PSG Yafungua Mazungumzo na Leipzig kwa Ajili ya Diomande
PARIS, Ufaransa – Mabingwa wa Ulaya, Paris Saint-Germain, wako kwenye mazungumzo na RB Leipzig kwa ajili ya kumsajili winga wa kimataifa wa Ivory Coast, Yan Diomande. Ripoti zinaeleza kuwa Diomande mwenye umri wa miaka 19 ameonyesha nia ya kujiunga na PSG badala ya Liverpool F.C., licha ya klabu hiyo ya England kuwa tayari kutoa pauni…