
WAZIRI MKUU AKAGUA VIWANJA VITAKAVYOTUMIKA CHAN AGOSTI 2025
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Machi 29, 2025 amefanya ukaguzi wa viwanja vitakavyotumiwa kufanyia mazoezi na…
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Machi 29, 2025 amefanya ukaguzi wa viwanja vitakavyotumiwa kufanyia mazoezi na timu zitakazo shiriki michuano ya CHAN Agosti 2025 na AFCON 2027 kwa Ushirikiano na nchi za Kenya na Uganda. Baada ya ukaguzi huo Mheshimiwa Majaliwa amewaagiza Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, na Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa wapo tayari kwa mchezo wao dhidi ya Al Masry na wameanza na mazoezi muda mfupi baada ya kufika Misri ili kuwa imara kwenye dakika 90 za ushindani. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba ameweka wazi kuwa wanatambua ushindani ni mkubwa jambo ambalo linawafanya wafanye maandalizi…
KUNA vita kubwa ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika kwenye eneo la tuzo ya mfungaji bora ambayo kwa sasa ipo mikononi mwa Aziz Ki aliyetwaa msimu wa 2023/24 akiwa na uzi wa Yanga baada ya kutupia mabao 21. Kwa sasa kila timu ina wachezaji ambao wanafanya vizuri kwenye…
FEISAL Salum, Fei Toto kiungo wa Azam FC ambaye ni mkali kwenye pasi za mwisho za mabao ndani ya Ligi Kuu Bara ambayo ni namba nne kwa ubora jina lake limekuwa likitajwa kuwa katika rada za Simba ambao wanahitaji saini yake. Kiungo huyo aliibuka ndani ya Azam FC akitokea Yanga ambapo kwa sasa amekuwa ni…
Siku ya leo Meridianbet iliamua kufunga safari na kuwatembelea wanawake wajane wanaopatikana mtaa wa Magomeni na kutoa msaada wa vyakula. Jumamosi ya leo katika jitihada za kusaidia jamii na kuunga mkono familia ambazo zimeondokewa na wapendwa wao hasa wanawake wajane, Meridianbet iliamua kufunga safari hadi Magomeni kwaajili ya kutoa msaada wa vyakula kwa wanawake hao….
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeuruhusu uwanja wa Benjamin Mkapa kutumika kwa michezo inayosimamiwa na Shirikisho hilo baada ya Ukaguzi uliofanywa na Wakaguzi wa CAF mnamo Machi 20, 2025. Taarifa ya leo Machi 28, 2025 iliyotolewa na Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) imeeleza kuwa CAF inaendelea kufuatilia kwa karibu maboresho yanayoendelea…
Michuano ya kombe la Shirikisho la CRDB (FA CUP) imeendelea tena leo Machi 28, 2025 kwa mchezo mmoja ambapo Juma KASEJA ameiongoza Kagera Sugar kufuzu kwenda hatua ya robo fainali baada ya kuitupa nje Tabora United kwa mikwaju ya penalti 5-2. FT: Tabora United 1-1 Kagera Sugar ⚽ 02’ Andy Bikoko ⚽ 27’ Joseph Mahundi…
Mechi kali zinaendelea na Meridianbet wapo tayari kuhakikisha hawakuachi hivyo hivyo, na ndio maana wameamua kukupatia ODDS za kibabe na machaguo zaidi ya 1000 kwenye mechi za leo. Uingereza, CHAMPIONSHIP kitawaka vilivyo Sheffield United atakipiga dhidi ya Coventry City ambao mechi yao iliyopita wakishinda halikadhalika kwa mwenyeji naye aliondoka na ushindi. Mara ya mwisho kukutana…
WATANI wa jadi Simba na Yanga kwenye hesabu za kuboresha eneo la ushambuliaji inatajwa kuwa wamegongana kuwania saini ya raia wa Ghana, Jonathan Sowa ambaye yupo ndani ya kikosi cha Singida Black Stars. Nyota huyo ambaye ni ingizo jipya ndani ya Singida Black Stars amekuwa imara kwenye eneo lakutupia mabao ambapo kwenye mechi ambazo amecheza…
KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids alfajiri ya Machi 28 2025 kimekwea pipa kuelekea Misri kwa ajili ya mchezo wa kimataifa wa Kombe la Shirikisho dhidi yaAl Masry, mchezo unaotarajiwa kuchezwa Aprili 2 2025. Mchezo wa marudio unatarajiwa kuchezwa Machi 9 Uwanja wa Mkapa ambapo Simba watakuwa nyumbani na wamebainisha kuwa kikubwa…
KUNA nyakati marafiki walikosa chakula na mfukoni hawakuwa na hata mia mbovu, ilikuwa vita ngumu kwao kupita kwa wakati huo ila waliibuka mashujaa bila kutarajia katika nyakati hizo kutokana na zile stori ambazo walianza kupiga. Ghafla waliacha kuzungumzia kuhusu bili waliyoacha kwa mama Amina pamoja na yale madeni ambayo yapo juu yao kwenye lile daftari…
Jiandae kwa tukio la michezo la sloti linalokusudiwa kuwafurahisha mashabiki wote wa michezo ya kubahatisha ya kasino ya mtandaoni! Uwe shabiki wa timu yenye jezi nyekundu au nyeusi na nyeupe, timu yako uipendayo itakusaidia kushinda bonasi za kushangaza na Mamilioni kutoka Meridianbet. Karibu kwenye tamasha la mpira wa miguu – cheza Capital City Derby! Chagua…
RABAT-Timu ya Morocco imefanikiwa kufuzu Kombe la Dunia la FIFA 2026 baada ya kuifunga Taifa Stars mabao 2-0 katika mchezo uliopigwa nchini humo. Ni katika mtanange uliopigwa usiku wa kuamkia Machi 26,2025 katika dimba la Honor mjini Oujda, Morocco. Mabao ya Morocco katika Kundi E yamefungwa na Nayef Aguerd dakika ya 51′ huku Brahim Abdelkader…
Tanzania ni miongoni mwa timu ambazo zitakuwa dimbani hapo baadae usiku kusaka nafasi ya kufuzu Kombe la Dunia 2026. Pia kuna mechi nyingine nyingi za kukupatia ushindi. Beti hapa. Beti mtanange wa Morocco vs Tanzania ambao wapo ugenini kusaka tiketi ya kusaka kufuzu kombe la Dunia. Mechi itapigwa saa 6:30 usiku huku Taifa Stars haipewi…
UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa tayari unaendelea na maandalizi ya mechi za ushindani zilizo mbele yao ikiwa ni mchezo wa hatua ya CRDB Federation Cup dhidi ya Big Man ambao unatarajiwa kuchezwa Machi 27 2025, Uwanja wa KMC Complex. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amebainisha kuwa wanatambua uwepo wa mechi…
HEMED Morocco, Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo dhidi ya timu ya taifa ya Morocco ambao unatarajiwa kuchezwa leo Machi 25 2025 kwa wababe hao kuwania ushindi ndani ya uwanja. Morocco amebainisha kuwa wanatambua ushindani ni mkubwa kwenye mchezo huo ila wapo…
WINGA wa kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids, Ellie Mpanzu ameweka wazi kuwa bado hajafikia ubora wake kwa asilimia 100 kwenye mechi za ushindani hivyo kwa maana hiyo gari bado halijawaka. Hivyo licha yakuwa kwenye mwendelezo katika mechi ambazo anacheza bado chuma hakijapata moto kufikia makali ambayo anayo kutokana na uwezo wake…