Leo Ni Siku ya Ushindi – Jisajili Meridianbet na Pata Machaguo 1000+
Pesa iko nje nje leo hii kwenye mechi za ligi ndani ya Meridianbet kwani kila…
Pesa iko nje nje leo hii kwenye mechi za ligi ndani ya Meridianbet kwani kila kitu unachotaka kipo hapa kuanzia Odds kubwa, machaguo zaidi ya 1000. Jisajili sasa na uanze safari yako ya ushindi. BUNDESLIGA kule Ujerumani pia kama kawaida itaendelea bingwa mtetezi FC Bayern Munich atamenyana dhidi ya Augsburg katika dimba la Allianz Arena….
Baada ya mechi tatu, Mamelodi Sundowns na Al Hilal wako mbele kwa pointi 5 kila mmoja, jambo linalofanya Kundi C kuwa gumu na la ushindani mkubwa. Hadi sasa hakuna anayewapa faida, hivyo mbio za kuongoza zimebaki kuwa wazi kabisa. Kwa upande mwingine, MC Alger na St Eloi Lupopo bado wanahitaji kufanya kazi zaidi ili kuingia…
Meridianbet imechagua kuuangalia usafi wa mazingira kama nguzo muhimu ya maendeleo ya jamii. Kupitia ushiriki wake katika shughuli za usafi Kata ya Mbezi Juu, kampuni hiyo imelenga kuonesha kuwa mazingira safi yana mchango mkubwa katika kuboresha afya, tija ya wananchi na ustawi wa kijamii kwa ujumla. Meridianbet ililenga kuwawezesha wananchi kwa vitendo. Kampuni hiyo ilitoa…
Januari 23,2026 Al Ahly 2-0 Yanga SC CAF Champions League pointi tatu zimebaki kwa wenyeji ambao wanaongoza kundi B kwa sasa. Mchezo huo umechezwa Uwanja wa Borg El Arab huku nyota wa Al Ahly Mahmoud Trezeguet akifunga magoli yote mawili. Alianza dakika ya 45+3 zikiwa zimesalia sekunde kadhaa kaba ya timu kwenda mapumziko alipofunga goli…
Espérance Sportive de Tunis vs Simba SC CAF mchezo ujao kwenye ratiba kwa Simba SC inayofundishwa na Kocha Mkuu, Steve Barker. Huu utakuwa ni mchezo wa kwanza kwa mrithi wa mikoba ya Dimitar Pantev kwenye anga la kimataifa msimu wa 2025/26. Mchezo wa kwanza ilikuwa kwenye Ligi Kuu Bara ya NBC ambayo ni namba 6…
Una nafasi ya kumiliki simu ya ndoto zako na Meridianbet ambapo kwa kubashiri mechi za mpira wa miguu ni rahisi sana kuchukua Samsung A26 yako. Unangoja nini kubashiri sasa? Katika msimu huu wa burudani na ushindani mkali ndani ya ulimwengu wa soka, Meridianbet imewasha moto mpya unaowapa wachezaji wote sababu ya kuongeza hamasa wanapotazama na…
Meridianbet imechukua promosheni za michezo na kuzileta karibu zaidi na maisha ya mchezaji wa kawaida kupitia Super Heli. Hii si promosheni ya msisimko wa ghafla, bali ni mpango unaokaa kwenye ratiba yako ya kila siku. Kila unapocheza, unajenga safari yako taratibu, ukiunganisha burudani na fursa ya ushindi wa kweli. Promosheni ya Super Heli imepangwa…
Al Ahly vs Yanga SC CAF Champions League ni Januari 23,2026 ambapo wababe hawa wawili wanatarajiwa kuwa uwanjani kusaka pointi tatu muhimu hatua ya makundi. Msafara wa Yanga SC umeshatia timu Misri kwa maandalizi ya mwisho chini ya Kocha Mkuu, Pedro Goncalves akiwa na wachezaji wapya miongoni mwao ni Depu na Allan Okelo. Goncalves ameweka…
Klabu ya Simba, imetangaza kuachana na mchezaji wake, Jean Charles Ahoua. Kupitia akaunti zake za mitandao ya kijamii, Simba imeandika: “Asante kwa muda wote ambao ulikuwa sehemu ya kikosi chetu, Jean Charles Ahoua.”
