Yanga SC vs Coastal Union utachezwa mchezo mzuri

Yanga SC vs Coastal Union utachezwa mchezo mzuri leo Mei 9,2026 baada ya benchi la ufundi la wenyeji kubainisha hivyo. Wananchi ni mabingwa watetezi wanatarajia kuvaana na Coastal Union kwenye mchezo wa NBC Premier League, leo saa 12:15, Uwanja wa KMC Complex. Mchezo ulipita kwa Yanga SC ilipata ushindi wa goli 1-0 dhidi ya KMC…

Read More

Real Madrid Yawatoza Faini Valverde na Tchouaméni

Real Madrid imeripotiwa kuwatoza faini ya euro 500,000 kila mmoja viungo wake Federico Valverde na Aurélien Tchouaméni kufuatia kuhusishwa katika mzozo uliotokea wakati wa mazoezi ya timu hiyo. Kwa mujibu wa taarifa mbalimbali, wawili hao waliingia kwenye mabishano makali wakati wa mazoezi yenye ushindani mkubwa, kabla hali hiyo haijageuka kuwa ya vurugu na kuwalazimu makocha…

Read More

Ratiba ya NBC Premier League leo Mei 9

NBC Premier League inaendelea leo Mei 9 ambapo kuna michezo miwili mikali kwa wababe kusaka ushindi ndani ya uwanja. Saa 10:00 jioni, Singida Black Stars vs Mtibwa Sugar, Uwanja wa Airtel Saa 12:15, Yanga SC vs Coastal Union, Uwanja wa KMC Complex Ikumbukwe kwamba vinara wa ligi ni Yanga SC wakiwa na pointi 51 hawajapoteza…

Read More

Mechi za Yanga SC NBC Premier League zilizobaki

Mabingwa watetezi NBC Premier League, Yanga SC wamebakiwa na mechi 9 kukamilisha msimu wa 2025/26. Hizi hapa mechi zijazo:- Tarehe Mechi Uwanja Mei 9, 2026 Yanga SC vs Coastal Union KMC Complex Mei 13, 2026 Dodoma Jiji FC vs Yanga SC Jamhuri, Dodoma Mei 22, 2026 Yanga SC vs Singida Black Stars KMC Complex Mei…

Read More

Ratiba ya NBC Premier League leo

NBC Premier League inaendelea ikiwa ni mzunguko wa pili msimu wa 2025/26 mabingwa watetezi ni Yanga SC wanaoongoza ligi na pointi 51. Mei 8, 2026 Ijumaa zinatarajiwa kuchezwa mechi mbili kali kwa wababe kusaka pointi tatu muhimu uwanjani. TRA United vs Azam FC, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, saa 10:00 jioni Namungo FC vs Mashujaa…

Read More

Simba SC yatajwa kumpigia hesabu Chobwedo

INAELEZWA kuwa uongozi wa Simba SC upo kwenye hesabu za kuinasa saini ya kiungo wa TRA United Ramadhan Chobwedo. Kiungo huyo amekuwa kwenye ubora katika mechi za hivi karibuni dhidi ya vigogo wa Kariakoo jambo ambalo linatajwa kuwavutia mabosi wa Simba SC. Mbali na Simba SC imekuwa ikitajwa kuwa hata watani wa jadi wa timu…

Read More