Saleh
TAIFA STARS YAANZA KUJIFUA MISRI, MAKOCHA WAPYA WAJIUNGA
TAYARI kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars ambacho kitaivaa Uganda katika mechi ya kuwania kucheza AFCON siku chache zijazo, kimeanza maandalizi.
Chini ya Kocha...
PATA MPAKA 97.58%YA DAU LAKO NA DEUCES WILD
Sloti ya Deuces Wild Poker
Habari njema kwa wapenda kasino, kama uliwahi kucheza michezo hii ya sloti Aviator, Poker, Roulette kutoka kasino ya mtandaoni ya...
JASHO LA HAKI KWA SIMBA NA HOROYA LILIVUJA NAMNA HII
JASHO la haki liliwavuja wachezaji wa timu zote mbili ndani ya dakika 90 kusaka ushindi na mwisho wababe wakawa ni Simba.
Ubao wa Uwanja wa...
AZAM FC REKODI ZA NYOTA WAO ZINASOMA HIVI
KUNA vingi vya kujivunia kwenye ardhi ya Tanzania ikiwa ni pamoja na mlima Kilimanjaro kutokana na kuwa na kilele chenye ubora.
Kwenye ulimwengu wa soka...
VIDEO:YANGA HAWANA HOFU KIMATAIFA,KAZI INAENDELEA
YANGA hawana hofu kimataifa kazi inaendelea baada ya kutinga hatua ya robo fainali Kombe la Shirikisho Afrika
AZAM FC NA MWENDO WAO ULEULE
MSIMU huu pia haujawa mzuri kwa Azam FC ambayo kila wakati huwa inaanza kwa kuleta ushindani mkubwa.
Mateso makubwa ambayo huwa wanapitia kwenye mechi za...
VIDEO:NABI AFICHUA SIRI KUWATUNGUA WAARABU
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amefichua siri ya kupata ushindi mchezo wa kimataifa dhidi ya US Monastir, Uwanja wa Mkapa
MWARABU KAFA NANI ANAFUATA? HUYU HAPA MPINZANI WA SIMBA
Mwarabu kafa Nani anafuata? Huyu hapa mpinzani wa Simba ndani ya Championi Jumatatu
YANGA YATINGA ROBO FAINALI,YALIPA KISASI
YANGA imetinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho kwa ushindi wa mabao 2-0 US Monastir ya Tunisia.
Hiki ni kisasi ambacho wamekilipa Yanga...
MWEDNO WA RUVU NI WA KINYONGA
MWENDO wa Ruvu Shooting kwa msimu wa 2022/23 hakika ni wa kinyonga kutokana na kushindwa kuwa kwenye ule ubora wao wa kupapasa.
Kwenye msimamo ipo...
YANGA 1-0 US MONASTIR
UBAO wa Uwanja wa Mkapa unasoma Yanga 1-0 US Monastri ikiwa ni mchezo wa hatua ya makundi Kombe la Shirikisho.
Yanga wanapambana kusepa na pointi...
ARSENAL YATEMBEZA 4G
ARSENAL haina utani baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu England.
Ni Gabrie Martinell dakika...
YANGA V US MONASTIR LEO WAKUBWA KAZINI
LEO ndiyo leo asemaye kesho huyo ni muongo hatimaye ile siku imewadia na kazikazi kwa wakubwa inatarajiwa kufanyika Uwanja wa Mkapa.
Ni wenyeji Yanga chini...
IHEFU WAMEZIMA NDOTO ZA AZAM FC MAZIMA
MATUMAINI ya Azam FC kutwaa ubingwa kwa msimu wa 2022/23 yamezimwa mazima na Ihefu baada ya Machi 13,2023 kuwatungua bao 1-0 Uwanja wa Highland...
UNATAKA USHINDI MKUBWA, NJOO HUKU | EXPANSE KASINO
Kila siku Meridianbet wanatoa pesa kibao kupitia michezo yake ya Kasino ya mtandaoni ambayo kwa dau dogo tu unaweza kutimiza ndoto zako ambazo umekuwa...
SIMBA YATINGA ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA AFRIKA
SIMBA inayonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira inatinga hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika huku ikionyesha kwa mara ya kwanza pira...