Hapatoshi Man United, Atletico Madrid Mechi ya Kirafiki
Leo, Jumamosi Agosti 1, 2026, uwanja wa Strawberry Arena jijini Solna, Stockholm nchini Uswidi, utakuwa…
Leo, Jumamosi Agosti 1, 2026, uwanja wa Strawberry Arena jijini Solna, Stockholm nchini Uswidi, utakuwa jukwaa la mkutano kati ya Manchester United na Atletico Madrid katika mchezo wa kirafiki wa maandalizi ya msimu mpya. Mchezo huu utaanza saa 16:00 (saa za Afrika Mashariki), sawa na saa 15:00 CET. Ni mojawapo ya michezo mikubwa ya ziara…
Hatimaye siku iliyokuwa ikisubiriwa na mashabiki wa UFC imewadia. Usiku wa leo Belgrade Arena nchini Serbia itageuka kitovu cha michezo ya mapigano duniani wakati UFC Fight Night Belgrade ikiwakutanisha wapiganaji wenye kiu ya ushindi mbele ya mashabiki kutoka kila kona ya dunia. Kwa upande wa wabashiri, huu ni usiku wa fursa nyingi kupitia Meridianbet, kampuni…
Aliyekuwa mshambuliaji wa Young Africans SC, David Molinga maarufu kama ‘Falcao’, ameanza ukurasa mpya katika maisha yake ya soka baada ya kuteuliwa rasmi kuwa Rais wa Klabu ya AC Bandal kwa kipindi cha miaka mitano. AC Bandal, yenye makao yake katika wilaya ya Bandalungwa jijini Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), ni klabu inayoshiriki…
Bournemouth imefikia makubaliano na Benfica ya kumsajili beki wa kati wa kimataifa wa Ureno, Antonio Silva, katika dili lenye thamani ya hadi pauni milioni 26. Silva, mwenye umri wa miaka 22, anatarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya baada ya klabu hizo kukubaliana ada ya awali ya pauni milioni 21.4 pamoja na nyongeza ya hadi pauni milioni…
Kuna mechi za kirafiki za kawaida, na kuna mechi zenye hadithi nyuma yake mechi ya Ijumaa hii kati ya Birmingham City na FC Barcelona ni ya aina ya pili. Itachezwa leo tarehe 31 Julai 2026 katika uwanja wa St. Andrew’s @ Knighthead Park, saa 21:45 CEST (19:45 kwa saa za Uingereza), na tayari imeshavuta hisia…
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuwa mchezo wa Ngao ya Jamii kwa msimu wa 2026/27 utachezwa katika Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Mchezo huo wa ufunguzi wa msimu mpya wa soka nchini Tanzania utawakutanisha watani wa jadi, Young Africans SC na Simba SC, katika pambano linalotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Kwa mujibu wa…
Yanga SC inaendelea kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu mpya, huku ikiwa hatua za mwisho kukamilisha usajili wa beki wa kati wa klabu ya Golden Arrows, raia wa Ivory Coast, Oumar Farouk Comara (25). Kwa mujibu wa taarifa zilizopo, makubaliano binafsi kati ya mchezaji huyo na Yanga tayari yamefikiwa. Kinachosalia kwa sasa ni klabu hiyo ya…
Kila tukio kubwa la michezo lina hadithi yake, lakini UFC Fight Night Belgrade linaandika historia ambayo haijawahi kushuhudiwa. Kwa mara ya kwanza kabisa, mashindano ya UFC yatafanyika nchini Serbia, huku Meridianbet ikiwa mdhamini rasmi wa tukio hilo linalosubiriwa kwa hamu kubwa usiku kesho. Huu ni usiku ambao mashabiki wa mapigano na wabashiri duniani wamekuwa wakiusubiri…
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza hatua mpya za kinidhamu kwa timu zitakazoshindwa kutumia vyumba rasmi vya kubadilishia nguo viwanjani bila sababu za msingi, huku adhabu ya kupokwa pointi tano ikitarajiwa kutumika kwa watakaokiuka utaratibu huo. Akizungumza na waandishi wa habari leo Julai 30, 2026, katika makao makuu ya TFF, Rais wa shirikisho…
Klabu ya Simba SC imeondolewa rasmi katika michuano ya CECAFA Kagame Cup 2026 baada ya kushindwa kufikisha idadi ya pointi zinazoweza kuiwezesha kutinga hatua ya nusu fainali. Wekundu wa Msimbazi wamekusanya pointi mbili pekee kutoka katika michezo yao miwili ya kwanza ya hatua ya makundi, huku wakisalia na mchezo mmoja dhidi ya Singida Black Stars….
