Hii Hapa Orodha ya Washindi wa Tuzo za CAF 2025 Zilizofanyika Morocco
Sherehe za utoaji wa Tuzo za Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF Awards 2025) zimefanyika…
Sherehe za utoaji wa Tuzo za Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF Awards 2025) zimefanyika kwa kishindo na kushuhudia wachezaji, makocha, marefa na timu mbalimbali zikitambuliwa kwa mafanikio ya mwaka. Mwaka huu Morocco imeendelea kung’ara kwa namna ya kipekee katika tuzo nyingi, huku Afrika Mashariki pia ikipata mwakilishi kupitia bao la mwaka. Washindi wa Tuzo…
CLEMENT Mzize mshambuliaji wa Yanga SC ya Tanzania ametwaa tuzo ya goli bora la mwaka katika CAF Awards 2025. Mzize alifunga goli hilo Uwanja wa Mkapa kwenye mchezo dhidi ya TP Mazembe. Katika usiku wa tuzo zilizofanyika Morocco, Mzize aliwakilishwa na Rais wa Yanga SC, Injinia Hersi Said. Sababu kubwa ya mshambuliaji huyo kukwama kwenda…
Bila Intanenti ni rahisi kabisa kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kushindania Samsung A26 na Meridianbet leo. Jumatano ya Zawadi ipo kwaajili yako siku ya leo inaweza kukupa furaha sana. Jumatano hii haifanani na nyingine yoyote. Ni siku ambayo Meridianbet inawasha moto wa bahati kwa njia ambayo haijawahi kutokea. Kwa mara nyingine tena, wateja wote wanaopenda kubashiri…
Kasino mtandaoni imepata sura mpya nchini, na hilo linathibitishwa na Meridianbet kupitia kuanzishwa kwa TVBET, jukwaa linaloleta burudani ya kiwango cha juu kwa mchezaji wa kisasa. Katika zama ambazo watu wanataka kila kitu kiwe haraka, halisi na kinachopatikana kirahisi, TVBET imekuja kujibu mahitaji hayo kwa mtindo wa kipekee. Tofauti kubwa ya TVBET iko kwenye nguvu…
Arsenal wametangaza kusitisha mkataba wa udhamini wa klabu hiyo wa miaka minane na Visit Rwanda mwishoni mwa msimu wa 2025-26. Ubia huo ulianza mwaka wa 2018 na mkataba wa sasa unaripotiwa kuwa na thamani ya zaidi ya £10m ($13.3m) kwa mwaka. Lakini imekuwa chini ya uangalizi baada ya kuongezeka kwa ghasia katika eneo la mashariki…
Simba SC vs Petro de Luanda ni CAF Champions League hatua ya makundi unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Novemba 23,2025 saa 10:00 jioni. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC amesema kuwa jeuri yao ipo kwa mashabiki ambao wamekuwa wakiwapa nguvu katika mechi za ushindani. “Nguvu yetu mara zote ni mashabiki,…
RASMI uongozi wa Yanga SC umetangaza kuwa utazindua uzi mpya maalumu kwa ajili ya mechi za CAF Champions League leo Novemba 19,2025. Yanga SC inapeperusha bendera ya Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika ipo hatua ya makundi na mchezo wa kwanza unatarajiwa kuchezwa Novemba 22, 2025 Uwanja wa New Amaan Complex dhidi ya FAR Rabat…
Kikosi cha Yanga SC kimeanza rasmi maandalizi yake ya kuelekea mchezo muhimu wa Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kutua visiwani Zanzibar, ambako kitaweka kambi maalum kwa siku kadhaa. Wachezaji na benchi la ufundi walifika mapema asubuhi na moja kwa moja kuingia katika ratiba ya mazoezi, hatua ambayo imeonyesha dhamira ya klabu hiyo kufanya maandalizi…
