MATAIFA YA AFRIKA KUANZA KUPUNGUZANA KWENYE HATUA YA 16 BORA
AFCON, EPL, Serie A na LaLiga kukutoa burudani wikiendi hii. Jamvi lako la uhakika lipo kwenye Nyumba ya Mabingwa. Meridianbet mambo yapo hivi; Manchester United watawaalika West Ham United katika mchezo wa 23 kwenye EPL. Timu hizi zinatofauti ya pointi 2 tu kati yao. Pointi 3 ni muhimu kwa wote katika safari ya kuingia…