Simba Yaelekea Visiwani Zanzibar Kujiandaa na Dabi
Klabu ya Simba Yaelekea Visiwani Zanzibar kwa ajili ya kucheza mchezo wao wa Ligi Kuu…
Klabu ya Simba Yaelekea Visiwani Zanzibar kwa ajili ya kucheza mchezo wao wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakaopigwa Machi 1, 2026 katika Dimba la Amaan Complex, dhidi ya Yanga SC. Je, unadhani Mnyama atafuta uteja kwa Yanga?
Klabu ya Misri, Al Ahly, imepewa pigo kubwa la kifedha baada ya Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) kuiamuru kulipa fidia ya dola za Kimarekani 588,000 (takribani Shilingi bilioni 1.53 za Kitanzania) kwa aliyekuwa kocha wake, José Riveiro. Uamuzi huo umetolewa na Court of Arbitration for Sport (CAS) kufuatia mgogoro wa kisheria uliotokana na kusitishwa…
Je unajua kuwa Meridianbet ndio wakali wa Odds Tanzania?. Yaani namaanisha kuwa ukitaka Odds kubwa na za kibabe wewe njoo hapa na ubashiri leo. Lakini pia unaweza ukaibuka bingwa kwani machaguo ni mengi hapa. Fenerbahce atamualika kwake Nottingham Forest kutoka kule Uingereza na takwimu zinaonesha kuwa hawa wawili hawajawahi kukutana hivyo hii ndio mara yao…
Wakata Miwa wa Mtibwa Sugar wamejikuta wakikanyagwa vilivyo baada ya Azam FC kuonyesha ubora mkubwa na kwa mabao 3-0.
Hatimaye safari ya Juventus katika Ligi ya Mabingwa Ulaya imefikia tamati baada ya kusukumizwa nje na Galatasaray kufuatia kipigo cha jumla cha mabao 7-5 katika michezo ya mchujo. Pambano hilo lililochezwa kwa presha kubwa na kuamuliwa katika dakika za nyongeza, liliacha mashabiki wa Turin wakiwa wamevunjika moyo huku Waturuki wakishangilia ushindi wa kihistoria. Juventus 3-2…
Usiku wa kuamkia leo Februari 26, 2026 michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya umeshuhudia vigogo kadhaa wakifuzu hatua ya 16 bora baada ya michezo ya mchujo (playoffs), huku pambano la Juventus dhidi ya Galatasaray likiendelea kuandika historia kwa kuelekea dakika 30 za nyongeza kufuatia sare ya jumla. Real Madrid waliendeleza rekodi yao ya kuwa mabingwa…
Meridianbet imechukua nafasi ya uongozi kwa kuwekeza katika ubunifu na teknolojia ya hali ya juu. Kwa kuwaleta pamoja wabunifu wakubwa wa michezo duniani, jukwaa hili linaimarisha hadhi yake kama chaguo la kwanza kwa wachezaji wanaotaka uzoefu wa kisasa, salama na wenye msisimko wa kipekee. Kupitia ushirikiano na Aspect Gaming, Meridianbet imepanua mkusanyiko wake wa sloti…
Dodoma Jiji FC 0-0 Simba SC rekodi mpya yaandikwa mara baada ya mchezo kukamilika Februari 25,2026 katika Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. Rekodi hiyo ni kuwa mchezo wa kwanza kukamilika bila kupatikana goli ndani ya dakika 90 kwa wapinzani hawa wanapokutana. Kwenye mechi 10 zilizopita wababe hawa walipokutana magoli yalikuwa yanafungwa na mchezo wa mwisho walipokutana…
