BetPawa Locker Room Bonus yafikisha sh 91m NBL 2025
Jumla ya Sh91 milioni mpaka sasa zimetumika kuwalipa Wachezaji mbalimbali wa timu za mpira wa…
Jumla ya Sh91 milioni mpaka sasa zimetumika kuwalipa Wachezaji mbalimbali wa timu za mpira wa kikapu zinazoshiriki klabu bingwa ya Tanzania (NBL) kupitia mpango wa Locker Room Bonus (LRB) kupitia chapa ya michezo ya kubashiri ya betPawa. NBL kwa sasa ipo katika hatua ya nusu fainali ambapo timu nne za wanawake na wanaume zinachuana kusaka…
Yanga SC 2-0 Fountain Gate mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora. Prince Dube alianza kufunga bao la kwanza kipindi cha kwanza dakika ya 26 kwa mkwaju wa penalti. Kamba ya pili imefungwa kipindi cha pili Uwanja wa KMC Complex, Desemba 4,2025. Pacome Zouzoua ametoa pasi mbili za mabao na…
Dakika 90 za mchuano wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara zimemalizika kwenye Uwanja wa KMC Complex, Mwenge, jijini Dar es Salaam huku Yanga SC wakiibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Fountain Gate FC (Wananchi). Prince Dube ndiye aliyefungua mlango wa mabao kwa Yanga, akitimiza mkwaju wa penalti kwa usahihi wa hali ya juu,…
Macho ya mashabiki wa soka nchini leo yataelekezwa katika Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Mbweni, ambako Simba SC itashuka dimbani kuikabili Mbeya City FC katika mfululizo wa michezo ya Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara. Mchezo huo, unaotarajiwa kuanza saa 1:00 usiku, unakuja wakati Simba ikiwa na morali ya juu baada ya kuanza msimu kwa…
Kuna wachezaji kadhaa wa Kiafrika wenye msimamo mkali kama wa Sébastien Haller, ambao mara zote wameweka wazi kuwa Timu ya Taifa ipo juu ya Klabu, na hawawezi kuacha AFCON kwa sababu yoyote ya klabu. Miongoni mwao ni: 🔥 1. Sadio Mané (Senegal) Msimamo wake unaeleweka wazi—Mané amekuwa akitanguliza Taifa lake hata kama klabu inamhitaji. Ameshawahi…
LIGI Kuu ya kabumbu Tanzania bara inaendelea tena leo Desemba 4, 2025 kwa michezo miwili ambapo wababe wa Kariakoo, Simba Sc na Young Africans watashuka dimbani kwenye viwanja tofauti kuzisaka alama tatu. Katika dimba la KMC Complex, Mwenge Dar es Salaam Wananchi, Yanga Sc watakuwa wenyeji wa Fountain Gate Fc majira ya saa 10:00 jioni…
Kikosi cha Simba SC kimeendelea na maandalizi yake kuelekea mchezo wao wa Ligi Kuu dhidi ya Mbeya City FC, ambapo leo wachezaji wamefanya mazoezi ya nguvu chini ya Kocha Mkuu Juma Mgunda Matola. Katika mazoezi hayo, benchi la ufundi limeweka mkazo kwenye: Kuongeza uimara wa fiziki, Kasi ya mpira na umiliki, Mipira ya set-pieces, Na…
Bila Intanenti ni rahisi kabisa kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kushindania Samsung A26 na Meridianbet leo. Jumatano ya Zawadi ipo kwaajili yako siku ya leo inaweza kukupa furaha sana. Jumatano hii haifanani na nyingine yoyote. Ni siku ambayo Meridianbet inawasha moto wa bahati kwa njia ambayo haijawahi kutokea. Kwa mara nyingine tena, wateja wote wanaopenda kubashiri…
