Simba SC vs Coastal Union kesho inapigwa

Simba SC vs Coastal Union kesho inapigwa Uwanja wa Meja Jeneral Isahmuyo saa 1:00 usiku kwa wababe hawa kupambania pointi tatu. Tayari wapinzani wa mnyama, Coastal Union wapo katika ardhi ya Dar kwa maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo huo. Hussen Mchovu, maarufu kama Diego, Ofisa Habari wa Coastal Union amesema kuwa wamefika na orodha ya…

Read More

Matokeo ya mechi zilizopita Azam FC

Matajiri wa Dar, Azam FC leo Aprili Mosi 2026 watakuwa kwenye shughuli kuwakabili Singida Black Stars mchezo wa ligi. Ni saa 10:00 mchezo huo unatarajiwa kuchezwa, Uwanja wa Airtel kwa wababe hawa kusaka pointi tatu muhimu. Hapa tunakusogezea matokeo ya mechi 5 kwa Azam FC ndani ya Machi, 2026 NBC Premier League:- Machi 2, 2026,…

Read More

Bacca amuombea Job kurejea uwanjani haraka

BEKI wa Yanga SC, Ibrahim Bacca ameweka wazi kuwa anamuombea beki Dickson Job ili arejee uwanjani haraka kutokana na kuwa nje kwa muda mrefu. Job alipata maumivu kwenye mchezo wa NBC Premier League dhidi ya Simba SC, uliochezwa Uwanja wa New Amaan Complex, taarifa za awali zimeeleza kuwa huenda atakuwa nje ya uwanja kwa msimu…

Read More

Bodø/Glimt Wazua Taharuki UEFA Baada ya Kuwaangusha Mabingwa

Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet ni rahisi sana kwa wewe kubashiri nani ambaye unaona atakuwa bingwa?. ODDS za kila bingwa zimekweka, hivyo ingia kwenye akaunti yako na ubashiri leo. Timu ya Bodø/Glimt imeonyesha kuwa imekuja na ushindi wa kimasoko na uthabiti wa kiufundi unaovutia mashabiki kote. Bodøe/Glimt wamejijengea jina kama timu inayopambana, yenye mashambulizi…

Read More

Singida Black Stars yaivutia kasi Azam FC

HUSSEN Masanza, Ofisa Habari wa Singida Black Stars amesema kuwa wapo tayari kwa maandalizi ya mchezo ujao wa NBC Premier League vs Azam FC. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Airtel, Aprili Mosi 2026 kwa wababe hawa wawili kusaka pointi tatu ndani ya dakika 90. Kwenye msimamo Azam FC baada ya kucheza mechi 15, (MP)…

Read More