Ronwen Williams Afikisha Michezo 550 Katika Soka la Ushindani
KIPA wa Mamelodi Sundowns, Ronwen Williams, amefikisha michezo 550 katika soka la ushindani, hatua inayoongeza rekodi muhimu katika safari yake ya soka. Williams, ambaye pia ni nahodha wa timu ya taifa ya Afrika Kusini, amekuwa miongoni mwa makipa wanaoheshimika barani Afrika kutokana na uwezo wake wa kuokoa mipira, kufanya michomo muhimu na kuwaongoza walinzi wake…