YANGA YAWAPIGIA HESABU WAARABU KWA MKAPA

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga wameweka wazi kuwa hesabu kubwa ni kupata matokeo kwenye mchezo wao dhidi ya MC Alger unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Yanga imetoka kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Al Hilal ikiandika rekodi ya kuwa timu ya kwanza kupata ushindi kwa Al Hilal ambao ni vinara…

Read More

YANGA WATUMA UJUMBE HUU KIMATAIFA

KOCHA Mkuu wa Yanga, Sead Ramovic amesema kuwa lazima waonyeshe ukuaji wao kwa kuongeza umakini kwenye mchezo dhidi ya Al Hilal ambao ni wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Yanga inasaka pointi tatu kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika imekusanya pointi nne kwenye makundi ikiwa nafasi ya tatu inakutana na vinara Al Hilal wenye pointi…

Read More

YANGA KAMILI KIMATAIFA KUIKABLI AL HILAL

ALI Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa watafanya kazi kubwa kupata matokeo dhidi ya Al Hilal kutokana na ugumu uliopo kwenye hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Sead Ramovic tayari imeshatia timu nchini Mauritania kwa ajili ya maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa Januri 12 2025….

Read More

SIMBA YAFUNGUKIA UGUMU WA BRAVOS

SIMBA inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids imeweka wazi kuwa inakwenda kukutana na mpinzani mgumu ndani ya dakika 90 kutokana na mwendo wake wa kupata matokeo mazuri kwenye mechi za nyumbani ndani ya Kombe la Shirikisho Afrika. Wakiwa na kumbukumbu ya kupata matokeo chanya kwenye mchezo waliocheza nao Bravos, Uwanja wa Mkapa Novemba 24 2024…

Read More

MKANDAJI KIBU D NA UJUMBE WAKE KWA WAARABU

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Kibu Dennis amesema kuwa malego makubwa ni kuona wanapata matokeo katika mechi za kitaifa na kimataifa ndani ya uwanja kutokana na ushirikiano uliopo. Kibu ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu wa Simba, Fadlu Davids ambapo kwenye mechi 15 za ligi ni 11 alipata nafasi ya kucheza akikosekana kwenye mechi 4…

Read More

ZAMU YA BRAZIL IMEFIKA

Zamu ya Brazil imefika ndivyo ambavyo unaweza kusema kwani kampuni ya Meridianbet ambayo inajihusisha na michezo ya ubashiri duniani ambayo ni sehemu ya Golden Matrix Group (NASDAQ: GMGI) wamefanikiwa kufungua tawi jipya nchini Brazil ambapo watakua wakiendesha shughuli zao za michezo hiyo kama wanavyofanya sehemu nyingine. Ni furaha kubwa sana kwa mabingwa hao wakongwe wa…

Read More

ARSENAL YAMPIGA MTU MKONO LIGI KUU

Gabriel ‘Jesus’ amefunga magoli mawili wakati Washika Mitutu Arsenal wakiendelea kuweka hai matumaini ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu England baada ya kushusha kipigo cha 5-1 dhidi ya Crystal Palace ikiwa ni ushindi wao mkubwa zaidi msimu huu. Arsenal imefikisha pointi 33 baada ya mechi 17 huku wakiendelea kusalia nafasi ya tatu kwenye msimamo wa…

Read More