Yanga SC 1-0 TMA Stars CRDB Federatin Cup
Yanga SC 1-0 TMA Stars CRDB Federatin Cup ni matokeo ya mchezo wa leo hatua ya 16 bora ambao umechezwa Uwanja wa KMC Complex. Goli la ushindi la Yanga SC limefungwa na kiungo mshambuliaji Maxi Nzengeli dakika ya 69 ya mchezo. Ni wazi kuwa Yanga SC ni mabingwa watetezi wa taji hilo hivyo wanaendelea safari…