Yanga Yawatambulisha Hussein Mihambo na Abdulnassir ‘Gamal’ Kutoka Mashujaa FC

Klabu ya Young Africans SC imeendelea kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu mpya baada ya kutangaza rasmi usajili wa wachezaji wawili kutoka Mashujaa FC ya Kigoma. Yanga imemaliza usajili wa mshambuliaji Hussein Mihambo, ambaye anajiunga na mabingwa hao wa Tanzania Bara kwa lengo la kuongeza nguvu kwenye safu ya ushambuliaji kufuatia kuondoka kwa mshambuliaji Prince Mpumelelo…

Read More

Breaking: Yanga SC yatambulisha mshambuliaji mpya

RASMI mabingwa watetezi wa NBC Premier League wametambulisha mshambuliaji mpya ikiwa ni maandalizi kuelekea msimu wa 2026/27 unaotarajiwa kuwa na ushindani mkali. Nyota huyu anakuwa wa pili kutambulishwa kutoka kwa watoto wa Jangwani ambao wamebainisha kwamba wamekamilisha usajili wa nyota wapya zaidi ya wawili. Huyu anaitwa Hussen Mihambo aliyekuwa anakipiga ndani ya kikosi cha Mashujaa…

Read More

Simba SC yatambulisha wapya wawili

KUELEKEA msimu wa 2026/27 Simba SC imetambulisha nyota wapya wawili ambao imekamilisha usajili ikiwa ni maandalizi kwa mechi zijazo za ushindani. Simba SC itafungua mchezo wa kwanza wa NBC Premier League kwa kumenyana na Kagera Sugar , Agosti 16,2026 ikiwa ni mchezo wa kwanza kwenye msimu mpya. Wachezaji wote wawili ambao wametambulishwa wametoka timu za…

Read More

FIFA Yamtangaza Mwamuzi wa Fainali ya Kombe la Dunia 2026 Argentina vs Hispania Kesho

hirikisho la Soka Duniani (FIFA) limemtangaza mwamuzi kutoka Slovenia, Slavko Vinčić, kuwa ndiye atakayechezesha fainali ya Kombe la Dunia 2026 kati ya mabingwa watetezi Argentina na Hispania, itakayopigwa kesho Jumapili Julai 18, 2026. Vinčić mwenye umri wa miaka 46 anapewa jukumu hilo miaka miwili baada ya kuchezesha fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA Champions…

Read More