Usiku wa Mapambano: Celta, Bologna, Celtic, Braga na Wengine Kazini, Piga Pesa Hapa
Pesa iko nje nje leo hii kwenye mechi za Europa ndani ya Meridianbet kwani kila…
Pesa iko nje nje leo hii kwenye mechi za Europa ndani ya Meridianbet kwani kila kitu unachotaka kipo hapa kuanzia Odds kubwa, machaguo zaidi ya 1000. Jisajili sasa na uanze safari yako ya ushindi. VFB Stuttgart yeye atakuwa nyumbani kusaka ushindi dhidi ya Maccabi Tel Aviv ambapo takwimu zinaonesha kuwa timu hizi hazijawahi kukutana kwenye…
Kocha wa Real Madrid, Xabi Alonso, yupo kwenye wakati mgumu baada ya timu yake kupoteza tena, safari hii 2-1 mbele ya Manchester City katika dimba la Santiago Bernabeu. Huu ni mchezo wa pili mfululizo kupoteza, baada ya wiki iliyopita Madrid kulala 2-0 dhidi ya Celta Vigo, hali inayowafanya mashabiki na uongozi kuanza kuhoji mwenendo wa…
Kila mchezaji hutafuta nafasi ya ushindi ambayo haiji kwa bahati tu, bali kwa uthabiti, mikakati na promosheni zenye thamani ya kweli. Meridianbet imefungua mlango wa safari mpya ya bahati kupitia ofa kabambe ya mwezi mzima katika mchezo wa Wild White Whale. Hapa ndipo ushindi wa kila siku unapoanza kwa namna tofauti, rahisi na isiyo na…
NYUMBA YA KISASA INAUZWA – MAPINGA Eneo: Mapinga, kilomita 1 tu kutoka Bagamoyo Road Bei: Milioni 150 (maongezi yapo) Ukubwa wa kiwanja: 1,200 sqm Document clean TITLE DEED ( Hati miliki kutoka wizara ya aridhi) MAELEZO YA NDANI ◇Vyumba 4 vya kulala (2 Master ◇Bedrooms – Self Contained) ◇Sebule kubwa yenye mwanga wa kutosha ◇Chumba…
UONGOZI wa Yanga SC umebainisha kuwa wachezaji wa timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Pedro Goncalves kwa sasa wapo mapumziko. Ali Kamwe, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC amebainisha kuwa maamuzi hayo yametoka kwenye benchi la ufundi hivyo wachezaji watakuwa kwenye familia zao na wengine watakuwa kwenye majukumu ya timu za taifa….
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, msanii na mfanyabiashara Aziz K amemtumia mke wake, Hamisa Mobetto, ujumbe maalum wa pongezi katika siku yake ya kuzaliwa. Hamisa Mobetto amefikisha umri wa miaka 30 leo, Desemba 10, 2025, na kwa mnasaba huo, Aziz K ameandika ujumbe mrefu uliojaa shukrani, upendo na pongezi kwa mwanadada huyo. Katika ujumbe wake,…
Je unaweza ukabadilisha maisha yako kwa kubashiri mechi za UEFA ndani ya Meridianbet leo?. Ni rahisi sana ingia kwenye akaunti yako na uweke dau lako ambalo unalipenda ili utimize ndoto zako leo. Mechi kubwa ni hii ya Real Madrid vs Manchester City katika dimba la Santiago Bernabeu huku mechi ya mwisho kukutana, Real waliondoka na…
Bayern Munich imeonyesha ubabe katika dimba la Allianz Arena baada ya kutoka nyuma 1-0 na kuibuka na ushindi wa 3-1 dhidi ya Sporting Lisbon kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya. Kichekesho kilitokea dakika ya 54 baada ya Joshua Kimmich kujifunga na kuwapa Sporting uongozi, lakini Bayern ikarejea mchezoni kwa nguvu na kufunga mabao matatu…
