KMC FC vs Tanzania Prisons balaa zito leo

KMC FC vs Tanzania Prisons ni balaa zito leo ndani ya NBC Premier League inayotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC Complex, saa 1:00 usiku. Utamu wa mechi ya leo unanogeshwa na vita yakupambana kushuka daraja kwa timu zote mbili ambapo wenyeji KMC FC wanaburuza mkiwa wakiwa na pointi 8 kwenye msimamo wa ligi. Tanzania Prisons ipo…

Read More

Fountain Gate vs Simba SC

Fountain Gate vs Simba SC ni mchezo unaofuata kwenye ratiba kwa wababe hawa kusaka pointi 3 ndani ya dakika 90. Fountain Gate kwenye msimamo ipo nafasi ya 14 ikiwa na pointi 16 baada ya mechi 17 ipo kwenye mstari wa kucheza play off. Simba SC ipo nafasi ya pili kwenye msimamo ikiwa na pointi 36…

Read More

UEFA Champions League: Atletico na PSG Kwenye Hatua ya Maamuzi Leo

Timu za Atletico Madrid na Paris Saint-Germain zinaingia dimbani leo usiku zikiwa na faida muhimu ya matokeo, zikisaka kulinda ushindi wao na kutinga nusu fainali ya UEFA Champions League. Atletico Madrid watakuwa nyumbani katika dimba la Wanda Metropolitano wakiwa mbele kwa mabao 2-0 dhidi ya Barcelona, hali inayowapa uhuru wa kucheza kwa tahadhari huku wakilinda…

Read More

Cardi B Aibua Mjadala Mkubwa Kuhusu Kifo cha Ashlee Jenae Kilichotokea Zanzibar

Rapa wa Marekani Cardi B amezua mjadala mkubwa mtandaoni baada ya kuzungumzia kifo cha influencer wa mitindo ya maisha, Ashlee Jenae, aliyefariki akiwa Zanzibar siku chache zilizopita. Kupitia chapisho lake kwenye mtandao wa X, Cardi B alipinga vikali taarifa zilizodai kuwa Ashlee alijiua, akisisitiza kwa maneno makali: “Msichana huyo hakujiua.” Kauli hiyo ilisambaa kwa kasi…

Read More

Baada ya Miaka 23, Prince Harry Arejea Uwanjani Sydney Kwenye Mechi ya Raga

Baada ya miaka 23 kupita, Prince Harry anatarajiwa kurejea kwenye uwanja wa raga jijini Sydney  tukio linaloamsha kumbukumbu za ushindi mkubwa wa England national rugby union team kwenye Rugby World Cup 2003. Miaka hiyo, Harry alikuwepo uwanjani wakati Jonny Wilkinson alipofunga drop goal ya mwisho iliyowapa ushindi England dhidi ya Australia national rugby union team…

Read More

Azam FC 4-0 Fountain Gate FC

Azam FC 4-0 Fountain Gate FC ni matokeo rasmi kwenye mchezo wa leo Aprili 12, 2026 Uwanja wa Azam Complex ikiwa ni hatua ya 16 bora. Matajiri wa Dar waligawa mchezo kwa kila dakika 45 wakipata magoli mawili ambapo walikwenda mapumziko ubao ukisoma Azam FC 2-0 Fountain Gate na kipindi cha pili wakaongeza magoli mawili….

Read More

Singida Black Stars 5-1 Mbeya City FC

Singida Black Stars 5-1 Mbeya City FC matokeo ya mchezo wa leo Aprili 12, 2026 kwenye hatua ya 16 bora CRDB Federation Cup. Ni mchezo ambao umechezwa Uwanja wa Airtel huku wenyeji Singida Black Stars wakikata tiketi yakutinga hatua ya robo fainali kwa ushindi mnono dhidi ya wageni ndani ya dakika 90. Magoli ya Singida…

Read More

Yanga SC 1-0 TMA Stars CRDB Federatin Cup

Yanga SC 1-0 TMA Stars CRDB Federatin Cup ni matokeo ya mchezo wa leo hatua ya 16 bora ambao umechezwa Uwanja wa KMC Complex. Goli la ushindi la Yanga SC limefungwa na kiungo mshambuliaji Maxi Nzengeli dakika ya 69 ya mchezo. Ni wazi kuwa Yanga SC ni mabingwa watetezi wa taji hilo hivyo wanaendelea safari…

Read More