Skip to content
Wednesday, June 17, 2026
  • Namungo FC 0-0 TRA United
  • Azam FC 2-0 Mashujaa FC
  • Mbappe vs Mane! Vita ya Mabingwa Kuwasha Moto Kombe la Dunia Leo
  • Ratiba ya NBC Premier League

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Namungo FC 0-0 TRA United
  • Azam FC 2-0 Mashujaa FC
  • Mbappe vs Mane! Vita ya Mabingwa Kuwasha Moto Kombe la Dunia Leo
  • Ratiba ya NBC Premier League

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • International

International

  • International
  • Sports

Mbappe vs Mane! Vita ya Mabingwa Kuwasha Moto Kombe la Dunia Leo

Saleh19 hours ago03 mins

Huku mechi za leo zikiwa na ushindani wa kuvutia kabisa, na wewe una nafasi ya kupata pesa za kuvutia kwani tayari Meridianbet imeshaweka machaguo uyapendayo kwa kila mechi. Jisajili na ubeti hapa. Anza kutengeneza mkwanja kwenye mechi ya Saudi Arabia dhidi ya Uruguay ambapo wakali wa ubashiri kwenye mtanange huu wanampa nafasi kubwa ya kushinda…

Read More
  • International
  • Sports

Spain Kushuka Dimbani leo Kumaliza Hesabu za Cape Verde, Nani kuibuka Mshindi?

Saleh2 days ago02 mins

Leo ndiyo ile siku ya Mchezo kati ya Spain dhidi ya Cape Verde utakaopigwa leo Juni 15 saa 19:00 usiku unatarajiwa kuwa mmoja wa mechi zinazovutia macho ya mashabiki wengi ulimwenguni kote. Spain inaingia ikiwa miongoni mwa timu zinazopigiwa upatu mkubwa kufika mbali kwenye mashindano haya kutokana na ubora wa kikosi chao, huku Cape Verde…

Read More
  • International
  • Sports

Iran Yakumbwa na Changamoto za Visa Kabla ya Mechi na New Zealand

Saleh2 days ago2 days ago02 mins

Kocha wa timu ya taifa ya Iran, Amir Ghalenoei, amesema mvutano wa kisiasa pamoja na matatizo ya upatikanaji wa visa vimeathiri maandalizi ya timu yake kuelekea mchezo wa kwanza wa Kombe la Dunia 2026 dhidi ya New Zealand. Iran imewasili kwenye mashindano hayo ikiwa katikati ya hali ya sintofahamu kufuatia uhusiano mbaya wa kidiplomasia kati…

Read More
  • International
  • Sports

Ayari Aiumiza Tunisia, Sweden Yaibuka na Ushindi wa Mabao 5-1 Kombe la Dunia

Saleh2 days ago02 mins

Kiungo Yasin Ayari aliiongoza Sweden kupata ushindi mkubwa wa mabao 5-1 dhidi ya Tunisia katika mchezo wa Kundi E wa Kombe la Dunia 2026, huku akifunga mabao mawili dhidi ya taifa ambalo lilitamani kumshawishi kuichezea timu yake ya taifa. Ayari aliifungia Sweden bao la kwanza mapema dakika ya saba kwa shuti kali la mbali lililomshinda…

Read More
  • International
  • Sports

Amad Diallo Aipa Ivory Coast Ushindi wa Dakika za Mwisho Dhidi ya Ecuador

Saleh2 days ago02 mins

Timu ya taifa ya Ivory Coast imeanza vyema kampeni yake ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Ecuador katika mchezo wa Kundi E uliochezwa jijini Philadelphia. Shujaa wa mchezo huo alikuwa Amad Diallo ambaye alitokea benchi na kufunga bao la ushindi dakika ya 90, akimalizia kwa…

Read More
  • International
  • Sports

New York Knicks Watwaa Ubingwa wa NBA Baada ya Kusubiri Zaidi ya Miaka 50

Saleh3 days ago02 mins

Timu ya New York Knicks imeandika historia kwa kutwaa ubingwa wa NBA kwa mara ya kwanza baada ya zaidi ya miaka 50, kufuatia ushindi wa pointi 94-90 dhidi ya San Antonio Spurs katika mchezo wa tano wa fainali uliochezwa Texas. Knicks walihitaji ushindi mmoja pekee kukamilisha kazi baada ya kuongoza mfululizo huo kwa michezo 3-1,…

Read More
  • International
  • Sports

Moto wa Kombe la Dunia Waendelea, Vigogo Watatu Kushuka Dimbani

Saleh3 days ago02 mins

Mabingwa kuanza kutafuta ushindi wao wa kwanza kwenye michuano hii Mikubwa Dunia. Meridianbet inakwambia kuwa tayari timu za ushindi zinakungoja wewe. Ingia na ubeti sasa. Kivumbi kutimka kwenye mechi ya Ujerumani dhidi ya Curaçao huku wajerumani wakitaka kuanza kampeni yao kwa nguvu na kuonyesha ubora wao dhidi ya timu inayoshiriki mashindano haya ikiwa na ari…

Read More
  • International
  • Sports

Australia Yaanza Kwa Kishindo Kombe la Dunia kwa Kuifunga Uturuki 2-0

Saleh3 days ago02 mins

Australia imeanza vyema kampeni yake ya Kombe la Dunia baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Uturuki katika mchezo wa Kundi D uliochezwa Vancouver usiku wa Jumamosi. Nyota kijana Nestory Irankunda aliifungia Australia bao la kwanza dakika ya 27 kwa shuti la chini lililowashinda mabeki watatu wa Uturuki waliokuwa wakimkaba. Baada ya…

