Rangers Dhidi Ya Jagiellonia Białystok Kukipiga Mchezo Wa Kufuzu Europa League
Leo Alhamisi, Agosti 13, saa 21:30, uwanja wa Ibrox, Glasgow, utakuwa jukwaa la mchezo wa…
Leo Alhamisi, Agosti 13, saa 21:30, uwanja wa Ibrox, Glasgow, utakuwa jukwaa la mchezo wa pili wa raundi ya tatu ya kufuzu Europa League baina ya Rangers FC na Jagiellonia Białystok. Mchezo huu ni mmoja wa “semi-finals” za raundi za kufuzu, ambapo mshindi wa mzunguko huu atapata nafasi ya kuendelea kuelekea raundi ya “playoff” kabla…
DAR ES SALAAM: Mabingwa watetezi wa NBC Premier League, Yanga SC, watafungua kampeni ya msimu wa 2026/27 kwa mchezo mgumu wa ugenini dhidi ya Namungo FC, huku Simba SC, Azam FC na timu nyingine zikianza mapambano ya kusaka pointi tatu muhimu katika wiki za mwanzo za ligi. Yanga, iliyomaliza msimu wa 2025/26 ikiwa kileleni kwa…
DAR ES SALAAM: Azam FC imesisitiza kuwa kiungo wake nyota, Feisal “Fei Toto” Salum, ataendelea kuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo licha ya kuwepo kwa taarifa zinazomhusisha na uwezekano wa kujiunga na Yanga SC au Simba SC katika dirisha hili la usajili. Afisa Mtendaji Mkuu Msaidizi wa Azam FC, Rashid Seif, amesema klabu hiyo…
Kuna wakati hadithi za kale zinapokutana na ulimwengu wa kisasa, matokeo yake huwa ya kipekee. Hivyo ndivyo ilivyo kwa Meridian Leprechaun Wish, mchezo unaowaleta leprechaun, hazina zilizofichwa na mandhari za kichawi kwenye ulimwengu wa kasino. Safari ya mchezo huu imejengwa kuzunguka dhana ya bahati na hazina. Leprechaun, anayehusishwa kwa muda mrefu na ngano za Ireland,…
ZANZIBAR: Young Africans SC (Yanga) wameanza msimu mpya kwa kishindo baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya watani wao wa jadi, Simba SC, na kutwaa Ngao ya Jamii 2026 katika dimba la New Amaan Complex, Zanzibar. Ushindi huo umeifanya Yanga kutwaa taji hilo kwa mara ya 10 katika historia ya michuano ya…
Yanga imekataa ofa ya USD 700,000 (takribani TSh bilioni 1.8) kutoka FAR Rabat kwa ajili ya kumsajili kiungo mshambuliaji Allan Okello. FAR Rabat walituma ofa hiyo jana, lakini Yanga imeikataa na kuwaeleza kuwa Okello ataondoka endapo klabu hiyo itakuwa tayari kulipa USD milioni 1.5 (takribani TSh bilioni 3.9). Yanga inaamini Okello ana thamani kubwa sokoni,…
Petro de Luanda 🇦🇴 imetangaza rasmi kumsajili tena mshambuliaji wa Kimataifa wa Angola, Laurindo Dilson Maria Aurélio ‘Depú’, kutoka Young Africans SC 🇹🇿, kuelekea msimu wa 2026/27. Uhamisho huo umegharimu USD 500,000, sawa na takribani TSh bilioni 1.3. 💰 Kupitia taarifa yao, Petro de Luanda wamemkaribisha Depú kwa kusema: “Ameirejea katika sehemu ambayo anakuwa mwenye…
Mawimbi ya furaha yamefika Meridianbet huku mchezo mpya wa kasino, Meridian Scatter Whale, ukiingia rasmi na kuleta uzoefu mpya kwa mashabiki wa sloti. Hii ni safari ya chini ya bahari iliyojaa rangi, mvuto na mizunguko yenye msisimko mkubwa kwa kila anayependa burudani ya kasino. Kila mzunguko kwenye mchezo huu ni kama kupiga mbizi kwenye bahari…
