Saleh
KIMATAIFA KAZI BADO KUBWA IPO MBELE YA WAWAKILISHI
PICHA kamili ya timu itakayosonga mbele kwenye mechi za kimaita inakwenda kukamilika katika mechi za marudiano ambazo zinatarajiwa kuchezwahivi karibuni.
Kila timu inatambua namna ilivyopambana...
WABABE KAZINI NA REKODI ZAO MATATA HIZI HAPA
MSAKO wa pointi tatu kwenye Ligi Kuu Bara unazidi kupamba moto huku kila timu zikionyesha uimara wake katika kutumia makosa ya wapinzani.
Septemba 21 itabaki...
BOSI SIMBA AMPA TUZO JEAN BALEKE
AKIWA na mabao matano kibindoni mshambuliaji wa Simba Jean Baleke amepewa kiatu cha ufungaji bora ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24.
Ni Ahmed...
GAMONDI AJA NA MPANGO KAZI WA KUVURUGAVURUGA
MIGUEL Gamondi Kocha Mkuu wa Yanga amevuruga ramani za wapinzani wao wanaofikiria mbinu yake ya kupata mabao itakuwa kwa washambuliaji wanaonza kikosi cha kwanza...
KIMATAIFA KAZI BADO HAIJAGOTA MWISHO
TUMEONA namna ambavyo wawakilishi wetu kwenye anga la kimataifa wakiendelea kupambania kombe kufikia malengo ambayo yapo na kila mmoja akiwa anahitaji kuona ushindi unapatikana.
Kila...
AFYA YA WACHEZAJI NI MUHIMU, WACHEZAJI LINDANENI
KAZI kubwa kwenye Ligi Kuu Bara imezidi kuonekana ambapo wachezaji wameonekana wakifanya kweli kwenye kutimiza majukumu yao.
Hili ni muhimu kuendelea kwenye kila mchezo jambo...
CLEMENT MZIZE ANA BALAA HUYO
NYOTA wa Yanga, Clement Mzize ni habari nyingine Bongo kwa upande wa mastaa wanaocheza ndani ya Yanga na Simba kwa kuwa mzawa aliyepachika bao...
SAIDO AWEKA REKODI YAKE ANGA ZA KIMATAIFA
KIUNGO wa Simba, Saidi Ntibanzokiza ‘Saido’ ameandika rekodi yake kimataifa kwa kuwa nyota wa kwanza kuonyeshwa kadi ya njano kwenye hatua ya Ligi ya...
MWAMBA HUYU HAPA NDANI YA YANGA ANASUKWA UPYA
NYOTA wa Yanga, Clement Mzize anasukwa upya ili kuongeza makali yake kwenye kufunga mabao kwenye mechi za kitaifa na kimataifa.
Mzize ambaye ni mzawa ni...
AZAM FC HESABU ZAO NDEFU BONGO
UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi malengo yao msimu huu ni kuweza kupambana na kufanya maandalizi ya kutosha kwa ajili ya kupata matokeo mazuri...
VIDEO: AHMED ALYY AFUNGUKIA ISHU YA HENOCK INONGA
AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba ameweka wazi kuwa beki wa Simba Henock Inonga hajavunjika baada ya kuchezewa faulo kwenye...
BALEKE JINA LAKE LIMESOMA
JEAN Baleke ni nyota wa pili kufunga mabao matatu kwenye mchezo mmoja ndani ya Ligi Kuu Bara.
Jina lake limesoma kwenye orodha ya mastaa wenye...
MUDA NI SHUJAA WA GAMONDI
KIUNGO mzawa Mudathir Yahya anayekipiga ndani ya Yanga ni shujaa chini ya Miguel Gamondi kutokana na uwezo wake kila anapopata nafasi.
Nyota huyo kwenye mchezo...
AZAM FC HAWAPOI
KOCHA Mkuu wa Azam FC, Yusuph Dabo amesema kuwa kikubwa ambacho wachezaji wake wanatakiwa kukifanya ikiwa ni pamoja na kiungo Feisal Salum, mshambuliaji Prince...
SIMBA WAKUTANA NA KISANGA UGENINI
NGOMA ni nzito kwa Simba kimataifa baada ya kuruhusu mabao mawili sawa na Yale waliyofunga licha ya kupata nafasi zaidi ya tatu.
Ni kisanga kwa...
SINGIDA FOUNTAIN GATE KWENYE JAMBO LA WATANZANIA
UONGOZI wa Singida Fountain Gate umeweka wazi kuwa mchezo wao wa kimataifa wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Future ya Misri unaotarajiwa kuchezwa leo...
YANGA WATOA BURUDANI KIMATAIFA UGENINI
BURUDANI imetolewa kwa Wananchi kàtika anga la kimataifa wakishuhudia ubao ukisoma Al Merrick 0-2 Yanga
Chini ya Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamond ukuta umekuwa...