Aziz Ki Aondoka Wydad AC, Ajiunga Al Ittihad ya Libya
Kiungo mahiri Stéphane Aziz Ki amejiunga rasmi na Al Ittihad ya Libya akitokea Wydad Athletic…
Kiungo mahiri Stéphane Aziz Ki amejiunga rasmi na Al Ittihad ya Libya akitokea Wydad Athletic Club ya Morocco, baada ya klabu hiyo ya Libya kufanikisha dili kubwa la uhamisho. Kwa mujibu wa taarifa zilizothibitishwa, Al Ittihad imelipa ada nono ili kunasa saini ya nyota huyo, jambo linaloashiria dhamira ya klabu hiyo kuimarisha kikosi chake kwa…
Usiku wa Ulaya huu hapa umefika huku wakali wa ubashiri Tanzania wao wamekuja na habari njema kabisa za wewe kuondoka na utajiri wako. Suka jamvi lako la ushindi na wakali hawa wa ubashiri sasa. Juventus uso kwa uso dhidi ya Benfica kutoka kule Ureno ambao kwenye mechi 6 walizocheza hadi sasa wameshinda 2 halikadhalika Bibi…
Katika ulimwengu unaobadilika kwa kasi wa michezo ya kubashiri mtandaoni, Meridianbet imeendelea kuwa mstari wa mbele kwa kuleta ubunifu unaogusa maisha ya wachezaji wake moja kwa moja. Kupitia promosheni maalum ya mchezo wa Aviator, wachezaji sasa wanapewa fursa ya kipekee ya kushinda Samsung Galaxy A26, simu ya kisasa, muonekano wa kuvutia na utendaji wa uhakika….
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mheshimiwa Paul Makonda amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Shirikisho la Kandanda Duniani (FIFA) Bw. Gianni Infantino katika ofisi za FIFA zilizopo Jijini Rabat, nchini Morocco. Katika mazungumzo hayo Mheshimiwa Makonda amemshukuru Bw. Infantino kwa ushirikiano mkubwa anaoutoa kwa Tanzania katika maendeleo ya mchezo wa mpira wa…
Simba SC imemsajili beki Ismail Toure, raia wa Ivory Coast akiwa mchezaji huru. Toure alikuwa na kocha wa Simba SC, Steve Barker, kwenye kikosi cha Stellenbosch kilichocheza na Simba kwenye hatua ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika mwaka 2025.
Je unajua kuwa Meridianbet ndio wakali wa Odds Tanzania?. Yaani namaanisha kuwa ukitaka Odds kubwa na za kibabe wewe njoo hapa na ubashiri leo. Lakini pia unaweza ukaibuka bingwa kwani machaguo ni mengi hapa. Anza kutengeneza pesa kwenye mechi ya Sporting Lisbon wao watamenyana dhidi ya bingwa mtetezi PSG ambao mpaka sasa wapo nafasi ya…
Wapenzi wa kasino, sasa ni wakati wa kushuhudia mapinduzi ya kweli mtandaoni. Meridianbet imeungana na Kalamba Games, kampuni ya kimataifa inayojivunia ubunifu wa sloti zenye teknolojia ya hali ya juu, kuleta burudani isiyo na kikomo kwa wachezaji. Ushirikiano huu unakuja na michezo yenye muonekano angavu na sauti zinazochangamsha hisia, zikifanya kila mzunguko uwe kama tukio…
RASMI Januari 19, 2026 Simba SC imemtambulisha mchezaji mpya katika dirisha dogo ambaye ni beki Nickson Kibabage. Kibabage anatambulishwa na Simba SC akitokea Klabu ya Singida Black Stars alipokuwa mwanzo wa msimu wa 2025/26. Taarifa rasmi iliyotolewa mapema na Singida Black Stars ilibainisha kuwa wamefikia makubaliano na Simba SC ambapo wanamtoa mchezaji huyo bila malipo…
