KAMPUNI YA MICHEZO BETWINNER YAZINDULIWA TANZANIA

 KAMPUNI ya michezo ya kubashiri ya Betwinner imezinduliwa rasmi nchini Tanzania, ikileta fursa mpya na za kipekee kwa wateja wa michezo ya kubahatisha. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi, Mkurugenzi Mkuu wa Betwinner, Jesse Ndambala, amesema kuwa ujio wao umelenga kuwapa wateja Odds nzuri zaidi kulinganisha na kampuni nyingine za kubashiri. Ndambala amesisitiza kuwa Bet Winner…

Read More

ZAHANATI KAWE YANEEMESHWA NA MERIDIANBET

Kawe yaneemeka kupitia Meridianbet ndivyo unavyoweza kusema kwakua kampuni hiyo imefika eneo la Kawe na kufanikiwa kutoa msaada katika moja ya Zahanati eneo hilo. Huu umekua utaratibu wa miaka mingi kwa kampuni ya Meridianbet kuhakikisha inagusa yale maeneo yenye uhitaji, Awamu hii wamefanikiwa kuigusa moja ya Zahanati zinazopatikana katika eneo la Kawe jijini Dar-es-salaam. Mabingwa…

Read More

YANGA KAMILI KWA MECHI ZA KIMATAIFA AFRIKA KUSINI

NAHODHA msaidizi wa Yanga Dickson Job ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa mechi zote za kirafiki kimataifa ambazo watacheza nchini Afrika Kusini ikiwa ni mwendelezo wa maandalizi ya msimu wa 2024/25. Ipo wazi kwamba Job ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Miguel Gamondi anaingia kwenye orodha ya mchezaji wa kwanza kufunga bao ndani ya…

Read More

SIMBA YATAMBIA MASHINE MPYA ZA KAZI

UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa wachezaji wapya ambao wametambulishwa watafanya kazi kubwa kwa kushirikiana na wengine katika mechi za ushindani kitaifa na kimataifa. Simba imeweka kambi nchini Misri ikiwa ni maandalizi ya kuelekea msimu wa 2024/25 unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kutokana na kila timu kujipanga kufanya vizuri. Ipo wazi kwamba katika anga la kimataifa…

Read More

Leo Ni Siku ya Kupiga Maokoto na Meridianbet

Jumamosi ya kibabe imefika na wewe unaweza kuwa mbabe kwa kutusua na Meridianbet endapo utatengeneza jamvi lako la maana kwani kua mechi kibao leo za kukufanya tajiri. Ingia na ubeti sasa Klabu ya Manchester United baada ya kupoteza mchezo wake wa kirafiki uliopita, leo atakuwa ugenini dhidi ya Glagow Rangers ya Scotland ambao walimaliza nafasi…

Read More

AZAM YASAJILI WA KIUNGO AKITOKEA CR BELOUIZDAD YA ALGERIA

Klabu ya Azam imethibitisha kukamilisha usajili wa kiungo mkabaji Mamadou Samake kwa mkataba wa miaka miwili akitokea kwa miamba ya Algeria, CR Belouizdad. Samake (24) raia wa Mali anafunga rasmi usajili wa Wanalambalamba hao kwenye dirisha hili kwa ajili ya msimu mpya wa 2024/25 na anatarajia kujiunga na kambi ya timu hiyo nchini Morocco muda…

Read More

MAZOEZI YA YANGA AFRIKA KUSINI NI BALAA, KUKINUKISHA KESHO

Julai 28, 2024 Mabingwa wa Ligi Kuu Bara, Yanga wanaopeperusha bendera ya Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, wanatarajia kumenyana na Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini kwenye mchezo maalumu wa kirafiki wa kimataifa ambapo mshindi atasepa na Kombe la Toyota. Mechi hiyo inatajwa kuwa kipimo sahihi kwa Yanga kwa kuangalia uimara wa kikosi hicho ambacho…

Read More

MAKAMBO KUTUA DODOMA JIJI

Dodoma Jiji imeingilia dili la mshambuliaji wa zamani Yanga, Heritier Makambo kutoka Al Murooj SC ya Libya. Awali Mkongomani huyo aliyewahi kuzichezea DC Motema Pembe, FC Lupopo zote za DR Congo na Horoya AC ya Guinea, ilielezwa angejiunga na Tabora United japo kwa sasa mambo yamebadilika baada ya Dodoma kumtaka.

Read More

CHEZA LUCKY 6 NA KENO, UPATE BONASI YA KASINO 10%

  Kipindi Cristiano Ronaldo anatiua Man Utd alichagua kuvaa jezi namba 7, alivyoenda Madrid alikuta jezi namba 7 inaliwa na mchezaji mwingine, lakini aliisubiri hadi muda wake ulipofika akapewa. Ilikuwa ni jezi yene bahati na historia kubwa sana kwa Mwanasoka huyo, amefanya makubwa akiwa na Jezi namba 7 mgongoni. Jisajili Meridianbet kupata bonasi za kasino…

Read More

TUSUA MAPENE NA MECHI ZA KIRAFIKI LEO

Leo hii kuna Lazio, Fenerbahce, Braga na wengine kibao ambao watakuwa uwanjani hapo baadae kukupa utajiri. Suka jamvi lako sasa na ubashiri na Meridianbet mechi zote za kirafiki. Darubini yangu imeanza kumulika mechi hii ya SC Braga ambaye ataumana na Rayo Vallecano ya kule Hispania huku mechi hii ikiwa imepewa ODDS za kibabe kwelikweli. Mwenyeji…

Read More