Barcelona Yamsajili Dominik Livaković kwa Mkataba wa Miaka Minne
Klabu ya Barcelona imekamilisha usajili wa kipa wa kimataifa wa Croatia, Dominik Livaković, kutoka Fenerbahçe,…
Klabu ya Barcelona imekamilisha usajili wa kipa wa kimataifa wa Croatia, Dominik Livaković, kutoka Fenerbahçe, akitia saini mkataba wa miaka minne utakaomuweka klabuni hapo hadi Juni 2030. Livaković, mwenye umri wa miaka 31, amejiunga na mabingwa hao wa LaLiga kwa ada ya awali ya takribani €2 milioni, huku thamani ya uhamisho huo ikitarajiwa kufikia hadi…
FK Kauno Žalgiris watapokea Beşiktaş katika uwanja wa Darius ir Girėnas Stadium, jijini Kaunas, Lithuania, Alhamisi Agosti 27, 2026, saa 20:00 katika mechi ya marudiano ya raundi ya kufuzu (play-off) ya UEFA Europa League msimu wa 2026/27. Mshindi wa mzunguko huu atajiunga na hatua ya makundi makuu ya mashindano hayo. Mechi ya kwanza iliyochezwa Istanbul,…
Liverpool imefikia makubaliano ya awali yenye thamani ya takribani Shilingi bilioni 418 (£120 milioni) na Paris Saint-Germain (PSG) kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji wa pembeni wa Ufaransa, Bradley Barcola. Makubaliano hayo bado hayajakamilishwa rasmi, lakini hatua hiyo imeelezwa kuwa ni mafanikio makubwa katika mazungumzo ya muda mrefu kati ya Liverpool na PSG kuhusu uhamisho wa…
Mwandishi mahiri wa habari za michezo nchini Tanzania, Saleh Ally (@salehjembefacts), amefanya mahojiano maalum (exclusive interview) na Global TV, ambapo amefunguka kwa kina kuhusu safari yake ya uandishi wa habari za michezo na mambo mbalimbali ambayo wengi hawakuyajua kuhusu maisha yake ya kikazi. Katika mahojiano hayo, Saleh Ally amezungumzia kwa undani safari yake katika taaluma…
Wapenzi wa burudani za kasino, safari mpya imeanza Meridianbet kupitia 3 Fisher Cats, mchezo wa kuvutia kutoka Amigo unaowaleta paka watatu wajanja kwenye misheni ya kutafuta samaki na hazina mbalimbali. Safari hii imejaa mandhari ya kuvutia, raundi zenye msisimko na matukio yanayoweza kufanya kila hatua iwe ya kipekee. Kwa wanaopenda kugundua michezo mipya, 3 Fisher…
NBC Premier Leagu inaendelea ikiwa ni mzunguko wa 4 kwa sasa 2026/27. Hii hapa ratiba ipo namna hii:- Mashujaa FC vs Kagera Sugar, Uwanja wa Lake Tanganyika, Agosti 27,2026 Simba SC vs Coastal Union, Uwanja wa Meja Jen Isahmuyo, Agosti 27,2026 Fountain Gate vs Mbeya City, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Agosti 28,2026 Geita Gold…
Je unajua kuwa kwa dau dogo tuu, unaweza ukajishindia mpaka Mamilioni ya pesa na Meridianbet?. Juzi ameibuka bingwa kwa jero tuu hivyo hii ni nafasi yako na wewe kuitwa Milionea. Lyon dhidi ya Fenerbahçe hii ni mechi ya kufuzu Ligi ya Mabingwa ambapo kila timu inahitaji ushindi siku ya leo kujiweka kwenye nafasi nzuri ya…
NBC Premier League 2026/27 inazidi kushika kasi ambapo kila timu zinasaka pointi 3 ndani ya uwanja. Agosti 25 zilichezwa mechi mbili kali kwa wababe kusaka pointi uwanjani.Ndani ya dakika 180 yamefungwa mabao mawili kila mchezo ukikamilika kwa ushindi wa bao 1-0.Matokeo Agosti 25,2026 Namungo FC 1-0 Fountain Gate, saa 12:00 jioni Mtupiaji ni Herbert Lukindo…
