Allan Okello mtambo wa mabao NBC Premier League
Allan Okello kiungo mshambuliaji wa Yanga SC ni mtambo wa mabao ndani ya NBC Premier League 2025/26. Nyota huyo raia wa Uganda ni ingizo jipya katika kikosi hicho akiwa ametambulishwa dirisha dogo ana uwezo wakufunga na kutengeneza pasi za magoli. Ni magoli 11 na kutengeneza pasi 7 akihusika kwenye magoli 18 kati ya 60 ambayo…