Saleh
RATIBA YA LIGI KUU BARA LEO
JUNI 29,2022 Ligi Kuu Tanzania Bara ngwe ya mwisho inatarajiwa kuchezwa leo kwa kila timu kusaka pointi tatu muhimu.
Ni Mbeya Kwanza pekee ambaye ameshajua...
HATIMAYE KAFIKA KOCHA SIMBA,YANGA YAMPA NABI MIAKA MIWILI
HATIMAYE kafika kocha wa viwango atua Simba,ana uzoefu na soka la Afrika ndani ya Championi Jumatano
BAYERN MUNICH WANAKUJA NA JAMBO LINGINE
MSIMU wa 2021/22 haukuwa bora kwa Bayern Munich kama wengi ambavyo walitarajia licha ya kutwaa taji la Bundesliga kwa mara ya kumi mfululizo.
Bayern Munich...
RASMI:KOCHA MPYA SIMBA NI MSERBIA
RASMI leo Juni 28,2022 Klabu ya Simba imemtangaza,Zoran Manojlovic kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo akichukua mikoba ya Pablo Franco ambaye alichimbishwa Mei 31,2022.
Kocha...
SAUTI:AZAM HAINA MPANGO WA KUISHUSHA BIASHARA ILA INATAKA POINTI
UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kwamba unahitaji pointi tatu za Biashara United ila hauna mpango wa kuishusha timu hiyo kwa kuwa wanajua kwamba...
KOCHA HUYU ATAJWA KUINGIA ANGA ZA SIMBA
AMES Kwasi raia wa Ghana na nyota wa zamani wa Asante Kotoko anatajwa kuwa kwenye hesabu za mabosi wa Simba kurithi mikoba ya Pablo...
HIZI HAPA TIMU ZITAKAZOSHIRIKI KIMATAIFA BONGO
MTENDAJI Mkuu wa Bodi ya Ligi Tanzania, Almas Kasongo amesema kuwa ni timu nne ambazo zitaiwakilisha Tanzania katika anga la kimataifa.
Ni katika michuano ya...
RATIBA YA NGAO YA JAMII YAWEKWA WAZI, LIGI KUANZA AGOSTI 17,...
MTENDAJI Mkuu wa Bodi ya Ligi TPLB, Almasi Kasongo leo Juni 28, 2022 ametangaza ratiba ya mchezo wa Ngao ya hisani kuwa utachezwa Agosti...
EXCLUSIVE: DEREVA ALIYEENDESHA BASI LA YANGA LA UBINGWA KUTOKA UGANDA, AFUNGUKA...
GLOBAL TV imefanya mahojiano na Dereva aliyeendesha gari walilotumia Yanga kwenye kushangilia Ubingwa wao jana juni 26, ambalo limetoka nchini Uganda.
⚫️ SIKILIZA + 255...
NAMNA LIVERPOOL WANAMVYOMKUMBUKA MANE
STORI ya kusisimua mchana wa Agosti 14, 2016, ugenini Emirates dhidi ya Arsenal, Liverpool tunaongoza 3-1 mbele ya wenyeji.
Philippe Coutinho akiwa amefunga mabao mawili,...
WINGA WA CHELSEA ZIYECH KUUZWA
MABOSI wa Chelsea, wamekubaliana kumuuza winga wa timu hiyo, Hakim Ziyech ambaye alitua kikosini hapo mwaka 2020 kwa pauni 33.3m.
Winga huyo alifanya vizuri wakati...
GABRIEL JESUS KUIBUKIA ARSENAL
KAMA mambo yakienda sawa, basi wiki ijayo, Arsenal itamtabulisha Gabriel Jesus ambaye wamemnasa kwa pauni 50m akitokea Manchester City.
Arsenal kumpata straika huyo ni baada...
STAA HUYU KUTOKA LEEDS UNITED MALI YA MAN CITY
KLABU ya Manchester City, imefanikiwa kukamilisha dili la kumsajili kiungo wa Leeds United, Kalvin Phillips kwa pauni 45m.
Kiungo huyo mwenye miaka 26, katika hela...
MO SALAH KUUZWA LIVERPOOL
IMERIPOTIWA kuwa, Klabu ya Liverpool ipo tayari kumuachia, Mohamed Salah kama wakipata ofa nzuri kuanzia pauni 60m.
Salah amesaliwa na mwaka mmoja katika mkataba wake...
KIPA SIMBA AONGEZA MIAKA MIWILI
KIPA namba moja wa kikosi cha Simba ambacho kwa sasa kipo chini ya Kaimu Kocha Mkuu, Seleman Matola Aishi Manula ameongezewa mkataba wake wa kuendelea...
MWAMBA HUYU HAPA ANATUA YANGA,NDANI YA SPOTI XTRA JUMANNE
MWAMBA huyu hapa Yanga yamshusha Dar,yamficha hotelini,ni mfungaji bora Zambia na Bosi aahidi sapraizi ya majembe mapya Simba ndani ya Spoti Xtra Jumanne
KICHUYA AWEKA REKODI YAKE BONGO
SHIZA Ramadhan Kichuya staa wa Namungo jana amefunga mabao matatu kwenye mchezo wa ligi na kufanya aweze kufunga hat trick kwenye mchezo huo ikiwa...