Ligue 1, Serie A, LaLiga, Bundesliga, Championship – Beti Sasa!
Leo hii ni nafasi nzuri ya wewe kubadili maisha yako na Meridianbet kwani kila chaguo…
Leo hii ni nafasi nzuri ya wewe kubadili maisha yako na Meridianbet kwani kila chaguo unalotaka lipo hapa. Suka jamvi lako la uhakika na uanze safari yako za ushindi. Beti leo, LIGUE 1 kule Ufaransa kuna mitanange miwili ambapo AS Monaco atakipiga dhidi ya Lorient ambapo mara ya mwisho kukutana mwenyeji alipoteza mechi hii. Hii…
Ndege ya Turkish Airlines aina ya Airbus A321 iliyokuwa ikifanya safari kuelekea Barcelona ililazimika kutua kwa dharura katika Uwanja wa Ndege wa Barcelona–El Prat, baada ya abiria mmoja kuunda jina la Wi‑Fi hotspot lenye ujumbe wa kutishia bomu siku ya Januari 15, 2026. Ndege hiyo, yenye namba ya safari TK1853, ilikuwa imeruka kutoka Istanbul ikiwa…
Klabu ya Simba SC imeimarisha benchi lake la ufundi kwa kuwaleta kocha msaidizi mpya, Kristopher Bergman, akiwa na lengo la kusaidia timu katika kampeni zake za ligi na mashindano ya kimataifa msimu huu. Uwasilishaji wa Bergman umetokea baada ya klabu kufanya mabadiliko ya uongozi wa ufundi ili kuongeza ufanisi wa timu. Hii ni hatua muhimu…
Katika kipindi ambacho afya ya mama na mtoto imeendelea kuwa ajenda muhimu ya kijamii, Meridianbet imejitokeza kuchukua nafasi yake kama mdau anayetoa mchango wa moja kwa moja. Kupitia mpango wake wa kijamii unaoendelea, kampuni hiyo imekuwa ikiwafikia akina mama wajawazito na waliojifungua, ikilenga kuwapa unafuu katika kipindi chenye uhitaji. Msaada uliotolewa ulijikita katika vitu vinavyotumika…
Nje ya uwanja, Refa raia wa Ghana, Daniel Nii Laryea, amepoteza akaunti yake ya Instagram baada ya kuripotiwa kwa wingi na mashabiki wa Nigeria. Hatua hiyo imekuja muda mfupi baada ya kumalizika kwa mechi ya Nusu Fainali ya AFCON 2025 kati ya Nigeria na Morocco, ambapo Nigeria walipoteza na kuondolewa kwenye mashindano. Mashabiki wengi wa…
Klabu ya Yanga rasmi imemtambulisha mshambuliaji wa kati Laurindo Dilson Maria Aurélio Depu (25), raia wa Angola, akitokea klabu ya Radomiak Radom ya Poland. Depu amesaini mkataba wa miaka miwili kuwatumikia mabingwa hao wa Tanzania Bara, akitarajiwa kuongeza nguvu katika safu ya ushambuliaji wa timu hiyo kuelekea mashindano ya ndani na kimataifa. Usajili wa Depu…
Tottenham Hotspur wamekamilisha usajili wa kiungo wa England, Conor Gallagher, kutoka Atlético Madrid kwa ada ya Pauni Milioni 34 (takriban Shilingi Bilioni 114 za Tanzania). Usajili huu unakuja huku Tottenham wakiwa sokoni kutafuta kiungo wa kati baada ya Rodrigo Bentancur kutarajiwa kukosa sehemu kubwa ya msimu kutokana na jeraha la misuli ya paja (hamstring). Gallagher,…
NYUMBA YA KISASA INAUZWA – MAPINGA Eneo: Mapinga, kilomita 1 tu kutoka Bagamoyo Road Bei: Milioni 150 (maongezi yapo) Ukubwa wa kiwanja: 1,200 sqm Document clean TITLE DEED ( Hati miliki kutoka wizara ya aridhi) MAELEZO YA NDANI ◇Vyumba 4 vya kulala (2 Master ◇Bedrooms – Self Contained) ◇Sebule kubwa yenye mwanga wa kutosha ◇Chumba…
