
BEKI ALIYEACHWA YANGA APATA BONGE LA DILI, ATIMKA ZAKE
ALIYEKUWA beki wa kati wa Yanga, Gift Fred anakaribia kujiunga na Klabu ya KCCA ya…
ALIYEKUWA beki wa kati wa Yanga, Gift Fred anakaribia kujiunga na Klabu ya KCCA ya nchini Uganda katika msimu ujao. Gift anakwenda kujiunga na KCCA kama mchezaji huru baada ya mkataba wake wa mkopo St George ya nchini Ethiopia kumalizika. Yanga ndiyo iliyompeleka beki huyo kwa mkopo St George katika msimu wa 2024-2024 baada ya…
Mchambuzi wa soka nchini, Saleh Jembe amefunguka na kueleza kuwa waliosababisha hili jambo ni klabu ya Yanga SC isingekuwa wao kuwazuia Simba SC basi tusingefika huku.
Dar es Salaam – Wazee na Wenyeviti wa Matawi wa Klabu ya Yanga leo Juni 5, 2025 wamejitokeza hadharani makao makuu ya Klabu hiyo na kutoa tamko rasmi wakipinga vikali ushiriki wa klabu hiyo katika mchezo wa watani wa jadi (derby) uliopangwa kufanyika tarehe 15 Juni, 2025 Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam. Kupitia…
Katika kuendelea kutoa furaha na faida kwa wachezaji wa kasino mtandaoni, Meridianbet kwa kushirikiana na Expanse wamezindua ofa kabambe kupitia mchezo wa Zombie Apocalypse. Ofa hii maalum inakupa nafasi ya kipekee, ukicheza mizunguko 100 leo, unapata mizunguko 50 ya bure kesho. Hii ni zawadi ya kipekee kwa wale wote wanaotafuta burudani yenye thamani. Zombie Apocalypse…
RASMI Uongozi wa Yanga umetangaza kufunga mjadala wa kuzungumzia kucheza mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya Simba ambao ulihairishwa na Bodi ya Ligi Kuu Bara ambao umepangwa kupigwa Juni 15, mwaka huu Uwanja wa Mkapa, Dar. “Sisi tuna mawasiliano na bodi ya ligi, kuelekea dabi sisi tumeshatoa msimamo wetu na tumeshaweka ‘fixtures’ zetu za kumaliza…
KLABU ya Yanga imefikia makubaliano mazuri ya kumuongezea mkataba mwingine beki na nahodha wake msaidizi, Dickson ‘Dick’ Job. Inealezwa makubaliano hayo yaliyofikiwa ya miaka miwili kwa dau na mshahara mnono aliouongezewa katika mkataba huo mpya. Beki huyo muda wowote anatarajiwa kusaini mkataba huo mpya huku akiandaliwa utambulisho mkubwa wa kumbakisha beki huyo aliyekuwa anatajwa kwenda…
KIUNGO mshambuliaji namba moja wa Simba SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids, Jean Ahoua anatajwa kuwindwa na timu kubwa Afrika. Ahoua ni chaguo la kwanza la Fadlu kutokana na uwezo alionao huku mguu wake wenye nguvu ukiwa ni ule wa kulia. Nyota huyo ndani ya ligi namba nne kwa ubora Afrika amefunga jumla ya…
UONGOZI wa Yanga SC umeweka wazi kuwa mpango mkubwa kuelekea kwenye mchezo wa fainali wa CRDB Federation Cup jambo kubwa ambalo wanahitaji ni ubingwa. Yanga SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi itamenyana na Singida Black Stars kwenye fainali inayotarajiwa kuchezwa Zanzibar. Ikumbukwe kwamba Yanga SC ni mabingwa watetezi walitwaa taji hilo kwa ushindi mbele…
