Yanga Yamtangaza Manqoba Mngqithi Kuwa Kocha Mkuu Mpya

Klabu ya Young Africans SC (Yanga) imemtangaza rasmi aliyekuwa kocha wa Mamelodi Sundowns, Manqoba Mngqithi, kuwa kocha mkuu mpya wa timu hiyo. Mngqithi ametua Jangwani kwa mkataba wa miaka miwili, akichukua nafasi iliyoachwa na Pedro Gonçalves, ambaye aliondolewa kwenye nafasi hiyo mapema mwezi Mei 2026. Kocha huyo raia wa Afrika Kusini anajiunga na Yanga akiwa…

Read More

Milioni 450 za Golden Goal Rewards Zinawaita Wapenzi wa Kasino

Katika ulimwengu wa burudani za kisasa, watu wanatafuta zaidi ya mchezo wa kawaida, wanatafuta uzoefu unaobeba msisimko na nafasi ya kushinda. Meridianbet imejibu hitaji hilo kupitia Golden Goal Rewards, promosheni inayotoa jumla ya TZS milioni 450 kwa washindi watakaothubutu kushiriki. Hii ni nafasi ya kuunganisha furaha ya kucheza na ndoto ya ushindi mkubwa. Safari inaanza…

Read More

Ligi Kuu Bara 2026/27 Kuanza Agosti 16, Usajili Waanza Rasmi

Mashabiki wa soka nchini wanatarajia kushuhudia msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2026/2027 ukianza rasmi Agosti 16, 2026, huku ukitarajiwa kumalizika kabla ya Juni 1, 2027. Ratiba hiyo imepangwa mapema ili kutoa nafasi ya maandalizi ya Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2027), ambazo zitafanyika kwa pamoja nchini Tanzania, Kenya na Uganda kuanzia Juni…

Read More

Argentina 3-2 Misri, FIFA Kombe la Dunia 2026

Argentina 3-2 Misri, FIFA Kombe la Dunia 2026 ni matokeo ambayo yamekuwa pigo kwa timu ya Misri kutoka Afrika iliyoanza kwa kuongoza katika 67 za mchezo huku V.A.R ikifuta bao moja kwa upande wao. Magoli ya Misri yamefungwa na Yasser Ibrahim dakika ya 15 na Mostafa Ziko dakika ya 67. Walikwenda mapumziko wakiwa wanaongoza. Nyota…

Read More