Simba SC warejea kambini

WACHEZAJI wa Simba SC wamerejea kambini kwa maandalizi kwa ajili ya mechi za NBC Premier League na CRDB Federation Cup. Katika msimamo Simba SC ipo nafasi ya pili imekusanya pointi 58 baada ya mechi 25 tofauti ya pointi 2 na vinara wa ligi ambao ni Yanga SC wenye pointi 60. Mchezo uliopita Simba SC ilipata…

Read More

Uchovu Watishia Ndoto za Arsenal Kwenye Fainali Dhidi ya PSG Leo, Vikosi Vipo Hapa

Arsenal wanatarajiwa kuingia katika mchezo wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Paris Saint-Germain (PSG) leo Mei 30, 2026 wakiwa na changamoto kubwa ya uchovu wa wachezaji, jambo ambalo linaweza kuwa na athari kwenye matokeo ya mchezo huo muhimu utakaopigwa katika Uwanja wa Puskás, Budapest, Hungary. Takwimu zinaonyesha wazi kwamba kikosi cha Mikel…

Read More

Arsenal vs PSG: Fainali ya Champions League 2026 kupigwa leo Budapest

Arsenal watakipiga dhidi ya Paris Saint-Germain (PSG) katika fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya inayotarajiwa kufanyika leo usiku mjini Budapest, Hungary. Mchezo huo mkubwa utapigwa katika Uwanja wa Puskás Aréna, ambapo Arsenal wanatafuta kutwaa taji lao la kwanza la Champions League katika historia ya klabu hiyo, huku PSG wakilenga kutetea ubingwa wao. Fainali hiyo itaanza…

Read More

Orodha ya makipa wenye clean sheets nyingi

NBC Premier League makipa wapo kazini kutimiza majukumu yao ndani ya msimu wa 2025/26. Hapa tunakuletea orodha ya makipa wenye clean sheet nyingi kwa mujibu wa Ligi Kuu:- Kipa Timu Clean Sheets Djigui Diarra Yanga SC 13 Mahamadou Kassali Simba SC 12 Aishi Manula Azam FC 11 Jean Joel TRA United 10 Zuberi Foba Azam…

Read More