Yanga Yalenga Daraja la Tatu na La Nne la Uwanja wa CAF
Yanga SC imetangaza rasmi kuanza mchakato wa kujenga uwanja wake wa kisasa baada ya kumaliza…
Yanga SC imetangaza rasmi kuanza mchakato wa kujenga uwanja wake wa kisasa baada ya kumaliza mchakato wa zabuni na kuchagua mwekezaji. Kampuni iliyoshinda zabuni ni GSM, chini ya Rais wake Ghalib Said Mohamed, huku klabu ikionyesha msukumo mkubwa wa kuhakikisha mradi unakidhi viwango vya kitaifa na kimataifa. Hersi Ally Said, Rais wa Yanga SC, amesema:…
LIGI ya Mabingwa Afrika CAFCL inaendelea tena leo Februari 15, 2026 kwa mechi mbili za kuhitimisha hatua ya makundi huku wawakilishi wa Tanzania waliosalia kwenye michuano hiyo, Young Africans Sc wakitupa karata yao ya mwisho ya kuwania kufuzu robo fainali. Wananchi (pointi 5) wapo nyumbani, New Amaan Complex Zanzibar kuchuana na washika mkia wa kundi…
Pesa iko nje nje leo hii kwenye mechi za Europa ndani ya Meridianbet kwani kila kitu unachotaka kipo hapa kuanzia Odds kubwa, machaguo zaidi ya 1000. Jisajili sasa na uanze safari yako ya ushindi. ITALIA SERIE A kitawaka vilivyo, mapema kabisa Udinese atamenyana dhidi ya Sassuolo ambapo mara ya mwisho kukutana kati yao mgeni aliondoka…
Meridianbet imeendelea kuthibitisha dhamira yake ya kuboresha uzoefu wa wateja kwa kutangaza ushirikiano rasmi na Ruby Play, kampuni inayokua kwa kasi katika soko la sloti za mtandaoni. Hatua hii inaleta sura mpya ya burudani ya kasino, ikichanganya teknolojia ya kisasa na ubunifu wa hali ya juu. Ruby Play inajivunia ubora wa michoro, mandhari za kuvutia…
Matokeo ya Leo: πΈπ© Al Hilal SC 1οΈβ£ β 0οΈβ£ FC Saint Eloi Lupopo π¨π© πΏπ¦ Mamelodi Sundowns 2οΈβ£ β 0οΈβ£ MC Alger π©πΏ π Msimamo wa Kundi πΈπ© Al Hilal SC β 11 pts β πΏπ¦ Mamelodi Sundowns β 9 pts β π©πΏ MC Alger β 7 pts π¨π© St Eloi Lupopo β 5…
Klabu ya Tottenham Hotspur imethibitisha kumteua Igor Tudor kuwa kocha mkuu mpya klabuni hapo kwa mkataba mpaka Juni 2026 akichukua mikoba ya Thomas Frank aliyetupiwa virago siku ya Jumatano. Nyota huyo wa zamani wa Timu ya Taifa ya Croatia amekuwa hana kibarua tangu Oktoba 2025 baada ya kutimuliwa na Juventus alikohudumu kwa miezi Saba. Tudor…
Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet kwenye simu yako ni rahisi sana kutengeneza pesa?. Mechi kibao zipo kuhakikisha huondoki patupu hapa suka jamvi lako sasa na uanze kubashiri hapa. Ligi kuu ya Ujerumani, BUNDESLIGAΒ kitawaka sana ambapo Bayer Leverkusen atakiwasha dhidi ya ST. Pauli ambao wanashika nafasi ya 2 kutoka mwisho huku wenyeji wao wakiwa…
Katika kuadhimisha dhamira yake ya kujenga jamii jumuishi, Meridianbet Tanzania imefanya ziara maalum katika ofisi za Tanzania Association of the Blind (T.A.B) zilizopo Kinondoni, Dar es Salaam, na kukabidhi msaada wa fimbo za kutembelea kwa watu wenye ulemavu wa kuona. Tukio hilo limeacha alama ya matumaini na mshikamano, likionesha kwa vitendo namna sekta binafsi…
