KIKWAZO KWENYE MERSEYSIDE DERBY HIKI HAPA

KOCHA Mkuu wa Liverpool, Arne Slot ameweka wazi kuwa mchezo wao wa Merseyside Derby lazima wapambane kupata ushindi huku kikwazo kikitajwa kuwa ni David Moyes ambaye ni Kocha Mkuu wa Everton kwenye mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Anfield. Huu ni mchezo wa Ligi Kuu England ambapo vinara hao wa ligi wakiwa na pointi 70 baada…

Read More

AL AHLY NA PYRAMIDS ZIMEANZA HATUA ROBO FAINALI YA LIGI YA MABINGWA KWA USHINDI

Miamba ya Nchini Misri, Al Ahly na Pyramids zimeanza hatua robo fainali ya Ligi ya Mabingwa kwa ushindi huku Maharamia wa Afrika Kusini, Orlando Pirates wakiilaza MC Alger ya Algeria ugenini. FT Pyramids πŸ‡ͺπŸ‡¬ 4-1 πŸ‡²πŸ‡¦ FAR Rabat ⚽ 02’ Mayele ⚽ 12’ Mayele ⚽ 39’ Adel ⚽ 67’ Adel ⚽ 45’ Hadraf FT Al…

Read More

FOUNTAIN GATE: SINGIDA BLACK STARS ANAPIGWA TATU, HATOKI

OFISA Habari wa Fountain Gate, Issa Liponda maarufu kwa jina la Mbuzi amesema kuwa hakuna namna yoyote anayoona kwa wapinzani wao Singida Black Stars wakitoka kwenye mchezo wao wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Aprili 2 2025. Ni Uwanja wa Tanzanite, Kwaraa, Manyara mchezo huo unatarajiwa kuchezwa saa 10:15 kwa wababe hawa wawili kusaka pointi tatu muhimu…

Read More

RATIBA YA LIGI KUU BARA IPO NAMNA HII

LIGI Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora bado inaendelea ambapo kwa sasa ni mzunguko wa pili vinara wakiwa ni Yanga na pointi zao kibindoni ni 58, hii hapa ratiba ya mechi kwa Aprili na Mei zipo namna hii:- Pamba Jiji v Namungo, Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza inatarajiwa kupigwa saa 8:00 mchana….

Read More

YANGA YATUMA UJUMBE HUU TABORA UNITED

UONGOZI wa Yanga umebainisha kuwa unazitaka pointi tatu za Tabora United kwenye mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi hivyo wataingia kwa tahadhari kuwakabili wapinzani wao. Novemba 7 2024 baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Azam Complex ulisoma Yanga 1-3 Tabora United, pointi tatu ziliyeyuka mazima kwa mabingwa watetezi wa…

Read More

SIMBA YAWAPIGIA HESABU HIZI WAARABU

FADLU Davids, Kocha Mkuu wa kikosi cha Simba ambacho kinapeperusha bendera ya Tanzania kimataifa amesema hesabu kubwa ni kuona wanapata matokeo chanya kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Al Masry ya Misri ambao unatarajiwa kuchezwa leo saa 1:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki. Miongoni mwa wachezaji ambao wapo nchini Misri ni…

Read More

MTAMBO WA MABAO YANGA KAMILI KWA KAZI

MTAMBO wa mabao ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi upo kamili kwa mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa Aprili 2 2025, Tabora. Ni Prince Dube chaguo la kwanza la kocha ni miongoni mwa wachezaji ambao wapo kwenye kikosi cha Yanga ambacho kinakumbuka kwamba mzunguko wa kwanza walipoteza pointi tatu mazima Uwanja wa…

Read More

SIMBA WANASA SIRI ZA WAARABU, KAZI KUBWA KUFANYIKA

KOCHA Mkuu wa Simba, Fadlu DavidsΒ  amesema kuwa wamepata muda wa kuwafutilia wapinzani wao Al Masry na kutambua kuwa ni miongoni mwa timu ambayo ina nguvu ubwa kwenye ulinzi na kushambulia jambo ambalo watakabiliana nalo ili kupata matokeo chanya. Kikosi cha Simba kipo nchini Misri kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa Kombe la Shirikisho…

Read More

YANGA HESABU KWA TABORA UNITED

MILOUD Hamdi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema watapambana kufanya kazi kubwa mbele ya Tabora United ili wapate pointi tatu muhimu katika mchezo ujao unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa ndani ya dakika 90. Machi 2025 Yanga ilifunga kwa kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Songea United mchezo wa CRDB Federation Cup ilikuwa ni Machi 29…

Read More

AZAM FC YAIPIGIA HESABU GEITA GOLD

MATAJIRI wa Dar, Azam FC wanapiga hesabu kuvuna pointi tatu ugenini dhidi ya Ken Gold mchezo unaotarajiwa kuchezwa Aprili 3 2025 Uwanja wa Sokoine ikiwa ni mzunguko wa pili. Baada ya mechi 23 ambazo ni dakika 2,070 Azam FC imekusanya jumla ya pointi 48 ikiwa nafasi ya tatu kwenye msimamo, safu ya ushambuliaji imetupia mabao…

Read More

HAPA NDIPO DENI LILIPO KWA BEKI WA KAZI YANGA

BEKI wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi, Ibrahim Bacca deni lake la mabao kwa sasa ni 11 ili kufanikisha malengo aliyokuwa nayo msimu wa 2024/25. Beki huyo mwanzo wa msimu baada ya kufungua akaunti yake ya mabao kwenye mchezo dhidi ya Ken Gold uliochezwa Uwanja wa Sokoine alibainisha…

Read More