FIFA Yathibitisha Ushiriki wa Iran Kombe la Dunia 2026 Licha ya Mvutano wa Kisiasa

Rais wa Shirikisho la Soka Ulimwenguni, (FIFA), Gianni Infantino amethitibitisha kuwa Iran itashiriki mashindano ya Kombe la Dunia 2026 inayotarajiwa kuanza Juni 11 hadi Julai 19, 2026 licha ya mvutano kijiografia na kisiasa baina ya Marekani, Israel na Iran. Akizungumza kwenye Mkutano wa 76 wa FIFA huko Vancouver mnamo Aprili 30, 2026, Infantino alisema bila…

Read More

Sancho Aanza Kuvutia Soko, Klabu Italia Yaingia Kwenye Mbio

Maslahi ya kumtaka mshambuliaji wa Manchester United, Jadon Sancho, yanaendelea kuongezeka huku klabu mbalimbali zikianza kuonyesha nia ya kumsajili kuelekea dirisha la usajili la majira ya kiangazi. Kwa mujibu wa ripoti za Sky Sports, klabu moja kutoka Italia ambayo haijatajwa jina tayari imefanya mawasiliano ya awali kuulizia uwezekano wa kumsajili nyota huyo. Wakati huohuo, Borussia…

Read More

Raphinha Aomba Radhi Baada ya Ishara Dhidi ya Mashabiki wa Atlético Madrid

Nyota wa FC Barcelona, Raphinha, ameomba radhi kufuatia ishara aliyofanya kuelekea mashabiki wa Atlético Madrid baada ya timu yake kutolewa katika hatua ya robo fainali ya UEFA Champions League. Raphinha, ambaye hakushiriki kwenye mchezo wa marudiano kutokana na majeraha ya paja, alionekana akijibu mashabiki wa Atlético akiwa uwanjani baada ya mechi iliyopigwa kwenye Uwanja wa…

Read More