Kuelekea mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Yanga SC mabingwa wa NBC Premier League vs Simba SC, mabingwa wa CRDB Federation Cup 2025/26 makocha wa timu zote wametamba kutwaa taji hilo. Watani hawa wa jadi wanatarajiwa kushuka Uwanja wa New Amaan Complex, Agosti 12,2026 ikiwa ni Ishara ya ufunguzi pazia la NBC Premier League…
Safari mpya imeanza Meridianbet. Wapenzi wa michezo ya sloti sasa wana nafasi ya kipekee ya kuingia kwenye Bass Cash 1000, mchezo mpya unaopatikana ndani ya Meridianbet ukiwa kama utangulizi kabla ya uzinduzi wake rasmi wa kuuweka sokoni. Hii ni nafasi ya kujaribu kitu kipya na kufurahia uchezwaji wake kabla ya wachezaji wengine wengi kuanza safari…
Kocha Mkuu wa Yanga, Manqoba Mngqithi, amesema kikosi chake kiko tayari kwa mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Simba, akieleza kuwa ana imani na uwezo wa wachezaji wake katika kukabiliana na presha ya Kariakoo Derby. Akizungumza na waandishi wa habari leo, Agosti 11, mjini Zanzibar, Mngqithi amesema maandalizi ya timu yake yamekwenda vizuri licha…
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limemtangaza Ahmed Arajiga kuwa mwamuzi wa kati wa mchezo wa Ngao ya Jamii 2026 kati ya Simba SC na Yanga SC. Mchezo huo utachezwa kesho katika Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar, kuanzia saa 2:30 usiku. Arajiga atakuwa na jukumu la kusimamia mchezo huo unaowakutanisha watani wa jadi katika pambano…
Leo Jumanne usiku, Sturm Graz watajaribu kufanya lisilowezekana kuwa la kawaida wanapowakaribisha Fenerbahce katika uwanja wao wa Merkur Arena, wakiwa na jukumu zito la kuzibua nakisi ya mabao mawili kwa sifuri waliyoachiwa na wageni katika mechi ya kwanza. Mechi hiyo ya kwanza huko Istanbul iliisha 2-0 kwa ushindi wa Fenerbahce, ambapo Anderson Talisca aliifungua dakika…
Namungo FC wana mechi 6 kali ambazo ni dakika 540 za mwanzo ndani ya NBC Premier League na watafungua pazia kwa kusaka pointi 3 muhimu dhidi ya Yanga SC, Uwanja wa Majaliwa, Agosti 15. Timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda ilimaliza msimu wa 2025/26 ikiwa nafasi ya 10 ilikusanya pointi 34 baada ya…
MABOSI wa Simba SC wanatajwa kufikiria kuanza mazungumzo na muuaji wa Yanga SC,Tonny Talasi aliyefunga mabao 2 katika Wiki ya Mwananchi, Uwanja wa Uhuru. Simba SC imepishana na mshambuliaji iliyekuwa naye msimu wa 2025/26, Seleman Mwalimu ambaye ametambulishwa kwa watani zao wa jadi Yanga SC tayari kwa changamoto mpya msimu wa 2026/27. Taarifa zinaeleza kuwa…
RASMI Agosti 11,2026 Seleman Mwalimu ametambulishwa ndani ya kikosi cha Yanga SC akitokea kikosi cha Wydad Casablanca kwa mkopo. Ikumbukwe kwamba mchezaji huyu msimu wa 2025/26 alikuwa ndani ya kikosi cha Simba SC ambapo alifunga jumla mabao 9 katika NBC Premier League. Mwalimu anakumbukwa kuwa miongoni mwa wachezaji aliyefunga goli la ushindi kwenye mchezo wa…
Mawimbi ya furaha yamefika Meridianbet huku mchezo mpya wa kasino, Meridian Scatter Whale, ukiingia rasmi na kuleta uzoefu mpya kwa mashabiki wa sloti. Hii ni safari ya chini ya bahari iliyojaa rangi, mvuto na mizunguko yenye msisimko mkubwa kwa kila anayependa burudani ya kasino. Kila mzunguko kwenye mchezo huu ni kama kupiga mbizi kwenye bahari…