Mali Yazua Gumzo Baada ya Kuwaacha Wachezaji Wake Maarufu
Kocha wa Timu ya Taifa ya Mali, Tom Saintfiet ametangaza kikosi cha wachezaji 25 kwa…
Kocha wa Timu ya Taifa ya Mali, Tom Saintfiet ametangaza kikosi cha wachezaji 25 kwa ajili ya mechi mbili za kirafiki za Kalenda ya FIFA ya Machi 2026 huku golikipa wa Yanga SC, Djigui Diarra akiwa miongoni mwa wachezaji muhimu walioachwa kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo majeraha na mapumziko. Wachezaji wengine walioachwa ni pamoja na…
Mshambuliaji nyota wa Mohamed Salah ametangaza rasmi kuwa ataondoka ndani ya klabu ya Liverpool mwishoni mwa msimu huu, akihitimisha safari ya kihistoria ya miaka tisa ndani ya Anfield. Salah, mwenye umri wa miaka 33, ameondoka akiwa mchezaji huru (free transfer), jambo ambalo limewashtua mashabiki wengi wa soka duniani. Kupitia video ya kihisia aliyochapisha mtandaoni, Salah…
Yanga SC na Kampuni ya EMWANI wameandaa mashindano yatakayofanyika 28/03/2026 kituo cha TFF Kigamboni. Ali Kamwe, Meneja wa Idara ya Habari amesema huo ni muitikio wa Watanzania katika mradi Yanga Soccer School na mshindi wa kwanza atapata milioni 3, mshindi wa pili milioni moja na watakaoishia nusu faiinali watapata laki 5. “Mradi wetu wa Yanga Soccer…
Katika eneo la kutengeneza pasi za mwisho ndani ya NBC Premier League wakali wawili wapo kwenye chati wakiwa wametengeneza pasi nyingi ambazo ni 5. Ni Ellie Mpanzu wa Simba SC yupo sawa na kiungo wa Azam FC Feisal Salum ambao hawa wote wamekuwa katika ubora kwenye eneo la kutengeneza pasi za mwisho. Wengine kwa mujibu…
Bila Intanenti ni rahisi kabisa kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kushindania Samsung A26 na Meridianbet leo. Jumatano ya Zawadi ipo kwaajili yako siku ya leo inaweza kukupa furaha sana. Jumatano hii haifanani na nyingine yoyote. Ni siku ambayo Meridianbet inawasha moto wa bahati kwa njia ambayo haijawahi kutokea. Kwa mara nyingine tena, wateja wote wanaopenda kubashiri…
Sasa ni rasmi, Vaso Psycho kutoka Expanse imewasili ndani ya Meridianbet, na tayari imeanza kubadilisha namna wachezaji wanavyoiona kasino mtandaoni. Huu ni mchezo unaokupa zaidi ya burudani; unakupa nafasi ya kuandika historia yako ya ushindi kwa kila mzunguko unaoucheza. Kitu cha kwanza utakachogundua ni jinsi kila raundi ilivyo tofauti. Hakuna kubahatisha kwa mazoea hapa, mfumo…
LIGI ya NBC Premier League ushindani wake ni mkubwa kwa kila timu kupambania ushindi ndani ya uwanja msimu wa 2025/26. Makipa kazi kubwa kwenye kuokoa michomo ndani ya uwanja huku Yanga SC wakiwa namba moja kwenye eneo hilo na ipo wazi baada ya mechi 16 timu hiyo haijapoteza mchezo. Hii hapa orodha ya makipa wenye…
ELLIE Mpanzu winga wa Simba SC, raia wa DR Congo amesema kuwa ni furaha kwake kusalia katika familia ya timu hiyo kwa muda mwingine tena. Machi 23,2026 taarifa rasmi kutoka Simba SC ilieleza kuwa winga huyo mwenye pasi 5 za mabao msimu wa 2025/26 ndani ya NBC Premier League ameongeza kandarasi ya miaka miwili. Awali…
