Ratiba ya NBC Premier League 2025/26 hii hapa

NBC Premier League inazidi kushika kasi huku vinara wakiwa ni Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Pedro Goncalves wao ni mabingwa watetezi. Machi 18,2026 kuna mechi mbili ambazo zinatarajiwa kuchezwa kwenye ratiba namna hii:- TRA United vs Yanga SC, saa 10:15, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Tanzania Prisons vs Singida Black Stars, saa 2:15, Uwanja…

Read More

TRA United vs Yanga SC kupigwa kesho

TRA United vs Yanga SC kupigwa kesho Uwanja wa Sheikh Amri Abeid ikiwa ni ratiba ya NBC Premier League. Yanga SC vinara wa ligi wanaingia uwanjani wakiwa wametoka kucheza mchezo mgumu dhidi ya Azam FC, Uwanja wa Mkapa. Katika mchezo huo uliochezwa Machi 15,2026 baada ya dakika 90 ubao ulisoma Azam FC 0-0 Yanga SC…

Read More

Soko la Michezo ya Kubahatisha La Stake Lapata Nguvu Kutoka Expanse Studios

Sekta ya michezo ya kubahatisha duniani imepata habari njema baada ya Expanse Studios kutangaza rasmi ushirikiano mpya na jukwaa kubwa la ubashiri la kimataifa, Stake. Hatua hii inakuja baada ya mafanikio makubwa ya kampuni hiyo katika kushirikiana na wadau mbalimbali wa tasnia, akiwemo Meridianbet. Ushirikiano huu unatarajiwa kuleta msisimko mpya kwa wachezaji huku ukipanua upatikanaji…

Read More

Jonathan Sowah hatihati kuondoka Simba SC

MSHAMBULIAJI namba moja wa Simba SC, Jonathan Sowah kuna hatihati kuondoka ndani ya kikosi hicho kutokana na tatizo la nidhamu. Sowah ndani ya NBC Premier League amefunga magoli matatu akiwa ni miongoni mwa wachezaji wenye magoli mengi ndani ya kikosi hicho. Kwa sasa Sowah hayupo kwenye mipango ya timu hiyo kutokana na kile kilichoelezwa alisimamishwa…

Read More

Soko la Michezo ya Kubahatisha La Stake Lapata Nguvu Kutoka Expanse Studios

Sekta ya michezo ya kubahatisha duniani imepata habari njema baada ya Expanse Studios kutangaza rasmi ushirikiano mpya na jukwaa kubwa la ubashiri la kimataifa, Stake. Hatua hii inakuja baada ya mafanikio makubwa ya kampuni hiyo katika kushirikiana na wadau mbalimbali wa tasnia, akiwemo Meridianbet. Ushirikiano huu unatarajiwa kuleta msisimko mpya kwa wachezaji huku ukipanua upatikanaji…

Read More

TVBET ya Meridianbet Kukupa Burudani ya Kasino Yenye Matokeo Ya Papo Hapo

Wapenzi wa michezo ya kasino wamekua wakitafuta burudani inayoweza kuwapa matokeo haraka bila kusubiri kwa muda mrefu. Meridianbet imejibu hitaji hilo kwa kuleta TVBET, mfumo wa michezo mubashara unaowapa wachezaji nafasi ya kucheza raundi nyingi ndani ya muda mfupi na kufurahia matokeo yanayotokea papo hapo. Kupitia TVBET, wachezaji wanaweza kushiriki michezo maarufu na yenye msisimko…

Read More

Mwalimu wa Kiingereza wa Mastaa wa Bongo Fleva, Allen Ngonyani Afariki Dunia

Mwalimu aliyewasaidia mastaa wakubwa wa muziki wa Bongo Fleva, akiwemo Diamond Platnumz, Harmonize na Rayvanny, kuzungumza Kiingereza kwa ufasaha, Allen Ngonyani, amefariki dunia mapema asubuhi ya leo katika Hospitali ya Geza, Kigamboni, jijini Dar es Salaam, alikokuwa anapatiwa matibabu. Akizungumza na Global TV Online, mmoja kati ya ndugu wa karibu wa marehemu amesema kuwa Ngonyani…

Read More