
KIKWAZO KWENYE MERSEYSIDE DERBY HIKI HAPA
KOCHA Mkuu wa Liverpool, Arne Slot ameweka wazi kuwa mchezo wao wa Merseyside Derby lazima…
KOCHA Mkuu wa Liverpool, Arne Slot ameweka wazi kuwa mchezo wao wa Merseyside Derby lazima wapambane kupata ushindi huku kikwazo kikitajwa kuwa ni David Moyes ambaye ni Kocha Mkuu wa Everton kwenye mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Anfield. Huu ni mchezo wa Ligi Kuu England ambapo vinara hao wa ligi wakiwa na pointi 70 baada…
Miamba ya Nchini Misri, Al Ahly na Pyramids zimeanza hatua robo fainali ya Ligi ya Mabingwa kwa ushindi huku Maharamia wa Afrika Kusini, Orlando Pirates wakiilaza MC Alger ya Algeria ugenini. FT Pyramids πͺπ¬ 4-1 π²π¦ FAR Rabat β½ 02β Mayele β½ 12β Mayele β½ 39β Adel β½ 67β Adel β½ 45β Hadraf FT Al…
Real Madrid imesonga mbele kwenda fainali ya kombe la Copa del Rey kufuatia ushindi wa jumla wa 5-4 dhidi ya Real Sociedad kwenye nusu fainali na imetangulia fainali kumsuburi mmoja kati ya Barcelona au Atletico Madrid. Real Madrid ilishinda 1-0 kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza kabla ya kutoshana nguvu kwa sare ya 4-4 kwenye…
OFISA Habari wa Fountain Gate, Issa Liponda maarufu kwa jina la Mbuzi amesema kuwa hakuna namna yoyote anayoona kwa wapinzani wao Singida Black Stars wakitoka kwenye mchezo wao wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Aprili 2 2025. Ni Uwanja wa Tanzanite, Kwaraa, Manyara mchezo huo unatarajiwa kuchezwa saa 10:15 kwa wababe hawa wawili kusaka pointi tatu muhimu…
LIGI Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora bado inaendelea ambapo kwa sasa ni mzunguko wa pili vinara wakiwa ni Yanga na pointi zao kibindoni ni 58, hii hapa ratiba ya mechi kwa Aprili na Mei zipo namna hii:- Pamba Jiji v Namungo, Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza inatarajiwa kupigwa saa 8:00 mchana….
UONGOZI wa Yanga umebainisha kuwa unazitaka pointi tatu za Tabora United kwenye mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi hivyo wataingia kwa tahadhari kuwakabili wapinzani wao. Novemba 7 2024 baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Azam Complex ulisoma Yanga 1-3 Tabora United, pointi tatu ziliyeyuka mazima kwa mabingwa watetezi wa…
FADLU Davids, Kocha Mkuu wa kikosi cha Simba ambacho kinapeperusha bendera ya Tanzania kimataifa amesema hesabu kubwa ni kuona wanapata matokeo chanya kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Al Masry ya Misri ambao unatarajiwa kuchezwa leo saa 1:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki. Miongoni mwa wachezaji ambao wapo nchini Misri ni…
MTAMBO wa mabao ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi upo kamili kwa mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa Aprili 2 2025, Tabora. Ni Prince Dube chaguo la kwanza la kocha ni miongoni mwa wachezaji ambao wapo kwenye kikosi cha Yanga ambacho kinakumbuka kwamba mzunguko wa kwanza walipoteza pointi tatu mazima Uwanja wa…
1.AL AHLYπͺπ¬ Vs AL HILALπΈπ© saa nne usiku 2.MAMELOD πΏπ¦ VS ESPARENCE TUNISπΉπ³ saa kumi jioni 3.MC ALGER π©πΏ VS ORLANDO PIRATESπΏπ¦ saa nne usiku 4.PYRAMID πͺπ¬ VS FAR RABAT π²π¦ saa nne usiku NANI ANAPASUKA LEO KWA MAONI YAKO…??
KOCHA Mkuu wa Simba, Fadlu DavidsΒ amesema kuwa wamepata muda wa kuwafutilia wapinzani wao Al Masry na kutambua kuwa ni miongoni mwa timu ambayo ina nguvu ubwa kwenye ulinzi na kushambulia jambo ambalo watakabiliana nalo ili kupata matokeo chanya. Kikosi cha Simba kipo nchini Misri kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa Kombe la Shirikisho…
MILOUD Hamdi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema watapambana kufanya kazi kubwa mbele ya Tabora United ili wapate pointi tatu muhimu katika mchezo ujao unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa ndani ya dakika 90. Machi 2025 Yanga ilifunga kwa kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Songea United mchezo wa CRDB Federation Cup ilikuwa ni Machi 29…
MATAJIRI wa Dar, Azam FC wanapiga hesabu kuvuna pointi tatu ugenini dhidi ya Ken Gold mchezo unaotarajiwa kuchezwa Aprili 3 2025 Uwanja wa Sokoine ikiwa ni mzunguko wa pili. Baada ya mechi 23 ambazo ni dakika 2,070 Azam FC imekusanya jumla ya pointi 48 ikiwa nafasi ya tatu kwenye msimamo, safu ya ushambuliaji imetupia mabao…
AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema kuwa wamechoka kugotea hatua ya robo fainali kwenye mashindano ya kimataifa hivyo watapambana kuvuka hatua hiyo. Kwa sasa kikosi cha Simba kipo nchini Misri kwa maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wao wa kimataifa hatua ya robo fainali dhidi ya Al Masry mchezo unaotarajiwa kuchezwa…
TABORA United itawakabili mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika, Yanga bila uwepo wa mchora ramani ya ushindi kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza walipokutana katika dakika 90 zakuvuja jasho. Mpaka mchora ramani huyo anakutana na Thank You rekodi zinaonyesha kuwa alikaa benchi kwenye jumla ya mechi 14,…
BEKI wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi, Ibrahim Bacca deni lake la mabao kwa sasa ni 11 ili kufanikisha malengo aliyokuwa nayo msimu wa 2024/25. Beki huyo mwanzo wa msimu baada ya kufungua akaunti yake ya mabao kwenye mchezo dhidi ya Ken Gold uliochezwa Uwanja wa Sokoine alibainisha…
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Machi 29, 2025 amefanya ukaguzi wa viwanja vitakavyotumiwa kufanyia mazoezi na timu zitakazo shiriki michuano ya CHAN Agosti 2025 na AFCON 2027 kwa Ushirikiano na nchi za Kenya na Uganda. Baada ya ukaguzi huo Mheshimiwa Majaliwa amewaagiza Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, na Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo…