Mpango wa Infantino wa Uwekezaji FIFA Wagonga Mwamba Baada ya Upinzani Mkali

Rais wa FIFA, Gianni Infantino, amepata pigo kubwa kisiasa baada ya mpango wake wa kuanzisha kampuni ya kibiashara ya kusimamia haki za mashindano ya FIFA, ikiwemo Kombe la Dunia, kushindikana kufuatia upinzani mkali kutoka kwa wadau mbalimbali wa soka duniani. Katika taarifa iliyotolewa Ijumaa, FIFA ilithibitisha kuwa imeondoa rasmi pendekezo hilo baada ya kuzua mgawanyiko…

Read More

Infantino Akabiliwa na Shinikizo Kubwa la Kuondoka FIFA Baada ya Mpango wa Kuuza Hisa Kushindwa

Rais wa FIFA, Gianni Infantino, anakabiliwa na shinikizo kubwa la kisiasa ndani ya soka la dunia kufuatia kushindwa kwa mpango wake wa kuanzisha kampuni ya kibiashara ambayo ingeuza sehemu ya hisa za mashindano ya FIFA kwa wawekezaji binafsi. Mpango huo ulizua upinzani mkubwa kutoka kwa mashirikisho mbalimbali ya soka duniani, huku UEFA ikiongoza upinzani huo…

Read More

Expanse Mega Cash Race Yafika Meridianbet, Shindano la TZS 6,000,000 Kwa Wapenzi wa Sloti

Burudani ya kasino imepanda kiwango Meridianbet baada ya kuzinduliwa rasmi kwa Expanse Mega Cash Race, promosheni mpya inayowapa mashabiki wa sloti nafasi ya kushindania zawadi yenye thamani ya TZS 6,000,000. Hizi ni mbio za ushindi zinazowakutanisha wachezaji kutoka sehemu mbalimbali, kila mmoja akipambana kupanda nafasi na kujihakikishia sehemu ya kitita hicho kikubwa. Kama unapenda ushindani…

Read More

Meridianbet Yachochea Mapinduzi ya Usafi Kinondoni kwa Msaada wa Mapipa ya Taka

Katika hatua ya kuunga mkono juhudi za kulinda mazingira na afya za wananchi, Meridianbet imetoa mapipa ya taka katika maeneo ya umma kwa Kata mbalimbali za wilaya ya Kinondoni. Msaada huu unalenga kuimarisha usimamizi wa taka, kupunguza uchafuzi wa mazingira, na kuhamasisha utamaduni wa usafi katika maeneo yenye mikusanyiko mikubwa ya watu kila siku. Akizungumza…

Read More

Ratiba ya Mechi za Mtoano AFCON 2026

Januari 3, 2026 19:00 – Senegal 🇸🇳 vs Sudan 🇸🇩 22:00 – Mali 🇲🇱 vs Tunisia 🇹🇳 Januari 4, 2026 19:00 – Morocco 🇲🇦 vs Tanzania 🇹🇿 22:00 – South Africa 🇿🇦 vs Cameroon 🇨🇲 Januari 5, 2026 19:00 – Egypt 🇪🇬 vs Benin 🇧🇯 22:00 – Nigeria 🇳🇬 vs Mozambique 🇲🇿 Januari 6, 2026…

Read More