
KIUNGO WA YANGA ATWAA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA MWEZI
KIUNGO wa Yanga Pacome Zouzoua amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Juni wa Ligi Kuu…
KIUNGO wa Yanga Pacome Zouzoua amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Juni wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2024/2025, akiwashinda Clatous Chama wa Yanga na Kibu Denis wa Simba, alioingia nao fainali katika mchakato wa Tuzo za Mwezi uliofanywa na Kamati ya Tuzo za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF). Pacome raia wa…
Klabu ya Simba Sc imethibitisha kumtoa kwa mkopo kiungo Omary Omary kwenda kuitumikia Mashujaa Fc kwa msimu ujao wa 2025/26. Omary anarejea Mashujaa Fc takribani mwaka mmoja tangu ajiunge na Mnyama mnamo Juni 22, 2024.
Klabu ya Simba imeanza rasmi mpango wa kusuka upya kikosi chake kwa msimu ujao kwa kufanya mabadiliko makubwa, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa Kocha Mkuu Fadlu Davids na uongozi wa klabu hiyo kuhakikisha wanarejea kwenye ubora wa juu kitaifa na kimataifa. Kwa mujibu wa taarifa zilizovuja kutoka ndani ya klabu hiyo, tayari wachezaji sita…
Uongozi wa mchezaji wa kimataifa Célestin Ecua umetangaza rasmi kuwa kiungo huyo sasa ni mchezaji halali wa klabu ya Yanga SC ya Tanzania, akitokea Zoman FC. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Ecua alisaini mkataba na Yanga takriban wiki tatu zilizopita, kama ilivyoripotiwa awali, na sasa mipango yote imekamilika rasmi. “Ni kweli. Célestin alisaini mkataba na…
Katika moyo wa Tanzania, ambapo ndoto zinaangaza kuliko jua la mchana, hadithi ya ajabu inaendelea sasa hivi. Inaitwa LOOT Legends, kutoka Meridianbet, kiongozi asiye na mpinzani katika ulimwengu wa michezo ya kubashiri nchini Tanzania. Hii sio promosheni tu, ni wito wa kuchukua hazina na kuwa tajiri kwani zawadi za pesa taslimu za TZS 1.5 bilioni…
Je unajua kuwa Jumamosi ya leo unaweza kutimiza ndoto zako na mechi za kirafiki ndani ya Meridianbet?. Norwich, Galatasaray, Lille wote wapo uwanjani kuhakikisha kuwa huondoki patupu. Bashiri sasa hapa. Mechi ya kusuka jamvi ni hii ya FC Toulouse FC dhidi ya Pau FC ambao wanakipiga kule Ufaransa LIGUE 2 wakati wenyeji wao wanakipiga LIGUE…
BEKI mpya wa Singida Black Stars, Kelvin Kijili ameweka wazi kuwa yupo tayari kwa ajili ya kupambana kutimiza majukumu kwenye timu hiyo kitaifa na kimataifa. Kijili ametambulishwa rasmi ndani ya Singida Black Stars Julai 10 2025 ikiwa ni mchezaji wa kwanza kutambulishwa ndani ya Singida Black Stars. Msimu wa 2024/25 alikuwa ndani ya kikosi cha…
Dar es Salaam, Tanzania – Klabu ya Yanga SC kupitia kwa Msemaji wake, Alikamwe, leo imezindua rasmi kampeni mpya iitwayo “Tofali la Ubingwa” inayolenga kuchangisha fedha kutoka kwa mashabiki na wanachama ili kusaidia timu katika usajili wa wachezaji wenye ubora wa hali ya juu. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Kamwe amesema kampeni hii ni sehemu…
