Serikali Yatoa Tamko Kuhusu Jezi Mpya Za Timu Za Taifa

Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imetoa ufafanuzi kuhusu jezi za timu za taifa kufuatia mjadala uliotokana na mchakato wa kuzibadilisha na kuishirikisha Wizara katika maelekezo yaliyotolewa mwezi Februari 2026. Katika taarifa yake ya Septemba 18, 2026, Wizara imesema Serikali inaendelea kuweka fedha nyingi katika maandalizi ya timu za taifa zinazoshiriki mashindano ya kimataifa,…

Read More

Zidane Aanza Rasmi Era Mpya ya Timu ya Taifa ya Ufaransa

KOCHA mpya wa timu ya taifa ya Ufaransa, Zinédine Zidane, ameanza rasmi ukurasa mpya baada ya kuchukua nafasi ya Didier Deschamps, aliyeondoka madarakani baada ya kuiongoza timu hiyo kwa miaka 14. Zidane alithibitishwa na Shirikisho la Soka la Ufaransa (FFF) Julai 28, 2026, kwa mkataba wa miaka minne. Zidane amesema wazi kwamba atafanya mambo kwa…

Read More

Real Betis, Getafe kukutana kwenye vita ya pointi LaLiga

Real Betis itakuwa mwenyeji wa Getafe katika mchezo wa ligi kuu ya uhispania Laliga utakaochezwa leo Alhamisi, Septemba 17, 2026, kwenye Uwanja wa Estadio La Cartuja mjini Sevilla. Mchezo huo wa raundi ya sita unatarajiwa kuanza saa 20:00 usiku. Betis inaingia kwenye mchezo huo ikiwa na matumaini ya kuendeleza kiwango kizuri kilichoanza kuonekana katika mechi…

Read More

Yamefungwa mabao 18 mzunguko wa 6

MOTO wa NBC Premier League unaendelea kwa msimu wa 2026/27 wenye ushindani mkubwa huku kila timu zikipambana kusaka ushindi. Kwenye mechi 8 zilizopigwa jumla yamefungwa mabao 18 huku mchezo uliokusanya mabao mengi ni ule uliowakutanisha Pamba Jiji FC 1-3 TRA United yalipokusanywa jumla ya mabao 4. Mchezo mmoja pekee wababe wawili waligawana pointi mojamoja kwa…

Read More

Magic Wheel Kukupa Raundi Ya Sekunde Chache, Ushindi Wa Uhakika

  Ukiona watu wakifuatilia gurudumu likizunguka bila kutaka kupepesa macho, huenda umefika kwenye Magic Wheel. Mchezo huu wa kasino umeleta aina nyingine ya burudani kwa wapenzi wa kubashiri, ukifanya kila raundi kuwa na presha yake. Kinachovutia zaidi ni kutokuwepo kwa uhakika wa mahali gurudumu litasimama, hivyo kila mzunguko unaanza kama ukurasa mpya wenye mwisho usiojulikana….

Read More

FT: Azam FC 0-2 Simba SC NBC Premier League

Azam FC 0-2 Simba SC ni matokeo rasmi mchezo wa NBC Premier League uliokuwa na ushindani mkubwa ndani ya uwanja dakika zote 90.  Mabao ya Simba SC yamefungwa na Fasika Idumba ambaye alijifunga dakika ya 58 na bao la pili limefungwa na Clatous Chama dakika ya 68. Unakuwa mchezo wa kwanza matajiri wa Dar wanapoteza…

Read More

Azam FC vs Simba SC huyu hapa mshindi

MLINDA mlango namba moja wa Azam FC, Aishi Manula amesema kuwa timu ambayo itacheza kwa umakini leo na kutumia nafasi uwanjani ina nafasi kubwa kupata ushindi. Leo Septemba 16, 2026 Azam FC vs Simba SC watamenyana Uwanja wa Azam Complex kwenye msako wa pointi 3 muhimu saa 1:00 usiku. Manula amesema: “Timu itakayocheza vizuri kwa…

Read More

Yanga SC 1-0 Geita Gold NBC Premier League

Yanga SC imevuna pointi tatu dhidi ya Geita Gold katika mchezo wa NBC Premier League uliochezwa Uwanja wa KMC Complex. Baada ya dakika 90, ubao wa Uwanja wa KMC Complex umesoma Yanga SC 1-0 Geita Gold, bao ka ushindi limefungwa na Oumar Kamara dakika ya 55 kwa pasi ya Maxi Nzengeli. Kiungo mshambuliaji Aziz Ki…

Read More

Sokabet yatumia Sh44.7 bilioni kuwazawadia washindi wa mwezi Agosti

Kampuni ya michezo ya kubashiri ya Sokabet imetumia jumla ya Sh44, 658,787,637 kuwazawadia washindi mbalimbali kwa mwezi Agosti. Hayo yamesemwa na Meneja Msaidizi wa Huduma kwa Wateja wa Sokabet Tanzania, Lazaro Mduma, wakati wa wa zoezi la kumkabidhi fedha mmoja wa washindi, akiwemo R. Likwawa ambaye alishindi Sh Sh143.1 milioni kupitia mchezo wa Shining Crown Mduma alisema…

Read More