Usajili wa Kishindo! Yanga Yaleta Moto Kutoka Saudi Arabia na Zambia

Young Africans SC imeendelea kuimarisha kikosi chake kwa ajili ya msimu wa 2026/27 kwa kutambulisha rasmi wachezaji watatu wapya wenye uzoefu mkubwa wa kimataifa. Hizi ni rekodi zao: 🇫🇷 Cheikh Ibrahima Touré (29) – Mshambuliaji Yanga imemtambulisha mshambuliaji Cheikh Ibrahima Touré, raia wa Ufaransa, akitokea Al-Jabalain FC ya Saudi Arabia. Touré ni mshambuliaji mwenye uwezo…

Read More

Super Heli Premium: Safari ya Ushindi Yaanzia Meridianbet

Meridianbet inaleta burudani ya kiwango kipya kupitia Super Heli Premium, mchezo unaochanganya kasi, ubunifu na msisimko wa kipekee kwa wapenzi wa michezo ya kisasa. Huu ni uzoefu unaobadilisha namna ya kufurahia burudani ya kidijitali kwa mtazamo mpya kabisa. Kila mzunguko unapoanza, helikopta huonekana ikipaa angani, ikiongeza hamasa ya kuona hadi wapi safari ya ushindi inaweza…

Read More

Azam FC yatambulisha nyota mpya

Azam FC imekamilisha usajili wa kiungo Donovan Makoma rai awa Ufaransa kuwa katika kikosi hicho kuelekea msimu mpya wa 2026/27. Nyota huyu amesajiliwa akitokea Klabu ya Birkirkara ya Ligi Kuu Malta ikiwa ni mwendelezo wa kuongoeza nguvu kwenye kikosi hicho. Wengine ambao wametambulishwa Azam FC ni John Mano raia wa Sudan alitambulishwa Julai 21,2026 akitokea…

Read More

Wydad Yakanusha Taarifa za Simba Kuhusu Suleiman Mwalimu

Klabu ya Wydad Athletic Club ya Morocco leo Julai 22, 2026 imetoa taarifa rasmi ikikanusha madai yaliyotolewa na Simba SC kuhusu hali ya kimkataba ya kiungo Selemani Mwalimu, ikisisitiza kuwa taarifa hiyo haiakisi ukweli wa mkataba wa mchezaji huyo. Hatua ya Wydad imekuja baada ya Simba SC kuchapisha picha ikimuonyesha Selemani Mwalimu akisaini mkataba, ikiambatana…

Read More