Simba SC 2-0 B19 FC
Simba SC 2-0 B19 FC katika mchezo wa hatua ya 32 CRDB Federation Cup, Uwanja…
Simba SC 2-0 B19 FC katika mchezo wa hatua ya 32 CRDB Federation Cup, Uwanja wa Mej. General Isamuhyo. Watupiaji ni Inno Loemba dakika ya 22 kwa pigo la kichwa na Clatous Chama dakika ya 77 akitumia pasi ya Ellie Mpanzu. Mpanzu na Chama wote walianzia benchi mchezo wa leo. Chama alichukua nafasi ya kiungo…
Klabu ya Yanga Machi 3, 2026 imetoa malalamiko makali dhidi ya Kamati ya Saa 72 na Bodi ya Ligi ikihusisha adhabu, makosa ya waamuzi katika mechi mbalimbali za Ligi Tanzania Bara. Tofauti za Adhabu kwa Wachezaji:Yanga imeitaka Bodi ya Ligi kutoa ufafanuzi kuhusu adhabu iliyotolewa kwa mchezaji Selemani Mwalimu. Msimu huu, wachezaji watano walifungiwa mechi 5…
Leo Machi 7 2026 ni Simba SC vs B19 FC mchezo wa hatua ya 32 bora CRDB Federation Cup, Uwanja wa Mej Jen. Isahmuyo saa 1:15 usiku. Hiki hapa kikosi cha Simba SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Steve Berkar ambacho kinatarajiwa kuanza:- Hussen Abel, Duchu, Mligo, Vedastus, Toure, Naby, Bashiri, Kante, Inno, Morice Abraham na…
Takribani nusu siku tokea Kamati ya Saa 72 itangaze adhabu kadhaa kwa wakosefu ambao hakika wanapaswa kujirekebisha. Lakini wazi kuonaonekana ndani yake kuna SIASA na haiwezi kuwa msaada kwa wachezaji wetu, klabu au mpira wa Tanzania. Adhabu ya Mwalimu wa Simba ni sahihi kabisa na anapaswa kujifunza kwa kuwa alifanya shambulizi hata kama aliyeshambuliwa alianza….
Katika mchezo wa Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1), Paris Saint-Germain (PSG) imekubali kipigo cha 3-1 nyumbani dhidi ya Monaco kwenye dimba la Parc des Princes. Muhtasari wa Mechi FT: PSG 1-3 Monaco Magoli: 27′ Akliouche (Monaco) 55′ Golovin (Monaco) 71′ Barcola (PSG) 73′ Balogun (Monaco) Hii ilikuwa mechi ya nne kati ya PSG na…
Je unajua ushindi wa haraka unaeza ukaupata Meridianbet ambao hawa ni wakali wa mambo ya ubashiri?. Kama hujajua basi ndio nakupa taarifa sasa unachotakiwa kufanya ni kuweka dau kwenye simu yako na kuanza kubashiri na Meridianbet leo. Ligi kuu ya Ujerumani, BUNDESLIGA itaendelea Freiburg ataumana dhidi ya Bayer Leverkusen ambapo mechi ya mwisho kukutana kati…
Soko la burudani ya kasino mtandaoni sasa limepata nguvu mpya baada ya Meridianbet kuijumuisha Slotopia, mtengeneza michezo anayelenga kuwapa wachezaji burudani isiyo na kikomo pamoja na bonasi na zawadi kemkem. Uzinduzi huu unaashiria kipindi kipya cha ushindi, ambapo kila mzunguko wa mchezo ni fursa ya kuongeza mapato. Slotopia imeundwa kwa lengo la kuhakikisha kila mchezaji…
MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Vanillah amepata shavu katika Kampuni ya kimataifa ya Apple Music ambapo ameingia katika mpango wao wa kushirikishwa na wasanii wengi wa kimataifa. Kupitia Up Next Artist Development Program in East Africa, Vanillah ambaye mbali ya kuimba ni mwandishi wa mashairi atapata shavu la kushirikiana na wasanii kibao wa kimataifa. “Najisikia furaha…
