Simba Yaomboleza Kifo cha Baba wa Abdulrazak Hamza
Uongozi wa Simba SC umetangaza kwa masikitiko makubwa kifo cha baba mzazi wa mchezaji wake,…
Uongozi wa Simba SC umetangaza kwa masikitiko makubwa kifo cha baba mzazi wa mchezaji wake, Abdulrazak Hamza, Marehemu Mohamed Spea Hamza, kilichotokea leo asubuhi jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa ya klabu hiyo, marehemu alikuwa akisumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu kabla ya kufariki dunia asubuhi ya leo, na kuacha pengo kubwa kwa…
Meridianbet Sportal Portal?, hili ni jukwaa ambalo Meridianbet hulitumia kwaajili ya kuwahabarisha, kuwaburudisha wapenzi wa michezo na Kasino kutoka sehemu mbalimbali huku lengo likiwa ni kuwafanya wapenzi na mashabiki wa soka kujua mambo mbalimbali yanayoendelea ya kimichezo, kasino, usajili, matokeo, na kupata fursa za kubashiri mechi mbalimbali. Kupitia Kampuni hii kubwa ya ubashiri Tanzania, Meridianbet…
Afisa Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda, ameeleza sababu za kuhamishwa kwa mchezo wa Dabi ya Kariakoo uliopangwa kupigwa Machi 01, 2026. Kwa mujibu wa Boimanda, dabi hiyo kati ya Yanga SC (wenyeji) dhidi ya Simba SC sasa itapigwa katika Uwanja wa New Amaan Complex badala ya Benjamin Mkapa Stadium kama…
Katika hatua ya kuunga mkono juhudi za kulinda mazingira na afya za wananchi, Meridianbet imetoa mapipa ya taka katika maeneo ya umma kwa Kata mbalimbali za wilaya ya Kinondoni. Msaada huu unalenga kuimarisha usimamizi wa taka, kupunguza uchafuzi wa mazingira, na kuhamasisha utamaduni wa usafi katika maeneo yenye mikusanyiko mikubwa ya watu kila siku. Akizungumza…
Nyota wa klabu ya Chelsea FC, Cole Palmer, amezua gumzo mitandaoni kufuatia safari yake ya mapumziko jijini Dubai. Mchezaji huyo wa timu ya taifa ya England alisafiri kwenda Mashariki ya Kati pamoja na baadhi ya wachezaji wenzake wa Chelsea kwa ajili ya kupumzika wakati wa mapumziko mafupi ya ligi. Hata hivyo, macho ya wengi yalielekezwa…
Ukiwa na Meridianbet pesa inakuwa ipo nje nje muda wote kwnai kila siku timu za ushindi zipo kwaajili yako. Odds kubwa, machaguo zaidi ya 1000. Jisajili sasa na uanze safari yako ya ushindi. Lille kutoka Ufaransa watakuwa nyumbani kumenyana vikali dhidi ya FK Crvena Zvezda ambao hawapewi nafasi kubwa ya kushinda mtanange huu. Mwenyeji anahitaji…
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuwa linatafuta kampuni moja kwa ajili ya haki za kipekee za ubashiri (exclusive betting rights) katika mechi ya Yanga na Simba utakaochezwa Machi 01, 2026 katika Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar kuanzia saa 2.15 usiku. Kupitia taarifa yake ya leo Februari 18, 2026, TFF imewakumbusha wadau…
Mechi za FIFA World Cup zilizopangwa kuchezwa katika Gillette Stadium huenda zikafutwa iwapo mamlaka za eneo hilo hazitapokea fedha za kutosha kwa ajili ya ulinzi wa mashindano. Uwanja huo ambao ni nyumbani kwa timu ya NFL New England Patriots unatarajiwa kuwa mwenyeji wa jumla ya mechi saba, ikiwemo pambano la England dhidi ya Ghana Juni…
