezo nchini, Abel Ngilangwa, kuipa majibu Simba Sports Club kuhusu kinachoendelea katika mchakato wa mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji wa klabu hiyo. Agizo la Kukamilisha Ndani ya Mwezi Akizungumza, Waziri Makonda amesema msajili anatakiwa kuhakikisha kuwa kabla ya mwezi huu kumalizika,…

Read More

Arsenal Wanazidi Kuandika Historia Mpya ya Mafanikio

Kule Uingereza hasa mitaa ya London, Arsenal wanazidi kung’ara siku hadi siku baada ya kuendelea kufanya vizuri kwenye mashindano yote ambayo wanashiriki ikiwemo EPL mpaka yale ya UEFA huku ikiwa ni timu mojawapo inayopewa nafasi ya kushinda mataji msimu huu. Arsenal wanaendelea kuthibitisha kuwa mafanikio ya sasa si bahati, bali ni matokeo ya mpango madhubuti,…

Read More