>

USAJILI UZINGATIE RIPOTI YA BENCHI LA UFUNDI

HEKAHEKA za usajili wa dirisha dogo ndani ya Ligi Kuu Bara zimeanza huku timu nyingi zikianza mikakati ya kuviboresha vikosi vyao kuelekea mzunguko wa pili ili ziweze kufanya vizuri kwenye ligi na michuano mingine ambayo watashiriki.   Kipindi hiki timu zinapaswa kuwa makini katika kuhakikisha wachezaji ambao watasajiliwa waendane na mahitaji ya benchi la ufundi…

Read More

USAJILI UNAHITAJI UMAKINI,WAAMUZI MNA KAZI A KUFANYA

WAKATI mwingine sasa kwenye ulimwengu wa soka Bongo ni muda wa usajili wa dirisha dogo ambapo ni fursa kwa timu kuboresha pale ambapo wameona kuna matatizo. Usajili wa dirisha dogo huwa hauwi mkubwa sana kwa kuwa ni nafasi chache ambazo zinahitajika kufanyiwa kazi kulingana na ripoti ya benchi la ufundi. Jambo la msingi ambalo linapaswa…

Read More

SIMBA NA YANGA WAMEVUNA WALICHOKIPANDA

KUSHINDWA kutumia makosa ambayo mpinzani wako anafanya kwenye mpira ni sababu namba moja itakayofanya timu ishindwe kupata matokeo. Na yule ambaye hatafanya makosa ana uhakika mkubwa wa kupata kile ambacho anastahili hivyo ipo wazi kwamba matokeo hayapaswi kubebwa na mashabiki kwenye mifuko yao. Baada ya Kariakoo Dabi kukamilika Uwanja wa Mkapa tumeona baadhi ya mashabiki…

Read More

VIZINGITI VYA MABAO SIMBA V YANGA

KUMEPOA mtaani kama hakuna kilichotokea vile baada ya dakika 90, Uwanja wa Mkapa kusoma Simba 0-0 Yanga na kufanya asiwepo mbabe. Hapa tunakuletea vizingiti vilivyosababisha mambo kuwa hivyo namna hii:- Manula Aliokoa hatari dk ya tano shuti la Jesus Moloko pia aliweza kuwa kizingiti kwa Moloko dk ya 49, dk ya 58 aliokoa hatari ya…

Read More

NYOTA HAWA WATAPEWA MAJUKUMU YA MIPIRA ILIYOKUFA

FUKUTO kwenye vichwa vya mashabiki wa soka Bongo linahesabu saa tu kwa sasa kabla ya Desemba 11,2021 kuwadia na kushuhudia Kariakoo Dabi. Itakuwa ni Simba v Yanga, Uwanja wa Mkapa ambapo utakuwa ni mchezo wa kwanza kwenye ligi kwa msimu huu na kuna wachezaji ambao wao wanasubiri kutimiza majukumu yao ya kutumia mipira ile iliyokufa…

Read More

SIMBA V YANGA MATOKEO MSIBEBE MFUKONI

PRESHA kubwa kwa sasa ni kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Bara unaoatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa Desemba 11, ambao ni wa watani wa jadi wanakutana kusaka pointi tatu muhimu. Mashabiki wanahitaji kuona matokeo chanya kwa timu zao na mshindi ni yule ambaye atafanya maandalizi mazuri kwa wakati huu. Ipo wazi kwamba utakuwa ni mchezo wenye…

Read More

ISHU YA JOB KUROGWA YANGA IPO HIVI

KATI ya mkoa ambao umebarikiwa vipaji vya soka basi ni Morogoro uliozalisha vipaji vingi katika Ligi Kuu Bara ndani ya misimu mitano mfululizo. Kati ya wachezaji waliozalishwa na kuwa gumzo kwa misimu ya karibuni ni Kibwana Shomari, Dickson Job, Mzamiru Yassin, Shiza Kichuya, Hassani Kessy, Aishi Manula na wengine wengi. Kati ya hao, wachezaji ambao…

Read More

WACHEZAJI HAWA NI MWENDO WA NGUVU KUBWA UWANJANI

MALENGO yanahitaji nguvu kuyafikia lakini ni lazima na akili pia itumike kwani ikiwa itatumika nguvu nyingi hasara huwa ni kubwa kuliko faida. Kwa sasa Ligi Kuu Bara baada ya kuanza kuridima tumeanza kushuhudia vitendo vya matumizi ya nguvu nyingi uwanjani jambo ambalo limekuwa likiwafanya wachezaji wengine kushindwa kuendelea na majukumu yao. Haina maana kwamba nguvu…

Read More

SIMBA KIMATAIFA INA KAZI KUBWA

WAMESHINDA katika hilo nakubali walicheza mchezo wao kwa kujituma na nyota wao akiwa ni Bernard Morrison hapo kuna jambo linapaswa kufanyiwa kazi. Kwa wale wanaopenda mpira wanajua maana ya kucheza kama timu na kucheza kwa mchezaji mmoja hapo kwa wawakilishi wetu Simba kimataifa lazima washtuke. Mchezo wao ujao dhidi ya Red Arrows sio wa kitoto…

Read More

VIWANJA VYETU BADO TATIZO, MABORESHO MUHIMU

WAKATI Ligi Kuu Tanzania Bara na Championship zikizidi kupasua anga kuna tatizo jingine ambalo linazidi kuwa kubwa kadri siku zinavyozidi kusonga mbele. Ipo wazi kwamba kwa msimu wa 2021/22 kila kona kumekuwa na hamasa kwa ajili ya kuona kwamba kila timu inapata matokeo lakini sehemu za kuchezea asilimia 70 bado hazijawa bora. Mpaka sasa kwa…

Read More

MBINU ZA RED ARROWS MIKONONI MWA PABLO

KOCHA Mkuu wa Klabu ya Simba, Mhispania Pablo Franco amefunguka kuwa amenasa mbinu zote ambazo wapinzani wake kwenye Kombe la Shirikisho kutoka Zambia, Red Arrows wanatumia. Pablo amesema kwa zaidi ya wiki sasa amekuwa akitenga muda wake na kuzitazama mechi za Red Arrows na amebaini kuwa timu hiyo inacheza kwa kutumia sana nguvu na umoja wakati wote wa mchezo. Simba na Red Arrows watashuka dimbani kesho Jumapili kwenye Uwanja wa Mkapa…

Read More

SIMULIZI YA ALIYEACHWA KISA MKWANJA

SIMULIZI ya aliyeachwa kisa ishu ya mkwanja Tuiishi pamoja na mume wangu Kibet katika kaunti ya Lamu ambapo nilifanya kazi ya udaktari katika hospitali moja ya kibinafsi katika kaunti ile. Mume wangu naye alifanya kazi ya uhandisi katika wizara ya ujenzi kwenye kauti ile. Maisha yetu yalikuwa ya kutamaniwa kwani hakuna wakati hata mmoja tuligombana…

Read More