Rio Ferdinand Atembelea Bunge la Tanzania Akiwa Ziara Maalum Dodoma
Rio Ferdinand, Nahodha na Mchezaji wa zamani na wa Timu ya Taifa ya Uingereza na…
Rio Ferdinand, Nahodha na Mchezaji wa zamani na wa Timu ya Taifa ya Uingereza na Klabu ya Manchester United, akiwa katika viunga vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kushuhudia shughuli za uendeshaji wa Bunge hilo, leo Mei 20, 2026 Jijini Dodoma, ikiwa ni muelendelezo wa ziara yake nchini Tanzania ambayo inalenga kuboresha sekta…
KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum anaongoza chati ya wafungaji ndani ya NBC Premier League msimu wa 2025/26. Kiungo huyo amefunga jumla ya magoli 11 akiwa anaongoza usukani katika chati ya wakali wa kucheka na nyavu ni mali ya Azam FC. Kwenye eneo la ufungaji msimu huu ushindani umekuwa mkubwa huku kila timu ikiwa…
Ratiba ya NBC Premier League hii hapa ambapo kuna mechi kali zinatarajiwa kuchezwa viwanja vitatu tofauti ndani ya dakika 90. TRA United itakuwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid ikiwakabili Mtibwa Sugar, saa 10:00 jioni. KMC FC vs Pamba Jiji FC Uwanja wa KMC Complex saa 12:30, jioni. Dodoma Jiji FC vs Mashujaa FC, Uwanja wa…
Coastal Union vs Simba SC ni mchezo unaofuata kwenye ligi Mei 21, 2025 kwa wababe hawa kusaka pointi tatu muhimu uwanjani. Huu utakuwa mchezo wa mzunguko wa pili, walipokutana mzunguko wa kwanza ubao wa Uwanja wa Meja Jeneral Isahmuyo ulisoma, Simba SC 2-0 Coastal Union. Coastal Union kwenye msimamo ipo nafasi ya 12 ina pointi…
Furaha kubwa ilitawala ndani ya kambi ya Arsenal baada ya timu hiyo kutangazwa rasmi kuwa mabingwa kufuatia Manchester City kushindwa kupata ushindi katika mchezo wao dhidi ya Brighton. Arsenal walikuwa tayari wamefanya kazi yao mapema baada ya kuichapa Burnley siku ya Jumatatu, hali iliyoweka presha kubwa kwa Manchester City ambao walihitaji ushindi ili kuendelea kusubiri…
Mtaani kila mtu anatafuta dili lenye faida na burudani kwa pamoja, na sasa Meridianbet wamekuja na Non-Stop Win&Go Drop kuleta upepo mpya kwa mashabiki wa kasino. Hii sio promosheni ya kawaida, ni nafasi ya kushinda kila muda bila kusubiri sana. Kupitia ofa hii kali, wachezaji wanapata hadi tiketi 500 za bure kila siku, kitu kinachoongeza…
Ushindi mzuri unaanzia Meridianbet siku ya leo kwa kusuka jamvi lako na Meridianbet na kubashiri kwa kutumia Early Payout leo. Ingia kwenye akaunti yako sasa na uanze safari yako ya ushindi. Promosheni hii kubwa kabisa ambayo ipo Meridianbet ina lengo la kuhakikisha kuwa unapiga pesa nyingi kwani endapo ukitumia chaguo la EARLY PAYOUT unajiweka kwenye…
Taifa Stars imepangwa Kundi L katika droo ya kufuzu AFCON 2027, kundi ambalo lina timu za Nigeria national football team, Madagascar national football team na Guinea-Bissau national football team. Ratiba ya mechi za kufuzu itakuwa kama ifuatavyo: • Mzunguko wa kwanza na wa pili: Septemba 21 hadi Oktoba 6, 2026. • Mzunguko wa tatu na…
Mechi hii inaangazia tofauti kubwa ya kiuchumi kati ya timu mbili. Manchester City wana thamani ya kikosi cha £1.13 bilioni, wakati Bournemouth wana thamani ya £370 milioni tu . Hata hivyo, Bournemouth wamefanikiwa kugeuza ukosefu huu wa usawa kuwa nguvu, wakiwa na rekodi ya mechi 17 mfululizo bila kushindwa Ligi Kuu licha ya kuwa na…
Uteuzi wa Fiston Mayele katika kikosi cha DR Congo national football team kitakachoshiriki FIFA World Cup 2026 umetarajiwa kunufaisha klabu yake ya Pyramids FC kwa mapato ya takribani dola 198,000 (sawa na Shilingi milioni 514) kutoka FIFA. Kwa mujibu wa taarifa hizo, FIFA hulipa klabu ambazo wachezaji wake wanashiriki Kombe la Dunia, ambapo kila siku…
Arsenal F.C. imeendelea kukaribia kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu baada ya kuibuka na ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Burnley F.C. katika mchezo uliochezwa Jumatatu usiku. Bao pekee la mchezo huo lilifungwa na Kai Havertz dakika chache kabla ya mapumziko ya kipindi cha kwanza baada ya kuunganisha kwa kichwa kona iliyopigwa na Bukayo Saka….
