Mechi 5 zijazo Yanga SC NBC Premier League

MABINGWA watetezi wa NBC Premier League wapo nafasi ya kwanza wakiwa na pointi 38 baada ya mechi 16. Ratiba inaonyesha kuwa mchezo ujao kwa Yanga SC watakuwa nyumbani dhidi ya Wajelajela ambao wanapambania kubaki ndani ya ligi wakiwa nafasi ya 15. Hizi hapa mechi tano zijazo kwa Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Pedro Goncalves:…

Read More

Feisal gari limewaka huko

KIUNGO wa Azam FC, Feisal Salum ni namba moja kwa mastaa waliohusika katika magoli mengi ndani ya NBC Premier League 2025/26. Ni mabao 11 amehusika katika kikosi cha Azam FC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Florent Ibenge ndani ya ligi namba 6 kwa ubora. Fei amefunga jumla ya magoli 6 na ametoa pasi 5. Azam FC…

Read More

Singida Black Stars vs Azam FC Aprili Mosi 2026

Singida Black Stars vs Azam FC kwenye NBC Premier League inatarajiwa kupigwa Aprili Mosi, 2026 kwa wawili hawa kusaka pointi 3 muhimu ndani ya dakika 90. Ni Uwanja wa Airtel mchezo huu utachezwa ampao wenyeji ni Singida Black Stars watawakaribisha Azam FC kwenye mchezo wa ligi. Wenyeji Singida Black Stars kwenye mechi mbili zlizopita Machi…

Read More

Tanzania vs Liechtenstein ni leo FIFA Series

 Tanzania vs Liechtenstein ni leo kwenye FIFA Series ambayo mashindano maalum, yaliyo kwenye kalenda ya FIFA. Mashaindano haya  yanalenga kuhakikisha timu zinajiandaa na mashindano mbalimbali makubwa yanafanyika nchini Rwanda.  Miguel Gamondi, Kocha Mkuu wa Tanzania amesema wapo tayari kwa mchezo wa leo kutokana na maandalizi ambayo wameyafanya kukabiliana na Liechtenstein. Tanzania imesafiri na kikosi cha…

Read More

Mohamed Salah Atangaza Kuondoka Liverpool Bure Mwisho wa Msimu

Mshambuliaji nyota wa Mohamed Salah ametangaza rasmi kuwa ataondoka ndani ya klabu ya Liverpool mwishoni mwa msimu huu, akihitimisha safari ya kihistoria ya miaka tisa ndani ya Anfield. Salah, mwenye umri wa miaka 33, ameondoka akiwa mchezaji huru (free transfer), jambo ambalo limewashtua mashabiki wengi wa soka duniani. Kupitia video ya kihisia aliyochapisha mtandaoni, Salah…

Read More