
JKT TANZANIA INAFIKIRIA USHINDI DHIDI YA YANGA SC
JKT Tanzania kamili kwa mchezo dhidi ya Yanga SC Masau Bwire abainisha wazi kuwa wapo tayari kwa mapambano ndani ya uwanja Mkwakwani, Tanga dakika 90 za jasho kwa wababe wawili MASAU Bwire, Ofisa Habari wa JKT Tanzania amesema kuwa wanahitaji ushindi kwenye mchezo wa CRDB Federation Cup dhidi ya Yanga SC mchezo unaotarajiwa kuchezwa Mei…