
SIMBA QUEENS WANATAKA ALAMA TATU
MENEJA wa Simba Queens inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake ya Serengeti Lite (SWPL), Selemani Makanya, amesema wachezaji wamejiandaa vema kuikabili Ruvuma Queens katika mchezo wa ligi hiyo utakaochezwa leo Jumapili kwenye Uwanja wa Majimaji, Songea. Akizungumza na Spoti Xtra, Makanya alisema: “Tunamshukuru Mungu tumefika salama, tumejiandaa vya kutosha kwa ajili ya mchezo huu, hakuna…