Yanga Yamweka Depu Sokoni, Shalulile Atajwa Kuchukua Nafasi Yake

Tetesi za usajili zinaendelea kushika kasi zikidai kuwa Klabu ya Yanga inafikiria kumuuza mshambuliaji wake, Laurindo Dilson Maria Aurélio ‘Depu’, katika dirisha hili kubwa la usajili ili kufungua nafasi ya kumsajili mshambuliaji mwingine mpya. Kwa mujibu wa taarifa zinazosambaa, mabingwa hao wa Ligi Kuu Tanzania Bara wanatajwa kuwa kwenye mipango ya kumleta straika Peter Shalulile,…

Read More

Tetesi za Usajili: Arsenal Yamwania Vinicius Jr, Salah, Zirkzee na Savinho Wabadilisha Mwelekeo

Vilabu vikubwa barani Ulaya vinaendelea kujipanga kuelekea msimu mpya huku tetesi za usajili zikizidi kushika kasi. Arsenal na Liverpool zimeonyesha nia ya kumsajili mshambuliaji wa Paris Saint-Germain, Bradley Barcola, lakini mabingwa hao wa Ufaransa wanadaiwa kutaka kiasi cha pauni milioni 145 kwa nyota huyo wa miaka 23. Kwa upande mwingine, Arsenal bado haijaanza mazungumzo rasmi…

Read More