Simba SC hesabu zimehamia CRDB Cup

BAADA ya kufunga msimu wa 2025/26 wakiwa nafasi ya pili na pointi 73, uongozi wa Simba SC umebainisha kuwa mpango mkubwa kwa sasa ni mechi ya fainali dhidi ya Azam FC. Simba SC ilifunga msimu wa 2025/26 kwa kupata ushindi wa bao 1-0 KMC FC uliochezwa Juni 30,2026 Uwanja wa KMC Complex. Ahmed Ally, Meneja…

Read More

Mystery Multiplier Drop Yavuma: Zawadi Maelfu Zakusubiri Wachezaji

Kuna wakati katika burudani ambapo bahati, msisimko na matarajio hukutana na kuunda uzoefu usiosahaulika. Hilo ndilo hasa Meridianbet inaleta kupitia kampeni yake mpya ya Mystery Multiplier Drop, promosheni ambayo imeanzisha msimu wa mshangao kwa mashabiki wa michezo ya slot. Kila mchezaji anayeshiriki kwenye michezo ya Wazdan kwa kutumia fedha halisi ana nafasi ya kufungua mlango…

Read More

Ibenge Amtembelea Pacome Hospitalini Baada ya Kuumia

Kocha Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge, pamoja na benchi lake la ufundi, wamemtembelea kiungo wa Yanga SC, Pacome Zouzoua, hospitalini kwa ajili ya kumjulia hali baada ya kuumia katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Pacome alipata majeraha hayo jana katika mchezo uliowakutanisha Yanga SC na JKT Tanzania kwenye Uwanja wa Meja…

Read More

Monday Cashback & Bonus Back Kwenye Akaunti Yako Kila Jumatatu

Kwa wengi, wikendi ni muda wa kupumzika, kujiburudisha na kufurahia mambo wanayoyapenda. Kwa wapenzi wa kasino za mtandaoni ndani ya Meridianbet, burudani hiyo haimaliziki Jumapili usiku. Badala yake, inaendelea hadi Jumatatu kupitia promosheni ya Monday Cashback & Bonus Back, ambayo imekuwa ikiwapa wachezaji sababu mpya ya kutazamia mwanzo wa wiki. Katika kipindi ambacho ushindani katika…

Read More