AFCON 2025: Aubameyang Aikosa Mechi ya Kwanza, Anaweza Kurudi Dhidi ya Mozambique

Shirikisho la Soka la Gabon 🇬🇦 limethibitisha kuwa mshambuliaji wao nyota, Pierre-Emerick Aubameyang (36), hatawepo kwenye mchezo wa ufunguzi wa AFCON 2025 dhidi ya Cameroon 🇨🇲 utakaochezwa Disemba 24, kutokana na majeraha yanayomsumbua. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Aubameyang anaweza kurejea uwanjani Disemba 28 wakati Gabon itakapokutana na Mozambique 🇲🇿, endapo hali yake ya afya…

Read More

Matokeo ya mechi za Simba SC 2025/26

Matokeo ya mechi zilizopita Simba SC Oktoba Mosi 2025, Simba SC 3-0 Namungo FC, mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Septemba 28 2025, Simba SC 1-1 Gaborone United, Ligi ya Mabingwa Afrika. Septemba 25 2025, Simba SC 3-0 Fountain Gate mchezo wa Ligi Kuu Bara. Septemba 20 2025, Gaborone United 0-1 Simba SC, Ligi ya…

Read More

Gamondi: Morali Iko Juu, Taifa Stars Tayari kwa AFCON 2025

Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Miguel Gamondi, amesema wachezaji wake wanaonyesha bidii kubwa mazoezini na kwamba morali ipo juu kuelekea mashindano ya AFCON 2025. Gamondi ameyasema hayo leo Desemba 15, baada ya kumalizika kwa mazoezi ya timu, akisisitiza kuwa maandalizi yanaendelea vizuri na wachezaji wanaelewa majukumu yao ndani ya uwanja….

Read More

Kocha Yanga SC aomba kazi Simba SC

BAADA ya Dimitar Pantev kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba na Simba SC inatajwa kuwa kuna maombi ya makocha mbalimbali wametuma CV kukinoa kikosi hicho. Kwa sasa timu hiyo ipo chini ya Seleman Matola ambaye mchezo uliopita alishuhudia kipigo cha mabao 2-0 kutoka kwa Azam FC wakiwa Uwanja wa Mkapa. Hicho ni kipigo cha kwanza Simba…

Read More