Dkt. Mwigulu Aongoza Kikao Cha Kamati Ya Kitaifa Ya Afcon 2027
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi ya Kombe la…
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) kwa ajili ya kupitia hatua mbalimbali zilizofikiwa katika maandalizi ya michuano hiyo mikubwa itakayofanyika mwaka 2027 katika nchi za Tanzania, Kenya na Uganda. Mheshimiwa Dkt. Mwigulu amefanya kikao hicho leo Jumanne (Februari 10, 2026) Ofisi…
Manchester United wanaonekana kuendelea na mipango yao ya muda mrefu bila kumjumuisha Marcus Rashford, huku hatma ya mshambuliaji huyo ikizidi kuelekea kwenye uuzaji wa kudumu badala ya kurejea Old Trafford. Rashford kwa sasa anaitumikia Barcelona kwa mkopo wa msimu mzima, ambapo klabu hiyo ya La Liga ina kipengele cha kumnunua moja kwa moja kwa pauni…
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura, amesema Jeshi la Polisi litaendelea kuweka jitihada za kununua mbwa wapya wa kisasa na wenye uwezo ili kuboresha muonekano wa mbwa wa Polisi mwenye umbo lenye kumdhoofisha mhalifu. IGP Wambura, ameyasema hayo wakati wa Ufunguzi wa Kikao Kazi cha Wakuu wa Kikosi cha Mbwa na farasi…
⚽🔥 USIKU WA MAAMUZI EPL 🔥⚽ Saa 5 usiku macho yote London Stadium…⚒️ West Ham vs Manchester UnitedPointi 3 si anasa — ni lazima!Je, Carrick ataendeleza makali ya kikosi chake au West Ham watawazima taa? Lakini ratiba bado nzito…⚪ Tottenham vs Newcastle – vita ya kasi na nguvu🔵 Chelsea vs Leeds – presha, mashambulizi na…
Wawakilishi wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) wamesukumizwa nje ya michuano hiyo kufuatia kipigo cha 1-0 dhidi ya Sead Ramovic na vijana wake wa CR Belouizdad katika dimba la New Amaan Complex, Zanzibar kwenye mchezo wa kundi C wa CAFCC. 𝐅𝐓: 𝐒𝐢𝐧𝐠𝐢𝐝𝐚 𝐁𝐥𝐚𝐜𝐤 𝐒𝐭𝐚𝐫𝐬 🇹🇿 𝟎-𝟏 🇩🇿 𝐂𝐑 𝐁𝐞𝐥𝐨𝐮𝐢𝐳𝐝𝐚𝐝 ⚽ 03’ Belhocini 𝑀𝑆𝐼𝑀𝐴𝑀𝑂…
Mwandishi wa habari na mchambuzi mahiri wa masuala ya michezo, Farhan Kihamu, amezungumza na Global TV kufuatia sakata la baadhi ya mashabiki wa klabu ya Simba kudaiwa kutaka kumshambulia Mwenyekiti wa klabu hiyo, Murtaza Mangungu. Aidha, Farhan amegusia sakata lingine la mashabiki kuitisha mkutano na waandishi wa habari, wakiibua tuhuma na hoja nzito dhidi ya…
Burudani ya kweli haipimwi kwa ushindi pekee, bali kwa uzoefu mzima wa mchezaji. Na hii ndiyo falsafa iliyoizaa 10% Moneyback Win&Go ya Meridianbet, mchezo unaokukaribisha ufurahie kila raundi bila presha. Hapa, unacheza kwa uhuru ukijua kuwa hata siku ikiteleza, kuna mkono wa kukuinua nyuma ya pazia. Hata siku yako ikiwa haijaenda kama ulivyopanga, lakini bado…
Liverpool wamekubali kichapo cha 2-1 dhidi ya Manchester City katika dimba la Anfield huku mabao ya dakika za lala salama kutoka kwa Bernardo Silva na Erling Haaland yakiiwezesha Man City kupindua meza. Man City imesogea mpaka alama sita nyuma ya vinara, Arsenal kwenye msimamo wa ligi kuu England wakifikisha alama 50 baada ya mechi 25…