Wachezaji wa Meridianbet, sasa ni wakati wa kushinda kwa mtindo wa kipekee kabisa. Kupitia promosheni mpya ya “Paa na Super Heli, Shinda Samsung A26,” kila mchezo unaocheza ni hatua moja karibu na kushinda simu mpya ya kisasa ya Samsung A26. Ushindi huu unakuja kila wiki, na Meridianbet inahakikisha furaha yako haishii na mchezo tu. Kila…
DESEMBA 3,2025 Ligi Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea ambapo wakubwa wawili watakuwa kazini katika msako wa pointi tatu muhimu. Azam FC chini ya Kocha Mkuu, Florent Ibenge vs Singida Black Stars chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi mbinu zao zitakuwa zinapambana. Hii ni ligi namba nne kwa ubora Afrika imekuwa na ushindani mkubwa huku mabingwa…
Timu ya Taifa ya Wanawake, Twiga Stars, imekabidhiwa bonasi ya shilingi milioni 50 Disemba 3, 2025 kama pongezi ya mafanikio yao ya kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika ya Wanawake (WAFCON) 2026. Bonasi hiyo imetolewa na Msemaji wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa, akisema kuwa heshima…
Wakali wa ubashiri Tanzania, Meridianbet wanakwambia kuwa Wikendi hii ipo kwaajili ya kuhakikisha hawakuachi patupu. ODDS KUBWA zipo kwenye mechi za leo hivyo bashiri sasa. Pale LALIGA kuna mechi moja kati ya Athletic Club vs Real Madrid ambao wanataka ubingwa msimu huu kwa hali na mali. Mara ya mwisho kukutana hawa wawili, Alonso na vijana…
Kocha wa Taifa Stars, Miguel Gamondi, ametangaza leo Desemba 3, 2025, kikosi cha awali cha wachezaji 53 kitakachoshiriki maandalizi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON). Kikosi hiki, kinachojumuisha wachezaji wanaoshughulika kwenye ligi za ndani na nje ya Tanzania, kitaratibiwa kuondoka nchini Disemba 8, 2025, kuelekea Nchi ya Misri, kwaajili ya kambi ya maandalizi kabla…
Nyota wa zamani wa Yanga SC, Stephane Aziz Ki, amewashangaza wachezaji na benchi la ufundi baada ya kutokea ghafla katika uwanja wa mazoezi wa Yanga, akiwasalimia wenzake siku chache tu baada ya kupona majeraha aliyopata mwishoni mwa wiki katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Ziara ya kiungo huyo, ambaye kwa sasa anakipiga kwenye klabu…
Mvua ya mabao imeshuka katika dimba la Craven Cottage, Manchester City ikiibuka na ushindi mwembamba wa 5–4 dhidi ya Fulham katika mchezo uliokuwa na msisimko mkubwa wa Ligi Kuu England. Ushindi huo unaifanya Man City kufikisha alama 28 baada ya mechi 14, ikisalia nafasi ya pili kwenye msimamo. Fulham, licha ya upinzani mkali, inasalia nafasi…
Wachezaji wa Win&Go, sasa hakuna sababu ya kukata tamaa tena. Meridianbet wanakuja na mpango maalum kupitia Lucky Loser, ofa inayoleta msisimko mpya kwenye michezo yako ya kubashiri. Hata ukikosa namba zote, tiketi yako inaweza kugeuka kuwa tiketi ya ushindi, ikikupa furaha isiyo na kifani. Lucky Loser inatumika kwa tiketi zilizo na namba 6 tu zilizochezwa…
Uongozi wa Klabu ya Simba SC umetangaza rasmi kuachana na Meneja Mkuu, Dimitar Pantev, baada ya kufikia makubaliano ya pande zote mbili kusitisha mkataba. Aidha, wasaidizi wake wawili nao wameondoka pamoja naye katika hatua hiyo ya mabadiliko ya kiufundi. Kwa mujibu wa taarifa ya klabu, majukumu ya kuisimamia timu kwa sasa yamekabidhiwa kwa Kocha Selemani…