JOSÉ MOURINHO ARUDI BENFICA KAMA KOCHA MKUU

Baada ya kupoteza mchezo wao wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Qarabağ, Benfica imefanya uamuzi mkubwa kwa kutengana na kocha wake mkuu na kumrejesha gwiji wa soka, José Mourinho. Kwa mujibu wa taarifa za ndani zilizoripotiwa na Fabrizio Romano, Mourinho amekubali ofa ya Benfica, kwa makubaliano ya mdomo yatakayomuweka pale hadi Juni…

Read More

USIKU WA UEFA: NANI ANAKULA SAHANI YA MWISHO?

Meridianbet inakwambia hivi kama jana hujapiga mkwanja kwenye mechi za UEFA za jana, leo hii ndio una nafasi ya kipekee ya kuondoka na ushindi. Chelsea, Inter, PSG na wengine wapo kwaajili yako. Ingia na uasuke jamvi hapa. Mechi kali ni hii ya Bayern Munich dhidi ya Chelsea kule Allianz huku nafasi ya kuondoka na pointi…

Read More

Hiki hapa kikosi cha Yanga SC dhidi ya Simba SC

MABINGWA watetezi wa taji ya Ngao ya Jamii wapo Uwanja wa Mkapa kwenye msako wa ushindi ndani ya uwanja. Dakika 45 zimekamilika ubao wa Uwanja wa Mkapa ukiwa unasoma Yanga SC 0-0 Simba SC, Septemba 16 2025 huku mashabiki wakiwa wamejitokeza kwa wingi. Katika mchezo wa leo mwamuzi wa kati ni Ahmed Arajiga ambaye anasimamia…

Read More

CHEZA AVIATOR, SHINDA SAMSUNG A25 MPYA KILA JUMATATU

Meridianbet imeleta msisimko mpya kwa wapenzi wa michezo ya kubashiri mwezi huu wa Septemba, kwa kuzindua promosheni ya kipekee kupitia mchezo maarufu wa Aviator. Kuanzia tarehe 1 hadi 30 Septemba 2025, wachezaji wanapata nafasi ya kushinda simu mpya za Samsung A25 kila wiki, zawadi zinazotolewa kwa washindi waliocheza kwa ustadi na bahati. Meridianbet itatoa simu…

Read More

YANGA SC YAISOMA SIMBA SC KWA VIDEO KAZI IPO

DICKSON Job beki wa Yanga SC amefichua kwamba wachezaji wageni wamepewa video za wapinzani wao Simba SC ili watambue namna ya kukabiliana nao. Miongoni mwa wachezaji wageni ndani ya kikosi cha Yanga SC ni Celestin Ecua ambaye kwenye mchezo wa Yanga Day dhidi ya Bandari alifunga bao akitumia pasi ya mshambuliaji Prince Dube. Ecua anapewa…

Read More