Safari ya Afrika Yaanza: Simba na Yanga Wapangiwa Wapinzani CAFCL
Wawakilishi wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) msimu wa 2026/27, Simba…
Wawakilishi wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) msimu wa 2026/27, Simba SC na Yanga SC, wamefahamu wapinzani wao wa hatua ya awali baada ya ratiba ya droo kutangazwa. Simba SC, maarufu kama Wekundu wa Msimbazi, imepangwa kucheza dhidi ya Mighty Wanderers ya Malawi katika hatua ya kwanza ya awali ya mashindano…
CANAL+ imetangaza kupata haki miliki za kuonesha mashindano yote ya klabu za wanaume ya UEFA katika nchi za Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara. Kuanzia katikati ya mwaka 2027, CANAL+ itakuwa ikiwaletea wateja wake mechi kubwa za UEFA Champions League, UEFA Europa League, na UEFA Conference League katika nchi zaidi ya 40 za ukanda huu…
Hii hapa ratiba ya UEFA Europa League Agosti 6,2026 KuPS vs Craiova, Agosti 6,2026 M. Tel Aviv vs CSKA Sofia Agosti 6,2026 Jagiellonia Bialystok vs Rangers Agosti 6,2026 RB Salzburg vs Pafos, Agosti 6,2026 Hradec Kralove vs Besiktas, Agosti 6,2026 … Imeandikwa na Lunyamadzo Mlyuka, Mtunzi kitabu cha Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo, Moyo Wangu…
Klabu ya Kuelekea kuanza kwa msimu mpya wa 2026/27 Yanga leo Agosti 6, 2026 wametambulisha rasmi jezi zao za nyumbani, ugenini na jezi mbadapa (third kit) watakazotumia katika msimu huu wa 2026/27.
Meridianbet imezindua rasmi promosheni ya Mzuka wa Mabingwa, kampeni inayowapa mashabiki wa michezo na kasino nafasi ya kujishindia zawadi kubwa kwa kutumia Airtel Money. Promosheni hii imekuja wakati ambao mashabiki wa burudani wanatafuta zaidi ya ushindi wa kawaida, kwa kuwa sasa kila dau linaweza kuleta zawadi nyingine ya ziada. Kwa kuweka dau lako la kuanzia…
Kwa mujibu wa taarifa rasmi kutoka klabu ya Pafos FC mchezo huu utaanza saa 19:00 kwa muda wa Austria (CEST), ambao ni sawa na saa 20:00 kwa muda wa Kupro na pia Afrika Mashariki. Hii ni mechi ya kwanza ya raundi ya tatu ya kufuzu Europa League msimu wa 2026/27, na mechi ya pili itachezwa…
Rais wa FIFA, Gianni Infantino, ameomba radhi kufuatia dosari zilizojitokeza katika mchakato wa kuwasilisha pendekezo la kuruhusu wawekezaji binafsi kuwekeza katika baadhi ya mashindano ya shirikisho hilo. Hatua hiyo imekuja baada ya viongozi wa FIFA kukiri kuwa kulikuwa na mapungufu ya kiutaratibu, hususan kutoshirikishwa ipasavyo kwa Baraza la FIFA na vyama wanachama kabla ya mpango…
Klabu ya Azam FC imezindua rasmi jezi zitakazotumika katika msimu wa mashindano wa 2026/27, ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea changamoto mpya za msimu ujao Kupitia kurasa rasmi za mtandao wa Instagram, klabu hiyo imewaonyesha mashabiki wake muonekano wa jezi hizo mpya kwa kuchapisha picha na video maalum za utambulisho. Jezi hizo zinatarajiwa kutumika katika…
Kama unajiuliza kuwa Jumatano ya leo utapata wapi pesa, basi mimi nakwambia kuwa Meridianbet pekee ndipo sehemu sahihi ya wewe kupiga pesa. Bashiri mechi zote za kirafiki hapa. Chelsea siku ya leo watakuwa wakikipiga dhidi ya Juventus kutoka kule Italia moja ya mchezo mzuri wa kutazama kwani The Blues wamefanya usajili mzuri wa wachezaji wenye…
