YANGA YASAHAU YALIYOPITA, KUINGIA KWA MPANGO KUIKABILI SIMBA
MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa amesahau matokeo yote yaliyopita hivyo kikubwa ni…
MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa amesahau matokeo yote yaliyopita hivyo kikubwa ni kusaka ushindi kwenye mchezo wa keso ambao ni Kariakoo Dabi, Uwanja wa Mkapa. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2023/24 kwenye Kariakoo Dabi, Yanga ilikomba pointi sita mazima ndani ya dakika 180 kwa kushinda nje ndani. Oktoba 19 2024 historia inakwenda kuandikwa…
” Yanga wameshinda ligi mara tatu mfululizo na wapo pamoja kwa takribani misimu mitatu sasa tunawaheshimu na tunatambua ubora wao … tumeandaa mchezo wetu kwa kuwaangalia na inatakiwa tuzingatie mipango yetu ili tuutawale mchezo kwasababu hata sisi ni timu kubwa ” ” hii ni mechi muhimu katika ligi japo haiwezi kuamua bingwa kwasababu bado kuna…
Kauli ya kocha wa Yanga Sc Miguel Gamondi kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Simba Sc. Tuna furaha kubwa kuelekea kwenye ligi huku tukiwa na mchezo muhimu wa Derby. Tupo vizuri, tuna matumaini makubwa ya kufanya vizuri hapo kesho. Hatujabadilika sana kwenye maandalizi tumejiandaa kama ambavyo tumekuwa tukifanya hapo awali” “Tumetokea kwenye wiki ya FIFA…
BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imemtangaza mwamuzi Ramadhan Kayoko kutoka Dar es Salaam kuwa refa atakayesimamia sheria 17 za mchezo wa soka kwenye Derby ya Kariakoo itakayopigwa Jumamosi, Oktoba 19, 2024 katika dimba la Benjamin Mkapa. Kayoko atasaidiwa na Mohamed Mkono kutoka Tanga na Kassim Mpanga kutoka Dar es Salaam, huku mwamuzi wa akiba…
Mamilioni yanaweza kua ya kwako leo kwa kucheza mchezo wa kasino wa 40 Lucky Sevens ambao umekua mchezo pendwa kwasasa na kutoa mamilionea kila uchwao. 40 Lucky Sevens ni mchezo wa sloti kutoka kasino ya mtandaoni kutoka kwa mtoa huduma “Game Art“. Utapenda mchezo huu ikiwemo aina mbili za alama ya scatter. Pia kuna alama…
Afisa habari wa klabu ya Simba, Ahmed Ally mefunguka na kueleza kuwa mchezo wa dabi ya Kariakoo wanakwenda kushinda. “Jumamosi Yanga tutawapiga mapigo matatu makubwa ‘Tripple frontier’, hapa namaanisha tutaanza kuwalegeza na Pumzi ya moto, halafu tutawakaanga na kumalizia na Ubaya ubwela” alisema Ahmed Ally.
Mechi kali zipo dimbani leo ambapo wewe unayo nafasi ya kuondoka na ushindi yaani wakati wenzako wakitoana jasho uwanjani wewe unatengeneza pesa. Machaguo zaidi ya 1000 yapo Meridianbet. Saudi Arabia leo kuna mechi za pesa ambapo bingwa mtetezi Al Hilal atakipiga dhidi ya Al Feiha ambaye yupo nafasi ya 14 kwenye ligi hiyo na pia…
Mshambuliaji huyo raia wa Mali msimu uliopita ndiye alikuwa top scorer kunako Ligi Kuu DR Congo akifunga zaidi ya GOLI 20. Mpaka sasa, hawa ndio wachezaji muhimu walioondoka TP Mazembe baada ya kumalizika msimu uliopita: 1. Phillipe Kinzumbi ▶️ Club Africain (Winga) 2. Joel Beya ▶️ FAR Rabat (Mshambuliaji) 3. Kelvin Mondeko ▶️ USM Alger…
NI Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba ameweka wazi kuwa siku hazigandi na wanaamini watakutana na wapinzani wao Yanga kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi Oktoba 19 2024 Uwanja wa Mkapa. Ikumbukwe kwamba kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii hatua ya nusu fainali Uwanja wa Mkapa baada ya dakika 90 ubao ulisoma…
KUELEKEA Kariakoo Dabi, Oktoba 19 2024 kila timu imekuwa ikipambana kufanya maandalizi na saa zinahesabika kwa sasa kujua nani atakuwa nani baada ya dakika 90 kugota mwisho. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi baada ya kucheza mechi nne ambazo ni dakika 360 imekomba ushindi mechi zote nne za Ligi Kuu Bara. Kwenye msako wa…
Habari ya mjini sasa hivi ni Rich Panda mchezo mpya wa Sloti ambao unatoa fursa ya kushinda mkwanja wa kutosha kupitia mchezo huu pendwa kwasasa mjini. Mchezo huu wa Rich Panda unatoa nafasi kubwa ya kuweza kushinda kitita kutokana na namna rahisi ya kuweza kucheza mchezo huu, Pitia tovuti ya Meridianbet sasa uweze kucheza…
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Jean Baleke ameweka wazi kuwa bado kazi ipo kwenye ligi na atacheza mechi nyingi kwa kuwa ligi inaanza na benchi la ufundi lina hesabu zake. Ipo wazi kwamba Balake ni ingizo jipya ndani ya Yanga aliwahi kucheza kikosi cha Simba msimu wa 2023/24 na alifunga jumla ya mabao 8 kabla kukutana na…
NYOTA wa Simba Shomari Kapombe amefunguia ishu ya kucheza mechi zaidi ya 200 ndani ya kikosi hicho pamoja na kuelekea kwenye hatua za makundi Kombe la Shirikisho Afrika.
LEGEND Jonas Mkude anayekipiga ndani ya kikosi cha Yanga amesema kuwa hana hofu na Kariakoo Dabi kutokana na uzoefu alionao muda wowote yupo tayari kuchezwa kwani hiyo ni kazi yake. Ikumbukwe kwamba Mkude ni timu mbili kubwa amecheza kwa sasa katika ardhi ya Tanzania, alianza na Simba kisha akaibukia Yanga baada ya kukutana na Thank…
MBWANA Samatta nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars yupo kazini akiwa ni miongoni mwa wapeperusha bendera ya Tanzania kwenye mchezo wa kuwania kufuzu AFCON 2025 dhidi ya DR Congo. Kikosi kamili Oktoba 10 2024 kipo namna hii:- Ally Salim Lusajo Mwaikenda Mohamed Hussen Ibrahim Bacca Job Adolf Mtaswigwa Kibu Dennis Mudathir Yahya…
BEKI wa kazi ndani ya kikosi cha Simba, Che Malone ameweka wazi kuwa matokeo yaliyopita kwenye Kariakoo Dabi hayawezi kubadilika hivyo wanachofanya ni maandalizi mazuri kuelekea mchezo ujao unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Ipo wazi kuwa msimu wa 2023/24 Simba kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza dhidi ya Yanga uliochezwa Uwanja wa Mkapa baada ya…
KWENYE eneo la makipa Bongo Djigui Diarra wa Yanga ameendeleza kujenga ufalme wake akiwa amecheza jumla ya mechi 8 za ushindani bila kufungwa ndani ya uwanja. Mechi hizo ambazo amcheza ni dakika 720 kwa Diarra amekomba akiwa uwanjani katika mechi za ushindani msimu wa 2024/25 akishirikiana na wachezaji wengine wa kikosi hicho kinachonolewa na Kocha…