![TIMIZA NDOTO ZAKO NA MECHI ZA KIRAFIKI LEO](https://salehjembe.co.tz/wp-content/uploads/2024/07/rKieV5zaR_720x0__1.jpg)
TIMIZA NDOTO ZAKO NA MECHI ZA KIRAFIKI LEO
Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet unaweza ukatimiza ndoto zako?. Kama ujaiuliza kivipi basi ni…
Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet unaweza ukatimiza ndoto zako?. Kama ujaiuliza kivipi basi ni kwa kuchagua timu zako za ushindi na kusuka mkeka wako wa maana leo hii. Piga pesa na mechi hii ya Sevilla FC dhidi ya Al-Ittihad ya kule Saudi Arabia. Timu hiyo ilimaliza nafasi ya 5 kwenye ligi yao huu mwenyeji…
RASMI uongozi wa Simba umemtangaza Uwayezu Francois Regis raia wa Rwanda kuwa Mtendaji Mkuu (CEO) wa klabu hiyo kuanzia Agosti 1, 2024 mara mkataba wa Imani Kajula ambaye yupo kwenye nafasi hiyo kwa sasa kugota mwisho. Taarifa iliyotolewa na Simba mapema Julai 26 kupitia kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Simba, Mohamed Dewji, (Mo) imeeleza…
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2023/24 Yanga wapo tayari kuwakabili Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini kwenye mchezo wa Toyota Cup. Yanga wapo katika viwanja vya St Stithians, Johannesburg, Afrika Kusini chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi ambaye ameongeza mkataba wa mwaka mmoja kuinoa timu hiyo kwenye mechi za ushidani. Julai 28 2024…
WAKATI uzi mpya wa Simba uliozinduliwa Julai 24 ukizidi kuwa gumzo kila kona kutokana na ubunifu wake pamoja na nembo ambazo zimetumika uongozi wa timu hiyo umebainisha kuwa ubaya ubwela hautaishia kwenye uzi pekee bali mpaka mechi zao zote kazi ipo palepale. Miongoni mwa mechi ambazo zinasubiriwa kwa shauku kubwa kwa sasa ni Kariakoo Dabi…
Baada ya Diamond Kuchafua Hali ya Hewa huko Youtube, kwa saa chache na kumtoa marioo na wimbo wake wa #HakunaMatata Marioo ameibuka na kilio chenye kicheko ndani yake…!”Braza anakabia kwa juu🫣🙌. Ila #HakunaMatata na nashukuru tunavyo push mziki wetu uende, Komasava.”
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Marioo ameachia video ya wimbo wake wa ‘Hakuna Matata’
Kwa taarifa za awali ni kwamba mechi za kimataifa za hatua ya awali kati ya Vital’O ya Burundi na Yanga SC ya Tanzania, zinaweza kuchezwa hapahapa Tanzania kutokana na changamoto zisizo za kimichezo, Hivyo Vital’O wanatazamia kucheza michezo yao ya awali kwenye viwanja walivyoviomba nje ya Burundi ambapo uwanja wa KMC na Azam Complex ni…
MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa hawafikirii ushindi kwenye mechi za kirafiki hivyo kupata ushindi ni matokeo ambayo yanawaongezea nguvu kuendelea kupambana zaidi. Ipo wazi kuwa Yanga imeweka kambi Afrika Kusini kwa maandalizi ya msimu mpya wa 2024/25 unaotarajiwa kuanza Agosti 8 2024. Julai 24 2024 Yanga iliibuka na ushindi wa bao 1-0…
MATAJIRI wa Dar, Azam FC wamemuongezea mkataba wa mwaka mmoja kiungo wa kazi Tepsi Evance ambaye ni moja ya wazawa wenye vipaji vikubwa kwenye kucheza na mpira. Tepsi ambaye alikuwa kwa mkopo ndani ya KMC msimu wa 2023/24 bado atabaki kuwa mali ya Azam FC mpaka 2026 baada ya kuogeza kandarasi ya mwaka mmoja. Kiungo…
Wild 27 ni Mchezo wa sloti kutoka kasino ya mtandaoni iliyoandaliwa na mtayarishaji wa michezo ya kasino Fazi . Katika mchezo huu wa sloti, kwa msaada wa matunda matamu, unaweza kupata bonasi mara mbili. Jisajili Meridianbet uwe Milionea. Sifa za Sloti ya Wild 27 Wild 27 ni mchezo mpya wa sloti ya kasino ya mtandaoni…
Uongozi wa Simba umezindua Jezi mpya zitakazotumika Msimu wa 2024/2025 Unauonaje uzi huu na unaupa asilimia ngapi?
MENEJA wa Yanga SC, Walter Harson ameweka wazi kuwa maandalizi yanaendelea vizuri nchini Afrika Kusini kwa ajili ya msimu wa 2024/25 kwa kuwa wachezaji wapo vema. Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi ipo kambini Afrika Kusini kwa maandalizi ya mechi za kitaifa na kimatafa ambapo Yanga inashiriki Ligi ya Mabingwa Afrika. Leo Julai 24…
Unataka kuitwa Bosi wa Mtaa? Cheza Kasino leo ushindi ni rahisi, kupitia michezo ya kasino iliyopo Meridianbet unaweza kujikuta unaibuka na ushindi wa Mamilioni. Jisajili sasa Kuwa moja ya Matajiri wapya. Moja ya michezo ya kasino ya mtandaoni inayolipa Zaidi ni Wildfire Wins ni mchezo wa kasino wenye safu wima tano zilizopangwa kwenye safu ulalo…
AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba aliweka wazi sababu za Kibu Dennis kuchelewa kujiunga na timu kambini nchini Misri kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa 2024/25 unaotarajiwa kuanza Agosti 16.
NYOTA wa Azam FC, Idd Suleiman, (Nado) ameweka wazi kuwa malengo makubwa ni kuona kwamba wanatwaa taji la Ligi Kuu Bara msimu mpya wa 2024/25 kutokana na maandalizi mazuri ambayo wanayafanya kwa sasa. Azam FC chini ya Kocha Mkuu Yusuph Dabo imeweka kambi Morocco ikiwa ni mwendelezo wa kuelekea msimu mpya ambao unatarajiwa kuwa na…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa uzinduzi wa Simba Day 2024 utafanyika Morogoro na safari inatarajiwa kuwa Julai 24 2024 kwa mashabiki na viongozi kuelekea mji kasoro bahari. Ahmed Ally Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba ameweka wazi kuwa lengo kubwa ni kuendeleza utofauti ambapo watafanyia uzindi kwenye hifadhi ya Mikumi kuhamashisha utalii…