
CHEZA SUPER HELI NA UWE MIONGONI MWA WASHINDI WA SAMSUNG A25
Meridianbet, kampuni inayoongoza kwa michezo ya kubashiri na kasino mtandaoni nchini Tanzania, imezindua promosheni kabambe inayowapa wachezaji wake nafasi ya kujishindia zawadi ya simu mpya ya kisasa aina ya Samsung A25. Promosheni hii ni maalum kwa wachezaji wa Super Heli, mchezo wa kasino mtandaoni unaopata umaarufu mkubwa kutokana na urahisi wake wa kuchezeka na ushindi…