Simba SC 2-2 de Tunis hali ni tete kimataifa, robo fainali yamoto
KATIKA kundi D Simba SC inaburuza mkia ikiwa imekusanya pointi moja baada ya mechi 4…
KATIKA kundi D Simba SC inaburuza mkia ikiwa imekusanya pointi moja baada ya mechi 4 2025/26. Matokeo haya yanadidimiza malego ya Simba SC kutinga hatua ya makundi kutokana na kukusanya pointi kiduchu baada ya mechi nne ikisaliwa na mechi mbili. Mahesabu yanawagomea Simba SC kutinga hatua ya robo fainali ikiwa Esperance watapata matokeo kwenye mchezo…
CHINI ya Kocha Mkuu, Pedro Goncalves, msafara wa Yanga SC umerejea Dar Februari Mosi kutoka Zanzibar baada ya kukamilisha dakika 90 zakimataifa. Januari 31,2026 Yanga SC 1-1 Al Ahly ulikuwa mchezo wa hatua ya makundi CAF Champions League ikiwa ni mchezo wa nne kwa wababe wote wawili. Yanga SC kwenye kundi D ipo nafasi ya…
Simba SC vs de Tunis ni mchezo wa hatua ya makundi unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Februari Mosi 2026. Kwenye kikosi cha kwanza winga Ellie Mpanzu ameanza benchi huku kiungo mshambuliaji Clatous Chama akianza kikosi cha kwanza. Mshambuliaji Seleman Mwalimu na Jonathan Sowah wote wapo benchi huku kiungo mshambuliaji Gueye akipewa jukumu eneo la ushambuliaji….
Dar es Salaam, Februari 1, 2026 – Kikosi cha Simba SC kitakachoanza kwa mechi ya mzunguko wa nne wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya ES Tunis ya Tunisia. Mechi itachezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Mechi imepangwa kuanza saa 10:00 jioni kwa muda wa Tanzania, huku mashabiki wakitarajiwa…
Mchezaji wa kimataifa wa Burundi, Saidi Ntibazonkiza, amerejea rasmi kwenye klabu yake ya zamani, Vital’o FC, baada ya kipindi kirefu akiwa mbali na uwanja wa mpira. Ntibazonkiza atashiriki katika mechi za mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Burundi pamoja na mashindano ya Kombe la Rais, akitarajiwa kuongeza nguvu kwenye mstari wa mbele wa Vital’o…
Je unataka Odds kubwa siku ya leo?. Ingia kwa wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet na uanze safari yako ya kutimiza ndoto zako hapa. Weka dau lako ulitakalo sasa na ubeti leo. LALIGA kuna mechi za pesa ambapo mapema kabisa Real Madrid atakipiga dhidi ya Rayo Vallecano ambao wanashika nafasi ya 16 kwenye msimamo wa ligi….
Meridianbet Tanzania inaendelea kufungua milango mipya ya burudani na ushindi kwa kuileta rasmi Super Heli Premium, mchezo wa kasino unaochanganya kasi, mkakati na maamuzi ya papo kwa papo. Hapa, si suala la kubahatisha tu, ni kuhusu kusoma mchezo, kuhisi muda sahihi na kuchukua hatua kabla helikopta haijapotea angani. Kila raundi ni hadithi mpya. Unaweka dau…
Dar es Salaam, Januari 31, 2026 — Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza rasmi matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne uliofanyika mwaka 2025 kote nchini. Akizungumza katika ofisi za baraza hilo jijini Dar es Salaam, Katibu Mtendaji wa NECTA, Profesa Said A. Mohamed, amesema kuwa ufaulu wa jumla umeongezeka kwa asilimia 2.61 na…
Ni sare ya nguvu kwenye mechi ya hatua ya makundi ya #CAFCL iliyopigwa New Amaan Complex, Zanzibar.Mtanange wa kiwango cha juu, presha hadi dakika ya mwisho 🔥 👉 Yanga wanaonyesha ushindani mkubwa dhidi ya mabingwa wa Afrika.
Siku ya leo inaenda kubadilisha maisha yako moja kwa moja kwani mechi kibao zipo uwanjani na nafasi ya kuondoka na ushindi ipo mikononi mwako. Ingia kwenye akaunti yako na uanze kubeti sasa. LALIGA kule Hispania nayo kama kawaida Osasuna atakipiga dhidi ya Villarreal ambapo tofauti ya pointi kati yao hadi sasa ni 16 huku mechi…
Mechi ya marudiano ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika itapigwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Kikosi cha Al Ahly Kitakachoivaa Yanga LeoMabingwa wa Afrika Al Ahly wanashuka dimbani dhidi ya Yanga katika mechi ya marudiano ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, New Amaan Complex…
Katika ulimwengu wa michezo ya kasino mtandaoni, ushindani haupo tena kwenye mandhari pekee, bali kwenye ubunifu wa mifumo ya uchezaji. Kupitia Gates of Halloween, Meridianbet inaonyesha mwelekeo mpya wa jinsi michezo ya kasino inavyoundwa, ikiweka mkazo kwenye uzoefu unaoendelea badala ya matokeo ya mzunguko mmoja. Mchezo huu umejengwa kwa mfumo wa ushindi unaoendelea, ambapo kila…
Jeshi la Polisi limetoa taarifa rasmi kuelekea mchezo wa kimataifa wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Young Africans SC ya Tanzania na Al Ahly ya Misri, unaotarajiwa kuchezwa katika Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Katika taarifa hiyo, Jeshi la Polisi limesema limejipanga kikamilifu kuhakikisha usalama wa wachezaji, viongozi wa timu, waamuzi pamoja na mashabiki wote…
Klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imetangaza kuachana na kocha wake, Lamine N’Diaye, kufuatia ushindi wa mabao 2-1 walioupata ugenini dhidi ya Sanga Balende katika mchezo wa wiki ya 17 wa Ligi Kuu (Linafoot), uliochezwa Alhamisi. Kupitia taarifa rasmi iliyochapishwa kwenye tovuti ya klabu hiyo, uongozi wa TP Mazembe umethibitisha…
Klabu ya Al Ahly ya Misri imemtoza kiungo wao nyota, Emam Ashour, faini kubwa zaidi kuwahi kutolewa katika historia ya klabu hiyo, kufuatia kushindwa kwake kusafiri na kikosi kwenda Zanzibar kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Young Africans ya Tanzania. Kupitia taarifa rasmi, Al Ahly imethibitisha kuwa Ashour amepigwa faini…
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) imeorodhesha adhabu walizotoa kwa Morocco na Senegal kufuatia vurugu iliyoshuhudiwa wakati wa fainali ya AFCON 2026. Mashabiki wengi wa mpira walikuwa na hamu ya kujua hatua zipi zitashukuliwa na shirikisho hilo huku kila upande ukiamini mwenzake alikosea na anafaa kupata adhabu kali zaidi. CAF limempiga marufuku kocha wa Senegal, Pape…
Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet kwenye simu yako ni rahisi sana kutengeneza pesa?. Mechi kibao zipo kuhakikisha huondoki patupu hapa suka jamvi lako sasa na uanze kubashiri hapa. Genk watakuwa kibaruani dhidi ya Malmo ambao wanashika nafasi ya 2 kutoka mwisho kwenye msimamo wa Europa wakiwa na pointi 1 pekee kwenye mechi 7. Mara…