Hii hapa ratiba ya NBC Premier League leo
LEO Aprili 4 NBC Premier League burudani inaendelea zikipigwa mechi tatu kubwa kwa wababe kusaka pointi 3 muhimu uwanjani. Aprili 4, 2026 Mashujaa FC vs Pamba Jiji Lake Tanganyika, saa 10:00 jioni Mashujaa FC kwenye msimamo ipo nafasi ya 11 na pointi zake ni 19 inawakaribisha Pamba Jiji FC walio nafasi ya 5 na pointi…