Furahia Michezo na Kasino Kwenye Meridianbet Sports Portal Leo
Meridianbet Sport Portal ni jukwaa la kisasa linalolenga kuwahudumia wapenzi wa michezo na Kasino kwa…
Meridianbet Sport Portal ni jukwaa la kisasa linalolenga kuwahudumia wapenzi wa michezo na Kasino kwa kuwapa taarifa sahihi, burudani, na fursa za kipekee za ushindi. Kupitia mfumo wake rahisi na wa kuaminika, mashabiki wa michezo hupata matokeo ya papo kwa papo, takwimu za wachezaji, na nafasi ya kubashiri mechi mbalimbali duniani kote. Katika harakati za…
WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho Afrika, Azam FC wamerejea Tanzania wakiwa na zawadi ya ushindi wakiwa ugenini. Januari 25,2026 ubao ulisoma Nairobi United 1-2 Azam FC magoli yakifungwa na Jephte Kitambala dakika ya 17 na Ernest Mohamed alijifunga dakika ya 78. Goli pekee la Nairobi United lilifungwa dakika ya 14 na Dancan Oluoch…
Aliyekuwa kipa wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) na Klabu ya Yanga SC, Peter Manyika, amefariki dunia alfajiri ya leo katika Hospitali ya St. Monica, jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa za awali kutoka kwa familia na vyanzo vya karibu, chanzo cha kifo cha Manyika ni kuugua kwa muda mrefu, ambapo…
Baada ya msimu wa Halloween kufunga pazia, Meridianbet inaendelea kuonyesha kuwa burudani za kidijitali hazifungwi na kalenda. Kupitia mchezo wa Trick or Treat Bonanza, jukwaa hili linageuza mandhari ya msimu uliopita kuwa uzoefu endelevu wa burudani, likisisitiza ubunifu, ubora wa picha na simulizi linalovutia bila kutegemea sherehe za muda mfupi. Mchezo huu unamchukua mchezaji hadi…
Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) kundi B imeendelea kwa ushindani mkubwa huku kila timu ikiwa tayari imecheza mechi tatu za awamu ya makundi. Katika matokeo ya mwisho: JS Kabylie 0-0 AS FARMechi kali iliyochezwa kwa tahadhari kubwa, timu zote zikigawana pointi moja bila kufungana. Al Ahly 2-0 Yanga SCMabingwa hao wa Afrika walionyesha…
Esperance Tunis 1-0 Simba SC ni matokeo kwenye mchezo wa tatu hatua ya makundi msimu wa 2025/26 kwenye msako wa pointi tatu kusaka tiketi ya kutinga hatua ya robo fainali. Goal la ushindi lilifungwa na Jack Diarra dakika ya 21 kipindi cha kwanza lilidumu mpaka mwisho wa mchezo kwa wenyeji kuvuna pointi tatu wakiwa nyumbani….
Pesa iko nje nje leo hii kwenye mechi za ligi ndani ya Meridianbet kwani kila kitu unachotaka kipo hapa kuanzia Odds kubwa, machaguo zaidi ya 1000. Jisajili sasa na uanze safari yako ya ushindi. BUNDESLIGA kule Ujerumani pia kama kawaida itaendelea bingwa mtetezi FC Bayern Munich atamenyana dhidi ya Augsburg katika dimba la Allianz Arena….
