Home Sports BREAKING:SAID NTIBANZOKIZA NA AMBUNDO WATIMULIWA KAMBINI

BREAKING:SAID NTIBANZOKIZA NA AMBUNDO WATIMULIWA KAMBINI

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kwamba nyota wao wawili, Dickson Ambundo na Said Ntibanzokiza wameondolewa kambini na Kocha Mkuu, Nasreddine NabI.

Ofisa Habari wa Yanga, Haji Manara amesema kuwa Nabi ameamua kuwasisimamisha wachezaji hao na wakirudi Dar watafanya mazungumzo ili kujua nini ilikuwa tatizo

Previous articlePABLO AWAPA KAZI MAALUMU MABEKI WAKE
Next articleAZAM FC WAIFUATA COASTAL UNION ARUSHA