
SIMBA SC: TUTARUDI TUKIWA IMARA
MOHAMED Hussen Zimbwe Jr ameweka wazi kuwa watarejea msimu ujao wa 2025/26 wakiwa imara kwenye kupambania mataji ambayo watashiriki kwenye mechi za ushindani msimu mpya. Ipo wazi kwamba msimu wa 2024/25 Simba SC imepishana na mataji yote iliyokuwa ikipambania. Kombe la CRDB Federation iligotea hatua ya nusu fainali ikiodolewa na Singida Black Stars iliyopoteza fainali…