Yanga SC 3-1 Dodoma Jiji FC

Yanga SC 3-1 Dodoma Jiji FC ni ushindi kwa mabingwa watetezi kwenye mchezo wa NBC Premier League Januari 27,2026. Kwenye mchezo wa leo Dodoma Jiji walianza kupata goli la kuongoza kipindi cha kwanza dakika ya 42 kupitia kwa William Edger ambalo lilidumu kwa muda wa dakika 3. Magoli ya Klabu ya Yanga yamefungwa na Depu…

Read More

Azam FC vs TRA United NBC Premier League

Azam FC vs TRA United NBC Premier League ni kituo kinachofuata kwa matajiri wa Dar mchezo ujao wakiwa nyumbani. Azam FC chini ya Kocha Mkuu, Florent Ibenge itamenyana na wakusanya mapato saa 3:00 usiku Uwanja wa Azam Complex. Hiyo ni baada ya matajiri hao wa Dar kutoka ugenini kucheza mchezo wa hatua ya makundi dhidi…

Read More

Azam FC warejea Bongo na ushindi

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho Afrika, Azam FC wamerejea Tanzania wakiwa na zawadi ya ushindi wakiwa ugenini. Januari 25,2026 ubao ulisoma Nairobi United 1-2 Azam FC magoli yakifungwa na Jephte Kitambala dakika ya 17 na Ernest Mohamed alijifunga dakika ya 78. Goli pekee la Nairobi United lilifungwa dakika ya 14 na Dancan Oluoch…

Read More

Meridianbet Yaendeleza Burudani Na Trick or Treat Bonanza

Baada ya msimu wa Halloween kufunga pazia, Meridianbet inaendelea kuonyesha kuwa burudani za kidijitali hazifungwi na kalenda. Kupitia mchezo wa Trick or Treat Bonanza, jukwaa hili linageuza mandhari ya msimu uliopita kuwa uzoefu endelevu wa burudani, likisisitiza ubunifu, ubora wa picha na simulizi linalovutia bila kutegemea sherehe za muda mfupi. Mchezo huu unamchukua mchezaji hadi…

Read More

CAFCL: Sare Kabylie na AS FAR, Yanga Yapata Matumaini

Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) kundi B imeendelea kwa ushindani mkubwa huku kila timu ikiwa tayari imecheza mechi tatu za awamu ya makundi. Katika matokeo ya mwisho: JS Kabylie 0-0 AS FARMechi kali iliyochezwa kwa tahadhari kubwa, timu zote zikigawana pointi moja bila kufungana. Al Ahly 2-0 Yanga SCMabingwa hao wa Afrika walionyesha…

Read More

Meridianbet Yatoa Vifaa vya Usafi Mbezi Juu, Yashiriki Zoezi la Usafi wa Mazingira

Meridianbet imechagua kuuangalia usafi wa mazingira kama nguzo muhimu ya maendeleo ya jamii. Kupitia ushiriki wake katika shughuli za usafi Kata ya Mbezi Juu, kampuni hiyo imelenga kuonesha kuwa mazingira safi yana mchango mkubwa katika kuboresha afya, tija ya wananchi na ustawi wa kijamii kwa ujumla. Meridianbet ililenga kuwawezesha wananchi kwa vitendo. Kampuni hiyo ilitoa…

Read More

Bashiri Leo Upate Samsung A26 na Meridianbet

Una nafasi ya kumiliki simu ya ndoto zako na Meridianbet ambapo kwa kubashiri mechi za mpira wa miguu ni rahisi sana kuchukua Samsung A26 yako. Unangoja nini kubashiri sasa? Katika msimu huu wa burudani na ushindani mkali ndani ya ulimwengu wa soka, Meridianbet imewasha moto mpya unaowapa wachezaji wote sababu ya kuongeza hamasa wanapotazama na…

Read More