![PARIS YANGA’A WAKATI WA UFUNGUZI YA MICHEZO YA OLIMPIKI](https://salehjembe.co.tz/wp-content/uploads/2024/07/edf9dacf-9f18-4619-b5fb-dfbeaaa2a117_zidaneolympicsgettyimages-2162952178-600x400.jpg)
PARIS YANGA’A WAKATI WA UFUNGUZI YA MICHEZO YA OLIMPIKI
Michezo ya Olimpiki ya mwaka 2024 imefunguliwa mjini Paris kwa mbwembwe na mtindo wa kipekee huku mamia ya wanariadha washiriki wakiabiri maboti katika mto Seine katikati ya burudani la kukata na shoka la muziki. Hafla hiyo ya ufunguzi imetoa fursa adimu ya kuuonyesha utamaduni wa Ufaransa, fasheni na muziki japo ilikumbwa na kiwingu cha mvua….