Meridianbet mwezi huu wa 6 imekuletea promosheni kubwa za Kasino ambazo zitakufanya ujizolee zawadi kabambe ikiwemo Samsung A25. Usisubiri kuhadithiwa tazama vigezo na masharti unafike na promosheni hii. Promosheni hii imeanza siku ya jana ya tarehe 1 mwezi Juni na itatamatika tarehe 30 mwezi Juni mwaka huu huku nafasi ya wewe kuweza kushinda simu ikiwa…
KOCHA Mkuu wa Simba raia wa Afrika Kusini, Fadlu Davis amesema kamwe hawatakubali kufungwa mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya Yanga utakaopigwa Juni 15, mwaka huu. Fadlu alisema kuwa mchezo huo ndiyo utahamua hatima ya wao kubeba Ubingwa wa Ligi Kuu Bara, hivyo hawatakubali kufanywa daraja la ubingwa katika msimu huu. “Tunakwenda mapumziko tukipisha kalenda…
UONGOZI wa Yanga umeibuka na kusisitiza kuwa hawatacheza mchezo wa Kariakoo Dabi uliopangwa kuchezwa Juni 15, mwaka huu dhidi ya Simba . Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ali Kamwe alisema kuwa wao wanachojua wamebakisha michezo miwili ya Ligi Kuu Bara na siyo mitatu . “Akili yetu imejikita kwenye kuzimaliza kwa kishindo mechi zetu…
Chaguo ni lako kukamilisha ndoto zako kwa njia ya rahisi, kazi ya Meridianbet kasino ya mtandaoni ni kukuletea michezo mingi na sloti za kijanja ambazo zinakupa urahisi wa wewe kucheza na kushinda. Ukiachilia mbali bonasi, ofa, odds kubwa na promosheni kedekede, kasino ya mtandaoni inakuletea mchezo wa Mini Power Roulette uliotengenezwa na Expanse Studios. Roulette…
BEKI wa Simba SC, Che Malone anatajwa kuwa kwenye hesabu za kukutana na mkono wa Thank You kutokana na kiwango chake kuporomoka kwa mara nyingine tena. Beki huyo ambaye ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Fadlu Davids mara baada ya kurejea kutoka kutokuwa fiti baada ya kuumia kwenye mchezo dhidi ya Azam FC, mwendo…
Nahodha wa Manchester United, Bruno Fernandes ametupilia mbali ofa nono kutoka Al Hilal ya Saudi Arabia kwa ajili ya kujiunga na klabu hiyo ya Ligi kuu ya Saudi Pro huku akitaka kuendelea kusakata kabumbu barani Ulaya. Bruno (30) raia wa Ureno amefanya maamuzi ya kukataa ofa nono ya mshahara wa pauni laki 7 kwa wiki…
Wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet wanakwambia hivi, kama unataka kushinda Samsung A25 mpya kupitia kwenye promosheni yao mpya ya mwezi Juni unatakiwa kucheza mchezo pendwa wa kasino wa Superheli leo. Je unajua Superheli ni nini? Superheli ni mchezo mojawapo wa Kasino ambao unapatikana Meridianbet ambao una mandhari ya helikopta ambao ukiweka dau lako na kucheza…
Ligi ya mabingwa ulaya (Uefa Champions League) imetamatika Kwa kumshuhudia PSG akitwaa taji hilo mbele ya Inter Milan na kuwa bingwa mpya wa michuano hiyo huku akiweka historia ya kubeba kombe hilo kubwa zaidi ulaya kwa mara ya kwanza. Ligi ya mabingwa imetumia mfumo mpya kwa mara ya kwanza. Chini ya kocha Luis Enrique, PSG…
Ally Salim kipa namba mbili wa Simba SC yupo kwenye mtego ndani ya kikosi hicho kutokana na mwendo wake kutokuwa imara. Kwenye msimu wa 2024/25 ndani ya Ligi Kuu Bara, Ally amekaa langoni kwenye mechi mbili ambazo ni dakika 180 alifanikiwa kukamilisha dakika hizo na hati safi. Kwenye mchezo mmoja wa CRDB Federation Cup ilikuwa…