Pamba Jiji FC vs Yanga SC kituo kinachofuata

Pamba Jiji FC vs Yanga SC kituo kinachofuata katika NBC Premier League 2025/26 kwa wababe hawa wawili kusaka pointi 3 muhimu. Yanga SC 3-0 Tanzania Prisons ni matokeo yaliyopita kwenye mchezo wa ligi na mchezaji bora alichaguliwa Allen Okello raia wa Uganda ilikuwa ni Aprili 4, 2026, Uwanja wa KMC Complex. Mashujaa FC 0-0 Pamba…

Read More

Hii hapa ratiba ya Simba SC Aprili

SIMBA SC 2025/26 ina mechi za kazi zinafuata kwenye ratiba mara baada ya kukamilisha dakika 90 dhidi ya Azam FC kwa sare ya 0-0, Uwanja wa Azam Complex, Aprili 5, 2026. Hii hapa ratiba inayofuata kwa Simba SC:- TRA United vs Simba SC, Aprili 9, 2026, saa 10:00 jioni Simba SC vs Dodoma Jiji FC,…

Read More

Mechi atakazokosekana Diarra Yanga SC 2025/26

BAADA ya kuwa kwenye adhabu ya kufungiwa mechi 3 na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania, (TPLB) kutokana na makosa ya kinidhamu mlinda mlango namba moja wa Yanga SC, Djigui Diarra tayari ameshakosekana kwenye mchezo mmoja wakiwa nyumbani na langoni alianza Aboutwalib Mshery. Yanga SC 3-0 Tanzania Prisons, Aprili 4,2026. Mchezo huu Yanga SC walikuwa nyumbani,…

Read More

Mtaani Gumzo Ni Magic Wheel, Uko Tayari Kuzungusha Bahati Yako

Vijana wanakaa vijiweni wakibishana nani alicheza zaidi, nani alikula pesa kubwa, na nani bado anasubiri bahati iwe upande wake ndani ya Magic Wheel ya Meridianbet. Expanse Studios wamekuja na burudani inayokufanya ushikilie simu yako ukisubiri matokeo. Huu mchezo unaingia tofauti kabisa, maana mbele yako kuna gurudumu lenye nafasi 56 likizunguka. Ndani yake kuna namba 53…

Read More

Simba SC: Mpanzu bado ana mkataba

UONGOZI wa Simba SC umebainisha kuwa mchezaji Ellie Mpanzu bado ana mkataba na Simba SC ambao hajaanza kuutumikia na ule wa awali haujaisha hivyo hawezi kugoma kwa kudai stahiki zake. Tetesi zimekuwa zikieleza kuwa Mpanzu amegoma kucheza Simba SC mpaka alipwe stahiki zake za mkataba mpya wa miaka miwili aliyoongeza hivi karibuni. Hakuwa kwenye kikosi…

Read More

Mbeya City wapindua meza mbele ya KMC FC

MBEYA City hawataki utani baada ya kupindua meza kibabe mbele ya KMC FC katika mchezo wa NBC Premier League, Aprili 3, 2026, Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, Manyara. Licha ya KMC FC kuanza kufunga magoli kwenye mchezo huo uliokuwa na ushindani mkubwa walikwama kulinda ushindi huo na mwisho ubao ukasoma Mbeya City 3-2 KMC FC wakipishana…

Read More