Bashiri Leo Upate Samsung A26 na Meridianbet
Una nafasi ya kumiliki simu ya ndoto zako na Meridianbet ambapo kwa kubashiri mechi za…
Una nafasi ya kumiliki simu ya ndoto zako na Meridianbet ambapo kwa kubashiri mechi za mpira wa miguu ni rahisi sana kuchukua Samsung A26 yako. Unangoja nini kubashiri sasa? Katika msimu huu wa burudani na ushindani mkali ndani ya ulimwengu wa soka, Meridianbet imewasha moto mpya unaowapa wachezaji wote sababu ya kuongeza hamasa wanapotazama na…
Meridianbet imechukua promosheni za michezo na kuzileta karibu zaidi na maisha ya mchezaji wa kawaida kupitia Super Heli. Hii si promosheni ya msisimko wa ghafla, bali ni mpango unaokaa kwenye ratiba yako ya kila siku. Kila unapocheza, unajenga safari yako taratibu, ukiunganisha burudani na fursa ya ushindi wa kweli. Promosheni ya Super Heli imepangwa…
Al Ahly vs Yanga SC CAF Champions League ni Januari 23,2026 ambapo wababe hawa wawili wanatarajiwa kuwa uwanjani kusaka pointi tatu muhimu hatua ya makundi. Msafara wa Yanga SC umeshatia timu Misri kwa maandalizi ya mwisho chini ya Kocha Mkuu, Pedro Goncalves akiwa na wachezaji wapya miongoni mwao ni Depu na Allan Okelo. Goncalves ameweka…
Klabu ya Simba, imetangaza kuachana na mchezaji wake, Jean Charles Ahoua. Kupitia akaunti zake za mitandao ya kijamii, Simba imeandika: “Asante kwa muda wote ambao ulikuwa sehemu ya kikosi chetu, Jean Charles Ahoua.”
Kwa mujibu wa takwimu zilizotangazwa juma hili,Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara inashika nafasi ya sita (6) kwa ubora barani Afrika na ya 54 duniani. Licha ya kushuka kwa nafasi mbili (2) Afrika ikilinganishwa na mwaka 2024, Ligi yetu imepanda kwa nafasi tatu (3) duniani, kutoka nafasi ya 57 (2024) hadi nafasi ya 54 (2025)…
Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet kwenye simu yako ni rahisi sana kutengeneza pesa?. Mechi kibao zipo kuhakikisha huondoki patupu hapa suka jamvi lako sasa na uanze kubashiri hapa. AS Roma watakuwa kibaruani dhidi ya VFB Stuttgart ya kule Ujerumani ambao wapo nafasi ya 9 huku wenyeji wao wakiwa nafasi ya 10. Timu zote zina…
Klabu ya Al Ahly SC imetangaza kutoa mabasi ya bure kwa ajili ya kuwasafirisha mashabiki wake kwenda Alexandria, ambako timu hiyo itavaana na Yanga SC siku ya Ijumaa katika mchezo muhimu wa kimataifa. Awali, mechi hiyo ilipangwa kuchezwa kwenye Uwanja wa Kimataifa wa Cairo, hata hivyo imehamishiwa kuchezwa katika dimba la Alexandria, hatua iliyowalazimu viongozi…
Winga nyota wa Liverpool, Mohamed Salah, hatimaye amerejea kwenye kikosi cha kwanza cha klabu hiyo na kucheza mechi yake ya kwanza tangu alipokuwa akiitumikia timu ya taifa ya Misri katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON). Salah alianzishwa katika kikosi cha Liverpool kilichoibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Olympique Marseille ya…
Kwa muda mrefu, michezo ya kasino imejengwa juu ya kusubiri muda, kusubiri droo, kusubiri matokeo. TVBET ndani ya Meridianbet inavunja mfumo huo na kuanzisha aina mpya ya burudani inayotembea kwa kasi ya mchezaji. Hapa, mchezo unaufikia unapohitaji, ukiwa tayari kujaribu bahati yako papo hapo. TVBET imejikita katika uwazi kwa kuendesha michezo mubashara mbele ya kamera….
