Allan Okello Aanza mazoezi baada ya kujiunga na Yanga
Kiungo mshambuliaji mpya wa Yanga SC, Allan Okello, rasmi ameanza mazoezi baada ya kujiunga na…
Kiungo mshambuliaji mpya wa Yanga SC, Allan Okello, rasmi ameanza mazoezi baada ya kujiunga na klabu hiyo akitokea klabu ya Vipers SC ambapo alikuwa miongoni mwa wachezaji tegemeo na waliokuwa wakionesha kiwango kizuri katika Ligi Kuu ya Uganda pamoja na mashindano ya kimataifa.. Okello ameonekana akifanya mazoezi ya Gym ikiwa ni sehemu ya kurejesha na…
Shirikisho la soka la Gabon limetangaza kuwa hatua zilizochukuliwa dhidi ya timu ya taifa na wachezaji akiwemo Pierre-Emerick Aubameyang baada ya kutoka mapema katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika zimeondolewa. Katika michuano hiyo inayofanyika nchini Morocco, Gabon ilipoteza mechi zote za Kundi F kwenye kombe la mataifa ya Afrika 2025, ambapo ilimenyana na…
Ili kupiga pesa nyingi na wakali wa ubashiri Tanzania yaani Meridianbet, ingia kwenye akaunti yako na usuke jamvi lako la uhakika huku ukichagua machaguo unayoyataka leo. Ushindi unaanzia nyumbani. SERIE A kule Italia ambapo Napoli atakuwa nyumbnai kusaka ushindi dhidi ya Parma ambao wapo nafasi ya 15 huku wageni wao wakiwa nafasi ya 3 kwenye…
Meridianbet imechukua hatua mpya ya ubunifu kwa kuanzisha Non-Stop Win&Go Drop, mpango unaobadilisha kabisa namna wachezaji wanavyopata burudani ya kasino mtandaoni. Badala ya mfumo wa kusubiri kwa muda mrefu, kampeni hii imejengwa juu ya dhana ya fursa zinazoonekana mara kwa mara, zikimpa mchezaji hamasa ya kuendelea kushiriki. Kupitia tiketi za bure zinazotolewa kila siku, Meridianbet…
Klabu ya Young Africans SC (Yanga) imetwaa ubingwa wa Kombe la Mapinduzi (Mapinduzi Cup) baada ya kuibuka mshindi dhidi ya Azam FC kwa mikwaju ya penalti 5–4, kufuatia sare ya bila kufungana (0-0) katika muda wa kawaida na nyongeza wa mchezo wa fainali. Mchezo huo uliopigwa kwa ushindani mkubwa ulimalizika kwa matokeo ya 0-0 ndani…
WINGA mpya wa Yanga SC, Allan Okelo amewaaga rasmi wachezaji wa timu ya Vipers United na benchi la ufundi. Nyota huyo ametambulishwa rasmi kuwa ni njano na kijani usiku wa kuamkia leo Januari 13 2026 ikiwa ni zawadi ya Mapinduzi. Okelo raia wa Uganda ni miongoni mwa wachezaji waliokuwa AFCON 2025 nchini Morocco na kikosi…
Je unataka Odds kubwa siku ya leo?. Ingia kwa wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet na uanze safari yako ya kutimiza ndoto zako hapa. Weka dau lako ulitakalo sasa na ubeti leo. Uingereza kutakuwa na mechi kali kabisa ya Nusu Fainali ya FA kati ya Newcastle United vs Manchester City ya Pep Guardiola ambapo wakali wa…
Meridianbet imeleta upepo mpya wa burudani kupitia kampeni ya Zombie Apocalypse, uzoefu unaovuka mipaka ya michezo ya kawaida ya kasino. Badala ya kuzunguka tu bahati, kampeni hii inawachukua wachezaji katika simulizi lenye mvuto, likiwaweka katikati ya dunia iliyojaa changamoto na fursa za kushangaza. Ni mwendelezo wa dhamira ya Meridianbet ya kuleta ubunifu unaobadilisha namna burudani…
