Yanga SC yataja siku ya beki wa kazi kurejea uwanjani
UONGOZI wa Yanga SC umebainisha kuwa nyota wa kikosi hicho ambaye hakuwa kwenye mechi za ushindani kwa muda mrefu anatarajiwa kurejea uwanjani rasmi 2026. Ni beki wa kupanda na kushuka Yao ambaye hajaonekana uwanjani msimu mzima wa 2024/25 na 2025/26 kwenye mechi za awali hakuwa katika mipango ya benchi la ufundi zaidi ya kuendelea na…