Kaimu Kocha Mkuu wa Manchester United, Michael Carrick, ameteuliwa kuwa Kocha Bora wa Mwezi Januari 2026 katika Ligi Kuu ya Soka England. Uchaguzi huu unatambua mafanikio yake ya kistratejia na uwezo wa kuongoza timu kwa matokeo mazuri mwezi uliopita, na kuonesha jinsi Carrick anavyosimamia kikosi cha Manchester United kwa ufanisi. π Hii ni ishara ya…
Rais wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Dkt. Patrice Motsepe, amethibitisha rasmi kwamba mashindano ya AFCON 2027 yataanza kuchezwa kati ya Juni na Julai 2027 katika baadhi ya nchi za Afrika Mashariki. Kauli hii imetolewa leo, Februari 13, 2026, baada ya mkutano wa Kamati ya Utendaji ya CAF uliofanyika katika Hyatt Kilimanjaro, ambapo viongozi wa…
Wikiendi hii, mashabiki wa soka nchini wanatarajia burudani ya hali ya juu katika michuano ya CAF Champions League, huku vigogo wa Tanzania wakishuka dimbani kupigania heshima ya taifa kwenye hatua ya makundi. π Mechi za CAF Champions League β Wikiendi π Jumamosi, 14 Februari 2026 Al Hilal Omdurman vs FC Saint Eloi Lupopo β saa…
Klabu ya Al Ittihad ya Libya imetangaza rasmi usajili wa wachezaji wake wapya, ikionyesha dhamira ya kuimarisha kikosi katika kipindi hikic ha dirisha dogo ili kufikia lengo la kufanya vizuri mwishoni mwa msimu huu. Miongoni mwa nyota wa waliotambulishwa ni Thembinkosi Lorch (Afrika Kusini) ambaye atavaa jezi namba 11, namba yenye heshima na historia kubwa…
Msemaji wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally amesema timu hiyo imepata matokeo mabaya katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam na kusababisha mashabiki wapoteze imani na ule msemo kwamba βKwa Mkapa hatoki Mtuβ. Amesema katika mchezo wao wa mwisho dhidi ya Stade Malien, japokuwa hata wakishinda hawataenda popote, wanataka kuutumia mchezo huo kulinda…
Inawezekana kabisa kupata Samsung Mpya kabisa kwa wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet. Kupitia promosheni yako ya Bet Online ndugu mteja una nafasi ya kuchukua Samsung A26 hapa. Katika msimu huu wa burudani na ushindani mkali ndani ya ulimwengu wa soka, Meridianbet imewasha moto mpya unaowapa wachezaji wote sababu ya kuongeza hamasa wanapotazama na kubashiri mechi…
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), Dkt. Patrice Motsepe, amewasili rasmi nchini Tanzania asubuhi ya leo kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa Kamati Tendaji ya Shirikisho hilo. Mutsepe amepokelewa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere International Airport, Terminal…
Dar es Salaam, Februari 2026 β Comment ya Diamond Platnumz kwenye picha ya Hamisa Mobetto akiwa na mume wake Aziz Ki imezua mjadala mkubwa kwenye mitandao ya kijamii. Picha hiyo iliyo postedwa na Juma Lokole, inaonesha Hamisa na mume wake wakiwa kwenye hafla ya kifamilia, wakiwa wamevalia mavazi ya kifahari. Mashabiki wameanza kuibua hisia mchanganyiko…
Mchezo wa Ligi Kuu England umepamba moto katika dimba la Brentford F.C. baada ya wenyeji kusawazisha bao dhidi ya Arsenal F.C. na kufanya matokeo kuwa 1-1. β½ 61β β Wageni walikuwa wa kwanza kupata bao kupitia kwa Noni Madueke, aliyemalizia shambulizi la haraka na kuiandikia Arsenal bao la kuongoza. β½ 71β β Lakini Keane Lewis-Potter…