MTAMBO WA KAZI YANGA WAREJEA KAMILI GADO

MWAMBA wa Lusaka Clatous Chama kiungo wa Yanga amerejea uwanja wa mazoezi baada ya kuwa nje kwa muda kwa kuwa hakuwa fiti. Chama alipata maumivu ya mkono katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya TP Mazembe uliochezwa Desemba 14 2024 na ubao ukasoma TP Mazembe 1-1 Yanga. Bao la Yanga lilifungwa na Prince…

Read More

MATAJIRI WA DAR WAMEANZA KAZI 2025

MATAJIRI wa Dar, Azam FC wamerejea mazoezini ndani ya mwaka mpya 2025 kuendeleza ushindani katika mechi zijazo kutoka Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba sita kwa ubora Afrika. Mchezo wa funga kazi 2024 kwa Azam FC ilikuwa dhidi ya JKT Tanzania uliochezwa Uwanja wa Azam Complex ilikuwa Desemba 27 2024 na baada ya dakika…

Read More

SIMBA MOTO ULEULE, WAWAVUTIA KASI WAPINZANI WAO KIMATAIFA

UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa ushindi mbele ya SC Sfaxinekwenye mchezo wa kimataifa uliochezwa nchini Tunisia sio mwisho wa mapambano kazi bado inaendelea katika mechi zijazo kimataifa. Kwenye mchezo huo Januri 5 2025 Simba ilipata ushindi wa bao 1-0 ambalo lilidumu mpaka mwisho wa mchezo mtupiaji akiwa ni kiungo mshambuliaji Jean Ahoua dakika ya 34…

Read More

Jumamosi Ya Kutimiza Ndoto Zako Hii Hapa

Baada ya kushuhudia mbilinge mbilinge za wikendi, sasa ni zamu ya kushuhudia wakali wengine wakichuana vikali siku ya leo. Kuanzia kule Uingereza, mpaka Italia kuna mechi za kukakata na shoka. Ingia www.meridianbet.co.tz na ubashiri sasa. Tukianza na Italia leo hii kuna fainali kubwa kabisa ya SUPER CUP kati ya Inter vs AC Milan ambayo hii…

Read More

DROO YA CHAN KUFANYIKA KENYA JANUARI 15, 2025

Shirikisho la soka Afrika (CAF) limetangaza kuwa droo ya michuano ya CHAN 2024 itafanyika nchini Kenya, huku kukiwa na shaka juu ya uenyeji wa michuano hiyo nchini humo. Michuano hiyo inayozikutanisha timu za taifa kwa upande wa wachezaji wanaocheza ligi za ndani, imepangwa kufanyika kuanzia tarehe 1 hadi 28 Februari 2025 katika nchi za Kenya,…

Read More

SIMBA YAWAPIGA WALIOFANYA FUJO KWA MKAPA

SIMBA Sc imechukua pointi tatu ugenini na kukwea kileleni mwa msimamo wa Kundi A la kombe la Shirikisho Afrika CAFCC huku CS Sfaxien wakiondolewa rasmi kwenye kinyang’anyiro cha kwenda robo fainali. CS Sfaxien πŸ‡ΉπŸ‡³ 0-1 πŸ‡ΉπŸ‡Ώ Simba ⚽ 34’ Ahoua 𝐅𝐔𝐋𝐋 π“πˆπŒπ„: CAFCC ASC Jaraaf πŸ‡ΈπŸ‡³ 0-0 πŸ‡§πŸ‡Ό Orapa United Stellenbosch πŸ‡ΏπŸ‡¦ 2-0 πŸ‡¦πŸ‡΄ CD…

Read More

SIMBA LICHA YA USHINDI KAZI BADO HAIJAISHA

IKIWA ugenini Januari 5 2025 Simba ilisepa na ushindi wa bao 1-0 na kukomba pointi tatu mazima kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya makundi. Ni Jean Ahoua kiungo wa Simba alifunga bao pekee katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya SC Sfaxine dakika ya 34 akitumia pasi ya Leonel Ateba….

Read More

GUSA ACHIA YA YANGA BALAA ZITO, MZIZE KWENYE RAMANI

GUSA achia twende kwao ya Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Sead Ramovic ina balaa zito baada ya pointi tatu kubaki Uwanja wa Mkapa huku mshambuliaji Clement Mzize akifunga moja ya bao kali ambalo limeandika rekodi yake kwa msimu wa 2024/25. Kwenye mchezo huo uliochezwa Januari 4 2025 Yanga walianza kufungwa ila wakaweka usawa kupitia kwa…

Read More

TENGENEZA FAIDA UKICHEZA SLOTI YENYE HADHI YA ULAYA

Sloti ya European Roulette Ikiwa na mandhari ya ulaya inakupa urahisi Zaidi wa kupiga mtonyo kwa dau lako uliloweka, ina namba 36 za ushindi hii ni sloti ya European Roulette kutoka kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Ingia mchezoni kusaka mawindo yako. European Roulette ni moja wa michezo ya kasino ya mtandaoni rahisi na inayopendwa na…

Read More

MAMELODI YAKUBALI KICHAPO LIGI YA MABINGWA

Mamelodi Sundowns imekubali kichapo cha 1-0 dhidi ya wenyeji, Raja Casablanca kwenye mchezo wa raundi ya nne wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika katika dimba la Larbi Zaouli. FT: Raja AC πŸ‡²πŸ‡¦ 1-0 πŸ‡ΏπŸ‡¦ Mamelodi Sundowns ⚽ 45+2’ Benamar Timu zote zimemaliza mchezo zikiwa pungufu wachezaji wawili wa Mamelodi Sundowns wakioneshwa kadi…

Read More

MWAMBA FEI TOTO NGOMA NZITO KUSEPA AZAM FC

NGOMA ni nzito kwa nyota wa Azam FC, Feisal Salum kusepa hapo kutokana na dau ambalo linahitajika kuwa zaidi ya milioni 500 kuvunja mkataba wake. Inatajwa kuwa matajiri kutoka Kariakoo ambao ni Simba na Yanga wapo kwenye rada za kuinasa saini ya kiungo huyo ambaye ni namba moja kwa pasi za mwisho Bongo. Ametoa pasi…

Read More

YANGA SIO KINYONGE KUWAKABILI TP MAZEMBE

KUTOKA ligi namba 6 kwa ubora Afrika, Yanga ambao ni mabingwa watetezi wa taji la ligi msimu wa 2024/25 wamebainisha kwamba wapo tayari kusaka pointi tatu mbele ya wapinzani wao TP Mazembe ambao tayari wameshatua ardhi ya Tanzania ukiwa ni mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Katika mchezo uliopita wa makundi wakiwa ugenini dhidi ya…

Read More

NUNO SANTOS JMEMDARI NDANI YA NOTTINGHAM FOREST

Kocha mkuu wa Nottingham Forest, Nuno Espirito Santo, ameleta mapinduzi makubwa kwenye klabu hiyo tangu alipojiunga na timu mwanzoni mwa msimu huu. Kwa ustadi wake na uzoefu wake wa kimataifa, Nuno ameweza kubadilisha mfumo wa timu, kuhakikisha inakuwa moja ya timu bora na zinazoshindana katika Premier League. Kwa kuingia kwa Nuno, Forest imeshuhudia mabadiliko makubwa…

Read More