Kocha Yanga SC apiga hesabu za ushindi dhidi ya Simba SC
Kuelekea mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Yanga SC mabingwa wa NBC Premier League…
Kuelekea mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Yanga SC mabingwa wa NBC Premier League vs Simba SC, mabingwa wa CRDB Federation Cup 2025/26 makocha wa timu zote wametamba kutwaa taji hilo. Watani hawa wa jadi wanatarajiwa kushuka Uwanja wa New Amaan Complex, Agosti 12,2026 ikiwa ni Ishara ya ufunguzi pazia la NBC Premier League…
Kocha Mkuu wa Yanga, Manqoba Mngqithi, amesema kikosi chake kiko tayari kwa mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Simba, akieleza kuwa ana imani na uwezo wa wachezaji wake katika kukabiliana na presha ya Kariakoo Derby. Akizungumza na waandishi wa habari leo, Agosti 11, mjini Zanzibar, Mngqithi amesema maandalizi ya timu yake yamekwenda vizuri licha…
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limemtangaza Ahmed Arajiga kuwa mwamuzi wa kati wa mchezo wa Ngao ya Jamii 2026 kati ya Simba SC na Yanga SC. Mchezo huo utachezwa kesho katika Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar, kuanzia saa 2:30 usiku. Arajiga atakuwa na jukumu la kusimamia mchezo huo unaowakutanisha watani wa jadi katika pambano…
Leo Jumanne usiku, Sturm Graz watajaribu kufanya lisilowezekana kuwa la kawaida wanapowakaribisha Fenerbahce katika uwanja wao wa Merkur Arena, wakiwa na jukumu zito la kuzibua nakisi ya mabao mawili kwa sifuri waliyoachiwa na wageni katika mechi ya kwanza. Mechi hiyo ya kwanza huko Istanbul iliisha 2-0 kwa ushindi wa Fenerbahce, ambapo Anderson Talisca aliifungua dakika…
Namungo FC wana mechi 6 kali ambazo ni dakika 540 za mwanzo ndani ya NBC Premier League na watafungua pazia kwa kusaka pointi 3 muhimu dhidi ya Yanga SC, Uwanja wa Majaliwa, Agosti 15. Timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda ilimaliza msimu wa 2025/26 ikiwa nafasi ya 10 ilikusanya pointi 34 baada ya…
MABOSI wa Simba SC wanatajwa kufikiria kuanza mazungumzo na muuaji wa Yanga SC,Tonny Talasi aliyefunga mabao 2 katika Wiki ya Mwananchi, Uwanja wa Uhuru. Simba SC imepishana na mshambuliaji iliyekuwa naye msimu wa 2025/26, Seleman Mwalimu ambaye ametambulishwa kwa watani zao wa jadi Yanga SC tayari kwa changamoto mpya msimu wa 2026/27. Taarifa zinaeleza kuwa…
RASMI Agosti 11,2026 Seleman Mwalimu ametambulishwa ndani ya kikosi cha Yanga SC akitokea kikosi cha Wydad Casablanca kwa mkopo. Ikumbukwe kwamba mchezaji huyu msimu wa 2025/26 alikuwa ndani ya kikosi cha Simba SC ambapo alifunga jumla mabao 9 katika NBC Premier League. Mwalimu anakumbukwa kuwa miongoni mwa wachezaji aliyefunga goli la ushindi kwenye mchezo wa…
Mawimbi ya furaha yamefika Meridianbet huku mchezo mpya wa kasino, Meridian Scatter Whale, ukiingia rasmi na kuleta uzoefu mpya kwa mashabiki wa sloti. Hii ni safari ya chini ya bahari iliyojaa rangi, mvuto na mizunguko yenye msisimko mkubwa kwa kila anayependa burudani ya kasino. Kila mzunguko kwenye mchezo huu ni kama kupiga mbizi kwenye bahari…
