Arsenal vs Atlético Madrid: Nani Atatinga Fainali Baada ya Sare ya 1-1 leo?
Mchezo wa nusu fainali mkondo wa pili wa UEFA Champions League kati ya Arsenal na Atletico Madrid unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa, huku timu hizo zikikutana leo Mei 5 saa 22:00 usiku. Mechi ya kwanza iliyopigwa katika dimba la Metropolitano Stadium nchini Hispania ilimalizika kwa sare ya 1-1, matokeo yanayoacha kila timu ikiwa na nafasi…