
KOCHA SIMBA ACHIMBISHWA
IMEELEZWA kuwa Hitimana Thiery kocha msaidizi wa Simba amefikia makuliano ya kuachana na timu hiyo. Kocha huyo alijiunga na Simba kwa ajili ya kuweza kuiongoza katika mashindano ya kimataifa kutokana na aliyekuwa kocha wa wakati huo Didier Gomes kutokidhi vigezo vya CAF. Kwa sasa timu ya Simba ipo chini ya Kocha Mkuu Pablo Franco mwenye…