Yanga SC 4-0 JKT Tanzania

Yanga SC imeibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo uliochezwa leo, Agosti 24, 2026, Uwanja wa KMC Complex,Mwenge, Dar. Ni Albert Kangwanda alifungua ukurasa wa mabao dakika ya 29,Ibrahim Bacca aliongeza bao la pili dakika ya 34, Chadrack Boka alifunga dakika ya 39. Mpaka dakika 45 za mwanzo zinakamilika ubao…

Read More

Non-Stop Blasts & Races: Cheza na Uingie Kwenye Nafasi Mpya za Kushinda

Uwanja wa zawadi umefunguliwa na Meridianbet imekuja na kitu kikubwa. Non-Stop Blasts & Races inatoa jumla ya TZS 75,000,000,000 katika zawadi, huku wachezaji wakipewa nafasi ya kushiriki mashindano mbalimbali na kukutana na zawadi zisizotarajiwa kupitia michezo iliyochaguliwa ya Playson. Mwanzo wa burudani unapatikana kwenye Power Blasts, ambapo bahati inaweza kukufuata ndani ya mchezo. Wachezaji wanaoshiriki…

Read More

Amka Na Mystic Guardians, Safari Ya Kumbukumbu Za Kale

Kuna wakati burudani inahitaji kitu zaidi ya mchezo wa kawaida, inahitajika safari inayokuvuta ndani yake. Hilo ndilo linalokuja kupitia Mystic Guardians, mchezo mpya kutoka Expanse unaopatikana Meridianbet. Ukiwa umejengwa kwenye msingi wa walinzi wa kale, nguvu za ajabu na ulimwengu wa mafumbo, mchezo huu unakualika kuchunguza kila kinachojificha nyuma yake. Mara tu unapochukua hatua kuingia…

Read More

Singida Black Stars 1-2 Simba SC

Mchezo umekamilika kwa wababe wawili katika msako wa pointi 3 muhimu ubao wa Uwanja wa Airtel umesoma Singida Black Stars 1-2 Simba SC. Wenyeji Singida Black Stars wamepata bao kupitia kwa nyota Shekhan Ibrahim ilikuwa dakika ya 23. Kwa upande wa Simba SC ambao walikuwa ugenini wamepata mabao kupitia kwa kiungo mshambuliaji Clatous Chama dakika…

Read More

NBC Premier League ratiba ya wiki ya 3

MZUNGUKO wa 3 msimu wa 2026/27  unaendelea na hii hapa ratiba ya wiki ya 3 Singida Black Stars vs Simba SC, Agosti 22,2026, Uwanja wa Airtel Geita Gold vs Kagera Sugar, Agosti 22,2026, Uwanja wa Bukombe Mbeya City vs Mashujaa FC, Uwanja wa Sokoine, Agosti 23,2026 Azam FC vs Pamba Jiji FC, Uwanja wa Azam…

Read More