
KIKOSI CHA SIMBA SC DHIDI YA YANGA SC
SIMBA SC imefika Uwanja wa Mkapa kwa Kariakoo Dabi dhidi ya Yanga SC na kikosi kimeanza namna hii:- Moussa Camara, Shomari Kapombe, Mohamed Hussen Zimbwe Jr, Chamou Karaboue, Che Malone, Kagoma, Ellie Mpanzu, Fabrince Ngoma, Steven Mukwala, Jean Ahoua na Joshua Mutale Wachezaji wa akiba ni Ally Salim, Nouma, Hamza, Okejepha, Kibu, Mavambo, Ateba, Awesu,…