Mtangazaji wa Global TV Ang’ara Kwenye Tuzo za Wildaf – (Picha +Video)
Mwandishi mkongwe wa habari na mtangazaji wa Global TV, Imelda Mtema (@imeldamtema), ameendelea kuthibitisha ubora…
Mwandishi mkongwe wa habari na mtangazaji wa Global TV, Imelda Mtema (@imeldamtema), ameendelea kuthibitisha ubora wake katika tasnia ya habari baada ya kung’ara katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wildaf, zilizolenga kuwatambua vinara wa mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia. Imelda alikuwa mmoja wa waongozaji wakuu wa tukio hilo muhimu, akionesha umahiri wake wa…
Meridianbet Sport Portal ni jukwaa la kisasa linalolenga kuwahudumia wapenzi wa michezo na Kasino kwa kuwapa taarifa sahihi, burudani, na fursa za kipekee za ushindi. Kupitia mfumo wake rahisi na wa kuaminika, mashabiki wa michezo hupata matokeo ya papo kwa papo, takwimu za wachezaji, na nafasi ya kubashiri mechi mbalimbali duniani kote. Katika harakati za…
Unapofungua Meridianbet Missions, unaingia kwenye ulimwengu ambapo burudani haiko tena kwenye kubahatisha. Kila hatua unayochukua ni sehemu ya mpango mkubwa unaotambua juhudi zako. Huu si mchezo wa kawaida, ni mfumo ulioundwa kuwapa wachezaji wanaofikiri mbele uzoefu wenye mwelekeo na maana. Meridianbet Missions inakupa uhuru wa kuchagua changamoto kulingana na ladha yako. Hakuna njia moja sahihi,…
TP Mazembe, moja ya vilabu vya kandanda vilivyopambwa na ushawishi mkubwa barani Afrika, imepigwa marufuku ya kusajili mara moja na FIFA, uamuzi ambao umeleta mshtuko. Adhabu hiyo ina maana kwamba wababe hao wa Congo wamezuiwa kusajili wachezaji wapya hadi taarifa nyingine itakapotolewa, hivyo basi kusimamisha shughuli zao za uhamisho. Marufuku hiyo ni sehemu ya hatua…
Siku ya kubadilisha maisha yako na Meridianbet imefika leo. Suka jamvi lako la ushindi siku ya leo na uingie kwenye wale washindi wakubwa ambao hutangazwa hapa kila wiki. Copa del Rey kule Hispania kutakuwa na mechi mbili kali kabisa ambapo Deportivo Alaves atakipiga dhidi ya Real Sociedad ambapo kwenye ligi tofauti yako ni pointi 2…
Arsenal imefanikiwa kutinga fainali ya Carabao Cup baada ya kuibwaga Chelsea kwa ushindi mwembamba wa bao 1-0 katika mchezo wa marudiano wa nusu fainali, na kufuzu kwa jumla ya mabao 4-2. Ingawa mchezo huo haukuwa wa kuvutia sana kwa mashabiki wa soka, wafuasi wa Arsenal hawakujali kabisa ubora wa burudani — kilichowahusu ni ushindi na…
Kampuni ya Meridianbet Tanzania, imeuleta rasmi uzoefu mpya wa michezo ya kasino mtandaoni ukiwa umesheheni hadhi na burudani ya kipekee kupitia mchezo bora kabisa wa Super Heli Premium. Huu ni mchezo uliobuniwa kuleta ladha tofauti ya burudani ya kidijitali kwa wachezaji, ukiwa na mvuto wa kisasa na msisimko wa hali ya juu. Je, uko tayari…
Azam FC vs AS Maniema, Jumamosi New Amaan Complex ni mchezo ujao kwa wawakilishi wa Tanzania katika anga la kimataifa. Ni mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya makundi kwenye msako wa kutinga hatua ya robo fainali. Ikumbukwe kwamba mchezo wa kwanza Azam FC ilipoteza dhidi ya AS Maniema hivyo itaingia uwanjani ikiwa na…
