Liverpool Wakiwa kwenye Msitu wa Changamoto: Je Wanaweza Kutetea Taji la EPL?”
Je unajua kuwa ukienda Meridianbet unaweza ukabashiri moja kwa moja kumpa Liverpool kushinda taji la…
Je unajua kuwa ukienda Meridianbet unaweza ukabashiri moja kwa moja kumpa Liverpool kushinda taji la EPL msimu huu?. ODDS KUBWA zipo kwenye chaguo hili hivyo ingia na ubashiri hapa sasa. Liverpool walianza msimu wakiwa na hamu kubwa ya kurekebisha mtindo wa mechi zao. Hata hivyo, katika michezo ya mwanzo, timu ilikumbana na changamoto kadhaa. Kutokuwa…
Winga wa Paris Saint-Germain (PSG) na timu ya Taifa ya Ufaransa, Ousmane Dembélé, ametangazwa mshindi wa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Kiume wa FIFA kwa mwaka 2025, baada ya msimu bora uliompa heshima hiyo ya juu duniani. Kocha wa PSG, Luis Enrique, naye ameendeleza mafanikio ya klabu hiyo kwa kutwaa Tuzo ya Kocha Bora wa…
BODI ya Ligi Kuu ya Tanzania imetangaza adhabu kali kwa wachezaji wa klabu ya Simba SC, Jonathan Sowah na Allasane Kante, pamoja na mwamuzi Abdallah Mwinyimkuu, baada ya tukio la ukiukwaji wa kanuni kwenye mchezo dhidi ya Azam FC. Wachezaji Wafungiwa Jonathan Sowah amefungiwa michezo mitano (5) na kutozwa faini ya Sh. 1,000,000 kwa kosa…
Mchezaji wa klabu ya Singida Big Stars (Singida BS), Khalid Aucho, amefungiwa michezo mitano (5) na kutozwa faini ya Sh. 1,000,000 kwa kosa la kufanya kitendo kisicho cha kiuanamichezo dhidi ya Adam Adam wa klabu ya TRA United. Kisa hicho kilitokea wakati wa mechi ya hivi karibuni, ambapo Aucho alimpiga na kumsukuma Adam Adam, hatua…
Klabu ya Simba Sc kwa kushirikiana na JayRutty wametoa ofa ya punguzo la bei ya jezi zake katika kipindi hiki cha msimu wa sikukuu ya Christmas na Mwaka Mpya ambapo jezi zote za klabu hiyo sasa zitauzwa kwa Tsh 12000 tofauti na Tsh Tsh. 45,000 ilivyokuwa inafahamika. Akizungumza na waandishi wa Habari leo Desemba 16,…
Shirikisho la Soka la Gabon 🇬🇦 limethibitisha kuwa mshambuliaji wao nyota, Pierre-Emerick Aubameyang (36), hatawepo kwenye mchezo wa ufunguzi wa AFCON 2025 dhidi ya Cameroon 🇨🇲 utakaochezwa Disemba 24, kutokana na majeraha yanayomsumbua. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Aubameyang anaweza kurejea uwanjani Disemba 28 wakati Gabon itakapokutana na Mozambique 🇲🇿, endapo hali yake ya afya…
Baadhi ya matunda kama zabibu (grapefruit), nanasi, parachichi na kiwi yanaweza kusaidia kupunguza mafuta ya tumbo kutokana na kuwa na nyuzi za lishe (fiber), vimeng’enya (enzymes) na virutubisho vingine muhimu. Kwa mujibu wa The Times of India, matunda kwa asili yana kalori chache na fiber nyingi, hali inayosaidia kudhibiti njaa kwa kukufanya ujisikie umeshiba kwa…
Kule EPL mbio za ubingwa zimezidi kunoga haswa ambapo kila timu kubwa imeonesha nia ya kulitaka taji hilo. Je nani unaona msimu huu anaenda kuchukua taji hili kwa timu zinazopambania taji hilo. Machaguo zaidi ya 1000 yapo Meridianbet, Bashiri sasa. Arsenal chini ya kocha mkuu Mikel Arteta msimu huu ulianza vizuri kwao kabisa huku ikiwa…
