CHE MALONE AWAOMBA RADHI MASHABIKI WA SIMBA

Beki wa kimataifa kupitia ukurasa wake wa Instagram leo Januari 14, 2025 amewaomba radhi mashabiki wa Simba na wadau wa soka kutokana na makosa aliyoyafanya likiwemo lililoigharimu Simba Januari 13, 2025 nchini Angola dhidi ya Bravos. Kwenye mchezo huo, Simba ilipata sare ya 1-1 na kuipa nafasi ya kufuzu hatua ya robo fainali. Malone ameandika:…

Read More

NYAKUA MILIONI MOJA KUPITIA SHINDANO LA MABINGWA LA EXPANSE

Nafasi ya kuhakikisha unaifanya Januari yako inakua nzuri na sio kama wengine wanavyoilalamikia unayo leo kwa kufanya jambo moja tu!! Jambo lenyewe ni kuhakikisha unashiriki shindano la mabingwa la Expanse kupitia Meridianbet ambalo litakupa fursa ta kushinda kitita kinono. Meridianbet kwa mara nyingine tena wanakuletea shindano la michuano ya kasino inayofahamika kama shindano la mabingwa…

Read More

WINGA DIALLO AONGEZA MKATABA MPYA MAN UTD HADI 2030

Winga Amad Diallo (22) raia wa Ivory Coast amesaini nyongeza ya mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia Manchester United hadi Juni 2030. “Nimekuwa na nyakati za ajabu na Man United tayari, lakini kuna mengi zaidi yanayokuja. Nina malengo makubwa katika mchezo huu.” ——imesema Amad ‘Ivorian Messi’ kama wanavyomuita baada ya kusaini mkataba huo.

Read More

YANGA KAMILI KUWAVAA AL HILAL KIMATAIFA

KOCHA Msaidizi wa Yanga, Abdihamid Moalin amesema kuwa wanatambua mchezo wao dhidi ya Al Hilal utakuwa ni mgumu lakini wapo tayari kwa ajili ya kusaka pointi tatu muhimu kutokana na umuhimu wa mchezo huo kwa Yanga. Ikiwa Yanga itapata pointi tatu kwenye mchezo huo itabakiwa na mchezo mmoja Uwanja wa Mkapa ambao huo utaamua hatima…

Read More

USHINDI UNAO MKONONI MWAKO LEO

Mechi za leo ni moto sana na zinaweza kukupatia ushindi mkali sana kuanzia pale Uingereza mpaka kule Saudia. Ingia kwenye akaunti yako na usuk ejamvi lako la ushindi hapa. Hispania kutakuwa na mchezo mmoja wa SUPER CUP kati ya Real Madrid vs RCD Mallorca ambao kwenye ligi wapo nafasi ya 6 huku Real wao wakiwa…

Read More

MASTAA HAWA OUT YANGA, KUIKOSA AL HILAL KIMATAIFA

WAKIWA kwenye maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wa kimataifa dhidi ya Al Hilal unaotarajiwa kuchezwa Jumapili ya Januari 12 2025 nchini Mauritania Yanga kutoka Tanzania itawakosa wachezaji watatu kwenye uwanja kwa kuwa hawapo kwenye mpango wa benchi la ufundi. Ni Uwanja wa de la Capitale watashuka Yanga chini ya Kocha Mkuu, Sead Ramovic kusaka pointi…

Read More

SIMBA YAPIGA HESABU NDEFU KIMATAIFA

MWENYEKITI wa Simba, Murtanza Mangungu amesema kuwa kwa sasa mpango mkubwa ni kupata matokeo kwenye mechi zijazo hivyo masuala ya kufikiria nani atapata nini kwa sasa iwekwe kando na badala yake nguvu iwe kwenye kupata ushindi. Ikumbukwe kwamba Simba ipo kwenye kundi ambalo lina ushindani mkubwa kwa timu tatu kuwa kwenye ubora katika mechi za…

Read More

YANGA WATUPA DONGO KIMTINDO UNYAMANI ISHU YA KIMATAIFA

“Kuna timu ambayo ipo kwenye mashindano na ina pointi 9 inaweza isitinge hatua ya robo fainali,” moja ya kauli ya Ofisa Habari wa Yanga, Ali Kamwe ikiwa ni kama dongo kimtindo kwa Simba amba oni watani zao wa jadi. Ikumbukwe kwamba Simba inapeperusha bendera ya Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kucheza mechi…

Read More

MASHABIKI SIMBA WAPEWA KAZI NZITO KIMATAIFA

“Kwenye mechi zetu mbili tulizocheza Uwanja wa Mkapa mashabiki hawakujitokeza kwa wingi hivyo kuelekea mchezo wetu wa funga kazi dhidi ya Costantine wajitokeze kwa wingi na tunahitaji kuona Uwanja wa Mkapa unajaa.” Ni maneno ya Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally ikiwa ni kazi maalumu kwa mashabiki wa timu hiyo inayopeperusha…

Read More