UTAMU WA UEFA KUKUJIA HIVI KARIBUNI

Ukiwa unajiuliza ni wapi unaweza kujihakikishia ushindi wa maana, mimi nakwambia chimbo ni moja tuu nalo ni Meridianbet, ambapo Nusu Fainali za kwanza UEFA kupigwa Jumanne na Jumatano. Je nani kuibuka bingwa? Jumatano hii mechi kali kabisa Barcelona atakuwa nyumbani kukipiga dhidi ya Inter Milan ya Simone Inzaghi. Barca kwanza ndio vinara wa Laliga wakiwa…

Read More

HAWA HAPA WAKALI WAKUCHEKA NA NYAVU

CLEMENT Mzize nyota wa kikosi cha Yanga ni namba moja kwa wakali wakucheka na nyavu ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2024/25. Kutoka kwenye ligi namba nne kwa ubora Afrika, vita ni kali kwenye eneo la ushambuliaji huku kukiwa na mzawa mmoja mwenye zali lakucheka na nyavu akiwa na mabao 13. Mzize alipachika…

Read More

JUICY FRUITS KASINO, KUSANYA BONASI NA USHINDI KIRAHISI

Juicy Fruits Multihold ni mchezo wa kasino ya mtandaoni kutoka kwa wataalamu ‘Pragmatic Play‘. Mchezo huu wa sloti, utakutana na alama za ushindi kama vile wilds, ambayo pia huonekana kama alama kubwa. Vilevile kuna mizunguko ya bure inayofuata mipangilio minne ya nguzo. Juicy Fruits Multihold ni mchezo wa kasino mtandaoni ambao una nguzo tano zilizopangwa…

Read More

MKALI WA MABAO BONGO ATAJA KILICHO NYUMA YA TUZO

MKALI wa mabao ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Clement Mzize amefichua kilicho nyuma ya mafanikio yake kwenye kusepa na tuzo. Mzize kwenye mchezo dhidi ya Fountain Gate uliochezwa Uwanja wa Tanzanite, Kwaraa Aprili 21 aliibuka kuwa mchezaji bora ubao uliposoma Fountain Gate 0-4 Yanga. Ushindi huo unaifanya Yanga…

Read More

SIMBA YAKWEA PIPA KUELEKEA AFRIKA KUSINI

KIKOSI cha Simba chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids mapema Aprili 23 2025 kimekwea pipa kuelekea Afrika Kusini kwa ajili ya mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch FC unaotarajiwa kuchezwa Aprili 27 2025. Ipo wazi kwamba kwenye mchezo wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Amaan, baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba 1-0…

Read More

PAPA FRANCIS AFARIKI DUNIA AKIWA NA UMRI WA MIAKA 88

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis, amefariki dunia leo Jumatatu akiwa na umri wa miaka 88, hatua inayofunga ukurasa wa uongozi wake uliojaa changamoto, migawanyiko na juhudi za kulifanyia mabadiliko Kanisa hilo la miaka 2,000. Vatican imethibitisha taarifa hizo kupitia video iliyosambazwa kwa vyombo vya habari. “Ndugu wapendwa, kwa huzuni kuu nawasilisha taarifa ya…

Read More