Mashabiki wa michezo ya mapigano duniani wapo kwenye wiki ya msisimko mkubwa huku macho yote yakielekezwa jijini Belgrade, Serbia, ambako usiku wa tarehe 1 Agosti 2026 kutafanyika UFC Fight Night Belgrade ndani ya ukumbi wa kisasa wa Belgrade Arena. Tukio hili linatarajiwa kuwa moja ya makubwa zaidi katika kalenda ya UFC mwaka huu, likiwakutanisha wapiganaji…
Mvutano mkubwa umeanza kushika kasi katika ulimwengu wa soka baada ya kuibuka kwa taarifa kwamba Rais wa FIFA, Gianni Infantino, anafikiria kuleta mfumo mpya wa kibiashara utakaowaruhusu wawekezaji binafsi kumiliki sehemu ya thamani ya Kombe la Dunia. Kwa mujibu wa taarifa hizo, FIFA inapanga kuanzisha kampuni maalum ambayo itakuwa na nafasi ya kupokea uwekezaji kutoka…
Je unajua kuwa kwa dau dogo pekee unaweza ukabadilisha maisha yako leo?. Mechi za kufuzu UEFA zipo kuhakikisha hubaki patupu. Suka jamvi lako la ushindi na uibuke bingwa leo. Mapema kabisa leo kuna mechi ya Kairat Almaty dhidi ya Omonia Nicosia ikiwa ni moja ya mechi kali na nzuri kabisa za kubashiri siku ya leo…
Tetesi za usajili zinaendelea kushika kasi zikidai kuwa Klabu ya Yanga inafikiria kumuuza mshambuliaji wake, Laurindo Dilson Maria Aurélio ‘Depu’, katika dirisha hili kubwa la usajili ili kufungua nafasi ya kumsajili mshambuliaji mwingine mpya. Kwa mujibu wa taarifa zinazosambaa, mabingwa hao wa Ligi Kuu Tanzania Bara wanatajwa kuwa kwenye mipango ya kumleta straika Peter Shalulile,…
Mashindano ya Shigongo Cup 2026 yanatarajiwa kuanza rasmi leo, Jumatano Julai 29, 2026, kwa mchezo wa ufunguzi utakaowakutanisha Iligamba FC na Kanyala FC kwenye Uwanja wa Iligamba kuanzia saa 3:00 asubuhi. Mashindano hayo yameanzishwa kwa lengo la kuibua na kukuza vipaji vya soka kwa vijana, kuimarisha mshikamano wa jamii pamoja na kuhamasisha maendeleo ya…
Shirikisho la Soka la Tunisia (FTF) limemtangaza rasmi Moine Chaabani kuwa kocha mpya wa timu ya taifa kwa mkataba wa miaka minne, kufuatia kampeni mbaya ya Kombe la Dunia iliyoshuhudia timu hiyo ikipoteza mechi zote tatu za hatua ya makundi. Katika taarifa iliyotolewa Jumanne, FTF ilithibitisha uteuzi huo uliokuwa ukiripotiwa na vyombo mbalimbali vya habari…
Mashabiki wa UFC na wapenda mapambano ya kusisimua, muda wa kusubiri unakaribia kuisha. Zimebaki siku mbili tu kabla ya UFC Fight Night kuandika historia kwa kufanyika kwa mara ya kwanza kabisa nchini Serbia, usiku wa Agosti 1, 2026, ndani ya ukumbi maarufu wa Belgrade Arena. Dunia nzima ya mapambano imeelekeza macho yake Belgrade, huku hamasa…