Matokeo ya mechi za Simba SC 2025/26
Matokeo ya mechi zilizopita Simba SC Oktoba Mosi 2025, Simba SC 3-0 Namungo FC, mchezo…
Matokeo ya mechi zilizopita Simba SC Oktoba Mosi 2025, Simba SC 3-0 Namungo FC, mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Septemba 28 2025, Simba SC 1-1 Gaborone United, Ligi ya Mabingwa Afrika. Septemba 25 2025, Simba SC 3-0 Fountain Gate mchezo wa Ligi Kuu Bara. Septemba 20 2025, Gaborone United 0-1 Simba SC, Ligi ya…
Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Miguel Gamondi, amesema wachezaji wake wanaonyesha bidii kubwa mazoezini na kwamba morali ipo juu kuelekea mashindano ya AFCON 2025. Gamondi ameyasema hayo leo Desemba 15, baada ya kumalizika kwa mazoezi ya timu, akisisitiza kuwa maandalizi yanaendelea vizuri na wachezaji wanaelewa majukumu yao ndani ya uwanja….
BAADA ya Dimitar Pantev kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba na Simba SC inatajwa kuwa kuna maombi ya makocha mbalimbali wametuma CV kukinoa kikosi hicho. Kwa sasa timu hiyo ipo chini ya Seleman Matola ambaye mchezo uliopita alishuhudia kipigo cha mabao 2-0 kutoka kwa Azam FC wakiwa Uwanja wa Mkapa. Hicho ni kipigo cha kwanza Simba…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili katika Shule ya Kijeshi ya Ulinzi wa Anga (SKUA), mkoani Tanga, leo Desemba 15, 2025, kwa ajili ya ufunguzi wa Mkutano wa 9 wa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Makamanda. Mkutano huu unalenga kuimarisha ushirikiano wa kijeshi,…
Real Madrid imeendelea kuonyesha nguvu zake kwenye Laliga, baada ya kushinda 2-1 dhidi ya Deportivo Alavés katika mechi iliyofanyika leo. Huu ni ushindi muhimu ambao unasaidia Real Madrid kushikilia nafasi ya pili katika msimamo wa ligi, ikiwa alama nne nyuma ya vinara Barcelona. Kylian Mbappé amefunga bao lake la 17 msimu huu katika mechi yake…
Leo hii kuna mechi kibao sana ambazo zitapigwa ndani ya Meridianbet baada ya kushuhudia wikendi timu nyingi zikifuana jasho. Je unajua kwako wewe mteja wa Meridianbet ni rahisi sana kutengeneza pesa hapa?. Bashiri sasa. CHAMPIONSHIP kule Uingereza pia kuna mechi moja ya pesa ambapo Derby Country atakiwasha dhidi ya Sheffield Wednesday kule ugenini huku tofauti…
Kwenye ulimwengu wa michezo ya mtandaoni, kasi na uhalisia ndiyo msingi wa burudani ya kisasa. Meridianbet, kupitia TVBET, imeleta injini mpya ya msisimko inayowasha mchezo kila sekunde bila kupunguza ubora. Hii si kasino ya kawaida, ni burudani ya papo hapo inayokupa nafasi ya kushinda kwa kuona kila kinachotokea kwa macho yako. TVBET imeundwa kwa ajili…
NYUMBA YA KISASA INAUZWA – MAPINGA Eneo: Mapinga, kilomita 1 tu kutoka Bagamoyo Road Bei: Milioni 150 (maongezi yapo) Ukubwa wa kiwanja: 1,200 sqm Document clean TITLE DEED ( Hati miliki kutoka wizara ya aridhi) MAELEZO YA NDANI ◇Vyumba 4 vya kulala (2 Master ◇Bedrooms – Self Contained) ◇Sebule kubwa yenye mwanga wa kutosha ◇Chumba…
Meridianbet wanakwambia kuwa siku ya leo unaweza ukabadilisha maisha yako yako kwa kubashiri mechi zote zinazoendelea hapa. Mechi za ligi mbalimbali zinaendelea hivyo usiipuuzie nafasi hii. Jisajili na uanze safari yako ya ushindi hapa. Hispania LALIGA napo kitawaka sana ambapo Sevilla atamenyana dhidi ya Real Oviedo ambao mpaka sasa wameshinda mechi zao 2 pekee wakiwa…
