MUKWALA HESABU ZAKE NDEFU SIMBA SC

MSHAMBULIAJI wa Simba SC Steven Mukwala hesabu zake ni ndefu kwenye kikosi hicho ambacho kinanolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids katika mechi za ushindani. Mukwala ameweka wazi kuwa mpango mkubwa ni kuona timu hiyo inapata matokeo chanya kwenye mechi ambazo wanacheza ndani ya uwanja msimu wa 2024/25. Mshambuliaji huyo anaingia kwenye orodha ya wakali wakucheka…

Read More

YANGA SC YAGOMEA KIKAO, WANATAKA HELA YA UBINGWA TU

CLIFORD Ndimbo, Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) amesema kuwa Yanga SC wamegoma kuongea na kuacha barua licha ya kuitwa na Katibu Mkuu Wilfred Kidao. Juni 10 2025 TFF walitoa taarifa kuhusu ufafanuzi wa fedha za malipo ya zawadi ya bingwa wa CRDB Federation Cup ambazo Yanga SC walibainisha kuwa hawajapewa na katika…

Read More

SLOTI MPYA! BONASI KUBWA, MIZUNGUKO YA BURE NA SPINOMENAL!

Ofa nyingine ya kibabe imefika! Ni promosheni ya kasino ambayo itakupatia zawadi nyingi ikiwemo pesa taslimu na mizunguko ya bure. Ingia kwenye akaunti yako na ucheze michezo mbalimbali ambayo inapatikana kwenye promosheni hiyo na unufaike na Meridianbet. Spinomenal, Ni kampuni kubwa ya kimataifa inayotengeneza na kusambaza michezo ya kasino ya mtandaoni hasa Sloti za video…

Read More

YANGA YAIJIBU TFF, DAWA YA DENI NI KULIPA KWA WAKATI

Klabu ya Yanga imejibu mapigo baada ya Shirikisho la soka Tanzania (TFF) kudai klabu hiyo fedha zao za zawadi katika mashindano mbalimbali zikatwe kulipia malipo wanayotakiwa kuilipa kwa TFF huku ikidai kuwa haijawahi kulipwa fedha yoyote ya Ubingwa wa Kombe la Shirikisho kwa Misimu mitatu mfululizo, (2021/2022, 2022/2023 na 2023/24). Taarifa ya leo Juni 10,…

Read More

CHE MALONE KAZI IPO SIMBA SC

BEKI wakupanda na kushuka ndani ya kikosi cha Simba SC, Che Malone kazi ipo kuelekea msimu wa 2025/26 ambapo anatajwa kuwa kwenye hesabu za kukutana na Thank You. Beki huyo ni chaguo la kwanza ndani ya kikosi cha Simba SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids hajawa kwenye mwendelezo mzuri kwenye mechi za ushindani za…

Read More

CRDB YAFUNGUKA SAKATA LA YANGA ‘HAWADAIWI CHOCHOTE’

WADHAMINI wa mashindano ya FA, Bank ya CRDB imetoa ufafanuzi kuwa ilishafanya malipo yote ya msimu uliopita katika Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), hivyo wao hawadaiwi kitu chochote. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2023/24 mabingwa wa taji hilo walikuwa ni Yanga SC walioshinda kwenye fainali mbele ya Azam FC kwa ushindi wa penati 6-5. Azam FC…

Read More

ELVIS RUPIA KWENYE RADA ZA YANGA SC

Mkali kwenye kucheka na nyavu ambaye yupo Singida Black Stars, Elvis Rupia anatajwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Jangwani Yanga SC ambao wanahitaji saini yake kwa ajili ya msimu mpya wa 2025/26. Rupia ndani ya ligi katupia mabao 10 akiwa namba mbili kwenye eneo hilo ndani ya Singida Black Stars na kinara ni Jonathan…

Read More

AZAM FC WAIVUTIA KASI TABORA UNITED

MATAJIRI wa Dar, Azam FC hesabu kubwa kwa sasa ni kuelekea mchezo wao wa mwisho msimu wa 2024/25 wakiwa katika uwanja wao wa nyumbani. Azam FC uwanja wao wa nyumbani ni Azam Complex wanafunga ukurasa wa mwisho kwa mchezo dhidi ya TaboraUnited katika msako wa pointi tatu muhimu ndani ya dakika 90. Kwenye msimamo Tabora…

Read More