FIFA Yatangaza Mabadiliko 9 Mapya ya Sheria kuelekea Kombe la Dunia 2026
Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) kupitia bodi ya sheria za mchezo (IFAB) limetangaza mabadiliko mapya ya sheria tisa yatakayotumika kuelekea na wakati wa Kombe la Dunia 2026, hatua inayolenga kuongeza kasi ya mchezo, kupunguza upotevu wa muda na kuboresha matumizi ya VAR. Kombe la Dunia 2026 linatarajiwa kuanza Juni 11 huko Mexico City, na…