KIKOSI CHA YANGA RASMI KITAKACHOANZA DHIDI YA SIMBA

LEO ni Desemba 11,2021 saa 11:00 jioni mchezo wa ligi kati ya Simba na Yanga unatarajiwa kuchezwa.

Hiki hapa kikosi cha Yanga ambacho kinatarajiwa kuanza:-

Diarra Djigui

Djuma Shaban

Dickson Job

Kibwana Shomari

Bakari Mwamnyeto

Jesus Moloko

Bangala Yannick

Aucho Khalid

Feisal Salum

Fiston Mayele

Said Ntibanzokiza

Akiba
Johora
Yassin
Bryson
Mauya
Makambo
Kaseke
Yusuf
Farid