Safari ya Ubingwa Inaanza na Mechi za AFCON

Ubingwa unaanzia na mechi kali kabisa za Mataifa yaani AFCON kwani tayari wakali wa ubashiri Tanzania, Meridianbet wameshakuwekea machaguo yako uyapendayo hivyo bashiri sasa. Senegal watakuwa uso kwa uso dhidi ya Botswana ambapo kwenye mechi zake 6 za mwisho za Kimataifa alizocheza hakuna hata mechi moja ambayo amepata ushindi. Wakati mwenyeji yeye  kwenye mechi 6…

Read More

Meridianbet Missions Sio Kubahatisha, Ni Kucheza Kwa Malengo

Meridianbet imeandika historia mpya katika kasino mtandaoni kwa kuanzisha Meridianbet Missions, mfumo unaobadilisha kabisa dhana ya sloti. Hapa, kila mzunguko una kusudi, kila mchezo una lengo, na kila mchezaji ana nafasi ya kujenga ushindi wake hatua kwa hatua. Ni kasino inayokufanya ucheze kwa akili, si bahati pekee. Kupitia Meridianbet Missions, unachagua misheni zako ndani ya…

Read More

Nigeria vs Tanzania AFCON 2025

Nigeria vs Tanzania ni mchezo mkali unaosubiriwa kwa shauku kwenye mashindano ya AFCON 2025 ikiwa ni hatua ya makundi nchini Morocco. Tayari mchezo wa ufunguzi ulishachezwa rasmi Desemba 21 ya Jumapili na wenyeji Morocco wakiibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Comoros. Leo ni kazi ya wawakilishi kutoka Tanzania, Taifa Stars wakiongozwa na nahodha…

Read More

FT: Morocco 2-0 Comoros, AFCON 2025

Morocco 2-0 Comoros ni matokeo ya mchezo wa ufunguzi AFCON 2025, nchini Morocco huku wenyeji wakipata ushindi katika kipindi cha pili. Magoli ya Morocco yamefungwa na Brahim Diaz kwa pasi ya N.Mazraoui dakika ya 55 na El Kaabi kwa pasi ya Salah-Eddine dakika ya 74, mchezo uliochezwa Uwanja wa Prince Moulay Abdallah. Ikumbukwe kwamba Brahim…

Read More

FT: Simba SC 2-0 Yanga SC

Desemba 21,2025 kulikuwa na mchezo wa kirafiki wa Kariakoo Dabi Fans uliochezwa Uwanja wa KMC, Complex, Dar. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Simba SC Fans 2-0 Yanga SC Fans, magoli yote yakifungwa kipindi cha kwanza. Magoli ya Simba SC yamefungwa na Thobias Sébastien na Dr Mo haya yalidumu mpaka mwisho wa mchezo uliohudhiriwa na…

Read More

AFCON 2025 ratiba hii hapa

Hii hapa ratiba ya AFCON 2025, nchini Morocco ni leo Desemba 21,2025 kazi inaanza na tamati inatarajiwa kuwa Januari 18, 2026 Jumapili, Desemba 21, 2025 Morocco vs Comoros saa 4:00 usiku Jumatatu, Desemba 22,2025 Mali vs Zambia, saa 11:00 jioni Afrika Kusini vs Angola saa 2:00 usiku Misri vs Zimbabwe, saa 5:00 usiku Jumanne, Desemba…

Read More

Tottenham 1-2 Liverpool, Premier League funga 2025

WAKIWA ugenini katika mchezo wa Premier League wiki ya 17 ubao wa Uwanja wa Tottenham Hotspurs umesoma Tottenham 1-2 Liverpool. Magoli ya Hugo Ekitike dakika ya 66 na Isak dakika ya 56 yalikuwa na ya ushindi kwa Liverpool. Richarlison alipachika goli pekee kwa Tottenham dakika ya 83. Mchezo huo Tottenham walionyeshwa kadi nyekundu wachezaji wawili…

Read More