Kikosi cha Azam FC vs Simba SC

LEO Juni 4,2026 Simba SC vs Azam FC watamenyana mchezo wa fainali CRDB Cup, Uwanja wa Gombani huku Air Manula akianza langoni. Wengine ni Lusajo, Msindo, Lawi, Fuentes, Himid Mao, Sopu, Bin Zayd, Kitambala, Fei Toto, Idd Nado hawa watakuwa kikosi cha kwanza. Wachezaji wa akiba ni Foba, Twalib, Zouzou, Kibeku, Kanoute, Akamiko, Abah, Alobogast,…

Read More

Ndani Ya Dunia Ya Mzuka wa Mabingwa Bahati Inakutana Na Burudani

Kwa miaka mingi, wabashiri wamekuwa wakiamini kwamba fursa kubwa huja pale ambapo mtu anathubutu kujaribu. Falsafa hiyo ndiyo imeonekana kupewa uhai mpya kupitia promosheni ya Mzuka wa Mabingwa kutoka Meridianbet. Ikiwa umezoea kufuatilia michezo au kufurahia kasino mtandaoni, sasa unaweza kufanya hivyo huku ukifungua milango ya kushinda zawadi ambazo wengi wamekuwa wakiziota. Meridianbet imezindua promosheni…

Read More

Simba SC hesabu zimehamia CRDB Cup

BAADA ya kufunga msimu wa 2025/26 wakiwa nafasi ya pili na pointi 73, uongozi wa Simba SC umebainisha kuwa mpango mkubwa kwa sasa ni mechi ya fainali dhidi ya Azam FC. Simba SC ilifunga msimu wa 2025/26 kwa kupata ushindi wa bao 1-0 KMC FC uliochezwa Juni 30,2026 Uwanja wa KMC Complex. Ahmed Ally, Meneja…

Read More