Saleh
JKT TANZANIA NGOMA NGUMU MBELE YA YANGA
LICHA ya mazingira ya Uwanja wa Meja Isamuhyo kutokuwa rafiki kwa timu zote mbili ngoma imekuwa ngumu kwa wote wawili kugawana pointi mojamoja.
Ubao umesoma...
Title:MERSEYSIDE MOTO UTAWAKA LEO
Usiku wa leo zitapigwa mechi mbalimbali kwenye ligi tofauti tofauti barani ulaya ila kwa kiwango kikubwa macho yatakua pale Uingereza kwenye dimba la Goodson...
SIMBA KWENYE KAZI LEO MUUNGANO
SELEMAN Matola, kocha msaidizi wa Simba amesema kuwa wapo tayari kwa mchezo wa Kombe la Muungano dhidi yaKVZ ambao unatarajiwa kuchezwa leo Aprili 24,...
CHEZA MCHEZO WA 420 BLAZE IT DROO 10 ZA USHINDI
Je, umewahi kucheza mchezo wa droo wenye droo 10? Ikiwa hujawahi, sasa unapata nafasi kamili ya kufanya hivyo. Kupitia Meridianbet Kasino ya Mtandaoni kuna...
JOB ANAPAMBANA NA YANGA
BEKI wa kazi ngumu Dickson Job tuzo ya beki bora inanukia kwake kwa mara nyingine tena kutokana na ushirikiano mkubwa uliopo katika timu hiyo.
Mbali...
ANASEPA NDANI YA SIMBA MWAMBA BENCHIKHA? SABABU HIZI
INATAJWA kwamba Kocha Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha huenda akasepa ndani ya timu hiyo kutokana na mwendo ambao upo kwa kushindwa kupata matokeo kwenye...
FEI TOTO AFICHUA JAMBO HUKO
KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ameweka wazi kuwa kuwa bora ndani ya uwanja ni kufuata maelekezo ya mwalimu.
Fei amekuwa bora msimu wa...
ARSENAL NA CHELSEA NANI KUIBUKA MBABE LEO?
Uingereza kutapigwa mechi kubwa na ya kibabe kabisa katika ya miamba miwili ya soka kutoka jiji la London klabu ya Arsenal watacheza dhidi ya...
JKT TANZANIA V YANGA KUPANGIWA TAREHE
MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya JKT Tanzania dhidi ya Yanga uliotarajiwa kuchezwa Aprili 23 2024 Uwanja wa Meja Isamuhyo umeahirisha.
Huu ni mchezo...
SIMBA HAO ZANZIBAR
KIKOSI cha Simba leo kimeanza safari kuelekea Zanzibar kwa ajili ya mashindano ya Muungano Cup 2024.
Simba haijawa kwenye mwendo mzuri ndani ya ligi baada...
JKT TANZANIA: TUTACHEZA KAMA FAINALI DHIDI YA YANGA
BENCHI la ufundi la JKT Tanzania limebainisha kuwa litacheza mechi zote ambazo zimebaki kama fainali ikiwa ni pamoja na mchezo wa leo dhidi ya...
CHEZA BLACKJACK2 TIMIZA NDOTO ZAKO NA MERIDIANBET KASINO
Blackjack 2 ni moja ya mchezo wa kadi rahisi sana kucheza na kuibuka mshindi, wakati huo unafurahia mhcezo kutoka Meridianbet kasino ya mtandaoni, hakikisha...
INONGA KWENYE ULIMWENGU WAKE SIMBA
HENOCK Inonga katika Ligi Kuu Bara sio chaguo la kwanza la Kocha Mkuu Abdelhakh Benchikha kwa kuwa anatumia muda mwingi nje ya uwanja.
Beki huyo...
YANGA KWENYE KAZI NYINGINE TENA
VINARA wa Ligi Kuu Bara, Yanga leo wanakibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya JKT Tanzania.
Yanga Aprili 20 2024 imetka kukomba pointi tatu dhidi...
AMETOA TAMKO HILI BOSI SIMBA KUHUSU MWENDO WAO
AMETOA tamko hili bosi Simba kuhusu mwendo wao ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24
SHINDANO LA EXPANSE MERIDIANBET LINATOA MGAO WA PESA KWA WASHINDI KILA...
Meridianbet Kasino ya Mtandaoni ni moja ya chimbo rahisi la kutengenezea pesa, kupitia promosheni, bonasi za kasino, na michezo mingi ya kasino na sloti...
AZAM FC WAITULIZA IHEFU
USHINDI wa Azam FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ihefu unawapa pointi tatu mazima huku mwamba Feisal Salum akifikisha mabao 14.
Azam...