Mshambuliaji wa kimataifa wa Angola, Laurindo Dilson Maria Aurélio maarufu kama Depú, amewekwa sokoni na klabu yake ya Yanga SC baada ya kuwasili kwa washambuliaji wawili wapya wa kigeni katika kikosi hicho. Uamuzi huo umefikiwa baada ya mabingwa hao wa Tanzania kuongeza nguvu katika eneo la ushambuliaji, hivyo kuona ni vyema kumpa nafasi Depú kutafuta…
LONDON: Klabu ya Arsenal imeendelea na mazungumzo na Newcastle United kuhusu uhamisho wa kiungo nyota wa Brazil, Bruno Guimaraes, huku kukiwa na matumaini kwamba pande hizo mbili zinaweza kufikia makubaliano. Taarifa kutoka Sky Sports News zinaeleza kuwa kuna matumaini ya tahadhari kuwa dili hilo linaweza kukamilika, huku Guimaraes akisubiri ruhusa ya kusafiri kwa ajili ya…
RABAT, Morocco: Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), Gianni Infantino, anatarajiwa kuongoza mkutano wa dharura na viongozi waandamizi wa shirikisho hilo leo Jumatano mjini Rabat, Morocco, huku akikabiliwa na shinikizo linaloongezeka kuhusu uongozi wake. Mkutano huo umeitishwa baada ya viongozi wakuu wa FIFA kutakiwa kuhudhuria kikao hicho, wakati Infantino akiendelea kukosolewa na baadhi ya…
ISTANBUL: Klabu ya Trabzonspor ya Uturuki imethibitisha kuwa ipo kwenye mazungumzo ya kumsajili nyota wa Misri, Mohamed Salah, huku ikitangaza kuwa mchezaji huyo anatarajiwa kuwasili Istanbul leo, Jumatano Agosti 5, 2026, kwa ajili ya mazungumzo ya mwisho kuhusu uhamisho wake. Katika taarifa yake, Trabzonspor ilisema Salah atawasili Uwanja wa Ndege wa Ataturk jijini Istanbul kabla…
Burudani ya kasino imeingia hatua mpya baada ya Meridianbet kuanzisha Mystery Multiplier Drop, promosheni inayowapa wachezaji nafasi ya kupata ushindi wa kushangaza kila wanaposhiriki moja ya michezo ya Wazdan. Hii ni promosheni inayofanya kila raundi iwe na thamani zaidi kuliko kawaida. Baada ya kujiunga na promosheni, kila dau linalostahili linaweza kukupatia Mystery Multiplier kwa bahati…
Klabu ya Young Africans SC (Yanga) imeandika historia mpya baada ya kupeleka tamasha lake la Wiki ya Mwananchi 2026 nje ya Mkoa wa Dar es Salaam kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa hafla hiyo. Yanga SC ipo Ushirombo, Wilaya ya Bukombe mkoani Geita, kwa ajili ya uzinduzi na maadhimisho ya Wiki ya Mwananchi, tukio…
Klabu ya Simba SC imeendeleza maandalizi yake kuelekea msimu wa 2026/27 kwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Al Merrikh SC ya Sudan katika mchezo wa kirafiki uliochezwa jijini Kigali, Rwanda. Simba ilionyesha kiwango kizuri katika mchezo huo, huku mshambuliaji Libasse Gueye akiifungia timu bao la kwanza baada ya kupokea pasi safi kutoka…
Klabu ya Yanga imemtambulisha rasmi beki wa kimataifa kutoka Ivory Coast, Oumar Farouk Komara, kuwa mchezaji mpya wa kikosi hicho kuelekea msimu wa 2026/27. Komara mwenye umri wa miaka 25 ni beki wa kati anayesifika kwa uimara wake katika ulinzi, uwezo wa kushinda mipira ya juu na utulivu wa kuanzisha mashambulizi kutoka eneo la nyuma….