
SIMBA SC HESABU NDEFU KWENYE KOMBE LA AFRIKA, MEI 25 2025
WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa katika Kombe la Shirikisho Afrika, Simba SC hesabu kubwa ni kuona wanapata matokeo kwenye mchezo wa fainali utakaotoa maamuzi ya mshindi wa taji hilo baada ya kete ya kwanza kupigwa ugenini, Mei 17 2025. Hassan Dalali, Mwenyekiti wa zamani wa Simba SC ameweka wazi kuwa malengo makubwa ni…