Beki aliyetakiwa Simba SC ameanza kazi SBS
BEKI aliyekuwa anatajwa kuwa kwenye rada za Simba SC ya Dar tayari ameanza kazi ndani…
BEKI aliyekuwa anatajwa kuwa kwenye rada za Simba SC ya Dar tayari ameanza kazi ndani ya Singida Black Stars ikiwa ni majukumu mapya. Anaitwa Abdalah Said maarufu kwa jina la Lanso beki aliyekuwa chaguo la kwanza katika kikosi cha KMC kinachotumia Uwanja wa KMC Complex kwa mechi za nyumbani. Lanso tayari ni mchezaji mpya ndani…
Bayern Munich imeishushia Wolfsburg kipigo cha 8-1 katika dimba la Allianz Arena kwenye mchezo wa Bundesliga na kusogea mpaka alama 11 mbele ya Borussia Dortmund waliopo nafasi ya pili kwenye msimamo wa Bundesliga. FT: BAYERN MUNICH 8-1 WOLFSBURG ⚽ 5’ Kilian Fischer (og) ⚽ 30’ Luis Diaz ⚽ 50’ Michael Olise ⚽ 53’ Luis Diaz…
Leo hii una nafasi ya kumiliki simu ya ndoto zako na Meridianbet ambapo kwa kubashiri mechi za mpira wa miguu ni rahisi sana kuchukua Samsung A26 yako. Unangoja nini kubashiri sasa? Katika msimu huu wa burudani na ushindani mkali ndani ya ulimwengu wa soka, Meridianbet imewasha moto mpya unaowapa wachezaji wote sababu ya kuongeza hamasa…
FC Barcelona wametwaa Ubingwa wa kombe la Uhispania (Spanish Super Cup) kufuatia ushindi wa 3-2 dhidi ya Real Madrid katika dimba la King Abdullah Sports City, Jeddah kwenye fainali ya Supercopa de España. FT: Barcelona 3-2 Real Madrid ⚽ 36′ Raphinha ⚽ 45+4′ Lewandowski ⚽ 73′ Raphinha ⚽ 45+2′ Vini Jr ⚽ 45+6′ Gonzalo
Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Darasa la Nne na Kidato cha Pili. Matokeo hayo yametangazwa na Katibu Mtendaji wa NECTA, Prof. Said Mohamed katika Ofisi za Baraza la Mitihani jijini Dar es Salaam. Prof. Mohamed amesema jumla ya wanafunzi 1,324,970 kati ya 1,490,314 wenye matokeo, sawa na…
WABABE wawili wanatarajiwa kukutana uwanjani kwenye msako wa bingwa mpya wa NMB Mapinduzi Cup, Januari 13,2026. Ni Azam FC vs Yanga SC hawa watakuwa na kazi kufika hitimisho la mashindano haya ambayo yalikuwa na ushindani mkubwa katika hatua za makundi, nusu fainali na sasa fainali. Yanga SC iliwaondoa Singida Black Stars na Azam FC iliwaonoda…
Karibu kwenye ulimwengu wa Super Heli, mchezo unaokuletea msisimko wa kweli na zawadi zisizo na kifani. Meridianbet inakualika kujiunga na burudani hii, ambapo kila sekunde unayoicheza inakukutanisha na nafasi zako za ushindi. Wiki mbili tu zimebaki hadi kilele cha promosheni hii, na kila raundi unayoicheza ni hatua moja karibu na zawadi kubwa. Hii ni nafasi…
Uongozi wa Young Africans Sports Club (Yanga SC) unampongeza Mdhamini na Mfadhili wa Klabu hiyo, GSM, kwa kumuozesha binti yake, Fatma Ghalib Said Mohammed, katika hafla ya ndoa iliyofanyika jana, Januari 10, 2026, katika Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam. Hafla hiyo ya ndoa ilihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kitaifa akiwemo Rais wa…
