Namungo FC vs Simba SC NBC Premier League leo

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Namungo FC amesema kuwa maandalizi yamekamilika na vijana wapo tayari kwa mchezo wa leo vs Simba SC. Namungo FC vs Simba SC ni mchezo wa NBC Premier League unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Majaliwa huku wageni wakiwa ni Simba SC. Hii ni ligi namba 6 kwa ubora ushindani unekuwa mkubwa kutokana…

Read More

Simba SC yawafuata Namungo FC kamili gado

KIKOSI cha Simba SC kimewafuata wapinzani wao Namungo FC kamili gado kwa maandalizi ya mwisho ya mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Aprili 19, 2026 Uwanja wa Majaliwa. Chini ya Kocha Mkuu, Steve Barker kikosi hicho kimewasili Ruangwa, Lindi mara baada ya kuanza safari kikitokea Dar. Ikumbukwe kwamba kikosi cha Simba SC kimetoka Arusha ambapo kilikuwa…

Read More

Azam FC 3-0 JKT Tanzania

Azam FC 3-0 JKT Tanzania matokeo rasmi mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex pointi tatu zikibaki kwa marajiri wa Dar. Magoli ya Azam FC yamefungwa na Japhte Kitambala dakika ya 48 na Idd Seleman alifunga magoli mawili dakika ya 58 na 60 na alichaguliwa kuwa mchezaji bora. Azam FC ipo nafasi ya 3 kwenye msimamo…

Read More

Kula Ushindi Ukiwa Juu Angani Na Kindege Cha Aviator

Kila siku unapambana, lakini mambo bado hayakai sawa upande wako, basi Meridianbet wamekuletea suluhisho kupitia Aviator. Huu ni mchezo unaokupa nafasi ya kuinuka haraka na kuchukua kile ambacho umekuwa ukikitafuta. Kila unapopaisha kindege chako, unakaribia kugusa ndoto zako. Hapa ni jitihada zako tu zinazokubeba. Unavyocheza sana, unaongeza pointi zako za ushindi na kupanda kwenye nafasi…

Read More

Namungo FC vs Simba SC NBC Premier League

Namungo FC vs Simba SC NBC Premier League ni mchezo unaofuata kwenye ratiba msimu wa 2025/26 unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Majaliwa, Aprili 19, 2026. Tayari kikosi cha Simba SC kimewasili Dar kikitokea Arusha ambapo huko kimetoka kuvuna pointi 3 mbele ya Fountain Gate kwa ushindi wa magoli 3-0. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari…

Read More