Arsenal wameendelea kupoteza mwelekeo katika mbio za ubingwa baada ya kulazimishwa sare ya mabao 2-2 dhidi ya Wolverhampton Wanderers kwenye dimba la Molineux Stadium. Arsenal walionekana kuwa na udhibiti wa mchezo mapema, lakini makosa ya safu ya ulinzi yaliwapa Wolves nafasi ya kusawazisha na hata kutishia ushindi dakika za lala salama. ⚽ Wafungaji: 05’ Bukayo…
Burudani ya mtandaoni imeingia katika zama mpya za ubunifu na ushindani. Kwa kulitambua hilo, Meridianbet imezindua rasmi mchezo mpya wa kipekee, Vaso Psycho, uliotengenezwa na Expanse. Huu ni mchezo uliobuniwa mahsusi kwa wachezaji wanaotaka kuwa mbele ya muda, wakitafuta ushindani wa kiwango cha juu na fursa za ushindi mkubwa. Vaso Psycho umejengwa kwa msingi wa…
Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Gachi (Fatma Omary) ameibuka na madai mazito akimtuhumu rafiki yake wa karibu, Yammi, kwa kuhusika katika kuvunjika kwa mahusiano yake. Akizungumza kwa hisia, Gachi amesema alimtambua Yammi kwa mpenzi wake kwa nia njema, lakini baadaye mambo yakabadilika na kusababisha kuvunjika kwa uhusiano wake. “Nilimtambulisha Yammi kwa mpenzi wangu lakini ndiye aliyechangia…
Mchezaji wa soka wa kimataifa, Alisha Lehmann, amewaacha wengi midomo wazi baada ya kuonyesha gari lake jipya linalofanana na “Batmobile” linalodaiwa kuwa na thamani ya takribani pauni 130,000. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 27, ambaye amewahi kutajwa mara kadhaa kwenye mitandao ya kijamii kutokana na mvuto wake na umaarufu wake uwanjani, alihama kutoka klabu…
Magwiji wa ndondi, Mike Tyson na Floyd Mayweather Jr., wanatarajiwa kukutana katika pambano la maonyesho litakalofanyika Aprili 4, 2026 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Pambano hilo linatajwa kuwa la kihistoria, likirejesha kumbukumbu za mapambano makubwa yaliyowahi kufanyika barani Afrika, hususan tukio maarufu la Rumble in the Jungle lililowakutanisha Muhammad Ali na George Foreman…
Serikali kupitia Baraza la Michezo la Taifa (BMT) imeidhinisha rasmi marekebisho ya Katiba ya Simba Sports Club baada ya kukamilika kwa mchakato wa kisheria uliokuwa unasimamiwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Michezo. Hatua hiyo inafuatia maelekezo yaliyotolewa Februari 16, 2026 na Paul Makonda, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, ambaye alimwagiza Msajili…
Je unajua kuwa Meridianbet ndio wakali wa Odds Tanzania?. Yaani namaanisha kuwa ukitaka Odds kubwa na za kibabe wewe njoo hapa na ubashiri leo. Lakini pia unaweza ukaibuka bingwa kwani machaguo ni mengi hapa. Inter Milan watakuwa ugenini kukiwasha dhidi ya Bodoe/Glimt ambao ni moja kati ya timu ambazo zimewashangaza wengi sana baada ya kuzifunga…
Meridianbet Tanzania inakuletea mchezo mpya unaokufanya ujisikie mpenzi wa ushindi, Gates of Love. Mchezo huu wa sloti una msisimko mkubwa, ukiunganisha mandhari ya Valentine yenye rangi za kupendeza, sauti za kuvutia, na fursa ya kushinda hadi x5,000 kwa mzunguko mmoja. Gates of Love inakuza msisimko kupitia mfumo wake wa tumbling reels, ambapo alama zinazofanana hupotea…
Simba SC 3-0 Greenland FC matokeo ya dakika 90 mchezo wa CRDB Federation Cup hatua ya 64 bora Uwanja wa Mej Isahmuyo. Magoli ya Simba SC yamefungwa na Baraka Mwangosi dakika ya 13, Anthony Mligo dakika ya 45 na kamba ya tatu imefungwa na Neo Maema dakika ya 90. Mwangosi amefunga goli hilo akitumia makosa…