ANAONDOKA YANGA SC KIUNGO WA KAZI AZIZ KI

INAELEZWA kuwa kiungo wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi, Aziz Ki anasepa mazima ndani ya kikosi hicho baada ya kupata ofa kutoka Wydad ambayo inahitaji huduma yake. Taarifa zinaeleza kuwa kuna uwezekano mkubwa kiungo huyo akaondoka mapema kujiunga na timu mpya kwa ajili ya changamoto mpya. Ki…

Read More

VIDEO: RICARDO MOMO NA SAKATA LA KARIAKOO DABI

MCHAMBUZI wa masuala ya michezo Bongo, Ricardo Momo ameweka wazi kuwa kuhusu Kariakoo Dabi sheria ifuatwe tu kutokana na yale ambayo yalitokea. Huku akibainisha kuwa kulikuwa na malalamiko kutoka Simba SC ambao nao walibainisha kuwa hawatacheza mechi zao zote majibu yanapaswa kupatiwa na bodi ya ligi taarifa yao iliyotolewa na Yanga SC nao wana malalamiko…

Read More

ISHU YA KIPA BORA YANGA SC YAMALIZA UTATA

UONGOZI wa Yanga SC umebainisha kuwa uwepo wa Djigui Diarra ambaye ni kipa namba moja kwenye timu hiyo kunaongeza somo kwa timu nyingine kutambua namna gani mlinda mlango bora anakuwa. Diarra msimu wa 2024/25 ni namba mbili kwa makipa ambao wamekusanya hati nyingi safi, (clean sheet) akiwa nazo 15 kinara ni kipa wa Simba SC,…

Read More

SIMBA YAFUNGUKIA ISHU YA MPANZU MKATABA WAKE

WINGA wa Simba SC ambaye ni chaguo la kwanza ndani ya kikosi hicho kinachotarajiwa kucheza mchezo wa hatua ya fainali dhidi ya RS Berkane, Mei 17 2025 anatajwa kuwa kwenye rada za Yanga SC kutokana na taarifa kueleza kuwa yupo hapo kwa mkopo. Baada ya taarifa hizo kuenea uongozi wa Simba SC umebainisha kuwa hakuna…

Read More

YANGA SC 3-0 NAMUNGO FC, JASHO ILIVUJA DAKIKA 90

MCHEZO wa mzunguko wa pili uliochezwa Uwanja wa KMC Complex baada ya dakika 90 ubao ulisoma Yanga SC 3-0 Namungo FC huku jasho likiwavuja wachezaji kwenye kutimiza majukumu yao. Hapa tunakuletea baadhi ya walichokifanya wachezaji wa timu zote mbili katika kutimiza majukumu yao ilikuwa namna hii:- Djigui Diarra  Djigui Diara alisepa na dakika 90 na…

Read More

HUSSNA AFICHUA MAZITO ALIYOKUTANA NAYO OMAN ALIPOISHI MIAKA 2 – AFIKA na WADADA WENGINE 6 AIRPORT…

Watanzania 7 waliokuwa wakifanya kazi za ndani nchini Oman wamerejea nchini ambapo @zali_mapito aliwapokea na kuzungumza nao kuhusu maisha waliyopitia wakiwa nchini Oman na sababu zilizowarejesha nchini. Miongoni mwao yupo mwanadada Husna, ambaye amefanya kazi Oman kwa miaka 2, akiwa tayari ameshapitia kwenye nyumba za mabosi wake watatu. Husna ameeleza yote kuhusu kubadilisha mabosi hao…

Read More