
MSIMU WA LIGI KUU YA TANZANIA BARA 2024/25: YANGA BINGWA, SIMBA WAFUATA
Msimu wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara 2024/25 umemalizika kwa kishindo kwa mchezo wa Kariakoo Derby, ambapo Yanga waliwafunga Simba 2-0 katika uwanja wa Mkapa. Pacome Zouzoua alifunga bao la kwanza kupitia penalti, na Clement Mzize akahitimisha ushindi huo kwa bao la pili dakika za lala salama. Ushindi huo uliwapa Yanga taji lao la 31…