Simba Yapoteza Mbele ya Petro de Luanda, Yaburuza Mkia Kundi la CAFCL
Mchezo wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba SC na…
Mchezo wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba SC na Petro de Luanda ya Angola umemalizika kwa Wekundu wa Msimbazi kupokea kichapo cha bao 1-0 katika dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Simba, ambayo ilihitaji ushindi ili kujiweka kwenye nafasi nzuri ya kuendelea na mbio za kutinga robo fainali,…
Pasig, Ufilipino — Timu ya Taifa ya wanawake ya Tanzania ya mchezo wa Futsal imeanza kwa mtihani mgumu kwenye fainali za Kombe la Dunia (Futsal Women’s World Cup 2025) baada ya kupokea kipigo kikubwa cha 10–0 kutoka kwa mabingwa wa Ulaya, Ureno, mchezo uliochezwa katika Uwanja wa PhilSports Arena jijini Pasig. Tanzania, inayoshiriki michuano hii…
Mwanahabari na mchambuzi wa soka nchini, Farhan Kihamu (@jr_farhanjr), ameibua mjadala mpya mitandaoni baada ya kueleza kuwa kila anapoandika jambo la upande hasi (negative) kuhusu klabu ya Yanga, basi taarifa hiyo huwa ni ya kweli na imefanyiwa uhakiki wa kina. Kihamu ametoa kauli hiyo kupitia mahojiano maalum yaliyofanyika kwenye YouTube ya Global TV, akisema uandishi…
Leo hii ni nafasi yako sasa kutimiza zile ndoto zako ambazo uliziweka ndani ya muda mrefu na Meridianbet. Machaguo zaidi ya 1000 yapo kwenye mechi za kufuzu Kombe la Dunia. Jisajili na utengeneze jamvi sasa. LIGUE 1 kutakuwa na mechi za kubashiri, Brest atakuwa kibaruani kukiwasha dhidi ya Metz ambao wanashika nafasi ya 14 huku…
Mshambuliaji wa klabu ya Yanga SC, Clement Mzize, amekabidhiwa Tuzo ya Goli Bora Afrika, tukio lililotokea nchini Morocco ambapo aliwakilishwa na rais wa klabu yake, @caamil_88. Tuzo hii imemfanya Mzize kusherehekea mafanikio yake mbele ya mashabiki wake wa Yanga, baada ya kukabidhiwa tuzo hiyo katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya AS FAR…
Chelsea imechukua alama zote tatu kufuatia ushindi wa 2-0 dhidi ya Burnley katika dimba la Turf Moor na kukwea mpaka nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu England alama 23 baada ya mechi 12. FT: Burnley 0-2 Chelsea ⚽ 37’ Neto ⚽ 88’ Fernandez
FT: Live CAF Champions’ League Group Stage Yanga SC 1-0 AS FAR Rabat, goal Prince Dube Uwanja wa New Amaan Complex Novemba 22,2025 Dakika 90 zimekamilika Zimeongezwa dakika 4 Dakika ya 87 Boyeli anapishana na krosi ndani ya 18 iliyopigwa na Pacome Mabadiliko Dakika ya 82 Dube anatoka nafasi yake inachukuliwa na Boyeli, Conte anaingia…
Kocha wa Benfica, Jose Mourinho, ameibua mjadala mpya baada ya kutoa lawama kali kwa wachezaji wake licha ya timu yake kushinda 2-0 dhidi ya Atletico CP katika mchezo wa Kombe la Ureno hatua ya raundi ya nne. Benfica iliepuka fedheha dhidi ya timu hiyo ndogo kutoka daraja la tatu, lakini Mourinho – maarufu kwa matamshi…