Meridianbet inakuleta kitu kipya kinachokufanya uwe mchezaji mwenye bahati zaidi, ni Mystery Multiplier. Hapa, kila dau lako linakuwa chanzo cha ushindi mkubwa. Sio tu unacheza mchezo wa kawaida wa kasino, bali kila mzunguko ni fursa ya kushinda mara 10 hadi 250 ya dau lako. Kila kitu kinakuwa mchezo wa mbinu na bahati, na kila hatua…
Matokeo ya mechi zilizopita Simba SC Oktoba Mosi 2025, Simba SC 3-0 Namungo FC, mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Septemba 28 2025, Simba SC 1-1 Gaborone United, Ligi ya Mabingwa Afrika. Septemba 25 2025, Simba SC 3-0 Fountain Gate mchezo wa Ligi Kuu Bara. Septemba 20 2025, Gaborone United 0-1 Simba SC, Ligi ya…
Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Miguel Gamondi, amesema wachezaji wake wanaonyesha bidii kubwa mazoezini na kwamba morali ipo juu kuelekea mashindano ya AFCON 2025. Gamondi ameyasema hayo leo Desemba 15, baada ya kumalizika kwa mazoezi ya timu, akisisitiza kuwa maandalizi yanaendelea vizuri na wachezaji wanaelewa majukumu yao ndani ya uwanja….
BAADA ya Dimitar Pantev kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba na Simba SC inatajwa kuwa kuna maombi ya makocha mbalimbali wametuma CV kukinoa kikosi hicho. Kwa sasa timu hiyo ipo chini ya Seleman Matola ambaye mchezo uliopita alishuhudia kipigo cha mabao 2-0 kutoka kwa Azam FC wakiwa Uwanja wa Mkapa. Hicho ni kipigo cha kwanza Simba…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili katika Shule ya Kijeshi ya Ulinzi wa Anga (SKUA), mkoani Tanga, leo Desemba 15, 2025, kwa ajili ya ufunguzi wa Mkutano wa 9 wa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Makamanda. Mkutano huu unalenga kuimarisha ushirikiano wa kijeshi,…
Real Madrid imeendelea kuonyesha nguvu zake kwenye Laliga, baada ya kushinda 2-1 dhidi ya Deportivo Alavés katika mechi iliyofanyika leo. Huu ni ushindi muhimu ambao unasaidia Real Madrid kushikilia nafasi ya pili katika msimamo wa ligi, ikiwa alama nne nyuma ya vinara Barcelona. Kylian Mbappé amefunga bao lake la 17 msimu huu katika mechi yake…
Leo hii kuna mechi kibao sana ambazo zitapigwa ndani ya Meridianbet baada ya kushuhudia wikendi timu nyingi zikifuana jasho. Je unajua kwako wewe mteja wa Meridianbet ni rahisi sana kutengeneza pesa hapa?. Bashiri sasa. CHAMPIONSHIP kule Uingereza pia kuna mechi moja ya pesa ambapo Derby Country atakiwasha dhidi ya Sheffield Wednesday kule ugenini huku tofauti…
Kwenye ulimwengu wa michezo ya mtandaoni, kasi na uhalisia ndiyo msingi wa burudani ya kisasa. Meridianbet, kupitia TVBET, imeleta injini mpya ya msisimko inayowasha mchezo kila sekunde bila kupunguza ubora. Hii si kasino ya kawaida, ni burudani ya papo hapo inayokupa nafasi ya kushinda kwa kuona kila kinachotokea kwa macho yako. TVBET imeundwa kwa ajili…
NYUMBA YA KISASA INAUZWA – MAPINGA Eneo: Mapinga, kilomita 1 tu kutoka Bagamoyo Road Bei: Milioni 150 (maongezi yapo) Ukubwa wa kiwanja: 1,200 sqm Document clean TITLE DEED ( Hati miliki kutoka wizara ya aridhi) MAELEZO YA NDANI ◇Vyumba 4 vya kulala (2 Master ◇Bedrooms – Self Contained) ◇Sebule kubwa yenye mwanga wa kutosha ◇Chumba…