OFISA HABARI WA AZAM FC ANALITAKA JIMBO

HASHEEM Ibwe, Ofisa Habari wa Klabu ya Azam FC inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara, ametangaza nia ya kuwania ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, (CCM) Ibwe amesema: “Salamu kwa Vijana wenzangu. Huu ni wakati wa kusimama imara, kuchukua nafasi na kuwa sehemu ya mabadiliko tunayoyataka kuyaona katika jamii zetu. Maendeleo hayaji kwa kusubiri, yanajengwa…

Read More

MBEBA MIKOBA YA CHAMA KWENYE MTEGO SIMBA SC

KIUNGO wa Simba SC, Deborah Mavambo ambaye ni ingizo jipya katika kikosi hicho kwa msimu uliogota mwisho wa 2024/25 yupo kwenye mtego ndani ya kikosi hicho kutokana na kiwango chake kuporomoka mwanzo mwisho. Nyota huyo kwenye mechi za awali alianza kuonyesha ubora wake lakini kadri siku zilivyokuwa zinazidi uwezo wake ulikuwa unaporomoka. Atakumbukwa kwenye mchezo…

Read More

SIMBA SC YASAKA KIPA KUMPA CHANGAMOTO CAMARA

SIMBA SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids raia wa Afrika Kusini ipo katika harakati za kumsajili kipa wa JKT Tanzania, Yakoub Seleman katika msimu ujao. Kipa namba moja kwa sasa ndani ya Simba SC ni Moussa Camara. Ni hati safi 19 amekusanya msimu wa 2024/25 akiwa kipa namba moja mwenye hati nyingi ndani ya…

Read More

MWENYE ZALI NA YANGA SC NI MABAO MANNE KAFUNGA

SIMBA SC haijawa na bahati mbele ya Yanga SC kwenye mechi za Kariakoo Dabi. Msimu wa 2024/25 haujawa bora kwao wakifungwa nje ndani ya mtani katika mechi za ligi. Rekodi zinaonyesha kuwa katika mechi ambazo wamekutana mkali wakucheka na nyavu ni Aziz Ki kwenye misimu mitano ya hivi karibuni kuanzia 2020/21. Ki kafunga jumla ya…

Read More

YANGA SC WALIPANIA KUIFUNGA SIMBA SC

Dickson Job nahodha msaidizi wa Yanga SC amesema kuwa walikuwa wanahitaji kuifunga Simba SC kwa namna yoyote ile ili kutwaa ubingwa wa msimu wa 2024/25 jambo ambalo lilifanikiwa Juni 25 2025 kwenye mchezo wa mzunguko wa pili. Simba SC ndani ya msimu wa 2024/25 imepishana na mataji yote iliyokuwa inapambania. Taji la CRDB Federation Cup…

Read More

JESHI LA YANGA SC DHIDI YA SIMBA SC, CHAMA BENCHI

KIUNGO Clatous Chama ameanzia benchi kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya Simba SC, Uwanja wa Mkapa ikiwa ni mzunguko wa pili. Wengine ni Mshery, Kibwana Shomari, Nondo, Farid Mussa, SureBoy, Willson, Shekhan, Ikangalombo na Mzize ambapo Yanga SC inahitaji sare ama ushindi kutwaa ubingwa. Wachezaji wa kikosi cha kwanza ni Djigui Diarra, Israel Mwenda,…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA SC DHIDI YA YANGA SC

SIMBA SC imefika Uwanja wa Mkapa kwa Kariakoo Dabi dhidi ya Yanga SC na kikosi kimeanza namna hii:- Moussa Camara, Shomari Kapombe, Mohamed Hussen Zimbwe Jr, Chamou Karaboue, Che Malone, Kagoma, Ellie Mpanzu, Fabrince Ngoma, Steven Mukwala, Jean Ahoua na Joshua Mutale Wachezaji wa akiba ni Ally Salim, Nouma, Hamza, Okejepha, Kibu, Mavambo, Ateba, Awesu,…

Read More

SIMBA SC: TUTAKUWEPO UWANJA WA MKAPA

YANGA SC vs Simba SC mechi namba 184 inatarajiwa kupigwa Uwanja wa Mkapa, Juni 25 2025 ikiwa ni mzunguko wa pili kwa wababe hawa kukutana ndani ya uwanja katika dakika 180. Kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba SC 0-1 Yanga SC.  Mchezo wa leo…

Read More