Saleh
SIMBA: TUMEUMIZWA VIBAYA MNO
UONGOZI wa Simba umebainisha kwamba umeumizwa vibaya kukwama kupata matokeo kwenye mchezo dhidi ya Mashujaa uliochezwa Uwanja wa Lake Tanganyika.
Ilikuwa ni kwenye CRDB Federation...
Kasino Mtandaoni Yenye Njia Nyingi za Ushindi|81 Crystal Fruits
81 Crystal Fruits ni sloti ya kasino mtandaoni kutoka Meridianbet inayojumuisha nguzo nne zilizopangwa katika mistari mitatu na una mistari ya malipo saba. Ili...
YANGA HAO ROBO FAINALI
MABINGWA watetezi wa CRDB Federation Cup Yanga wamekata tiketi kutinga hatua ya robo fainali kwa ushindi wakiwa ugenini.
Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja...
KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA DODOMA JIJI
MABINGWA watetezi wa CRDB Federation Cup, Yanga wanatupa kete yao dhidi ya Dodoma Jiji, Uwanja wa Jamhuri, Dodoma.
Hiki hapa kikosi cha Yanga kinachotarajiwa kuanza...
MIAMBA HAWA KATIKA RADA ZA SIMBA
KWA nyakati tofauti miamba wawili eneo la ushambuliaji Adam Adam na Relliat Lusajo walikuwa katika rada za Simba lakini mipango ikagoma.
Adam aliibukia ndani ya...
KIKOSI CHA CAF KUSHUSHWA KUWAKABILI DODOMA JIJI
MABINGWA watetezi wa CRDB Federation Yanga wanakibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Dodoma Jiji Uwanja wa Jamhuri,Dodoma ambapo kikosi cha CAF knatarajiwa kuanza
UTACHEKA HII NA UTAIPENDA: ALI KAMWE NA AHMED ALLY USO KWA...
AHMED Ally Meneja wa Idara ya Habari Simba na Ally Kamwe Meneja wa Idara ya Habari Yanga wote ni washkaji kwenye maisha ya kawaida...
LIGI YA MABINGWA ULAYA MOTO UTAWAKA LEO
Kivumbi cha ligi ya mabingwa ulaya kitaendelea leo ambapo itapigwa michezo miwili mikali kwenye michuano hiyo itakayokutanisha vilabu ambavyo vimekua na uzoefu wa michuano...
SIMBA YAWAFUATA IHEFU SINGIDA
BAADA ya kukamilisha kete kwenye CRDB Federation dhidi ya Mashujaa ya Kigoma, Aprili 10 msafara wa kikosi cha Simba umeanza kuelekea Singida.
Ipo wazi kwamba...
M-BET YAMZAWADIA MSHINDI WA PERFECT 12 MILIONI 140.5
SHABIKI wa klabu ya Simba na Arsenal, Yahya Saidi Bakari ameshinda sh 140,503,890 baada ya kubashiri kwa usahihi matokeo ya ligi mbalimbali duniani kupitia mchezo...
SIMBA YASIKITIKIA MATOKEO YAKE
UONGOZI wa Simba umeyasikitikia matokeo yake inayopata ndani ya uwanja katika mechi za ushindani kitaifa na kimataifa.
Ipo wazi kuwa mwendo wa Simba kwenye Ligi...
YANGA YAINGIA MCHECHETO KUWAKABILI DODOMA JIJI
KUELEKEA mchezo wa CRDB Federation Cup raundi ya nne kati ya Dodoma Jiji dhidi ya Yanga, mabingwa watetezi wa taji hilo wameonekana kuwahofia wapinzani...
AMEIVAA YANGA BOSI WA UNYAMANI ISHU YA CAF
AMEWAVAA Yanga bosi wa Simba ishu ya barua kuhusu bao ambalo lilifungwa kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mamelodi Sundowns nchini...
WILD MIRAGE KASINO MPYA YA MTANDAONI KUTOKA MERIDIANBET
Mbele yako ni safari ya kasino mtandaoni ya kusisimua ambapo utakutana na ishara zinazotawala katika ushindi wa kawaida. Kila kitu utakachoona kutoka kwa ishara...
ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA KINAWAKA LEO
Usiku wa kusisimua zaidi kwa wapenda soka duniani kote unarejea leo ambapo utaenda kushuhudia michezo mikali ikipigwa katika viwanja viwili tofauti katika hatua ya...
FT: MASHUJAA 1-1 SIMBA, LAKE TANGANYIKA, (6-5)
CRDB Federation Cup.
Mashujaa wanaifunagshia virago Simba kwenye CRDB Federation Cup kwa ushindi wa penalti 6-5 baada ya dakika 90 kutoshana nguvu kwa kufungana bao...