Simba SC yawasili Zanzibar Agosti 10,2026
RASMI kikosi cha Simba SC Agosti 10,2026 kimewasili Zanzibar kwa maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga SC. Agosti 12,2026 mchezo huo unatarajiwa kuchezwa kwa watani hawa wa jadi kuwa uwanjani kupambania taji ya Ngao ya Jamii. Miongoni mwa wachezaji waliopo katika msafara ni Ibrahim Doumbia, Rushine De Reuck, Ellie…