SIMBA YAFUNGUKIA UGUMU WA BRAVOS

SIMBA inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids imeweka wazi kuwa inakwenda kukutana na mpinzani mgumu ndani ya dakika 90 kutokana na mwendo wake wa kupata matokeo mazuri kwenye mechi za nyumbani ndani ya Kombe la Shirikisho Afrika. Wakiwa na kumbukumbu ya kupata matokeo chanya kwenye mchezo waliocheza nao Bravos, Uwanja wa Mkapa Novemba 24 2024…

Read More

YANGA KAMILI KUWAVAA AL HILAL KIMATAIFA

KOCHA Msaidizi wa Yanga, Abdihamid Moalin amesema kuwa wanatambua mchezo wao dhidi ya Al Hilal utakuwa ni mgumu lakini wapo tayari kwa ajili ya kusaka pointi tatu muhimu kutokana na umuhimu wa mchezo huo kwa Yanga. Ikiwa Yanga itapata pointi tatu kwenye mchezo huo itabakiwa na mchezo mmoja Uwanja wa Mkapa ambao huo utaamua hatima…

Read More

MKWANJA UPO KASINO YA MTANDAONI MERIDIANBET

Kama ulikuwa unadhani umeona vingi au kufanya vingi, basi sahau kabisa bado kuna vingi sana huvijui na leo nakusogezea mchongo ambao huenda unaujua au huujui unahitaji kuufahamu, ni kutoka kasino ya mtandaoni. Kupitia kasino ya mtandaoni kuna sloti ya kupiga hela kirahisi sana, cheza kasino ya mtandaoni mchezo wa Dream Catcher unaokupa nafasi ya kutimiza…

Read More

USHINDI UNAO MKONONI MWAKO LEO

Mechi za leo ni moto sana na zinaweza kukupatia ushindi mkali sana kuanzia pale Uingereza mpaka kule Saudia. Ingia kwenye akaunti yako na usuk ejamvi lako la ushindi hapa. Hispania kutakuwa na mchezo mmoja wa SUPER CUP kati ya Real Madrid vs RCD Mallorca ambao kwenye ligi wapo nafasi ya 6 huku Real wao wakiwa…

Read More

MASTAA HAWA OUT YANGA, KUIKOSA AL HILAL KIMATAIFA

WAKIWA kwenye maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wa kimataifa dhidi ya Al Hilal unaotarajiwa kuchezwa Jumapili ya Januari 12 2025 nchini Mauritania Yanga kutoka Tanzania itawakosa wachezaji watatu kwenye uwanja kwa kuwa hawapo kwenye mpango wa benchi la ufundi. Ni Uwanja wa de la Capitale watashuka Yanga chini ya Kocha Mkuu, Sead Ramovic kusaka pointi…

Read More

SIMBA YAPIGA HESABU NDEFU KIMATAIFA

MWENYEKITI wa Simba, Murtanza Mangungu amesema kuwa kwa sasa mpango mkubwa ni kupata matokeo kwenye mechi zijazo hivyo masuala ya kufikiria nani atapata nini kwa sasa iwekwe kando na badala yake nguvu iwe kwenye kupata ushindi. Ikumbukwe kwamba Simba ipo kwenye kundi ambalo lina ushindani mkubwa kwa timu tatu kuwa kwenye ubora katika mechi za…

Read More

YANGA WATUPA DONGO KIMTINDO UNYAMANI ISHU YA KIMATAIFA

“Kuna timu ambayo ipo kwenye mashindano na ina pointi 9 inaweza isitinge hatua ya robo fainali,” moja ya kauli ya Ofisa Habari wa Yanga, Ali Kamwe ikiwa ni kama dongo kimtindo kwa Simba amba oni watani zao wa jadi. Ikumbukwe kwamba Simba inapeperusha bendera ya Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kucheza mechi…

Read More

MASHABIKI SIMBA WAPEWA KAZI NZITO KIMATAIFA

“Kwenye mechi zetu mbili tulizocheza Uwanja wa Mkapa mashabiki hawakujitokeza kwa wingi hivyo kuelekea mchezo wetu wa funga kazi dhidi ya Costantine wajitokeze kwa wingi na tunahitaji kuona Uwanja wa Mkapa unajaa.” Ni maneno ya Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally ikiwa ni kazi maalumu kwa mashabiki wa timu hiyo inayopeperusha…

Read More

MZIZE KWENYE HESABU KUBWA KIMATAIFA

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Clement Mzize amesema kuwa furaha kubwa ni kuona wanaendelea kuwa kwenye mwendelezo wa kupata matokeo kwenye mechi za kimataifa ili kufanikisha malengo ya kutinga hatua ya robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika. Yanga ikiwa Uwanja wa Mkapa iliibuka na ushindi wa mabao 3-1 TP Mazembe huku kamba mbili zikifungwa na Mzize na…

Read More

MTAMBO WA KAZI YANGA WAREJEA KAMILI GADO

MWAMBA wa Lusaka Clatous Chama kiungo wa Yanga amerejea uwanja wa mazoezi baada ya kuwa nje kwa muda kwa kuwa hakuwa fiti. Chama alipata maumivu ya mkono katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya TP Mazembe uliochezwa Desemba 14 2024 na ubao ukasoma TP Mazembe 1-1 Yanga. Bao la Yanga lilifungwa na Prince…

Read More

MATAJIRI WA DAR WAMEANZA KAZI 2025

MATAJIRI wa Dar, Azam FC wamerejea mazoezini ndani ya mwaka mpya 2025 kuendeleza ushindani katika mechi zijazo kutoka Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba sita kwa ubora Afrika. Mchezo wa funga kazi 2024 kwa Azam FC ilikuwa dhidi ya JKT Tanzania uliochezwa Uwanja wa Azam Complex ilikuwa Desemba 27 2024 na baada ya dakika…

Read More