BEKI aliyekuwa anatajwa kuwa kwenye rada za Simba SC ya Dar tayari ameanza kazi ndani ya Singida Black Stars ikiwa ni majukumu mapya. Anaitwa Abdalah Said maarufu kwa jina la Lanso beki aliyekuwa chaguo la kwanza katika kikosi cha KMC kinachotumia Uwanja wa KMC Complex kwa mechi za nyumbani. Lanso tayari ni mchezaji mpya ndani…
Bayern Munich imeishushia Wolfsburg kipigo cha 8-1 katika dimba la Allianz Arena kwenye mchezo wa Bundesliga na kusogea mpaka alama 11 mbele ya Borussia Dortmund waliopo nafasi ya pili kwenye msimamo wa Bundesliga. FT: BAYERN MUNICH 8-1 WOLFSBURG ⚽ 5’ Kilian Fischer (og) ⚽ 30’ Luis Diaz ⚽ 50’ Michael Olise ⚽ 53’ Luis Diaz…
Leo hii una nafasi ya kumiliki simu ya ndoto zako na Meridianbet ambapo kwa kubashiri mechi za mpira wa miguu ni rahisi sana kuchukua Samsung A26 yako. Unangoja nini kubashiri sasa? Katika msimu huu wa burudani na ushindani mkali ndani ya ulimwengu wa soka, Meridianbet imewasha moto mpya unaowapa wachezaji wote sababu ya kuongeza hamasa…
FC Barcelona wametwaa Ubingwa wa kombe la Uhispania (Spanish Super Cup) kufuatia ushindi wa 3-2 dhidi ya Real Madrid katika dimba la King Abdullah Sports City, Jeddah kwenye fainali ya Supercopa de España. FT: Barcelona 3-2 Real Madrid ⚽ 36′ Raphinha ⚽ 45+4′ Lewandowski ⚽ 73′ Raphinha ⚽ 45+2′ Vini Jr ⚽ 45+6′ Gonzalo
Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Darasa la Nne na Kidato cha Pili. Matokeo hayo yametangazwa na Katibu Mtendaji wa NECTA, Prof. Said Mohamed katika Ofisi za Baraza la Mitihani jijini Dar es Salaam. Prof. Mohamed amesema jumla ya wanafunzi 1,324,970 kati ya 1,490,314 wenye matokeo, sawa na…
WABABE wawili wanatarajiwa kukutana uwanjani kwenye msako wa bingwa mpya wa NMB Mapinduzi Cup, Januari 13,2026. Ni Azam FC vs Yanga SC hawa watakuwa na kazi kufika hitimisho la mashindano haya ambayo yalikuwa na ushindani mkubwa katika hatua za makundi, nusu fainali na sasa fainali. Yanga SC iliwaondoa Singida Black Stars na Azam FC iliwaonoda…
Karibu kwenye ulimwengu wa Super Heli, mchezo unaokuletea msisimko wa kweli na zawadi zisizo na kifani. Meridianbet inakualika kujiunga na burudani hii, ambapo kila sekunde unayoicheza inakukutanisha na nafasi zako za ushindi. Wiki mbili tu zimebaki hadi kilele cha promosheni hii, na kila raundi unayoicheza ni hatua moja karibu na zawadi kubwa. Hii ni nafasi…
Uongozi wa Young Africans Sports Club (Yanga SC) unampongeza Mdhamini na Mfadhili wa Klabu hiyo, GSM, kwa kumuozesha binti yake, Fatma Ghalib Said Mohammed, katika hafla ya ndoa iliyofanyika jana, Januari 10, 2026, katika Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam. Hafla hiyo ya ndoa ilihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kitaifa akiwemo Rais wa…
Mabingwa watetezi wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025), Ivory Coast ‘The Elephants’, wameaga rasmi michuano hiyo baada ya kupokea kipigo cha mabao 3-2 kutoka kwa Misri ‘Mafarao’ katika mchezo wa robo fainali uliopigwa kwenye Uwanja wa Adrar. Misri walionyesha dhamira kubwa ya kutwaa taji hilo kwa mara nyingine, wakipata mabao yao kupitia Omar…