Kwa mujibu wa takwimu zilizotangazwa juma hili,Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara inashika nafasi ya sita (6) kwa ubora barani Afrika na ya 54 duniani. Licha ya kushuka kwa nafasi mbili (2) Afrika ikilinganishwa na mwaka 2024, Ligi yetu imepanda kwa nafasi tatu (3) duniani, kutoka nafasi ya 57 (2024) hadi nafasi ya 54 (2025)…
Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet kwenye simu yako ni rahisi sana kutengeneza pesa?. Mechi kibao zipo kuhakikisha huondoki patupu hapa suka jamvi lako sasa na uanze kubashiri hapa. AS Roma watakuwa kibaruani dhidi ya VFB Stuttgart ya kule Ujerumani ambao wapo nafasi ya 9 huku wenyeji wao wakiwa nafasi ya 10. Timu zote zina…
Klabu ya Al Ahly SC imetangaza kutoa mabasi ya bure kwa ajili ya kuwasafirisha mashabiki wake kwenda Alexandria, ambako timu hiyo itavaana na Yanga SC siku ya Ijumaa katika mchezo muhimu wa kimataifa. Awali, mechi hiyo ilipangwa kuchezwa kwenye Uwanja wa Kimataifa wa Cairo, hata hivyo imehamishiwa kuchezwa katika dimba la Alexandria, hatua iliyowalazimu viongozi…
Winga nyota wa Liverpool, Mohamed Salah, hatimaye amerejea kwenye kikosi cha kwanza cha klabu hiyo na kucheza mechi yake ya kwanza tangu alipokuwa akiitumikia timu ya taifa ya Misri katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON). Salah alianzishwa katika kikosi cha Liverpool kilichoibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Olympique Marseille ya…
Kwa muda mrefu, michezo ya kasino imejengwa juu ya kusubiri muda, kusubiri droo, kusubiri matokeo. TVBET ndani ya Meridianbet inavunja mfumo huo na kuanzisha aina mpya ya burudani inayotembea kwa kasi ya mchezaji. Hapa, mchezo unaufikia unapohitaji, ukiwa tayari kujaribu bahati yako papo hapo. TVBET imejikita katika uwazi kwa kuendesha michezo mubashara mbele ya kamera….
Kiungo mahiri Stéphane Aziz Ki amejiunga rasmi na Al Ittihad ya Libya akitokea Wydad Athletic Club ya Morocco, baada ya klabu hiyo ya Libya kufanikisha dili kubwa la uhamisho. Kwa mujibu wa taarifa zilizothibitishwa, Al Ittihad imelipa ada nono ili kunasa saini ya nyota huyo, jambo linaloashiria dhamira ya klabu hiyo kuimarisha kikosi chake kwa…
Usiku wa Ulaya huu hapa umefika huku wakali wa ubashiri Tanzania wao wamekuja na habari njema kabisa za wewe kuondoka na utajiri wako. Suka jamvi lako la ushindi na wakali hawa wa ubashiri sasa. Juventus uso kwa uso dhidi ya Benfica kutoka kule Ureno ambao kwenye mechi 6 walizocheza hadi sasa wameshinda 2 halikadhalika Bibi…
Katika ulimwengu unaobadilika kwa kasi wa michezo ya kubashiri mtandaoni, Meridianbet imeendelea kuwa mstari wa mbele kwa kuleta ubunifu unaogusa maisha ya wachezaji wake moja kwa moja. Kupitia promosheni maalum ya mchezo wa Aviator, wachezaji sasa wanapewa fursa ya kipekee ya kushinda Samsung Galaxy A26, simu ya kisasa, muonekano wa kuvutia na utendaji wa uhakika….