Yanga Yafanya Maboresho Makubwa ya Benchi la Ufundi Kabla ya Msimu Mpya
Klabu ya Yanga imeendelea kuimarisha benchi lake la ufundi kwa kuwatambulisha Simo Dladla kuwa kocha msaidizi na Kagisho Dikgacoi kuwa mtaalamu wa mipira iliyokufa (set pieces), ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya msimu mpya wa mashindano. Simo Dladla atafanya kazi kwa karibu na kocha mkuu Manqoba Mngqithi, akileta uzoefu alioupata katika vilabu mbalimbali vya Afrika…