
MUKWALA HESABU ZAKE NDEFU SIMBA SC
MSHAMBULIAJI wa Simba SC Steven Mukwala hesabu zake ni ndefu kwenye kikosi hicho ambacho kinanolewa…
MSHAMBULIAJI wa Simba SC Steven Mukwala hesabu zake ni ndefu kwenye kikosi hicho ambacho kinanolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids katika mechi za ushindani. Mukwala ameweka wazi kuwa mpango mkubwa ni kuona timu hiyo inapata matokeo chanya kwenye mechi ambazo wanacheza ndani ya uwanja msimu wa 2024/25. Mshambuliaji huyo anaingia kwenye orodha ya wakali wakucheka…
Mchambuzi wa soka nchini, Jemedari Said ameeleza kuwa wanapaswa kutuambia Kiongozi aliyepiga simu kusababisha yote hayo kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Yanga SC, Ally Kamwe.
CLIFORD Ndimbo, Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) amesema kuwa Yanga SC wamegoma kuongea na kuacha barua licha ya kuitwa na Katibu Mkuu Wilfred Kidao. Juni 10 2025 TFF walitoa taarifa kuhusu ufafanuzi wa fedha za malipo ya zawadi ya bingwa wa CRDB Federation Cup ambazo Yanga SC walibainisha kuwa hawajapewa na katika…
AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC ameweka wazi kuwa mchezo wa Kariakoo Dabi, Jumapili Juni 15 2025 upo palepale. Ipo wazi kwamba wenyeji wa mchezo huo ni Yanga SC ambao wameweka wazi kwamba hawatacheza mchezo huo mpaka matakwa yao manne yatakapotimizwa na watakuwa tayari kucheza mchezo wa Kariakoo Dabi tarehe…
Sakata la mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Yanga na Simba limechukua sura mpya, baada ya kutinga bungeni, huku serikali kuombwa itoe kauli kuhusu kinachoendelea. Suala hilo liliibuliwa asubuhi leo Juni 11, 2025 na Mbunge wa Makete, Festo Sanga kwenye swali lake la nyongeza kwa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, akiomba…
Ofa nyingine ya kibabe imefika! Ni promosheni ya kasino ambayo itakupatia zawadi nyingi ikiwemo pesa taslimu na mizunguko ya bure. Ingia kwenye akaunti yako na ucheze michezo mbalimbali ambayo inapatikana kwenye promosheni hiyo na unufaike na Meridianbet. Spinomenal, Ni kampuni kubwa ya kimataifa inayotengeneza na kusambaza michezo ya kasino ya mtandaoni hasa Sloti za video…
Tumeandaa zawadi nzuri sana kwa wapenzi wote wa sloti za matunda. Mchezo huu wa kasino mtandaoni ya Meridianbet hautakuwa tu katika muundo usio wa kawaida lakini utakuletea bonasi kubwa sana. Jukumu lako ni kufurahia sloti hizi za kasino. 81 Vegas Magic ni sloti ya kupiga pesa kasino mtandaoni iliyotengenezwa na mtoa huduma Tom Horn. Alama…
Klabu ya Yanga imejibu mapigo baada ya Shirikisho la soka Tanzania (TFF) kudai klabu hiyo fedha zao za zawadi katika mashindano mbalimbali zikatwe kulipia malipo wanayotakiwa kuilipa kwa TFF huku ikidai kuwa haijawahi kulipwa fedha yoyote ya Ubingwa wa Kombe la Shirikisho kwa Misimu mitatu mfululizo, (2021/2022, 2022/2023 na 2023/24). Taarifa ya leo Juni 10,…
Shirikisho la soka Tanzania (TFF) imetoa ufafanuzi kuhusu Madai ya klabu ya Yanga Sc kuhusu kutolipwa zawadi ya ubingwa wa Kombe la Shirikisho la Benki ya CRDB ya Tsh milioni mia mbili (200,000,000) kubainisha kuwa TFF ndiyo inayoidai klabu hiyo ikiwemo malipo ya ada za wachezaji wa kigeni. Taarifa ya leo Juni 10, 2025 ilitolewa…
BEKI wakupanda na kushuka ndani ya kikosi cha Simba SC, Che Malone kazi ipo kuelekea msimu wa 2025/26 ambapo anatajwa kuwa kwenye hesabu za kukutana na Thank You. Beki huyo ni chaguo la kwanza ndani ya kikosi cha Simba SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids hajawa kwenye mwendelezo mzuri kwenye mechi za ushindani za…
WADHAMINI wa mashindano ya FA, Bank ya CRDB imetoa ufafanuzi kuwa ilishafanya malipo yote ya msimu uliopita katika Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), hivyo wao hawadaiwi kitu chochote. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2023/24 mabingwa wa taji hilo walikuwa ni Yanga SC walioshinda kwenye fainali mbele ya Azam FC kwa ushindi wa penati 6-5. Azam FC…
Mkali kwenye kucheka na nyavu ambaye yupo Singida Black Stars, Elvis Rupia anatajwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Jangwani Yanga SC ambao wanahitaji saini yake kwa ajili ya msimu mpya wa 2025/26. Rupia ndani ya ligi katupia mabao 10 akiwa namba mbili kwenye eneo hilo ndani ya Singida Black Stars na kinara ni Jonathan…
UONGOZI wa Simba SC umetoa taarifa kwa umma kuwa mchezo wao wa Kariakoo Dabi dhidi ya Yanga SC unaotarajiwa kuchezwa Juni 15 2025 upo kama ulivyopangwa. Taarifa ambayo imetolewa mapema Juni 10 2025 na Simba SC imeeleza kuwa Klabu ya Simba inatoa taarifa kwa Wanachama, wapenzi na umma kuwa mchezo nambari 184 dhidi ya Yanga…
Giant Wild Goose Pagoda ni mchezo wa sloti kwenye kasino ya mtandaoni yenye nguzo tano zilizopangwa katika mistari minne na ina njia 50 za kulipa. Ili kupata ushindi wowote, lazima upate angalau alama mbili au tatu zinazofanana kwenye mstari wa ushindi. Mfuatano wa ushindi unahesabiwa kutoka kushoto kwenda kulia kuanzia nguzo ya kwanza upande wa…
ALMAS Kasongo, CEO wa Bodi ya Ligi Tanzania ameweka wazi kuwa maazimio manne ambayo Yanga SC wamepeleka kwenye kikao walichokaa yapo nje ya uwezo wa bodi hivyo watapeleka kwenye mamlaka husika ili yafanyiwe kazi. Ikumbukwe kwamba Juni 9 2025 kulikuwa ni kikao maalumu kati ya Bodi ya Ligi Tanzania na Yanga SC kilichofanyika makao makuu…
MATAJIRI wa Dar, Azam FC hesabu kubwa kwa sasa ni kuelekea mchezo wao wa mwisho msimu wa 2024/25 wakiwa katika uwanja wao wa nyumbani. Azam FC uwanja wao wa nyumbani ni Azam Complex wanafunga ukurasa wa mwisho kwa mchezo dhidi ya TaboraUnited katika msako wa pointi tatu muhimu ndani ya dakika 90. Kwenye msimamo Tabora…
Giant Wild Goose Pagoda ni mchezo wa sloti kwenye kasino ya mtandaoni yenye nguzo tano zilizopangwa katika mistari minne na ina njia 50 za kulipa. Ili kupata ushindi wowote, lazima upate angalau alama mbili au tatu zinazofanana kwenye mstari wa ushindi. Mfuatano wa ushindi unahesabiwa kutoka kushoto kwenda kulia kuanzia nguzo ya kwanza upande wa…