RASMI KIKOSI CHA SIMBA KITAKACHOANZA DHIDI YA YANGA

PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba anatarajiwa kukiongoza kikosi chake leo kwenye mchezo wa dabi dhidi ya Yanga.

Hiki hapa kikosi chake rasmi ambacho kitaanza Uwanja wa Mkapa:-

Aish Manula

Shomar Kapombe

Hussein

Onyango Joash

Mkude Jonas

Kibu Dennis

Kanoute

Kagere

Morrison

Hassan Dilunga

 

Akiba

Kakolanya

Israel

Kennedy

Nyoni Erasto

Mzamiru

Banda

Bocco

Bwalya

Mhilu