NKANE NA YANGA NI SUALA LA MUDA TU

NYOTA wa Biashara United, Denis Nkane na Yanga kwa sasa unaweza kusema kilichobaki ni suala la muda tu kutambulishwa. Jana alikuwa na kazi ya kupambania timu yake ya Biashara United kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo FC na waliweza kugawana pointi mojamoja. Kwenye mchezo huo ni yeye aliweza kufunga bao la pili…

Read More

SAKATA LA AUBA LAMUIBUA NYOTA HUYU

NYOTA wa zamani wa Newcastle Utd, Alan Shearer amesema anaamini wachezaji wa Arsenal wamekubaliana na maamuzi ya kocha wao Mikel Arteta kuhusu kumvua unahodha Pierre Emerick Aubameyang pamoja na kumtoa kwenye mipango yake kwasasa. “Ilikuwa uamuzi mkubwa na wa kijasiri kutoka kwa Arteta kufanya kile alichokifanya kwa sababu Aubameyang ni nahodha na mshahara ambao analipwa…

Read More

NAMUNGO FC YAMPATA MRITHI WA MOROCCO

KLABU ya Namungo FC inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara imetangaza benchi jipya la ufundi ambalo litainoa timu hiyo kwa msimu wa 2021/22. Hiyo ni baada ya aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Hemed Morocco kuomba kujiweka kando kuinoa timu hiyo kutokana na mwendo ambao haukuwa mzuri kwenye mechi za ligi kwa msimu huu. Namungo imemtambulisha Hanour…

Read More

VIDEO:KOCHA SIMBA:AZAM FC INA WACHEZAJI WAZURI

PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa Azam FC ni moja ya timu imara na ina wachezaji wazuri hivyo kuelekea kwenye mchezo wao wa kesho Januari Mosi 2022 wanatarajia kupata upinzani mkubwa. Aidha Pablo amebainisha kwamba ambacho wanahitaji kwenye mchezo huo ni ushindi kwa kuwa maandalizi yameanza kwa muda mrefu na wachezaji wanatambua kwamba…

Read More

MAYELE NA KAGERE WAPO KWENYE VITA YAO

WASHAMBULIAJI wawili ndani ya timu zenye maskani yake pale Kariakoo Yanga na Simba wapo kwenye vita nzito ya kutafuta ufalme wa kutupia mabao kutokana na kasi yao ya kutupia kwa Fiston Mayele wa Yanga na Meddie Kagere wa Simba kuzidi kuwa kubwa. Mfalme kwenye suala la kutupia kwa msimu uliopita ni nahodha wa Simba, John…

Read More

UNGANISHA MIGUU NA KICHWA CHA AJIBU ILI TUPATE MAJIBU

IBRAHIM Ajibu Migomba, sasa ametua Azam FC kwa mkataba wa mwaka mmoja akiandika rekodi ambayo wameiweka wachezaji wachache sana iwe kwa wazalendo au wa kigeni. Tayari sasa ameandika rekodi ya kuzichezea timu zote tatu kubwa za Dar es Salaam au Tanzania, nazungumzia Simba, Yanga na sasa Azam FC. Simba amekulia, amecheza au kukaa muda mrefu…

Read More

JEMBE JIPYA YANGA KUANZA KAZI LEO

ABOUTWALIB Mshery ingizo jipya ndani ya Yanga linatarajiwa kuweza kuanza kazi leo Desemba 31 katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji. Mshery amesaini kandarasi ya miaka miwili akitokea Klabu ya Mtibwa Sugar yenye maskani yake pale Morogoro kwa ajili ya kuweza kupata changamoto mpya. Baada ya usajili wake kukamilika alianza mazoezi na…

Read More

VIDEO:DOZI YA PABLO KWA WAWA,KAGERE,MUGALU IPO HIVI

NYOTA wa Simba chini ya Kocha Mkuu Pablo Franco wanaendelea na mazoezi kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC unaoatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Januari Mosi 2022. Miongoni mwa wachezaji ambao wanapewa dozi na Pablo ni pamoja na beki Pascal Wawa, Henock Inonga, Jonas Mkude, Meddie Kagere na Chris Mugalu.

