Enzo Fernandez Aingia Kwenye Mzozo na Chelsea, Afungiwa Mechi Mbili
Klabu ya Chelsea FC imemuweka kando kiungo wake nyota Enzo Fernandez kwa mechi mbili kufuatia kauli zake za hadharani kuhusu mustakabali wake ndani ya klabu hiyo. Uamuzi huo umetangazwa na kocha mkuu Liam Rosenior, ambaye amesema Enzo hatakuwepo kwenye mchezo wa Kombe la FA dhidi ya Port Vale pamoja na pambano kubwa la Ligi Kuu…