VIKOSI vinavyoanza kwenye mchezo wa hatua ya makundi wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) kati ya wenyeji, Young Africans Sc dhidi ya vigogo wa Morocco, AS Far Rabat. Mechi hiyo ya Kundi B la CAFCL utapigwa katika uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar kuanzia saa 10:00 jioni hii. Kocha wa Yanga SC, Pedro Gonçalves amemrejesha…
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limefahamisha wanaowania Tuzo za Msimu wa Ligi Kuu 2024/2025, huku tukitarajia watakaoibuka washindi rasmi Desemba 5, 2025 katika ukumbi wa The Super Dome, Dar es Salaam. Wanaowania Wakuu wa Tuzo za Ligi Kuu NBC: Mchezaji Bora: Dickson Job (Yanga), Pacome Zouzoua (Yanga), Maxi Nzengeli (Yanga), Jean Ahoua (Simba),…
Msimu huu wa Premier League, baadhi ya timu zinakabiliwa na changamoto kubwa ya majeraha yanayoathiri utendaji wao dimbani. Hizi ndizo timu zinazoongoza kwa idadi ya majeraha hadi sasa: 💎 Manchester City – 16 injuries 🚑 🐓 Tottenham Hotspur – 16 injuries 🚑 🧿 Chelsea – 14 injuries 🚑 🕊 Brighton & Hove Albion – 13…
Hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) imeanza rasmi Novemba 21, 2025 huku Al Hilal Omdurman ya Sudan ikiibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya MC Alger ya Algeria katika dimba la Amahoro Kigali, Rwanda. MC Alger, inayofundishwa na kocha wa zamani wa Mamelodi Sundowns, Teboho Mokoena, ilikabiliwa na changamoto kubwa kwani bao…
CAF Champions League imeanza kutimua vumbi ikiwa ni hatua ya makundi kusaka tiketi ya kutinga hatua ya robo fainali. Hapa tunakusogezea matokeo na ratiba hatua ya makundi:- Novemba 21,2025 Al Hilal Omdurman 2-1 MC Alger, Uwanja wa Amahoro, Kigali Novemba 22,2025 Yanga SC vs AS Far Rabat Mamelodi Sundowns vs St Eloi Lupopo Al Ahly…
Msemaji wa Klabu ya Yanga, Ally Kamwe, amesema kuwa licha ya baadhi ya watu ndani ya makundi ya wapenzi wa soka kuitazama Yanga kama timu dhaifu katika mchezo wao ujao dhidi ya AS FAR Rabat, kikosi cha Yanga kimejipanga kikamilifu kwenda kuonesha ubora wao na kutafuta heshima uwanjani. Akizungumza leo kuelekea mchezo huo muhimu unaotarajiwa…
Kuonyesha dhamira yake isiyoyumba ya kuwa sehemu ya suluhisho katika changamoto za kijamii, kampuni ya Meridianbet imeendeleza msururu wa miradi yake ya kusaidia jamii kwa kugawa vyakula kwa familia zenye uhitaji katika maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam. Hatua hii inathibitisha kwamba kampuni hiyo haishughuliki tu na michezo ya kubahatisha, bali pia ni nguzo muhimu…
CAF Champions Leagu kivumbi kinaanza kwa wababe uwanjani hii hapa ratiba kwa mechi za mwanzo namna hii:- Leo Novemba 21,2025 Al Hilal Omdurman vs MC Alger Novemba 22,2025 Yanga SC vs AS Far Rabat Mamelodi Sundowns vs St Eloi Lupopo Al Ahly SC vs JS Kabylie Esperance ST vs Stade RSB vs Power Dynamos Pyramids…
LIGI Kuu Tanzania Bara inayodhaminiwa na NBC inaendelea leo Novemba 21 kwa mechi mbili kali kuchezwa katika viwanja tofauti. Kwa sasa ni raundi ya 7 ambapo timu zinaendelea kupambania kuvuna pointi tatu na mabingwa watetezi ni Yanga SC. Saa 10:00 jioni, KMC FC vs JKT Tanzania, Uwanja wa KMC Complex. Saa 1:00 usiku, Namungo FC…