Juventus Yaaga Ulaya kwa Maumivu, Galatasaray Yatinga 16 Bora kwa Jumla ya 7-5

Hatimaye safari ya Juventus katika Ligi ya Mabingwa Ulaya imefikia tamati baada ya kusukumizwa nje na Galatasaray kufuatia kipigo cha jumla cha mabao 7-5 katika michezo ya mchujo. Pambano hilo lililochezwa kwa presha kubwa na kuamuliwa katika dakika za nyongeza, liliacha mashabiki wa Turin wakiwa wamevunjika moyo huku Waturuki wakishangilia ushindi wa kihistoria. Juventus 3-2…

Read More

Real Madrid, PSG na Atalanta Zatinga 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya, Juventus OUT

Usiku wa kuamkia leo Februari 26, 2026 michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya umeshuhudia vigogo kadhaa wakifuzu hatua ya 16 bora baada ya michezo ya mchujo (playoffs), huku pambano la Juventus dhidi ya Galatasaray likiendelea kuandika historia kwa kuelekea dakika 30 za nyongeza kufuatia sare ya jumla. Real Madrid waliendeleza rekodi yao ya kuwa mabingwa…

Read More

Dodoma Jiji FC 0-0 Simba SC rekodi mpya yaandikwa

Dodoma Jiji FC 0-0 Simba SC rekodi mpya yaandikwa mara baada ya mchezo kukamilika Februari 25,2026 katika Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. Rekodi hiyo ni kuwa mchezo wa kwanza kukamilika bila kupatikana goli ndani ya dakika 90 kwa wapinzani hawa wanapokutana. Kwenye mechi 10 zilizopita wababe hawa walipokutana magoli yalikuwa yanafungwa na mchezo wa mwisho walipokutana…

Read More

Arsenal, PSG Na Barça Zinapigia Kasi Kumsajili Álvarez – Atlético Wakikata Rahisi!

Arsenal, Paris Saint-Germain na Barcelona zote zinaonyesha nia kubwa ya kumsajili Julián Álvarez kutoka Atlético Madrid. Kwa mujibu wa Gazeti la Michezo la Hispania, DiarioAS Arsenal tayari waliwasilisha ofa ya thamani ya euro milioni 120, lakini Atlético waliikataa wakionyesha kuwa hawapo tayari kumuachia kirahisi mshambuliaji huyo. Sasa inasubiriwa kuona kama kutakuwa na ofa mpya au…

Read More