Rais wa Yanga SC Hersi Said Apewa Wadhifa wa Balozi wa Kiswahili
Bodi ya Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA) imemteua rasmi Rais wa Klabu ya Young Africans SC, Mhandisi Hersi Said, kuwa balozi wa Kiswahili ndani na nje ya mipaka ya Tanzania. Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa BAKITA, Bi. Consolata Mushi, uteuzi huo unamfanya Hersi Said kuwa miongoni mwa mabalozi watatu wa Kiswahili walioteuliwa na taasisi…