Simba SC Yazindua Kampeni ya Ushindi Dhidi ya Esperance
Semaji Ahmed Ally, kiongozi wa Simba Sports Club, amewahimiza Wanasimba kuacha lawama na migawanyiko, na…
Semaji Ahmed Ally, kiongozi wa Simba Sports Club, amewahimiza Wanasimba kuacha lawama na migawanyiko, na kuungana kama “Nguvu Moja” kuelekea mchezo muhimu wa Jumapili dhidi ya Esperance ya Tunisia. Akizungumza na Wanasimba kutoka Tawi la Wekundu wa Kurasini Mji Mpya, Semaji alisema kuwa mashabiki ndio nguzo ya msingi ya timu, na ndio sababu kiingilio kwa…
Klabu ya Al Ahli Tripoli ya Libya inatarajiwa kutuma ofa mpya ya dola za Marekani milioni 2.5 (sawa na Shilingi bilioni 6.4) kwenda kwa Azam FC, ikiwa ni jitihada za mwisho za kumnasa kiungo nyota Fei Toto. Hii itakuwa ofa ya tatu kutoka kwa klabu hiyo ya Libya, baada ya ofa mbili za awali kukataliwa…
Morocco haitaandaa tena Fainali ya Kombe la Dunia la FIFA la 2030, kufuatia matukio wakati wa fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025. Mashindano hayo ya 2030 yanatarajiwa kuandaliwa kwa pamoja kati ya Uhispania, Ureno, na Morocco, huku Morocco wakiwa katika kinyang’anyiro cha kuandaa mechi ya fainali. Hata hivyo, mizozo kuhusu fainali ya…
Leo hii ni fursa nyingine ya kupiga pesa ukibashiri mechi zako na Meridianbet ambao ndio mabingwa wa ODDS KUBWA Tanzania. Timu kibao za ushindani za ligi ya mabingwa zipo kwaaajili yako. Bashiri sasa. Borussia Dortmund atakuwa nyumbani kukipiga dhidi ya Inter Milan huku tofauti ya pointi kati yao hadi sasa ikiwa ni 1 pekee. Wote…
Yanga SC 3-1 Dodoma Jiji FC ni ushindi kwa mabingwa watetezi kwenye mchezo wa NBC Premier League Januari 27,2026. Kwenye mchezo wa leo Dodoma Jiji walianza kupata goli la kuongoza kipindi cha kwanza dakika ya 42 kupitia kwa William Edger ambalo lilidumu kwa muda wa dakika 3. Magoli ya Klabu ya Yanga yamefungwa na Depu…
Azam FC vs TRA United NBC Premier League ni kituo kinachofuata kwa matajiri wa Dar mchezo ujao wakiwa nyumbani. Azam FC chini ya Kocha Mkuu, Florent Ibenge itamenyana na wakusanya mapato saa 3:00 usiku Uwanja wa Azam Complex. Hiyo ni baada ya matajiri hao wa Dar kutoka ugenini kucheza mchezo wa hatua ya makundi dhidi…
Rais wa Barcelona, Joan Laporta, amethibitisha kuwa kuondoka kwa kiungo wa vijana wa klabu hiyo, Dro Fernández, si jambo lililowafurahisha, huku mchezaji huyo wa umri wa miaka 18 akikaribia kujiunga na Paris Saint-Germain (PSG). Dro Fernández, ambaye anachukuliwa kama mmoja wa vipaji bora wa vijana duniani, alicheza mara tano katika kikosi cha kwanza cha Barcelona…
Una nafasi ya kumiliki simu ya ndoto zako na Meridianbet ambapo kwa kubashiri mechi za mpira wa miguu ni rahisi sana kuchukua Samsung A26 yako. Unangoja nini kubashiri sasa? Katika msimu huu wa burudani na ushindani mkali ndani ya ulimwengu wa soka, Meridianbet imewasha moto mpya unaowapa wachezaji wote sababu ya kuongeza hamasa wanapotazama na…
