Kibu Dennis Aondoka Msimbazi, Kuungana na Ngoma na Mukwala Libya
Klabu ya Simba SC imethibitisha kwamba mshambuliaji wake, Kibu Dennis, hatakuwa sehemu ya kikosi cha…
Klabu ya Simba SC imethibitisha kwamba mshambuliaji wake, Kibu Dennis, hatakuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo, akihitimisha utumishi wake wa misimu minne na nusu akiwa na Wekundu wa Msimbazi. Kibu โMkandajiโ, ambaye alijiunga na Simba SC miaka kadhaa iliyopita, anaripotiwa kujiunga na klabu ya Al Nasr Benghazi nchini Libya, na kutambulishwa hivi karibuni kama…
Manchester United imelazimishwa kutoka sare ya bao 1-1 dhidi ya West Ham United katika mchezo wa Ligi Kuu England uliopigwa katika dimba la London Stadium, matokeo yaliyokatisha rekodi yao ya ushindi wa mechi nne mfululizo na kuendeleza ukame wa ushindi ugenini dhidi ya Wagonga Nyundo. West Ham walianza kwa kasi na kuonyesha dhamira ya kutafuta…
Je unajua kuwa ndoto zako zinaweza kutimia ndani ya Meridianbet leo?. Kila kitu unachotaka kipo hapa kuanzia Odds kubwa, machaguo zaidi ya 1000. Jisajili sasa na uanze safari yako ya ushindi. Tukianza na COPPA ITALIA kule Italia leo hii hatua ya Robo Fainali utapigwa mchezo mmoja kati ya Bologna dhidi ya Lazio ambapo kwenye ligi…
Yanga SC vs JS Kabylie, Jumapili ya kazi kwa wawakilishi wa Tanzania kutupa karata ya mwisho katika anga la kimataifa. Mchezo huo ni muhimu kwa Yanga SC kupambania malengo yakutinga hatua ya robo fainali wakiwa nafasi ya tatu na pointi 5 huku wanaowania nafasi hiyo wengine ni AS Far Rabat hawa wapo nafasi ya pili…
KMC vs Simba SC ni mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC, Complex saa 1:00 usiku. Katika mchezo wa leo kiungo mshambuliaji wa Simba SC, Kibu Dennis anatarajiwa kuangwa rasmi mara baada ya kuuzwa. Kibu msimu wa 2025/26 atakuwa nchini Libya kwa changamoto mpya mara baada ya kufikia makubaliano na pande…
Nani alisema katikati ya wiki hakuna burudani? Meridianbet wameamua kuivunja dhana hiyo kwa kuja na kampeni ya kusisimua ya Jumatano ya Zawadi, inayogeuza kila Jumatano kuwa siku ya matumaini na bahati. Kuanzia Jumatano hadi Jumanne, kila mchezaji anayekata tiketi yenye mechi tatu au zaidi anajikuta tayari yupo kwenye mbio za kushinda zawadi. Kinachoifanya Jumatano iwe…
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) kwa ajili ya kupitia hatua mbalimbali zilizofikiwa katika maandalizi ya michuano hiyo mikubwa itakayofanyika mwaka 2027 katika nchi za Tanzania, Kenya na Uganda. Mheshimiwa Dkt. Mwigulu amefanya kikao hicho leo Jumanne (Februari 10, 2026) Ofisi…
Manchester United wanaonekana kuendelea na mipango yao ya muda mrefu bila kumjumuisha Marcus Rashford, huku hatma ya mshambuliaji huyo ikizidi kuelekea kwenye uuzaji wa kudumu badala ya kurejea Old Trafford. Rashford kwa sasa anaitumikia Barcelona kwa mkopo wa msimu mzima, ambapo klabu hiyo ya La Liga ina kipengele cha kumnunua moja kwa moja kwa pauni…
