Allan Okello Atwaa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwezi Mei NBC Premier League
Kiungo mshambuliaji wa Young Africans SC, Allan Okello, ametangazwa kuwa Mchezaji Bora wa Mwezi Mei wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2025/26 baada ya kuonyesha kiwango cha juu katika mechi za mwezi huo. Okello aling’ara kwa kufunga mabao tisa na kutoa pasi moja ya bao katika michezo sita, akichangia kwa kiasi kikubwa mafanikio ya…