New York Knicks Watwaa Ubingwa wa NBA Baada ya Kusubiri Zaidi ya Miaka 50
Timu ya New York Knicks imeandika historia kwa kutwaa ubingwa wa NBA kwa mara ya kwanza baada ya zaidi ya miaka 50, kufuatia ushindi wa pointi 94-90 dhidi ya San Antonio Spurs katika mchezo wa tano wa fainali uliochezwa Texas. Knicks walihitaji ushindi mmoja pekee kukamilisha kazi baada ya kuongoza mfululizo huo kwa michezo 3-1,…