Kama bado hujacheza Gates of Arabia kutoka Meridianbet basi kuna burudani kali unaikosa kwa sasa. Mtaani watu wanazungumzia kucheza, jackpot na ushindi mkubwa kila kona. Huu sio mchezo wa kawaida, ni mchezo unaoweza kubadilisha siku yako haraka kuliko unavyofikiria. Unatia dau lako, reels zinaanza kuzunguka halafu presha inapanda taratibu ukisubiri kuona nini kinaingia. Ndani ya…
Mechi hii inapigwa saa 22:00 kwa muda Uwanja wa Emirates utakuwa umejaa hadi kifusi kwa takriban mashabiki 60,000, nao wanajulikana kwa kuimba nyimbo maalumu za kusukuma timu yao wakati wa mbio za ubingwa. Kwa upande wa Burnley kwa kuwa wameshashuka daraja, mashabiki wao watakuja. Lakini shinikizo la Emirates litakuwa kubwa Arsenal wakichelewa kufunga, mashabiki wanaweza…
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza rasmi viwanja vitakavyotumika kwa michezo ya Nusu Fainali ya michuano ya CRDB Federation Cup msimu wa 2025/26. Mchezo wa kwanza utawakutanisha watani wa jadi Simba SC dhidi ya Coastal Union FC ambapo utapigwa kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha Juni 20, 2026. Kwa upande mwingine, mabingwa watetezi…
Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United, Wayne Rooney amemshukia vikali mshambuliaji wa Liverpool, Mohamed Salah, akimuita ‘mbinafsi’ na kueleza kuwa anapaswa kuachwa nje ya kikosi kwenye mechi ya mwisho ya msimu dhidi ya Brentford itakayochezwa Anfield. Kauli ya Rooney imekuja baada ya Salah kutoa maoni kuwa Liverpool inapaswa kurejea kuwa timu ya mashambulizi ya kasi…
Usiku wa kasino sasa una ladha mpya kupitia Book of Eskimo kutoka Meridianbet. Mchezo huu umeundwa kwa vijana wanaopenda burudani yenye mchanganyiko wa bonasi na nafasi kubwa za kushinda. Ukianza kucheza utakutana na bonasi za aina tatu tofauti zinazofanya mchezo uwe na msisimko muda wote. Kila mzunguko unaweza kukupeleka kwenye hatua mpya ya ushindi huku…
Mashujaa FC 0-1 Azam FC, CRDB Federation Cup ni matokeo rasmi kwenye mchezo wa leo Mei 17, 2026 hatua ya robo fainali CRDB Federation Cup. Matajiri wa Dar wameibuka na ushindi huo katika Uwanja wa Lake Tanganyika mwisho wa reli Kigoma kwa goli ambalo lilipachikwa dakika 45 za mwanzo. Anaitwa Idd Suleman maarufu kwa jina…