Beki aliyetakiwa Simba SC ameanza kazi SBS

BEKI aliyekuwa anatajwa kuwa kwenye rada za Simba SC ya Dar tayari ameanza kazi ndani ya Singida Black Stars ikiwa ni majukumu mapya. Anaitwa Abdalah Said maarufu kwa jina la Lanso beki aliyekuwa chaguo la kwanza katika kikosi cha KMC kinachotumia Uwanja wa KMC Complex kwa mechi za nyumbani. Lanso tayari ni mchezaji mpya ndani…

Read More

Paa Na Super Heli Kwa Fursa za Ushindi Zisizo na Kikomo Kutoka Meridianbet

Karibu kwenye ulimwengu wa Super Heli, mchezo unaokuletea msisimko wa kweli na zawadi zisizo na kifani. Meridianbet inakualika kujiunga na burudani hii, ambapo kila sekunde unayoicheza inakukutanisha na nafasi zako za ushindi. Wiki mbili tu zimebaki hadi kilele cha promosheni hii, na kila raundi unayoicheza ni hatua moja karibu na zawadi kubwa. Hii ni nafasi…

Read More

Rais Samia Ataka Mazingira Bora na Posho Zilizoboreshwa kwa Wachezaji wa Taifa

Rais Samia Suluhu Hassan amezitaka mamlaka zote zinazohusika na michezo, kuhakikisha wachezaji wa Kitanzania wanaandaliwa katika mazingira bora ili waliwakilishe vyema taifa ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wanaboreshewa posho zao. Rais Samia amesimulia jinsi alivyopokea taarifa za wachezaji wa Taifa Stars kugoma kwenda Morocco kutokea nchini Misri kwa sababu ya kudai posho zao. Ameyasema hayo…

Read More

Rais Samia Awapongeza Wachezaji wa Taifa Stars Baada ya AFCON-2025 – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameongoza hafla ya kuwapongeza wanamichezo wa Tanzania waliofanya vizuri na kulitangaza Taifa katika mashindano mbalimbali ya kimataifa, hii leo Januari 10, 2026, Ikulu Dar es Salaam wakiongozwa na wachezaji wa Timu ya Taifa Stars waliofanikiwa kufika hatua ya 16 bora katika mashindano ya AFCON-2025…

Read More

Wilfred Ndidi Aahidi Kulipa Bonus Zote Za Wachezaji wa Nigeria Kabla ya Mchezo wa Robo Fainali

Nahodha wa Timu ya Taifa ya Nigeria, Wilfred Ndidi, amewaahidi wachezaji wenzake na benchi la ufundi kuwa atahakikisha bonus zote wanazodai kutoka uongozi wa juu zinatolewa kabla ya mchezo muhimu wa Robo Fainali dhidi ya Algeria utakaopigwa Jumamosi. Ndidi amewauliza wachezaji wenzake kuendelea na mazoezi ya maandalizi bila hofu yoyote, akisisitiza kwamba ikiwa bonus hizo…

Read More