YANGA KWENYE KAZI KWA MARA NYINGINE TENA

BAADA ya kete ya kwanza kupoteza katika Mpumalanga Premier International Cup, Yanga inatarajiwa kuwa na kazi nyingine kusaka ushindi kwenye mchezo wa kimataifa wa kirafiki. Jumatano ya Julai 24 Yanga itakuwa na kibarua cha kusaka ushindi dhid ya TS GALAXY kwenye mchezo wa kimataifa wa kirafiki. Mechi hii itapigwa kuanzia saa 10:00 jioni inatarajiwa kurushwa…

Read More

SIMBA YAANZA KWA USHINDI HUKO

IKIWA ni mchezo wa kwanza wa kirafiki kwa Simba imepata ushindi mbele ya El Qanah Egypt kwa mabao 3-0 chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Kwenye mchezo huo ni Ahoua alitupia kambani mabao mawili dakika ya 14, 16 na Okejepha alitupia bao moja ikiwa ni mchezo wa kujipima nguvu. Bado kazi ipo kwa Simba kuelekea…

Read More

MENEJA WA KIBU DENNIS AFICHUA MAZITO

Meneja wa mshambuliaji wa Simba Sc, Kibu Dennis, Carlos amefichua kuwa mchezaji huyo yupo Ulaya licha ya kuwa amelipwa stahiki zake zote na haidai Simba Sc chochote huku akibainisha kuwa yeye binafsi (Meneja ) anaidai Simba ‘agency fee’ ya usajili wa Zimbwe Jr na Hussein Kazi ila kwa suala la kibu mwenye mamlaka ya kuliongelea…

Read More

TSH 2,500,000/= ZINAKUSUBIRI MERIDIANBET

Mamilioni Yabakusubiri! Meridianbet Kasino kwa Kucheza michezo iliyotengenezwa na Expanse, Shindano hilo linakupatia mgao mpaka 2,500,000/= Tsh. Jisajili na Meridianbet kwa ushidi mkubwa sana. Mwisho wa promosheni ya Shindano la Expanse Kasino washindi 40, watagawiwa bonasi za kasino na pesa taslimu kwenye kaunti zao za Meridianbet. ZAWADI ZIKOJE? Expanse Tournament inatoa mgao wa mamilioni kwa…

Read More

Unataka Kuwa Milionea? Cheza Kasino Sasa

Winning Clover 5 Extreme ni sloti ya kasino ya mtandaoni yenye nguzo tano zilizopangwa katika mistari mitatu, mistari mitano ya ushindi. Ili kupata ushindi wowote, ni lazima upate alama tatu au zaidi zinazofanana kwenye mstari wa malipo. Jisajili na Meridianbet ushinde Mamilioni.   Unapocheza kasino ya mtandaoni hii ukipata bahati ya kupata alama nyekundu ya…

Read More

Cheza Kasino Ushinde Mamilioni ya Expanse

Jisajili Meridianbet ushinde hadi Tsh 2,500,000/= kutoka shindano la Expanse, Michezo ya Kasino ya Mtandaoni inakupa nafasi ya kujitajirisha. Usipange kuikosa Promosheni Baab Kubwa.   Mwisho wa promosheni ya Shindano la Expanse Kasino washindi 40, watagawiwa bonasi za kasino na pesa taslimu kwenye kaunti zao za Meridianbet.   ZAWADI ZIKOJE?   Expanse Tournament inatoa mgao…

Read More

AZAM FC WANA IMANI KUBWA KINOMANOMA

HASHEEM Ibwe, Ofisa Habari wa Azam FC amesema kuwa maandalizi ambayo yanafanyika kuelekea msimu ujao yanawapa nguvu ya kuamini kwamba watafanya vizuri kwenye mashindano ambayo watashiriki. Azam FC inanolewa na Kocha Mkuu,Yusuph Dabo imeweka kambi Morocco kuelekea msimu mpya unaotarajiwa kuanza Agosti 16 2024 na ratiba ya Ngao ya Jamii tayari imeshatoka. Ngao ya Jamii…

Read More

KAMPUNI YA MICHEZO BETWINNER YAZINDULIWA TANZANIA

 KAMPUNI ya michezo ya kubashiri ya Betwinner imezinduliwa rasmi nchini Tanzania, ikileta fursa mpya na za kipekee kwa wateja wa michezo ya kubahatisha. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi, Mkurugenzi Mkuu wa Betwinner, Jesse Ndambala, amesema kuwa ujio wao umelenga kuwapa wateja Odds nzuri zaidi kulinganisha na kampuni nyingine za kubashiri. Ndambala amesisitiza kuwa Bet Winner…

Read More

ZAHANATI KAWE YANEEMESHWA NA MERIDIANBET

Kawe yaneemeka kupitia Meridianbet ndivyo unavyoweza kusema kwakua kampuni hiyo imefika eneo la Kawe na kufanikiwa kutoa msaada katika moja ya Zahanati eneo hilo. Huu umekua utaratibu wa miaka mingi kwa kampuni ya Meridianbet kuhakikisha inagusa yale maeneo yenye uhitaji, Awamu hii wamefanikiwa kuigusa moja ya Zahanati zinazopatikana katika eneo la Kawe jijini Dar-es-salaam. Mabingwa…

Read More

YANGA KAMILI KWA MECHI ZA KIMATAIFA AFRIKA KUSINI

NAHODHA msaidizi wa Yanga Dickson Job ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa mechi zote za kirafiki kimataifa ambazo watacheza nchini Afrika Kusini ikiwa ni mwendelezo wa maandalizi ya msimu wa 2024/25. Ipo wazi kwamba Job ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Miguel Gamondi anaingia kwenye orodha ya mchezaji wa kwanza kufunga bao ndani ya…

Read More