KIKOSI CHA YANGA KITAKACHOANZA DHIDI YA SIMBA
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kwamba anahitaji pointi tatu mbele ya Simba kwenye mchezo unaoatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Leo ni Desemba 11,2021 saa 11:00 jioni mchezo huo unatarajiwa kuchezwa huku kete za Nabi zikitarajiwa kupangwa namna hii mbele ya Simba:- Diarra Djigui Djuma Shaban Dickson Job Kibwana Shomari Bakari Mwamnyeto Jesus…