Yanga Yatikisa Bukombe, Wiki ya Mwananchi 2026 Yaingia Historia
Klabu ya Young Africans SC (Yanga) imeandika historia mpya baada ya kupeleka tamasha lake la Wiki ya Mwananchi 2026 nje ya Mkoa wa Dar es Salaam kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa hafla hiyo. Yanga SC ipo Ushirombo, Wilaya ya Bukombe mkoani Geita, kwa ajili ya uzinduzi na maadhimisho ya Wiki ya Mwananchi, tukio…