Mashabiki 60,000 Kuitingisha Emirates Katika Mechi ya Moto Dhidi Burnley leo
Mechi hii inapigwa saa 22:00 kwa muda Uwanja wa Emirates utakuwa umejaa hadi kifusi kwa…
Mechi hii inapigwa saa 22:00 kwa muda Uwanja wa Emirates utakuwa umejaa hadi kifusi kwa takriban mashabiki 60,000, nao wanajulikana kwa kuimba nyimbo maalumu za kusukuma timu yao wakati wa mbio za ubingwa. Kwa upande wa Burnley kwa kuwa wameshashuka daraja, mashabiki wao watakuja. Lakini shinikizo la Emirates litakuwa kubwa Arsenal wakichelewa kufunga, mashabiki wanaweza…
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza rasmi viwanja vitakavyotumika kwa michezo ya Nusu Fainali ya michuano ya CRDB Federation Cup msimu wa 2025/26. Mchezo wa kwanza utawakutanisha watani wa jadi Simba SC dhidi ya Coastal Union FC ambapo utapigwa kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha Juni 20, 2026. Kwa upande mwingine, mabingwa watetezi…
Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United, Wayne Rooney amemshukia vikali mshambuliaji wa Liverpool, Mohamed Salah, akimuita ‘mbinafsi’ na kueleza kuwa anapaswa kuachwa nje ya kikosi kwenye mechi ya mwisho ya msimu dhidi ya Brentford itakayochezwa Anfield. Kauli ya Rooney imekuja baada ya Salah kutoa maoni kuwa Liverpool inapaswa kurejea kuwa timu ya mashambulizi ya kasi…
Usiku wa kasino sasa una ladha mpya kupitia Book of Eskimo kutoka Meridianbet. Mchezo huu umeundwa kwa vijana wanaopenda burudani yenye mchanganyiko wa bonasi na nafasi kubwa za kushinda. Ukianza kucheza utakutana na bonasi za aina tatu tofauti zinazofanya mchezo uwe na msisimko muda wote. Kila mzunguko unaweza kukupeleka kwenye hatua mpya ya ushindi huku…
Mashujaa FC 0-1 Azam FC, CRDB Federation Cup ni matokeo rasmi kwenye mchezo wa leo Mei 17, 2026 hatua ya robo fainali CRDB Federation Cup. Matajiri wa Dar wameibuka na ushindi huo katika Uwanja wa Lake Tanganyika mwisho wa reli Kigoma kwa goli ambalo lilipachikwa dakika 45 za mwanzo. Anaitwa Idd Suleman maarufu kwa jina…
Simba SC 4-0 TRA United CRDB Federation Cup ni matokeo rasmi kwenye mchezo wa leo Mei 17, 2026 Uwanja wa KMC Complex hatua ya robo fainali. Matokeo haya yanaipa tiketi Simba SC kutinga hatua ya nusu fainali ambapo itakutana na Coastal Union iliyopata ushindi mbele ya Singida Black Stars kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkwakwani,…
Rais wa Simba SC, Mohammed Dewji maarufu kama Mo Dewji, leo amekutana na kufanya mazungumzo na wachezaji pamoja na benchi la ufundi la klabu hiyo ikiwa ni sehemu ya kuwapa hamasa kuelekea michezo ya mwisho ya msimu. Katika kikao hicho, Mo Dewji aliwataka wachezaji waendelee kupambana kwa kujituma ili kuhakikisha timu inamaliza msimu kwa mafanikio…
Mchezo wa kumaliza msimu Leo Mei 17, 2026 saa 17:00, Everton itakuwa mwenyeji wa Sunderland kwenye Uwanja mpya wa Hill Dickinson Stadium katika mchezo wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) wa mwisho wa msimu. Everton wapo nafasi ya 10 kwa pointi 49, wakati Sunderland wako nafasi ya 12 kwa pointi 48 . Kwa kuwa timu…
