
THANK YOU SIMBA SC ZIMEPITA KWA MIAMBA HAWA MAZIMA
THANK You ndani ya kikosi cha Simba SC zinaendelea ambapo kuna mastaa ambao wamekutana nazo na wengine walianza wao kutoa hivyo hawatakuwa ndani ya timu hiyo kwa msimu wa 2025/26. Ni Fabrince Ngoma kiungo wa kazi alikuwa wa kwanza kutoa Thank You ambapo alibainisha kuwa walifanya kazi kwa ushirikiano ndani ya kikosi hicho licha ya…