KIKOSI CHA SIMBA KITAKACHAOANZA DHIDI YA JKT TANZANIA
LEO Desemba 14 kikosi cha Simba kinatarajia kutupa kete yake mbele ya JKT Tanzania kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho raundi ya tatu. Hiki haoa kikosi cha kwanza:- Beno Kakolanya Israel Mwenda Gadiel Kenenedy Wawa Kanoute Banda Mzamiru Yassin Kibu Dennis Sakho Mhilu Yusuph Akiba Ally Kapombe Inonga Mkude Abdulsamad Duncan Kagere Ajibu Jimy