United, Liverpool na Milan Wote Wanacheza Leo – Nani Ataibuka Mbabe?
Wiki hii imekuwa nzuri sana kwa wale wanaoutumia Meridianbet kufanya ubashiri kwani timu za ushindi…
Wiki hii imekuwa nzuri sana kwa wale wanaoutumia Meridianbet kufanya ubashiri kwani timu za ushindi zipo hapa leo. ODDS KUBWA na mcahguo zaidi ya 1000 yapo hapa, hivyo ingia na usuke jamvi lako. SERIE A kuna mechi za kubashiri Sassuolo ataumana dhidi ya Bologna huku tofauti yao ni pointi 1 pekee. Timu hizi zinafatana kwenye…
Mwalimu aliyewasaidia mastaa wakubwa wa muziki wa Bongo Fleva, akiwemo Diamond Platnumz, Harmonize na Rayvanny, kuzungumza Kiingereza kwa ufasaha, Allen Ngonyani, amefariki dunia mapema asubuhi ya leo katika Hospitali ya Geza, Kigamboni, jijini Dar es Salaam, alikokuwa anapatiwa matibabu. Akizungumza na Global TV Online, mmoja kati ya ndugu wa karibu wa marehemu amesema kuwa Ngonyani…
West Ham United wamewalazimisha Manchester City kwa sare ya 1–1 katika mchezo wa Premier League uliokuwa na ushindani mkubwa. City walitangulia kufunga kupitia Bernardo Silva dakika ya 31, lakini West Ham wakajibu haraka kupitia Konstantinos Mavropanos dakika ya 35, na kuifanya mechi hiyo kumalizika kwa sare. Matokeo hayo yanamaanisha Arsenal F.C. sasa wako pointi 9…
Kwenye mchezo wa kasino mtandaoni, ushindi haupo tu kwenye namba, uko kwenye uzoefu, msisimko, na zawadi halisi. Meridianbet imeleta mapinduzi mapya kwa wachezaji wa kasino mtandaoni kupitia mchezo wa Super Heli, ambao sasa unakuja na ofa ya kuvutia ya kujishindia simu mpya ya Samsung Galaxy A26 kwa kucheza Super Heli. Super Heli si mchezo wa…
MECHI ya TRA United vs Simba SC iliyotarajiwa kuchezwa leo Machi 14,2026 imeahirishwa kutokana na Uwanja wa Sheikh Amri Abeid kujaa maji. Kwa mujibu wa Kamishna wa mchezo kati ya TRA United vs Simba SC mechi namba namba 7, Mussa Nyamandege amebainisha kuwa pande zote mbili zimeridhia maamuzi hayo. “Kutokana na sheria namba 1 kutokubalika…
TRA United vs Simba SC kikosi kazi cha wenyeji, Mzamiru Yassin kiungo wa wakusanya mapato Out kutokana na makubaliano ya mkataba wa timu hizo mbili. Mzamiru yupo ndani ya TRA Unted kwa mkopo yeye ni mali ya Simba SC ambao ni wageni mchezo wa leo Machi 14 2026. Hiki hapa kikosi cha TRA United Jean…
TRA United vs Simba SC ni leo Machi 14,2026 Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, saa 10:00 jioni. Hiki hapa kikosi cha Simba SC ambacho kinatarajiwa kuanza huku Ellie Mpanzu akianzia benchi Mohamed Kassali Mabeki Mabeki ni Shomari Kapombe, Rushine De Reuck, Nickson Kibabage na Ismael Toure. Viungo Inno Loemba, Allasane Kante,Libasse Gueye, Anicent Oura, Yusuph…
Kocha mkuu wa Azam FC, F. Ibenge, ametoa malalamiko rasmi kwa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), akiwataka watende haki kwa timu zote na kuhakikisha usawa katika kupanga ratiba na viwanja vya mechi. Ibenge amesisitiza kwamba hakuona sababu ya mchezo wao dhidi ya Yanga SC uhamishiwe kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, ilhali ratiba ya…
Kiungo wa Real Madrid C.F., Aurelien Tchouaméni, amepata mshtuko mkubwa katika maisha yake ya kibinafsi baada ya kumkuta mke wake akizungumza na mwanamume mwingine, licha ya kumpa posho ya kila wiki ya £25,000 (takriban Tshs 86 milioni) na kumnunulia nyumba huko Fuenlabrada, Spain . Hali hii imechukua msongo wa mawazo mkubwa kwa kiungo huyo, kiasi…
