Yanga yavuka mipaka, yamtumia Fabrizio Romano kutambulisha jezi
Klabu ya Yanga imemtumia mwandishi maarufu wa habari za michezo duniani, hususan taarifa za usajili…
Klabu ya Yanga imemtumia mwandishi maarufu wa habari za michezo duniani, hususan taarifa za usajili wa wachezaji, Fabrizio Romano, kutambulisha jezi zake zitakazotumika katika michuano ya CAF Champions League msimu wa 2026/2027. Romano, raia wa Italia, amejizolea umaarufu mkubwa duniani kupitia taarifa zake za usajili wa wachezaji na kauli yake maarufu “Here We Go”. Katika…
NYOTA wawili wa kikosi cha Yanga SC, nahodha msaidizi Dickson Job na mshambuliaji Clement Mzize watakosekana kwenye mchezo wa hatua ya awali Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United ya Botswana. Sababu kubwa ya wachezaji hao kukosekana ni kutokuwa fiti licha ya kuwa kwenye msafara wa kikosi cha wachezaji 30 waliokwea pipa mapema Septemba…
Timu ya taifa ya Uganda ya vijana chini ya miaka 23, maarufu kama Kobs, imeondolewa kwenye mashindano ya kuwania kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Vijana chini ya miaka 23 (AFCON U23) 2027. Uamuzi huo umefikiwa baada ya Shirikisho la Soka Uganda (FUFA) kushindwa kupata fedha za kutosha kugharamia ushiriki wa timu hiyo katika…
Mchezo wa Ligi Kuu ya NBC raundi ya 6 kati ya Azam FC vs Simba SC uliopangwa kuchezwa Septemba 9, 2026, umesogezwa mbele hadi Septemba 16, 2026, kupisha maandalizi ya Simba SC kwenye mashindano ya kimataifa ya CAF. Bodi ya Ligi Kuu Tanzania TPLB imefanya mabadiliko hayo kufuatia maombi maalum kutoka kwa uongozi wa Simba…
Klabu ya Young Africans SC (Yanga SC) imeanza safari ya kuelekea Botswana kwa ajili ya mchezo wake wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF) dhidi ya Gaborone United. Yanga imeondoka nchini alfajiri ya leo kuelekea Botswana kupitia Afrika Kusini, ambako msafara huo ulifanya mapumziko mafupi kabla ya kuendelea na safari kuelekea mjini Gaborone. Mchezo…
Mchezo wa raundi ya nne ya Championship utachezwa leo Jumatano, Septemba 2, 2026, saa 21:45 usiku, katika uwanja wa Loftus Road, jijini London. QPR watakuwa wenyeji wakijaribu kuendeleza mwanzo mzuri wa msimu wao mbele ya Cardiff City, timu inayorejea Championship baada ya kupanda daraja msimu uliopita. Klabu ya QPR ilimaliza msimu uliopita katika nafasi ya…
Kinda wa kimataifa wa Senegal, Ibrahim Mbaye, ameondoka rasmi Paris Saint-Germain (PSG) na kujiunga na Aston Villa ya England kwa uhamisho wa kudumu wenye thamani ya takribani euro milioni 55. Mbaye, mwenye umri wa miaka 18, amefunga ukurasa wa miaka minane akiwa ndani ya mfumo wa PSG, baada ya kujiunga na akademia ya klabu hiyo…
Beki wa Real Madrid, Antonio Rüdiger, ametangaza rasmi kustaafu kucheza soka la kimataifa akiwa na timu ya taifa ya Ujerumani. Rüdiger mwenye umri wa miaka 33 amesema amefikia uamuzi huo baada ya kutafakari kwa kina, akisisitiza kuwa ni wakati wa kutoa nafasi kwa kizazi kipya cha wachezaji wa Ujerumani. Amehitimisha safari yake akiwa ameichezea Ujerumani…
