Rekodi za makipa wenye hati safi NBC Premier League
Rekodi zinaonyesha kuwa namba moja kwa hati safi ndani ya NBC Premier League ni Djigui…
Rekodi zinaonyesha kuwa namba moja kwa hati safi ndani ya NBC Premier League ni Djigui Diarra wa Yanga SC akiwa nazo 7. Erick Johora wa Mashujaa yeye ni namba mbili kwa makipa wenye hati safi zakutosha akiwa ana hati safi 6. Ally Salim wa Dodoma Jiji, Yona Amosi wa Pamba Jiji FC na Mussa Mbisa…
Milio ya risasi ilisikika karibu na nyumba ya mwimbaji maarufu Rihanna iliyopo katika eneo la Beverly Hills, jimbo la California nchini United States, huku polisi wakithibitisha kuwa hakuna mtu aliyejeruhiwa katika tukio hilo. Kwa mujibu wa taarifa za polisi, mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 30 alisimama nje ya nyumba hiyo baada ya kushuka kutoka…
Shirikisho la soka barani Afrika (CAF), limetoa orodha ya Waamuzi wa Afrika na Maafisa wa VAR waliochaguliwa kuchezesha Kombe la Dunia la FIFA 2026, huku maafisa kadhaa wenye uzoefu wakipata fursa ya kuwakilisha bara kwenye Mashindano makubwa zaidi ya Kandanda. Michuano hiyo ya Kombe la Dunia ambayo itaandaliwa kwa pamoja kati ya Marekani, Mexico na…
Huu ni msimu bora kabisa kwa timu ya Ujerumani, Bayern Munich ambao wamekuwa kwenye mwendelezo wa kufanya vizuri Ulaya na hata ligi ya ndani. Je Kompany na vijana wake watachukua Makombe mangapi msimu huu? Klabu hii imeendelea kuonesha ubora wake msimu huu, ikionesha kuwa ni miongoni mwa nguvu za soka la Ujerumani na Ulaya. Bayern…
Singida Black Stars vs Simba SC ni mchezo unaofuata kwenye ratiba ya Ligi Kuu Tanzania Bara kwa wababe hawa wawili. Jumatano ya wiki hii wababe hawa wanatarajiwa kukutana Uwanja wa Airtel kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Singida Black Stars mchezo wake uliopita kwenye ligi ilipoteza kwa kufungwa mabao 3-0 dhidi ya Yanga SC wakiwa…
Meridianbet ipo kwa ajili yako na haikuachi kirahisi. Kupitia mfumo wa Lucky Loser, tiketi yako iliyokosa inageuka kuwa nafasi mpya ya kushinda hadi mara 30 ya dau lako. Hapa, hasara si mwisho, ni tiketi ya pili ya matumaini. Lucky Loser imeundwa mahsusi kwa wachezaji wanaocheza mchezo wa namba 6 kwenye Win&Go kwa akaunti ya pesa…
Siku ya leo inaenda kubadilisha maisha yako moja kwa moja kwani mechi kibao zipo uwanjani na nafasi ya kuondoka na ushindi ipo mikononi mwako. Ingia kwenye akaunti yako na uanze kubeti sasa. Ligi kuu ya Italia, SERIE A kuna mechi za kubashiri Fiorentina ataumana dhidi ya Parma ambao wanashika nafasi ya 11 huku mwenyeji yeye…
Meneja wa Mikel Arteta alifanya maamuzi ya hatari katika upangaji wa kikosi, lakini hatimaye Arsenal walifanikiwa kusonga mbele baada ya ushindi mwembamba dhidi ya Mansfield Town katika pambano kali la raundi ya tano ya mashindano ya kombe. Arteta, ambaye mara nyingi hukosolewa kwa kuwatumia kupita kiasi wachezaji wake nyota hadi kupata majeraha, aliamua kuwapumzisha baadhi…