Ligi Kuu ya Soka ya NBC Tanzania bara inaendelea leo, Machi 14, 2026, kwa mechi moja ya kusisimua ambapo Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, watakuwa ugenini kukabiliana na Wakusanya Kodi, TRA United. Mchezo huu utachezwa katika Sheikh Amri Abeid Memorial Stadium, Kaloleni, Jijini Arusha kuanzia saa 4:00 jioni. Simba SC wanakuja kwenye mchezo huu wakiwa…
Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet kwenye simu yako ni rahisi sana kutengeneza pesa?. Mechi kibao zipo kuhakikisha huondoki patupu hapa suka jamvi lako sasa na uanze kubashiri hapa. Ligi kuu ya Hispania, LALIGA nayo kama kawaida kitawaka Girona atakuwa mwenyeji wa Athletic Bilbao huku takwimu zikionesha kuwa tofauti ya pointi kati yao hadi sasa…
Katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhani, Meridianbet imeonyesha upendo na kujali jamii kwa kutoa msaada wa vyakula na mahitaji muhimu kwa familia zenye uhitaji jijini Dar es Salaam. Hatua hii imeleta mwanga wa matumaini kwa kaya nyingi, ikihakikisha kuwa familia zinaweza kushiriki ibada na futari za Ramadhani bila upungufu wa mahitaji ya msingi….
Victor Font, mgombea urais wa Barcelona, ameeleza kwamba Erling Haaland ndiye lengo lake kubwa, akionyesha kwamba klabu ya LaLiga inaweza kuwa na kipaumbele kumchukua mshambuliaji huyo ikiwa ataamua kuondoka Manchester City. Font alisema: “Haaland ni mmoja wa washambuliaji bora duniani. Tumejizatiti kuwa tutakuwa na kipaumbele kumchukua ikiwa atataka changamoto mpya.” Haaland, 25, alisaini mkataba wa…
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kwamba Kombe la Dunia la FIFA 2026, litakaloandaliwa kwa pamoja na Marekani, Canada, na Mexico, litakuwa tukio bora kabisa na salama kabisa la michezo katika historia ya Marekani. Trump alisisitiza kwamba Serikali yake inafanya maandalizi makubwa kuhakikisha usalama na mafanikio ya mashindano haya makubwa zaidi ya soka duniani. Ili…
Inawezekana kabisa kupata Samsung Mpya kabisa kwa wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet. Kupitia promosheni yako ya Bet Online ndugu mteja una nafasi ya kuchukua Samsung A26 hapa. Katika msimu huu wa burudani na ushindani mkali ndani ya ulimwengu wa soka, Meridianbet imewasha moto mpya unaowapa wachezaji wote sababu ya kuongeza hamasa wanapotazama na kubashiri mechi…
Meridianbet imefungua ukurasa mpya katika ulimwengu wa kasino mtandaoni kwa kumkaribisha rasmi Naga Games ndani ya jukwaa lake. Uzinduzi huu unaashiria hatua nyingine ya ubunifu inayolenga kuwapa wachezaji uzoefu wa kisasa zaidi, uliojengwa kwa teknolojia ya hali ya juu na michezo inayoweka msisimko kwenye kila mzunguko wa mchezo. Kupitia Naga Games, Meridianbet inaleta mfumo mpya…
Tanzania Prisons vs Yanga SC ni leo Machi 12,2026 saa 2:00 usiku. Hiki hapa kikosi cha Yanga SC ambacho kinatarajiwa kuanza:- Langoni Djigui Diarra Mabeki: Israel Mwenda, Zimbwe Jr, Nondo, Bacca. Viungo ni Damaro, Abuya, Maxi, Mudathir na Okello. Mshambuliaji ni Prince Dube. Akiba: Masalanga, Abubakari, Assink, Andabwile, Yao, Abdulnasir, Shekhan, Edmund, Bupa, Depu. ***…