Yanga SC warejea Dar kamili kwa mchezo ujao CAF

CHINI ya Kocha Mkuu, Pedro Goncalves, msafara wa Yanga SC umerejea Dar Februari Mosi kutoka Zanzibar baada ya kukamilisha dakika 90 zakimataifa. Januari 31,2026 Yanga SC 1-1 Al Ahly ulikuwa mchezo wa hatua ya makundi CAF Champions League ikiwa ni mchezo wa nne kwa wababe wote wawili. Yanga SC kwenye kundi D ipo nafasi ya…

Read More

Simba SC vs de Tunis, Mpanzu ameanzia benchi

Simba SC vs de Tunis ni mchezo wa hatua ya makundi unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Februari Mosi 2026. Kwenye kikosi cha kwanza winga Ellie Mpanzu ameanza benchi huku kiungo mshambuliaji Clatous Chama akianza kikosi cha kwanza. Mshambuliaji Seleman Mwalimu na Jonathan Sowah wote wapo benchi huku kiungo mshambuliaji Gueye akipewa jukumu eneo la ushambuliaji….

Read More

Super Heli Premium Ni Njia Ya Ushindi Ukiwa Angani

Meridianbet Tanzania inaendelea kufungua milango mipya ya burudani na ushindi kwa kuileta rasmi Super Heli Premium, mchezo wa kasino unaochanganya kasi, mkakati na maamuzi ya papo kwa papo. Hapa, si suala la kubahatisha tu, ni kuhusu kusoma mchezo, kuhisi muda sahihi na kuchukua hatua kabla helikopta haijapotea angani. Kila raundi ni hadithi mpya. Unaweka dau…

Read More

Gates of Halloween Kukupa Ubunifu wa Mchezo Wa Kasino Mtandaoni Meridianbet

Katika ulimwengu wa michezo ya kasino mtandaoni, ushindani haupo tena kwenye mandhari pekee, bali kwenye ubunifu wa mifumo ya uchezaji. Kupitia Gates of Halloween, Meridianbet inaonyesha mwelekeo mpya wa jinsi michezo ya kasino inavyoundwa, ikiweka mkazo kwenye uzoefu unaoendelea badala ya matokeo ya mzunguko mmoja. Mchezo huu umejengwa kwa mfumo wa ushindi unaoendelea, ambapo kila…

Read More

CAF yaipiga faini ya dola 200,000 Morocco kwa kutaka ‘kuiba’ taulo la Senegal

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) imeorodhesha adhabu walizotoa kwa Morocco na Senegal kufuatia vurugu iliyoshuhudiwa wakati wa fainali ya AFCON 2026. Mashabiki wengi wa mpira walikuwa na hamu ya kujua hatua zipi zitashukuliwa na shirikisho hilo huku kila upande ukiamini mwenzake alikosea na anafaa kupata adhabu kali zaidi. CAF limempiga marufuku kocha wa Senegal, Pape…

Read More