Kupata Samsung A26 Mpya Ndani ya Meridianbet Inawezekana

Inawezekana kabisa kupata Samsung Mpya kabisa kwa wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet. Kupitia promosheni yako ya Bet Online ndugu mteja una nafasi ya kuchukua Samsung A26 hapa. Katika msimu huu wa burudani na ushindani mkali ndani ya ulimwengu wa soka, Meridianbet imewasha moto mpya unaowapa wachezaji wote sababu ya kuongeza hamasa wanapotazama na kubashiri mechi…

Read More

Meridianbet Tanzania Kumimina Mapesa kupitia Super Heli Premium

Meridianbet Tanzania inafurahia kutangaza uzinduzi rasmi wa Super Heli Premium, mchezo wa kasino wa mtandaoni unaochanganya kasi, ujasiri wa haraka, na malipo makubwa yanayoweza kubadilisha matokeo kwa sekunde chache. Mchezo huu umebuniwa kutoa burudani ya kiwango cha juu huku wachezaji wakiwajibika kufanya maamuzi yenye msisimko angani. Kila raundi huanza pale helikopta inapopaa, huku vizidishi vya…

Read More

Sasa Ni Wakati Wa Sloti Kutoa Mamilionea Ndani Ya Meridianbet

Kwa muda mrefu sloti zimekuwa zikionekana kama burudani ya haraka, unacheza, unasubiri matokeo. Lakini Meridianbet sasa inaandika upya simulizi hilo kwa kumleta Kalamba Games, wabunifu wanaoamini kuwa sloti si mchezo tu, bali ni uzoefu unaomshirikisha mchezaji moja kwa moja. Kalamba Games wamejikita kwenye kumweka mchezaji katikati ya kila kitu. Kuanzia muonekano, sauti, hadi mpangilio wa…

Read More

Kibu Dennis Aondoka Msimbazi, Kuungana na Ngoma na Mukwala Libya

Klabu ya Simba SC imethibitisha kwamba mshambuliaji wake, Kibu Dennis, hatakuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo, akihitimisha utumishi wake wa misimu minne na nusu akiwa na Wekundu wa Msimbazi. Kibu ‘Mkandaji’, ambaye alijiunga na Simba SC miaka kadhaa iliyopita, anaripotiwa kujiunga na klabu ya Al Nasr Benghazi nchini Libya, na kutambulishwa hivi karibuni kama…

Read More

Yanga SC vs JS Kabylie, Jumapili ya kazi

Yanga SC vs JS Kabylie, Jumapili ya kazi kwa wawakilishi wa Tanzania kutupa karata ya mwisho katika anga la kimataifa. Mchezo huo ni muhimu kwa Yanga SC kupambania malengo yakutinga hatua ya robo fainali wakiwa nafasi ya tatu na pointi 5 huku wanaowania nafasi hiyo wengine ni AS Far Rabat hawa wapo nafasi ya pili…

Read More

KMC FC vs Simba SC leo Kibu kuagwa

KMC vs Simba SC ni mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC, Complex saa 1:00 usiku. Katika mchezo wa leo kiungo mshambuliaji wa Simba SC, Kibu Dennis anatarajiwa kuangwa rasmi mara baada ya kuuzwa. Kibu msimu wa 2025/26 atakuwa nchini Libya kwa changamoto mpya mara baada ya kufikia makubaliano na pande…

Read More