
YANGA SC: TUMEBAKIWA NA MECHI MBILI TU ZA LIGI
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa umebakiwa na mechi mbili za Ligi Kuu Bara msimu wa 2024/25 mara baada ya kucheza dhidi ya Namungo FC, Mei 3 2025. Katika mchezo huo ambao unakuwa ni wa 27 kwa Yanga SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi baada ya dakika 90 ubao ulisoma Yanga 3-0 Namungo FC…