Man City vs Liverpool, Real Madrid vs Rayo – Bashiri, Shinda, na Furahia Ukiwa na Meridianbet

Leo hii ukiwa na Meridianbet unaweza ukabadilisha maisha yako kirahisi sana kwani Meridianbet wamekupa nafasi kubwa kwa kukuletea mechi zote za ligi mbalimbali ambazo pia zina machaguo zaidi ya 1000. Tukianza na LALIGA kule Hispania itaendelea ambapo bingwa wa mtetezi wa ligi Real Madrid atakuwa ugenini kumenyana dhidi ya Rayo Vallecano ambao wapo nafasi ya…

Read More

Brendan Rodgers Ajiuzulu Celtic Scotland

Miamba ya soka ya Scotland, Celtic FC, imethibitisha kuwa Meneja wao Brendan Rodgers amejiuzulu rasmi leo kutoka nafasi yake ya ukocha. Kupitia taarifa rasmi iliyotolewa na klabu hiyo, Celtic imesema imepokea na kukubali barua ya kujiuzulu kutoka kwa Rodgers, ambaye ataondoka katika majukumu yake mara moja. “Brendan anaondoka Celtic tukiwa na shukrani kwa nafasi aliyochukua…

Read More

FC Porto, Atletico Madrid, Fenerbahce na Atalanta Zawasha Moto Meridianbet Leo!

Jumatatu ya ushindi imekufikia na wakali wa ubashiri Meridianbet leo, baada ya wikendi kumalizika sasa ni zamu ya kuchukua maokoto yako hapa. Ingia kwenye akaunti yako tengeneza jamvi lako na dau lako lolote uibuke bingwa leo. Ureno, PRIMEIRA LIGA itaendelea kwa mechi moja kali ambapo FC Porto atakuwa ugenini kupepetana dhidi ya Moreirense. Mechi ya…

Read More

Kaa Mkao wa Kula Kujua Habari Zote za Michezo na Meridianbet Sport Portal

Wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet wankuuliza je unajua kuhusu Meridianbet Sport Portal? Hili ni jukwaa kubwa kabisa ambalo kutokana na upana limekuja kwaajili ya kumrahisishia kazi mteja wa Meridianbet wakati wa kubashiri kwani hapa anapata taarifa zote za kimichezo na kasino kwa ujumla. Meridianbet Sport Portal ni kwaajili ya kumpa mteja wa Meridianbet uzoefu bora…

Read More

Hakim Ziyech Ajiunga Rasmi na Wydad Casablanca

Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Hakim Ziyech, amefikia makubaliano ya kujiunga na klabu ya Wydad Casablanca ya Morocco kwa mkataba wa mwaka mmoja. Kwa mujibu wa mwandishi maarufu wa masuala ya usajili, Fabrizio Romano, Ziyech amesaini kama mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba wake na Al-Duhail ya Qatar mwishoni mwa msimu uliopita. Ndani ya kikosi…

Read More