Wednesday, March 22, 2023
Home Authors Posts by Saleh

Saleh

4951 POSTS 0 COMMENTS

YANGA:US MONASTIR WATATUAMBIA WALITUFUNGAJE

0
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa Waarabu watwaambia waliwafungaje kwenye mchezo uliopita kutokana na mipango kazi inayoendelea ndani ya timu hiyo. Yanga inayonolewa na Kocha...

SIMBA HAKUNA MUDA WA KUREMBA NI KAZIKAZI

0
SIMBA hakuna muda wa kuremba ni kazikazi Ligi ya Mabingwa Afrika

TUNASEMAJEE MMEKUJA WAKATI MBAYA

0
TUNASEMAJE mmekuja mudà mbaya, Kwa walichopanga Monastir,Yanga washindwe wao ndani ya Championi Jumamosi

IHEFU WANA BALAA HAO

0
WABABE kutoka Mbeya, Ihefu wakiwa Uwanja wa Highland Estate wanabalaa dhidi ya vigogo ambao walikutana nao katika uwanja huo. Yanga bado wanakumbuka namna walivyotunguliwa kwenye...

WIKENDI HII TUSUA PESA UKIWA NA MERIDIANBET, VIWANJA MBALIMBALI KITAWAKA

0
EPL kuendelea Wikendi hii kwenye viwanja mbalimbali ambapo Everton watakuwa ugenini dhidi ya Chelsea ya Potter ambayo imekuwa na misukosuko mingi baada ya kuwa...

SENEGAL NDANI YA BONGO

0
INAINGIA kwenye rekodi mpya ndani ya Bongo kwa mchezaji anayecheza Ligi Kuu Bara kuitwa timu ya Taifa ya Senegal. Ni Pape Ousmane Sakho ameitwa kwenye...

SIMBA WAIPIGIA HESAU ROBO FAINALI

0
BEKI mwenye uwezo wa kupandisha na kulinda lango la Simba, Shomari Kapombe ameweka wazi kuwa watapambana kufikia malengo ya kutinga hatua ya robo fainali. Simba...

RUVU SHOOTING:TUNACHUKUA POINTI KWENYE UGUMU

0
MASAU Bwire, Ofisa Habari wa Ruvu Shooting amesema kuwa mwendo wa mpapaso utaendelea kwenye mechi zilizobaki licha ya kuwa zitakuwa ngumu hawana mashaka. Timu hiyo...

VIDEO;SIMBA YAWEKA WAZI MIPANGO KUIKABILI HOROYA

0
KOCHA Simba acharuka kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Horoya

INFANTINO ACHAGULIWA TENA KUONGOZA FIFA

0
Rais wa shirikisho la kandanda duniani Gianni Infantino amesema kwamba ataendelea kuimarisha kukua kwa sekta ya soka ulimwenguni kwa kuinua kiwango cha mpira wa...

TABASAMU KIMATAIFA LINAHITAJIKA

0
MBALI kimataifa kila mchezaji anapenda kuona timu yake inafika hata mashabiki pia wanafikiria jambo hilo hasa ukizingatia kwamba mechi zinazofuata zinachezwa Uwanja wa Mkapa. Kuna...

YANGA YAWAITA MASHABIKI KWA MKAPA

0
ALI Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema ni muhimu kwa mashabiki kujitokeza kwa wingi Uwanja wa Mkapa kushuhudia kazi dhidi ya US Monastir. Mchezo huo...

KAGERA SUGAR KUJIPANGA UPYA

0
KOCHA Mkuu wa Kagera Sugar, Mecky Maxime amesema kuwa watajipanga kwa mechi zijazo ili kupata matokeo mazuri. Timu hiyo kwenye mchezo uliopita ilipoteza kwa kufungwa...

ROBERTINHO AWAFANYIA UMAFIA HOROYA,YANGA YAWAKOMALIA WAARABU

0
Robertinho awafanyia umafia Horoya, Yanga wapo tayari kuwamaliza Waarabu ndani ya Championi Ijumaa

HIVI NDIVYO ITAKAVYOKUWA VITA YA AZAM FEDERATION,FAINALI TANGA

0
DROO ya mashindano ya Azam Fedaration hatua ya robo fainali imechezeshwa leo Machi 15,2023 Dar, watani wa jadi Simba na Yanga hawatakutana katika hatua...

MERIDIANBET YASHUSHA NEEMA KWA BODABODA KAWE

0
Bahati haiji kwa siku moja lakini msemo huu una maana kubwa kwa bodada wa Kawe ambapo Meridianbet, iliwapatia Reflector ikiwa ni maadhimisho ya wiki...

CITY YAPIGA MTU KIFURUSHI CHA WIKI

0
MANCHESTER City kwenye mchezo wa UEFA Champions League wamemchapa RP Leipzig mabao 7-0. Uwanja wa Etihad ulisoma hivyo na kuwapa nafasi ya kusonga mbele kwa...