Pesa iko nje nje leo hii kwenye mechi za ligi ndani ya Meridianbet kwani kila kitu unachotaka kipo hapa kuanzia Odds kubwa, machaguo zaidi ya 1000. Jisajili sasa na uanze safari yako ya ushindi. Uingereza itapigwa mechi ya Nusu Fainali ya Carabao kati ya Arsenal vs Chelsea ambapo The Blues wataingia uwanjani kusaka ushindi dhidi…
Dar es Salaam, Tanzania – Kikosi cha Young Africans SC (Yanga) kinasafiri leo Jumanne Februari 3, 2026 saa 12:00 mchana kuelekea Morocco, ambapo kitacheza mechi muhimu ya CAF Champions League dhidi ya AS FAR Rabat. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Jumamosi, Februari 7, 2026, na unatarajiwa kuwa changamoto kubwa kwa Majavi, huku wakiwa wanatafuta ushindi muhimu…
Sosholaiti maarufu kutoka Tanzania, Malaika Cute, ameendelea kuwa gumzo mitandaoni baada ya kuonyesha maisha yake ya kifahari na yenye kujiamini kupitia ukurasa wake wa Instagram, huku akiambatanisha ujumbe mfupi unaosema “No pressure.” Kupitia picha na video anazochapisha mara kwa mara, Malaika ameonekana akifurahia maisha, akisafiri, kupiga pozi za kuvutia na kuvaa mavazi ya kisasa yanayoonyesha…
Liverpool wametangaza rasmi kukamilisha usajili wa mchezaji Jeremy Jacquet, na hatua inayosubiriwa sasa ni kupatikana kwa kibali cha Kimataifa ili nyota huyo aanze kazi rasmi Anfield. Jeremy Jacquet ni Nyota wa Ufaransa, anacheza kama Mlinzi wa kati (central defender) akitokea katika klabu ya Stade Rennais FC nchini Ufaransa na kujiunga na Majogoo hao wa Anfield.
Meridianbet imekuja na fursa ya kuwaneemesha na kuwathaminisha wateja wake kwa kuwapatia nafasi ya kushinda bonasi ya hadi beti 500 za bure kila siku kwa hatua rahisi tu, kwa kuunda mchanganyiko wa machaguo kwenye mchezo wa Win&Go. Pamoja na kwamba ofa nyingi zimekua zikitoka kama vile mizunguko ya bure, bonasi ya ukaribisho kwa wateja wapya,…
UONGOZI wa Simba SC umewaomba mashabiki kutokata tamaa wala kuivunjia adabu timu hiyo mara baada ya matumaini ya kukata tiketi kutinga hatua ya robo fainali kuzimika Februari Mosi 2026. Sare ya kufungana magoli 2-2 de Tunis inainfanya Simba SC kukusanya pointi moja baada ya mechi nne ikiburuza mkia katika kundi D. Ahmed Ally, Meneja wa…
Je unajua kuwa vijana wa Liam wanazidi kuimarika siku hadi siku?. Bashiri na Meridianbet mechi zote za Chelsea ambazo mara nyingi kufungana kwao ni wazi sana. Jisajili sasa na uibuke bingwa. Chelsea wameonyesha hali ya kupanda na kushuka, lakini kwa ujumla wameendelea kujijenga kama timu yenye ushindani mkubwa. Uwepo wa wachezaji kama Cole Palmer, Enzo…
Unajisikia vipi ukiwa na nafasi ya kushinda kila siku? Meridianbet inachukua hatua nyingine ya kipekee kwa kuleta Naga Games, jukwaa jipya la kasino linaloleta msisimko wa kipekee na fursa za malipo makubwa. Hapa, kila mchezo ni mwaliko na kila kitufe unachobonyeza kinaweza kubadilisha mlingano wa ushindi wako. Naga Games haiundi michezo ya kawaida, inaandaa michezo…
KATIKA kundi D Simba SC inaburuza mkia ikiwa imekusanya pointi moja baada ya mechi 4 2025/26. Matokeo haya yanadidimiza malego ya Simba SC kutinga hatua ya makundi kutokana na kukusanya pointi kiduchu baada ya mechi nne ikisaliwa na mechi mbili. Mahesabu yanawagomea Simba SC kutinga hatua ya robo fainali ikiwa Esperance watapata matokeo kwenye mchezo…