Marekani Yaweka Masharti Mapya ya Usalama kwa Wageni wa Kombe la Dunia la 2026
Mamlaka za Marekani zimeunda kikosi kazi maalum (task force) kitakachosimamia usalama na uchunguzi mkali wa mashabiki, wachezaji na wageni wote watakaofika nchini Marekani wakati wa Kombe la Dunia la FIFA 2026. Hatua hiyo imekuja baada ya matukio kadhaa ya kuhojiwa na kucheleweshwa kwa watu wanaohusiana na michuano hiyo, ikiwemo mshambuliaji wa Iraq Aymen Hussein aliyekamatwa…