Paredi la ubingwa Yanga SC laacha historia

Paredi la ubingwa Yanga SC Julai 4,2026 limeacha historia kutokana na burudani kutolewa kutoka kwa wasanii mbalimbali huku Dj Zee akitoa burudani. Ni Mohamed Hussen Zimbwe Jr beki bora wa muda wote ndani ya NBC Premier League alikuwa na jukumu la kuwapandisha wachezaji wa timu hiyo ambao walikuwepo Bongo. Miongoni mwa wachezaji hao ni Allan…

Read More

Kikosi cha Azam FC vs Simba SC

LEO Juni 4,2026 Simba SC vs Azam FC watamenyana mchezo wa fainali CRDB Cup, Uwanja wa Gombani huku Air Manula akianza langoni. Wengine ni Lusajo, Msindo, Lawi, Fuentes, Himid Mao, Sopu, Bin Zayd, Kitambala, Fei Toto, Idd Nado hawa watakuwa kikosi cha kwanza. Wachezaji wa akiba ni Foba, Twalib, Zouzou, Kibeku, Kanoute, Akamiko, Abah, Alobogast,…

Read More

Simba SC hesabu zimehamia CRDB Cup

BAADA ya kufunga msimu wa 2025/26 wakiwa nafasi ya pili na pointi 73, uongozi wa Simba SC umebainisha kuwa mpango mkubwa kwa sasa ni mechi ya fainali dhidi ya Azam FC. Simba SC ilifunga msimu wa 2025/26 kwa kupata ushindi wa bao 1-0 KMC FC uliochezwa Juni 30,2026 Uwanja wa KMC Complex. Ahmed Ally, Meneja…

Read More