Chelsea yamtangaza Liam Rosenior kuwa kocha mkuu mpya
Klabu ya Chelsea imethibitisha kumteua mkufunzi Liam James Rosenior kuwa kocha mkuu mpya klabuni hapo…
Klabu ya Chelsea imethibitisha kumteua mkufunzi Liam James Rosenior kuwa kocha mkuu mpya klabuni hapo akichukua mikoba ya Enzo Maresca aliyetupiwa virago wiki iliyopita. Rosenior (41) raia wa England ambaye alikuwa kocha wa klabu ya Strasbourg inayomilikiwa na Kampuni ya BlueCo, ambayo pia inaimiliki Chelsea amesaini mkataba wa miaka sita na nusu utakaombakisha klabuni hapo…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa Ndege maalum (Boeing 787-8 Dreamliner) kwenda nchini Morocco kuwafuata wachezaji na kuwarudisha nchini Tanzania. Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Bw. Gerson Msigwa amesema Rais Samia ametoa ndege hiyo itakayowasafirisha wachezaji, benchi la ufundi…
Ahmed Pipino (20) amejiunga na Singida,kwa mkataba wa miaka mitatu✅ Dirisha kubwa lililopita Pipino alikuwa karibu sana kujiunga na Simba,ila ikatoa mvutano na klabu yake ya KMC. Awamu hii Pipino ameununu mkataba wake pale KMC kwa dau la Tsh 70m na viongozi wakabariki aondoke zake ili akatafute maisha sehemu nyingine. Sasa Rasmi Pipino atavaa jezi…
Meneja wa zamani wa Manchester United, Ole Gunnar Solskjær ameonesha nia ya kurejea klabuni hapo kama kocha mkuu wa muda mpaka mwisho wa msimu baada ya kufutwa kazi kwa Ruben Amorim. Menejimenti ya klabu hiyo imedokezwa kuhusu mshambuliaji huyo wa zamani wa klabu hiyo kuwa tayari kuchukua mikoba ya kukinoa kikosi hicho bila kujali ukomo…
Michuano ya AFCON barani Afrika inaendelea lakini pia kuna mechi nyingine nyingi zinaendelea. Ingia kwenye akaunti yako na uanze kusaka nafasi ya ushindi na Meridianbet sasa. Kule Italia, SERIE A pia kuna mechi za pesa ambapo Pisa atakipiga dhidi ya Como 1907 ambao wamekuwa na mwenendo mzuri kabisa msimu huu. Mwenyeji yeye mpaka sasa anashika…
Meridianbet inaendelea kuimarisha nafasi yake kama chapa inayoelewa mahitaji ya wateja wake kwa kuanzisha kampeni bunifu zinazounganisha burudani na zawadi zenye thamani. Katika mwanzo wa mwaka 2026, kampuni hiyo imechagua kuwekeza zaidi kwenye uzoefu wa mtumiaji kwa kuleta kampeni maalum inayolenga kuongeza msisimko ndani ya jukwaa lake. Mchezo wa Aviator, ambao tayari una umaarufu mkubwa…
Timu ya taifa ya Misri imetinga hatua ya robo fainali kwa ushindi dhidi ya Benin kwenye mchezo wa hatua ya 16 bora uliochezwa leo Januari 5 2026. Mchezo huo umekwenda mpaka dakika ya 120 baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja Adrar,Agadir kusoma Misri 1-1 Benin. Katika dakika 30 Misri ilifunga magoli mawili. Misri walianza…
Waziri Mkuu wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba, ametoa agizo kwa wizara za michezo na mashirikisho ya soka nchini (TFF na ZFA) kuangalia upya kanuni za mashindano ili kuwapa nafasi zaidi wachezaji wazawa, ikiwa ni mkakati wa kuandaa kikosi imara kuelekea mashindano ya AFCON 2027 ambapo Tanzania itakuwa mwenyeji. Akizungumza leo Januari 5, 2026, visiwani Unguja,…
