Bodi ya Ligi Yatembeza Faini Polisi na Geita Gold, Massanza Apigwa Faini ya Mil 10
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetangaza adhabu mbalimbali dhidi ya klabu, viongozi na waamuzi…
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetangaza adhabu mbalimbali dhidi ya klabu, viongozi na waamuzi kutokana na makosa yaliyotokea katika michezo ya Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2026/27. Katika taarifa iliyotolewa Septemba 4, 2026, TPLB imesema adhabu hizo zimehusisha makosa ya nidhamu, kuchelewa uwanjani, kukiuka taratibu za mechi pamoja na udhibiti wa waandishi wa…
Real Betis watawapokea Real Madrid ya Kocha Jose Mourinho katika uwanja wao wa Estadio de La Cartuja jijini Seville, usiku wa leo Ijumaa Septemba 4, 2026, huu ni mchezo wa mzunguko wa nne wa La Liga Uhispania. Real Betis wameanza msimu vizuri, wakishinda mechi mbili kati ya tatu za mwanzo walishinda dhidi ya Real Sociedad…
NAHODHA wa Simba SC, Shomari Kapombe, ni miongoni mwa wachezaji walioachwa Dar es Salaam wakati kikosi cha timu hiyo kikikwea pipa kuelekea Malawi kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mighty Wanderers. Simba SC, inayofundishwa na Kocha Mkuu Steve Barker, ina kibarua cha kusaka ushindi katika mchezo huo wa hatua ya…
Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Miguel Ángel Gamondi, ametangaza kikosi cha awali kitakachoingia kambini hivi karibuni kwa ajili ya kujiandaa na michezo mbalimbali ya kimataifa. Kikosi hicho kimeandaliwa kwa ajili ya michezo miwili muhimu ya kuwania kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027 dhidi ya Guinea-Bissau na Madagascar, pamoja…
Msisimko wa kasino umeongezeka tena baada ya Meridianbet kuweka ofa maalum kwenye mchezo wa Wild White Whale, ikiwapa wachezaji nafasi ya kupata mizunguko 50 ya bure. Mchezaji anayekamilisha mizunguko 100 katika mchezo huo anastahili kupata mizunguko hiyo ya ziada. Ni hatua inayoweza kufanya safari ya mchezo kuwa ndefu zaidi huku ikiongeza burudani kwa wachezaji wanaofurahia…
Real Sociedad itakuwa mwenyeji wa Celta Vigo Alhamisi, ya leo Septemba 3, 2026 katika Uwanja wa Reale Arena, San Sebastián. Mchezo huo wa raundi ya sita ya LaLiga unaotarajiwa kuanza saa 22:00 usiku. Real Sociedad inaingia kwenye mchezo huu ikiwa na umuhimu mkubwa wa kurekebisha mwenendo wake baada ya kuanza msimu kwa matokeo yasiyoridhisha. Timu…
Klabu ya Yanga imemtumia mwandishi maarufu wa habari za michezo duniani, hususan taarifa za usajili wa wachezaji, Fabrizio Romano, kutambulisha jezi zake zitakazotumika katika michuano ya CAF Champions League msimu wa 2026/2027. Romano, raia wa Italia, amejizolea umaarufu mkubwa duniani kupitia taarifa zake za usajili wa wachezaji na kauli yake maarufu “Here We Go”. Katika…
Umechagua namba zako sita, ukasubiri matokeo kwa hamu, lakini mwisho wa siku namba zote zikakataa kuingia? Usikimbilie kuhesabu hasara. Kwenye Win&Go ya Meridianbet, kuna Lucky Loser, chaguo linaloweza kufanya kile kilichoonekana kama kushindwa kugeuka kuwa ushindi. Hii ni fursa inayoongeza msisimko kwa sababu hata tiketi ambayo haikufanya ulivyotarajia bado inaweza kuwa na habari njema. Lucky…
NYOTA wawili wa kikosi cha Yanga SC, nahodha msaidizi Dickson Job na mshambuliaji Clement Mzize watakosekana kwenye mchezo wa hatua ya awali Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United ya Botswana. Sababu kubwa ya wachezaji hao kukosekana ni kutokuwa fiti licha ya kuwa kwenye msafara wa kikosi cha wachezaji 30 waliokwea pipa mapema Septemba…
Timu ya taifa ya Uganda ya vijana chini ya miaka 23, maarufu kama Kobs, imeondolewa kwenye mashindano ya kuwania kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Vijana chini ya miaka 23 (AFCON U23) 2027. Uamuzi huo umefikiwa baada ya Shirikisho la Soka Uganda (FUFA) kushindwa kupata fedha za kutosha kugharamia ushiriki wa timu hiyo katika…
Mchezo wa Ligi Kuu ya NBC raundi ya 6 kati ya Azam FC vs Simba SC uliopangwa kuchezwa Septemba 9, 2026, umesogezwa mbele hadi Septemba 16, 2026, kupisha maandalizi ya Simba SC kwenye mashindano ya kimataifa ya CAF. Bodi ya Ligi Kuu Tanzania TPLB imefanya mabadiliko hayo kufuatia maombi maalum kutoka kwa uongozi wa Simba…
Klabu ya Young Africans SC (Yanga SC) imeanza safari ya kuelekea Botswana kwa ajili ya mchezo wake wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF) dhidi ya Gaborone United. Yanga imeondoka nchini alfajiri ya leo kuelekea Botswana kupitia Afrika Kusini, ambako msafara huo ulifanya mapumziko mafupi kabla ya kuendelea na safari kuelekea mjini Gaborone. Mchezo…
Mchezo wa raundi ya nne ya Championship utachezwa leo Jumatano, Septemba 2, 2026, saa 21:45 usiku, katika uwanja wa Loftus Road, jijini London. QPR watakuwa wenyeji wakijaribu kuendeleza mwanzo mzuri wa msimu wao mbele ya Cardiff City, timu inayorejea Championship baada ya kupanda daraja msimu uliopita. Klabu ya QPR ilimaliza msimu uliopita katika nafasi ya…
Kinda wa kimataifa wa Senegal, Ibrahim Mbaye, ameondoka rasmi Paris Saint-Germain (PSG) na kujiunga na Aston Villa ya England kwa uhamisho wa kudumu wenye thamani ya takribani euro milioni 55. Mbaye, mwenye umri wa miaka 18, amefunga ukurasa wa miaka minane akiwa ndani ya mfumo wa PSG, baada ya kujiunga na akademia ya klabu hiyo…
Beki wa Real Madrid, Antonio Rüdiger, ametangaza rasmi kustaafu kucheza soka la kimataifa akiwa na timu ya taifa ya Ujerumani. Rüdiger mwenye umri wa miaka 33 amesema amefikia uamuzi huo baada ya kutafakari kwa kina, akisisitiza kuwa ni wakati wa kutoa nafasi kwa kizazi kipya cha wachezaji wa Ujerumani. Amehitimisha safari yake akiwa ameichezea Ujerumani…
Mshambuliaji wa Atlético Madrid, Julián Álvarez, ameamua kuendelea kusalia katika klabu hiyo licha ya kuwepo kwa taarifa za kuhusishwa na uhamisho kuelekea klabu mbalimbali, ikiwemo Arsenal. Álvarez, ambaye ni mchezaji wa kimataifa wa Argentina, alikuwa miongoni mwa mastaa waliokuwa wakitajwa katika siku za mwisho za dirisha la usajili, huku Arsenal ikitajwa kuwa moja ya klabu…
Timu ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania chini ya umri wa miaka 20, Tanzanite Queens, imeondoka nchini kuelekea Poland tayari kwa fainali za Kombe la Dunia la FIFA U-20, zinazotarajiwa kuanza Septemba 5, 2026. Tanzanite Queens imepangwa katika Kundi B, ambalo linaonekana kuwa na ushindani mkubwa baada ya Tanzania kukutana na mataifa yenye historia kubwa…