CAF yaipiga faini ya dola 200,000 Morocco kwa kutaka ‘kuiba’ taulo la Senegal

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) imeorodhesha adhabu walizotoa kwa Morocco na Senegal kufuatia vurugu iliyoshuhudiwa wakati wa fainali ya AFCON 2026. Mashabiki wengi wa mpira walikuwa na hamu ya kujua hatua zipi zitashukuliwa na shirikisho hilo huku kila upande ukiamini mwenzake alikosea na anafaa kupata adhabu kali zaidi. CAF limempiga marufuku kocha wa Senegal, Pape…

Read More

Uwanja wa KMC Wafungiwa na TFF kwa Kukosa Vigezo

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeufungia uwanja wa KMC uliopo Dar es Salaam kutumika kwa michezo ya Ligi, baada ya kubaini kuwa haukidhi vigezo vya kikanuni na sheria za mpira wa miguu. Kwa mujibu wa TFF, miundombinu ya uwanja huo haijakidhi matakwa ya Kanuni kama ilivyoainishwa katika masharti ya Kanuni ya Leseni za…

Read More

Kwa Lucky Loser, Ukianguka Bado Unashinda Zaidi

Kuna wakati unapocheza Win&Go na namba zako zote 6 hazifanikiwi kukupa ushindi. Hapo unahisi bahati haipo upande wako. Meridianbet inakuambia sahau mawazo hayo. Kwa Lucky Loser, hata unaposhindwa, bado unashinda. Tiketi yako ikishindwa kabisa, inabadilika mara moja kuwa ushindi wa mara 30 ya dau lako, ikikuonyesha kwamba hata kupoteza kuna furaha ndani yake. Lucky Loser…

Read More

Mechi Kali za Ligi ya Mabingwa Kuchezwa Leo Ulaya

Leo hii ni fursa nyingine ya kupiga pesa ukibashiri mechi zako na Meridianbet ambao ndio mabingwa wa ODDS KUBWA Tanzania. Timu kibao za ushindani za ligi ya mabingwa zipo kwaaajili yako. Bashiri sasa. Borussia Dortmund atakuwa nyumbani kukipiga dhidi ya Inter Milan huku tofauti ya pointi kati yao hadi sasa ikiwa ni 1 pekee. Wote…

Read More

Yanga SC 3-1 Dodoma Jiji FC

Yanga SC 3-1 Dodoma Jiji FC ni ushindi kwa mabingwa watetezi kwenye mchezo wa NBC Premier League Januari 27,2026. Kwenye mchezo wa leo Dodoma Jiji walianza kupata goli la kuongoza kipindi cha kwanza dakika ya 42 kupitia kwa William Edger ambalo lilidumu kwa muda wa dakika 3. Magoli ya Klabu ya Yanga yamefungwa na Depu…

Read More

Azam FC vs TRA United NBC Premier League

Azam FC vs TRA United NBC Premier League ni kituo kinachofuata kwa matajiri wa Dar mchezo ujao wakiwa nyumbani. Azam FC chini ya Kocha Mkuu, Florent Ibenge itamenyana na wakusanya mapato saa 3:00 usiku Uwanja wa Azam Complex. Hiyo ni baada ya matajiri hao wa Dar kutoka ugenini kucheza mchezo wa hatua ya makundi dhidi…

Read More

Azam FC warejea Bongo na ushindi

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho Afrika, Azam FC wamerejea Tanzania wakiwa na zawadi ya ushindi wakiwa ugenini. Januari 25,2026 ubao ulisoma Nairobi United 1-2 Azam FC magoli yakifungwa na Jephte Kitambala dakika ya 17 na Ernest Mohamed alijifunga dakika ya 78. Goli pekee la Nairobi United lilifungwa dakika ya 14 na Dancan Oluoch…

Read More

Meridianbet Yaendeleza Burudani Na Trick or Treat Bonanza

Baada ya msimu wa Halloween kufunga pazia, Meridianbet inaendelea kuonyesha kuwa burudani za kidijitali hazifungwi na kalenda. Kupitia mchezo wa Trick or Treat Bonanza, jukwaa hili linageuza mandhari ya msimu uliopita kuwa uzoefu endelevu wa burudani, likisisitiza ubunifu, ubora wa picha na simulizi linalovutia bila kutegemea sherehe za muda mfupi. Mchezo huu unamchukua mchezaji hadi…

Read More