Safari ya Ubingwa Inaanza na Mechi za AFCON
Ubingwa unaanzia na mechi kali kabisa za Mataifa yaani AFCON kwani tayari wakali wa ubashiri…
Ubingwa unaanzia na mechi kali kabisa za Mataifa yaani AFCON kwani tayari wakali wa ubashiri Tanzania, Meridianbet wameshakuwekea machaguo yako uyapendayo hivyo bashiri sasa. Senegal watakuwa uso kwa uso dhidi ya Botswana ambapo kwenye mechi zake 6 za mwisho za Kimataifa alizocheza hakuna hata mechi moja ambayo amepata ushindi. Wakati mwenyeji yeye kwenye mechi 6…
Meridianbet imeandika historia mpya katika kasino mtandaoni kwa kuanzisha Meridianbet Missions, mfumo unaobadilisha kabisa dhana ya sloti. Hapa, kila mzunguko una kusudi, kila mchezo una lengo, na kila mchezaji ana nafasi ya kujenga ushindi wake hatua kwa hatua. Ni kasino inayokufanya ucheze kwa akili, si bahati pekee. Kupitia Meridianbet Missions, unachagua misheni zako ndani ya…
Nigeria vs Tanzania ni mchezo mkali unaosubiriwa kwa shauku kwenye mashindano ya AFCON 2025 ikiwa ni hatua ya makundi nchini Morocco. Tayari mchezo wa ufunguzi ulishachezwa rasmi Desemba 21 ya Jumapili na wenyeji Morocco wakiibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Comoros. Leo ni kazi ya wawakilishi kutoka Tanzania, Taifa Stars wakiongozwa na nahodha…
Michuano ya Mataifa Barani Africa (AFCON) inatarajiwa kuanza kurindima leo huku timu kibao zikijidhatiti kupambana kwa hali na mali ili iweze kuchukua taji hilo. Bingwa mtetezi yeye ataanza kumenyana dhidi ya Mozambique. Bashiri na Meridianbet sasa. Michuano hii itakuwa kwenye muundo wa makundi ambapo timu 24 ndio ambazo zimefuzu kushiriki michuano hii ambapo timu hizo…
Morocco 2-0 Comoros ni matokeo ya mchezo wa ufunguzi AFCON 2025, nchini Morocco huku wenyeji wakipata ushindi katika kipindi cha pili. Magoli ya Morocco yamefungwa na Brahim Diaz kwa pasi ya N.Mazraoui dakika ya 55 na El Kaabi kwa pasi ya Salah-Eddine dakika ya 74, mchezo uliochezwa Uwanja wa Prince Moulay Abdallah. Ikumbukwe kwamba Brahim…
Meridianbet inaendelea kutikisa ulimwengu wa burudani na sasa imeileta Meridian Panda Deluxe, sloti inayothibitisha kuwa ukubwa wa ushindi hauamuliwi na ukubwa wa gridi, ila ubunifu wa mchezo wenyewe. Kwa mpangilio wa 3×3 na mistari 5 ya malipo ya kudumu, kila mzunguko unakuwa wa kasi, wa kusisimua na wenye matokeo ya papo hapo. Huu ni mchezo…
Desemba 21,2025 kulikuwa na mchezo wa kirafiki wa Kariakoo Dabi Fans uliochezwa Uwanja wa KMC, Complex, Dar. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Simba SC Fans 2-0 Yanga SC Fans, magoli yote yakifungwa kipindi cha kwanza. Magoli ya Simba SC yamefungwa na Thobias Sébastien na Dr Mo haya yalidumu mpaka mwisho wa mchezo uliohudhiriwa na…
Arsenal wamerejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya England (EPL) kufuatia ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Everton katika dimba la Hill Dickinson, jijini Liverpool. Bao pekee la mchezo lilifungwa dakika ya 27 na Viktor Gyökeres kwa mkwaju wa penalti, bao lililotosha kuwapa The Gunners alama zote tatu muhimu. Kwa ushindi huo, Arsenal…
