Manchester United Yaghairi Dili la José Éderson Baada ya Kushindwa Vipimo vya Afya
Dili la kiungo wa Atalanta, José Éderson, kujiunga na Manchester United limevunjika rasmi baada ya mchezaji huyo kushindwa kupita vipimo vya pili vya afya, hali iliyowalazimu Mashetani Wekundu kusitisha usajili uliokuwa ukitajwa kuwa na thamani ya euro milioni 45. Kwa mujibu wa taarifa, Éderson alifanyiwa vipimo vya awali vya afya nchini Marekani wakati akiwa na…