TANZANIA PRISONS 0-5 YANGA SC, PACOME KATUPIA MBILI

UBAO wa Uwanja wa Sokoine, Mbeya ikiwa ni mchezo wa ligi mzunguko wa pili Yanga SC wamekomba pointi tatu muhimu ikiwa ugenini na kuendelea kujikita kileleni. Ubao umesoma Tanzania Prisons 0-5 Yanga SC, mabao ya Mudathir Yahya dakika ya 31, Clatous Chama dakika ya 35, Pacome dakika ya 56 na 76 huku Israel Mwenda akipachika…

Read More

KENGOLD 0-5 SIMBA SC, LIGI KUU BARA

UBAO wa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi umesoma KenGold 0-5 Simba SC ikiwa ni mchezo wa ligi mzunguko wa pili. Ni Juni 18 2025 mchezo huo umekamilika ambapo kipindi cha kwanza Simba SC ilifunga mabao ndani ya dakika 30 na kipindi cha pili kiungo mshambuliaji Ahoua alipachika bao moja kwenye mchezo huo. Mabao ya Simba…

Read More

KIKOSI CHA AZAM FC DHIDI YA TABORA UNITED

Kikosi cha Azam FC dhidi ya Tabora United, mzunguko wa pili Juni 18 2025 Uwanja wa Azam Complex saa 10:00 jioni kipo namna hii:- Zuberi Foba, Lusajo Mwaikenda, Pascal Msindo, Yoro Diaby, Yeison Fuentes. Yahya Zayd, Idd Nado, Sopu, Nassor Sasdun, Fei Toto na Gibril Sillah. Wachezaji wa akiba ni : Hamis, Chilambo, Zouzou, Samake,…

Read More

KIKOSI CHA YANGA SC KITAKACHOANZA DHIDI YA TANZANIA PRISONS

Kikosi cha Yanga SC vs Tanzania Prisons, Juni 18 2025, Uwanja wa Sokoine, Mbeya hiki hapa:- Djigui Diarra, Israel Mwenda, Boka, Job Dickson, Ibrahim Bacca. Khalid Aucho, Maxi Nzengeli, Mudathir Yahya, Prince Dube, Pacome Zouzoua na Clement Mzize. Hawa hapa wachezaji wa akiba:-Mshery Aboutwalib, Kibwana, Kibabage, Nondo, Juma, Andambilwe, Shekhan, Abuya, Chama, Ikanga Lombo. Imeandikwa…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA SC DHIDI YA KENGOLD

Hiki hapa kikosi cha Simba SC dhidi ya KenGold mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi:- Moussa Camara, Shomari Kapombe, Mohamed Hussen, Chamou, Che Malone, Yusuph Kagoma. Kibu Dennis, Mavambo, Leonel Ateba, Jean Ahoua, Ellie Mpanzu. Akiba ni Ally Salim, Duchu, Nouma, Okejapha, Ngoma, Mutale, Mukwala, Awesu, Alex, Bashir. Mchezo huu unatarajiwa…

Read More

YANGA SC YAZITAKA TATU ZA TANZANIA PRISONS

KOCHA Mkuu wa Yanga SC, Miloud Hamdi amesema kuelekea kwenye mchezo wao wa mzunguko wa pili dhidi ya Tanzania Prisons msimu wa 2024/25 ambacho wanahitaji ni pointi tatu muhimu ndani ya dakika 90. Yanga SC itakaribishwa na Tanzania Prisons kwenye mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Sokoine, Juni 18 2025 saa 10:00 ikiwa ni…

Read More

KENGOLD VS SIMBA SC HESABU KALI ZINAPIGWA

KUELEKEA kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara mzunguko wa pili kati ya KenGold vs Simba SC Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, hesabu kali zinapingwa kwa timu zote mbili kuhitaji kusepa na pointi tatu muhimu. Simba SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids walipokutana na KenGold Desemba 18 2024, ubao wa Uwanja wa KMC Complex ulisoma…

Read More

TFF YATOA MAELEKEZO KWA WAGOMBEA WA UCHAGUZI MKUU 2025

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limewataka waombaji wote wa nafasi ya uongozi kwenye Uchaguzi Mkuu wa TFF utakaofanyika Agosti 16 mwaka huu Jijini Tanga kuhakikisha wanakuwa na Kanuni za Uchaguzi. Taarifa ya leo Juni 17, 2025 iliyotolewa na TFF imeeleza kuwa wagombea hao wanapochukua fomu za kuwania uongozi katika uchaguzi huo wanatakiwa kuhakikisha…

Read More

SINGIDA BLACK STARS YAIPIGA MKWARA YANGA SC

UONGOZI wa Singida Black Stars umeweka wazi kuwa upo tayari kwa ajili ya kutwaa ubingwa mbele ya Yanga SC kwenye mchezo wa fainali CRDB Cup unaotarajiwa kuchezwa Juni 28, 2025 Uwanja wa New Amaan Complex ikiwa ni funga kazi msimu wa 2024/25. Husssen Masanza, Ofisa Habari wa Singida Black Stars ameweka wazi kuwa wanatambua kuna…

Read More

MERIDIANBET YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA UCHANGIAJI DAMU KWA KUENDELEZA MILA YA KIMATAIFA YA UWAJIBIKAJI WA KIJAMII (CSR)

Ikiwa ni mshirika wa Golden Matrix Group (NASDAQ: GMGI), Meridianbet kwa mara nyingine tena imeadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wachangia Damu kwa kuendesha kampeni ya kimataifa ya wafanyakazi kuchangia damu, kampeni ambayo sasa imekuwa sehemu ya utamaduni wa kampuni unaolenga kuleta mabadiliko ya kweli katika jamii. Ushiriki wa Wafanyakazi Uliojaa Maana: Kutoka Tendo Moja hadi…

Read More

KIPA CAMARA KUKUTANA NA THANK YOU SIMBA SC

MOUSA Camara kipa namba moja wa Simba SC anatajwa kuwa kwenye hesabu za kukutana na Thank You ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu,Fadlu Davids. Camara ni chaguo la kwanza ndani ya Simba SC ambayo ipo kwenye maandalizi kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KenGold unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi,…

Read More