Matokeo Darasa la Saba 2025 Yatangazwa Yapo HAPA, Asilimia 81.8 ya Watahiniwa Wamefaulu

Dar es Salaam, Novemba 5, 2025 — Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Prof. Said A. Mohamed, ametangaza rasmi matokeo ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (MTEM) 2025 katika hafla iliyofanyika leo Jijini Dar es Salaam. Taarifa hiyo inaonesha kuwa kati ya watahiniwa 1,146,164 waliojihusisha na mtihani huo, watahiniwa 937,581 sawa…

Read More

Cheza Wild White Whale Ujishindie mizunguko ya Bure Kila Siku

Katika anga ya michezo ya kubashiri, Meridianbet inaendelea kuthibitisha kuwa ni mwamba usiotetereka. Kwa sasa, inakuletea promosheni kabambe kupitia mchezo wa kasino unaotikisa wa Wild White Whale. Ni promosheni ya mwezi mzima iliyoanza tarehe 01 na itaisha tarehe 31 mwezi Septemba ikiwa imesheheni ushindi na zawadi za papo hapo. Kila mteja aliyesajiliwa na Meridianbet ana…

Read More

ANAONDOKA YANGA SC KIUNGO WA KAZI AZIZ KI

INAELEZWA kuwa kiungo wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi, Aziz Ki anasepa mazima ndani ya kikosi hicho baada ya kupata ofa kutoka Wydad ambayo inahitaji huduma yake. Taarifa zinaeleza kuwa kuna uwezekano mkubwa kiungo huyo akaondoka mapema kujiunga na timu mpya kwa ajili ya changamoto mpya. Ki…

Read More