Mabingwa watetezi wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025), Ivory Coast ‘The Elephants’, wameaga rasmi michuano hiyo baada ya kupokea kipigo cha mabao 3-2 kutoka kwa Misri ‘Mafarao’ katika mchezo wa robo fainali uliopigwa kwenye Uwanja wa Adrar. Misri walionyesha dhamira kubwa ya kutwaa taji hilo kwa mara nyingine, wakipata mabao yao kupitia Omar…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amepokea zawadi ya jezi ya Timu ya Taifa ya mpira wa miguu ya wanaume Taifa Stars iliyosainiwa na wachezaji, ikiwa ni ishara ya shukrani na heshima kwa uongozi na mchango wake katika kuimarisha michezo nchini. Jezi hiyo imekabidhiwa na Nahodha Msaidizi wa Taifa…
Siku ya leo mechi kibao za pesa zinaendelea ndani ya Meridianbet huku wakali wa ubashiri Meridianbet wanakwambia hivi mtafutaji hachoki, yaani ni mwendo wa kusaka ODDS KUBWA tuu na kubashiri. Ingia kwenye akaunti yako sasa na ubashiri leo. SERIE A kuendelea kama kawaida ambapo ACF Fiorentina atakuwa nyumbani kukiwasha dhidi ya AC Milan ambao msimu…
Rais Samia Suluhu Hassan amezitaka mamlaka zote zinazohusika na michezo, kuhakikisha wachezaji wa Kitanzania wanaandaliwa katika mazingira bora ili waliwakilishe vyema taifa ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wanaboreshewa posho zao. Rais Samia amesimulia jinsi alivyopokea taarifa za wachezaji wa Taifa Stars kugoma kwenda Morocco kutokea nchini Misri kwa sababu ya kudai posho zao. Ameyasema hayo…
Azam wamemtambulisha mshambuliaji wao mpya Aimar Hafidh Abubakar,kutoka Mlandege ya Zanzibar. Aimar amesaini mkataba wa miaka mitatu na Azam,huku akinunuliwa kwa tsh 50m.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameongoza hafla ya kuwapongeza wanamichezo wa Tanzania waliofanya vizuri na kulitangaza Taifa katika mashindano mbalimbali ya kimataifa, hii leo Januari 10, 2026, Ikulu Dar es Salaam wakiongozwa na wachezaji wa Timu ya Taifa Stars waliofanikiwa kufika hatua ya 16 bora katika mashindano ya AFCON-2025…
Bilionea na mwanzilishi mwenza wa kampuni ya Microsoft, Bill Gates, amemlipa aliyekuwa mke wake Melinda French Gates kiasi cha dola bilioni 8 za Kimarekani, sawa na takribani shilingi trilioni 23.12 za Kitanzania, miaka mitano baada ya ndoa yao kuvunjika rasmi. Kwa mujibu wa taarifa ya Gazeti la The New York Times, fedha hizo takribani dola…
Nahodha wa Timu ya Taifa ya Nigeria, Wilfred Ndidi, amewaahidi wachezaji wenzake na benchi la ufundi kuwa atahakikisha bonus zote wanazodai kutoka uongozi wa juu zinatolewa kabla ya mchezo muhimu wa Robo Fainali dhidi ya Algeria utakaopigwa Jumamosi. Ndidi amewauliza wachezaji wenzake kuendelea na mazoezi ya maandalizi bila hofu yoyote, akisisitiza kwamba ikiwa bonus hizo…
Jina la Enzo Maresca, kocha raia wa Italia aliyemaliza hivi karibuni kazi yake na klabu ya Chelsea, limo kwenye orodha ya makocha wanaotajwa kuchukua nafasi ya Ruben Amorim. Uongozi wa Manchester United unaendelea kutathmini majina mbalimbali ya makocha, ambapo Maresca anaonekana kuwa miongoni mwa chaguo linalozingatiwa kwa umakini mkubwa. Moja ya sababu zinazompa nafasi nzuri…