BetPawa Locker Room Bonus yafikisha sh 91m NBL 2025

Jumla ya Sh91 milioni mpaka sasa zimetumika kuwalipa Wachezaji mbalimbali wa timu za mpira wa kikapu zinazoshiriki klabu bingwa ya Tanzania (NBL) kupitia mpango wa Locker Room Bonus (LRB) kupitia chapa ya michezo ya kubashiri ya betPawa. NBL kwa sasa ipo katika hatua ya nusu fainali ambapo timu nne za wanawake na wanaume zinachuana kusaka…

Read More

YANGA SC 2-0 FOUNTAIN GATE

Yanga SC 2-0 Fountain Gate mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora. Prince Dube alianza kufunga bao la kwanza kipindi cha kwanza dakika ya 26 kwa mkwaju wa penalti. Kamba ya pili imefungwa kipindi cha pili Uwanja wa KMC Complex, Desemba 4,2025. Pacome Zouzoua ametoa pasi mbili za mabao na…

Read More

Shinda Samsung A26 Leo Jumatano kwa Kubashiri Rahisi Kupitia *149*10#

Bila Intanenti ni rahisi kabisa kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kushindania Samsung A26 na Meridianbet leo. Jumatano ya Zawadi ipo kwaajili yako siku ya leo inaweza kukupa furaha sana. Jumatano hii haifanani na nyingine yoyote. Ni siku ambayo Meridianbet inawasha moto wa bahati kwa njia ambayo haijawahi kutokea. Kwa mara nyingine tena, wateja wote wanaopenda kubashiri…

Read More

Azam FC vs Singida Black Stars wakubwa kazini

DESEMBA 3,2025 Ligi Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea ambapo wakubwa wawili watakuwa kazini katika msako wa pointi tatu muhimu. Azam FC chini ya Kocha Mkuu, Florent Ibenge vs Singida Black Stars chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi mbinu zao zitakuwa zinapambana. Hii ni ligi namba nne kwa ubora Afrika imekuwa na ushindani mkubwa huku mabingwa…

Read More

Miguel Gamondi Atangaza Kikosi cha Awali cha Taifa Stars kwa AFCON 2025

Kocha wa Taifa Stars, Miguel Gamondi, ametangaza leo Desemba 3, 2025, kikosi cha awali cha wachezaji 53 kitakachoshiriki maandalizi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON). Kikosi hiki, kinachojumuisha wachezaji wanaoshughulika kwenye ligi za ndani na nje ya Tanzania, kitaratibiwa kuondoka nchini Disemba 8, 2025, kuelekea Nchi ya Misri, kwaajili ya kambi ya maandalizi kabla…

Read More