Simba na Azam Kukutana Fainali ya CRDB Federation Cup Pemba
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza kuwa mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank (CRDB Federation Cup) kati ya Simba SC na Azam FC utafanyika Julai 4, 2026 saa 11:00 jioni. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TFF, fainali hiyo itachezwa katika Gombani Stadium, ikiwa ni sehemu ya kuhitimisha rasmi mashindano yote…