Home Sports KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA RED ARROWS

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA RED ARROWS

KAZI itakuwa moja kwa Kocha Mkuu, Pablo Franco kuwaongoza vijana wake kusaka ushindi kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho ambao ni wa mtoano dhidi ya Red Arrows.

Ni leo Novemba 28, Uwanja wa Mkapa mchezo huo unatarajiwa kuchezwa na mashabiki 35,000 wameruhusiwa kuweza kushuhudia mchezo huo.

Pablo anatarajia kuwa kwenye benchi la ufundi na kwa namna ambavyo amekwenda na wachezaji wake kwenye mazoezi inatarajiwa kuanza na wachezaji hawa kikosi cha kwanza:-

Aishi Manula

Pascal Wawa

Hencok Inonga

Shomari Kapombe

Mohamed Hussein

Jonas Mkude

Hassan Dilunga

Rarry Bwalya

John Bocco

Meddie Kagere

Bernard Morrison

Chanzo:Spoti Xtra

Previous articleYANGA YAKWEA PIPA KUWAFUATA MBEYA KWANZA
Next articleLEO KITAWAKA STAMFORD BRIDGE