Pirates Power: Mchezo wa Adventure Unaochanganya Bahati na Burudani

Kila mtu anatamani kuwa tajiri, lakini unajua kwamba utajiri wa kweli unapatikana baharini? Ndiyo, na sasa Meridianbet imeamua kukufanya baharia kupitia Pirates Power, mchezo unaokupa nafasi ya kuingia kwenye ulimwengu wa hazina na pesa nyingi. Meridianbet wameleta kitu cha kipekee kwa wapenzi wa ushindi, hapa unacheza na kushinda kibaharia. Kila dau lako linaweza kukuletea hadi…

Read More

FT: Mbeya City 0-0 Azam FC

UBAO wa Tanzanite Kwaraa, Manyara umesoma Mbeya City 0-0 Azam FC NBC Premier League leo Aprili 9, 2026. Wababe hawa wawili wamekamilisha dakika 90 bila kufungana kwenye mchezo wa leo uliokuwa na ushindani mkubwa ndani ya uwanja. Matokeo hayo yanaifanya Mbeya City kufikisha jumla ya pointi 17 ikiwa nafasi ya 12 huku Azam FC nafasi…

Read More

Usiku wa Maamuzi Europa leo Usiku: Nani Ataanza na Ushindi Muhimu? Villa vs Nottingham Forest, Freiburg vs Celta Vigo

Je unajua kuwa Aston Villa ni moja ya timu ambazo zinapigiwa chapuo kuchukua taji la Europa msimu huu?. Unai Emiry na vijana wake wamekuwa na kiwango kizuri sasa. Je wewe unawapa nafasi ipi? Bologna atamleta kwake Aston Villa kutoka kule Uingereza huku mechi hii ikionekana kuwa ya kibabe kabisa kwani timu hizi zote zinahitaji ushindi…

Read More

FT: TRA United 0-0 Simba SC

Ubao wa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid umesoma TRA United 0-0 Simba SC. Umiliki wa mpira ilikuwa ni asilimia 39 kwa wenyeji na wageni asilimia 61. Huu ni mchezo wa mzunguko wa kwanza ambao ulikuwa ni kiporo baada ya mwanzo mchezo huu kuahirishwa kutokana na mvua kubwa kunyeshwa. Matokeo hayo yanaifanya Simba SC kufikisha jumla…

Read More

FT: Pamba Jiji FC 0-3 Yanga SC

Dakika 90 zimekamilika kwenye mchezo wa leo huku ubao ukisoma Pamba Jiji FC 0-3 Yanga SC, Aprili 8, 2026 kwenye NBC Premier League, Uwanja wa CCM Kirumba. Magoli ya Yanga SC yamefungwa na Mudathir Yahya dakika ya 8 na 34 huku goli la tatu likifungwa na Maxi Nzengeli dakika ya 66 ya mchezo. Ni Allan…

Read More

Pamba Jiji 0-2 Yanga SC, NBC Premier Leagu

Pamba Jiji FC 0-2 Yanga SC NBC Premier League Aprili 8, 2026 Uwanja wa CCM Kirumba Magoli yamefungwa na  Mudathir Yahya dakika ya 8 na 34 Asisti zote zimetolewa na Allan Okello dk 8 na 34 Huu ni mchezo wa mzunguko wa pili 2025/26. Pamba Jiji FC wanatumia mfumo wa 4-3-3 huku Yanga SC wakitumia…

Read More