
UTAMU WA UEFA KUKUJIA HIVI KARIBUNI
Ukiwa unajiuliza ni wapi unaweza kujihakikishia ushindi wa maana, mimi nakwambia chimbo ni moja tuu…
Ukiwa unajiuliza ni wapi unaweza kujihakikishia ushindi wa maana, mimi nakwambia chimbo ni moja tuu nalo ni Meridianbet, ambapo Nusu Fainali za kwanza UEFA kupigwa Jumanne na Jumatano. Je nani kuibuka bingwa? Jumatano hii mechi kali kabisa Barcelona atakuwa nyumbani kukipiga dhidi ya Inter Milan ya Simone Inzaghi. Barca kwanza ndio vinara wa Laliga wakiwa…
Kama kawaida ni banduka bandua leo tena mechi za Laliga pale Hispania zimekuja kwaajili ya kuhakikisha huondoki bila mpunga leo. Tandika jamvi la ushindi leo. Kule Italia kuna mechi nyingine ya Nusu Fainali ya COPPA ITALIA kati ya Bologna vs Empoli huku kwenye mechi ya kwanza walipokutana mgeni alipasuka. Hivyo leo hii anahitaji kulipa kisasi…
CLEMENT Mzize nyota wa kikosi cha Yanga ni namba moja kwa wakali wakucheka na nyavu ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2024/25. Kutoka kwenye ligi namba nne kwa ubora Afrika, vita ni kali kwenye eneo la ushambuliaji huku kukiwa na mzawa mmoja mwenye zali lakucheka na nyavu akiwa na mabao 13. Mzize alipachika…
Juicy Fruits Multihold ni mchezo wa kasino ya mtandaoni kutoka kwa wataalamu ‘Pragmatic Play‘. Mchezo huu wa sloti, utakutana na alama za ushindi kama vile wilds, ambayo pia huonekana kama alama kubwa. Vilevile kuna mizunguko ya bure inayofuata mipangilio minne ya nguzo. Juicy Fruits Multihold ni mchezo wa kasino mtandaoni ambao una nguzo tano zilizopangwa…
Klabu ya Simba Sc imekuwa kinara kwenye orodha ya timu zinazofanya vizuri kwa wiki ya 21 iliyotolewa na mtandao wa Africa Soccer Zone Power huku miamba wengine wa Tanzania, Yanga Sc wakikamata nafasi ya nne. Mabingwa wapya wa Morocco, RS Berkane wapo nafasi ha pili, vigogo wa Misri, Pyramids wanakamata nafasi ya tatu huku Mabingwa…
MKALI wa mabao ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Clement Mzize amefichua kilicho nyuma ya mafanikio yake kwenye kusepa na tuzo. Mzize kwenye mchezo dhidi ya Fountain Gate uliochezwa Uwanja wa Tanzanite, Kwaraa Aprili 21 aliibuka kuwa mchezaji bora ubao uliposoma Fountain Gate 0-4 Yanga. Ushindi huo unaifanya Yanga…
KIKOSI cha Simba chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids mapema Aprili 23 2025 kimekwea pipa kuelekea Afrika Kusini kwa ajili ya mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch FC unaotarajiwa kuchezwa Aprili 27 2025. Ipo wazi kwamba kwenye mchezo wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Amaan, baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba 1-0…
Barcelona imeendelea kuusogelea ubingwa wa Ligi Kuu Uhispania (Laliga) kufuatia ushindi wa 1-0 nyumbani dhidi ya Real Mallorca na kusogea mpaka alama 7 mbele ya Mabingwa watetezi, Real Madrid. FT: Barcelona 1-0 Mallorca ⚽ 46’ Olmo MSIMAMO: LaLiga 🔝 5️⃣ 🥇 Barcelona — mechi 33 — pointi 76 🥈Real Madrid — mechi 32 — pointi…
