NAMNA MAYELE ALIVYOIVUNJA REKODI YA BOCCO
FISTON Mayele, mshambuliaji namba moja ndani ya kikosi cha Yanga amevunja rekodi ya staa wa Simba, John Bocco kwenye suala la ufungaji na pasi za mabao. Bocco msimu wa 2020/21 aliweza kutupia mabao 16 na pasi mbili na aliweza kuibuka mfungaji bora ambaye anatetea kiatu chake hicho. Msimu huu Bocco kafunga mabao matatu na hajatoa…