YANGA YAFUNGA MJADALA KARIAKOO DABI

RASMI Uongozi wa Yanga umetangaza kufunga mjadala wa kuzungumzia kucheza mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya Simba ambao ulihairishwa na Bodi ya Ligi Kuu Bara ambao umepangwa kupigwa Juni 15, mwaka huu Uwanja wa Mkapa, Dar. “Sisi tuna mawasiliano na bodi ya ligi, kuelekea dabi sisi tumeshatoa msimamo wetu na tumeshaweka ‘fixtures’ zetu za kumaliza…

Read More

DICKSON JOB KIMEELEWEKA YANGA, APEWA MIAKA MIWILI

KLABU ya Yanga imefikia makubaliano mazuri ya kumuongezea mkataba mwingine beki na nahodha wake msaidizi, Dickson ‘Dick’ Job. Inealezwa makubaliano hayo yaliyofikiwa ya miaka miwili kwa dau na mshahara mnono aliouongezewa katika mkataba huo mpya. Beki huyo muda wowote anatarajiwa kusaini mkataba huo mpya huku akiandaliwa utambulisho mkubwa wa kumbakisha beki huyo aliyekuwa anatajwa kwenda…

Read More

JEAN AHOUA ANAWINDWA KIMATAIFA

KIUNGO mshambuliaji namba moja wa Simba SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids, Jean Ahoua anatajwa kuwindwa na timu kubwa Afrika. Ahoua ni chaguo la kwanza la Fadlu kutokana na uwezo alionao huku mguu wake wenye nguvu ukiwa ni ule wa kulia. Nyota huyo ndani ya ligi namba nne kwa ubora Afrika amefunga jumla ya…

Read More

YANGA SC WANAJAMBO LAO KUBWA

UONGOZI wa Yanga SC umeweka wazi kuwa mpango mkubwa kuelekea kwenye mchezo wa fainali wa CRDB Federation Cup jambo kubwa ambalo wanahitaji ni ubingwa. Yanga SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi itamenyana na Singida Black Stars kwenye fainali inayotarajiwa kuchezwa Zanzibar. Ikumbukwe kwamba Yanga SC ni mabingwa watetezi walitwaa taji hilo kwa ushindi mbele…

Read More

FADLU APIGA HESABU KALI UBINGWA LIGI KUU BARA

KOCHA Mkuu wa Simba raia wa Afrika Kusini, Fadlu Davis amesema kamwe hawatakubali kufungwa mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya Yanga utakaopigwa Juni 15, mwaka huu. Fadlu alisema kuwa mchezo huo ndiyo utahamua hatima ya wao kubeba Ubingwa wa Ligi Kuu Bara, hivyo hawatakubali kufanywa daraja la ubingwa katika msimu huu. “Tunakwenda mapumziko tukipisha kalenda…

Read More

BOSI YANGA ASISITIZA KUTOCHEZA KARIAKOO DABI

UONGOZI wa Yanga umeibuka na kusisitiza kuwa hawatacheza mchezo wa Kariakoo Dabi uliopangwa kuchezwa Juni 15, mwaka huu dhidi ya Simba . Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ali Kamwe alisema kuwa wao wanachojua wamebakisha michezo miwili ya Ligi Kuu Bara na siyo mitatu . “Akili yetu imejikita kwenye kuzimaliza kwa kishindo mechi zetu…

Read More

UJANJA NI KUCHEZA KASINO YA MTANDAONI

Chaguo ni lako kukamilisha ndoto zako kwa njia ya rahisi, kazi ya Meridianbet kasino ya mtandaoni ni kukuletea michezo mingi na sloti za kijanja ambazo zinakupa urahisi wa wewe kucheza na kushinda. Ukiachilia mbali bonasi, ofa, odds kubwa na promosheni kedekede, kasino ya mtandaoni inakuletea mchezo wa Mini Power Roulette uliotengenezwa na Expanse Studios. Roulette…

Read More

CHE MALONE WA SIMBA SC MAMBO MAGUMU

BEKI wa Simba SC, Che Malone anatajwa kuwa kwenye hesabu za kukutana na mkono wa Thank You kutokana na kiwango chake kuporomoka kwa mara nyingine tena. Beki huyo ambaye ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Fadlu Davids mara baada ya kurejea kutoka kutokuwa fiti baada ya kuumia kwenye mchezo dhidi ya Azam FC, mwendo…

Read More

ALLY SALIM KWENYE MTEGO SIMBA SC

Ally Salim kipa namba mbili wa Simba SC yupo kwenye mtego ndani ya kikosi hicho kutokana na mwendo wake kutokuwa imara. Kwenye msimu wa 2024/25 ndani ya Ligi Kuu Bara, Ally amekaa langoni kwenye mechi mbili ambazo ni dakika 180 alifanikiwa kukamilisha dakika hizo na hati safi. Kwenye mchezo mmoja wa CRDB Federation Cup ilikuwa…

Read More