Wanaowania Tuzo za TFF 2024/25 Wapo Hapa… Tuzo Kutolewa Desemba 5, 2025, The Super Dome, Dar

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limefahamisha wanaowania Tuzo za Msimu wa Ligi Kuu 2024/2025, huku tukitarajia watakaoibuka washindi rasmi Desemba 5, 2025 katika ukumbi wa The Super Dome, Dar es Salaam. Wanaowania Wakuu wa Tuzo za Ligi Kuu NBC: Mchezaji Bora: Dickson Job (Yanga), Pacome Zouzoua (Yanga), Maxi Nzengeli (Yanga), Jean Ahoua (Simba),…

Read More

Timu Zenye Injuries Nyingi Premier League 2025/26

Msimu huu wa Premier League, baadhi ya timu zinakabiliwa na changamoto kubwa ya majeraha yanayoathiri utendaji wao dimbani. Hizi ndizo timu zinazoongoza kwa idadi ya majeraha hadi sasa: 💎 Manchester City – 16 injuries 🚑 🐓 Tottenham Hotspur – 16 injuries 🚑 🧿 Chelsea – 14 injuries 🚑 🕊 Brighton & Hove Albion – 13…

Read More

Matokeo na ratiba CAF Champions League 2025/26

CAF Champions League imeanza kutimua vumbi ikiwa ni hatua ya makundi kusaka tiketi ya kutinga hatua ya robo fainali. Hapa tunakusogezea matokeo na ratiba hatua ya makundi:-  Novemba 21,2025 Al Hilal Omdurman 2-1 MC Alger, Uwanja wa Amahoro, Kigali Novemba 22,2025 Yanga SC vs AS Far Rabat Mamelodi Sundowns vs St Eloi Lupopo Al Ahly…

Read More

Meridianbet Yaendelea Kuthibitisha Uongozi Katika Kujenga Jamii Yenye Ustawi Zaidi

Kuonyesha dhamira yake isiyoyumba ya kuwa sehemu ya suluhisho katika changamoto za kijamii, kampuni ya Meridianbet imeendeleza msururu wa miradi yake ya kusaidia jamii kwa kugawa vyakula kwa familia zenye uhitaji katika maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam. Hatua hii inathibitisha kwamba kampuni hiyo haishughuliki tu na michezo ya kubahatisha, bali pia ni nguzo muhimu…

Read More