Ndoto Yafutika! FIFA Yathibitisha Omar Artan Hatakuwepo Kombe la Dunia 2026

Shirikisho la Soka Duniani, FIFA limethibitisha kuwa mwamuzi wa Somalia, Omar Abdulkadir Artan, hatachezesha mechi za Kombe la Dunia 2026 baada ya kunyimwa kuingia nchini Marekani. Kwa mujibu wa FIFA, Artan hataweza kufanya mazoezi wala kuchezesha mashindano hayo kufuatia uamuzi wa mamlaka za Marekani kutomruhusu kuingia nchini humo, licha ya kuripotiwa kuwa alikuwa na visa…

Read More

Ruby Play Yaongeza Msisimko Mpya wa Ushindi Mtandaoni

Kuna wakati ambapo nafasi moja tu inaweza kubadilisha siku yako, na Ruby Play kupitia Meridianbet imeleta nafasi hiyo karibu zaidi kuliko wakati mwingine wowote. Hapa ndipo burudani na ushindi vinapokutana katika mazingira yenye msisimko wa hali ya juu. Ruby Play imebuni michezo inayovutia macho na kuwafanya wachezaji wajisikie kama sehemu ya hadithi kubwa. Kuanzia michoro…

Read More

Nahodha Yanga SC: Kila mtu ashinde mechi zake

BAKARI Nondo nahodha wa Yanga SC amesema kwa sasa kila mtu ashinde mechi zake ndani ya NBC Premier League kutokana na ushindani uliopo. Ni Yanga SC hawa ni vinara wakiwa na pointi 60 baada ya mechi 25, kwenye msimamo wanafuatiwa na Simba SC yenye pointi 58 tofauti ya pointi 2. Timu zote zimecheza mechi 25…

Read More

Fahamu Maajabu ya Mpira wa Kombe la Dunia 2026 Adidas “Trionda”

Kombe la Dunia 2026 litakumbukwa si tu kwa ukubwa wake wa kushirikisha mataifa matatu, bali pia kwa ubunifu wa kisasa katika mpira utakaotumika. Mpira huo mpya unaitwa Adidas Trionda, na umebeba teknolojia, ubunifu wa kisanii, na maana ya kipekee inayowakilisha historia ya mashindano haya. Jina “Trionda” lina maana ya mataifa matatu Jina Trionda limetokana na…

Read More

Singida Black Stars warejea mzigoni

SINGIDA Black Stars wamerejea mzigoni ikiwa ni maandalizi kuelekea mechi 5 ambazo zimesalia ndani ya NBC Premier League 2025/26. Timu hiyo inapambana kumaliza katika nafasi nne za juu huku ikifuatiliwa kwa ushindani mkubwa na JKT Tanzania ambayo ipo nafasi ya 5. Ukitazama msimamo unaonyesha Singida Black Stars nafasi ya 4 na pointi 41 inafuatiwa na…

Read More