Je, umezoea kubashiri bila kupata zaidi ya matokeo ya mkeka wako? Wakati umefika kubadilisha hilo. Meridianbet kwa kushirikiana na Mixx by Yas wameamua kuipa Tanzania ladha mpya ya ubashiri kwa kuzindua promosheni ya kipekee JIMIXX na Ushindi Bab Kubwaa, kampeni inayogeuza kila dau kuwa nafasi ya kushinda zawadi halisi. Kuanzia Januari 27 hadi Aprili 27,…
Meridianbet Sport Portal ni jukwaa la kisasa linalolenga kuwahudumia wapenzi wa michezo na Kasino kwa kuwapa taarifa sahihi, burudani, na fursa za kipekee za ushindi. Kupitia mfumo wake rahisi na wa kuaminika, mashabiki wa michezo hupata matokeo ya papo kwa papo, takwimu za wachezaji, na nafasi ya kubashiri mechi mbalimbali duniani kote. Katika harakati za…
WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho Afrika, Azam FC wamerejea Tanzania wakiwa na zawadi ya ushindi wakiwa ugenini. Januari 25,2026 ubao ulisoma Nairobi United 1-2 Azam FC magoli yakifungwa na Jephte Kitambala dakika ya 17 na Ernest Mohamed alijifunga dakika ya 78. Goli pekee la Nairobi United lilifungwa dakika ya 14 na Dancan Oluoch…
Aliyekuwa kipa wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) na Klabu ya Yanga SC, Peter Manyika, amefariki dunia alfajiri ya leo katika Hospitali ya St. Monica, jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa za awali kutoka kwa familia na vyanzo vya karibu, chanzo cha kifo cha Manyika ni kuugua kwa muda mrefu, ambapo…
Baada ya msimu wa Halloween kufunga pazia, Meridianbet inaendelea kuonyesha kuwa burudani za kidijitali hazifungwi na kalenda. Kupitia mchezo wa Trick or Treat Bonanza, jukwaa hili linageuza mandhari ya msimu uliopita kuwa uzoefu endelevu wa burudani, likisisitiza ubunifu, ubora wa picha na simulizi linalovutia bila kutegemea sherehe za muda mfupi. Mchezo huu unamchukua mchezaji hadi…
Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) kundi B imeendelea kwa ushindani mkubwa huku kila timu ikiwa tayari imecheza mechi tatu za awamu ya makundi. Katika matokeo ya mwisho: JS Kabylie 0-0 AS FARMechi kali iliyochezwa kwa tahadhari kubwa, timu zote zikigawana pointi moja bila kufungana. Al Ahly 2-0 Yanga SCMabingwa hao wa Afrika walionyesha…
Esperance Tunis 1-0 Simba SC ni matokeo kwenye mchezo wa tatu hatua ya makundi msimu wa 2025/26 kwenye msako wa pointi tatu kusaka tiketi ya kutinga hatua ya robo fainali. Goal la ushindi lilifungwa na Jack Diarra dakika ya 21 kipindi cha kwanza lilidumu mpaka mwisho wa mchezo kwa wenyeji kuvuna pointi tatu wakiwa nyumbani….
Pesa iko nje nje leo hii kwenye mechi za ligi ndani ya Meridianbet kwani kila kitu unachotaka kipo hapa kuanzia Odds kubwa, machaguo zaidi ya 1000. Jisajili sasa na uanze safari yako ya ushindi. BUNDESLIGA kule Ujerumani pia kama kawaida itaendelea bingwa mtetezi FC Bayern Munich atamenyana dhidi ya Augsburg katika dimba la Allianz Arena….
Baada ya mechi tatu, Mamelodi Sundowns na Al Hilal wako mbele kwa pointi 5 kila mmoja, jambo linalofanya Kundi C kuwa gumu na la ushindani mkubwa. Hadi sasa hakuna anayewapa faida, hivyo mbio za kuongoza zimebaki kuwa wazi kabisa. Kwa upande mwingine, MC Alger na St Eloi Lupopo bado wanahitaji kufanya kazi zaidi ili kuingia…