Katika kuendeleza ubunifu kwenye sekta ya burudani za mtandaoni, Meridianbet imeendelea kuimarisha nafasi yake sokoni kupitia mchezo unaovutia wa Gates of Halloween. Mchezo huu umechota hamasa ya Halloween na kuiwasilisha kwa muonekano wa kisasa unaojumuisha teknolojia, ubunifu na msisimko wa hali ya juu. Tofauti yake kubwa ipo kwenye mfumo wake wa kipekee wa ushindi. Kupatikana…
Simba SC 2-0 B19 FC katika mchezo wa hatua ya 32 CRDB Federation Cup, Uwanja wa Mej. General Isamuhyo. Watupiaji ni Inno Loemba dakika ya 22 kwa pigo la kichwa na Clatous Chama dakika ya 77 akitumia pasi ya Ellie Mpanzu. Mpanzu na Chama wote walianzia benchi mchezo wa leo. Chama alichukua nafasi ya kiungo…
Klabu ya Yanga Machi 3, 2026 imetoa malalamiko makali dhidi ya Kamati ya Saa 72 na Bodi ya Ligi ikihusisha adhabu, makosa ya waamuzi katika mechi mbalimbali za Ligi Tanzania Bara. Tofauti za Adhabu kwa Wachezaji:Yanga imeitaka Bodi ya Ligi kutoa ufafanuzi kuhusu adhabu iliyotolewa kwa mchezaji Selemani Mwalimu. Msimu huu, wachezaji watano walifungiwa mechi 5…
Leo Machi 7 2026 ni Simba SC vs B19 FC mchezo wa hatua ya 32 bora CRDB Federation Cup, Uwanja wa Mej Jen. Isahmuyo saa 1:15 usiku. Hiki hapa kikosi cha Simba SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Steve Berkar ambacho kinatarajiwa kuanza:- Hussen Abel, Duchu, Mligo, Vedastus, Toure, Naby, Bashiri, Kante, Inno, Morice Abraham na…
Takribani nusu siku tokea Kamati ya Saa 72 itangaze adhabu kadhaa kwa wakosefu ambao hakika wanapaswa kujirekebisha. Lakini wazi kuonaonekana ndani yake kuna SIASA na haiwezi kuwa msaada kwa wachezaji wetu, klabu au mpira wa Tanzania. Adhabu ya Mwalimu wa Simba ni sahihi kabisa na anapaswa kujifunza kwa kuwa alifanya shambulizi hata kama aliyeshambuliwa alianza….
Katika mchezo wa Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1), Paris Saint-Germain (PSG) imekubali kipigo cha 3-1 nyumbani dhidi ya Monaco kwenye dimba la Parc des Princes. Muhtasari wa Mechi FT: PSG 1-3 Monaco Magoli: 27′ Akliouche (Monaco) 55′ Golovin (Monaco) 71′ Barcola (PSG) 73′ Balogun (Monaco) Hii ilikuwa mechi ya nne kati ya PSG na…
Je unajua ushindi wa haraka unaeza ukaupata Meridianbet ambao hawa ni wakali wa mambo ya ubashiri?. Kama hujajua basi ndio nakupa taarifa sasa unachotakiwa kufanya ni kuweka dau kwenye simu yako na kuanza kubashiri na Meridianbet leo. Ligi kuu ya Ujerumani, BUNDESLIGA itaendelea Freiburg ataumana dhidi ya Bayer Leverkusen ambapo mechi ya mwisho kukutana kati…
Soko la burudani ya kasino mtandaoni sasa limepata nguvu mpya baada ya Meridianbet kuijumuisha Slotopia, mtengeneza michezo anayelenga kuwapa wachezaji burudani isiyo na kikomo pamoja na bonasi na zawadi kemkem. Uzinduzi huu unaashiria kipindi kipya cha ushindi, ambapo kila mzunguko wa mchezo ni fursa ya kuongeza mapato. Slotopia imeundwa kwa lengo la kuhakikisha kila mchezaji…
MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Vanillah amepata shavu katika Kampuni ya kimataifa ya Apple Music ambapo ameingia katika mpango wao wa kushirikishwa na wasanii wengi wa kimataifa. Kupitia Up Next Artist Development Program in East Africa, Vanillah ambaye mbali ya kuimba ni mwandishi wa mashairi atapata shavu la kushirikiana na wasanii kibao wa kimataifa. “Najisikia furaha…