Julián Álvarez hana mpango wowote wa kuondoka Atlético Madrid msimu huu wa majira ya joto jambo linalozipa pigo kubwa juhudi za FC Barcelona kumsajili. ❌ Mshambuliaji huyo ameonyesha kujitolea kikamilifu kwa mradi wa timu unaoendelezwa na kocha Diego Simeone pale Atletico. Arsenal pia wamekuwa wakihusishwa na mshambuliaji huyo raia wa Argentina 🇦🇷 (Chanzo: SPORT) ⚽
Kiungo nyota wa zamani wa Ufaransa, Zinedine Zidane, amekubali rasmi kurithi mikoba ya Didier Deschamps kama Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Ufaransa baada ya kumalizika kwa Kombe la Dunia la FIFA 2026. Kwa mujibu wa taarifa zilizothibitishwa, Zidane anatarajiwa kuchukua jukumu hilo mara baada ya michuano hiyo itakayofanyika katika mataifa ya Marekani, Mexico…
Klabu ya Yanga, imetangaza kumrejesha kocha Abdihamid Moalin kuwa kocha Msaidizi chini ya Kocha Mkuu Pedro Gonçalves hatua ambayo klabu hiyo imeeleza kuwa imalenga kutatua changamoto ya kiufundi klabu hiyo inayopelekea kupata wakati mgumu kupata matokeo mazuri na kucheza vizuri. Taarifa ya Machi 23, 2026 iliyotolewa na klabu hiyo na klabu hiyo baada ya kikao…
Mlinzi wa kushoto wa Simba SC, Nickson Kibabage, ameibua mjadala baada ya kuonesha tattoo ya mnyama simba mgongoni mwake, hatua inayokuja siku chache tangu kauli za mafumbo kutoka kwa Afisa Habari wa Yanga SC, Ali Kamwe. Kamwe, akizungumza na waandishi wa habari, alidokeza kuhusu mchezaji wa zamani wa Yanga ambaye tangu aondoke klabuni hapo ameanza…
Inawezekana kabisa kupata Samsung Mpya kabisa kwa wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet. Kupitia promosheni yako ya Bet Online ndugu mteja una nafasi ya kuchukua Samsung A26 hapa. Katika msimu huu wa burudani na ushindani mkali ndani ya ulimwengu wa soka, Meridianbet imewasha moto mpya unaowapa wachezaji wote sababu ya kuongeza hamasa wanapotazama na kubashiri mechi…
Kama unatafuta burudani yenye msisimko wa kweli, basi Meridianbet imekuletea kile ulichokuwa ukikisubiri. Kupitia ushirikiano wake mpya na Ruby Play, jukwaa hili limefungua mlango wa uzoefu mpya kabisa wa kasino mtandaoni, uliojaa ubunifu, kasi na nafasi halisi za kushinda kila unapocheza. Ruby Play sio jina la kawaida kwenye ulimwengu wa sloti. Hawa ni wabunifu wanaoleta…
Ligi kuu ya Italia, yaani SERIE A inazidi kupamba moto huku vinara wa ligi hiyo Inter Milan wakipigiwa chapuo la kuchukua taji hilo baada ya kuwa na mwendelezo mzuri wa matokeo. Msimu wa Inter Milan ulianza kwa utulivu wa kujiamini, lakini ukiwa na shinikizo kubwa la kuthibitisha ubora wao ndani ya Italia na Ulaya. Chini…
Yanga SC chini ya Kocha Mkuu Pedro Goncalves inaendelea kundunda na rekodi yake kuwa miongoni mwa timu ambazo hazijafungwa ndani ya NBC Premier League, 2025/26. Timu hiyo imecheza jumla ya mechi 16 ikipata ushindi kwenye mechi 11, sare 5 ikiwa haijapoteza mchezo. Imekusanya jumla ya pointi 38 ndani ya ligi mchezo wake wa 16 iligawana…
Kiungo mshambuliaji wa kimataifa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Elie Mpanzu, ameongeza mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kuitumikia Simba hatua inayoimarisha kikosi hicho kuelekea msimu ujao wa mashindano ya ndani na kimataifa. Mpanzu, ambaye amekuwa sehemu muhimu ya kikosi cha Simba kutokana na uwezo wake wa kiufundi na mchango wake uwanjani, ameonesha nia…