Saleh

FT: Mbeya City 0-0 Azam FC

UBAO wa Tanzanite Kwaraa, Manyara umesoma Mbeya City 0-0 Azam FC NBC Premier League leo Aprili 9, 2026. Wababe hawa wawili wamekamilisha dakika 90 bila kufungana kwenye mchezo wa leo uliokuwa na ushindani mkubwa ndani ya uwanja. Matokeo hayo yanaifanya Mbeya City kufikisha jumla ya pointi 17 ikiwa nafasi ya 12 huku Azam FC nafasi…

Read More

Usiku wa Maamuzi Europa leo Usiku: Nani Ataanza na Ushindi Muhimu? Villa vs Nottingham Forest, Freiburg vs Celta Vigo

Je unajua kuwa Aston Villa ni moja ya timu ambazo zinapigiwa chapuo kuchukua taji la Europa msimu huu?. Unai Emiry na vijana wake wamekuwa na kiwango kizuri sasa. Je wewe unawapa nafasi ipi? Bologna atamleta kwake Aston Villa kutoka kule Uingereza huku mechi hii ikionekana kuwa ya kibabe kabisa kwani timu hizi zote zinahitaji ushindi…

Read More

FT: TRA United 0-0 Simba SC

Ubao wa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid umesoma TRA United 0-0 Simba SC. Umiliki wa mpira ilikuwa ni asilimia 39 kwa wenyeji na wageni asilimia 61. Huu ni mchezo wa mzunguko wa kwanza ambao ulikuwa ni kiporo baada ya mwanzo mchezo huu kuahirishwa kutokana na mvua kubwa kunyeshwa. Matokeo hayo yanaifanya Simba SC kufikisha jumla…

Read More

FT: Pamba Jiji FC 0-3 Yanga SC

Dakika 90 zimekamilika kwenye mchezo wa leo huku ubao ukisoma Pamba Jiji FC 0-3 Yanga SC, Aprili 8, 2026 kwenye NBC Premier League, Uwanja wa CCM Kirumba. Magoli ya Yanga SC yamefungwa na Mudathir Yahya dakika ya 8 na 34 huku goli la tatu likifungwa na Maxi Nzengeli dakika ya 66 ya mchezo. Ni Allan…

Read More

Pamba Jiji 0-2 Yanga SC, NBC Premier Leagu

Pamba Jiji FC 0-2 Yanga SC NBC Premier League Aprili 8, 2026 Uwanja wa CCM Kirumba Magoli yamefungwa na  Mudathir Yahya dakika ya 8 na 34 Asisti zote zimetolewa na Allan Okello dk 8 na 34 Huu ni mchezo wa mzunguko wa pili 2025/26. Pamba Jiji FC wanatumia mfumo wa 4-3-3 huku Yanga SC wakitumia…

Read More

Pamba Jiji FC vs Yanga SC kituo kinachofuata

Pamba Jiji FC vs Yanga SC kituo kinachofuata katika NBC Premier League 2025/26 kwa wababe hawa wawili kusaka pointi 3 muhimu. Yanga SC 3-0 Tanzania Prisons ni matokeo yaliyopita kwenye mchezo wa ligi na mchezaji bora alichaguliwa Allen Okello raia wa Uganda ilikuwa ni Aprili 4, 2026, Uwanja wa KMC Complex. Mashujaa FC 0-0 Pamba…

Read More

Hii hapa ratiba ya Simba SC Aprili

SIMBA SC 2025/26 ina mechi za kazi zinafuata kwenye ratiba mara baada ya kukamilisha dakika 90 dhidi ya Azam FC kwa sare ya 0-0, Uwanja wa Azam Complex, Aprili 5, 2026. Hii hapa ratiba inayofuata kwa Simba SC:- TRA United vs Simba SC, Aprili 9, 2026, saa 10:00 jioni Simba SC vs Dodoma Jiji FC,…

Read More

Mechi atakazokosekana Diarra Yanga SC 2025/26

BAADA ya kuwa kwenye adhabu ya kufungiwa mechi 3 na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania, (TPLB) kutokana na makosa ya kinidhamu mlinda mlango namba moja wa Yanga SC, Djigui Diarra tayari ameshakosekana kwenye mchezo mmoja wakiwa nyumbani na langoni alianza Aboutwalib Mshery. Yanga SC 3-0 Tanzania Prisons, Aprili 4,2026. Mchezo huu Yanga SC walikuwa nyumbani,…

Read More