Yanga Yakaribia Kumnasa Oumar Farouk Comara Kutoka Golden Arrows
Yanga SC inaendelea kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu mpya, huku ikiwa hatua za mwisho kukamilisha usajili wa beki wa kati wa klabu ya Golden Arrows, raia wa Ivory Coast, Oumar Farouk Comara (25). Kwa mujibu wa taarifa zilizopo, makubaliano binafsi kati ya mchezaji huyo na Yanga tayari yamefikiwa. Kinachosalia kwa sasa ni klabu hiyo ya…