Usiku wa jana umeshuhudia matokeo tofauti katika michezo ya Ulaya, huku Chelsea ikipoteza ugenini, Liverpool ikiwahi dakika za mwisho, na Barcelona ikitoa burudani ya kupindua meza. Atalanta 2-1 Chelsea Chelsea imekubali kipigo cha 2-1 dhidi ya Atalanta kwenye mchezo uliochezwa ugenini.Matokeo: ⚽ 55’ Gianluca Scamacca (Atalanta) ⚽ 83’ Charles De Ketelaere (Atalanta) ⚽ 26’ Pedro…
Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Miguel Gamond ametaja kikosi cha wachezaji 28 kitakachopeperusha bendera ya Tanzania kwenye michuano wa kombe la Mataifa Afrika AFCON 2025 huko Morocco ambapo Stars ipo Kundi C, sambamba na Uganda, The Cranes, Nigeria na Tunisia Nahodha wa Stars, Mbwana Samatta, Simon Msuva, Kibu Dennis na…
Unataka burudani ya haraka yenye msisimko wa papo hapo? Meridianbet inakuleta Win&Go, mchezo wa namba na bahati nasibu ambao unapima msukumo wako wa bahati kila dakika tano. Hapa, kila droo ni nafasi ya kushinda na kila sekunde ni fursa ya kufurahia ushindi, bila kujali umeanza au umezoea kubashiri. Win&Go inakuletea mtindo wa kisasa wa michezo…
Je unajua kuwa Meridianbet ndio wakali wa Odds Tanzania?. Yaani namaanisha kuwa ukitaka Odds kubwa na za kibabe wewe njoo hapa na ubashiri leo. Lakini pia unaweza ukaibuka bingwa kwani machaguo ni mengi hapa. Italia kutakuwa na mechi ya kukata Inter Milan vs Liverpool ambao hivi karibuni wamekuwa na matokeo ambayo hayaridhishi kabisa kwani kwenye…
Zombie Apocalypse ndani ya Meridianbet ni tukio la aina yake. Mchezo huu mpya umeingia kwa kishindo, ukiwa umebeba nguvu ya kisasa, burudani ya kiwango cha juu na nafasi ambazo kila mchezaji anaziota usiku kucha. Huu si mchezo tu, ni tukio, ni safari, ni jahazi la bahati inalokuita. Kinachoufanya mchezo huu kuwa wa kipekee ni namna…
Mshambuliaji wa Mbeya City, Vitalis Mayanga amefungiwa kucheza mechi tano sambamba na kutozwa faini ya Tsh Milioni 1 kwa kosa la kumpiga kiwiko kwa makusudi beki wa kushoto wa Simba SC, Anthony Mligo. Uamuzi huo umetolewa na Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu (TPLB) katika taarifa ya TPLB leo…
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amesema kuwa hatua ya kuzima mtandao wa intaneti nchini ni chaguo la mwisho kabisa, na kwa sasa hakuna sababu yoyote inayoashiria uwezekano wa TCRA kuchukua hatua hiyo kuelekea maadhimisho ya Uhuru kesho, Desemba 09, 2025. Akizungumza leo, Desemba 08, 2025, Simbachawene amesema kuwa taarifa zinazosambaa mtandaoni…
Leo hii una nafasi ya kumiliki simu ya ndoto zako na Meridianbet ambapo kwa kubashiri mechi za mpira wa miguu ni rahisi sana kuchukua Samsung A26 yako. Unangoja nini kubashiri sasa? Katika msimu huu wa burudani na ushindani mkali ndani ya ulimwengu wa soka, Meridianbet imewasha moto mpya unaowapa wachezaji wote sababu ya kuongeza hamasa…
Klabu ya Liverpool inaonekana tayari kuanza kupanga maisha bila nyota wao Mohamed Salah, kufuatia taarifa zinazoenea kuhusu uwezekano wa mshambuliaji huyo kuondoka mwezi Januari. Kwa mujibu wa The Express, mabosi wa Liverpool wameweka jina la Antoine Semenyo, mshambuliaji wa Bournemouth mwenye umri wa miaka 25, kama chaguo lao kuu la kumrithi Salah endapo ataondoka. Semenyo,…