Viongozi Wahudhuria Harusi ya Binti wa Mdhamini wa Yanga
Uongozi wa Young Africans Sports Club (Yanga SC) unampongeza Mdhamini na Mfadhili wa Klabu hiyo,…
Uongozi wa Young Africans Sports Club (Yanga SC) unampongeza Mdhamini na Mfadhili wa Klabu hiyo, GSM, kwa kumuozesha binti yake, Fatma Ghalib Said Mohammed, katika hafla ya ndoa iliyofanyika jana, Januari 10, 2026, katika Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam. Hafla hiyo ya ndoa ilihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kitaifa akiwemo Rais wa…
Mabingwa watetezi wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025), Ivory Coast ‘The Elephants’, wameaga rasmi michuano hiyo baada ya kupokea kipigo cha mabao 3-2 kutoka kwa Misri ‘Mafarao’ katika mchezo wa robo fainali uliopigwa kwenye Uwanja wa Adrar. Misri walionyesha dhamira kubwa ya kutwaa taji hilo kwa mara nyingine, wakipata mabao yao kupitia Omar…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amepokea zawadi ya jezi ya Timu ya Taifa ya mpira wa miguu ya wanaume Taifa Stars iliyosainiwa na wachezaji, ikiwa ni ishara ya shukrani na heshima kwa uongozi na mchango wake katika kuimarisha michezo nchini. Jezi hiyo imekabidhiwa na Nahodha Msaidizi wa Taifa…
Siku ya leo mechi kibao za pesa zinaendelea ndani ya Meridianbet huku wakali wa ubashiri Meridianbet wanakwambia hivi mtafutaji hachoki, yaani ni mwendo wa kusaka ODDS KUBWA tuu na kubashiri. Ingia kwenye akaunti yako sasa na ubashiri leo. SERIE A kuendelea kama kawaida ambapo ACF Fiorentina atakuwa nyumbani kukiwasha dhidi ya AC Milan ambao msimu…
Rais Samia Suluhu Hassan amezitaka mamlaka zote zinazohusika na michezo, kuhakikisha wachezaji wa Kitanzania wanaandaliwa katika mazingira bora ili waliwakilishe vyema taifa ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wanaboreshewa posho zao. Rais Samia amesimulia jinsi alivyopokea taarifa za wachezaji wa Taifa Stars kugoma kwenda Morocco kutokea nchini Misri kwa sababu ya kudai posho zao. Ameyasema hayo…
Azam wamemtambulisha mshambuliaji wao mpya Aimar Hafidh Abubakar,kutoka Mlandege ya Zanzibar. Aimar amesaini mkataba wa miaka mitatu na Azam,huku akinunuliwa kwa tsh 50m.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameongoza hafla ya kuwapongeza wanamichezo wa Tanzania waliofanya vizuri na kulitangaza Taifa katika mashindano mbalimbali ya kimataifa, hii leo Januari 10, 2026, Ikulu Dar es Salaam wakiongozwa na wachezaji wa Timu ya Taifa Stars waliofanikiwa kufika hatua ya 16 bora katika mashindano ya AFCON-2025…
Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Darasa la Nne na Kidato cha Pili. Matokeo hayo yametangazwa na Katibu Mtendaji wa NECTA, Prof. Said Mohamed katika Ofisi za Baraza la Mitihani jijini Dar es Salaam. Prof. Mohamed amesema jumla ya wanafunzi 1,324,970 kati ya 1,490,314 wenye matokeo, sawa na…
Bilionea na mwanzilishi mwenza wa kampuni ya Microsoft, Bill Gates, amemlipa aliyekuwa mke wake Melinda French Gates kiasi cha dola bilioni 8 za Kimarekani, sawa na takribani shilingi trilioni 23.12 za Kitanzania, miaka mitano baada ya ndoa yao kuvunjika rasmi. Kwa mujibu wa taarifa ya Gazeti la The New York Times, fedha hizo takribani dola…
Nahodha wa Timu ya Taifa ya Nigeria, Wilfred Ndidi, amewaahidi wachezaji wenzake na benchi la ufundi kuwa atahakikisha bonus zote wanazodai kutoka uongozi wa juu zinatolewa kabla ya mchezo muhimu wa Robo Fainali dhidi ya Algeria utakaopigwa Jumamosi. Ndidi amewauliza wachezaji wenzake kuendelea na mazoezi ya maandalizi bila hofu yoyote, akisisitiza kwamba ikiwa bonus hizo…
Jina la Enzo Maresca, kocha raia wa Italia aliyemaliza hivi karibuni kazi yake na klabu ya Chelsea, limo kwenye orodha ya makocha wanaotajwa kuchukua nafasi ya Ruben Amorim. Uongozi wa Manchester United unaendelea kutathmini majina mbalimbali ya makocha, ambapo Maresca anaonekana kuwa miongoni mwa chaguo linalozingatiwa kwa umakini mkubwa. Moja ya sababu zinazompa nafasi nzuri…
Ni siku nyingine ya kibabe kabisa na tulivu ambayo imekuja kwaajili ya kubadili maisha yako. Timu kibao zipo uwanjani kuwania pointi 3 huku wewe ukiwania mkwanja wa maana. Ingia kwenye jamvi akaunti yako na ubeti sasa. Italia kule SERIE A inatarajiwa kuendelea ambapo Como 1907 atamleta kwake Bologna ambao wapo nafasi ya 7 huku wenyeji…
Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Darasa la Nne na Kidato cha Pili. Matokeo hayo yametangazwa na Katibu Mtendaji wa NECTA, Prof. Said Mohamed katika Ofisi za Baraza la Mitihani jijini Dar es Salaam. Prof. Mohamed amesema jumla ya wanafunzi 1,324,970 kati ya 1,490,314 wenye matokeo, sawa na…
Meridianbet Missions inaleta falsafa mpya ya kucheza michezo ya mtandaoni kwa kuondoa dhana ya kucheza bila mwelekeo. Hapa, kila dau na kila mzunguko vina mchango katika safari yako ya ushindi. Mfumo huu umejengwa ili kutambua ushiriki wa mchezaji na kuugeuza kuwa pointi zinazoongeza thamani ya muda wako wa kucheza. Ndani ya Meridianbet Missions, mchezaji anakuwa…
SIMBA SC imepishana na kombe la kwanza ndani ya 2026 baada ya kupoteza nusu fainali ya kwanza mbele ya Azam FC. Januari 8 2026 baada ya dakika 90 ubao ulisoma Azam FC 1-0 Simba SC bao la ushindi likifungwa na Lameck Lawi dakika ya 73. Hili ni taji la kwanza ndani ya 2026 Simba SC…
Yanga wamekamilisha usajili wa kiungo wa Vipers, Allan Okello (25) kwa mkataba wa miaka miwili na nusu✅ Haikuwa kazi nyepesi kwani wiki hii vilabu vya MC Alger na Al Ahli Tripoli ya Libya,vilituma ofa nono ili kumpata kijana. Baada ya Rais wa Yanga kupata hizo taarifa akapanda ndege chapu kuelekea Uganda ili kumalizana na Rais…
Klabu ya Manchester City imetangaza kumsajili winga Antoine Semenyo kwa ada ya pauni milioni 62.5 (Euro milioni 72) kutoka klabu ya AFC Bournemouth. Semenyo 26, raia wa Ghana amesaini mkataba wa kuitumikia klabu hiyo mpaka Juni 2031 na atavaa jezi namba 42 iliyowahi kuvaliwa na nyota wa zamani wa Man City na Ivory Coast. Bournemouth…