Vinicius Ang’ara, Brazil Yaifunga Scotland na Kutinga Hatua ya Mtoano Kombe la Dunia
Timu ya taifa ya Brazil imefuzu rasmi hatua ya mtoano ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuichapa Scotland mabao 3-0 katika mchezo wa Kundi C uliochezwa Miami, huku nyota wake Vinicius Junior akiendelea kung’ara kwa kufunga mabao mawili. Mshambuliaji huyo wa Real Madrid aliifungia Brazil bao la kwanza mapema dakika ya saba baada ya…