YANGA WAITUNGUA POLISI TANZANIA
DICKSON Ambundo kiungo mshambuliaji wa Yanga leo amefunga bao la 23 ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Ni katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid ambapo aliweza kupachika bao hilo dakika ya 64 kwa pasi ya Fiston Mayele mbele ya Polisi Tanzania. Yanga wanasepa na pointi tatu mazima mbele ya Polisi Tanzania…