Marekani Yaweka Masharti Mapya ya Usalama kwa Wageni wa Kombe la Dunia la 2026

Mamlaka za Marekani zimeunda kikosi kazi maalum (task force) kitakachosimamia usalama na uchunguzi mkali wa mashabiki, wachezaji na wageni wote watakaofika nchini Marekani wakati wa Kombe la Dunia la FIFA 2026. Hatua hiyo imekuja baada ya matukio kadhaa ya kuhojiwa na kucheleweshwa kwa watu wanaohusiana na michuano hiyo, ikiwemo mshambuliaji wa Iraq Aymen Hussein aliyekamatwa…

Read More

Ndoto Yafutika! FIFA Yathibitisha Omar Artan Hatakuwepo Kombe la Dunia 2026

Shirikisho la Soka Duniani, FIFA limethibitisha kuwa mwamuzi wa Somalia, Omar Abdulkadir Artan, hatachezesha mechi za Kombe la Dunia 2026 baada ya kunyimwa kuingia nchini Marekani. Kwa mujibu wa FIFA, Artan hataweza kufanya mazoezi wala kuchezesha mashindano hayo kufuatia uamuzi wa mamlaka za Marekani kutomruhusu kuingia nchini humo, licha ya kuripotiwa kuwa alikuwa na visa…

Read More

Ruby Play Yaongeza Msisimko Mpya wa Ushindi Mtandaoni

Kuna wakati ambapo nafasi moja tu inaweza kubadilisha siku yako, na Ruby Play kupitia Meridianbet imeleta nafasi hiyo karibu zaidi kuliko wakati mwingine wowote. Hapa ndipo burudani na ushindi vinapokutana katika mazingira yenye msisimko wa hali ya juu. Ruby Play imebuni michezo inayovutia macho na kuwafanya wachezaji wajisikie kama sehemu ya hadithi kubwa. Kuanzia michoro…

Read More

Nahodha Yanga SC: Kila mtu ashinde mechi zake

BAKARI Nondo nahodha wa Yanga SC amesema kwa sasa kila mtu ashinde mechi zake ndani ya NBC Premier League kutokana na ushindani uliopo. Ni Yanga SC hawa ni vinara wakiwa na pointi 60 baada ya mechi 25, kwenye msimamo wanafuatiwa na Simba SC yenye pointi 58 tofauti ya pointi 2. Timu zote zimecheza mechi 25…

Read More