EXCLUSIVE INTERVIEW ALI KAMWE SEMAJI LA MABINGWA
Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga Sc, Ally Kamwe akizungumza ndani ya kipindi cha The Switch ndani ya Wasafi FM amejibu lililohoji ni ipi nafasi yake klabuni hapo na nafasi ya Haji Manara ni ipi? “Mtendaji Mkuu wa Yanga ndiye mwenye mamlaka wa kuelezea nafasi za watendaji wa Klabu ni Mtendaji mkuu, Andre Mtine, ila…