Mchezaji wa zamani wa Ligi ya Soka ya Marekani (NFL), Allen Robinson, ametangaza kustaafu kucheza soka la Marekani akiwa na umri wa miaka 33, baada ya kutumia miaka 11 katika ligi hiyo. Robinson alitangaza uamuzi huo Jumatatu, Agosti 24, kupitia ujumbe kwenye ukurasa wake wa Instagram, akiambatanisha video iliyosimulia safari yake ya kimichezo. Robinson alianza…
Tottenham Hotspur imekamilisha usajili wa winga wa Brazil, Savinho, kutoka Manchester City kwa ada ya awali ya £75 milioni, huku kiasi hicho kikitarajiwa kufikia £85 milioni iwapo vigezo vya nyongeza vitatimia. Savinho, mwenye umri wa miaka 22, ambaye sasa ametangaza kutumia jina Sávio, amesaini mkataba wa muda mrefu na Tottenham katika usajili unaoendelea kuonyesha nia…
Kama unatafuta burudani yenye nafasi za mshangao, basi Meridianbet imekuandalia kitu cha kuangalia kupitia Rewards Burst Prize Drops. Promosheni hii inawapa wachezaji nafasi ya kupata zawadi za papo hapo wanapofanya mizunguko inayokidhi vigezo kwenye michezo inayoshiriki. Kila mzunguko unaweza kuleta tukio jipya, na wakati mwingine sapraizi inaweza kuwa kubwa kuliko ulivyotarajia. Zawadi kuu ni kubwa…
LEO Agosti 25,2026 kuna mechi kali 2 za NBC Premier League ambazo zinatarajiwa kuchezwa kwa wababe kusaka pointi 3 muhimu ndani ya uwanja. Namungo FC iliyo nafasi ya 9 na pointi 3 baada ya mechi 2 itavaana na Fountain Gate iliyo nafasi ya10 na pointi 3 baada ya mechi 2 itakuwa saa, 12:00 jioni. Msimu…
Yanga SC imeibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo uliochezwa leo, Agosti 24, 2026, Uwanja wa KMC Complex,Mwenge, Dar. Ni Albert Kangwanda alifungua ukurasa wa mabao dakika ya 29,Ibrahim Bacca aliongeza bao la pili dakika ya 34, Chadrack Boka alifunga dakika ya 39. Mpaka dakika 45 za mwanzo zinakamilika ubao…
Stoke City na Hull City watakutana leo Jumanne, Agosti 25, 2026, katika raundi ya pili ya Carabao Cup (EFL Cup). Mechi hii itachezwa katika uwanja wa Bet365 Stadium, mjini Stoke-on-Trent, na itaanza saa 21:45 usiku, Ni mechi itakayowaleta pamoja timu mbili za Championship zenye historia ndefu ya ushindani. Hali ya Stoke City kwa sasa si…
Uwanja wa zawadi umefunguliwa na Meridianbet imekuja na kitu kikubwa. Non-Stop Blasts & Races inatoa jumla ya TZS 75,000,000,000 katika zawadi, huku wachezaji wakipewa nafasi ya kushiriki mashindano mbalimbali na kukutana na zawadi zisizotarajiwa kupitia michezo iliyochaguliwa ya Playson. Mwanzo wa burudani unapatikana kwenye Power Blasts, ambapo bahati inaweza kukufuata ndani ya mchezo. Wachezaji wanaoshiriki…
Klabu ya Simba SC imetangaza kurejea kutumia Uwanja wa Meja Isamuhyo kama uwanja wake wa nyumbani katika mechi za Ligi Kuu ya NBC, baada ya awali kutangaza kutumia Uwanja wa Uhuru. Akizungumza na Waandishi wa Habari, Semaji wa Simba, Ahmed Ally, amesema uamuzi huo umetokana na mafanikio ambayo timu hiyo ilipata msimu uliopita ilipotumia Meja…
Pesa iko nje nje leo hii kwenye mechi za leo ndani ya Meridianbet kwani kila kitu unachotaka kipo hapa kuanzia Odds kubwa, machaguo zaidi ya 1000. Jisajili sasa na uanze safari yako ya ushindi. Ligi kuu ya Uingereza yaani EPL itaendelea siku ya leo, Fulham atamkaribisha Chelsea huku mechi hii ikiwa na matarajio makubwa kwa…