Azam FC yatambulisha nyota mpya
Azam FC imekamilisha usajili wa kiungo Donovan Makoma rai awa Ufaransa kuwa katika kikosi hicho kuelekea msimu mpya wa 2026/27. Nyota huyu amesajiliwa akitokea Klabu ya Birkirkara ya Ligi Kuu Malta ikiwa ni mwendelezo wa kuongoeza nguvu kwenye kikosi hicho. Wengine ambao wametambulishwa Azam FC ni John Mano raia wa Sudan alitambulishwa Julai 21,2026 akitokea…