KLOPP ANAAMINI KWAMBA GERRARD ATAKUWA KOCHA MPYA LIVERPOOL
KOCHA Mkuu wa Liverpool, Jurgen Klopp anaamini kwamba Steven Gerrard yupo kwenye njia bora zaidi ya kuwa kocha mpya ndani ya kikosi hicho siku za usoni. Gerrard kwa sasa ni kocha wa Aston Villa na wikiendi alikuwa ndani ya Uwanja wa Anfield akiwa na timu ya Aston Villa ambapo walikuwa na mchezo wa Ligi Kuu…