City Wapoteza Uongozi, Everton Wavunja Ndoto za Ubingwa kwa Sare ya Kusisimua 3-3

Uwanja wa Hill Dickinson ulikuwa kimya kwa sekunde chache kabla ya kulipuka kwa kelele za mashabiki wa Everton. Ilikuwa jioni ambayo ilibadilika kutoka matumaini ya ushindi wa Manchester City hadi tamthilia ya kusisimua ya EPL msimu wa 2025/26. Manchester City walikuwa wameingia uwanjani wakijua hawana nafasi ya kupoteza pointi, wakipambana kumfikia vinara Arsenal katika mbio…

Read More

Wachezaji Man United Waendelea Kumsifia Carrick Baada ya Matokeo Mazuri

Matheus Cunha ameendelea kumiminia sifa kocha wa muda wa Manchester United, Michael Carrick, akisema anastahili kupewa kibarua cha kudumu kutokana na matokeo na mchango wake mkubwa ndani ya klabu hiyo. Carrick, ambaye aliwahi kuwa kiungo tegemeo wa Manchester United kwa zaidi ya mechi 400 akiwa mchezaji, amerudi Old Trafford kama kocha na ameonekana kuibadilisha timu…

Read More

Kagoma, Kibabage kuikosa Kariakoo Dabi?

NYOTA wa Simba SC Nikson Kibabage, Anicent Oura na Yusuph Kagoma uwezekano wa kuikosa Kariakoo Dabi kesho ni mdogo kulingana na maendeleao yao kuzidi kuwa imara. Awali wachezaji hao walileta mshtuko kutokana na maumivu ambayo walipata kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi, Muungano Cup 2026 dhidi ya Yanga SC, Uwanja wa New Amaan Complex. Ahmed Ally,…

Read More

Simba SC vs Yanga SC : Ukipoteza ubingwa unasuasua

Simba SC vs Yanga SC ni mchezo unaofuata kwenye NBC Premier League, Mei 3, 2026 kwa wababe hawa kusaka pointi tatu muhimu. Mohamed Hussen beki wa Yanga SC ameweka wazi kuwa mchezo wa kesho una maana kubwa kutokana na kushikilia alama muhimu za timu kutwaa ubingwa wa NBC Premier League. Yanga SC ni mabingwa watetezi,…

Read More

Kocha wa Yanga Atoa Onyo Kali Kabla ya Mchezo Dhidi Ya Simba

Kocha mkuu wa timu ya Yanga, Pedro Soares Gonçalves, leo Mei 2, 2026 amesema kikosi chake kimekuwa na muda wa kutosha kujiandaa kwa mchezo wa kesho, ambao anauona kuwa na changamoto tofauti na mechi ya awali kutokana na mazingira ya mashindano hayo. Akizungumza kuhusu maandalizi hayo, Gonçalves amesema timu imefanya tathmini ya makosa yaliyojitokeza katika…

Read More

Tuzo za Man of the Match Muungano Cup

Muungano Cup 2026 imefika tamati huku rekodi zikiwa zimeandikwa kwa wachezaji na Klabu ya Simba SC kutwaa taji hilo. Hapa tumekuletea orodha ya wachezaji waliotwaa tuzo ya Man of the Match katika kila hatua namna hii: Hatua Mechi/Timu husika Mchezaji aliyechaguliwa Robo fainali Yanga SC vs Muembe Makumbi Shekhan Khamis (Yanga SC) Nusu fainali Yanga…

Read More