Read More

AJIBU APIGA HESABU NDEFU

BAADA ya kusaini dili la mwaka mmoja ndani ya kikosi cha Azam FC kiungo mshambuliaji Ibrahim Ajibu amepiga hesabu ndefu za kufanya vizuri kwa ajili ya Tanzania na mashabiki wa Azam FC. Desemba 30 Ajibu ambaye alikuwa anakipiga ndani ya Simba alitambulishwa rasmi Azam FC kwa kandarasi ya mwaka mmoja. Anakuwa ni mchezaji wa kwanza…

Read More

AZAM FC YAPATA MRITHI WA SURE BOY ALIYESAINI YANGA

KIUNGO wa mpira Ibrahim Ajib baada ya kusitisha mkataba wake na mabosi wake wa zamani Simba ametambulishwa ndani ya kikosi cha Azam FC. Ajib alikuwa akicheza ndani ya kikosi cha Simba lakini hakuwa na nafasi kikosi cha kwanza jambo ambalo limewafanya mabosi wake kuamua kusitisha mkataba wake. Ni dili la mwaka mmoja amesaini ndani ya…

Read More

BREAKING:IBRAHIM AJIBU APEWA MKONO WA KWA KHERI SIMBA

BREAKING:UONGOZI wa Klabu ya Simba umethibitisha kusitisha mkataba wa kiungo fundi Ibrahim Ajibu. Taarifa rasmi ambayo imetolewa na Simba imeeleza kuwa imefikia makubaliano ya pande zote mbili kwa maslahi mapana kusitisha mkataba wa kiungo huyo mshambuliaji. Ajibu alirejea nyumbani kwa mara nyingine tena akitokea Yanga ambapo alipokuwa huko alikuwa ni nahodha na alipofika Simba mambo…

Read More

MTANZANIA ATUA ULAYA KUBORESHA MISINGI

NYOTA Omary Muvungi kutoka kituo cha mpira wa miguu cha Cambiasso Sports, Omary Mvungi amefanikiwa kwenda nhini Uingereza kwa mwaliko kutoka kwa mchezaji wa zamani wa Chelsea Denis Wise. Nyota huyo ambaye ni mshambuliaji alipata fursa pia ya kupiga picha na mchezaji huyo na nahodha wa zamani wa Chelsea, Dennis Wise baada ya kutua nchini…

Read More

KIPA SIMBA ATAJWA KUIBUKIA MTIBWA SUGAR

JEREMIA Kisubi kipa namba nne wa Simba ambaye aliibuka hapo akitokea kikosi cha Tanzana Prisons anatajwa kuibuka ndani ya Mtibwa Sugar. Habari zinaeleza kwamba nyota huyo ameomba atolewe kwa mkopo ili aweze kupata changamoto mpya kwa kuwa ndani ya Simba hana nafasi ya kuanza kwenye mechi za ushindani. Mpaka sasa Simba ikiwa imecheza mechi 9…

Read More

VIDEO:CHEKI MAUJUZI YA HASSAN DILUNGA,ZIMBWE NA BWALYA

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba chini ya Kocha Mkuu Pablo Franco kwa sasa wanaivutia kasi Azam FC kuelekea kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Januari Mosi,2022. Miongoni mwa wachezaji ambao waliweza kuonyesha maujuzi yao Uwanja wa Bunju Complex kuelekea mchezo huo ni pamoja na Mohamed Hussein Zimbwe,…

Read More

TORRES NI MALI YA BARCELONA

Nyota wa kimataifa wa Hispania Ferran Torres amekamilisha dili lake la kujiunga na FC Barcelona akitokea Manchester City dili linalotajwa kuwa na thamani ya pauni milioni 61. Torres mwenye umri wa miaka 21, anarejea Hispania baada ya miezi 18 tangia aondoke Valencia na kujiunga na Manchester City ambapo sasa ameingia mkataba wa miaka sita (2027)…

Read More