Mchezo wa NBC Premier League uliochezwa leo kwenye uwanja wa KMC Complex, umeisha kwa ushindi wa kushtua kwa Yanga SC dhidi ya Mashujaa FC, kwa bao 6–0. Mchezo huo ulitawaliwa kabisa na Yanga, ambao waliweza kuonyesha kiwango cha juu katika safu ya ushambuliaji na kudhibiti mchezo kwa muda wote wa mechi. Mudathir Yahya Abas ameibuka…
Mchezo wa NBC Premier League umekamilika katika dimba la KMC Complex, ambapo Yanga Sports Club wameonyesha ubabe mkubwa kwa kuibamiza Mashujaa FC kwa kipigo kikubwa cha mabao 6–0. Yanga walitawala mchezo kuanzia mwanzo hadi mwisho, wakionesha ufanisi mkubwa katika safu ya ushambuliaji pamoja na uimara wa ulinzi. Mabao ya Yanga yalifungwa na: ⚽ Damaro ⚽…
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limetangaza kumsimamisha kwa muda usiojulikana kocha wa timu ya taifa ya Senegal, Pape Thiaw, kufuatia tukio la kuwahimiza wachezaji wake kutoka nje ya uwanja wakati wa mechi ya fainali ya AFCON 2025. Tukio hilo lilitokea baada ya mwamuzi kuamua mkwaju wa penalti dakika za mwisho, ambayo ilionekana kuwa ya utata…
Je unataka Odds kubwa siku ya leo?. Ingia kwa wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet na uanze safari yako ya kutimiza ndoto zako hapa. Weka dau lako ulitakalo sasa na ubeti leo. SERIE A kule Italia kuna mechi mbili ambapo Cremonese atamenyana dhidi ya Hellas Verona huku mechi ya mwisho kukutana kati yao hakuna ambaye alikuwa…
Meridianbet inaendelea kuandika historia mpya katika sekta ya kasino mtandaoni kwa kuleta uzoefu tofauti kabisa kupitia Slotopia. Huu si mchezo wa kawaida wa sloti, bali ni mageuzi yanayobadilisha namna wachezaji wanavyofurahia burudani ya kidijitali. Kupitia ujio wa Slotopia, Meridianbet inawapa wateja wake nafasi ya kuingia kwenye dunia mpya iliyojaa ubunifu na msisimko. Kila mchezo ndani…
Kiungo mshambuliaji wa Real Madrid na timu ya Taifa ya Morocco IBrahim Diaz ametwaa tuzo ya mfungaji bora wa mashindano ya AFCON 2025 yaliyofanyika pale nchini Morocco. Diaz ametwaa Tuzo hiyo akiwa na jumla ya mabao 5 akifuatiwa na Victor Osimhen pamoja na Mohamed Sallah wenye magoli manne kila mmoja.
Golikipa wa timu ya Taifa ya Morocco Yassine Bounou ametwaa Tuzo ya golikipa bora wa mashindano ya AFCON 2025 yaliyofanyika pale katika Ardhi ya Morocco. Bono ametwa tuzo hiyo baada ya kuwa kiwango kizuri katika mashindano hayo ya AFCON 2025 ambapo amecheza jumla ya mechi 7 na kupata Clean sheets 5.
Mchezaji wa klabu ya Al Nassr na timu ya Taifa ya Senegal, Sadio Mané, ametwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashindano ya AFCON 2025 baada ya kuiongoza Senegal kutwaa ubingwa wa michuano hiyo kwa ushindi wa bao 1–0 dhidi ya wenyeji Morocco. Mané ameibuka mshindi wa tuzo hiyo kutokana na kiwango chake bora katika mashindano,…
Klabu Yanga leo Jumapili, Januari 18, 2026 imetangaza kukamilisha usajili wa kipa Hussein Masalanga akitokea klabu ya Singida Black Stars. Masalanga aliisaidia Taifa Stars kutinga hatua ya 16 bora ya michuano ya AFCON kwa mara ya kwanza na kuandika historia ya kuwa golikipa wa kwanza kucheza hatua ya 16 bora ya michuano ya AFCON akiwa…