USAJILI UMEKWISHA SASA KAZI IENDELEE
USHINDANI kwenye ligi unazidi kushika kasi kila iitwapo leo hilo ni jambo jema kwa kuwa ili ligi iwe bora na imara ni muhimu ushindani uwepo. Pia tumetoka kumaliza suala la masuala ya usajili hasa ilikuwa ni dirisha dongo ambalo lilikuwa ni maalumu kwa ajili ya maboresho kwenye timu zinazoshiriki Ligi Kuu Bara, Championship, Ligi ya…