Simba SC vs JKT Tanzania wanaingia kikaangoni kamili
Simba SC vs JKT Tanzania wanaingia kikaangoni kamili kusaka pointi 3, Uwanja wa Meja Jeneral Isahmuyo. Hiki hapa kikosi kazi cha Simba SC kipo namna hii: Djibrilla Kassali yupo langoni mabeki ni De Reuck, Shomari Kapombe, Ismael Traore na Nickson Kibabage. Viungo ni Neo Maema, Clatous Chama, Inno Loemba, Yusuph Kagoma, Libasse Gueye na Ellie…