
HABARI KUBWA ZA MAGAZETI YA TANZANIA LEO MACHI 31, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Featured posts
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Watanzania 7 waliokuwa wakifanya kazi za ndani nchini Oman wamerejea nchini ambapo @zali_mapito aliwapokea na kuzungumza nao kuhusu maisha waliyopitia wakiwa nchini Oman na sababu zilizowarejesha nchini. Miongoni mwao yupo mwanadada Husna, ambaye amefanya kazi Oman kwa miaka 2, akiwa tayari ameshapitia kwenye nyumba za mabosi wake watatu. Husna ameeleza yote kuhusu kubadilisha mabosi hao…
Watu wawili (2) wamethibitika kuwa na maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Mpox nchini Tanzania. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Afya Jenista Mhagama kwenye taarifa kwa umma aliyoitoa Machi 10, 2025 akielezea mwenendo wa ugonjwa huo nchini. Waziri Mhagama amesema Machi 7, 2025 Wizara ya Afya kupitia mifumo yake ya ukusanyaji wa taarifa na…
Leo hii tarehe 25 mwezi Januari, Meridianbet imliamua kuwatembelea wakazi wa Magomeni Makuti na kuwapatia msaada wa vyakula ambavyo vitaweza kuwakimu kwenye maisha yao ya kila siku. Msaada huu ambao Meridianbet imetoa wa vyakula kwa jamii ya Magomeni Makuti, ikiwemo mchele, unga, maharage, mafuta ya kupikia, na bidhaa nyingine muhimu za kimsingi vitawasaidia sana. Msaada…
Kama ulikuwa unadhani umeona vingi au kufanya vingi, basi sahau kabisa bado kuna vingi sana huvijui na leo nakusogezea mchongo ambao huenda unaujua au huujui unahitaji kuufahamu, ni kutoka kasino ya mtandaoni. Kupitia kasino ya mtandaoni kuna sloti ya kupiga hela kirahisi sana, cheza kasino ya mtandaoni mchezo wa Dream Catcher unaokupa nafasi ya kutimiza…
Tanzania ni nchi iliyobarikiwa migondi mingi sana ya madini, na moja ya madini yenye thamani kubwa sana ni madini ya Almasi yanapatikana Zaidi Mwadui Mkoani Shinyanga pamoja na Maganzo. Meridianbet kasino ya mtandaoni kwa kutambua thamani ya madini haya imekuja na mchezo mpya wa kasino ya mtandaoni unaowahusu wachimba madini. Find The Diamonds ni mchezo…
Sloti ya 100 Super Icy ni moja ya Sloti ambazo zinapatikana kwa mabingwa wa michezo kubashiri kampuni ya Meridianbet ambayo kwa kiwango kikubwa imekua ikitoa washindi wa miheaa, Cheza leo Sloti hii leo umeweza kushinda kitita kizito. 100 Super Icy ni mchezo mpya wa sloti wenye kusisimua kutoka kwa watengenezaji wa michezo ya kasino ya…
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Januari 02, 2025 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuaga mwili wa marehemu Jaji Fredrick Werema ambaye aliwahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali katika kipindi cha kuanzia Mwaka 2009-2014. Mheshimiwa Waziri Mkuu amesema kuwa Rais Dkt. Samia amesikitishwa na kifo cha Jaji Werema na amemtaja kama kiongozi shupavu…
Kampuni ya Bittech kwa kushirikiana na KMC FC imefanya zoezi la kugawa vifaa vya shule kwa watoto yatima wa Umra. Zoezi hilo la utoaji ilifanyika katika kituo cha watoto yatima cha Umra kilichopo Magomeni Mikumi, ambapo watoto wengi walifaidika na msaada huo muhimu. Akizungumza katika zoezi hilo la utoaji wa vifaa vya shule, Mhariri wa…
Watu takriban 124 kati ya 181 hadi sasa wamethibitika kufariki dunia baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kupata ajali na kudondoka wakati inatua katika uwanja wa ndege wa Muan nchini Korea Kusini ilipokuwa ikitokea Bangkok, Thailand. Video mbalimbali mtandaoni zinaonesha ajali hiyo ya ndege aina ya Boeing 737-800 inayosimamiwa na Shirika la ndege la Jeju Air,…
Leo imekua siku nzuri kwa familia kadhaa katika eneo la Sinza Uzuri ambapo Meridianbet wamefika katika eneo hilo wakihakikisha wanarejesha furaha kwa familia hizo kwa kutoa mahitaji ambayo yatawasaidia. Meridianbet leo wamefika eneo la Sinza Uzuri jijini Dar-es-salaam na kuhakikisha wanatoa msaada wa mahitaji ya chakula kwa familia kadhaa ambazo hazina uwezo wa kutosha, Hii…
Wapenzi wa michezo ya kubashiri mnaalikwa kushiriki katika Mashindano ya Expanse Slot, yaliyopo mubashashara katika tovuti ya Meridianbet hadi Desemba 31, 2024. Tukio hili maalum linapatikana kwa wachezaji wote waliosajiliwa kwenye tovuti na programu ya Meridianbet. Washiriki wanayo nafasi ya kushiriki michezo mbalimbali ya Expanse slot na kushindania zawadi za kusisimua. Ili kushiriki mashindano haya,…
Katika harakati za kuhakikisha michezo inasonga mbele hasa mchezo wa mpira wa miguu wakali wa ODDS KUBWA Tanzania, Meridianbet leo hii wameamua kuwashika mkono timu ya mpira inayoitwa Jogoo Veteran ya Mbezi Juu. Kampuni inayoongoza katika sekta ya michezo na ubashiri Meridianbet, imetoa msaada wa jezi mpya kwa timu ya mpira ya Mbezi Juu, ikiwa…
SHABIKI wa Klabu ya Yanga na Manchester United, Bright Mwakasege ameshinda Sh20 million kupitia kasino maarufu ya LEONBET kwenye mchezo pendwa wa Aviator. Ushindi huu wa Mwakasege ambaye ni mkazi wa Dar es Salaam, umetokana na dau lake la Sh200 tu kwa kupata odds au multiplier x100000 – kitu ambacho ni nadra sana kutokea katika…
WATUMISHI wa magereza wameshauriwa kuwekeza kwa busara katika sekta mbalimbali wakiwa bado kazini, ili kujihakikishia maisha mazuri na endelevu baada ya kustaafu. Ikumbukwe kwamba kuna uwekezaji kwenye sekta mbalimbali ikiwa ni pamoja na michezo ambayo wapo wamiliki wa maduka ya vifaa vya michezo wanatengeneza mkwanja humo huku wakiwa wanaendelea na kazi pamoja na fursa mbalimbali…
ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa. Unasubiri nini?. Timu kibao zipo tayari kukupatia pesa. Ingia www.meridianbet.co.tz Ligi kuu ya Italia SERIE A kuna mechi za kukutajirisha sana ambapo mechi ya kwanza ni ya Inter Milan dhidi ya Parma. Ikumbukwe kuwa Inter ndio bingwa mtetezi wa ligi na sasa yupo nafasi ya 3…
Mkurugenzi Mteule wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika na Mbunge wa Kigamboni, Dkt. Faustine Ndugulile amefariki dunia. Dkt. Ndugulile amekutwa na mauti wakati akipatiwa matibabu nchini India. Ameandika Spika wa Bunge la Tanzania, Dkt. Tulia Ackson kupitia ukurasa wake wa mtandao wa X akiambatanisha na picha ya Dkt. Ndugulile, “I hate death” kwa…