Nahodha wa Ufaransa Kylian Mbappé anadai fidia ya Euro Milioni 263 (takriban TSh 743 Bilioni) kutoka kwa Paris Saint-Germain katika mzozo unaohusu mkataba wake. Awali PSG ilimshtaki Mbappé, ambaye alihamia Real Madrid mwaka jana, ikidai ilipwe Euro 240 Milioni (takriban TSh 677.3 bilioni), baada ya kukataa uhamisho wa kwenda katika timu ya Al Hilal ya…
AS Maniema vs Azam FC Novemba 23,2025 Kombe la Shirikisho Afrika ni mchezo wa kwanza katika hatua ya makundi kwa wawakilishi wa Tanzania katika anga la kimataifa. Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu, Flolent Ibenge Novemba 19,2025 msafara unatarajia kukwea pipa kueleka DR Congo kwa maandalizi ya mwisho ya mchezo huo. Ofisa Habari wa Azam…
Meridianbet Sportal Portal?, hili ni jukwaa ambalo Meridianbet hulitumia kwaajili ya kuwahabarisha, kuwaburudisha wapenzi wa michezo na Kasino kutoka sehemu mbalimbali huku lengo likiwa ni kuwafanya wapenzi na mashabiki wa soka kujua mambo mbalimbali yanayoendelea ya kimichezo, kasino, usajili, matokeo, na kupata fursa za kubashiri mechi mbalimbali. Kupitia Kampuni hii kubwa ya ubashiri Tanzania, Meridianbet…
Yanga SC va FAR Rabat ya Morocco CAF Champions League mchezo unatarajiwa kuchezwa Novemba 22,2025 Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Tayari Yanga SC ambao ni wawakilishi wa Tanzania kwenye anga la kimataifa katika Ligi ya Mabingwa Afrika wapo visiwani Zanzibar kwa maandalizi ya mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa saa 10:00 jioni. Kwa 5,000 yaani buku…
Kampuni ya Meridianbet imeendelea kuimarisha uzoefu wa wapenzi wa kasino kwa kuleta watoa huduma wawili wapya, Aspect Gaming na Superspade Games. Hii ni fursa ya kipekee kwa wachezaji kufurahia michezo ya hali ya juu yenye msisimko na ubora wa kimataifa, yote ndani ya jukwaa moja linaloaminika na salama. Aspect Gaming inakuletea michezo ya sloti yenye…
KLABU ya Al Ahli Tripoli ya Nchini Libya imetuma ofa nono zaidi kwenda Azam Fc kwa ajili ya kumsajili kiungo Faisal Salum ‘Feitoto’ ikiwa ni ofa ya pili baada ya ile ya awali ya Dola laki 8 kutupiliwa mbali. Miamba hiyo ya Libya safari hii imedhamiria kumng’oa kiungo huyo wa zamani wa Young Africans Sc…
Simba SC vs Petro Luanda mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa Novemba 23,2025 ikiwa ni hatua ya makundi. Mchezo huo awali ulipangwa kuchezwa Novemba 22,2025 saa 1:00 usiku lakini ratiba ilibadilishwa. Kwa mujibu wa Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC, Ahmed Ally katika mchezo huo watamkosa kipa…
Yanga SC vs FAR Rabat CAF Champions League Novemba 22,2025 maandalizi yanaendelea kwa wawakilishi wa Tanzania katika anga la kimataifa huku msafara unaotarajiwa kuelekea Zanzibar leo Novemba 18,2025 hautakuwa na mshambuliaji Prince Dube ambaye atakuwa nje ya msafara. Kwa mujibu wa Meneja wa Idara ya Habari Yanga SC, Ali Kamwe alibainisha kuwa msafara wa Yanga…
Muda wa kutengeneza pesa na Meridianbet umefika leo kwani mechi nyingi za kufuzu Kombe la Dunia zipo nyingi. Tengeneza jamvi lako la ushindi hapa sasa na ujiweke kwenye nafasi ya washindi. Switzerland atakuwa ugenini dhidi ya Kosovo huku tofauti ya pointi kati yao ni 3 pekee, ambapo mwenyeji yeye yupo nafasi ya kwanza, huku mgeni…