SIMBA YATUA BUKOBA KIBOSI, KUKIPIGA NA KAGERA KESHO!
Kikosi cha Simba SC tayari kipo mkoani Kagera kwaajili ya kuvaana na Kagera Sugar kwenye mtanange wa NBC Premier League hapo kesho Jumatano dimbani Kaitaba mjini Bukoba.
Kikosi cha Simba SC tayari kipo mkoani Kagera kwaajili ya kuvaana na Kagera Sugar kwenye mtanange wa NBC Premier League hapo kesho Jumatano dimbani Kaitaba mjini Bukoba.
Klabu ya soka ya Azam imemtangaza Abdi Hamid Moallin kuwa kocha mkuu wa kikosi hicho kwa mkataba wa miaka mitatu akirithi mikoba ya George Lwandamina. Awali Moallin aliletwa kushika nafasi ya Mkurugenzi wa Ufundi wa Maendeleo ya Soka la Vijana. “Azam FC ni klabu kubwa, na nililiona hili siku ya kwanza tu nilipofika hapa, nina…
KLABU ya Sevilla ya Hispania imefikia makubaliano ya kumsajili kwa mkopo winga wa Manchester United na timu ya taifa ya Ufaransa Antony Martial. Nyota huyo amekosa nafasi kwenye kikosi cha kwanza cha United na amekuwa akishinikiza kuondoka ndani ya miamba hiyo. Sevilla wamekubali kulipa mshahara wote wa mchezaji huyo hadi mwezi Juni na atasafiri leo…
KUENDELEA kusugua benchi kwa mlinda mlango namba moja wa Yanga, Djigui Diarra, akiwa na kikosi cha timu ya Taifa ya Mali inayoshiriki mashindano ya Afcon huko Cameroon, kumemuibua kocha wa makipa wa Yanga, Mbrazili, Milton Nievov ambaye ameweka wazi kuwa huenda ikaleta athari katika kiwango chake. Diarra hajaanza katika mchezo wowote wa Mali katika hatua…
KOCHA Mkuu wa Yanga, raia wa Tunisia, Nasreddine Nabi, amesema kuwa ujio wa kiungo mshambuliaji,Mkongomani, Chico Ushindi, umeongeza ubora na ushindani wa namba katika kikosi chake. Kauli hiyo aliitoa siku moja kabla ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Polisi Tanzania uliotarajiwa kupigwa jana saakumi kamili kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha. Kabla…
RASMI uongozi wa Yanga umethibitisha kwamba kiungo Tonombe Mukoko hatakuwa sehemu ya kikosi hicho kwa msimu wa 2021/22 kwenye mechi ambazo zimebaki. Kiungo huyo anakwenda kujiunga na kikosi cha TP Mazembe kwa ajili ya kuendelea kufanya kazi ya mpira ambayo ameichagua. Sababu kubwa ya kiungo huyo kuondoka ni makubaliano ya pande zote mbili kati ya…
TIMU ya taifa ya Tunisia Carthage Eagles imefanikiwa kuwa timu ya pili kukata tiketi ya kuingia katika robo fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika, (Afcon 2021) baada ya kuibwaga Nigeria-Super Eagles kwa bao 1-0 katika uwanja wa Roumde Adjia mjini Garoua. Tunisia waliandika bao lao la kwanza na la ushindi kupitia kwa mchezaji Youssef Msakni anayechezea klabu ya…
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba kwa sasa wanapita katika kipindi kigumu kutokana na kuwa kwenye mwendo wa kuchechemea katika vita ya kusaka pointi tatu. Ndani ya Januari kwenye mechi za ugenini wamekwama kusepa na ushindi zaidi ya kuambulia sare moja na kichapo kimoja. Mechi mbili ambazo ni dakika 180 walikuwa kwenye msako wa…
VINARA wa Ligi Kuu Bara, Yanga wamerejea salama Dar baada ya kutoka kusaka pointi sita ugenini. Walianza mbele ya Coastal Union mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkwakwani Tanga na ubao ukasoma Coastal Union 0-2 Yanga. Mabao ya Fiston Mayele na Said Ntibanzokiza yalitosha kuipa pointi tatu mazima Yanga. Kituo kilichofuata ilikuwa mbele ya Polisi Tanzania, Januari…
TIMU ya taifa ya Burkina Faso imekuwa timu ya kwanza kutinga hatua ya robo fainali ya AFCON kwa kuiondosha timu ya taifa ya Gabon kwa changamoto ya mikwaju ya penati 7-6 Baada ya timu hizo kumaliza dakika 120 kwa sare ya kufungana 1-1. Gabon licha ya kucheza pungufu kwa muda mwingi wa mchezo huo,wameonesha ushindani…
PABLO Franco ana kazi kubwa ya kufanya kwa sasa ndani ya Simba hasa kwenye safu ya ushambuliaji ambayo imeweza kuyeyusha dakika 180 bila kufunga. Ile safu yenye mshambuliaji bora msimu wa 2020/22 John Bocco ambaye alifunga mabao 16 na pasi mbili mpaka sasa bado inapitia wakati mgumu. Ilianza kunyooshwa bao 1-0 dhidi ya Mbeya City…
COMOROS leo wana kazi ya kusaka ushindi kwenye mchezo wa 16 bora wa Afcon 2021 dhidi ya Cameroon mchezo unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Pia kuna uwezekano Comoros ikashuka uwanjani bila ya uwepo wa kipa kutokana na makipa wake kusumbuliwa na majeraha na wengine wanasumbuliwa na Covid-19. Hata kocha wao Amir Amir Abdou naye anaweza…
UONGOZI wa KMC umeweka wazi kuwa pointi nne ambazo wamezipata ugenini zitawaongezea nguvu katika kurudi kwenye ubora wao. Christina Mwagala, Ofisa Habari wa KMC amesema kuwa baada ya kukamilisha safari ya kusaka pointi sita na kupata nne ni hatua kubwa katika harakati za kurejea kwenye ubora. “Tumetoka Dar tukaenda Sumbawanga, (Prisons 0-2 KMC) tukachukua pointi…
SHIRIKISHO la Soka Tanzania, (TFF) limeweka wazi kwamba halijamfungulia kesi, Polisi kiongozi yoyote wa mpira wa miguu. Ilikuwa inaelezwa kuwa Ofisa Mtendaji wa Simba, Barbara Gonzalez amefunguliwa mashataka Polisi na kiongozi mmoja wa TFF. Mashtaka hayo ilielezwa kuwa yamefunguliwa katika kituo Kikuu Cha Polisi, Dar, Januari 20,2022 ambapo Barbara alipokea wito wa kufika kituoni hapo…
BAADA ya jana Januari 23 Yanga kuweza kusepa na pointi tatu mazima mbele ya Polisi Tanzania,Ofisa Habari wa Yanga, Haji Manara amefungukia kuhusu sakata la beki wao Djuma Shaban kuonekana akimpiga kiwiko mchezaji wa Polisi Tanzania. Katika mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Djuma dakika ya 89 alionekana akimchezea faulo mchezaji wa Polisi…
TIMU ya taifa ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake chini ya miaka 20, ‘Tanzanite’ jana iliweza kupata ushindi wa bao 1-0 kwenye mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia. Mchezo huo ulichezwa Uwanja wa Amaan, Zanzibar na ulishuhudiwa na mashabiki wengi waliojitokeza kushuhudia mchezo huo. Dakika 45 za mwanzo ngoma ilikuwa ngumu kwa timu zote…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatatu