Fahamu Maajabu ya Mpira wa Kombe la Dunia 2026 Adidas “Trionda”

Kombe la Dunia 2026 litakumbukwa si tu kwa ukubwa wake wa kushirikisha mataifa matatu, bali pia kwa ubunifu wa kisasa katika mpira utakaotumika. Mpira huo mpya unaitwa Adidas Trionda, na umebeba teknolojia, ubunifu wa kisanii, na maana ya kipekee inayowakilisha historia ya mashindano haya. Jina “Trionda” lina maana ya mataifa matatu Jina Trionda limetokana na…

Read More

Singida Black Stars warejea mzigoni

SINGIDA Black Stars wamerejea mzigoni ikiwa ni maandalizi kuelekea mechi 5 ambazo zimesalia ndani ya NBC Premier League 2025/26. Timu hiyo inapambana kumaliza katika nafasi nne za juu huku ikifuatiliwa kwa ushindani mkubwa na JKT Tanzania ambayo ipo nafasi ya 5. Ukitazama msimamo unaonyesha Singida Black Stars nafasi ya 4 na pointi 41 inafuatiwa na…

Read More

Manchester United Yatingishwa Tena na Taarifa za Mauzo ya Klabu

Kundi la wawekezaji kutoka Qatar lililowahi kujaribu kuinunua Manchester United halijawasiliana tena na uongozi wa klabu hiyo, licha ya taarifa zinazoendelea kusambaa kuwa baadhi ya familia ya Glazer wanataka kuuza hisa zao. Kwa mujibu wa taarifa mbalimbali, hata kama kundi hilo lingefuatwa kwa ajili ya mazungumzo mapya, uwezekano wa kurejea mezani kuwasilisha ofa nyingine kwa…

Read More

Azam FC Yamwongeza Mkataba Kocha Florent Ibenge

Kocha Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge, ameripotiwa kusaini mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kuinoa klabu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara. Kwa mujibu wa taarifa hizo, Azam FC imefanikiwa kumbakisha kocha huyo licha ya kuwepo kwa tetesi kwamba alikuwa tayari amefikia makubaliano ya awali na Chama cha Soka cha Mali kwa ajili ya…

Read More

Orodha ya wafungaji magoli Yanga SC 2025/26

YANGA SC inaongoza ligi na pointi 60 baada ya mechi 25, safu ya ushambuliaji imefunga magoli 58 na kinara ni Allan Okello mwenye magoli 11. Hii hapa orodha ya wafungaji magoli 2025/26 NBC Premier Mchezaji Magoli Asisti Allan Okello 11 7 Prince Dube 9 3 Mudathir Yahya 8 2 Pacom Zouzoua 7 4 Laurindo Depu…

Read More

Ratiba ya Yanga SC 2025/26

Mabingwa watetezi wa NBC Premier League na CRDB Federation Cup Juni wana mechi 6 za kazi kusaka ushindi ndani ya uwanja. Ni Yanga SC ambayo inatetea taji la CRDB Federation Cup ipo hatua ya nusu fainali. Kwenye ligi wapo nafasi ya kwanza na pointi 60. Hizi hapa mechi zinazofuata kwenye ratiba 2025/26 namna hii:- Juni…

Read More

Hii hapa ratiba ya Simba SC NBC Premier League

KIKOSI cha Simba SC tayari kimeanza maandalizi ya mechi zinazofuata ndani ya NBC Premier League 2025/26 mara baada ya mapumziko mafupi. Hii hapa ratiba kwa mechi zinazofuata kwenye ligi. Ikumbukwe kwamba timu hiyo ipo nafasi ya pili imekusanya jumla ya pointi 58 baada ya mechi 25. 14 Juni 2026 Simba SC vs Pamba Jiji FC…

Read More