SIMBA HESABU ZAO KIMATAIFA ZIPO HIVI
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kwa sasa akili zao ni kuelekea mchezo wao wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Orlando Pirates. Aprili 17,2022 Simba itakuwa na mchezo wa kusaka ushindi dhidi ya Orlando Pirates Uwanja wa Mkapa unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Akizungumza mbele ya Waandishi wa Habari,Ofisa Habari wa Simba, Ahmed Ally amesema…