Saleh

Arsenal Yakubaliana na Aston Villa Kumsajili Ezri Konsa kwa Zaidi ya Pauni Milioni 50

LONDON: Arsenal imefikia makubaliano na Aston Villa kuhusu kumsajili beki wa England, Ezri Konsa, kwa ada inayozidi pauni milioni 50. Konsa, mwenye umri wa miaka 28, anatarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya kabla ya kukamilisha uhamisho wake kwenda Emirates Stadium. Arsenal ilianza tena mazungumzo na Aston Villa wiki iliyopita baada ya awali kushindwa kufikia makubaliano. Kwa…

Read More

Hospitali ya Kigogo Yapokea Wheelchairs, Meridianbet Yaongeza Tabasamu

Meridianbet imeongeza nguvu katika kampeni yake ya kusaidia jamii baada ya kuikabidhi Hospitali ya Kigogo msaada wa viti vya magurudumu, maarufu kama wheelchairs. Msaada huo umetolewa kupitia programu ya Uwajibikaji kwa Jamii (CSR), ukiwa na lengo la kuboresha huduma kwa wagonjwa wenye mahitaji maalum. Hatua hii imekuja wakati ambapo hospitali zinahitaji vifaa mbalimbali vinavyoweza kurahisisha…

Read More

Eastern Fury yafika Meridianbet, nguvu mpya ya kasino ya Pragmatic Play

Mashabiki wa michezo mipya, kuna kitu kipya kimeingia uwanjani. Eastern Fury kutoka Pragmatic Play sasa inapatikana kwenye kipindi maalumu cha uzinduzi wa utangulizi kupitia jukwaa bora la kasino mtandaoni la Meridianbet hadi 27 Agosti 2026, ikileta burudani yenye ladha ya kipekee kutoka Mashariki. Fikiria ukiingia kwenye ulimwengu uliojaa nguvu, nishati kali, nafasi kubwa na nyingi…

Read More

Shakira Aahidi Kujenga Upya Shule 10 Zilizoharibiwa na Tetemeko Colombia

Quibdó, Colombia — Mwanamuziki maarufu wa Colombia, Shakira Mebarak Ripoll, ameahidi kushiriki katika juhudi za kurejesha miundombinu ya elimu iliyoharibiwa na tetemeko la ardhi lililoikumba nchi hiyo, likiwemo kujenga upya shule 10 pamoja na kurejesha Chuo Kikuu cha Teknolojia katika eneo la Chocó. Ahadi hiyo imetolewa baada ya Shakira kutembelea Quibdó, Chocó, ambako alitembelea baadhi…

Read More

Depu Atoa Ujumbe Mzito Akiwaaga Mashabiki wa Yanga

Mshambuliaji wa kimataifa wa Angola, Laurindo Dilson “Depu”, ameaga rasmi klabu ya Yanga pamoja na mashabiki wake baada ya kuondoka Tanzania na kurejea Angola. Depu ametuma ujumbe wa kuwaaga mashabiki wa Yanga, huku akiwashukuru kwa mapokezi mazuri, upendo na ushirikano kubwa aliyopata tangu alipowasili klabuni hapo, pamoja na ushirikiano alioupata kutoka kwa wachezaji wenzake. Akizungumza…

Read More

Maguire Amtaka Rashford Kubaki Manchester United

Beki wa Manchester United, Harry Maguire, amesema anatumai mshambuliaji Marcus Rashford ataendelea kubaki katika klabu hiyo msimu ujao, akisisitiza kuwa mchezaji huyo ni mali muhimu kwa timu. Maguire alisema Rashford anaongeza ubora katika kikosi cha United na ana uwezo mkubwa wa kufunga mabao, hivyo wachezaji wenzake wangependa kumuona akiendelea kucheza Old Trafford. Hatma ya Rashford…

Read More