Yanga Yatinga Hatua ya Pili CAFCL Kwa Ushindi wa Jumla wa 3-2
YANGA imefanikiwa kutinga hatua ya pili ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions…
YANGA imefanikiwa kutinga hatua ya pili ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) baada ya kuiondoa Gaborone United ya Botswana kwa ushindi wa jumla wa mabao 3-2 katika michezo miwili. Yanga imemaliza kazi hiyo kwa ushindi wa mabao 2-1 katika mchezo wa marudiano uliochezwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, baada ya…
MCHEZO wa NBC Premier League kwa wababe wawili umekamilika baada ya dakika 90 huku pointi tatu zote zikibaki nyumbani. Ubao wa Uwanja wa Sheikh Amri umesoma Polisi Tanzania 2-0 Mbeya City. Mabao yote mawili yamefungwa na mshambuliaji wa mabao Anuary Jabir dakika ya 38 na 45+2 kwa mkwaju wa penati. Ushindi huu unaifanya Polisi Tanzania…
Klabu ya Sunderland itawakaribisha mabingwa watetezi wa ligi kuu ya England Arsenal katika mchezo wa Ligi Kuu England utakaopigwa leo Jumamosi, Septemba 12, 2026, katika dimba la Stadium of Light. Mchezo huo utaanza saa 22:00 usiku. Arsenal inaingia kwenye mchezo huu ikiwa na mwanzo mzuri wa msimu, ikiwa imeshinda michezo yote mitatu ya kwanza ya…
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini Nigeria (NFF) limemtangaza na kumtambulisha rasmi Nabil Nafhezi kuwa kocha mkuu mpya wa timu ya taifa ya wanaume ya nchi hiyo, maarufu kama Super Eagles. Utambulisho huo unahitimisha wiki kadhaa za sintofahamu kuhusu kocha ambaye angekabidhiwa jukumu la kuiongoza timu hiyo yenye maskani yake jijini Abuja. Nafhezi anarithi mikoba…
Mshambuliaji wa Tanzania, Clara Luvanga, amejiunga rasmi na klabu ya Washington Spirit ya Marekani akitokea Al-Nassr ya Saudi Arabia, katika hatua inayomfungulia ukurasa mpya wa safari yake ya soka. Luvanga, ambaye amekuwa miongoni mwa wachezaji muhimu katika soka la wanawake Tanzania, ameweka historia kwa kuwa Mtanzania wa kwanza kucheza katika Ligi ya Taifa ya Soka…
Mshambuliaji wa Simba SC, Ibrahim Doumbia, ni miongoni mwa wachezaji wanaoendelea na mazoezi maalumu kuelekea mchezo wa marudiano wa hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) dhidi ya Mighty Wanderers ya Malawi. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Septemba 13, 2026, katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam, huku Simba SC ikiwa…
Mshambuliaji na nahodha wa Athletic Club, Iñaki Williams, ametangaza kustaafu kucheza soka la kimataifa akiwa na umri wa miaka 32. Williams ametangaza uamuzi huo leo, Septemba 11, 2026, kupitia ujumbe aliouchapisha kwenye mitandao ya kijamii, akifunga rasmi ukurasa wa miaka minne akiwa na timu ya taifa ya Ghana, Black Stars. Mchezaji huyo aliamua kubadili uaminifu…
DAR ES SALAAM: Klabu ya Azam FC imetangaza kwa masikitiko makubwa kifo cha kipa wa timu yake ya vijana chini ya miaka 20 (U-20), Iddy Salim, aliyefariki dunia kwa ghafla baada ya kupata ajali ya pikipiki (bodaboda) Alhamisi. Kwa mujibu wa taarifa ya klabu hiyo, mwili wa marehemu ulipelekwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa…
