Matokeo ya mechi za Simba SC 2025/26

Matokeo ya mechi zilizopita Simba SC Oktoba Mosi 2025, Simba SC 3-0 Namungo FC, mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Septemba 28 2025, Simba SC 1-1 Gaborone United, Ligi ya Mabingwa Afrika. Septemba 25 2025, Simba SC 3-0 Fountain Gate mchezo wa Ligi Kuu Bara. Septemba 20 2025, Gaborone United 0-1 Simba SC, Ligi ya…

Read More

Gamondi: Morali Iko Juu, Taifa Stars Tayari kwa AFCON 2025

Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Miguel Gamondi, amesema wachezaji wake wanaonyesha bidii kubwa mazoezini na kwamba morali ipo juu kuelekea mashindano ya AFCON 2025. Gamondi ameyasema hayo leo Desemba 15, baada ya kumalizika kwa mazoezi ya timu, akisisitiza kuwa maandalizi yanaendelea vizuri na wachezaji wanaelewa majukumu yao ndani ya uwanja….

Read More

Kocha Yanga SC aomba kazi Simba SC

BAADA ya Dimitar Pantev kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba na Simba SC inatajwa kuwa kuna maombi ya makocha mbalimbali wametuma CV kukinoa kikosi hicho. Kwa sasa timu hiyo ipo chini ya Seleman Matola ambaye mchezo uliopita alishuhudia kipigo cha mabao 2-0 kutoka kwa Azam FC wakiwa Uwanja wa Mkapa. Hicho ni kipigo cha kwanza Simba…

Read More

Chico Ushindi Afariki, Soka la Afrika Lapata Pengo

Mshambuliaji wa zamani wa klabu za TP Mazembe, AS Vita Club na Yanga SC, Chico Ushindi Wakubanza, amefariki dunia leo mchana akiwa nyumbani kwao Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Chico Wakubanza alikuwa mmoja wa washambuliaji waliopata heshima kubwa katika soka la Afrika ya Kati na Mashariki, akitambulika kwa uwezo wake wa kufumania nyavu, nguvu…

Read More

BASATA Yasitisha Hafla ya TMA 2025 Bila Kutoa Sababu

Leo Disemba 13, 2025 hafla ya utoaji Tuzo za Muziki Tanzania(TMA) 2025 kwa wasanii wa muziki waliofanya vizuri katika maeneo mbalimbali nchini ilitarajiwa kufanyika. Taarifa iliyotolewa na Baraza la Sanaa Tanzania(BASATA) imeeleza kuwa zoezi hilo halitafanyika mpaka wakati mwingine. “Tunawataarifu kuwa hafla ya TMA iliyokuwa imepangwa kufanyika tarehe 13/12/2025 imeahirishwa mpaka pale tarehe nyingine itakapotangazwa.”…

Read More

Awesu Awesu kuibukia Mbeya City

INAELEZWA kuwa kiungo mshambuliaji wa Simba SC yupo kwenye hesabu za mabosi wa Mbeya City ambao wanahitaji huduma yake. Awesu kwa msimu wa 2025/26 hajawa na nafasi kikosi cha kwanza kwenye mechi za ushindani jambo linalofanya kiwango chake kutokuwa imara. Ikumbukwe kwamba aliibuka ndani ya Simba SC akitokea Klabu ya KMC huko alikuwa ni chaguo…

Read More

Msimu wa Zawadi Bab Kubwa Na Holiday Drops – Christmas

Tunapoukaribisha msimu wa sherehe za mwisho wa mwaka, Meridianbet inakuletea Holiday Drops – Christmas Edition, kampeni maalum inayokuletea ushindi kwa namna ya kipekee. Kuanzia tarehe 01 Desemba 2025 hadi 08 Januari 2026, wachezaji watakuwa ndani ya kipindi cha zawadi zinazotoka papo hapo katika michezo maalum iliyochaguliwa mahsusi kwa msimu huu. Holiday Drops imeundwa kuongeza thamani…

Read More