Bao la dakika za jioooni kutoka kwa Matheus Nunes limeipatia Manchester City pointi zote tatu nyumbani dhidi ya Aston Villa na kukwea mpaka nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu England. Mabingwa hao watetezi wamefikisha pointi 61 kwenye mechi 34 huku Aston Villa wakisalia nafasi ya 7 wakiwa na pointi 57 baada ya mechi…
Kocha wa Timu ya soka ya Taifa ya Kenya ‘Harambee Stars’ Benni McCarthy amepigiwa upatu kuwa Kocha wa Klabu yake ya zamani. Kocha wa Harambee Stars ameibuka miongoni mwa majina yanayohusishwa na nafasi ya Ukocha katika miamba ya Afrika Kusini Orlando Pirates. Gwiji huyo wa Bafana Bafana amehudumu miezi michache tu tangu ateuliwe kuwa Kocha…
Klabu ya Simba Sc imetangaza kuwa kikosi cha wachezaji 23 cha timu hiyo kitaondoka kesho asubuhi kuelekea Afrika Kusini kwa ajili ya mchezo wa mkondo wa pili wa hatua ya nusu fainali ya kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) dhidi ya Stellenbosch. Kikosi hicho kitaondoka na Ndege ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) ikipitia Johannesburg…
Dkt Jerecki ndiye muanzilishi wa mchezo wa Roulette ambapo yeye binafsi alikuwa akifika kwenye jumba la kasino majokeri wenzake wanamkimbia kwa kuogopa kupunwa pesa zao. Jamaa alifariki akiwa na miaka 80 na kwa namna ya kipekee mchango wake kwenye ulimwengu wa michezo ya Kamari anakumbukwa. American Roulette sawa na michezo mingine ya Roulette unapatikana Meridianbet…
Zamani kulikuwa na utaratibu na utamaduni wa kusimuliana hadithi, mababu na bibi zetu walikuwa ndiyo vinara wa kutoa stori za kale zenye kufurahisha na kufunza pia, lakini miaka ya hivi karibuni mambo hayo hakuna, lakini kuna mitandao ya kijamii watu wengi wanapata stori na hadithi huko. Kuna hadithi nyingi za kale nzuri kama Sungura na…
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis, amefariki dunia leo Jumatatu akiwa na umri wa miaka 88, hatua inayofunga ukurasa wa uongozi wake uliojaa changamoto, migawanyiko na juhudi za kulifanyia mabadiliko Kanisa hilo la miaka 2,000. Vatican imethibitisha taarifa hizo kupitia video iliyosambazwa kwa vyombo vya habari. “Ndugu wapendwa, kwa huzuni kuu nawasilisha taarifa ya…
Kabla sijakupa kisa cha miungu ya Kigiriki hususani mungu Zeus, unapaswa kuelewa kwamba kwa kutambua historia ya kale hususani ya Taifa la Ugiriki, Meridianbet kupitia michezo ya kasino ya mtandaoni imekuletea mchezo wenye kubeba historia ya Kigiriki unaitwa Magnificient Power Zeus. Mchezo huu wa Kasino ya Mtandaoni upo upande wa sloti ya mtandaoni wenye njia…
Meridianbet inazidi kuwapa wateja wake kile wanachokihitaji — BURUDANI na ZAWADI za ukweli! Kupitia promosheni yao mpya, sasa unaweza kujishindia Samsung A25 mpya kabisa kwa kucheza mechi zako za mpira kwenye Meridianbet. Kama wewe ni shabiki wa kandanda na unapenda kubashiri kwa ushindi, basi hii ni nafasi yako ya kipekee! JINSI YA KUSHIRIKI: ✅ Ingia…
SIMBA SC imekamilisha dakika 90 za mwanzo Uwanja wa Amaan kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali Kombe la Shirikisho Afrika kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Stellenbosch FC ya Afrika Kusini. Bao pekee la uongozi limefungwa na Jean Ahoua kwa pigo la faulo dakika ya 45 akitumia mguu wake wa kulia. Kwa matokeo…