Mamelodi Sundowns Watwaa Ubingwa wa Pli wa Ligi Ya Mabingwa, Yaichapa AS FAR
Mamelodi Sundowns wametwaa ubingwa wa pili wa kihistoria wa Ligi ya Mabingwa baada ya kuichapa AS FAR kwa jumla ya mabao 2-1 katika fainali ya msimu wa 2025/26. Miamba hiyo ya Afrika Kusini iliingia mchezo wa marudiano ikiwa na faida ya ushindi wa bao 1-0 walioupata nyumbani, kabla ya kutoka sare ya 1-1 ugenini kwenye…