YANGA KAMILI KUIKABILI FOUNTAIN GATE

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara chini ya Kocha Mkuu, Miloud Hamdi wapo kamili kuwakabili wapinzani wao Fountain Gate kuelekea mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Aprili 21 2025. Tayari kikosi hicho kimesepa Bongo kwa ajili ya kuwafuata wapinzani wao Manyara na mchezo huo unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Ikumbukwe kwamba katika mchezo wa mzunguko…

Read More

FA: SIMBA KUPUNGUZA MAJUKUMU, UBINGWA INAWEZEKANA

 NAIBU Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma maarufu kama FA ambaye alikuwa ni mgeni rasmi kwenye Jambo Kubwa Kuliko East and Central Africa Aprili 16 2025 amesema kuwa ikiwa yaliyosemwa yatakuwa kwenye utekelezaji yataleta matokeo mazuri na kupunguza matumizi kwenye baadhi ya masuala ya viwanja. Mwinjuma amesema kuwa anaamini Simba SC ina nafasi…

Read More

FOUNTAIN GATE V YANGA REKODI ZAO

WABABE wawili ndani ya Ligi namba nne kwa ubora Afrika, Fountain Gate ambayo Ofisa Habari wao ni Issa Mbuzi na Yanga Ofisa Habari ni Ali Kamwe wanatarajia kukutana Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, Aprili 21 2025 kwenye mchezo wa ligi ambao ni mzunguko wa pili. Rekodi zinaonyesha kwamba Fountain Gate ni namba mbili kwa timu ambazo…

Read More

ALIYEMTUNGUA DIARRA AFICHUA JAMBO, MBUZI AICHAMBUA

NYOTA wa Stand United, Msenda Senda aliyepachika bao pekee kwa timu hiyo dakika ya 50 ameweka wazi kuwa walikuwa kwenye mchezo mgumu Aprili 15 2025 dhidi ya Yanga na walipambana kutafuta matokeo jambo ambalo halikuwa upande wake na mwisho wakapoteza. Mbali na mchezaji huyo, Issa Mbuzi ameweka wazi kuwa ni madaraja tofauti yamekutana.

Read More

SINGIDA BLACK STARS HAWACHEKI NA YEYOTE

BAADA ya Singida Black Stars kutinga hatua ya nusu fainali uongozi umebainisha kuwa utapambana kupata matokeo kwenye mchezo wao wa hatua ya nusu fainali dhidi ya Simba ili watinge hatua ya fainali. Mabingwa watetezi wa taji hilo ni Yanga, Aprili 15 2025 walikata tiketi yakutiga hatua ya nusu fainali kwa ushindi wa mabao 8-1 dhidi…

Read More

YANGA WAANDIKA REKODI WAKITINGA NUSU FAINALI

MABINGWA watetezi wa CRDB Federation Cup, Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miloud Hamdi wameandika rekodi yao kuwa timu iliyopata ushindi mkubwa ndani ya dakika 90 katika msako wa hatua ya kutinga nusu fainali. Yanga Aprili 15 2025 baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa KMC Complex ulisoma Yanga 8-1 Stand United, inatinga hatua ya…

Read More

JKT TANZANIA WAISUBURIA YANGA NUSU FAINALI

WAJEDA JKT Tanzania wanasubiri mshindi wa mchezo wa hatua ya robo fainali ya Aprili 15 2025 kati ya Yanga dhidi ya Stand United unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC Complex. Ikumbukwe kwamba JKT Tanzania inaingia kwenye orodha ya timu pekee iliyoambulia sare mbele ya mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne…

Read More

BEKI WA KAZI AZAM MAMBO BADO

NYOTA wa kikosi cha Azam FC, Pascal Msindo beki wakupanda na kushuka bado hajawa imara kwa sasa kutokana na maumivu ambayo aliyapata kwenye mchezo wa ushindani ndani ya ligi namba nne kwa ubora Afrika. Ilikuwa ni mbele ya Yanga katika mchezo wa Dar Dabi beki huyo alipata maumivu baada ya kuchezewa faulo na beki Kibwana…

Read More

YANGA KUIKABILI STAND UNITED KMC COMPLEX

MABINGWA watetezi wa CRDB Federation Cup, Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miloud Hamdi watakuwa na kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Stand United, Uwanja wa KMC Complex. Yanga metoka kupata ushindi wa mabao 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika dhidi ya Azam FC kwenye mchezo uliochezwa Uwanja…

Read More