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura, amesema Jeshi la Polisi litaendelea kuweka jitihada za kununua mbwa wapya wa kisasa na wenye uwezo ili kuboresha muonekano wa mbwa wa Polisi mwenye umbo lenye kumdhoofisha mhalifu. IGP Wambura, ameyasema hayo wakati wa Ufunguzi wa Kikao Kazi cha Wakuu wa Kikosi cha Mbwa na farasi…
โฝ๐ฅ USIKU WA MAAMUZI EPL ๐ฅโฝ Saa 5 usiku macho yote London Stadiumโฆโ๏ธ West Ham vs Manchester UnitedPointi 3 si anasa โ ni lazima!Je, Carrick ataendeleza makali ya kikosi chake au West Ham watawazima taa? Lakini ratiba bado nzitoโฆโช Tottenham vs Newcastle โ vita ya kasi na nguvu๐ต Chelsea vs Leeds โ presha, mashambulizi na…
Wawakilishi wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) wamesukumizwa nje ya michuano hiyo kufuatia kipigo cha 1-0 dhidi ya Sead Ramovic na vijana wake wa CR Belouizdad katika dimba la New Amaan Complex, Zanzibar kwenye mchezo wa kundi C wa CAFCC. ๐ ๐: ๐๐ข๐ง๐ ๐ข๐๐ ๐๐ฅ๐๐๐ค ๐๐ญ๐๐ซ๐ฌ ๐น๐ฟ ๐-๐ ๐ฉ๐ฟ ๐๐ ๐๐๐ฅ๐จ๐ฎ๐ข๐ณ๐๐๐ โฝ 03โ Belhocini ๐๐๐ผ๐๐ด๐๐…
Mwandishi wa habari na mchambuzi mahiri wa masuala ya michezo, Farhan Kihamu, amezungumza na Global TV kufuatia sakata la baadhi ya mashabiki wa klabu ya Simba kudaiwa kutaka kumshambulia Mwenyekiti wa klabu hiyo, Murtaza Mangungu. Aidha, Farhan amegusia sakata lingine la mashabiki kuitisha mkutano na waandishi wa habari, wakiibua tuhuma na hoja nzito dhidi ya…
Burudani ya kweli haipimwi kwa ushindi pekee, bali kwa uzoefu mzima wa mchezaji. Na hii ndiyo falsafa iliyoizaa 10% Moneyback Win&Go ya Meridianbet, mchezo unaokukaribisha ufurahie kila raundi bila presha. Hapa, unacheza kwa uhuru ukijua kuwa hata siku ikiteleza, kuna mkono wa kukuinua nyuma ya pazia. Hata siku yako ikiwa haijaenda kama ulivyopanga, lakini bado…
Liverpool wamekubali kichapo cha 2-1 dhidi ya Manchester City katika dimba la Anfield huku mabao ya dakika za lala salama kutoka kwa Bernardo Silva na Erling Haaland yakiiwezesha Man City kupindua meza. Man City imesogea mpaka alama sita nyuma ya vinara, Arsenal kwenye msimamo wa ligi kuu England wakifikisha alama 50 baada ya mechi 25…
Inawezekana kabisa kupata Samsung Mpya kabisa kwa wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet. Kupitia promosheni yako ya Bet Online ndugu mteja una nafasi ya kuchukua Samsung A26 hapa. Katika msimu huu wa burudani na ushindani mkali ndani ya ulimwengu wa soka, Meridianbet imewasha moto mpya unaowapa wachezaji wote sababu ya kuongeza hamasa wanapotazama na kubashiri mechi…
Una nafasi ya kumiliki simu ya ndoto zako na Meridianbet ambapo kwa kubashiri mechi za mpira wa miguu ni rahisi sana kuchukua Samsung A26 yako. Unangoja nini kubashiri sasa? Katika msimu huu wa burudani na ushindani mkali ndani ya ulimwengu wa soka, Meridianbet imewasha moto mpya unaowapa wachezaji wote sababu ya kuongeza hamasa wanapotazama na…
Meridianbet inakualika kwenye uwanja wa ndoto ambapo 500/= tu inaweza kukupeleka mbali hadi kwenye utajiri mkubwa wa Tsh Bilioni 2. Hii si bahati nasibu tu, ni fursa ya kubadili maisha yako kwa kupitia maarifa na ujasiri. Piga *149*10# bure, jiunge na maelfu ya wachezaji wanaoamini kuwa leo ndiyo siku yao. Diamond Jackpot ya Meridianbet inakuja…