Newcastle Yashindwa Kuishinda Liverpool, Szoboszlai Aokoa Reds Dakika za Mwisho

Newcastle United na Liverpool zimetoka sare ya mabao 2-2 katika mchezo wa Ligi Kuu England uliokuwa na presha kubwa hadi dakika za mwisho. Newcastle ilianza kwa kasi na kupata bao la kuongoza dakika ya tano kupitia Anthony Elanga, kabla ya Liverpool kusawazisha kupitia Cody Gakpo. Newcastle ilirejea mbele baada ya Joe Willock kufunga bao lililoonekana…

Read More

Amka Na Mystic Guardians, Safari Ya Kumbukumbu Za Kale

Kuna wakati burudani inahitaji kitu zaidi ya mchezo wa kawaida, inahitajika safari inayokuvuta ndani yake. Hilo ndilo linalokuja kupitia Mystic Guardians, mchezo mpya kutoka Expanse unaopatikana Meridianbet. Ukiwa umejengwa kwenye msingi wa walinzi wa kale, nguvu za ajabu na ulimwengu wa mafumbo, mchezo huu unakualika kuchunguza kila kinachojificha nyuma yake. Mara tu unapochukua hatua kuingia…

Read More

Singida Black Stars 1-2 Simba SC

Mchezo umekamilika kwa wababe wawili katika msako wa pointi 3 muhimu ubao wa Uwanja wa Airtel umesoma Singida Black Stars 1-2 Simba SC. Wenyeji Singida Black Stars wamepata bao kupitia kwa nyota Shekhan Ibrahim ilikuwa dakika ya 23. Kwa upande wa Simba SC ambao walikuwa ugenini wamepata mabao kupitia kwa kiungo mshambuliaji Clatous Chama dakika…

Read More

NBC Premier League ratiba ya wiki ya 3

MZUNGUKO wa 3 msimu wa 2026/27  unaendelea na hii hapa ratiba ya wiki ya 3 Singida Black Stars vs Simba SC, Agosti 22,2026, Uwanja wa Airtel Geita Gold vs Kagera Sugar, Agosti 22,2026, Uwanja wa Bukombe Mbeya City vs Mashujaa FC, Uwanja wa Sokoine, Agosti 23,2026 Azam FC vs Pamba Jiji FC, Uwanja wa Azam…

Read More