Simba SC warejea kambini
WACHEZAJI wa Simba SC wamerejea kambini kwa maandalizi kwa ajili ya mechi za NBC Premier League na CRDB Federation Cup. Katika msimamo Simba SC ipo nafasi ya pili imekusanya pointi 58 baada ya mechi 25 tofauti ya pointi 2 na vinara wa ligi ambao ni Yanga SC wenye pointi 60. Mchezo uliopita Simba SC ilipata…