Klabu ya Chelsea FC ipo hatua za mwisho kumtangaza kocha Mhispania Xabi Alonso kuwa meneja mkuu mpya wa kudumu wa timu hiyo baada ya kufikiwa kwa makubaliano ya awali ya mkataba wa miaka minne. Alonso mwenye umri wa miaka 44 anatarajiwa kuchukua nafasi ya Liam Rosenior aliyefutwa kazi mwezi uliopita, huku taarifa rasmi zikitarajiwa kutolewa…
Nyota wa kimataifa wa Ureno, Cristiano Ronaldo, ameendelea kusubiri taji rasmi akiwa na Al Nassr FC baada ya klabu hiyo kupokea kipigo cha 1-0 dhidi ya Gamba Osaka katika fainali ya michuano ya AFC Champions League Two iliyopigwa kwenye dimba la Al Awwal Park mjini Riyadh, Saudi Arabia. Bao pekee la mchezo lilifungwa dakika ya…
Klabu ya USM Alger imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika (CAF Confederation Cup) kwa mara ya pili katika historia yao baada ya kuibuka na ushindi wa penalti 8-7 dhidi ya Zamalek SC kwenye mchezo wa fainali uliopigwa mjini Cairo. Mchezo huo ulimalizika kwa ushindi wa 1-0 kwa Zamalek ndani ya dakika 90 kupitia…
Wakati mwingine unahitaji mzunguko mmoja tu kuona maisha yanaanza kubadilika mbele ya macho yako. Kupitia Gates of Arabia kutoka Meridianbet, unaweza kupata burudani kali huku ukiwa na nafasi ya kushinda ushindi mkubwa unaotikisa. Huu ni mchezo unaokupa nafasi ya kushinda hadi mara 5,000 ya dau lako. Kila nafasi ya mchezo inakuweka kwenye msisimko mtamu wa…
Pazia la michuano ya CAF Confederation Cup msimu wa 2025/26 linafungwa rasmi leo Mei 16, 2026, kwa mchezo wa mkondo wa pili wa fainali utakaopigwa katika dimba la Cairo International Stadium nchini Misri. Mchezo huo unawakutanisha wenyeji Zamalek SC dhidi ya USM Alger, katika pambano la kusisimua litakaloanza majira ya saa 3:00 usiku. Huu ni…
Manchester United wamefikia makubaliano ya kumteua Michael Carrick kuwa kocha mkuu wa kudumu wa klabu hiyo baada ya kufanya vizuri tangu apewe jukumu la muda mwezi Januari. Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa, taratibu rasmi za kubadilishana mikataba zinaendelea kwa sasa huku tangazo rasmi likitarajiwa kutolewa ndani ya saa 48 zijazo. Hata hivyo, bado haijafahamika kama…
Fainali ya FA CUP inaenda kutimua vumbi wiekndi hii siku ya Jumamosi katika dimba la Wembley huku hili likiwa ni Kombe la heshima kwa timu hizi mbili Chelsea vs Man City pale Uingereza. Hii ni mechi ambayo inaenda kuwa ya moto zaidi kwani hili ni moja ya pambano la kihistoria ambalo linaenda kutokea kutokana mbinu…
JKT Tanzania vs Yanga SC ni leo Mei 16, 2026 hatua ya robo fainali kwa wababe wawili kusaka tiketi kutinga hatua ya nusu fainali. Mchezo huu unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Meja Jeneral Isahmuyo saa 12:30 jioni mshindi atakata tiketi moja kwa moja hatua inayofuata na atakayepoteza mwendo atakuwa amemaliza mpaka wakati ujao 2027. Kocha Mkuu…
Coastal Union yatisha Singida Black Stars kuelekea kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali CRDB Federation Cup leo Mei 16, 2026. Ni Coastal Union vs Siginda Black Stars mchezo mkali unaotarajiwa kuchezwa saa 10 jioni kwa wababe hawa kusaka tiketi kutinga hatua ya nusu fainali. Mabingwa watetezi wa taji hili ni Yanga SC ambao watashuka…