CHE MALONE AWAOMBA RADHI MASHABIKI WA SIMBA

Beki wa kimataifa kupitia ukurasa wake wa Instagram leo Januari 14, 2025 amewaomba radhi mashabiki wa Simba na wadau wa soka kutokana na makosa aliyoyafanya likiwemo lililoigharimu Simba Januari 13, 2025 nchini Angola dhidi ya Bravos. Kwenye mchezo huo, Simba ilipata sare ya 1-1 na kuipa nafasi ya kufuzu hatua ya robo fainali. Malone ameandika:…

Read More

USHINDI RAHISI NDANI YA MERIDIANBET KASINO

Sloti ya Wild Hot 40           Sloti ya Hot Wild 40 inakuja na bonasi ya mzinguko ya bure kama ukishinda, Jackpot za aina 3 huku ukiwinda ushindi wako kwa njia rahisi, yote haya yanawezekana kama ukicheza kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Moja kati ya mchezo ambao unakupa matumaini ya kuongeza hela kwenye dau lako uliloweka…

Read More

YANGA WATUMA UJUMBE HUU KIMATAIFA

KOCHA Mkuu wa Yanga, Sead Ramovic amesema kuwa lazima waonyeshe ukuaji wao kwa kuongeza umakini kwenye mchezo dhidi ya Al Hilal ambao ni wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Yanga inasaka pointi tatu kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika imekusanya pointi nne kwenye makundi ikiwa nafasi ya tatu inakutana na vinara Al Hilal wenye pointi…

Read More

YANGA KAMILI KIMATAIFA KUIKABLI AL HILAL

ALI Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa watafanya kazi kubwa kupata matokeo dhidi ya Al Hilal kutokana na ugumu uliopo kwenye hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Sead Ramovic tayari imeshatia timu nchini Mauritania kwa ajili ya maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa Januri 12 2025….

Read More

NYAKUA MILIONI MOJA KUPITIA SHINDANO LA MABINGWA LA EXPANSE

Nafasi ya kuhakikisha unaifanya Januari yako inakua nzuri na sio kama wengine wanavyoilalamikia unayo leo kwa kufanya jambo moja tu!! Jambo lenyewe ni kuhakikisha unashiriki shindano la mabingwa la Expanse kupitia Meridianbet ambalo litakupa fursa ta kushinda kitita kinono. Meridianbet kwa mara nyingine tena wanakuletea shindano la michuano ya kasino inayofahamika kama shindano la mabingwa…

Read More

WINGA DIALLO AONGEZA MKATABA MPYA MAN UTD HADI 2030

Winga Amad Diallo (22) raia wa Ivory Coast amesaini nyongeza ya mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia Manchester United hadi Juni 2030. “Nimekuwa na nyakati za ajabu na Man United tayari, lakini kuna mengi zaidi yanayokuja. Nina malengo makubwa katika mchezo huu.” ——imesema Amad ‘Ivorian Messi’ kama wanavyomuita baada ya kusaini mkataba huo.

Read More