Kiungo mahiri Stéphane Aziz Ki amejiunga rasmi na Al Ittihad ya Libya akitokea Wydad Athletic Club ya Morocco, baada ya klabu hiyo ya Libya kufanikisha dili kubwa la uhamisho. Kwa mujibu wa taarifa zilizothibitishwa, Al Ittihad imelipa ada nono ili kunasa saini ya nyota huyo, jambo linaloashiria dhamira ya klabu hiyo kuimarisha kikosi chake kwa…
Usiku wa Ulaya huu hapa umefika huku wakali wa ubashiri Tanzania wao wamekuja na habari njema kabisa za wewe kuondoka na utajiri wako. Suka jamvi lako la ushindi na wakali hawa wa ubashiri sasa. Juventus uso kwa uso dhidi ya Benfica kutoka kule Ureno ambao kwenye mechi 6 walizocheza hadi sasa wameshinda 2 halikadhalika Bibi…
Katika ulimwengu unaobadilika kwa kasi wa michezo ya kubashiri mtandaoni, Meridianbet imeendelea kuwa mstari wa mbele kwa kuleta ubunifu unaogusa maisha ya wachezaji wake moja kwa moja. Kupitia promosheni maalum ya mchezo wa Aviator, wachezaji sasa wanapewa fursa ya kipekee ya kushinda Samsung Galaxy A26, simu ya kisasa, muonekano wa kuvutia na utendaji wa uhakika….
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mheshimiwa Paul Makonda amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Shirikisho la Kandanda Duniani (FIFA) Bw. Gianni Infantino katika ofisi za FIFA zilizopo Jijini Rabat, nchini Morocco. Katika mazungumzo hayo Mheshimiwa Makonda amemshukuru Bw. Infantino kwa ushirikiano mkubwa anaoutoa kwa Tanzania katika maendeleo ya mchezo wa mpira wa…
Simba SC imemsajili beki Ismail Toure, raia wa Ivory Coast akiwa mchezaji huru. Toure alikuwa na kocha wa Simba SC, Steve Barker, kwenye kikosi cha Stellenbosch kilichocheza na Simba kwenye hatua ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika mwaka 2025.
Je unajua kuwa Meridianbet ndio wakali wa Odds Tanzania?. Yaani namaanisha kuwa ukitaka Odds kubwa na za kibabe wewe njoo hapa na ubashiri leo. Lakini pia unaweza ukaibuka bingwa kwani machaguo ni mengi hapa. Anza kutengeneza pesa kwenye mechi ya Sporting Lisbon wao watamenyana dhidi ya bingwa mtetezi PSG ambao mpaka sasa wapo nafasi ya…
Wapenzi wa kasino, sasa ni wakati wa kushuhudia mapinduzi ya kweli mtandaoni. Meridianbet imeungana na Kalamba Games, kampuni ya kimataifa inayojivunia ubunifu wa sloti zenye teknolojia ya hali ya juu, kuleta burudani isiyo na kikomo kwa wachezaji. Ushirikiano huu unakuja na michezo yenye muonekano angavu na sauti zinazochangamsha hisia, zikifanya kila mzunguko uwe kama tukio…
RASMI Januari 19, 2026 Simba SC imemtambulisha mchezaji mpya katika dirisha dogo ambaye ni beki Nickson Kibabage. Kibabage anatambulishwa na Simba SC akitokea Klabu ya Singida Black Stars alipokuwa mwanzo wa msimu wa 2025/26. Taarifa rasmi iliyotolewa mapema na Singida Black Stars ilibainisha kuwa wamefikia makubaliano na Simba SC ambapo wanamtoa mchezaji huyo bila malipo…