Baada ya mechi tatu, Mamelodi Sundowns na Al Hilal wako mbele kwa pointi 5 kila mmoja, jambo linalofanya Kundi C kuwa gumu na la ushindani mkubwa. Hadi sasa hakuna anayewapa faida, hivyo mbio za kuongoza zimebaki kuwa wazi kabisa. Kwa upande mwingine, MC Alger na St Eloi Lupopo bado wanahitaji kufanya kazi zaidi ili kuingia…
Meridianbet imechagua kuuangalia usafi wa mazingira kama nguzo muhimu ya maendeleo ya jamii. Kupitia ushiriki wake katika shughuli za usafi Kata ya Mbezi Juu, kampuni hiyo imelenga kuonesha kuwa mazingira safi yana mchango mkubwa katika kuboresha afya, tija ya wananchi na ustawi wa kijamii kwa ujumla. Meridianbet ililenga kuwawezesha wananchi kwa vitendo. Kampuni hiyo ilitoa…
Januari 23,2026 Al Ahly 2-0 Yanga SC CAF Champions League pointi tatu zimebaki kwa wenyeji ambao wanaongoza kundi B kwa sasa. Mchezo huo umechezwa Uwanja wa Borg El Arab huku nyota wa Al Ahly Mahmoud Trezeguet akifunga magoli yote mawili. Alianza dakika ya 45+3 zikiwa zimesalia sekunde kadhaa kaba ya timu kwenda mapumziko alipofunga goli…
Espérance Sportive de Tunis vs Simba SC CAF mchezo ujao kwenye ratiba kwa Simba SC inayofundishwa na Kocha Mkuu, Steve Barker. Huu utakuwa ni mchezo wa kwanza kwa mrithi wa mikoba ya Dimitar Pantev kwenye anga la kimataifa msimu wa 2025/26. Mchezo wa kwanza ilikuwa kwenye Ligi Kuu Bara ya NBC ambayo ni namba 6…
Una nafasi ya kumiliki simu ya ndoto zako na Meridianbet ambapo kwa kubashiri mechi za mpira wa miguu ni rahisi sana kuchukua Samsung A26 yako. Unangoja nini kubashiri sasa? Katika msimu huu wa burudani na ushindani mkali ndani ya ulimwengu wa soka, Meridianbet imewasha moto mpya unaowapa wachezaji wote sababu ya kuongeza hamasa wanapotazama na…
Meridianbet imechukua promosheni za michezo na kuzileta karibu zaidi na maisha ya mchezaji wa kawaida kupitia Super Heli. Hii si promosheni ya msisimko wa ghafla, bali ni mpango unaokaa kwenye ratiba yako ya kila siku. Kila unapocheza, unajenga safari yako taratibu, ukiunganisha burudani na fursa ya ushindi wa kweli. Promosheni ya Super Heli imepangwa…
Al Ahly vs Yanga SC CAF Champions League ni Januari 23,2026 ambapo wababe hawa wawili wanatarajiwa kuwa uwanjani kusaka pointi tatu muhimu hatua ya makundi. Msafara wa Yanga SC umeshatia timu Misri kwa maandalizi ya mwisho chini ya Kocha Mkuu, Pedro Goncalves akiwa na wachezaji wapya miongoni mwao ni Depu na Allan Okelo. Goncalves ameweka…
Klabu ya Simba, imetangaza kuachana na mchezaji wake, Jean Charles Ahoua. Kupitia akaunti zake za mitandao ya kijamii, Simba imeandika: “Asante kwa muda wote ambao ulikuwa sehemu ya kikosi chetu, Jean Charles Ahoua.”
Kwa mujibu wa takwimu zilizotangazwa juma hili,Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara inashika nafasi ya sita (6) kwa ubora barani Afrika na ya 54 duniani. Licha ya kushuka kwa nafasi mbili (2) Afrika ikilinganishwa na mwaka 2024, Ligi yetu imepanda kwa nafasi tatu (3) duniani, kutoka nafasi ya 57 (2024) hadi nafasi ya 54 (2025)…
Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet kwenye simu yako ni rahisi sana kutengeneza pesa?. Mechi kibao zipo kuhakikisha huondoki patupu hapa suka jamvi lako sasa na uanze kubashiri hapa. AS Roma watakuwa kibaruani dhidi ya VFB Stuttgart ya kule Ujerumani ambao wapo nafasi ya 9 huku wenyeji wao wakiwa nafasi ya 10. Timu zote zina…