Mshambuliaji wa zamani wa klabu za TP Mazembe, AS Vita Club na Yanga SC, Chico Ushindi Wakubanza, amefariki dunia leo mchana akiwa nyumbani kwao Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Chico Wakubanza alikuwa mmoja wa washambuliaji waliopata heshima kubwa katika soka la Afrika ya Kati na Mashariki, akitambulika kwa uwezo wake wa kufumania nyavu, nguvu…
Leo hii ni nafasi yako sasa kutimiza zile ndoto zako ambazo uliziweka ndani ya muda mrefu na Meridianbet. Machaguo zaidi ya 1000 yapo kwenye mechi za kufuzu Kombe la Dunia. Jisajili na utengeneze jamvi sasa. Tengeneza pesa pia mechi hizi za ligi kuu ya Hispania, yaani LALIGA ambapo Atletico Madrid ataumana dhidi ya Valencia ambao…
Leo Disemba 13, 2025 hafla ya utoaji Tuzo za Muziki Tanzania(TMA) 2025 kwa wasanii wa muziki waliofanya vizuri katika maeneo mbalimbali nchini ilitarajiwa kufanyika. Taarifa iliyotolewa na Baraza la Sanaa Tanzania(BASATA) imeeleza kuwa zoezi hilo halitafanyika mpaka wakati mwingine. “Tunawataarifu kuwa hafla ya TMA iliyokuwa imepangwa kufanyika tarehe 13/12/2025 imeahirishwa mpaka pale tarehe nyingine itakapotangazwa.”…
Aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Algeria, Madjid Bougherra, ametangaza rasmi kuachana na kikosi hicho siku nane kabla ya kuanza kwa michuano ya AFCON, kufuatia kuondolewa kwa Algeria kwenye FIFA Arab Cup. Bougherra, ambaye mkataba wake ulikuwa ukifikia tamati mwezi Desemba mwaka huu (2025), amesema kuwa safari yake na timu ya taifa ya…
INAELEZWA kuwa kiungo mshambuliaji wa Simba SC yupo kwenye hesabu za mabosi wa Mbeya City ambao wanahitaji huduma yake. Awesu kwa msimu wa 2025/26 hajawa na nafasi kikosi cha kwanza kwenye mechi za ushindani jambo linalofanya kiwango chake kutokuwa imara. Ikumbukwe kwamba aliibuka ndani ya Simba SC akitokea Klabu ya KMC huko alikuwa ni chaguo…
Kama wewe ni mpenzi wa michezo ya kasino au umekuwa ukitamani kuonja burudani ya kiwango cha kimataifa, basi Meridianbet imekufungulia mlango wazi kuliko wakati mwingine wowote. Kupitia ushirikiano mpya na Ruby Play, dunia ya michezo mtandaoni imepata upepo mpya mkali, wa kasi, na wenye msisimko usiokoma. Ruby Play imejipatia umaarufu duniani kutokana na uwezo wake…
Tunapoukaribisha msimu wa sherehe za mwisho wa mwaka, Meridianbet inakuletea Holiday Drops – Christmas Edition, kampeni maalum inayokuletea ushindi kwa namna ya kipekee. Kuanzia tarehe 01 Desemba 2025 hadi 08 Januari 2026, wachezaji watakuwa ndani ya kipindi cha zawadi zinazotoka papo hapo katika michezo maalum iliyochaguliwa mahsusi kwa msimu huu. Holiday Drops imeundwa kuongeza thamani…
UONGOZI wa Yanga SC umebainisha kuwa nyota wa kikosi hicho ambaye hakuwa kwenye mechi za ushindani kwa muda mrefu anatarajiwa kurejea uwanjani rasmi 2026. Ni beki wa kupanda na kushuka Yao ambaye hajaonekana uwanjani msimu mzima wa 2024/25 na 2025/26 kwenye mechi za awali hakuwa katika mipango ya benchi la ufundi zaidi ya kuendelea na…