Azam FC 4-0 Fountain Gate FC

Azam FC 4-0 Fountain Gate FC ni matokeo rasmi kwenye mchezo wa leo Aprili 12, 2026 Uwanja wa Azam Complex ikiwa ni hatua ya 16 bora. Matajiri wa Dar waligawa mchezo kwa kila dakika 45 wakipata magoli mawili ambapo walikwenda mapumziko ubao ukisoma Azam FC 2-0 Fountain Gate na kipindi cha pili wakaongeza magoli mawili….

Read More

Singida Black Stars 5-1 Mbeya City FC

Singida Black Stars 5-1 Mbeya City FC matokeo ya mchezo wa leo Aprili 12, 2026 kwenye hatua ya 16 bora CRDB Federation Cup. Ni mchezo ambao umechezwa Uwanja wa Airtel huku wenyeji Singida Black Stars wakikata tiketi yakutinga hatua ya robo fainali kwa ushindi mnono dhidi ya wageni ndani ya dakika 90. Magoli ya Singida…

Read More

Yanga SC 1-0 TMA Stars CRDB Federatin Cup

Yanga SC 1-0 TMA Stars CRDB Federatin Cup ni matokeo ya mchezo wa leo hatua ya 16 bora ambao umechezwa Uwanja wa KMC Complex. Goli la ushindi la Yanga SC limefungwa na kiungo mshambuliaji Maxi Nzengeli dakika ya 69 ya mchezo. Ni wazi kuwa Yanga SC ni mabingwa watetezi wa taji hilo hivyo wanaendelea safari…

Read More

Pirates Power: Mchezo wa Adventure Unaochanganya Bahati na Burudani

Kila mtu anatamani kuwa tajiri, lakini unajua kwamba utajiri wa kweli unapatikana baharini? Ndiyo, na sasa Meridianbet imeamua kukufanya baharia kupitia Pirates Power, mchezo unaokupa nafasi ya kuingia kwenye ulimwengu wa hazina na pesa nyingi. Meridianbet wameleta kitu cha kipekee kwa wapenzi wa ushindi, hapa unacheza na kushinda kibaharia. Kila dau lako linaweza kukuletea hadi…

Read More

FT: Mbeya City 0-0 Azam FC

UBAO wa Tanzanite Kwaraa, Manyara umesoma Mbeya City 0-0 Azam FC NBC Premier League leo Aprili 9, 2026. Wababe hawa wawili wamekamilisha dakika 90 bila kufungana kwenye mchezo wa leo uliokuwa na ushindani mkubwa ndani ya uwanja. Matokeo hayo yanaifanya Mbeya City kufikisha jumla ya pointi 17 ikiwa nafasi ya 12 huku Azam FC nafasi…

Read More

Usiku wa Maamuzi Europa leo Usiku: Nani Ataanza na Ushindi Muhimu? Villa vs Nottingham Forest, Freiburg vs Celta Vigo

Je unajua kuwa Aston Villa ni moja ya timu ambazo zinapigiwa chapuo kuchukua taji la Europa msimu huu?. Unai Emiry na vijana wake wamekuwa na kiwango kizuri sasa. Je wewe unawapa nafasi ipi? Bologna atamleta kwake Aston Villa kutoka kule Uingereza huku mechi hii ikionekana kuwa ya kibabe kabisa kwani timu hizi zote zinahitaji ushindi…

Read More

FT: TRA United 0-0 Simba SC

Ubao wa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid umesoma TRA United 0-0 Simba SC. Umiliki wa mpira ilikuwa ni asilimia 39 kwa wenyeji na wageni asilimia 61. Huu ni mchezo wa mzunguko wa kwanza ambao ulikuwa ni kiporo baada ya mwanzo mchezo huu kuahirishwa kutokana na mvua kubwa kunyeshwa. Matokeo hayo yanaifanya Simba SC kufikisha jumla…

Read More