Singida Black Stars imethibitisha kuajiri Othmen Najjar kama Meneja Mkuu wa Timu, akiwa na rekodi yenye mvuto mkubwa ya mafanikio klabuni. Najjar amefanikisha mambo makuu katika klabu za bara la Afrika, ikiwemo: Bingwa mara 2 wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) Bingwa mara 5 wa Ligi Kuu ya Tunisia Bingwa mara 2 wa…
Klabu ya Singida Black Stars imethibitisha kumteua kocha David Ouma kuwa kocha mkuu mpya klabuni hapo akichukua nafasi ya Miguel Angel Gamondi ambaye imembadilishia majukumu na kumteua kuwa Mkurugenzi wa Ufundi wa klabu. Taarifa ya leo Januari 05, 2025 iliyotolewa na klabu hiyo imeeleza kuwa Ouma ambaye awali alikuwa kocha msaidizi atashirikiana na Makocha Wasaidizi…
Leo hii una nafasi ya kumiliki simu ya ndoto zako na Meridianbet ambapo kwa kubashiri mechi za mpira wa miguu ni rahisi sana kuchukua Samsung A26 yako. Unangoja nini kubashiri sasa? Katika msimu huu wa burudani na ushindani mkali ndani ya ulimwengu wa soka, Meridianbet imewasha moto mpya unaowapa wachezaji wote sababu ya kuongeza hamasa…
Klabu ya Manchester United imemfuta kazi Meneja Ruben Amorim kama kocha mkuu klabuni hapo kufuatia msururu wa matokeo yasiyoridhisha ikiwa ni miezi 14 tangu achukue mikoba ya kuinoa klabu hiyo Taarifa rasmi iliyotolewa na Mashetani hao Wekundu muda mfupi uliopita imeeleza kuwa iungo wa zamani wa klabu hiyo, Darren Fletcher ambaye alikuwa mkurugenzi wa ufundi…
Mwaka mpya umeanza, na Meridianbet inakusaidia kuuanza kwa mtindo wa kipekee. Holiday Drops ni fursa ya kipekee ya kushinda zawadi ambazo hujitokezi ghafla, zikikuletea msisimko wa kasino mtandaoni bila kikomo. Mchezo huu ni safari ya burudani ambapo kila mzunguko unaweza kuwa mwanzo wa ushindi mkubwa. Kila sekunde ndani ya Holiday Drops ni fursa ya mshangao….
Morocco 1-0 Tanzania raundi ya 16 bora mchezo uliokamilika nchini Morocco kwa wababe wawili kukamilisha dakika 90 za kazi. Goli limefungwa na Brahim Diaz dakika ya 64. Wachezaji wa Tanzania wamepambana kwa ajili ya nembo bila kukata tamaa. Mashuti yaliyopigwa ni 16, Morocco 12-4 Tanzania Yaliyolenga lango ni 3 kwa Morocco na Tanzania 1 Umiliki…
Klabu ya Young Africans (Yanga SC) imetinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3–0 dhidi ya KVZ FC ya Zanzibar, mchezo uliopigwa katika Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Matokeo ya Mchezo FT: Yanga SC 3–0 KVZ FC ⚽ 32’ — Pacome Zouzoua⚽ 54’ —…
Wiki hii imekuwa nzuri sana kwa wale wanaoutumia Meridianbet kufanya ubashiri kwani timu za ushindi zipo hapa leo. ODDS KUBWA na mcahguo zaidi ya 1000 yapo hapa, hivyo ingia na usuke jamvi lako. Tukianza na SERIE A kule Italia kitawaka vilivyo ambapo mapema kabisa kutakuwa na mtanange mkali kabisa kati ya Lazio vs Napoli ambao…
YANGA SC vs KVZ ni mchezo wa kwanza wa ushindani ndani ya mwaka mpya 2026 ambao umeanza na matukio ya michezo yakiendelea. Ikumbukwe kwamba Januari 3 2025, Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Pedro Goncalves waliwasili salama Zanzibar kwa maandalizi ya mwisho mchezo wa leo Januari 4,2026. Kocha huyo ameweka wazi kwamba wanaingia kwa tahadhari…