Mshambuliaji wa Atlético Madrid, Julián Álvarez, ameamua kuendelea kusalia katika klabu hiyo licha ya kuwepo kwa taarifa za kuhusishwa na uhamisho kuelekea klabu mbalimbali, ikiwemo Arsenal. Álvarez, ambaye ni mchezaji wa kimataifa wa Argentina, alikuwa miongoni mwa mastaa waliokuwa wakitajwa katika siku za mwisho za dirisha la usajili, huku Arsenal ikitajwa kuwa moja ya klabu…
Timu ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania chini ya umri wa miaka 20, Tanzanite Queens, imeondoka nchini kuelekea Poland tayari kwa fainali za Kombe la Dunia la FIFA U-20, zinazotarajiwa kuanza Septemba 5, 2026. Tanzanite Queens imepangwa katika Kundi B, ambalo linaonekana kuwa na ushindani mkubwa baada ya Tanzania kukutana na mataifa yenye historia kubwa…
Mashindano ya zawadi yamepata sura mpya kupitia Meridianbet Missions, mfumo unaowapa wachezaji nafasi ya kufanya kila dau kuwa sehemu ya safari ya kukusanya alama. Kwa mashabiki wa sloti na michezo ya bahati nasibu, sasa kuna zaidi ya kusubiri matokeo ya mchezo, kuna misheni za kukamilisha, alama za kukusanya na zawadi za kulenga. Ni safari inayoongeza…
Haya ni matokeo ya mechi za mzunguko wa 4 ndani ya NBC Premeir League 2026/27 Mashujaa FC 2-1 Kagera Sugar, Uwanja wa Lake Tanganyika, Agosti 27,2026 Wafungaji Mishano Daud dakika ya 64 na Haroun Lyawatana dakika ya 72 kwa Mashujaa FC na Mudathir Said dakika ya 38. Man of The Match Mishamo Michael wa Mashujaa…
Kivumbi kinaendelea ndani ya NBC Premier League kwa timu kusaka pointi 3 uwanjani. Nyavu zimekuwa zikitikiswa huku makipa wakiwa na jukumu kuzuia michomo kutoka kwa wapinzani. Ni wazi kwamba mzunguko mmoja zinachezwa jumla ya mechi 8 katika viwanja tofauti huku zikirushwa mubashara Azam TV. Ikiwa ni mzunguko wa 4 yamefungwa jumla ya mabao 83. Wastani…
Shirikisho la Soka la Afrika Kusini (SAFA) limemtangaza Pitso Mosimane kuwa kocha mkuu mpya wa timu ya taifa ya Afrika Kusini, Bafana Bafana. Uteuzi huo unamrejesha Mosimane kwenye benchi la timu hiyo kwa mara ya pili, baada ya awali kuiongoza Bafana Bafana kati ya mwaka 2010 na 2012. Mosimane anaingia kwenye nafasi hiyo akiwa miongoni…
Shirikisho la Soka Afrika CAF limewateua rasmi waamuzi wanne kutoka Tanzania kusimamia mchezo wa hatua ya awali wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League). Hatua hii inaashiria ongezeko kubwa la uaminifu kwa waamuzi wa Kitanzania katika medani ya soka la kimataifa barani Afrika. Mchezo UtakaosimamiwaWaamuzi hao watasafiri kuelekea nchini Algeria kuamua mchezo mkali kati…
Kama unafikiri michezo ya kasino mtandaoni haiwezi kuwa na msisimko wa kiwango cha juu, basi Meridian Bonanza iko tayari kubadilisha mtazamo huo. Meridianbet imekuja na mchezo unaochanganya burudani, muonekano wa kisasa na vipengele vinavyoweza kufanya kila spin iwe na matarajio mapya. Kuanzia unapofungua mchezo, sauti na mwonekano wake vinakupa hisia kwamba safari ya bonanza imeanza….
Klabu ya Raja Casablanca ya Morocco imemtangaza rasmi Mhispania Paco Jémez kuwa kocha mpya wa timu hiyo, akichukua nafasi ya Mtunisia Fadul Davis ambaye ameondoka kwenye benchi la ufundi baada ya kipindi kifupi cha uongozi. Jémez, mwenye umri wa miaka 56, anaingia Raja akiwa na uzoefu mkubwa katika kazi ya ukocha, hasa katika soka la…