Arsenal wameondoka Stamford Bridge wakiwa na ushindi muhimu wa mabao 3-2 dhidi ya Chelsea katika mchezo wa kwanza wa hatua ya mtoano. ⚽ Ben White alifungua ukurasa wa mabao mapema dakika ya 7, kabla ya Viktor Gyökeres kuisawazishia Chelsea dakika ya 49. ⚽ Alejandro Garnacho aliipa Chelsea uongozi dakika ya 57, lakini Arsenal wakarejea kwa…
Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika AFCON 2025 imepata fainali yake baada ya Morocco na Senegal kufanikiwa kuvuka hatua ya Nusu Fainali. Morocco walikata tiketi ya Fainali baada ya kuitoa Nigeria kwa mikwaju ya penalti kufuatia sare tasa ya 0-0 ndani ya dakika 90 za kawaida na dakika 30 za nyongeza. Katika hatua ya…
Meridianbet Sport Portal ni jukwaa la kisasa linalolenga kuwahudumia wapenzi wa michezo na Kasino kwa kuwapa taarifa sahihi, burudani, na fursa za kipekee za ushindi. Kupitia mfumo wake rahisi na wa kuaminika, mashabiki wa michezo hupata matokeo ya papo kwa papo, takwimu za wachezaji, na nafasi ya kubashiri mechi mbalimbali duniani kote. Katika harakati za…
Kila tiketi ya Win&Go ni mwanzo wa hadithi mpya ya furaha, haijalishi imeshinda au imeshindwa. Meridianbet wanakuleta Lucky Loser, mpango unaobadilisha mashaka ya kushindwa kuwa ushindi na kurudisha furaha yako ya kubashiri. Lucky Loser inakufanya ujue kuwa hata kushindwa kunaweza kuwa mchezaji wa ushindi. Ukicheza tiketi ya namba 6 na ukashindwa, unakua kwenye nafasi ya…
Kiungo mshambuliaji mpya wa Yanga SC, Allan Okello, rasmi ameanza mazoezi baada ya kujiunga na klabu hiyo akitokea klabu ya Vipers SC ambapo alikuwa miongoni mwa wachezaji tegemeo na waliokuwa wakionesha kiwango kizuri katika Ligi Kuu ya Uganda pamoja na mashindano ya kimataifa.. Okello ameonekana akifanya mazoezi ya Gym ikiwa ni sehemu ya kurejesha na…
Shirikisho la soka la Gabon limetangaza kuwa hatua zilizochukuliwa dhidi ya timu ya taifa na wachezaji akiwemo Pierre-Emerick Aubameyang baada ya kutoka mapema katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika zimeondolewa. Katika michuano hiyo inayofanyika nchini Morocco, Gabon ilipoteza mechi zote za Kundi F kwenye kombe la mataifa ya Afrika 2025, ambapo ilimenyana na…
Ili kupiga pesa nyingi na wakali wa ubashiri Tanzania yaani Meridianbet, ingia kwenye akaunti yako na usuke jamvi lako la uhakika huku ukichagua machaguo unayoyataka leo. Ushindi unaanzia nyumbani. SERIE A kule Italia ambapo Napoli atakuwa nyumbnai kusaka ushindi dhidi ya Parma ambao wapo nafasi ya 15 huku wageni wao wakiwa nafasi ya 3 kwenye…
Meridianbet imechukua hatua mpya ya ubunifu kwa kuanzisha Non-Stop Win&Go Drop, mpango unaobadilisha kabisa namna wachezaji wanavyopata burudani ya kasino mtandaoni. Badala ya mfumo wa kusubiri kwa muda mrefu, kampeni hii imejengwa juu ya dhana ya fursa zinazoonekana mara kwa mara, zikimpa mchezaji hamasa ya kuendelea kushiriki. Kupitia tiketi za bure zinazotolewa kila siku, Meridianbet…
Klabu ya Young Africans SC (Yanga) imetwaa ubingwa wa Kombe la Mapinduzi (Mapinduzi Cup) baada ya kuibuka mshindi dhidi ya Azam FC kwa mikwaju ya penalti 5–4, kufuatia sare ya bila kufungana (0-0) katika muda wa kawaida na nyongeza wa mchezo wa fainali. Mchezo huo uliopigwa kwa ushindani mkubwa ulimalizika kwa matokeo ya 0-0 ndani…