
HII HAPA RATIBA YA ANGA LA KIMATAIFA, AZAM FC, SIMBA, YANGA SC, SINGIDA BS
WIKIENDI imechangamka kwenye anga la kimataifa kutokana na timu zote nne kutoka Tanzania kuwa katika…
WIKIENDI imechangamka kwenye anga la kimataifa kutokana na timu zote nne kutoka Tanzania kuwa katika kazi. Ijumaa, Uwanja wa 11 de Novembro, Wiliete Sports vs Yanga SC, saa 12:00 jioni. Simba SC Jumamosi Septemba 20 itakuwa uwanjani kumenyana na Gaborone United saa 2:00 usiku. Yanga SC na Simba SC ni katika Ligi ya Mabingwa Afrika…
Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga SC amesema kuwa Simba SC ya msimu huu wa 2025/26 ni mbovu kuliko ile ya msimu uliopita wa 2024/25. Yanga SC kwa sasa mkononi wana taji la Ngao ya Jamii walitwaa kwa kushinda mbele ya Simba SC mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa, Septemba 16 2025 ikiwa ni mchezo wa…
Liverpool waliibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Atletico Madrid katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya iliyokuwa na msisimko wa aina yake kwenye dimba la Anfield. Andy Robertson aliwapa Reds uongozi mapema, kabla ya Mohamed Salah kuongeza bao la pili kwa ustadi wa kipekee. Hata hivyo, Marcos Llorente aliwapa matumaini wageni baada ya…
Baada ya kupoteza mchezo wao wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Qarabağ, Benfica imefanya uamuzi mkubwa kwa kutengana na kocha wake mkuu na kumrejesha gwiji wa soka, José Mourinho. Kwa mujibu wa taarifa za ndani zilizoripotiwa na Fabrizio Romano, Mourinho amekubali ofa ya Benfica, kwa makubaliano ya mdomo yatakayomuweka pale hadi Juni…
Kikosi cha Mnyama wa Afrika Mashariki, Simba SC, kimewasili nchini Botswana kwaajili ya mchezo wa hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) dhidi ya wenyeji Gaborone United. Mchezo huo unatarajiwa kupigwa Septemba 20 kwenye Uwanja wa Obed Itani Chilume, ambapo mashabiki wa soka wanatarajia burudani ya aina yake. Simba SC inashuka…
Meridianbet inakwambia hivi kama jana hujapiga mkwanja kwenye mechi za UEFA za jana, leo hii ndio una nafasi ya kipekee ya kuondoka na ushindi. Chelsea, Inter, PSG na wengine wapo kwaajili yako. Ingia na uasuke jamvi hapa. Mechi kali ni hii ya Bayern Munich dhidi ya Chelsea kule Allianz huku nafasi ya kuondoka na pointi…
KIKOSI cha Simba SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids asubuhi ya Septemba 17 2025 kimeanza safari ya kuelekea nchini Botswana kwa kupitia nchini Afrika Kusini kwa ajili ya mchezo wa hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone FC. Mchezo huo unatarajiwa kupigwa Jumamosi hii Septemba 20 huko Botswana kabla ya…
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara inayodhaminiwa na NBC, Yanga SC chini ya Kocha Mkuu Romain Folz wamekwea pipa kuelekea Angola kwa mechi ya kimataifa Ligi ya Mabingwa Afrika. Septemba 16 2025 saa 11:00 jioni, Yanga SC walikuwa na kazi kutetea taji la Ngao ya Jamii katika mchezo wa fainali dhidi ya Simba SC…
Kama unapenda michezo ya sloti yenye kasi, bonasi za kuvutia, na nafasi halisi ya kutengeneza kipato basi Diamond Hustle ni mchezo uliochongwa kwa ajili yako. Meridianbet imeleta sloti hii mpya kwa mashabiki wa kasino mtandaoni wanaotaka zaidi ya mizunguko ya kawaida. Hapa, kila mzunguko ni fursa ya kuibuka mshindi. Diamond Hustle si sloti ya kubahatisha…
YANGA SC chini ya Kocha Mkuu, Romain Folz imetwaa taji la Ngao ya Jamii kwa ushindi mbele ya watani zao wa jadi Simba SC katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Bao pekee la ushindi kwa Yanga SC limefungwa na Pacome dakika ya 53 akiwa ndani ya 18 akimfunga kipa Moussa Camara ambaye alianza kikosi cha…
UBAO wa Uwanja wa Mkapa ikiwa ni kipindi cha pili unasoma Yanga SC 1-0 Simba SC ikiwa ni fainali ya Ngao ya Jamii 2025. Kipindi cha kwanza dakika 45 zilikamilika kwa wababe hawa wawili kutoshana nguvu bila kufungana na kipindi cha pili mambo yalibadilika. Ni Pacome alipachika bao la kuongoza kwa Yanga SC dakika ya…
SIMBA SC inapambania taji la Ngao ya Jamii mbele ya Yanga SC ambao walitwaa taji hilo msimu wa 2024/25 kwa ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Azam FC. Katika dakika 45 za mwanzo ubao wa Uwanja wa Mkapa unasoma Yanga SC 0-0 Simba SC ikiwa ni mchezo ambao una ushindani mkubwa ndani ya uwanja. Beki…
MABINGWA watetezi wa taji ya Ngao ya Jamii wapo Uwanja wa Mkapa kwenye msako wa ushindi ndani ya uwanja. Dakika 45 zimekamilika ubao wa Uwanja wa Mkapa ukiwa unasoma Yanga SC 0-0 Simba SC, Septemba 16 2025 huku mashabiki wakiwa wamejitokeza kwa wingi. Katika mchezo wa leo mwamuzi wa kati ni Ahmed Arajiga ambaye anasimamia…
Hatimaye ule usiku ambao ulikuwa ukisubiriwa na watu wengi Duniani umefika sasa. Si mwingine bali ni usiku wa mechi za Ligi ya Mabingwa ambapo leo wababe 6 watashuka dimbani kusaka ushindi. Wewe saka maokoto na Meridianbet. SL Benfica watakuwa na kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Qarabag FK ambao kushinda mtanange huu wa leo wamepewa…
Meridianbet imeleta msisimko mpya kwa wapenzi wa michezo ya kubashiri mwezi huu wa Septemba, kwa kuzindua promosheni ya kipekee kupitia mchezo maarufu wa Aviator. Kuanzia tarehe 1 hadi 30 Septemba 2025, wachezaji wanapata nafasi ya kushinda simu mpya za Samsung A25 kila wiki, zawadi zinazotolewa kwa washindi waliocheza kwa ustadi na bahati. Meridianbet itatoa simu…
DICKSON Job beki wa Yanga SC amefichua kwamba wachezaji wageni wamepewa video za wapinzani wao Simba SC ili watambue namna ya kukabiliana nao. Miongoni mwa wachezaji wageni ndani ya kikosi cha Yanga SC ni Celestin Ecua ambaye kwenye mchezo wa Yanga Day dhidi ya Bandari alifunga bao akitumia pasi ya mshambuliaji Prince Dube. Ecua anapewa…
SHOMARI Kapombe beki wa Simba SC amebainisha kuwa watajitoa kwa nguvu zote kuzuia makosa kwenye mchezo dhidi ya Yanga SC ili wasifungwe. Mchezo wa funga kazi msimu wa 2024/25 kwa wababe hawa wawili ulichezwa Juni 25 2025 baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Yanga SC 2-0 Simba SC, mabao ya Pacome…