Read More
  • International
  • Sports

Brazil na Morocco Kukutana Katika Mchezo wa Kusisimua wa Kundi C

Saleh4 days ago02 mins

Nyota wa timu ya Taifa ya Brazil, Vinicius Junior, anatarajiwa kuwa mtu wa kuangaliwa zaidi wakati Brazil itakapofungua kampeni yake ya Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Morocco usiku wa kuamkia kesho. Mshambuliaji huyo wa Real Madrid amesema mashindano haya ni muhimu zaidi katika maisha na taaluma yake, hasa baada ya nyota mkongwe Neymar kuondolewa…

Read More
  • International
  • Sports

Marekani Yafungua Kombe la Dunia Nyumbani Kwa Kishindo, Yaichapa Paraguay 4-1

Saleh4 days ago02 mins

Katika dimba la SoFi Stadium, timu ya taifa ya Marekani ilianza kampeni yake ya Kombe la Dunia kwa ushindi mkubwa wa mabao 4-1 dhidi ya Paraguay usiku wa Ijumaa. Nyota wa Marekani, Folarin Balogun, aliibuka shujaa wa mchezo huo baada ya kufunga mabao mawili katika kipindi cha kwanza, huku Marekani ikitengeneza historia kwa kuongoza kwa…

Read More
  • International
  • Sports

Canada Yaanza Kombe la Dunia kwa Sare ya Kusisimua dhidi ya Bosnia

Saleh4 days ago4 days ago02 mins

Mshambuliaji wa Canada, Cyle Larin, alitokea benchi na kuisadia timu yake kuambulia sare ya 1-1 dhidi ya Bosnia na Herzegovina katika mchezo wa ufunguzi wa Kundi B wa Kombe la Dunia uliochezwa Ijumaa mjini Toronto. Bosnia ilianza vizuri baada ya Jovo Lukic kufunga bao la kuongoza dakika ya 21 kwa kichwa, likiwa bao lake la…

Read More
  • International
  • Sports

Kombe la Dunia 2026: Canada vs Bosnia, Kasi vs Nguvu, Nani Ataanza Kwa Ushindi?

Saleh5 days ago03 mins

Kama kawaida michuano hii mikubwa inatarajiwa kuendelea huku leo hii wababe wanne kushuka dimbani kusaka pointi 3 muhimu. Je nafasi ya kushinda unaiweka kwa nani?. Suka jamvi hapa. Kivumbi kitakuwa kwenye mechi ya Canada dhidi ya Bosnia and Herzegovina ambao hawapewi nafasi ya kuondoka na ushindi ndani ya Meridianbet kwani wenyeji wana kikosi chenye wachezaji…

Read More
  • International
  • Sports

South Korea Yageuza Matokeo na Kuichapa Czech Republic 2-1 Kombe la Dunia 2026

Saleh5 days ago5 days ago02 mins

GUADALAJARA, Mexico – Timu ya taifa ya Korea Kusini imeonyesha moyo mkubwa wa kupambana baada ya kutoka nyuma na kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Czech Republic katika mechi ya Kundi A ya Kombe la Dunia 2026 iliyochezwa Estadio Guadalajara. Korea Kusini ilitawala sehemu kubwa ya mchezo kwa soka la pasi nyingi na…

Read More
  • International
  • Sports

Mexico Yaianza Kombe la Dunia kwa Ushindi wa Mabao 2-0 Dhidi ya Afrika Kusini

Saleh5 days ago02 mins

MEXICO CITY – Mwenyeji mwenza wa Kombe la Dunia 2026, Mexico, ameanza vyema kampeni yake ya michuano hiyo baada ya kuichapa Afrika Kusini mabao 2-0 katika mechi ya ufunguzi iliyochezwa kwenye Uwanja wa Estadio Azteca usiku wa Alhamisi. Julian Quinones aliandika historia kwa kufunga bao la kwanza la Kombe la Dunia 2026 dakika ya tisa…

Read More
  • International
  • Sports

Allan Okello Atwaa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwezi Mei NBC Premier League

Saleh6 days ago01 mins

Kiungo mshambuliaji wa Young Africans SC, Allan Okello, ametangazwa kuwa Mchezaji Bora wa Mwezi Mei wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2025/26 baada ya kuonyesha kiwango cha juu katika mechi za mwezi huo. Okello aling’ara kwa kufunga mabao tisa na kutoa pasi moja ya bao katika michezo sita, akichangia kwa kiasi kikubwa mafanikio ya…

Read More
  • International
  • Sports

Macho Yote Kwenye Mechi ya Ufunguzi, Mexico vs Afrika Kusini Kombe la Dunia 2026

Saleh6 days ago02 mins

Mechi ya ufunguzi inatarajiwa kuwa ya kipekee kabisa ambapo wenyeji wa mashindano haya Mexico watauamana vikali dhidi ya Afrika Kusini ambao hawapewa nafasi kubwa ya kushinda?. Nani kuondoka na pointi 3 leo? Kwenye mechi hii ya ufunguzi wa michuano mikubwa Duniani kati ya Mexico na Afrika Kusini utakaopigwa Alhamisi ya leo ni mchezo ambao utakuwa…

Read More
  • International
  • Sports

Infantino Aeleza Sababu ya Mwamuzi wa Somalia Kuzuiwa Marekani

Saleh6 days ago02 mins

Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), Gianni Infantino, amesema ni jambo la kusikitisha kwa mwamuzi wa Somalia, Omar Artan, kunyimwa ruhusa ya kuingia nchini Marekani licha ya kuwa alikuwa amepangiwa kushiriki katika michuano ya Kombe la Dunia. Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kabla ya kuanza kwa mashindano hayo, Infantino alisema FIFA imeguswa…

Read More
  • 1
  • 2
  • 3
  • …
  • 74
Newsmatic - News WordPress Theme 2026. Powered By BlazeThemes.