Klabu ya Simba imetozwa faini ya shilingi mil 5 kwa kosa la kuingia uwanja wa Amaan kwa mlango usio rasmi, Faini nyingine ya mil 5 kwa kukataa kutumia chumba rasmi cha kuvalia. Matukio hayo Yametokea katika mchezo wa Dabi ya Kariakoo uliochezwa Machi 1 katika uwanja wa New Amaan Complex na kumalizika kwa sare ya…
Ofisa Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda, ameeleza kuwa ratiba ya mechi za ligi inatengenezwa kwa kuzingatia taratibu za kikanuni, hususan muda wa mapumziko kati ya mechi mbili. Simba SC na Changamoto za Ratiba Boimanda amesema kuwa Simba SC wangeweza kucheza mechi yao ijayo Machi 4 au 5 baada ya Dabi…
Msisimko mpya umeikumba tasnia ya michezo ya kasino mtandaoni baada ya Meridianbet kuungana na wabunifu mahiri wa michezo, Expanse Studios, kuleta mchezo wa kipekee wa Zombie Apocalypse. Huu ni zaidi ya mchezo uliozoeleka machoni pa wengi, hapa unasisimka kwa michoro ya kuvutia, sauti na mandhari inayokuweka katikati ya mapambano ya ushindi. Kupitia ofa hii maalum,…
Katika hatua ya kuleta mapinduzi kwenye sekta ya bima nchini, kampuni ya ICEA LION inazindua Simba Wa Bima, kampeni inayolenga kuiweka kampuni hii kama mshirika anayesimama na Watanzania katika kila hatua muhimu ya maisha. Uzinduzi huo unafanyika jioni ya Jumatatu tarehe 2 Machi 2026, Serena Hotel Marquee, ukihudhuriwa na wadau mbalimbali wa sekta ya bima,…
Je unajua kuwa leo hii unaweza kutengeneza pesa na Meridianbet haraka sana kupitia chaguo la EARLY PAYOUT. Chagua mechi zako sasa na ubashiri ndani ya Meridianbet. Meridianbet, inaendelea kutoa huduma mpya ya Early Payout, inayolenga kuboresha uzoefu wa wateja wake na kuhakikisha ushindi unapatikana haraka zaidi. Huduma hii ni suluhisho la kipekee kwa wapenzi wa…
Singida Black Stars 0️⃣–3️⃣ Yanga SC Ushindi mnono kwa Wananchi baada ya kuonyesha ubora wao uwanjani! ⚽️ 39’ Dube ⚽️ 45+2’ Okello (Pen) ⚽️ 58’ Mudathir Kwa matokeo haya, Yanga wanafikisha alama 32 kileleni mwa msimamo wa ligi, huku watani zao Simba SC wakiwa na alama 24 na mechi moja mkononi. Mbio za ubingwa zinaendelea…
Mimi na wewe bado hatujui hatma ya Wolves msimu huu kwani mpaka sasa bado hali ni ngumu. Nafasi ya mwisho kwenye msimamo wa ligi wakiwa na pointi zao 13 kwenye mechi 29 walizocheza. Kikosi hicho ambacho kipo chini ya kocha mkuu Rob Edwards kimejikuta kwenye hali mbaya baada ya kuanza vibaya kwenye ligi kuu ya…
Wasanii wa Bongo Flava Harmonize na Mbosso wameachia rasmi video ya wimbo wao mpya unaoitwa “Leo”, ambao tayari umeanza kuvuta hisia za mashabiki wa muziki wa Tanzania na Afrika Mashariki. Wimbo huo ni wa mahaba unaoelezea hisia za mtu anayependa kwa dhati na kuamua kuishi katika wakati wa sasa bila kujali changamoto au tofauti zilizopo….
Chelsea imeonyesha ubora mkubwa baada ya kuichapa Aston Villa mabao 4-1 katika mechi ya kusisimua ya Ligi Kuu England. Villa walianza vyema kwa kupata bao la mapema dakika ya 3 kupitia kwa Douglas Luiz, lakini Chelsea walijibu kwa nguvu na kusawazisha kupitia kwa João Pedro dakika ya 35 kabla ya mshambuliaji huyo kufunga tena dakika…