Thursday, September 28, 2023
Home Authors Posts by Saleh

Saleh

6144 POSTS 0 COMMENTS

KIMATAIFA: AL MERRIKH 0-0 YANGA

0
KAZI kubwa inafanywa na wawakilishi wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi. Ni mchezo wenye ushindani mkubwa ikiwa...

KIMATAIFA: POWER DYNAMO 1-0 SIMBA

0
UKIWA ni mchezo wake wa kwanza kukaa langoni akiwa na uzi wa Simba kipa Ayoub raia wa Morocco ametunguliwa bao moja. Ni mchezo wa Ligi...

SIMBA NA YANGA KIMATAIFA, NCHI IPO KAZINI

0
MAPIGO ya moyo kwenda kasi katika kiwango chake hiyo ni afya, ikitokea kukawa kuna jambo la tofauti limetokea kwa wengi tutasema nchi ipo kazini. Mastaa...

YANGA YATEMBEZA MKWARA HUU KIMATAIFA

0
KUELEKEA mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Merreikh Waarabu wa Sudan, uongozi wa Yanga umeweka wazi kuwa wachezaji wote wapo tayari...

HUYU HAPA SIMBA KUMTUMIA KIMATAIFA

0
BAADA ya kushuhudia kikosi chake kikipangwa kuvaana na Al-Ahly katika mchezo wa robo fainali ya Kombe la African Football League, kocha mkuu wa Simba Mbrazil, Robert Olivieira ‘Robertinho’ amefunguka...

KOCHA YANGA AFICHUA SIRI HII YA 5G

0
KOCHA Mkuu wa Yanga Muargentina Miguel Gamondi amezipa tahadhari timu za Ligi Kuu Bara. Hiyo ni baada ya timu yake kuanza vema kwa kushinda mechi mbili mfululizo mabao...

SHABIKI YANGA AKOMBA MKWANJA MREFU NA M-BET

0
SHABIKI wa Klabu ya Yanga Paulo  Martin ameshinda  Sh120,989,610 baada ya kubashiri kwa usahihi mechi 12 za ligi mbalimbali duniani kupitia mchezo wa Perfect 12 wa kampuni...

SIMBA NA YANGA MAKUNDI WEKENI HESABU ZA LAZIMA

0
SAFARI ya kwenda Rwanda, safari kwenda Zambia zote zilikuwa na upekee wake. Nianze na dua, Mwenyezi Mungu awatangulie ndugu zetu wafike salama na kurejea...

SIMBA KUSEPA BONGO MAPEMA KUWAWAHI WAZAMBIA

0
KUELEKEA kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Power Dynamo ya Zambia uongozi wa Simba umeweka wazi kuwa utaondoka mapema kuwawahi wapinzani...

YANGA WACHOREWA RAMANI YA USHINDI MBELE YA WAARABU

0
KIUNGO wa kimataifa wa Rwanda ambaye amewahi kukipiga ndani ya timu za Simba na Yanga, Haruna Niyonzima, amesema mbali na mapokezi makubwa ambayo kikosi...

ROBERTINHO AKOLEZA DOZI SIMBA

0
ROBERTO Oliveira ‘Robertinho’ Kocha Mkuu wa Simba, ameweka wazi kuwa, kinachotakiwa kufanyika kwa sasa ni wachezaji wote kuongeza kasi na umakini wawapo ndani ya...

GAMONDI: NAWEKA REKODI MPYA YANGA

0
KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi, amefichua kuwa, anafahamu timu hiyo ina rekodi mbaya kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kushindwa kucheza...

COASTAL UNION INAJITAFUTA KIMATAIFA

0
UONGOZI wa Coastal Union umesema  utahakikisha kuwa unafanya vizuri kwenye ligi kuu msimu huu ili kupata nafasi ya kushiriki michuano ya kimataifa msimu ujao. Mpaka ...

MAXI, PACOME WAITEKA RWANDA,ROERTINHO ASHUSHA NONDO NZITO KWA LUIS

0
MAX, Pacome waiteka Rwanda, Robertinho ashusha nondo nzito kwa Luis, Onana, Stars yafuzu kibabe Afcon ndani ya Championi Ijumaa

HISTORIA IMEANDIKWA NA WACHEZAJI WA TAIFA STARS KUFUZU AFCON

0
HISTORIA nyingine imeandikwa baada ya timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kufuzu mashindano ya Afrika kwa timu za Taifa, (Afcon) yatakayofanyika Ivory Coast,...

KASI YA LIGI ISIPOE, KAZI JUU YA KAZI

0
LIGI Kuu Bara ambayo ilianza kwa kasi kutokana na maandalizi ambayo yalifanywa na timu zote. Ni burudani iliyokuwa imekosekana kwa muda na sasa ni...