Simba SC vs Coastal Union kesho inapigwa

Simba SC vs Coastal Union kesho inapigwa Uwanja wa Meja Jeneral Isahmuyo saa 1:00 usiku kwa wababe hawa kupambania pointi tatu. Tayari wapinzani wa mnyama, Coastal Union wapo katika ardhi ya Dar kwa maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo huo. Hussen Mchovu, maarufu kama Diego, Ofisa Habari wa Coastal Union amesema kuwa wamefika na orodha ya…

Read More

Matokeo ya mechi zilizopita Azam FC

Matajiri wa Dar, Azam FC leo Aprili Mosi 2026 watakuwa kwenye shughuli kuwakabili Singida Black Stars mchezo wa ligi. Ni saa 10:00 mchezo huo unatarajiwa kuchezwa, Uwanja wa Airtel kwa wababe hawa kusaka pointi tatu muhimu. Hapa tunakusogezea matokeo ya mechi 5 kwa Azam FC ndani ya Machi, 2026 NBC Premier League:- Machi 2, 2026,…

Read More

Singida Black Stars vs Azam FC kinawaka leo

Singida Black Stars vs Azam FC NBC Premier League kinawaka leo kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Wababe hawa wanakutana Aprili Mosi 2026 ikiwa ni mchezo pekee utakaochezwa mara baada ya mapumziko yaliyotokana na kalenda ya FIFA. Katika mechi mbili kubwa wenyeji wakiwa nyumbani ndani ya mwezi Machi waliangasuha pointi tatu baada ya dakika 90….

Read More

Bacca amuombea Job kurejea uwanjani haraka

BEKI wa Yanga SC, Ibrahim Bacca ameweka wazi kuwa anamuombea beki Dickson Job ili arejee uwanjani haraka kutokana na kuwa nje kwa muda mrefu. Job alipata maumivu kwenye mchezo wa NBC Premier League dhidi ya Simba SC, uliochezwa Uwanja wa New Amaan Complex, taarifa za awali zimeeleza kuwa huenda atakuwa nje ya uwanja kwa msimu…

Read More