Inawezekana kabisa kupata Samsung Mpya kabisa kwa wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet. Kupitia promosheni yako ya Bet Online ndugu mteja una nafasi ya kuchukua Samsung A26 hapa. Katika msimu huu wa burudani na ushindani mkali ndani ya ulimwengu wa soka, Meridianbet imewasha moto mpya unaowapa wachezaji wote sababu ya kuongeza hamasa wanapotazama na kubashiri mechi…
Una nafasi ya kumiliki simu ya ndoto zako na Meridianbet ambapo kwa kubashiri mechi za mpira wa miguu ni rahisi sana kuchukua Samsung A26 yako. Unangoja nini kubashiri sasa? Katika msimu huu wa burudani na ushindani mkali ndani ya ulimwengu wa soka, Meridianbet imewasha moto mpya unaowapa wachezaji wote sababu ya kuongeza hamasa wanapotazama na…
Meridianbet inakualika kwenye uwanja wa ndoto ambapo 500/= tu inaweza kukupeleka mbali hadi kwenye utajiri mkubwa wa Tsh Bilioni 2. Hii si bahati nasibu tu, ni fursa ya kubadili maisha yako kwa kupitia maarifa na ujasiri. Piga *149*10# bure, jiunge na maelfu ya wachezaji wanaoamini kuwa leo ndiyo siku yao. Diamond Jackpot ya Meridianbet inakuja…
Matumaini ya wawakilishi wa Tanzania, Young Africans (Yanga SC), kufuzu hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) yamepata pigo zito baada ya kukubali kichapo cha bao 1-0 dhidi ya AS FAR Rabat katika mchezo mkali uliopigwa dimba la Olympique de Rabat, Morocco. Yanga walionyesha nidhamu kubwa ya kujilinda kwa muda mrefu wa…
Pesa iko nje nje leo hii kwenye mechi za ligi ndani ya Meridianbet kwani kila kitu unachotaka kipo hapa kuanzia Odds kubwa, machaguo zaidi ya 1000. Jisajili sasa na uanze safari yako ya ushindi. Tukianza na ligi kuu ya Hispania, LALIGA mapema kabisa Barcelona atamenyana dhidi ya Mallorca ambao wapo nafasi ya 14 mpaka sasa….
Meridianbet Tanzania inaleta upepo mpya kabisa kwenye kasino mtandaoni kwa Super Heli Premium, mchezo unaochezwa kwa kasi, akili na ujasiri. Hapa hakuna kusubiri bahati, bali ni wewe kuamua kucheza. Kila raundi ni fursa mpya, kila kupaa kwa helikopta ni changamoto mpya. Mara helikopta inapochukua mwelekeo wa juu, mchezo unakuwa wa sekunde. Vizidishi vinaongezeka, presha inapanda,…
Weka dau lako na Meridianbet siku ya leo na uvune pesa zaidi ya Mamilioni. Ingia kwenye akaunti yako na ujiweke kwenye nafasi ya kuondoka na mkwanja mkubwa leo. SERIE A, kule Italia kuna mechi za kubashiri leo, Lecce atamualika Udinese kwake huku tofauti yao hadi sasa ikiwa ni pointi 14 hadi sasa. Mechi ya mwisho…
Meridianbet, kiongozi wa burudani ya kasino mtandaoni, imetangaza kuzindua ushirikiano wake mpya na BGaming, mtoa huduma ya michezo yenye ubunifu wa hali ya juu, ili kuleta dunia mpya ya furaha, jackpots, na ushindi usio na kikomo kwa wachezaji wake nchini Tanzania. Kupitia ushirikiano huu, wachezaji sasa wanapata michezo ya kisasa kama Frozen Fruit, Face Off,…
Manchester United, chini ya kocha Michael Carrick, wameendelea na mwendo wa ushindi katika Ligi Kuu England baada ya kuibuka na ushindi wa 2–0 dhidi ya Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa ligi uliofanyika Old Trafford. Wafungaji kwa upande wa Man United waliokuwa ni: Bryan Mbeumo aliifungia timu yake bao la kwanza na Bruno Fernandes akamalizia kwa…