DAR ES SALAAM, Mwenge – Dimba la KMC Complex limegeuka kuwa kitovu cha shangwe leo wakati Yanga waliposhinda kwa kishindo cha 5-0 dhidi ya JKT Tanzania, wakituma ujumbe thabiti kwa wapinzani wao Simba SC kabla ya Dabi ya Kariakoo itakayofanyika Jumapili, Machi 1, 2026. Mabao Yanayogusa Moyo ya Mashabiki 07’ – Zimbwe Jr: akafungua hesabu…
Mzigo mkubwa unakusubiri ndani ya Meridianbet kwani kila kitu unachotaka kipo hapa kuanzia Odds kubwa, machaguo zaidi ya 1000. Jisajili sasa na uanze safari yako ya ushindi. Mabingwa mara nyingi wa michuano hii Real Madrid watakuwa dimbani kumenyana vikali dhidi ya Benfica kutoka kule Ureno. Mechi ya mkondo wa kwanza ilimalizika kwa vijana hao wa…
TIMU sita kutoka Ligi Kuu ya Uingereza vimetinga hatua ya 16 bora msimu huu kitu ambacho hakijawahi kushuhudiwa. Hii si bahati ni uthibitisho wa nguvu ya Ligi ya hiyo na barani Ulaya! 🔴 Arsenal 🔵 Manchester City 🔴 Liverpool 🔵 Chelsea ⚪ Tottenham Hotspur ⚫ Newcastle United Sasa macho yote yapo hatua ya 16 bora…
Mabadiliko yametanda katika ulimwengu wa burudani ya mtandaoni, na kila siku ubunifu mpya unazinduliwa ili kukidhi mahitaji ya wachezaji wa kisasa. Meridianbet, wakitambua mabadiliko haya, wanakuletea Vaso Psycho, toleo jipya kutoka Expanse, lililoundwa mahsusi kwa wale wanaotaka kuwa hatua moja mbele ya wengine. Mchezo huu ni ishara ya ubunifu, ushindani wa hali ya juu, na…
Huu hapa msimamo wa NBC Premier League ambapo vinara ni JKT Tanzania wanafuatiwa na Yanga SC nafasi ya pili. KMC FC inaburuza mkia mara baadayakupoteza mchezo uliopita vs Azam FC.
Tanzania Prisons 0-2 Simba SC ni matokeo yaliyopita kwa mnyama. Kwenye mechi 5 za hivi karibuni, Simba SC imepata ushindi mechi 3 na sare mechi 2. Tanzania Prisons haijawa kwenye ubora na katika mechi 5, ushindi moja, sare moja na kupoteza mechi 3. Watupiaji ni Seleman Mwalimu dakika ya 19 na Rushine de Reuck dakika…
Kiungo mshambuliaji wa Sport Lisboa e Benfica, Gianluca Prestianni (20), amepewa adhabu ya kusimamishwa kwa muda mechi moja na UEFA kufuatia tuhuma za kutoa kauli ya kibaguzi dhidi ya Vinícius Júnior wa Real Madrid CF. Tukio hilo lilitokea katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa play-off ya UEFA Champions League uliochezwa Lisbon wiki iliyopita. Vinícius…
Arsenal, Paris Saint-Germain na Barcelona zote zinaonyesha nia kubwa ya kumsajili Julián Álvarez kutoka Atlético Madrid. Kwa mujibu wa Gazeti la Michezo la Hispania, DiarioAS Arsenal tayari waliwasilisha ofa ya thamani ya euro milioni 120, lakini Atlético waliikataa wakionyesha kuwa hawapo tayari kumuachia kirahisi mshambuliaji huyo. Sasa inasubiriwa kuona kama kutakuwa na ofa mpya au…
Je unajua kuwa Meridianbet ndio wakali wa Odds Tanzania?. Yaani namaanisha kuwa ukitaka Odds kubwa na za kibabe wewe njoo hapa na ubashiri leo. Lakini pia unaweza ukaibuka bingwa kwani machaguo ni mengi hapa. Moto utawaka katika dimba la BayArena, Bayer Leverkusen atakuwa mwenyeji wa Olympiacos kutoka kule Ugeriki ambao leo hii hawapewi nafasi kubwa…