Baada ya kushuhudia matamasha ya Simba Day na Yanga Day sasa ni zamu ya kuhamia uwanjani kwenda kumtafuta Bingwa ambaye ataondoka na Ngao ya Jamii. Je nani ataondoka na Kombe hilo?. Ingia Meridianbet na ubashiri sasa. Mechi ya Simba dhidi ya Yanga kwenye Ngao ya jamii ni mchezo wa ufunguzi rasmi wa msimu mpya wa…
Staa wa Manchester United Marcus Rashford amerudi katika kambi ya maandalizi ya baada ya kumaliza mkopo wa msimu mmoja na mabingwa wa Hispania FC Barcelona, nyota huyo amejiunga na kikosi kinachoendelea na maandalizi huko Ireland chini ya kocha Michael Carrick. United imeamua kubaki na Rashford na kumrejesha kwenye mipango ya timu, na taarifa zinaeleza kuwa…
JOSE Mourinho amefichua kuwa aliwahi kusaini makubaliano ya kuchukua nafasi ya ukocha wa Manchester United kutoka kwa Sir Alex Ferguson mwaka 2013, lakini akabadilisha uamuzi baada ya kutoa ahadi ya kurejea Chelsea. Mourinho amefichua siri hiyo kupitia makala yake mpya ya Netflix, akieleza kuwa alikubaliana kuichukua Manchester United baada ya kuondoka Real Madrid. “Nilikwenda Chelsea…
RASMI kikosi cha Simba SC Agosti 10,2026 kimewasili Zanzibar kwa maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga SC. Agosti 12,2026 mchezo huo unatarajiwa kuchezwa kwa watani hawa wa jadi kuwa uwanjani kupambania taji ya Ngao ya Jamii. Miongoni mwa wachezaji waliopo katika msafara ni Ibrahim Doumbia, Rushine De Reuck, Ellie…
Belgrade ilichangamka kwelikweli usiku wa Agosti 1, 2026, na hii haikua kwa sababu ya mapambano pekee, bali pia kwa sababu Meridianbet ilikuwa sehemu muhimu ya mapambano hayo makubwa ya UFC. Kama mdhamini wa tukio hilo, Meridianbet iliingia kwenye moja ya majukwaa makubwa ya MMA na kuwa sehemu ya usiku ambao ulileta msisimko mkubwa ndani na…
Rais wa GSM Group, Ghalib Said Mohamed, amehudhuria hafla ya Yanga Day inayofanyika leo katika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Ghalib aliwasili uwanjani na kupokelewa kwa hamasa na viongozi pamoja na mashabiki wa Yanga waliojitokeza kushuhudia tukio hilo. Mahudhurio yake yanaongeza uzito katika hafla hiyo ambayo imewakutanisha viongozi, wachezaji, benchi la ufundi na…
Zurich.Shirikisho la Kimataifa la Soka FIFA limekosoa vikali kile ilichokiita kuwa ni juhudi zinazoendelea za “kulidhoofisha” shirikisho hilo pamoja na Rais wake, Gianni Infantino. Kauli hiyo ya FIFA imekuja baada ya ripoti iliyochapishwa na Daily Telegraph kudai kuwa mwanamke anayedaiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Infantino alilipwa fedha za kuachishwa kazi na UEFA baada…
Mchezo wa ufunguzi wa msimu mpya wa ligi kuu ya Ureno Primeira Liga itachezwa leo Jumapili, tarehe 9 Agosti 2026, katika uwanja maarufu wa Estádio do Dragão mjini Porto. Mechi hii imepangwa kuanza saa 20:00. Uwanja huu wenye uwezo wa kubeba mashabiki wengi utakuwa umejaa hamasa kubwa, ikizingatiwa kuwa hii ni mechi ya kwanza ya…
Hadithi za kale za Misri zimerudi kwa sura mpya kupitia Throne of Ra, sloti mpya yenye mvuto mkubwa kutoka Meridianbet na Expanse. Mchezo huu unawapeleka wachezaji kwenye safari ya kuvutia ndani ya ufalme wa mafarao, ambako nguvu za jua, hazina za kifalme na alama za kale zinakutana kuunda uzoefu wa kipekee wa kasino. Ukiingia kwenye…