YANGA SC 3-0 NAMUNGO FC, JASHO ILIVUJA DAKIKA 90

MCHEZO wa mzunguko wa pili uliochezwa Uwanja wa KMC Complex baada ya dakika 90 ubao ulisoma Yanga SC 3-0 Namungo FC huku jasho likiwavuja wachezaji kwenye kutimiza majukumu yao. Hapa tunakuletea baadhi ya walichokifanya wachezaji wa timu zote mbili katika kutimiza majukumu yao ilikuwa namna hii:- Djigui Diarra  Djigui Diara alisepa na dakika 90 na…

Read More

AZAM FC YAIPIGA MKONO DODOMA JIJI

MATAJIRI wa Dar, Azam FC wamekomba pointi tatu mazima kwa kupata ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Dodoma Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Mei 13 2025, Azam Complex. Lusajo Mwaikenda alifungua ukurasa dakika ya 6, Abdul Sopu bao la pili dakika ya 17, Gibril Sillah bao la tatu dakika ya 20, Nasor…

Read More

BOSI SIMBA SC AMETOA ANGALIZO KWA WATANI ZAO WA JADI

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC amesema kuwa kadri wapinzani wao wanavyozidi kuchelewa kucheza na timu hiyo watakutana na wachezaji wakiwa kwenye ubora mkubwa zaidi ya sasa. Mchezo unaofuata kwa Simba SC kwenye ligi ni dhidi ya Yanga SC unaotarajiwa kuchezwa Juni 15 2025 baada ya Bodi ya Ligi Kuu…

Read More

MECHI KALI DUNIANI LEO, MERIDIANBET YAWAPA ODDS ZA KIBABE!

Mechi kali leo hii Duniani zinaendelea na Meridianbet wapo tayari kuhakikisha hawakuachi hivyo hivyo, na ndio maana wameamua kukupatia ODDS za kibabe na machaguo zaidi ya 1000 kwenye mechi za leo. Tukianza na  LALIGA leo hii kuna mitanange ya maana itaendelea ambapo Girona baada ya kupoteza mechi yake iliyopita, leo hii atakuwa ugenini kusaka ushindi…

Read More

RATIB LIGI KUU BARA MEI 13 2025

MECHI za Ligi Kuu Tanzania Bara zinatarajiwa kuendelea ambapo ni mzunguko wa pili leo Mei 13 2025 kuna timu zitakuwa uwanjani katika msako wa pointi tatu muhimu. Wakati Mei 12 2025, ubao wa Uwanja wa Kaitaba ukisoma Kagera Sugar 0-1 Mashujaa FC, Tanzania Prisons 2-1 Coastal Union, kuna mwendelezo mwingine itakuwa leo. Ratiba ipo namna…

Read More

NAMUNGO FC KAMILI KUWAKABILI YANGA SC

BAADA ya kupoteza mchezo wa mzunguko wa kwanza kwenye Ligi Kuu Bara ambayo ni namba nne kwa ubora uliochezwa Novemba 30 2024 ubao wa Uwanja wa Majaliwa ukasoma Namungo 0-2 Yanga SC, Namungo FC wameweka wazi kuwa watawakabili wapinzani wao kwa mbinu tofauti kupata matokeo chanya, Mei 13 2025, Namungo FC inatarajiwa kushuka Uwanja wa…

Read More

MERIDIANBET YAWAPELEKA WACHEZAJI KWENYE DUNIA YA MIUNGU KUPITIA MCHEZO MPYA – GATES OF OLIMPIA

Wapenzi wa michezo ya slot, Meridianbet inawaletea mchezo mpya wenye mandhari ya kifalsafa na kihistoria: Gates of Olimpia – kazi ya kipekee kutoka kwa wabunifu maarufu wa michezo ya kasino, Expanse Studios. Katika mchezo huu, wachezaji wanaalikwa kuingia kwenye ulimwengu wa hadithi za Kigiriki, ambapo kila mzunguko wa slot unaweza kufungua milango ya zawadi kubwa…

Read More

KMC: TUMEHARIBU HATI SAFI YA CAMARA, BAHATI YAO

UONGOZI wa KMC FC umebainisha kuwa bahati ilikuwa upande wao Simba SC kupata matokeo kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Mei 8 2025 wakipoteza pointi tatu. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa KMC Complex ulisoma KMC FC 1-2 Simba SC, mabao yalifungwa na Rashid Chambo dakika ya 8 kwa upande wa KMC huku yale…

Read More

LIGI KUU BARA RATIBA HII HAPA MEI 12 2025

MEI 12 2025 Ligi Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea leo ikiwa ni mzunguko wa pili kwa wababe kuwa uwanjani kusaka pointi tatu muhimu. Tanzania Prisons ambayo ipo nafasi ya 14 kwenye msimamo na pointi 27 baada ya kucheza mechi 27 itawakaribisha Coastal Union ya Tanga ambayo ipo nafasi ya 8. Coastal Union imecheza mechi 27…

Read More

SIMBA YATANGAZA VIINGILIO VYA FAINALI YA KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA NA KUZINDUA HAMASA KWA MASHABIKI

“Tunataka kufanya fainali yenye hadhi ya juu mno, na hayo ni mambo ambayo sisi tunayamudu. Ndugu zangu fainali ndio hatua ya juu kabisa ya mashindano. Kuelekea katika mchezo huu tunatangaza viingilio na tutakaporudi kutoka Morocco tutazindua hamasa. Napenda kuwasihi Wanasimba kununua tiketi mapema. Mwakani tutacheza tena fainali lakini haitakuwa kama hii ambayo tumeisubiri kwa miaka…

Read More