Okello Ampiku Pacome Zouzoua na Idd Selemani Kwenye Tuzo ya Mwezi
Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Yanga, Allan Okello amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Aprili wa Ligi Kuu ya soka ya NBC msimu wa mwaka 2025/26 baada ya kutoa mchango mkubwa kwa timu yake katika michezo mitatu aliyocheza mwezi huo, akifunga bao moja na kuhusika na mengine sita kwa dakika 320 alizocheza. Okello alionesha kiwango…