Mshambuliaji wa Tanzania, Clara Luvanga, ametembelea klabu yake ya zamani ya Young Africans (Yanga), ikiwa ni muda mfupi baada ya kukamilisha uhamisho wake wa kihistoria kwenda Washington Spirit ya Marekani. Luvanga, ambaye alikulia katika mfumo wa Yanga Princess, amerejea katika mazingira ya klabu hiyo wakati akianza ukurasa mpya wa safari yake ya soka katika ligi…
Meridianbet imeendelea kuboresha uzoefu wa burudani mtandaoni baada ya kuleta Play’n GO, mtoa huduma maarufu anayefahamika kwa kutengeneza michezo ya kasino yenye ubunifu wa hali ya juu. Hatua hii inakuja wakati ambapo burudani ya kidijitali ikiendelea kubadilika kwa kasi, huku wachezaji wakitafuta michezo inayowapa zaidi ya uchezaji wa kawaida. Kupitia ujio huu, Meridianbet imeongeza chaguo…
Ligi Kuu ya Ujerumani Bundesliga itaendelea Ijumaa, Septemba 11, Union Berlin itakuwa mwenyeji wa Schalke 04 katika mchezo wa Bundesliga utakaopigwa kwenye Uwanja wa Stadion An der Alten Försterei, Berlin. Mchezo huo utaanza saa 21:30 usiku, huku timu zote zikisaka ushindi wao wa kwanza msimu huu. Union Berlin inaingia kwenye mchezo huo ikiwa na pointi…
Kiungo mshambuliaji wa Simba SC, Libasse Gueye, ametangazwa kuwa Mchezaji Bora wa Mwezi Agosti wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2026/27, huku kocha wa Young Africans, Manqoba Mngqithi, akichaguliwa kuwa Kocha Bora wa Mwezi huo. Gueye alionesha kiwango kizuri katika mwezi huo, akishinda tuzo hiyo mbele ya Maxi Nzengeli wa Young Africans na Oscar…
Nahodha wa Yanga SC, Bakari Nondo, amesema sababu kubwa ya kurejea kwenye kiwango bora ni maandalizi mazuri pamoja na ushirikiano anaoupata kutoka kwa wachezaji wenzake. Nondo alianza katika kikosi cha kwanza cha Yanga SC kwenye mchezo wa hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United, uliomalizika kwa sare ya bao 1-1….
Burudani mpya imewasili Meridianbet. Wilder Icy Fruits, mchezo mpya kutoka Expanse, umeingia na kuleta mazingira mapya yenye matunda ya kuvutia, rangi zinazochangamsha na matukio ya kushtukiza. Kwa wanaopenda kujaribu michezo mipya ya kasino, huu unaweza kuwa wakati mzuri wa kuifahamu ladha mpya. Mchezo huu umejengwa katika mazingira yenye mvuto wa kipekee, ambapo matunda yenye mwonekano…
Fenerbahce inaanza kampeni yake ya UEFA Champions League msimu wa 2026/27 nyumbani dhidi ya AS Roma, katika mchezo utakaopigwa leo Alhamisi, Septemba 10, saa 19:45 usiku. Mchezo huu una umuhimu mkubwa kwa pande zote mbili kwa sababu Fenerbahce inarejea kwenye hatua hii ya Champions League kwa mara ya kwanza tangu msimu wa 2008/09, huku Roma…
Fountain Gate Academy Tanzania iko katika hatua za kuanzisha chuo cha michezo kitakachojulikana kama Fountain Gate Institute of Sports and Talent Development, ambapo tawi la kwanza linatarajiwa kufunguliwa Babati, Manyara, hivi karibuni. Kupitia taasisi hii, Fountain Gate Academy inalenga kuimarisha zaidi programu zake za michezo, hususan Football Development, kwa kuhakikisha vijana wanapata mafunzo ya kisasa,…
Meridianbet imeongeza burudani nyingine kwenye kasino baada ya Vaso Psycho kuingia rasmi na kuwapa mashabiki wa kasino mtandaoni sababu mpya ya kusisimka. Huu si mchezo unaokuacha ukijua kila kitakachotokea, kila raundi ina nafasi ya kuleta tukio jipya na kubadilisha kabisa mwelekeo wa mchezo. Vaso Psycho imeingia na mfumo unaolenga kufanya kila sekunde iwe na mvuto…