Siku ya leo inaenda kubadilisha maisha yako moja kwa moja kwani mechi kibao zipo uwanjani na nafasi ya kuondoka na ushindi ipo mikononi mwako. Ingia kwenye akaunti yako na uanze kubeti sasa. SERIE A kitawaka haswa ambapo Sassuolo atakuwa mwenyeji wa Torino ambao wanashika nafasi ya 16 huku wenyeji wao wakiwa nafasi ya 8 kwenye…
Hii hapa ratiba ya AFCON 2025, nchini Morocco ni leo Desemba 21,2025 kazi inaanza na tamati inatarajiwa kuwa Januari 18, 2026 Jumapili, Desemba 21, 2025 Morocco vs Comoros saa 4:00 usiku Jumatatu, Desemba 22,2025 Mali vs Zambia, saa 11:00 jioni Afrika Kusini vs Angola saa 2:00 usiku Misri vs Zimbabwe, saa 5:00 usiku Jumanne, Desemba…
WAKIWA ugenini katika mchezo wa Premier League wiki ya 17 ubao wa Uwanja wa Tottenham Hotspurs umesoma Tottenham 1-2 Liverpool. Magoli ya Hugo Ekitike dakika ya 66 na Isak dakika ya 56 yalikuwa na ya ushindi kwa Liverpool. Richarlison alipachika goli pekee kwa Tottenham dakika ya 83. Mchezo huo Tottenham walionyeshwa kadi nyekundu wachezaji wawili…
Meridianbet wanaendelea kuleta ladha mpya kwa wapenzi wa sloti kwa kuanzisha Meridian Panda Deluxe, mchezo unaochanganya mwonekano tulivu na msisimko wa hali ya juu. Ukiwa ndani ya mazingira ya asili ya misitu ya bamboo ya Mashariki ya Mbali, sloti hii ya Expanse Studios inakuja na gridi ya 3×3 pamoja na mistari 5 ya malipo ya…
Liverpool imechukua alama zote tatu kwa taabu sana dhidi ya Wanaume 9 wa Tottenham Hotspur iliyokuwa pungufu ya wachezaji wawili baada ya Xavi Simons na Christian Romero kuoneshwa kadi nyekundu. FT: Tottenham Hotspur 1-2 Liverpool 🟥 33’ Xavi Simons ⚽ 83’ Richarlison 🟥 90+3’ Romero ⚽ 57’ Isak ⚽ 66’ Ekitike
Makamu Mwenyekiti wa Bodi na Mwenyekiti wa Klabu, Murtaza Mangungu, ametoa ufafanuzi kuhusu taarifa zinazozunguka mgogoro kati ya klabu na mwekezaji. “Mimi na mwenyekiti wa bodi tunaongea kila mara. Kama ni Mo, mimi mara ya mwisho niliongea naye jana saa 8. Sisi hatuna jambo la siri, timu inafanya mipango yake, kama kuna taarifa inatoka, inatoka…
Je unaweza ukabadilisha maisha yako kwa kubashiri mechi za EUROPA ndani ya Meridianbet leo?. Ni rahisi sana ingia kwenye akaunti yako na uweke dau lako ambalo unalipenda ili utimize ndoto zako leo. Kule Ujerumani, BUNDESLIGA itaendelea ambapo FC Cologne ataumana dhidi ya Union Berlin ambapo tofauti ya pointi kati yao hadi sasa ni 1 pekee….
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Klabu ya Simba SC, Crescentius Magori, amevunja ukimya na kueleza sababu zilizochangia kuyumba kwa kiwango cha timu katika baadhi ya michezo ya hivi karibuni, akisisitiza kuwa hali halisi haiko mbaya kama inavyotafsiriwa na baadhi ya wadau wa soka. Akizungumza kuhusu changamoto za kiufundi, Magori amesema mabadiliko ya benchi la…
Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF), limezindua muundo wa zawadi kwa ajili ya Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika ya AFCON 2025, yanayotarajiwa kuanza hivi karibuni nchini Morocco. Kulingana na uchanganuzi Bingwa atapata Dola za Kimarekani Milioni 7 (Shilingi Bilioni 17.3 za Tanzania) huku Mshindi wa pili akipata Dola Milioni 4 (Shilingi Bilioni 9.96…