Kiungo wa kati wa Klabu ya Yanga na timu ya taifa ya Tanzania, Mudathir Yahya Abbas, amesaini mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kuitumikia klabu hiyo ya Jangwani. Licha ya ofa ya kuvutia kutoka Azam FC – klabu aliyowahi kuitumikia kabla – Mudathir amechagua kubaki Yanga, akivutiwa na nguvu ya ushawishi wa Rais wa klabu…
KIUNGO wa kazi ndani ya Yanga SC, Clatous Chama yupo kwenye hesabu za mwisho kujiunga na Klabu ya Zesco United ambayo nahitaji huduma yake. Julai Mosi 2024, Chama alitambulishwa ndani ya kikosi cha Yanga SC kwa kandarasi ya mwaka mmoja ambayo imegota mwisho. Inaelezwa kuwa alikuwa kwenye mazungumzo ya kuongeza mkataba wake ila kuna vipengele…
Kama hujawahi kusikia habari hii, basi unachelewa. Meridianbet wameamua kuwazawadia wateja wao kwa style ya kipekee kabisa kupitia promosheni mpya ya Super Heli, ambapo simu mpya za Samsung A25 zinasubiri tu kushikishwa washindi. Hii sio ndoto, ni fursa halisi ya kubeba zawadi kabambe, bila longolongo. Kuanzia Julai 1 hadi Julai 31, kila mchezaji wa mchezo…
KIUNGO mshambualiaji wa Simba SC Jean Ahoua raia wa Ivory Coast mkataba wake umesalia mwaka mmoja kuwa ndani ya kikosi cha Simba SC. Alitambulishwa Julai 3 2024 kwa kandarasi ya miaka miwili yeye ni raia wa Ivory Coast. Amekuwa na msimu bora licha ya Simba SC kupishana na mataji yote iliyokuwa inayasaka. Ikiwa Kaizer Chiefs…
Dar es Salaam, Julai 10, 2025 – Kesi namba 8323/2025 inayohusu mgawanyo wa rasilimali za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), imeahirishwa rasmi na Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, hadi Jumatatu, Julai 14 saa nne asubuhi. Shauri hilo limesitishwa kufuatia maombi ya mawakili wa upande wa waleta maombi waliotaka…
Klabu ya RS Berkane kutoka Morocco wamefungua rasmi mazungumzo ya awali na upande wa mchezaji Elie Mpanzu, ambaye kwa sasa ni nyota wa Simba SC. Hawajatuma ofa rasmi kwa Simba SC bado, bali wanataka kwanza kukubaliana na mchezaji kuhusu maslahi binafsi kama mshahara na bonasi. Vyanzo vinaeleza kuwa RS Berkane wako tayari kulipa kifungu cha…
Fursa ya kujishindia zawadi kubwa kwa muda mfupi ni kitu adimu. Ndiyo maana mashindano mapya ya Playson Short Races ndani ya Meridianbet yameleta msisimko mpya kwa wapenzi wa michezo ya bahati. Kwa zawadi ya kuvutia ya hadi TZS Bilioni 6, haya si mashindano ya kawaida ni mbio za kweli za ushindi. Tofauti na mashindano marefu…
MATAJIRI wa Dar, Azam FC hawapoi baada ya kumtambulisha nyota mwingine mpya ambaye aliwahi kucheza hapo kabla ya kuondoka kuelekea Misri kwa changamoto mpya. Kazi imeanza kwa timu hiyo ambayo itashiriki Kombe la Shirikisho Afrika ikiwa imegotea nafasi ya tatu kwenye msimamo wa ligi msimu wa 2024/25. Ni Kocha Mkuu, Florent Ibenge atakuwa kwenye benchi…
KAMPUNI ya SportPesa imewapa Yanga SC Milioni 262.5 ambazo ni sehemu ya kukamilisha takwa la kimkataba kwa kutoa gawio la Tsh milioni 262.5 kama sehemu ya hongera kwa mafanikio bora yaliyopatikana ndani ya timu hiyo. Ilikuwa Julai 9 2025. Ikumbukwe kwamba Klabu ya Yanga SC imekuwa na mahusiano ya muda mrefu yanayokaribia kufikia miaka 8…