Leo ratiba ya NBC Premier League
Leo Aprili 3, 2026 kuna mechi mbili kali zinatarajiwa kuchezwa ikiwa ni mzunguko wa 18 katika msako wa pointi tatu muhimu. Aprili 3,2026 Dodoma Jiji FC vs Fountain Gate Airtel, Singida saa 08:00 mchana Dodoma Jiji FC kwenye msimamo ipo nafasi ya 9 ikiwa na pointi 21 baada ya mechi 17 inakabiliana na Fountain Gate…