KIKOSI CHA SIMBA SC DHIDI YA YANGA SC

SIMBA SC imefika Uwanja wa Mkapa kwa Kariakoo Dabi dhidi ya Yanga SC na kikosi kimeanza namna hii:- Moussa Camara, Shomari Kapombe, Mohamed Hussen Zimbwe Jr, Chamou Karaboue, Che Malone, Kagoma, Ellie Mpanzu, Fabrince Ngoma, Steven Mukwala, Jean Ahoua na Joshua Mutale Wachezaji wa akiba ni Ally Salim, Nouma, Hamza, Okejepha, Kibu, Mavambo, Ateba, Awesu,…

Read More

SIMBA SC: TUTAKUWEPO UWANJA WA MKAPA

YANGA SC vs Simba SC mechi namba 184 inatarajiwa kupigwa Uwanja wa Mkapa, Juni 25 2025 ikiwa ni mzunguko wa pili kwa wababe hawa kukutana ndani ya uwanja katika dakika 180. Kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba SC 0-1 Yanga SC.  Mchezo wa leo…

Read More

SHINDA SAMSUNG A25 KWA KUSHIRIKI SUPER HELI

Wewe ni mmoja wa wanaotafuta nafasi ya kujishindia zawadi yenye thamani? Meridianbet imekuandalia promosheni kabambe ambapo unaweza kuibuka mshindi wa simu mpya aina ya Samsung A25 kwa kucheza mchezo wa kusisimua wa Super Heli. Kuanzia tarehe 1 hadi 30 Juni, washindi wawili watajinyakulia simu hizi kila Jumatatu kwa kushiriki tu kwenye mchezo huu wa kasino…

Read More

YANGA SC: MCHEZO WA DABI HAUTAKI MANENO

MILOUD Hamdi, Kocha Mkuu wa Yanga SC amesema kuwa kuelekea kwenye mchezo wao wa Kariakoo Dabi dhidi ya Simba SC wanatambua ugumu wa mchezo huo ambao hauhitaji maneno zaidi ya utendaji kwa wachezaji kutafuta ushindi. Ni mchezo wa mzunguko wa pili msimu wa 2024/25. Katika ule mzunguko wa kwanza baada ya dakika 90 ubao ulisoma…

Read More

SHINDA SAMSUNG A25 KWA KUSHIRIKI SUPER HELI

Meridianbet inakuletea shindano la kuvutia ambapo unaweza kujishindia simu mpya ya Samsung A25 kwa kucheza mchezo wa kusisimua wa Super Heli. Kuanzia tarehe 1 Juni hadi 30 Juni, washindi wawili kila Jumatatu watajinyakulia simu mpya kwa kushiriki kwenye huu mchezo wa kasino ya mtandaoni. Super Heli si tu burudani ya kipekee, bali pia ni njia…

Read More